Thursday, December 22, 2011

KAMA ABOUBAKAR YUMO KWENYE KUNDI LA HAMA(HR)BASI WAZENJI TUWE MACHO KWELI KWELI.

IMG_0100
Ndugu zangu Wazanzibar ikiwa tetesi zinasema kweli kuwa kuna kundi la watu wanaomunga mkono Hamad Rashid katika vita vyake na  Aboubakar yumo basi TUWE MAKINI KWELI KWELI MAANA WANAWEZA KUMTUMIYA HUYU KUTUMALIZA KWENYE KATIBA WANAYOTAKA KUILETA ZANZIBAR NA KUIFANYA ZANZIBAR KUWA WILAYA YA PWANI WAZENJI TUWE MAKINI KATIKA JAMBO HILI.Mimi binafsi sijawa na uhakika kamili lakini tujihadhari kinga ni bora kuliko tukaja kujuta kama tunavyojuta sasa kuwa kwa nini father karume aliungana na hawa. hakuna mtu hata moja alio tegemea kuwa Hamadi HR, Jidawi, Salum Msabaha wanaweza kutugeuka kwa matamanio tu yakidunia (kuhongwa vijipesa)Sasa na huyu Abou inasemekana ni mtu mwepesi wa kipato sasa isije ikawa katika tetesi za kuhongwa millioni mia 700 alizo pewa Hamadi na best Friend wake Mizengwe Pinda ikawa na Abou yumo?. Itakuwa hatari kwa Zanzibar .Maana  Hamadi anajinata kuwa anao wenzake nyuma ya Pazia sasa Wazanzibar tuweko alart na tetesi kuzipuuza, kuna siri nyingi tu nyuma ya pazia moja ni kesi ya Mkapa kusema Cuf watamfungulia mashataka katika mauwaji ya 2001 tarehe 26/27.aliyo yafanya zaidi ya dungu zetu na hatujamsamehe mpaka na yeye apelekwe mahakamani kwa kuuwa rai wasi na hatia.Hii inasemekana  Hamad Rashid alikula hongo na akaifificha(kuizima) kesi hii ili isije juu na alikuwa sio peke yake kwa hio Wazanzibar imekuwa hutolewa chambo kwa kuwanufaisha wachache katika maslahi yao binafsi.Sasa hofu ya Wazanzibar hivi sasa ni huyu Abou jee huyu ni Aboubakari Sadiki kweli au ni wa Magogoni..?Kama sie basi ashughulikiwe haraka kabla haja tuweka pabaya Wazanzibar na katiba ijayo ya unafiki wa kuitaka kuimeza zanzibar hatuna haja ya katiba tunahaja ya kuvunja muungano tu basi, maana viongozi wa Tanganyika hawaoni tabu kutowa million 700 au zaidi lakini tu lau lipite, hii kwao ni pesa ndogo tu hata kodi ya siku haifiki ni kama pesa ya kununuwa chapati na namaharangwe pale gerezani asubuhi sio jambo kubwa.Na hutumia ujanja hivi sasa wa kurubuni vile viungo muhimu ili mambo yao yawe, kuna mifano mingi tu hivi sasa ya kuwalahai Wazanzibar ili kero za Muungano zizimike mfano.
Hivi sasa utaona katika misafara mingi ya njee huchukuliwa Wazanzibar moja au wawili tena cuf ili wajihisi wamefadhiliwa waje kulipa fadhila kwa watawala wa Tanganyika wazitakapo.lakini zanzibar ikijitawala hizo safari zitakuwepo tena nyingi sana kuliko hizo wanazozitowa wakoloni wausi tanganyika tena zitakuwa za hishima zaidi maana mutakwenda kama nchi kamili inayojulikana umoja wa kimataifa sio uchochoro wa jumanne pale mtendeni kupata supu chapati.kwa hiyo viongozi amkeni.Hii ilikuwa zamani hakuna safari za kimataifa ni wao tu Watanganyika Wazanzibar haziwahusu kama vile sio sehemu kubwa ya huo Muungano wa Tanganyika na Zanzibar kupatikana Tanzania.Tulikwishazowea Wzanzibar kuwa sisi tasisi za kimataifa hatushirikishwi ,sana ukienda katika tasisi hizo utakuta kuanza juu mpaka chini ni wao tu akina John,Lukasi,Jalome etc lakini humuoni Mzanzibar.Hii ndio iliotusababisha Wzanzibar kusema hakuna faida ya nchi yetu kuitika katika Muungano usio fanya haki upande moja, na tulihisi kuwa Wazanzibar tumepoteza pakumbwa nchi yetu kungana.Hali yakuwa Zanzibar ilikuwa Dola huru na lenye mambo yeke ya ndani na njee ya kimataifa sasa vipi leo tuhukumiwe ki-mkoa kwa udogo wa nchi yetu na watu wake.pia tukumbuke father karuma alisema ni wa miaka 10 tu vipi leo umefikia miaka 47...?Zanzibar ni taifa (Dola) na sio wilaya wala Kata, huwezi kulinganisha Zanzibar na Arusha au Mbeya kwa kuwa ina watu wengi. thamani ya Zanzibar kimataifa na ki historia ni kubwa .Hatujawahi hata siku moja kusikia Arusha au Iringa ikawa na kiti chake umoja wa mataifa (UN).lakini zanzibar inacho kiti na walisima ni kanchi kadogo na tukawaonyesha kuwa ni nchi na ilikuwa ktk (UN)Sasa Zanzibar kui Treaty kama Mkoa kwa kigezo kuwa ina watu kidogo na ardhi ndogo hatuko tayari na sasa tulipo fikia hata wageuke kuwa wema na kusema OK OK ni nchi hatutaki tena nibora tuvunje Muungano na tubakie na ujirani mwema lakini katu hatuto salim amri au kuisalimisha Dola yetu.Kuna viongozi wengi tu wa ki-Tanganyika wakizani Wazanzibar ni ma-Foolish yaguju, wakisema maneno yakifedhuli na tharau kama vile kusema kijisehemu kidogo chenye watu kidogo kuliko hata Manzese kinataka haki sawa .Kuna badhi ya Wabunge wa Tanganyika wakifananisha majimbo yao eg kuwa na watu wengi mfano wao kama Murogoro kuwa na watu zaidi ya million 2 hali yakuwa Mbunge ni mmoja.Vipi Zanzibar ina watu million 1 ina wabunge zaidi ya 68 , huu ni upumbavu na ujinga wakutufanya sisi foolish, wao hawaoni kuwa Zanzibar ni nchi..? Na bila ya Zanzibar kusingalikuwa na huo Muungano uitwao wa nchi mbili Tanganyika na Zanzibar.Na kama wanatuhukumu kutokana na idadi ya watu wetu na ardhi yake mbona Ushelisheli nchi yenye watu wasiopunguwa laki moja wana kiti cha kudumu umoja wa mataifa wala hawakuambiwa nyiyi hamupewi kwa udogo wenu, au marekani yenye nchi 54 zilizo ungana kuwa na kiti kimoja..?Huu ni ujinga na ufethuli wakutaka tusalimishe nchi yetu kwa udogo yaguju mukitaka nilazima muheshimu kuwa Muungano ni wanchi mbili Tanganyika na Zanzibar na katika Muungano hakuna mkubwa wala mdogo tumeungana sote ni nchi zilokuwa na Dola zake.na sasa imekuwa tafashaa tu kwa hiyo nauvunjike.Misituone kuwa Wazanzibar mabwege tunaweza kuwa foolish yaguju Wazanzibar tunajuwa kitugani tunafanya na tumesoma sio vichwa maji, maana hujinata kuwa sisi watanganyika tumesoma Bongo man? Lakini isabu fupi tu katika watu millioni 1 Zanzibar wasomi walio hitimu masomo ya juu niwangapi..? na millioni 44 za wa Tanganyika niwangapi walio soma= utapata wapi pumba...? Kwa hio Wazanzibar wengi ni wasomi na hatuko tayari kupumbazwa na nyinyi kwa kutufanya foolish tumieni ujanja wa kuwarubuni watapia mloo akina Hamad lakini tukiwabaini Wazanzibar wenye kutusaliti basi tunawatosa na kuwafanya wasi.
Maana inashangaza kuwa kila siku muna mipango mipya ya kuihujumu Zanzibar kwa njia hii au nyingine, alipo kuwepo Baba wenu wa Taifa mulitufanyia vitimbi vingi sasa kafa waliobakia wanaviendeleza.
Wazanzibar tuko macho na hatuko tayari kuhujumiwa enough is enough umetokea mzozo wa Hamad na Maalim nyinyi mumeuvalia njuga kutia moto petrol(fitna) ili ndugu kwa ndugu wafarikiane.hakuna munalolijuwa zaidi ya kufitinisha watu.Sasa chakujiuliza lengo lenu nini? Kama sio ubaya wa roho na kutaka Zanzibar na wazanzibar wasiwe watulivu.Mizengwe mingi tu yakutugonganisha vichwa mulitufanyia na ikawa Zanzibar haikaliki na kupandikizwa chuki na kuja kutuuwa kwa jeshi la wakuria sasa tumesha tulia tunavuta harufu ya amani na ya marashi ya karafu hao mushasimamisha mishipa ya fitina munachokora jengine.m/mungu atawashinda kwa ubaya wa roho zenu mulizo nazo kwa kuioneya choyo nchi yetu ya zanzibar.Mungu ibariki Zanzibar na Wazanzibar wote na uwalani wale maaduwi wa Zanzibar.

Wednesday, December 21, 2011

MAALIM SEIF ASEMA-MSIOGOPE KUITWA WAISLAMU

Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad akihutubia uwanja wa Taifa katika hafla ya kuchangia kituo kimoja cha televisheni cha kiislamu.
Makamo wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad amewahimiza Waislamu nchini kote kujitokeza kwa wingi kuchangia uanzishwaji wa kituo cha televisheni kiitwacho Imani, kwa sababu televisheni hiyo itatoa mchango mkubwa kufuta dhana potofu dhidi ya Uislamu, na kutoa taaluma ya maadili mema ndani ya jamii.
Alisema hayo leo alipokuwa akihutubia kwenye hafla ya kuchangia uanzishwaji wa televisheni hiyo, inayoanzishwa chini ya Jumuiya ya Islamic Foundation, ambayo pia inaendesha Redio Imani iliyopo mkoani Morogoro. Maalim Seif alisema vituo vingi vya televisheni hapa nchini mara nyingi huonesha vipindi vinavyokwenda kinyume na maadili mema ya jamii, jambo ambalo kwa kiasi kikubwa linachangia kuharibu maadili ya jamii na zaidi vijana na watoto wadogo.
Makamu wa Kwanza wa Rais alisema mbali ya kujenga maadili mema kituo hicho cha televisheni pia kitaweza kufanya kazi kubwa ya kuwaelimisha wanajamii, juu ya mazuri na mchango wa Uislamu na kufuta dhana inayoenezwa na baadhi ya watu, dhana ambazo zinapotosha na kuipaka matope dini ya Kiislamu.
“Waislamu jitokezeni kuchangia mambo ya kheri, kuanzishwa kwa televisheni hii ni jambo la kheri, wafanyakazi serikalini, Mashirika ya Umma na taasisi binafsi changieni, na wala msione haya kujuilikana nyinyi ni Waislamu, Uislamu ndio dini sahihi” alisisitiza Maalim Seif.
Alieleza kuwa wapo waislamu wenye uwezo mkubwa na nafasi ya kuchangia mambo kama hayo yenye faida kwao na Waislamu wote, lakini kuna wengi miongoni mwao , licha ya kuwa na uwezo huo wamekuwa wagumu kutoa, na badala yake kujikita zaidi katika kuchangia mambo ya anasa.
Katika hafla hiyo, Waislamu mbali mbali walijitokeza kuchangia ambapo, Makamu wa Kwanza wa Rais alichangia shilingi milioni mbili kwa ajili ya uanzishwaji wa kituo hicho cha televisheni. Akizungumza katika hafla hiyo, Sheikh Ali Basaleh alisema vyombo vingi vya habari nchini, vikiwemo vituo vya televisheni havina tabia ya kutangaza mambo mema yanayogusa Uislamu na Waislamu, na badala yake vyombo hivyo vimekuwa vikijikita zaidi kuripoti mambo mabaya dhidi ya Uislamu na kuyapa umuhimu mkubwa.
Basaleh alieleza kwamba televisheni hiyo ya Kiislamu ikianza matangazo yake itasaidia kutangaza na kutoa taaluma juu ya mambo ya Uislamu, ikiwemo kufuta dhana hizo potofu zinazoupaka matope Uislamu. Mkurugenzi wa Islamic Foundation, Sheikh Arif Nahad alisema Waislamu wakiamua wanaweza, kwasababu hivi sasa wameamka baada ya miaka mingi ya kujiweka nyuma na kufunga mikono katika shughuli za kimaendeleo.
Sheikh Nahad alieleza kuwa hakuna sababu televisheni hiyo ishindwe kuanza, na kwa kuwa jumuiya yake imeahidi itatekeleza hilo na kuwaahidi mamia ya watu waliohudhuria kuwa televisheni hiyo ipo njiani inakuja.

Wednesday, December 14, 2011

CUF WATWANGANA VIBAYA SANAA JE HAMAD RASHID NI ABDURAHMANI BABU WA PILI WA ENZI HIZI...?


