Wednesday, June 29, 2011

ABUBAKARA KHAMIS BAKARI MNAFKI TU NA MNAFKI NI MNAFKI TU HATA AJIFICHE UTAMJUWA TU.


KUMBUKA UME APAA NA MSAHAFU UKASHIKA KUWA UTASEMA KWELI NA SASA UNASEMA MUUNGANO NI HALALI NA UNAJUWA KAMA SIO HALALI CHEO TU HICHI LEO UNACHO KESHO HUNA AU KABURINI

Alivyo sema kuwa aliposema Maali Seif kuwa hajaona mrisi ktk walomzungumko kumbe kweli alikwisha washtukizia kuwa harakati za wenzake ni kwenda mbio na mloo tu.
Wzanzibar wengi wamepigwa na butwaa bada ya kumuona  Abubakar Khamis
Bakari kuwambia Wzanzibar ktk BLW kuwa kisheria Muungano ni halali kwa
vile Baraza la Mapinduzi limekubaliana.
Sasa mimi sio mwana sheria kama Abuu? lakini ni Mzanzibar jee kama
Muungano Abuu ni halani kwa makubaliano ya Baraza la Mapinduzi wakati
huo? Swala ni hili misingi yakuunganishwa haikuwashirikisha wananchi wa
Zanzibar.
Jee Wzanzibar kisheria sasa hivi wakiamuwa kuuvunja ni halali au mpaka
Baraza la Sasa la Uwakilishi likubali? swali la pili znz wakati wa karume haikuwa na katiba sasa nchi mbili zitaunganishwa vipi wakati moja inakatiba na nyengine haina..? Maana naona hivi sasa
tushanyaganywa akili na viongozi wetu tena wa CUF akina Abuu.
Juzi alipokuwa njee ya Serekali alikuwa msemaji mkubwa wa Wzanzibar na
tulipo mwaga damu na kupoteza watoto wetu wabichi 26/27 ili tupate
watetezi wa kizazi cha Zanzibar tukapapatuwa mpaka  Abuu ukaingia ktk
uliongo? lakini leo ametugeuka na kuhalalisha batli ili tu awarithishe mabwana wake
Tanganyika nao   kwa kumsifu kuwa abuu abuu wewe ni Goodboy?.
Hii ndio inayo turudisha nyuma Wzanzibar, tumesha poteza watoto wetu na
nguvu zetu leo kibaraka Abuu katuacha mkono anasema Muungano ni Halali , mimi
naona koko Abuu unatuchanganya hujatwambia ukweli halisi na kama Muungano
ni halali mbona kuna maswali mengi yasio na majibu?.
Mh mkuu wa Zanzibar ktk kesi ya Muungano kasibitisha wazi kuwa Hakuna
mkataba wa Muungano ofisini kwake Jee unasemaje haya kitumwa cha watanganyika  Abuu niuongo au kweli? kama sio kweli kitumishi Abuu wewe binafsi unao ushahidi wowote unao halalisha Muungano kuwa Halali?.
Sio utwambie kuwa ooh nihalali kutokana na kuwa upo muda mrefu bila
manuguniko au ni halali kwa vile ni muda mrefu na watu wako kimya, mimi
sikubaliani na wewe kwa hili na umejivunjia hishema kwa waz;bar  abuu usituchafuwe,
miaka 47 sasa Wzanzibar wana-struggle kunugunikia Muungano
tume-sacrifice  kila kilicho chetu mpaka ukaweza kuingia hapo kwenye
ulingo leo unatuletea maneno ya kejeli na uchale.
Hatuko radhi na wewe na tunakuisabu kuwa ni miongoni mwa wanafiki wasio
ipendelea  Zanzibar kuwa huru nchi huru bila ya kutawaliwa na mkoloni mweusi na wewe nikatika waliokuwa tayari wamesha kula
hasara kama wale wanao pewa Viwanja na Wake Bara wakaukana Uzanzibar na
wakashirikiana na Shetani.
Hivi ndivyo tunavyo jimaliza wenyewe Wzanzibar mtu akiwepo nje hutetea
Zanzibar na huwa ktk Shangwe la wananchi akisha kamata tawi basi sio
tena mwenzako shame on you Abuu kifu tundu.

No comments:

Post a Comment