Tuesday, June 28, 2011

JEE VIONGOZI WETU WA SMZ HAWAHITAJI FADHILA ZA SADAKTL JARIA,KUINUSURU Z;BAR KUMEZWA..?



kifo cha maiko-jockson
Sadaktul Jaria ni sadaka kubwa ktk sadaka za Allah, yani kujenga Mskiti au madrasa au
kwa kunufaisha watu,kuchimba Kisima cha maji kwa kunufaisha watu na
kusomesha mtoto na badae kuwa mwema na kutowa dawa. Hii Sadakatl Jaria
hata ukifa basi bado inaendelea tu thawabu zake .
Sasa tuangalie viongozi wetu hawataki hii? Maana kuipapatua Zanzibar
kutoka katika thulma za Jinamizi lililo wainamia Wzanzibar basi nikama
kuiokowa Zanzibar na kizazi chake cha badae, na kuiacha Zanzibar kupotea
ktk mikono ya viongozi wa SMZ nihatari mbele ya Allah kwenda kuwauliza
kuhusu utawala wao na watu wao walio pokonya haki yao na haki ya waz;bar imepotea toka 1964 mpaka leo watu wanakula thulma na moto kuanzia viongozi na bathi ya rai.
Ikiwa Zanzibar itatoka basi 80% ni Jukumu la viongozi wa SMZ na itakuwa
ni kama kinyume cha Sadakatl Jaria kwao mana itawatesa makaburini mpaka
siku ya kusimama hukumu na maanisha siku ya kiama na ninani anayejuwa lini kiama kitakuja je uko tayari kuathibiwa ndani ya kaburi lako mpaka siku hiyo ifike..?maan ukishaingia kaburini basi amali zote hufungwa isipokuwa haya mambo matatu kujenga msikiti au madrasa,kusomesha ilimu yanye manufaa au mtoto mwema mwenye kukuombeya duwa ila nyinyi ni viongozi muna majukumu pia ya nchi mulitawala vipi je mumefanya nini kwa wananchi wenu thulma,kuwauwa,kuwafuga jela,kuwaharibu watoto wakike siku za chaguzi,kuwa chukuwa tu wanawake kwa lazima nakusema wewe ni mke wangu wakati hujamuowa kwa ridha yake wala baba yake je hizi sadakatuli jaria yenu viongozi wa SMZ kisha makanzu makubwa unafiki kula riba kuiba na kujijengeya majumba ya kifahari na huku wananchi wana haha na njaa na kuiuza nchi ktk mikono ya kikafiri na hali mnajuwa ila kwakuwa wewe una shangingi na jumba kubwa basi poa tu sio sawa kuna nyumba nyengine basi ambayo ni muhimu zaidi,KABURI na mukae mukijuwa yakuwa nyinyi kama viongozi  Hili ni jukumu lenu kubwa mbele ya Wzanzibar na kila kiongozi anabeba jukumu hili vipi? nipale mamuzi ya Wzanzibar
kujuwa hatma ya nchi yao kuyavamia wao na kuyavunganyia ili kutokutowa
fursa kwa Wazanzibar kuamua hatma ya nchi yao.
Kwa hio wao viongozi ndio wenye kubebe zima mbele ya Allah,Hivi sasa
Muungano unaishi Zanzibar kwa nguvu kulazimishwa Wzanzibar waukubali na
kutii kwa hali yoyote ile, hii ni hatari viongozi wa SMZ wanayo jijengea
mbele ya M/mungu, kuna leo na kesho KUFA au KUTEMWA ktk madaraka, na
huku umesha jibebesha jukumu vipi?
Itakuja kufika wakati mutajuta SMZ na tayari itakuwa mumesha tambaliwa
na mauti na kusubiri azabu yenye kumiza ya M/Mungu hapo hamuto saidiwa
na mali zenu zote mulizo jikumizia, wala katiba, walasera na ilani ya
Dodoma.HAKUNA HATA KIMOJA KTK HIVI VYAKUKUSAIDIA KABURINI
M/mungu ana azabu kali na yenye kumiza , na anajeshi Jengine ni dogo hata kuliona huwezi mfano kama virusi vya ukimwi.
Mungu ibariki Zanzibar na Wazanzibar wema.
TUNA SEMA MUUNGANO HATUTAKI HATUTAKI NA NYINYI MUNATULAZIMISHA MARA SIJUWI MSWAADA MARA KURA YA MAONI UPUMBAVU MTUPU KWANI MZEE KARUME ALIPOUNGANA NA TANG WALIFANYA KURA YA MAONI..? SASA HATUTAKI TENA MUUNGANO TUBAKI TU NA UJIRANI MWEMA KAMA HAMUTAKI SAWA TULAZIMISHENI NA NYINYI IKO SIKU MUTAINGIA HUMU KAMA ALIVYO INGIA MZEE KARUME YUMO HUMO NDANI YEYE PEKE NA AMALI YAKE ALIYO IFANYA KAMA NZURI INAMSAIDI KAMA MBAYA ANAKIONA SASA KILICHO MTOWA NYOKA PANGONI NA NYINYI KAENI TAYARI IKO SIKU MUTAINGIA HUMU KISHA MUTAMUELEZA M/MUNGU KWA NINI MUME WATHALILISHA,NAKUWAULISHA,NAKUWANYANYASA,NA KUWAEKA NA NJAA WAISLAMU WENZENU.