VUGURU kubwa zilizosababisha kuharibiwa kwa magari na watu kadhaa kujeruhiwa  vibaya zilizuka jana kati ya makundi mawili ya wafuasi wa viongozi waandamizi wa  Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hamad na Mbunge wa Jimbo la Wawi,  Hamad Rashid Mohamed.Mapigano hayo makali yalizuka baada ya kundi kubwa la vijana walinzi maarufu ‘Bluu Gurds’ waliokuwa wamebeba mapanga, visu na nondo kutoka makao makuu  ya CUF kuvamia ziara ya mbunge huyo eneo la Mabibo, Dar es Salaam wakiwa  na nia ya kuzuia mikutano yake.Tanzania Daima lililokuwa katika eneo hilo, lilishuhudia kundi hilo la vijana  lililowasili katika eneo la Mabibo kwenye Tawi la Chechnya ambako Hamad Rashid  alikuwa akitangaza nia ya kuwania Ukatibu Mkuu, na kuanza kumshusha kwa nguvu  kutoka katika jukwaa alikokuwa akihutubia.Hata hivyo, kitendo hicho kiliwaudhi wanachama na wananchi wengine waliokuwa  wamefurika katika mkutano huo, ndipo mapigano yalipoanza kwa kurushiana mawe, mapanga na  kila aina ya silaha iliyoonekana kuwa karibu kutumika.Katika vurugu hizo  ambazo hakukuwa na ulinzi wowote wa askari polisi kinyume  cha ilivyotarajiwa na wengi, vijana wa Bluu Guards walizidiwa nguvu na gari lao  likaharibiwa vibaya kwa kupigwa mawe.Aidha, mwanachama mmoja wa chama hicho aliyejulikana kwa jina la Adam Edo,  alikatwa mkono na kuachwa ukiwa unaning’inia na kukimbizwa katika Kituo cha Afya  cha Muna  kwa huduma ya kwanza, kabla ya kupelekwa Hospitali ya Mwananyamala kwa  matibabu zaidi.
Mara baada ya kutulia kwa mapigano hayo, mbunge huyo alilaani kitendo cha  kuvamiwa na kundi la wafuasi wa Maalim Seif Sharif Hamad, akisema kuwa   ataendelea na dhamira yake ya kugombea nafasi ya Ukatibu Mkuu wa CUF, ikiwa ni  pamoja na kukifufua chama hicho ambacho alidai kuwa kimedodora.
Alisema endapo atagombea na kupata nafasi hiyo atahakikisha anafanya  mabadiliko ya katiba ambapo mwenyekiti atakuwa ni miongoni mwa wajumbe wa kamati  ya utendaji ya taifa na kiongozi mkuu wa chama tofauti na ilivyo katika katibaya sasa.“Mimi nitahakikisha kuwa chama kinakuwa kama taasisi na sitofanya maamuzi  yangu mwenyewe kama ilivyo sasa ambapo viongozi wanaamua lolote bila kufanya  mikutano wala kuwashirikisha viongozi wengine,” alisema Hamad.Mapigano hayo yamethibitisha mgogoro wa siku nyingi uliopo, ambao umefanya  chama hicho kuanza kumeguka vipande vipande.Habari za uhakika zimebainisha kuwa viongozi hao sasa wameamua kuanza  mapambano rasmi ya kuwania uongozi, ambapo wakati Hamad Rashid anaanza ziara za  kampeni katika mji wa Urambo, mkoani Tabora Desemba 15, kabla ya kwenda Mkoa wa  Singida Desemba 17, Maalim Seif atakuwa katika mikoa ya Lindi na Mtwara.
Na wakati huo huo Ismail Jussa, Naibu Katibu Mkuu (CUF) Zanzibar, amesema kinachojitokeza katika mzozo uliopo sasa ndani ya Chama hicho ni Mhe Hamad Rashid, kutumikia utashi na tamaa binafsi na maslahi ya baadhi ya watu ambao wanamsukuma kuleta mkorogano ndani ya Chama. ‘Lakini wanachama wamemuelewa, hawakubaliani nae kabisa katika mtazamo wake’, alisisitiza Jussa.
Akihojiwa na Sauti ya Ujerumani katika matangazo yake ya jana (Jumatatu Disemba 12,) Ismail Jussa alisema kinachoshangaza ni kuwa Mhe Hamad Rashid, mtu anaekifahamu vizuri Chama tokeo kilipoanzishwa, kuamua kutaka kuleta mkorogano. Jambo ambalo linaonekana linalengo la kutaka kuvuruga Maridhiano yaliyofikiwa baina ya Maalim Seif na Rais wa Zanzibar msataafu Dr Aman Karume.
Naibu Katibu Mkuu huyo wa CUF, alikwenda mbali na kudai kuwa wanazo habari kuwa Hamad Rashid katika siku za hivi karibuni, amekuwa na usuhuba mkubwa na kiongozi wa juu wa Serikali ya Muungano (bila kumtaja jina) na kuongeza kusema kuwa Chama (CUF) wanapata habari.Kuhusu madai ya Hamad Rashid, kutaka kuwa Katibu Mkuu wa CUF, Mhe Jussa ambae pia ni Muwakilishi wa Mji Mkongwe, alifafanua katika KATIBA ya CUF kila mwanachama anayo haki kugombea nafasi yoyote ya uongozi ndani ya Chama kwa kufuata utaratibu.Aidha alisema CUF, itaingia katika mchakato wa uchaguzi kwa ngazi mbali mbali kuanzia mwaka 2013 kwa ngazi za matawini na kufikia mwaka 2014 kwa ngazi ya Taifa. “Kama Mhe Hamad Rashid, ana nia njema na hoja yake ilikuwa asubiri Chama kitakapofanya uchaguzi wa viongozi wake na si hivi sasa kuibua suwala hilo”; alibainisha Jussa.Hamad Rashid na Maalim Seif, wote ni miongoni mwa wanachama wa CUF waliopata misukosuko na mateso mengi, ikiwamo kukaa Gerezani kwa muda mrefu, kuhusiana na harakati za siasa kwa lengo la kuwatetea Wazanzibari

WANANCHI WA ZANZIBAR NAFIKIRI NILISHAWAMBIYA HAPA MARA NYINGI SANA KUWA TUKISUBIRI VIONGOZI WATUKOMBOWE TUTA SUBIRI SANA SANA. MAANA MAMBO NDIO KAMA HIVI WAZANZIBAR WAMEUNGANA NA SASA WANATAKA KUJIKOMBOWA HUYU HAMAD RASHID ASHAZUKA NA YAKE. SASA WATU WATATENGANA TENA KISHA TUNARUDI KULE KULE TULIKOTOKA KWENYE SIASA ZA CHUKI NA KUBAGUWANA. KISHA MKOLONI MWEUSI ANACHEKA SANA ANASEMA WANGALIYE WENYEWE KWA WENYEWE WANATAFUNANA KWELI WATAWEZA KUJITAWALA..? NA HAYA SIO YA LEO WALA JANA HABU NIWAKUMBUSHE KIDOGO MIAKA YA NYUMA YA WAKATI WA CHAMA CHA HIZBU PIA KULIKUWA NA MKORONGANO MWISHO BABU AKAFUKUZWA NA AKANZISHA CHAMA CHAKE NYERERE AKAONA MWANYA AKAMLETA OKELLO NA VIKAPTURA WAKATUUWAA VIZURI SANA  KISHA WAKATUTAWALA MPAKA LEO SASA HAMAD RASHID NAE ANA ANZA KISHA KUTAZUKA LA KUZUKA MWISHO KUTATOKEYA MAPINDUZI YASIYOJULIKANA MIGUU WALA KICHWA MWISHO WAKE TUTAJIKUTA TUNATAWALIWA TENA NA WATU HATA SIO WAZANZIBAR KWA MIAKA MENGINE 47 KWA HIYO WAZENJI FUNGUWENI MACHO NA FINIKENI KOMBE MWANAHARAMU APITE ASIJAKUTULETEA BALA ZANZIBAR.

Wednesday, December 7, 2011

MAMBO MAZURI ALIYOFANYA GADDAFI KTK NCHI YAKE NA RAI WAKE AMBAYO LEO HAYASEMWI



Now let us get to the unknown facts about the Libyan dictator Muammar
Gaddafi:



1. There is no electricity bill in Libya; electricity is free for all
its citizens.

2. There is no interest on loans, banks in Libya are state-owned and
loans given to all its citizens at 0% interest by law.

3. Home considered a human right in Libya - Gaddafi vowed that his
parents would not get a house until everyone in Libya had a home.
Gaddafi's father has died while him, his wife and his mother are still
living in a tent.

4. All newlyweds in Libya receive $60,000 Dinar (US$50,000) by the
government to buy their first apartment so to help start up the family.

Traditional wedding in Tripoli, Libya

5. Education and medical treatments are free in Libya. Before Gaddafi
only 25% of Libyans are literate. Today the figure is 83%.

6. Should Libyans want to take up farming career, they would receive
farming land, a farming house, equipments, seeds and livestock to
kick-start their farms - all for free.

7. If Libyans cannot find the education or medical facilities they need
in Libya, the government funds them to go abroad for it - not only free
but they get US$2,300/month accommodation and car allowance.

8. In Libyan, if a Libyan buys a car, the government subsidized 50% of
the price.

9. The price of petrol in Libya is $0.14 per liter.

10. Libya has no external debt and its reserves amount to $150 billion -
now frozen globally.

Great Man-Made River project in Libya... $27 billion

11. If a Libyan is unable to get employment after graduation the state
would pay the average salary of the profession as if he or she is
employed until employment is found.

12. A portion of Libyan oil sale is, credited directly to the bank
accounts of all Libyan citizens.

13. A mother who gave birth to a child receive US$5,000

14. 40 loaves of bread in Libya costs $ 0.15

15. 25% of Libyans have a university degree

16. Gaddafi carried out the world's largest irrigation project, known as
the Great Man-Made River project, to make water readily available
throughout the desert country.

Which other dictator has done much good to his people?

YEYE NI DIKTETA LAKINI KAFANYA MAMBO MAZURI KWA RAI WAKE NA NCHI YAKE SASA LAKUJIULIZA NI NINI KILICHOFANYA MPAKA RAI WAKE WAKAMCHUKIYA NA KUMTOWA MADARAKANI..? PIA TUNAWEZA KUJIULIZA KATAWALA MIAK SIO KIDOGO NA KAFANYA MAZURI NA MABAYA KTK NCHI YAKE LAKINI ALIPO ONA WATU WAKE HAWAMTAKI TENA KWA NINI AKAWA BADO ANAKAZANIYA KUKA KWENYE KITI....?   JE WAHAFIDHINA WA WATANGANYIKA MULIOKUWEPO ZANZIBAR MUNASUBIRI HAYA NA NYINYI NDIO MUJUWE SOMO...?

Tuesday, December 6, 2011

VIONGOZI WA ZANZIBAR PELEKENI UJUMBE HUU DODOMA NA NCHINI TANGANYIKA WAAMBIYENI WAZANZIBAR-HATUTAKI MUUNGANO


KARUMA NA NYERERE WAKISAINI KITABU CHA MAOMBOLEZI
KISHA WANASEMA ANATIA SAINI YA MUUNGANO MAWE
WATANGANYIKA MUNA MASIKIO YA CHINI NINI TUSHASEMA HATUTAKI MUUNGANO,HATUTAKI MUUNGANO,HATUTAKI MUUNGANO.

Jamani hamuoni mbali, munaangalia karibu mbele yenu tu. Kwanza siungi mkono kuwa tuijadili katiba na makubaliano ya muungano.MAANA TANGANYIKA HAIPO SASA VIPI TUNAJADILI KATIBA NA MAKUBALIANO YA MUUNGANO...?? Halafu wanalete hili suala la katiba ili kutupotezea lengo la muungano. Sisi tunachokitaka ni kuondoka muungano kabisa. Kutokana na kauli zao za kipuuzi na kijeuri kina Kikwete na wenzake, sasa hatutaki tena kujadili muungano wala katiba. La msingi ni sisi kuingia barabarani tu kama kuna kibali au hakuna maana sasa imekithiri mno.

Niliposema kuwa hatuangalii mbali nakusudia kuwa kura ya maoni kwa sasa haina hadhi kwa sisi Wzanzibari. Nifahamuvyo mimi ni kwamba kwa sasa Zanzibar kuna wahamiaji wengi kutoka bara na hao hawakuja kwa kwa bahati mbaya tu, bali wamekusudiwa.kuletwa kwa makusidi ili wazanzibar tukidai haki ya nchi yetu watulete kwanza jadilini mswaada hatukutaka watasema basi kura ya maoni maana wanajuwa kuwa washawajaza watu wa hapa zanzibar kwa hiyo hao watasema wanataka muungano kwa hiyo wazanzibar tutakuwa tushamezwa na tukumbuke kuwa Wao ndiyo wanaopewa vitambulisho vya Zanziabar na wananyimwa Wazanzibari wenye haki. wao ndiyo watakaosema kuwa muungano uendelee. Mimi nawapinga wale wanaotaka kura ya maoni kwa sasa hivi. Tutakuwa tumejipaalia makaa kipweza.
Mrfroasty suala la sheria na wanasheria kwa sasa halikubaliki kwani hata huo muungano asili haukuwa wa kisheria. zile picha zinazo oneshwa kuwa Karume anatia saini siyo kweli kuwa anatia saini ya muungano, inaweza kuwa anatia saini kitabu cha maombolezi au cha wageni. Siki ya kutia saini mkataba alitakiwa mwanasheria wa Zanzibar siku hizo, DAURADO awepo, lakini aliotewa yuko nje ya nchi ndiyo akapewa karume makaratasi atie saini bila kujua kilichomo na aliharakishwa ufanya hivyo na nyerere kabla Dourado kurudio. Kwa hiyo suala la kuwa tuende na sheria na wanasheria litoke vichwani mwetu kama kweli tunataka Zanzibar yetu. halafu matokeo ya kufuata sheria ni haya tunayoyaona kuwa kila siku danganya toto tu huku tunazungumzia muungano wao wanazungumzia katiba what the hell is this!!!!
Kama tunataka nchi yetu tuache maneno na tudai Zanzibar na siyo kujadili katiba na muungano. Tuingie njiani kama walivyofanya wamisri. Tuingie huku tukiwa tumejitayarisha kwa lolote na pia kwa jina la ALLAAH.

SOTE ZANZIBAR NZIMA NASEMA ZANZIBAR NZIMA TUSEME KWA SAUTI MOJA. HATUTAKI KURA YA MAONI,HATUTAKI KUJADILI KATIBA NA HATUTAKI MUUNGANO TUNATAKA NCHI YETU YA ZANZIBAR IWE NCHI HURU.

HAYA NDIO MANENO YA KUSEMA KAMA KWELI TUNAITAKA NCHI YETU YA ZANZIBAR M/MUNGU IBARIKI ZANZIBAR NA KIZAZI CHAKE CHOTE AMIIIIIIIIIIIIIIIIIIINI

Friday, December 2, 2011

FIKRA ZA WATANGANYIKA NA YALIYO NDANI YA NYOYO ZAO ZAIDI YA ZANZIBAR


Tanzania ni nchi gani.............???

Wana jamvi nimejaribu kujiuliza mara nyingi kuwa Tanzania ni nini???
Kutokana na historia niliyofundishwa ni kuwa Tanzania ni muungano wa nchi mbili ambazo ni Zanzibar na Tanganyika.Lakini swali linakuja, Je baada ya muungano Tanganyika ilikwenda wapi? Bona zanzibar ipo? Na hata wazanzibar wanatambua kuwa Zanzibar ni nchi? (nikumbushe kauli ya mtoto wa mkulima ambaye kiuelewa anapaswa kuuelewa muungano lakini kidogo limtokee puani baada ya kutamka kuwa Zanzibar siyo nchi).Je naweza kuamini kuwa baada ya muungano basi Tanganyika iligeuzwa kuwa koloni la zanzibar??
Je leo muungano ukifa sehemu ya bara tutaiita jina gani? Nasema hivyo kwa sababu wanasiasa wanatuhadaa kuwa huu muungano ni wa nchi mbili – ni zipi hizo kwani mimi naifahamu Zanzibar lakini kwa sasa hakuna taifa linaloitwa Tanganyika. Naomba ieleweke kuwa hakuna document yeyote inayothibitisha kuwepo kwa taifa linaloitwa tanganyika zaidi ya historia ya vitabu.
Kimsingi yapo mambo yanayotambulisha taifa .
Bendera ya nchi
Wimbo wa taifa
Raisi wa nchi
Kutoa uwakilishi wa mabalozi na mengine ambayo pengine wengi tunayaona.
Kupigiwa mizinga
Zaidi zanzibar wako kwenye mchakato wa kupata katiba. Vyote hivi Zanzibar vipo.
Swali: Leo muungano ukifa Kikwete atakuwa raisi wa nchi gani??????? Sehebu ya bara itatumia bendera gani, katiba gani na wimbo wa taifa upi? na taifa litakalobaki litaitwa jina gani au historia itajirudia?
Kuna kila dalili zioneshazo Kuwa Watanzania wa Visiwani Hawawapendi Wenzao Watanzania Bara na hili lipo wazi kabisa.kwani huwa wanakuja juu sana likitokeapo jambo litatizalo na huwa wanaonesha wazi kuwa hawautaki huu Muungano wa Karume na Nyerere.. Choko choko huwa Nyingi sana na mwishowe wabara wakiona maji yamezidi Unga hugawa Nyadhifa zao uongozi kwa Wavisiwani Mifano ni Mingi Sana.
Sasa kwa Mwendo huu hizi Nyadhifa zitatolewa hadi lini siku wakitaka kupewa hadi ardhi yao ya kimagumashi ya pwani maybe Wabara ndipo watapoamka na kuwaona hawapendwi..
Ningeona jambo jema Tuwajue kuwa kama hawa Wavisiwani Wanatupenda au la! siku nyingi wanaomba wapewe nafasi ya kupiga kura ya maoni kama wanauhusudu huu Muungano au La .. It means kwa sasa wamelazimishwa kuwa nao kwani hawajisikiii kabisa haki ya Mama Kuitwa wao ni Watanzania kama huamini muulize Mtu yeyote mwenye asili ya Visiwa vya Pemba na Unguja.
Na sie wabara Tunahitaji kujuwa kama ”Wazanzibar they are with us or Against Us”
Mie kwangu Ningependa Kujua hili. Katiba Mpya Watanganyika kuwa Serikali Yao.
Hakika tufike sehemu tuseme ENOUGH IS ENOUGH,YANI IMETOSHA IMETOSHA,na kusema UKWELI watu wazima kimri walioko kwenye madaraka wajue kizazi cha watuchini ya umri wa miaka 45 kushuka chini Muungano wetu na Zanzibar hauna faida yoyote kwao zaidi ya kwenda Zanzibar kutalii kama Mtanzania wa Bara anavyoenda Bagamoyo ambako ni Tanzania huru kwake.
Hivi lini tulisikia Mtanzania mzaliwa wa Moshi na Mbunge wa Moshi akaenda Zanzibar kuwa Waziri au katibu wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar.Lakini wao wakizidisha choko choko zao kidogo tu utasikia wamewagawiwa Uwaziri tena zile sekta nyeti kama Waziri wa Mambo ya Ndani,kwa maisha haya mpaka lini.
Hivi tunajambo gani hilo zito la SIRI KUU ambayo haipo kwa faida ya umma.Manake kwa sie tulio chini ya umri wa mika 45,Tanzania ya kesho ni yetu,yani kwa mwenye umri wa miaka 45 Mungu akimpa uzima anamiaka 35 ya kutumikia Taifa kama Mtanzania mwenye ushiriki Mkubwa wa Tanzania ya kizazi kipya kijacho.
CCM watu wazima wajue vijana wao wanaowaaanda kulithi matendo yao ya kushabikia MUUNGANO WA KIMABAVU,USIO NA TIJA KWA UMMA,BALI TIJA ZA KIDOLA NA MATAJILI WA KIDUNIA,HAWAWEZI KUJA KUSHINDANA NA KIZAZI KIPYA AMBACHO KILA SIKU YA MUNGU KINAZIDI KUWA NA UFAHAMU MKUBWA TOKA WAKIWA NA UMRI MDOGO [Kwa wale wenye watoto wadogo nyumbani wa umri wa miaka mitano mpalka nane wanaweza kuona ufahamu wa watoto hao wadogo kupitia jinsi watoto wao hao wanavyocheza na vyombo ya kieletlonia vitu kama simu,televisioni,computer games,na stimulation games zinginezo katika uwezo wa ajabu ambao hata mzazi wake mwenye hana uwezo huo].”
Kwa sasa sio kizazi cha kulazimisha kufuata bila kuhoji,ni kizazi cha majadiliano na majibu yenye ukweli mwingi kuliko uongo usio na msingi.
Tufike wakati kabla wazee hao hawajaondoka watuondolee utata huu,tujue moja JE WAZANZIBAR WAKO NASI AU HAWAKO NASI [ARE THEY WITH US OR NOT-ni msemo wa sauti ya kimarekani kuwambia washirika wake wanapokuwa wanataka kujua ushiriki wao].
Kama wanzanzibar watesema wako nasi basi jibu ni Serikali moja tu,. ((HAHAAHAHAHAAHAHA NACHEKA SANA MTANGANYIKA AKISEMA SEREKALI MOJA MAWE)) hakuna cha Serikali Tatu,wakigoma wapewe Serikali yao ya Wanzanzibar ambayo tayari wanayo wakiwa na kila kitu soon wataomba Bank Of Zanzibar [BOZ] yote hayo kwishney nasi tuchukue Tanzania iwe yetu the game is over.
Kwa Wanzanzibar walioko Tanzania kama Watapenda kuishi Tanzania wakane uraia wa Zanzibar wao na Watoto wao,na kwa wale watakao taka kuludi kwao Zanzibar wapewe mabegi yao kwaheri na wasitoke na chochote,unyambilis unyambilisi, kwa kuwa vyote walichuma Tanzania barana((HAHAHAHAHAHAHHA HAYO NDIO ALIYO YAFANYA IDDI AMINI DADA KUWAFUKUZA WAHINDI NA MABEGI TU HAWAKUCHUKUWA KITU NCHI IKAFILISIKA MPAKA WAKAWAOMBA WAHINDI WARUDI UMESOMA WAPI RAFI YANGU.......??))
 kwa wasukuma,wanyamwezi,wangoni,waha na wanyakyusa walioko Zanzibar nao masharti ni hayo hayo kama wanataka kubali Zanzibar wabaki wakiona wanatka kuludi bara fungasha beki ludi kwenu Tanzania.((WATANGANYIKA KURUDI BARA NI RAHISI SANA MAANA HAWANA KITU CHOCHOTE HUKU ZANZIBAR ZAIDI YA BEGI LA VINYANGO,POMBE,BANGI,UNGA YANI DRUG,MALAYA,WIZI NA UJAMBAZI WAKUINGILIYA WATU MAJUMBANI USIKU AMBAYO MAMBO HAYA HAYAKUWEPO ZANZIBAR TULIKUWA TUKILALA MLANGO WAZI KWA HIYO WAKIRUDI BARA NA KWENDA KUYAFANYA HAYA HUKO ITAKUWA NI MSAADA MKUBWA MAANA SISI HATUYATAKI KABISA KTK NCHI YETU YA ZANZIBAR.))
Kwa wale waliobahatika kuwa viongozi wetu wakajua siri zetu tutaishi nao kimarekani, all Eyes on Them.Tufike sehemu watu wazima wajue kuwa kizazi chetu new generetion dotcom ni aina gani ya watu hao, yani vijana kama Tindu Lissu,Nape, Zitto, Mnyika ,Mdee,na wengineo wenye akili timamu ndani ya Bunge ni wachache mno yani ni cha Mtoto mno [A Tip oga na Iceber] ya vijana wa kitanzania wenye uwezo wa kufanya maajabu kwa Nchi hii.Ukitaka kuwajua walivyo wabaya tembelea mabenki na mashrika ya umma waulize wanavyopata shida na watyu hao.Wengi baada ya kuona Nchi haileweki wameamua kuiga matendo ya wasure/madingi wazee wao nayo ni kuchota na kusepa.Lakini laiti kama wangekuwa na heshima kwenye Serikali yao nao Serikali ikatambua ikawapa nafasi hakika Nchi hii miaka kumi na tano mingi,ingekuwa Nchi ya Pilia Afrika kuendelea baada ya South Africa.
Wapo vijana kibao uku mitaani,ebu muone Sugu,hivi watu wazima ndani ya CCM madaraka, hawajiulizi,kuhusu kijana kama huyo ambae elimu yake ni ya wastani [Kasoma Kayumba Sekondari School-ambayo ndio wengi ya vijana wa Watanzani-Akaenda Chuo Kikuu Mitaani Universty Dot Com-Chuo pekee cha Watanzania walio wengi kati ya Laki tano [500,000] wanaomaliza kidato cha sita na wanapata nafasi ya chuo kikuu ni elfu hamsini [40,000] kati ya hao laki tano].Lakini leo hii SUGU anauwezo wa kuwatuliza Watanzania Millioni na ushee wenye gadhabu na Serikali yao ambayo imewachokoza na kushindwa kuwahudumia.
Hivyo wasitegemee kwa kupindisha ukweli wataendelea kufanikisha mahitaji yao,bali ni kuwa wamechukua bomu wakategua pin wamelishikilia mkononi huku wanakula ole wao wakipitiwa na usingizi,au wakastukizwa ghafla kama tukio la Mbeya, na kisha watu aina ya SUGU wakago,ma kukaa upande wa SERIKALI ILI KUTULIZA WATU,wakasimama upande wa WANANCHI KISHA wakafanya kuwaongoza kumsaka mmoja baada ya mmoja kwenye majumba yao na hakika RISASI ZILIZO KWENYE MAGHALA YA JESHI,MALI YA HAO AMBAO LEO HII WAMEGOMA HAZITATOSHA KUMALIZA HASIRA ZAO.TUSIOMBE KUFIKA HUKO LAKINI WAZIMA HASWA VIONGOZ WA SERIKALI KUPITIA CCM WAJUE MFUMO WA NDIO MZEE UMEKWISHA SASA.

Thursday, December 1, 2011

WATANGANYIKA WAANZA KUTOKA USINGIZINI SASA BAADA YA MIAKA 50


JE NI MIAKA 50 YA TANGANYIKA AU TANZANIA
HAHAHAHHAHAHAHAHAHAHAHAH NACHEKA SANA
JINSI NYERERE ALIVYOWECHEZEYA WATANGANYIKA
NA SASA KIKWETE PIA ANAFANYA YALE YALE YA NYERERE
                                                         Utata wa Tanganyika na Tanzania.
SINA muda wa kupoteza leo isipokuwa naomba tujivue unafiki na kisha kila mmoja wetu ajihoji Desemba 9, mwaka huu, tunasherehekea Uhuru wa miaka 50 ya taifa lipi...?????????
Nahitaji jibu la moja kwa moja si siasa za upotoshaji, anayejibu swali hili anapaswa kujiweka katika nafasi ya mtoto mdogo anayepaswa kujua jambo fulani kiundani.Desemba 9, mwaka 1961, kulikuwa nchi yetu inaitwa Tanganyika ambayo ilipata uhuru wake. Ilipofika mwaka 1964 Rais wa Tanganyika Julius Nyerere na mwenzake wa Zanzibar Abeid Amani Karume, waliona ipo haja ya mataifa hayo kuunga.
Muungano ni kuunda umoja na ushirika wa pamoja lakini nje ya hapo kila mtu anabakia kuwa kama alivyokuwa awali. Hii kwa bahati mbaya sivyo ilivyokuwa kwa huu muungano wetu.
Baada ya Muungano kufanikiwa na kuundwa Tanzania, nchi moja ya Tanganyika ilinyongwa na ikabakia Zanzibar. Na ndani yake zikaletwa siasa za Tanzania Bara na Tanzania Visiawani.
Hivi mtoto wa kizazi cha leo anapohoji kujua ilipo Tanganyika tunaweza kumweleza nini mbali na siasa? Zanzibar ipo Tanganyika ilikufa ikazaliwa Tanzania Bara ambayo kimsingi ndiyo hiyo hiyo Tanzania.
Hii ndiyo historia ya nchi yetu, na tunathubutu kutembea kifua mbele tukijiaminisha kuwa tumekomaa kifikra vya kutosha wakati tunapotosha ukweli kuhusu Taifa letu...??????????????
Leo watoto, vijana, watu wazima na mbaya zaidi viongozi kila mmoja anaimba kuwa Desemba 9, mwaka huu, tunasherehekea miaka 50 ya Uhuru wa Tanzania Bara ( Hii ni nchi ipi..?????????????).
Zanzibar wana vielelezo vya utambulisho wao kama taifa, wana wimbo wa taifa, bendera, katiba yao, Bunge lao na mengineyo. Nchi inayoitwa Tanzania Bara haina bendera, wimbo wa taifa, Bunge badala yake wanatumia vielelezo vya taifa la Tanzania lililotokana na muungano wa (Tanganyika na Zanzibar).
Hivyo, hata Desema 9 mwaka huu, kinachosherehekewa si miaka 50 ya Uhuru wa Tanganyika. Maana siku hiyo utaimbwa wimbo wa taifa wa Tanzania, itapeperushwa bendara ya Tanzania, Rais atakuwa wa Muungano, sasa hapa tutasemaje ni uhuru wa Tanganyika (Tanzania Bara kama tunavyojidanganya)?
Hivi ndivyo tumeendelea kujidanganya kwa miaka yote. Tumekuwa na Bunge la Muungano ambalo linawashirikisha wabunge kutoka Zanzibar, kimsingi linapaswa kujadili mambo yale yanayohusu muungano tu.
Lakini kutokana na udhaifu wa muundo wa muungano wetu hata kwenye mijadala ya mambo yasiyo ya Muungano wabunge wa Zanzibar wanaendelea kuwemo wanashiriki kutuamulia wakati kule kwao wana Baraza la Wawakilishi ambalo linajadili mambo yao pekee.Huu mfumo wa muungano wetu lazima tukubaliane kuwa una kasoro hata kama hatutaki kuambiwa ukweli. Ni bora kujitathmini kuanzia hapa ili itafutwe suluhu ya kuondosha upotoshwaji wa historia ya nchi yetu ya Tanganyika badala ya kuendelea kuzika vichwa mchangani kama kanga tukidhani tumejificha hakuna shida.Mfano mdogo wa mkorogano huu unajitokeza kwenye michezo hasa kwenye mashirikisho yanayotutambua kama nchi mbili. Kwa sasa hapa Tanzania yanaendelea mashindano ya mpira wa miguu ya Kombe la Shirikisho la Mpira wa Miguu la Afrika Mashariki na Kati (CECAFA).Katika michuano hiyo Zanzibar wameingia kama nchi, wanatambulika kwa timu yao ya Zanzibar Heroes wakiwa na bendera ya taifa lao na wimbo wao wa taifa halafu eti sisi tumejibadilisha kutoka Taifa Stars tunajiita Kilimanjaro Stars.Lakini kinachofanyika kwenye timu ya Kilimanjaro Stars ni kile kile cha Taifa Stars, kwani wimbo na bendera wanavyotumia ni vile vile vya Tanzania. Na hata kocha kabadilishwa tu mwaka huu baada ya Wazanzibari kuhoji maana huyo huyo wa Taifa Stars ndiye alikuwa anafanywa wa Kilimanjaro Stars.Mimi ni mmoja wa waumini nisiyeona aibu kusema kuwa tunaadhimisha miaka 50 ya Uhuru wa Tanganyika, lakini siku hiyo ya Desemba 9 mwaka huu, sitasherehekea maana hakutakuwa na bendera ya Tanganyika wala wimbo wa Tanganyika ili kuniletea hisia za kumbukumbu ya kuachana na ukoloni.Naogopa sana unafiki na uongo wa kujidanganya kushiriki kuimba wimbo wa Mungu ibariki Tanzania wakati huo bendera ya rangi nne ya Tanzania ikipeperuka halafu nijiaminishe kuwa nimesherehekea miaka 50 ya Uhuru wa Tanganyika. Tafakari!