SHEIN ITETE ZNZ IWE TAIFA LAKE HURU BILA YA KUTAWALIWA NA TANGANYIKA IKIWA HUWEZI BASI JIUZULU LA KAMA UNAONA UTAMU URAISI SAWA UNALIONA KABURI NDIO NYUMBA YAKO SIO IKULU

YUKO WAPI HUYU..? ALIYEKUWA AKITUKANA WATU KIWANJA CHA MALINDI NA MAISARA KIKWAJUNI NA KUWAITA WATU BALAHAUU BALAHAUU YUKO WAPI SASA.? MBONA HATA WATU HAWAMTAJI TENA.? BASI HIVI NDIVYO ILIVYO DUNIA KIKWETE,SHEIN NA SEIF ANGALIYENI MUNAKOKWENDA NI KUBAYA WATU HATUTAKI MUUNGANO BADO TU MUNATULAZIMISHA HATUTA WASAMEHE SIKU YA KIYAMA. NA MUKINGIA MAKABURI M/MUNGU ANAWANGOJA AWATIYE ADABU. FFU INAYOKULINDA HAIENDI NA WEWE KABURINI HUYU PIA ALIKUWA NAYO YOTE HAYO MULIYO NAYO NA HAKWENDA NAYO KAYAWACHA HAPA HAPA DUNIANI. NAWAUSIA KAMA NINAVYO IUSIA NAFSI YANGU KIKWETE,SHEIN NA SEIF VUNJENI MUUNGANO NA ZNZ IRUDI KTK HATHI YAKE NA TANGANYIKA IRUDI KTK TANGANYIKA YAKE TUISHI KWA UJIRANI.LAA KAMA HAMUTAKI MAANA MUNA HIVYO VYEO SAWA TUWAONE MUINGIE NAVYEO HUMO MAKABURINI.

WAKO WAPI HAWA......?MBELE YA HAKI M/MUNGU NA WAO BASI.HAKUNA WA KUWASAIDIYA NDANI YA MAKABURI YAO ILA AMALI ZAO NDIO ZITAKAZO WASAIDI SIO,CCM,URAISI,IKULU WALA DODOMA.

MAALIM M/MUNGU HATAKUSIKIA UKISEMA MIMI NILIKUWA MAKAMO TU SIO RAISI HATAKUSIKIA KIONGOZI NI KIONGOZI TU HATA UWE NI MWALIMU WA CHUO NI KIONGOZI WALA HATUTAKI SEREKALI TATU ABADAN TUNATAKA SEREKALI YA ZNZ NA TANGANYIKA NA UGANDA NA KENYA HUWEZI KUPIGANIA JIUZULU AU BEBA MAJUKUMU NA HII NDIO NYUMBA UTAKAYO LALA. MUKIWACHA NCHI YA ZNZ IKAPOTEA NDANI YA MIKONO YENU NYINYI MUKIFA MUNAJUKUMU KUBWA SANA MAALIM

SIKU YAKO ITAFIKA TUTAKUTILIYA MCHANGA KAMA WEWE UNAVYO MTILIA MCHANGA HUYU NDUNGU YETU KISHA UTAMUELEZA M/MUNGU KWA NINI UKAWALIZIMISHA KUWATAWALA WAZ;BAR NA WALIKUWA HAWATAKI HAO WANAUKULINDA WOTE HAINGI HUMU NA WEWE.
angalia vizuri kisha tafakari jinsi unavyo wathalilisha wazanzibar na kutaka kuimeza znz huu ndio mwisho ukisha ingia hapa wote waliyokuwa wakikushawishi hawakujuwi tena ni wewe na amali yako na wewe kikwete unajuwa kama znz inataka kumalizwa kwanini na umo kuchocheya mafanikio kisa ati raisi yuko wapi nyerere,mzee karume...?wote walikuwa maraisi kama wewe na wameondoka sasa wewe iwachiya znz huru wake au chukuwa jukumu kaburini mwako maana miaka 10 sio midogo na tushasema hatutaki muungano na nyinyi bado tu munatukandamiza basi angalia vizuri.

No comments:

Post a Comment