Tuesday, November 29, 2011

VIONGOZI WA ZANZIBAR HAMUONI AU NA NYINYI PIA NI MAFASIKI WA KUILINDA TANGANYIKA HAPA ZANZIBAR..?


MR SIGN THE PAPER OF EAC DONT BE SCARED!!!!!
HAYA NINYI MAJUHA WA ZANZIBAR MAZUMBUKUKU ULIMWENGU UKO NDANI YA MATUMBO YENU SOMENI HAPA MUELEMIKE NYINYI MAWAZIRI NA WABUNGE MUNAO MUONA HUYU SITTA SABA NANE TISA KUWA NI MWEMA...
leo inakuwaje Tanganyika wanapiga dane dane kutia saini inapokuja kutumika kwa Ardhi yao ambayo wao wenye wanasema ni kubwa kupitia hata mahitajio yao ,sasa hapa hapataki roketi sayansi mtu kutambuwa kuwa hawa watu ni mafasiki na wenye uaduwi mkubwa ndani ya nafsi yao inapofika kuifanyia thulma Zanzibar tujiulize kwanini wakatae nawao ndio wenye kupenda mambo yakunganisha....?
WAZIRI wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Samwel Sitta amegoma kusaini mikataba ya Jumuia ya Afrika Mashariki (EAC) unaohusu sera za ardhi, ulinzi na mambo ya nje.lakini mpaka leo wanatukandamiza na majeshi wa kitanganyika zanzibar na kuichukuwa ardhi yetu kuigeuza ndio ya kuzia vinyago na mabada ya madanguru ya wanawake wa kitanganyika wanao uza uchi wao kwa pesa ndogo kabisa na kutuleteya kila aina ya madawa ya kulevya na mapombe na magonjwa.na viongozi wa zanzibar wanalijuwa hili ila kimya majibwa koko nyie.Sitta ambaye anaongoza ujumbe wa tanganyika ((Tanzania)) kwenye mkutano wa Baraza la Mawaziri wa EAC unaofanyika hapa Burundi, aliwaambia waandishi wa habari kuwa suala hilo wamelikataa ili lirejeshwe kwa wakuu wa nchi kwa uamuzi.hahahahahahahahah na cheka sana simunapenda kuungana mbona munaogopa kungana na uganda,kenya,burundi na rwanda na nyinyi munapenda kuungana.....?wazanzibar amkeni amkeni.
Kutokana na hali hiyo ilibidi mkataba huo kusainiwa na nchi nne tu za Afrika ya Mashariki, Kenya, Uganda, Burundi na Rwanda hivyo kuiacha nafasi ya saini ya Tanzania kubakia wazi.kwa nini sasa ibaki wazi na nyinyi munapenda muungano udumu muungano sijuwi kwa nini musi sign.......?
Katibu Mkuu wa Baraza la Mawaziri wa Afrika Mashariki, Stragomena-Tax Bamwenda alisema jambo hilo ni nyeti, lakini akaweka bayana kuwa ujumbe wa Tanzania utapaswa kutoa taarifa kwa baraza kufafanua msimamo wao.
Naibu Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki wa tanganyika ((Tanzania)), Lazaro Nyalandu aliweka wazi kwamba suala la ardhi halipaswi kuwa sehemu ya EAC na ni kwanini na nyinyi mume sama wafrica sote ni dungu kwa nini sasa .....?kumbe watanganyika nyinyi ni wabaguzi wakubwa..? mbwaa nyie.Alionya kwamba kuna mazingira yanayoashiria kuwa baadhi ya wajumbe wa nchi za jumuia hiyo wamekuwa wakiangalia ardhi ya Tanzania kwa jicho la husuda.na nyinyi je mumeingali zanzibar na munaiangali zanzibar na mutaingalia zanzibar kwa jicho ngani wanafiki wakubwa m/mungu anawaubuwa kila kukicha.mumeifisidi zanzibar na kuihusudu na majicho yenu ya husuda sasa EAC inawajiya nyinyi munasema inawangalia na jicho la husuda hahahahahahahahahahah
Mbunge huyo wa Singida Kaskazini alisema tanganyika ((Tanzania)) ina ardhi kubwa ambayo inawapa nafasi tanganyika ((Watanzania)) kuchagua eneo la kwenda kuishi.Lakini akasisitiza kuwa ardhi hiyo lazima ibakie kwa ajili ya  tanganyika((Watanzania)) na vizazi vijavyo.
tanganyika((Tanzania)) imekuwa ikilalamikiwa na baadhi ya wanachama wa Jumuia kwa msimamo wake kuhusu ardhi hivyo kukwamisha juhudi za kuimarisha EAC.hahahahahahahahahaha nacheka sanaa hahahahahahahahahahahahahahahahaahahahhahahahahahahaha wanafiki nyie ahahahahahahahahahaha

MIAKA 50 YA UHURU WA TANGANYIKA NA HOSTORIA YAO YA KUIYUWA ZANZIBAR YETU

WAMAA KATALUHU WAMAA SWALAABUHUU
Padri Privatus Karugend
Miaka 50 ya uhuru wa Tanzania
Padri Privatus Karugend
TUNAPOSHEREHEKEA miaka 50 ya uhuru wetu((sio wetu bali ni wenu nyinyi watanganyika)) ni wakati mzuri wa kuwakumbuka mashujaa waliopigania uhuru wa taifa letu((sio taifa letu bali taifa lenu nyinyi watanganyika)) na ni muhimu pia kuwakumbuka wale wote waliochangia maendeleo ya taifa letu((sio taifa letu ni taifa lenu nyinyi watanganyika)) mara baada ya uhuru hadi leo hii.(je padri utawambiya kuwa waliopinganiya uhuru wa tanganyika walikuwa ni waislamu....?na sio nyerere kama mulivyowadanganya kwenye vitabu....?vya shule hahahahahaha)Kumekuwepo na michango mingi ya watu binafsi, mashirika ya dini na mashirika yasiyokuwa kiserikali. Wote hao wamekuwa wakichangia kuijenga Tanzania yetu.((sio tanzania bali ni tanganyika maana kama ni tanzania kwa nini zanzibar imekuwa mbovu na kunuka kama uvundo na ni nchi mulio ungana..?)) Historia hii ya miaka 50 ya uhuru wetu((sio wetu wenu watanganyika)) ni mradi wa pamoja uliotekelezwa na Watanzania wote((sio watanzania mbali ni watanganyika)) na utaendelea kutekelezwa na wananchi wote((wa tanganyika lakini zanzibar hatuto tekeleza maana tunataka nchi yetu ya zanzibar ijitenge na nyinyi watanganyika muwe na yenu na sisi tuirudishe zanzibar yetu)) miaka mingine hamsini na kuendelea.Ingawa uhuru wetu((sio uhuru wetu maana zanzibar haiko huru tanganyika inaitawala kwa nguvu za jeshi la JKU na FFU)) ni mradi wa pamoja ni vema kutambua mchango wa makundi mbalimbali. Katika makala hii na nyingine zitakazofuata nitajadili mchango wa harakati wa mashirika yanayotetea usawa wa jinsia na ukombozi wa wanawake kimapinduzi katika kipindi cha miaka 50 ya uhuru wetu.((kama kweli ukombozi wa wanawake basi raisi mstafu mkapa ashatakiwe kwa kupeleka jeshi ktk kisiwa cha PEMBA kuwanajisi wanawake na wasichana ndio tutajuwa kweli ni ukombozi.))
Mashirika haya yamefanya mambo mengi ya kutetea haki za binadamu, usawa wa jinsia na ukombozi wa mwanamke kama tutakavyoshuhudia kwenye makala hizi.Mfano kusaidia kuiweka sahihi historia ya taifa letu. Tumekuwa tukisikia majina ya wanaume bila kutajwa wanawake katika historia ya kupigania uhuru wa taifa letu lakini kwa kazi iliyofanywa na TGNP (Mtandao wa Jinsia Tanzania)((sio tanzania ni tanganyika)) wa kutafsiri katika lugha ya Kiswahili utafiti wa Susan Geiger juu ya Wanawake wa TANU.TGNP wamehakikisha kitabu hiki kinasambazwa na kusomwa na wengi, kumeleta mwanga mpya wa ukweli wa Wanawake kushiriki kikamilifu katika kupigania uhuru wa taifa letu.((sio letu lenu nyinyi watanganyika)) Huu ni mchango mkubwa.Inawezekana hata mtandao huo hawautambui mchango huo maana daima tunaelekeza nguvu zetu kwa mambo makubwa ya dunia hii na kusahau maisha ya siku kwa siku yanayotuzunguka. Baada ya uhuru mfumo dume ulishika hatamu, historia ya wanawake waliopigania uhuru ikasahaulika na kufunikwa.
Marehemu Susan Geiger ni msomi mwanaharakati ambaye alifundisha masomo ya Kiafrika na yale ya Jinsia katika Chuo Kikuu cha Minnesota/Twin Cities, huko Marekani kwa muda wa miaka mingi. Alikuja Tanzania((sio tanzania tanganyika)) kwa mara ya kwanza akiwa mwalimu wa kujitolea katika miaka ya 1960. Baadaye aliendelea kurudi katika nyakati tofauti katika kipindi chote cha maisha yake.Kazi yake kubwa ya utafiti ilikuwa juu ya historia ya uchifu wa Wachaga. Utafiti huo ndio uliokuwa chimbuko la kujipatia Shahada ya Udaktari wa Falsafa. Baada ya hapo alifanya utafiti mwingine wa makusanyo ya wanawake wanaharakati wapigania uhuru.Susan alikuwa mwanaharakati aliyejitolea kwa michango ya hali na mali hadi mwisho wa maisha yake. Alitoa mchango mkubwa kwa wanamtandao wa masuala ya jinsia hapa nchini ili waweze kuendeleza shughuli zao.Utafiti wake juu ya wanawake wa TANU, uliibua mengi yaliyokuwa yamefunikwa. Mbali na Bibi Titi Mohamed, mwanamke anayetajwa kwa mbali katika harakati za kupigania uhuru wa taifa letu. Kuna majina ya wanawake wengi waliojulikana kama “Wanawake wa TANU” waliopigana kufa na kupona kulikomboa taifa letu. Kufuatana na ushuhuda wa wanawake wa TANU, ni kwamba chama hiki kilisimikwa na wanawake, kama alivyonukuliwa Bi Mashavu binti Kabonge kutoka Tabora. “Nikwambie ukweli, wanawake ndio walioleta TANU. Ukweli ni kwamba wanawake ndio waliofanya hivyo. Wanaume wengi waliogopa kufukuzwa kazi. Waliambiwa na waajiri wao kwamba yeyote atakayejiunga na TANU atafukuzwa mara moja…. Lakini wanawake walikuwa mashabiki wa nguvu wa TANU na wengine waliachika kwa sababu ya shughuli zao za siasa.”Mashavu binti Kabonge, ni kati ya wanaharakati wanawake wa Dar es Salaam, waliopigana kufa na kupona kuleta uhuru wa taifa letu, lakini hawatajwi wala kukumbukwa.Hivyo tunaposherehekea miaka hamsini ya uhuru wetu((sio wetu wenu nyinyi watanganyika)) kwa vile TGNP imetusaidia kuyafufua baadhi ya majina ya wapigani uhuru hawa ni bora kuwakumbuka na kuwaenzi.Pia ni wakati kuendeleza mapambo ya mfumo dume ambao ni hatari kwa mambo mengi hadi kuifuta historia. Ni wazi majina ya wanawake hawa waliopigania uhuru wa taifa letu yamefunikwa na mfumo dume! Hakuna maelezo mengine!Mbali na Mashavu binti Kabonge, kuna majina mengine mengi ya wanaharakati wanawake wa Dar es Salaam: Tatu Binti Mzee, pamoja na Bibi Titi Mohamed.Tatu Binti Mzee alikuwa mmoja wa wajumbe wanawake wa kwanza katika chombo muhimu cha maamuzi, yaani, Kamati Kuu ya Chama.Halima Hamisi, huyu naye ni mpambanaji wa kuleta uhuru, katika utafiti wa Susan, ananukuliwa akisema: “ Tulitembea kwa miguu siku nzima bila chakula.“Ukichukua chai nyumbani na ukijaliwa kupata karanga, unanunua. Wakati mwingine tuliweza kupata fedha za chakula kutoka ofisi ya TANU, lakini ilibidi wapige hesabu kwa makini….” Wanawake wengine wa Dar-es-Salaam, walioshiriki harakati za kuleta uhuru na majina yao yamefunikwa na historia ni: Salima Ferouz, Binti Kipara, Mwasaburi Ali, Fatuma Abdallah na wengine wengi ambao watafufuliwa na tafiti nyingine zitakazofanyika kwa kuchochewa na hii ya Susan. Katika utafiti wa Susan, Salima Ferouz, ananukuliwa akisema: “ Sisi wanawake tulikuwa na nguvu… tuliongoza njia kwa sababu ya uonevu wa watoto wetu na jinsi tulivyowekwa ndani… tulifanya kazi pamoja, tukajiunga na Kitengo cha wanawake na kutumikia TANU, tukichangisha fedha na kuwahamasisha wengine wengi wajiunge..”Hata mikoani kulikuwa na wanawake walioshiriki harakati za ukombozi wa taifa letu. Kule Kilimanjaro kulikuwa na Halima Selengia Kinabo, Mwamvita Salim, Zainab Hatibu, Morio Kinabo, Violet Njiro, Elizabeth Gupta, Kanasia Tade Mtenga, Natujwa Daniel Mashamba na Lucy Lameck.Hata kule Mwanza kulikuwa na wanaharakati wanawake waliopigania uhuru wa taifa letu, lakini historia haiwakumbuki tena. Wanawake hao ni: Agnes Sahani, Aziza Lucas, Tunu Nyembo, Halima Ntungi, Mwajuma Msafiri, Pili Juma, Mwamvua Kibonge, Zuhura Mussa na Chausiku Mzee.Ni wazi wako wanawake wengine wengi walioshiriki harakati za kuleta uhuru wa taifa letu,((sio letu lenu nyinyi watanganyika)) ni kazi ya Mashirika yanayotetea usawa wa jinsia na ukombozi wa mwanamke kwa kushirikiana na Watanzania wanaopenda kuweka kumbukumbu sahihi kuendeleza utafiti na kuibua majina mengine ya wanaharakati wote walioshiriki kuleta uhuru wa taifa letu.Tusitake kusherehekea kwa kuimba, kunywa na kucheza bila kuiandika historia sahihi ya taifa letu.Ni lazima tujiulize tumeteleza wapi? Kama huko nyuma tuliweza kuendesha harambee ya kuchangia harakati za mapambano, shughuli zote zikaendelea bila misaada ya kutoka nje. Mapato yote ya nchi yakiwa mikononi mwa mkoloni.Inakuwaje sasa wakati tumeshika mapato ya nchi mikononi mwetu, tunaendelea kuomba misaada ya kujenga vyoo na vyandarua....?((swali zuri sana mulize raisi wenu mkapa na kikwete na mizingo pinda pesa wanazipeleka wapi na hali watanganyika ni masikini lakini wao hata wakistafu bado wana mamillioni ya biashara tafauti waulize usiogope.)) Uwezo wa kujitegemea uliokuwa miongoni mwa wananchi wakati wa kupigania uhuru umekwenda wapi?((kwenye tumbo la nyerere na watu wake na mkapa na watu wake na sasa ni kikwete na watu wake nakupa jibu hilo))Tulipigania uhuru wa kisiasa, ili tupoteze uhuru wa kujitegemea na kujiamulia mambo yetu wenyewe?((ndio wewe hujuwi na sio tu hapo tanganyika bali wakatuvamia na sisi zanzibar pia tusiweze kujiamuliya wenyewe na kujitawala mpaka leo mkoloni mweusi tanganyika munatukandamiza wazenji natushasema hatutaki muungano hatutaki muungano hatutaki muungano na nyinyi watanganyika VIKAPTURA,MACHOGOOO,je munatusikia hamutusiki na ndio kwanza munapanga mbinu zakutumaliza.maasa sasa munatuleteya mswaada feki kwanza muungano feki na sasa mswaada feki)) Ukipokea misaada, ni vigumu kukwepa masharti yake!((munajuwa leo hayooo....? ))
Makala hii ni mwanzo mzuri wa kuangalia mchango wa mashirika yasiyo kuwa ya kiserikali yanayoshughulikia usawa wa jinsia na ukombozi wa mwanamke.Swali la kujiuliza ni je, kama wanawake walikuwa mstari wa mbele wakati wa kupigania uhuru wetu, ilitokea nini wakawa mstari wa nyuma baada ya uhuru?((liulize kanisa utapata jibu kamili maana wewe menyewe unafanya kazi kanisani au sio.....?   ))
Wanawake walichangisha fedha za kuendesha mapambano, walifanya kazi kwa nguvu kupata fedha, walipika maandazi na wengine walifanya kazi za kujidhalilisha ili wapate fedha za kukiendesha Chama cha TANU. Mapambano ya kuleta uhuru hayakutegemea misaada kutoka nje.Uwezo mkubwa wa kujitegemea ulioongozwa na wanawake ulikwenda wapi baada ya uhuru kufikia hatua ya kutafuta fedha kutoka nje ili kuendesha “ Miradi” ya kuwakomboa wanawake wa taifa letu?((mulize raisi mstafuu mkapa na watu wake na sasa kikwete na mizingo pinda anawapinda tu wanawake na watanganyika wote bila nyinyi kujuwa kama munapindwa)) Ni lazima kutafakari kwa kina wakati tukisherehekea miaka hamsini ya taifa letu.((sio letu ni lenu nyinyi watanganyika tu maana zanzibar ilipata uhuru 1963 na nyinyi watanganyika mulipata uhuru 1961 fanya hisabu ninani anaitimiza miaka 50 ya uhuru nyinyi watanganyika au sisi wazenji au sote na kama ni sote kivipi maana sisi tumepata uhuru 1963 na nyinyi uhuru wenu 1963 sasa vipi tushereke pamoja .....?

Wednesday, November 23, 2011

TAARIFA YA MAANDAMANO YA KUPINGA MUUNGANO NA ZANZIBAR KUWA NCHI HURU

UHURU WA NCHI YETU YA ZANZIBAR KWANZA,KUJITAWALA WENYEWE KWANZA,ZANZIBAR KWANZA TUSHIKANE SOTE WAZANZIBAR WALIO NJE NA TULIOKUWEPO HAPA ZANZIBAR PIA EKA PEMBENI KILA KITU TUJIKOMBOWE KWANZA KATIKA MIKONO,DOMO,JITUMBO,MIKUCHA YA WAKOLONI TANGANYIKA
Kundi la Wazanzibari leo hii imefika ofisi za UN Mjini Zanzibar na kuongozwa na Rashid Salum Adiy kutaka Zanzibar itambuliwe kuwa ni nchi na kwamba Muungano si halali
TAARIFA KWA WAZANZIBARI POPOTE PALE WALIPO JUU YA SUALA LA MAANDAMANO YA KUPINGA MUUNGANO WA KISIASA WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR
Uwongozi wa ZARFA unawaarifu Wanzanzibari wote kwamba matayarisho ya maandamano yanaendelea. Hivyo kila Mzanzibari anaeipenda Nchi yake ajitayarishe kushiriki kwa hali yoyote pale siku itakapo tolewa taarifa rasmi ya maandamano yatakayokuwa na mfumo maalumu endelevu kama ifuatavyo:-
  1. Polisi wakikubali kuja kutulinda yatakuwa ni maandamano ya amani na yenye mpango maalum.
  2. Polisi wakikataa kuja kutulinda na wakikusudia kuja kuvunja pia yatakuwa ni maandamano ya amani na yatakuwa na utaratibu maalumu katika kufanyika kwake ndani ya Zanzibar.
  3. Wazanzibari waliyo nje ya nchi watakuwa na utaratibu maalum wa kuunga mkono siku hiyo namna tutakavyo waarifu Wazanzibari nyote tunakuombeni muwe na subira kidogo ili tuje tufuzu.

Monday, November 21, 2011

NDUGU ZANGU NYOTE WA HAPA ZENJI NA NJE YA ZENJI MWENYE MACHO HAMBIWI TIZAMA


JE KWELE HUYU ATAWASIKILIZA WAZANZIBAR AU ATAMSIKILIZA ALIYEMUWEKA KWENY URAISI.......................?

KASHEREKEYA KUIVUNJA SUDAN IWE NCHI BILI TOFAUTI
ILA KAKAZA KAMBA KUITAWALA NCHI YETU YA ZANZIBAR
 










TANGANYIKA NA ZANZIBAR


SITTA NA MAJINAMIZI WENZAKE HOI BEN TABANI NCHINI ZANZIBAR

 “Hakuna Sheria yoyote itakayopitishwa na Bunge la Muungano ambayo itatumika Zanzibar mpaka sheria hiyo iwe ni kwa ajili ya mambo ya Muungano tu na ipitishwe kulingana na maelekezo yaliyo chini ya vifungu vya Katiba ya Jamhuri ya Muungano”.
  • Wajumbe wa Baraza wamchachafya
  • Atakiwa alete Katiba ya Tanganyika
  • Wengine wakerwa na “Uwaziri wa Rais”
Na Waandishi wetu,free Zanzibar people from mkoloni mweusi.
Katika hali ambayo haikutarajiwa, Kamati ya Marekebisho ya Katiba ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imekutana na mazingira magumu ya pingamizi juu ya Muswada inayousimamia.
Muswada huo ni ule wa Sheria ya Mabadiliko ya Katiba wa Mwaka 2011 uliowasilishwa wiki hii katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mjini Dodoma, na Waziri Celina Kombani, na pia kujadiliwa katika vikao mbali mbali vya kitaifa na vya kijamii.Kamati hiyo chini ya Mwenyekiti wake ambaye pia ni Waziri wa Afrika ya Mashariki, Bw. Samwel Sitta, ilikutana na mazingira hayo katika Semina Maalumu ya Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi la Zanzibar, iliyofanyika mwanzoni kabisa mwa wiki, ndani ya Ukumbi wa Zamani wa Baraza la Wawakilishi, Mnazi Mmoja mjini hapa.“Hakuna Sheria yoyote itakayopitishwa na Bunge la Muungano ambayo itatumika Zanzibar mpaka sheria hiyo iwe ni kwa ajili ya mambo ya Muungano tu na ipitishwe kulingana na maelekezo yaliyo chini ya vifungu vya Katiba ya Jamhuri ya Muungano”.
Ni Kifungu cha 132 (1) cha Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984 Toleo la mwaka 1995 ambacho takriban Viongozi wote wa Serikali na wa Kisiasa waliochangia katika Semina hiyo walikinukuu usoni mwa Kamati ya Mhe. Sitta.Wawakilishi walikitumia pia Kifungu hicho cha 132 (2) kinachotamka “sheria kama hiyo lazima ipelekwe mbele ya Baraza la Wawakilishi na Waziri anayehusika”.Wawakilishi walitumia Vifungu hivyo vya Katiba wakisisitiza msimamo uliochukua sura ya kushikamana miongoni mwa pande zote za kisiasa, pamoja na wenye nyadhifa za juu za Serikali, kueleza kile umma wa Wazanzibari wanachohitaji sasa.
Miongoni mwa waliolitumia jukwaa la semina hiyo ni pamoja na Waziri wa Kilimo Bw. Mansour Yussuf Himid, ambaye kwa maneno ya mkato alisema, kuja kwa muswada huo wa Mabadiliko ya Katiba ya Nchi kunaambatana na maamuzi halali ya iwapo wenye mamlaka ya kuitetea Zanzibar sasa watafanya hivyo au wataitelekeza kwa kushindwa kuinasua na ili ije kuwa lawama kwa vizazi vijavyo.Waziri wa Nchi, Mstaafu, wa Afisi ya Waziri Kiongozi wa Zanzibar ambaye pia ni Muwakilishi wa Jimbo la Kwamtipura Mjini Unguja, Bw. Hamza Hassan Juma, akitumia vifungu hivyo vya Katiba, alisema, iwe iwavyo kwa mujibu wa heshima ya kisheria, na kwamba licha ya juhudi za kuuimarisha muswada huo, kwa mashirikiano baina ya Serikali mbili, lazima ieleweke kwamba upande wa Visiwani utakuwa na maamuzi yake.Alisema kwa minhaji hiyo hapatakuwa na nafasi ya kuburazana tena wala kuudhoofisha upande huru wa Jamhuri ya Muungano kama ilivyokuwa hapo kabla, yaani upande wa Zanzibar.Naye Mwakilishi wa Mji Mkongwe wa Zanzibar, Bw. Ismail Jussa Ladhu alisema, pamoja na ulazima wa kuurejesha Muswada huo ili Wazanzibari nao wachukue maamuzi yao ijapokuwa kwa utaratibu wa thuluthi mbili za Wajumbe wa Baraza hilo, lakini pia wao kama Wawakilishi wa wananchi wanawasilisha hoja na matakwa ya msingi ya watu wa Visiwa vya Unguja na Pemba juu ya Muswada huo.Miongoni mwa hoja hizo ni pamoja na kuitaka Kamati ya Bw. Sitta na mamlaka zake kwanza kuitafuta Katiba ya Tanganyika ili kuweka mazingira fasaha ya kujadili Muungano wautakao sasa wananchi wa Zanzibar na huenda Tanzania kwa ujumla.Waliochangia na kusisitiza hoja hizo ni pamoja na aliyekuwa Mwenyekiti wa Baraza la Wawakilishi la Zanzibar , Bw. Ali Mzee Ali, na pia Katibu wa sasa wa Baraza hilo , Mwanasheria Ibrahim Mzee.Pamoja na hayo katika hoja iliyoleta hisia za aina yake ni pale kwa masikitiko na hali ya kusononeka alipoibuka Mjumbe wa Baraza la Wawakilishi wa Kuteuliwa na Rais wa Zanzibar , Bi. Asha Bakar Makame.Mwakilishi huyo ambaye aliwahi kushika Wadhifa wa Waziri wa Habari, Utamaduni na Vijana wa Awamu ya Tano ya Serikali ya Zanzibar, alisema ni jambo la kuhuzunisha na ambalo si rahisi kuzituliza nyoyo za umma wa Wazanzibari, kumuona Rais wa Nchi huru ya Zanzibar akiapishwa kushika cheo cha uwaziri tena hata usio na wizara maalumu ya Jamhuri ya Muungano, alisema “hili linauma sana”.Kwa ujumla kuwapo kwa hoja hizi na namna Viongozi na Watendaji mbali mbali wa Serikali ya Umoja wa Kitaifa, walivyosimama juu ya msimamo mmoja wa kujali haki na utaifa wao, ni kama kwamba kulipelekea Mhe. Sitta na Kamati yake kuondoka na nyoyo zilizosinyaa, huku wakiamini kuwa sasa Wazanzibari hawatanii katika kuidai nchi yao

Saturday, November 19, 2011

MUUNGANO,MSWAADA NI UKIMWI NA KITANZI CHA KUWAUWA WAZENJI


TUKIUKUBALI MSWAADA WAZENJI TUTAKUWA HIVI
SIKU ZIJAZO M/MUNGU ATUNUSURU

NA TUKIUKUBALI MUUNGANO BASI TUJUWE NDIO
TUNAJIMALIZA WENYE KABISA JE WATOTO WETU
NA WAJUKU ZETU WATAISHIA UKIMBIZINI MPAKA
LINI....?
Muungano huu haujadiliki kwa sababu haupo. Kwa hiyo kuulinda kwake ni kuweka hijabu nzito baina ya kitu ambacho hakipo na akili ambazo zikiachiliwa kuujadili zitakhitimisha kuwa haupo! Na ndio maana tumeletewa tuujadili muswada wa “Sheria kwa ajili ya kuunda Tume ya Mabadiliko ya Katiba kwa madhumuni ya kuratibu na kukusanya maoni ya wananchi juu ya Katiba…” Na maoni ya wananchi yatakusanywa wakati tayari kazi ya kuusambaratisha uongozi wa CUF na CCM uliosimamia Maridhiano imeshaanza kufanyiwa kazi.Tayari kuna viongozi wenye nyadhifa za juu ndani ya uongozi wa CUF ambao wameshapangiwa na wameshapangwa wauchukue uongozi kutoka waasisi wa Maridhiano, Maalim Seif, Ismail Jussa na wenzao. Yakifaulu mapinduzi hayo (na Inshaalla hayotafaulu), na uongozi wakapewa mabwana X na X, basi tayari mpasuko wa kijamii uliozibwa na Maridhiano na Katiba ya Zanzibar utarudi tena Zanzibar .Wapangaji (na Allah anapanga, na Allah ni Mkubwa wa Wapangaji) wanaona iwapo mapinduzi hayo yatafaulu, basi asilimia kubwa ya wapiga kura ya maoni juu ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano itakwenda arijojo. Kwa hiyo kwa upande wa CUF Zanzibar, litapatikana nofu zuri la “HAPANA.”
Pia tukumbuke mwakani 2012 kutafanyika uchaguzi mkuu wa CCM na hapo pia panatakiwa lizibwe pengo litakalowachwa na Muasisi wa Maridhiano na wenzake, Rais Mstaafu Dkt. Amani Abeid Amani, ili upatikane uongozi mpya chini ya Rais wa Serikali ya Umoja wa Kitaifa, Dkt Ali Mohammed Shein.
Lengo ni upatikane uongozi mpya chini ya Dkt Shein utakaoyatumikia malengo yale yale ambayo yatatumikiwa na uongozi mpya ndani ya Chama cha Wananchi (CUF). Safari hii wanataka kufanya Mapinduzi Kamili ndani ya CCM Zanzibar ifikapo 2012. Nofu jengine hilo la kura za maoni ya wanachama wa CCM linasubiriwa kutetemeshwa miguu na kuvoti “HAPANA.’
Ni rahisi kuona pia kuwa kutakuwa na njama za kuvionyesha vyama vya CUF na CCM udhaifu wa chama cha upande wa pili, ili viongozi ambao wanataka kubebwa juu zaidi waone fursa yao ya kufika wanapotaka kufika itakapowadia 2015. Kumbe zote hizo ni khayali za Dajjal za kutaka kuirudisha nyuma Zanzibar ili ishuke zaidi na ikae chini ya tumbo la chatu.Ukiangalia kwa undani zaidi utaona kuwa kwa ilivyosukwa na Tanzania Bara, huu muswada wa 2011 ni siafu mweusi, aliyepo chini ya jiwe jeusi, ndani ya giza nene. Ni udanganyifu mtupu ambao hakuna mwenye uwezo wa kuupanga isipokuwa Dajjal mwenyewe na kwa hiyo hata ukifaulu hautodumu, lakini utaimaliza Zanzibar moja kwa moja. Na sisi sote wenye kuisoma barua hii tutakuwa tumeshatangulia alikotutangulia marehemu Janab Ali Baucha.Na ukiutupia jicho la mbio mbio muswada wa “Sheria kwa ajili ya kuunda Tume ya Mabadiliko ya Katiba… “ http://www.parliament.go.tz/bunge/docs/constituentreview.pdf” (Kiswahili kuanzia Ukurasa 27) kutokea mwanzo mpaka mwisho; na ukavichukuwa baadhi ya vifungu na baadae ukajaribu kuvitengenezea mkufu, basi utaona wazi kuwa sonara wa mkufu huo ni yule yule aliyemo ndani sifa kumi za alama za siku ya mwisho – bingwa wa kudanganya na kupoteza – Dajjal.
Wazanzibari 999 kati ya 1000 wamekabiliwa na hatari ya kudanganywa kwa sababu yule siafu mweusi, chini ya jiwe jeusi, ndani ya giza totoro, hawamuoni, na kwa hiyo hatari kubwa iliyopo mbele hawaioni. Wakulaumiwa ni viongozi (wa dini na wa kisiasa na wa jamii) ambao wana wajibu wa kuwailimisha Wazanzibari kuwa njia iliyobakia ni kuwafuata wale vijana wa Ahlil Kahf na kuukimbia Muungano kabla kidani cha muswada hakijageuzwa kikawa kamba na kitanzi cha kuturejesha kunako Katiba ya 1977.
Kifungu (4) cha Muswada wa Sheria ya kuunda Tume ya Mabadiliko ya Katiba kinasema: “Endapo wingi wa kura ya maoni utakuwa ni “HAPANA”, Katiba ya Jamhuri ya Muungano ya mwaka 1977, itaendelea kutumika.” Maana yake tutarudi kule kule kwenye miaka 47 iliyopita na kwa hiyo itakuwa bora tukajitayarisha kushereherekea miaka 50 ya Muungano wa Jamhuri ya Tanzania bila ya Jamhuri ya Watu wa Zanzibar na bila ya Jamhuri ya Tanganyika . Waladhaa Liin!!Na kama wingi wa kura za maoni ya Wazanzibari utakuwa “NDIO” kifungu cha 27 (2) kimeshatuwekea wazi: “Katika utekelezaji wa kifungu kidogo cha (1), Tume ya Uchaguzi Zanzibar itaandaa, kuendesha na kusimamia upigaji wa kura ya maoni, kisha itawasilisha kwenye Tume ya Taifa ya Uchaguzi matokeo ya kura zilizopigwa Tanzania Zanzibar kwa ajili ya kutangazwa.”Tuna njia mbili mbele yetu Wazanzibari. Ya imma tukubali kuanzia hivi sasa kuwa washatumaliza na “mpira umekwisha” na tuendelee kwenye 100% Tanzania . Au tuamue kuiunga mkono 100% ZANZIBARI na tuiongeze miba ya yule myama aliyemezwa na chatu bila ya kumuuwa kwanza na Zanzibar ilipasue tumbo lake, ili ipate haki yake ya kuishi duniani.Na madam ni dhahiri kuwa Tanzania Bara haitaki kututapika, basi ni dhahiri Zanzibar itabidi ijitapishe au itakufa ndani ya tumbo la Muungano au ndani ya kisima cha Bahari ya Hindi.Sote kesho tutakuja kuulizwa tuliifanyia nini Zanzibar na vizazi vitakavyokuja . Uamuzi ni wa kila mmoja wetu kujinusuru na huu Muswada wa Dajjal.

Friday, November 18, 2011

HUU NI WITO KWA WAZENJI-NJE NA WAZENJI-NDANI,KUUNGANA NA DUNGU ZETU WA COPENHAGEN NA ULIMWENGUNI KOTE AMBAKO KUNA WAZENJI KUADHIMISHA SHEREHE ZA UHURU WA NCHI YETU YA ZANZIBAR IFIKAPO TAREHE 10-DICEMBER.


HII NDIO BENDERA ILIYO PEPEA SIKU YA UHURU WA ZANZIBAR
NA NDIO ILIYO PEPEA KULE U.N.MJINI NEW YORK
IGAWA HISTORIA IMEPOTOSHWA NAKUSEMA KUWA NI BENDERA YA
SULTANI HUU NI UZUSHI NA MBINU YA KUTAKA KUTUTAWALA KAMA
ALIVYO FANYA GADDAFI NA WATANGANYIKA NDIVYO WALIVYO FANYA.

SIKILIZA HUTUBA YA WAZIRI MKUU WA KWANZA WA ZANZIBAR
AKIWAKILISHA ZANZIBAR NDANI YA U.N.1963 WAKATI HUO
TANGANYIKA HATA HAITAMBULIKI U.N.ZANZIBAR TAYARI

TAREHE 10-MWEZI 12-MWAKA 1963 ZANZIBAR ILIJULIKANA NI NCHI HURUKABISAA ssalam Alaikhum Wazanzibari mulioko nje na Wazanzibari muliko ndani ya Visiwa vyetu vya Unguja na Pemba.Ama sina budi ila kuwaomba nduguzangu wote wa kike na kiume kusimama pamoja na kuikumbuka siku ya tarehe 10.12.1963.
siku hii ndio siku azimu ya kukumbukwa milele, wakati Nchi yetu ya Zanzibar ilipata uhuru wa kujilinda wenyewe kutoka kwa British Government.
Siku hii mdio siku tuliojiunga na UN na bendera ya taifa Dogola Zanzibar ikapandishwa juu ya Mlingoti kule Nchini New York.
Tukumbuke Nchi haiwezi kuwa Nchi kamili kama itatupa Historia yake. Tuna kila njia yakuadhimisha siku hii adhimu na kuwaelimisha watoto wetu wapi:
Tumetoka.
Tulipofika.
Na wapi Tunakoelekea.
Nduguzetu wa Denmark Copenhagen walifanya kumbukumbu hiyo mwaka jana 2010. Na mwaka huu maandalizi yapo njiani kuimarisha siku hii kwa kutayarisha Exhabition kubwa.
Mipango walionayo nduguzetu wa Copenhagen nikuchukua picha za Memories na matukio yote yaliopita na kuyafanyia Maonyesho.
Kila mtu mwenye Mkeka wa Chole, Mkoba wa ukili, picha za Zanzibar kabla ya Uhuru na Wakati wa Uhuru tunaomba atuletee hapa kwenye free-zanzibar people from mkoloni mweusi au awasiliane na Kiongozi wa Mzalendo.
Tunataka siku hii ikumbukwe na Wazanzibari wote Duniani na tunaomba michango yenu ya picha, ngoma za kibati, Msewe, Bomu, na ngoma nyengine zote zinazowakilisha mikoa mitano ya Ungbuja na Pemba.
Tukumbuke hatuwezi kuwa Wazanzibari wa kweli kama hatutoikumbuka siku hii. Shime tushikane bega kwa bega tuilinde Nchi yetu na Identity yetu.mpaka sasa tushajuwa kuwa 1964 sio siku ya uhuru bali ni siku ya msiba wa kuliwa dunguzetu na kunyanganywa nchi yetu na mkoloni tanganyika sasa lazima tushikane letu liwe moja nchi kwanza zanzibar kwanza natukishakana tutashinda.
Mungu Ibariki Zanzibar.
Wabariki Wazanzibari wa ndani na nje ya Visiwa vyetu.
Mungu ubariki Umoja Amani na Utulivu ulioko ndani ya Visiwa vyetu. Amin

FREE ZANZIBAR FROM MKOLONI MTANGANYIKA


nyerere-karume-b03
Assalam Alaykum,
Miaka 47, Maraisi 6 kutoka Zanzibar, wameshindwa kuipapatuwa Zanzibar. Nifahamisheni vipi Rais Dkt Ali Mohammed Shein ataweza kuikomboa Zanzibar?NA YEYE MAJUZI TU KATUAMBIYA WAZI WAZI KUWA NILIPOAPISHO KUWA RAISI NILIAPA NITAULINDA MUUNGANO JE HUYU KWELI NI WAKUMTEGEMEYA KUTUKOMBOWA KTK MAKUCHA YA WAKOLONI WATANGANYIKA.....? Hivi sasa Tanzania Bara imekuja na solution moja tu ya kulitatuwa jinamizi la Muungano. Kuifanya Zanzibar igeuke iwe kama Mombasa ndani ya Kenya kwa kupitia Muswada wa Katiba na kwa ridhaa za Wazanzibari. Hakuna njia mbadala isipokuwa Zanzibar kujitenga na kujitangaza Jamhuri ya Zanzibar. Tatizo kubwa ni kuna baadhi ya Wazanzibar wana khofu mishahara italipwa na nani na nafasi zao za baadae zitakuwaje. Hawa ndio wa kutolewa khofu. Kama inavyosema Quran, shetani anamtia binaadamu khofu ya umaskini. Bila ya kuinusuru Zanzibar hapa ilipofika hakutokuwa na fursa nyengine ya kuikomboa ndani ya uhai wetu au hata wa wajukuu zetu. Zanzibar ina utajiri wake wa mali asili na watu wake ambao wametapakaa dunia Zanzibar. Kama hatukufanya hivyo basi tujitayarishe na mikakati ambayo tayari inayafanyiwa kazi na wapangaji kutuvurugia yote tulioyafikia mpaka hivi sasa ili tushindwe kuendelea na Agenda ya Zanzibar ili wao waweze kuendelea na Agenda ya kuulinda Muungano.
Bara wanataka lazima Muungano uhifadhiwe mpaka ifikapo 2015, na mpaka itakapofika 2020, na mpaka itakapofika 2025, na mpaka itakapofika 2030…................................................................................
HAKUNA TENA KESHO WALA MWAKANI WALA KATIBA NCHI ZNZ TUIKOMBOWE KTK MIKONO YA HUU MKOLONI MTANGANYIKA WAKATAKA WASITAKE WAITOWE NCHI
                                                              ZANZIBAR HURU

Wednesday, November 16, 2011

TAARIFA RASMI YA MAANDAMANO NDANI YA NCHI YATU ZANZIBAR NA MULIOKUWEKO NJE YA ZANZIBAR PIA



WAZANZIBARI WOTE WALIOPO TANZANIA NA NJE YA NCHI MNATAARIFIWA KUHUDHURIA MAANDAMANO YA AMANI KUDAI UHURU WA NCHI YETU YA ZANZIBAR NA MAMLAKA YETU CHINI YA UDHALIMU, YATAKAYOFANYIKA SIKU YA IJUMAA TAR 18 NOV.2011 SAA 7 MCHANA YATAANZIA VIWANJA VYA KOMBA WAPYA KUMALIZIA VIWANJA VYA MAISARA SHIME KILA MZANZIBARI KUFIKA NA UJUMBE WAKE NA MULIOKUWEKO NJE KUTANANENI NA MWENDE KATIKA JENGO LA OFISI YA U.N. KTK KILA NCHI HUU NDIO UHURU WETU WAZANZIBAR TUSIWACHIYE HAWA WAKATUMEZA NA KATIBA YAO WANAYO ILETA WAZANZIBAR AMKENI AMKENI AMKENI AMKENI HAKUNA KITU KIZURI KAMA MTU KUWA NA KWAO AMKENI .

Tuesday, November 15, 2011

DR SHEIN WEWE RAIS AU TOTO TOTOVU LINALO DEKA TANGANYIKA...?

Jee Jk akija Zanzibar ya yeye atakuwa ni Waziri kwa vile yuko Zanzibar? HIVI karibuni, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Mohamed Shein, alizungumza na wahariri wa vyombo vya habari mbalimbali nchini mjini Zanzibar ambapo, pamoja na mambo mengine, alizungumzia lawama zinazoelekezwa kwake kwa kula kiapo kuwa mmoja wa wajumbe wa Baraza la Mawaziri la Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kwamba inadhalilisha hadhi na nafasi ya Rais wa Zanzibar na Serikali ya Watu wa Zanzibar kwa ujumla.Akionekana dhahiri kukerwa na lawama hizo, kwa sauti ya ukali na ghadhabu kubwa, Dk. Shein alisema: “Nilipoapishwa kuwa Rais wa Zanzibar, niliapa kuilinda Katiba (ya Muungano) na nitailinda kwa nguvu zangu zote nikiwa kiongozi.”SAWA LILINDE KANISA NA KUWAMALIZA WAZANZIBAR GADDAF NA NYERERE WAKO WAPI HII LEO....?Alifafanua kuwa, Rais wa Zanzibar anaingia kwenye baraza hilo kulinda maslahi ya Zanzibar katika Muungano. HATUTAKI KULINDWA NA MUUNGANO TUNATAKA UTUTOWE KTK MUUNGANO. na anabaki Rais wa Zanzibar si kama waziri asiyekuwa na wizara maalumu wanavyomtuhumu Wazanzibari:“Mbona mimi siyo wa kwanza kuapa….Amani Abeid Karume (mstaafu) alifanya hivyo, tena mara mbili (2000 na 2006) na mimi nilishuhudia na hakukuwa na malalamiko;JE AMANI ABEID KARUMA AKIJIRUSHA KUTOKA GHOROFA YA 7 MICHEZANI NA WEWE SHEIN UTAJIRUSHA PIA KWA KUWA AMANI ABEID KARUMA KAFANYA.....? iweje kwangu miye?” alihoji Dk. Shein.Ibara ya 54 (1) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano ya 1977 inatamka: “Kutakuwa na Baraza la Mawaziri ambalo Wajumbe wake watakuwa ni Makamu wa Rais, Waziri Mkuu, Rais wa Zanzibar na Mawaziri wote”.Wasomaji wangu na wale Wazanzibari (wachache?) wanaomtuhumu Dk. Shein kwa kitendo hicho, bila ya kupatiwa ufafanuzi makini, wanaweza kuendelea kuhoji kupata majibu ya maswali kama: Je, ni sahihi kwa Rais wa Zanzibar kula kiapo cha uwaziri chini ya Katiba ya sasa ya Muungano? Je, viapo vya Rais wa Zanzibar aliyemtangulia vinaweza kuhalalisha kosa (la sasa kama lipo) la Rais wa Zanzibar kula kiapo hicho kuhalalisha kinyume cha matakwa ya Muungano?Nianze maelezo yangu kwa swali hili: Nini msingi wa Muungano? Katiba ya Muungano inapashwa kuuona na kuuchukulia vipi msingi huo?Muungano wa Tanganyika na Zanzibar uliundwa kwa kutiwa sahihi (na waasisi wake) Mkataba wa Muungano (Articles of Union) Aprili 22, 1964 na kuridhiwa na mabunge ya nchi hizo kuwa sheria inayojulikana kama sheria ya Muungano (Acts of Union) kati ya Tanganyika na Zanzibar hapo Aprili 25, 1964, Muungano huo ukijulikana kwa jina la “Muungano wa Tanganyika na Zanzibar”. Muungano huo ulitangazwa na kuanza rasmi Aprili 26, 1964.
Dhana ya Mkataba na Sheria ya Muungano
Mkataba wa Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ni Mkataba wa Kimataifa, ambao kwake Mataifa mawili huru yalikubali kuungana kwa mambo 11 tu, chini ya masharti kadhaa (Articles of Union) pamoja na kutoa utaratibu namna Muungano huo utakavyoongozwa. Mambo hayo 11 ya Muungano na ambayo sina sababu ya kuyaorodhesha hapa, yameelezewa vyema kwenye ibara ya nne ya mkataba huo.
Moja ya masharti ya Muungano, kwa mujibu wa ibara ya 3(b) ya mkataba huo ni kuwapo kwa makamu wawili wa Rais wa Jamhuri ya Muungano, mmoja (akiwa mkazi wa Zanzibar) atakuwa mkuu (Rais) wa Serikali ndani na kwa ajili ya Zanzibar na atakuwa pia msaidizi mkuu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano katika kutekeleza shughuli za Muungano nchini Zanzibar. Huyu atajulikana kama makamu wa Rais wa kwanza na Rais wa Zanzibar.Ibara ya 6(a) ya mkataba huo inatamka bayana kuwa “Rais wa kwanza wa Muungano, atakuwa Mwalimu Julius K. Nyerere na ataongoza Serikali ya Muungano kwa kuzingatia matakwa ya mkataba, akisaidiwa na makamu wawili wa Rais, mawaziri na maofisa wengine atakaowateua kutoka Tanganyika na Zanzibar kwa mambo ya Muungano.Nayo ibara 6(b) ilimtambua kwa jina, hayati Sheikh Abeid Karume, kama makamu wa kwanza wa rais na kwa mujibu wa ibara ya 3(b) ya mkataba inayoanzisha nafasi hiyo.Mkataba wa kimataifa, kama ulivyo huu wa Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, hauwezi kutambuliwa wala kuwa na nguvu ya kisheria kuweza kutumika mpaka uridhiwe (to ratify) na vyombo vya kutunga sheria vya nchi zilizoingia mkataba huo na kuwa sheria ya nchi (municipal law) inayotambuliwa. Hivyo ndivyo lilivyofanya Bunge la Tanganyika na Baraza la Mapinduzi Zanzibar, Aprili 25, 1964 kama nilivyoeleza mwanzo, ambapo tukaweza kupata sheria ya Muungano, namba 22, 1964.
Niharakishe kutamka mapema hapa (na hili limewahi kutamkwa pia na majaji wakuu waliopita, hayati Francis Nyalali na Barnabas Samatta kwa nyakati tofauti) kwamba makubaliano ya mkataba wa Muungano ni (mhimili wa) Katiba ya Jamhuri ya Muungano na kwamba, makubaliano hayo (Articles) yanatawala na kuwa juu ya Katiba unapotokea mgongano kuhusu Muungano. Zaidi ni kusema kwamba, inapotokea kwamba kuna mgongano kati ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano au Katiba ya Zanzibar na Mkataba wa Muungano, matakwa ya Mkataba wa Muungano yatatawala. Hii ni kwa mantiki pia kwamba bila Mkataba wa Muungano hakuna Katiba ya Muungano, lakini si kinyume chake.Kwa upande wa pili, Sheria ya Muungano (Acts of Union) iliyounda Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ni hati yenye hadhi ya Kikatiba kwa sababu ndio msingi wa Muungano ambamo zinatoka taratibu na kanuni za Muungano na kupata mamlaka ya kisheria, uhalali na ridhaa ya watu kuhusu Muungano.Kwa hiyo, Sheria ya Muungano, si sheria (ya kawaida) kama sheria zingine. Na kama ambavyo Mkataba wa Muungano hauwezi kurekebishwa baada ya kutiwa sahihi na waasisi wake miaka 47 iliyopita, ndivyo ilivyo kwa Sheria ya Muungano; na ndiyo maana haina kifungu (provision) chenye kuruhusu marekebisho.Kifungu cha tano cha Sheria ya Muungano kinachohusu muundo na mambo yote ya Muungano, kuanzia mambo 11 ya Muungano, kuwapo kwa Bunge na Rais wa Zanzibar, uteuzi wa makamu wawili wa Rais na Katiba ya kwanza ya Muungano, ni muhimili na msingi mkuu wa Muungano, hivyo hakiwezi kamwe kufanyiwa marekebisho wala kubadilishwa (absolutely unalterable), na kwamba marekebisho yoyote yanayoweza kufanywa yatakuwa haramu na batili.
Haramu Rais wa Zanzibar kuwa Waziri
Tumeona, kwa mujibu wa Mkataba wa Muungano na Sheria ya Muungano (Hati ambazo haziwezi kufanyiwa marekebisho bila kukiuka matakwa ya Muungano) kwamba, makamu wa kwanza wa rais ndiye rais pia wa Zanzibar.Ndiyo kusema bila ya shaka yoyote kwamba, marekebisho ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, yaliyoanzisha utaratibu wa kumpata Makamu wa Rais kwa njia ya “mgombea mwenza”, na Rais wa Zanzibar kwa njia ya kuchaguliwa na kupokonywa nafasi ya Makamu wa Rais, badala yake akapewa ujumbe wa Baraza la Mawaziri, kinyume cha matakwa ya Mkataba wa Muungano na Sheria ya Muungano, ni haramu na batili kisheria na Kikatiba.Kwa sababu hii, Rais wa Zanzibar, Dk. Mohamed Shein, analilia na kutetea nafasi ya uwaziri yenye ubatili na kejeli ya Kikatiba kwenye Baraza la Mawaziri la Jamhuri ya Muungano.
Dk. Shein asihalalishe ubatili
Dakta Shein ameuliza: “Mbona mimi siyo wa kwanza kuapa?” Ni swali zuri, lakini ubatili hauwezi kutibiwa kwa ubatili ila kwa uhalali; lakini hapa uhalali haupo.Ubatili juu ya ubatili, kiburi na udikteta wa chama kimoja ndivyo vimeutia Muungano wetu kwenye majaribu na tufani kubwa kwa miaka yote 47 tangu uanzishwe.
Ubatili huu juu ya muundo wa Muungano umedumu na kusalimika mabadiliko yote ya Katiba, na unaendelea kudumu katika Katiba ya 1977. Shukrani kwa udikteta wa chama, kwamba wakati makada wake (hapakuwa na msomi wa sheria hata mmoja) wakitunga Katiba hii kwa “hekima” za utanashati wa kisiasa, walipungukiwa maono juu ya mfumo wa vyama vingi mbele; sasa wanakumbuka shuka wakati kumekucha na kuishia kufanya vioja kwa suala zima la mfumo huo mpya.Ni kwa sababu hii pia kwamba, joto la mabadiliko chini ya mfumo huu mpya wa siasa haliwezi kuisalimisha Katiba hii, kama juhudi hazitafanyika kuiokoa kwa kukubali mabadiliko muhimu ili kwenda na wakati, badala ya kuendeleza ukiritimba wa chama kimoja kwa ujanja ujanja, kana kwamba Watanzania ni mazuzu, hawana akili wala uwezo wa kufikiri.
Chimbuko la mparanganyiko
Chimbuko la mparanganyiko wa nafasi ya Rais wa Zanzibar kugeuzwa Waziri asiye na Wizara maalum ndani ya Jamhuri ya Muungano, ni ukitirimba wa Chama, kiburi na udikteta usiokubali mabadiliko na mageuzi halali.
Ni kwamba, kuingia kwa mfumo wa vyama vingi vya siasa nchini kulitoa uwezekano wa aina mbili visiwani ambao Katiba ya 1977 haikuuona wala kuutarajia. Moja ni uwezekano wa vyama viwili tofauti kutawala Zanzibar na kwa Tanzania Bara. Nguvu ya Chama cha Wananchi (CUF) visiwani, ilitoa tishio hilo kwa ukiritimba wa CCM; Wakajiuliza: “Inawezekanaje Seif Shariff Hamad (endapo CUF kitashinda Zanzibar), aruhusiwe kuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano kwa mujibu wa Mkataba wa Muungano na Sheria ya Muungano?”Kwa upande wa pili, pendekezo la kumwondolea Makamu wa Rais, urais wa Zanzibar (kama ilivyofanywa baadaye), lilizua chukizo kwa Wazanzibari na uongozi wa CCM visiwani kwa kuliona kama kitendo cha kumdhoofisha au kumvua hadhi kiongozi wao. Kwa mkanganyiko huu, suala la Makamu wa Rais liliahirishwa mara mbili bila kupatiwa ufumbuzi.Ili kuokoa hali (na kumzuia Sharrif asipate nafasi ya Makamu wa Rais wa Muungano iwapo angeshinda) iliundwa Tume (Tume ya Jaji Mark Bomani) haraka, haraka na kutoa mapendekezo hasi na yenye utata mkubwa (kinyume cha matakwa ya Muungano), juu ya namna ya kumpata Makamu wa Rais kwa njia ya “Mgombea Mwenza” kwa mfumo wa Kimarekani.
Yalikuwa mapendekezo hasi na yenye utata kwa sababu, muundo wa Serikali mbili kwa mujibu wa Mkataba wa Muungano, umejikita kwa Rais wa Zanzibar kwa wadhifa wake kama makamu wa rais wa Muungano, akitekeleza shughuli za Muungano visiwani kwa niaba ya Rais wa Muungano.Mara tu uhusiano huo ulipokatwa, licha ya kumuumiza Rais wa Zanzibar aliyekuwa madarakani, muundo wa Muungano ulitifuliwa, matakwa ya Muungano yakabakwa kulinda maslahi ya kichama.Hapa, niharakishe kutamka kwamba, Makamu wa Rais wa Muungano anayepatikana nje ya utaratibu au matakwa ya Mkataba na Sheria ya Muungano, si Makamu halali wa Rais kwa mujibu wa Muungano. Wakati huo huo, mkikimkiki na fukuto la wabunge 55 (G.55) la kutaka kurejeshwa kwa Serikali ya Tanganyika lilitoa tishio kwa hatima ya Muungano; na hili la Rais wa Zanzibar kupokonywa umakamu wa Rais, nalo lilisugua kidonda kwa chumvi. Lakini CCM hakikutaka kutatua mtafaruku huo wa Kikatiba kwa kuzingatia matakwa na tafsiri sahihi ya muundo wa Muungano.Badala yake, suala la Makamu wa Rais lilitatuliwa kinyemela kwa kumwingiza Rais wa Zanzibar kwenye Baraza la Mawaziri la Jamhuri ya Muungano, kama njia ya kumpooza maumivu ya majereha aliyopata.Hapa maswali mengi yanazuka: Nini nafasi na wajibu wa “mjumbe” huyu katika Baraza la mawaziri? Tunajua, wajumbe wa Baraza la Mawaziri wanawajibika kwa Bunge katika umoja wao na kwa waziri mmoja mmoja kuhusu wizara yake (collective and individual responsibility), je, Rais wa Zanzibar naye anawajibika kwa Bunge, na kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano kama walivyo mawaziri?
Katiba ya Zanzibar inayompa urais ni kwa mambo yasiyo ya Muungano visiwani. Rais wa Zanzibar anaingiaje kwenye Baraza la Mawaziri kama Rais chini ya Katiba isiyohusu Muungano? Je, anapashwa kutekeleza uamuzi wa Baraza la Mawaziri la Muungano nchini Zanzibar? Kama nani?
Ikitokea kwamba amechaguliwa Rais wa Zanzibar kutoka chama tofauti na kile kinachoongoza Serikali ya Muungano, itakuwaje? Naye atakuwa “mjumbe” wa Baraza la Mawaziri la Muungano ambalo rais na mawaziri wote ni kutoka chama tofauti? Baraza hilo litafanyaje kazi?Jibu wanalotaka kupata wananchi hapa si kwamba “marais wengine waliomtangulia Dk. Shein walikula kiapo vivyo hivyo”, bali wanataka kujua iwapo kwa kula kiapo cha kuwa mjumbe wa Baraza la Mawaziri, ndivyo msingi wa Muungano unavyotaka? Je, ubatili unaweza kuhalalishwa na ubatili mwingine?Viongozi wetu wanajua vyema msingi wa Muungano, lakini hawataki kutekeleza kwa usahihi na kwa moyo mweupe yanayotakiwa kwa sababu ya maslahi binafsi na ukereketwa wa kichama. Huu ndio chanzo cha tufani kwa mustakabali wa Muungano, tufani iliyodumu kwa miaka yote 47 tangu uanzishwe, huku meli ya Muungano ikiendelea kusukwasukwa kwa mawimbi yakutisha yasiyoisha. Kwa nini tunakubali kuelea hali kama hiyo, yenye kuhatarisha Muungano wetu

Friday, November 11, 2011

WAZANZIBAR WADAI NCHI YAO KTK OFISI YA U.N.ILIYOKUWEPO ZENJI NAKUSEMA MUUNGANO SIO HALALI NA HAWAUTAKI



HUU NDIO USHAHIDI KUWA ZANZIBAR NI NCHI
WANYIKA MUKITAKA MUSITAKE

HILI NDIO KUNDI LA VIJANA WETU WA KIZENJI WENYE UCHUNGU NA NCHI YETU YA ZANZIBAR WALIPOKUSANYIKA KTK JENGO LA U.N.HAPA NCHINI ZANZIBAR NGUVU
KAZI VIJANA
KUNDI la vijana leo limevamia ofisi ya umoja wa mataifa ziliopo mtaa wa Gulioni mjini hapa wakiutaka umoja wa mataifa kutekeleza madai yao ya kutambuliwa kwa taifa la Zanzibar kuwa dola kamili.Kiongozi wa kundi hilo la vijana wapatao mia moja Rashid Salum Adiy alifanikiwa kuwasilisha nakala ya maombi yao kutoka kwa afisa mtendaji mkuu wa ofisi za umoja wa mataifa ziliopo Zanzibar Soro Karna.Karna alikiri kupokea barua hiyo ambayo alisema ni nakala inayokwenda kwa katibu mkuu wa umoja wa mataifa bwana Ban Ki Moon.‘Ni kweli nimepokea barua ambayo ni nakala inayokwenda kwa katibu mkuu wa umoja wa Mataifa ambayo ni madai ya siku nyingi ya kundi hilo linalotaka Zanzibar kuwa taifa huru na kujiondowa katika Muungano wa Tanganyika na Zanzibar’alisema Karna.Kwa hivyo alisema madai hayo yeye hana uwezo na mamlaka ya kuyatoleya uamuzi kwa sababu barua hiyo imekusudiwa kwa katibu mkuu ambaye ofisi zake zipo umoja wa mataifa New York Marekani.Kundi hilo limegoma kuondoka katika maeneo ya ofisi za umoja wa mataifa na kusema watakaa hapo hata kwa wiki nzima hadi wapatiwe majibu kamili kuhusu maombi yao.‘Hatuondoki hapa….tutakaa hapa hadi tupatiwe majibu yetu kutoka kwa katibu mkuu wa umoja wa mataifa’alisema Rashid.Rashid alisema uamuzi wao huo unatokana na maombi ya siku nyingi kuhusu shauri lao la kutaka Zanzibar kuwa taifa kamili linalojitegemea na kujiondowa katika muungano wa Tanganyika na Zanzibar.Alisema madai yao hayo sasa wanataka majibu kamili kutoka kwa taasisi hiyo ambayo majukumu yake makubwa ikiwemo kusimamia mataifa mbali mbali wanachama wa umoja huo,baada ya kufunguwa kesi.Kaimu Kamanda wa polisi mkoa wa mjini magharibi Mkadam Mselem alifika katika eneo hilo na kufanya mazungumzo na afisa mkuu wa ofisi za umoja wa mataifa ziliopo Zanzibar.
‘Tunafanya mazungumzo naye kuweza kujuwa madai hayo na hatua zitakazochukuliwa na vipi kama wanaweza kuwepo hapa ikiwemo usalama wao’alisema Mkadam.Hata hivyo afisa mkuu wa umoja wa mataifa alipotakiwa kutoa ufafanuzi kuhusu kuwepo kwa vijana hao katika ofisi hizo alisema jengo ziliopo ofisi za umoja huo ni mali ya shirika la taifa la biashara (ZSTC).ILA SISI TUNAMUAMBIA HATA LIWE JENGO LA JKU MADAMU LINA HUSIANA NA U.N. BASI NDIO VIJANA WAKO KTK HIMAYA YA U.N. WASITAKE KUTUTISHA NAKUTUONDOWA KWA HIKIMA.
‘Hili jengo sio mali ya umoja wa mataifa…..kwa hivyo hao watu hawapo katika mikono salama ya umoja wa mataifa’alisema.Alisema katika jengo hilo zipo ofisi mbali mbali taasisi za fedha na benki ya Barclays ambapo usalama mkubwa unahitajika.Karna aliwashauri vijana hao kuondoka na kusubiri shauri lao likipatiwa majibu sahihi kutoka kwa ofisi za umoja wa mataifa ziliopo New York

DUNGU ZETU MULIYOKUWEPO NJE FANYENI VYOVYOTE TUIKOMBOWE NCHI YETU YA ZANZIBAR HUU NDIO WAKTI WAKUSHIRIKIANA MUSITOGOJE SISI TU HUKU NA NYINYI PIA FANYENI ITAKAVYOKUWA NCHI YETU YA ZANZIBAR TUIKOMBOWE..

Wednesday, November 9, 2011

SHEIN AKUBALI KULA KIAPO CHA KUWA YEYE NI WAZIRI ANAYE WAKILISHA MKOA WA PWANI ZANZIBAR.JAMANI NCHI YETU YA ZANZIBAR ISHAMEZWA

Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohammed Shein akila kiapo mbele ya Jaji Mkuu wa Tanzania, Mohammed Chande ili kuingia katika baraza la mawaziri la Tanzania kiapo ambacho kimezusha manunguniko miongoni mwa wazanzibari kuwa kimemdhalilisha rais wao

SHEREHE ya hivi majuzi ya kuapishwa Rais wa Zanzibar, Ali Mohamed Shein, kuwa waziri asiye na wizara maalum katika Serikali ya Muungano imewashangaza na kuwaudhi watu wengi huko Zanzibar.Wanavyohisi ni kwamba Rais wao hatambuliwi kuwa ni Rais huko Bara kwa vile huko anakuwa waziri tu na pingine anakuwa chini ya amri na uongozi wa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano kama ilivyo ada ya mawaziri wote wa Serikali ya Muungano wa Tanzania.Kadhia hiyo inatukumbusha yaliyojiri miaka mitatu iliyopita pale Wazanzibari waliposhtushwa kusikia kwamba nchi yao ya Zanzibar si nchi. Na tafsiri waliokuja nayo ni kwamba kama Zanzibar si nchi basi labda ni mkoa tu wa Tanzania.Bila ya shaka hisia hizo zimezuka kwa sababu ya yale mageuzi makubwa na ya kimsingi yaliyofanywa kwenye Hati ya Muungano, mageuzi ambayo kwa kweli yanakwenda kinyume na Hati hiyo kwa vile haikutoa nafasi ya kufanywa mageuzi yoyote yale seuze kuongezwa kwa Mambo ya Muungano kutoka idadi ya 11 na kufikia jumla ya sasa ya Mambo 22. Wala Hati ya Muungano haikuupa upande mmoja wa Muungano haki ya kujiongezea tu kiholela Mambo ya Muungano.Kwa mujibu wa Hati ya Muungano, ikiwa Rais wa Muungano anatoka upande mmoja wa Muungano, tuseme Tanganyika, basi Makamu wa Kwanza wa Rais atoke upande wa pili, yaani Zanzibar. Ndipo Mwalimu Julius Kambarage Nyerere akawa Rais wa Muungano na Sheikh Abeid Amani Karume akawa Makamu wa Kwanza wa Rais.Hali hiyo iliendelea hata wakati Aboud Jumbe alipokuwa Rais wa Zanzibar. Mambo yalibadilika baadaye pale serikali ya Muungano ilipoamua kuishusha hadhi ya Rais wa Zanzibar na kumfanya awe waziri asiye na wizara maalum katika Baraza la Mawaziri la Muungano. Huo ulikuwa uamuzi wa kusudi.Nini athari ya badiliko hilo? Badiliko hilo la Hati ya Muungano limeifanya Zanzibar iwe ni kama jimbo la uchaguzi la Tanzania na limeishusha hadhi ya Zanzibar ya kuwa mshiriki sawa wa Tanganyika katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambako mawaziri huwa ni wabunge waliochaguliwa katika majimbo yao ya uchaguzi.Hivyo, kwa hali ilivyo mawaziri hao wanakuwa na hadhi sawa na Rais wa Zanzibar katika baraza la mawaziri la Tanzania. Na bila ya shaka katika Muungano, Waziri Mkuu anakuwa na hadhi ya juu kuipita ile ya Rais wa Zanzibar.Tukio hilo limewatia uchungu Wazanzibari. Wao wanahisi kwamba Rais wao amedhalilishwa kwa makusudi na hadhi ya nchi yao imeshushwa, pia kwa kusudi.
Hatua hiyo ya kumfanya Rais wa Zanzibar awe waziri wa Muungano ni ya kuchekesha. Ni kama, kwa mfano kumuapisha Rais wa Ufaransa kuwa Kamishina katika Muungano wa Ulaya na hivyo kuwa chini ya Rais wa Kamisheni ya Ulaya.Tukio hilo la kumuapisha Rais wa Zanzibar awe waziri katika baraza la mawaziri la Muungano linakwenda sawa na ile sera ya kuipunguzia Zanzibar mamlaka yake na mtindo wa kuyahamishia Bara mamlaka au madaraka hayo.Kama nilivyokwishaonyesha, wakati Hati ya Muungano ya mwaka 1964 ilikuwa na Mambo 11 ya Muungano, hii leo kuna Mambo 22 ya Muungano. Hayo 11 yaliongezwa yalihaulisha dhamana mahsusi na mamlaka ya utawala kutoka Zanzibar kupelekwa kwenye Serikali ya Muungano.Si hayo tu, lakini kila moja ya hayo Mambo 11 ya ziada liliongezwa bila ya kufanywa mashauriano ya maana au makubaliano ya hiyari baina ya Serikali ya Zanzibar na ile ya Muungano.
Na wala wakuu wanaohusika hawakukaa na kufikiria kwamba Bunge la Jamhuri ya Muungano halijawahi kuwa na mamlaka ya kisheria yanayohitajika ili paweze kufanywa mabadiliko aina hiyo.Tukiiangalia katiba ya sasa ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania tunaona kwamba Muungano hauwezi kukana kwamba ingawa ni Muungano wa nchi mbili, lakini si Muungano wa pande zilizo na usawa. Ni Muungano wa papa kummeza dagaa.Katika Muungano huu Tanganyika imekuwa ikitumia nguvu zake kwa Zanzibar huku ikijifanya kuwa inafanya hivyo kwa kutumia mamlaka ya kisheria. Kusema kweli wakuu wa Tanganyika wamekuwa wakifanya ujanja wa kuhakikisha kwamba Zanzibar inapoteza nguvu zake zote za utawala.Badala ya Zanzibar kuzihodhi nguvu hizo hivi sasa zimenyakuliwa na Serikali ya Muungano kwa kisingizio kwamba hayo yamefanyika kisheria.Hilo ni moja miongoni mwa mambo kadhaa yanayowafanya Wazanzibari wajione kwamba wanaonewa na waupinge Muungano wa Tanganyika na Zanzibar. Imefika hadi kwamba hii leo pakipigwa kura ya maoni ya kuulizwa watu kama wanautaka ama hawautaki Muungano basi kwa hisia zilizopo Zanzibar si hasha kwamba asilimia isiyopungua 85 ya Wazanzibari watapiga kura kuukataa.
Ni jambo la kusikitisha kwamba tunalijadili suala hili katika wakati ambapo kumeanza mchakato wa kutunga katiba mpya ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.Inasikitisha kwamba Serikali za Zanzibar tangu mwaka 1964 pamoja na viongozi Wakizanzibari walioiwakilisha Zanzibar katika taasisi mbalimbali za Muungano waliridhia bila ya kulalamika pale maslahi ya nchi yao na ya watu wao yalipoingizwa hatarini.
Inasikitisha pia kwamba miaka yote hiyo Wazanzibari walikuwa wamegawanyika kichama. Tafauti hizo za kisiasa zilichangia kuiua nchi na watani wao na kuufanya uchumi wake ukwame. Hali hiyo imeyafanya maisha ya wengi wa wananchi wake yazidi kuwa magumu na ufukara uzidi kutanuka.Kwa bahati nzuri hivi sasa Wazanzibari wana fursa wasiowahi kuwa nayo ya kufanya mageuzi ya kimsingi yatayowezesha papatikane mfumo mpya wa mahusiano baina ya Tanganyika na Zanzibar.Ni jambo la kutia moyo kwamba hii leo Wazanzibari wameungana na wako imara na wanauona huo umoja wao kuwa ni silaha muhimu ya kujipatia muradi wao.Wenyewe wanasema kwamba mradi huo ni wa kuwa na Zanzibar waitakayo yenye kufuata misingi ya kidemokrasi na utawala bora na ambapo wananchi wake wote watanufaika kiuchumi.
Hivi sasa wengi wao wanateseka kwa mfumko wa bei na mapato, bei za kuruka za vyakula na ukosefu wa huduma za kuridhisha za afya na elimu.Yapo masuala mingine yenye kuwashughulisha zaidi Wazanzibari. Masuala yenyewe ni muhimu kwa hali za maisha za Wazanzibari wote.Moja ya masuala hayo ni lile la mafuta na gesi asilia. Suala hilo limezusha mabishano na mgogoro kati ya pande mbili za Muungano na hadi leo halijapatiwa bado ufumbuzi.Suala hilo limekwamisha mengi kwani Serikali ya Muungano haiwezi kuanza kuyachimba hayo mafuta yaliyopo katika eneo la Zanzibar bila ya ridhaa ya Serikali ya Zanzibar.
Na makampuni ya kimataifa nayo hayawezi kuisaidia Zanzibar katika shughuli za uchimbaji mafuta bila ya ridhaa ya Serikali ya Muungano.Hali iko hivi kwa sababu ijapokuwa suala la mafuta na gesi asili limeondoshwa kwenye dhamana ya Serikali ya Muungano, bado suala hilo ni la Muungano.Wazanzibari wanauliza hivi: ikiwa kweli Rais wa Muungano na serikali yake wana hamu ya kutaka Zanzibar iendelee kiuchumi na kijamii, basi nini kinachowazuia wasiwasilishe Muswada kwenye Bunge la Muungano ambao utaondoa Mafuta na Gesi Asilia kutoka orodha ya Mambo ya Muungano?Wazanzibari wanaamini kwamba ikiwa hatua hiyo itachukuliwa, basi Serikali ya Zanzibar itakuwa na uwezo wa kusimamia uchimbaji wa hizo maliasili kwa manufaa ya Wazanzibari wote na hivyo kuziinua hali zao za kimaisha.
DUNGU ZETU MULIOKUWEKO NJE MUSISEME KUWA MUNA NCHI INAITWA ZANZIBAR TENA SEMENI MUNATOKA KATIKA MKOA WA PWANI ZANZIBAR SIO NCHI HATUNA NCHI SISI WALIYOYASEMA WATANGANYIKA SASA YASHATHIHIRI...........