Wednesday, June 29, 2011

UKIUTETEA/UKIAPA UTAULINDA MUUNGANO BASI NI UKAFIR

UTAKE USI TAKE HUU NDIO UKWELI

Niirejee makala yangu hii kwa kumshuru muumba wetu kwa kutujalia kuwepo katika hali hii tulio nayo hii leo,pamoja na sala na salaam kwa kipenzi chetu muombezi wetu mtume wetu Muhammad [swa]
“ Enyi mlio amini! Mcheni Mwenyezi Mungu, na kuweni pamoja na wakweli”TQ
Enyi ndugu zangu hivi mpaka hii leo bado tuu hatuelewi ya kwamba dhamira ya muungano wa Tanganyika na Zanzibar ulikuwa na dhamira mbaya juu ya nchi yetu tuipendayo ya Zanzibar? na kwanini tuutetee muungano ambao haukuwa na malengo mema kwetu? Jamani tuwe wakweli kama kweli sisi waumini, mimi naona yeyote Yule anae utete muungano huu ni adui na kafir hasa kwani huwezi ukawa unaijuwa kweli nawe kwa maksudi unapotosha kwa sababu ya maslahi yako, kufanya hivyo ni sawa na kumshirikisha Allah [Subhanah wattaallah] kama alivyo sema
“Je! Umemwona aliye fanya matamanio yake kuwa ndiye mungu wake, na Mwenyezi Mungu akamwacha apotee pamoja na kuwa ana ujuzi, na akapiga muhuri juu ya masikio yake, na moyo wake, na akambandika vitanga machoni mwake? Basi nani atamwongoa huyo baada ya Mwenyezi Mungu? Hamkumbuki?”TQ

Sasa jiulize jee wewe huuelewi ukweli na dhamira ya muungano huu wa Tanganyika na Zanzibar hata husomi nyakati zilivyo pia?
Jee kama kungekuwa na dhamira ya kweli kwanini tuwe kwenye mitihani kila uchwao au kukicha hebu tuamke ndugu zanguni
“Na jengo lao hilo walilo lijenga litakuwa sababu ya kutia wasiwasi nyoyoni mwao mpaka nyoyo zao hizo zikatike vipande vipande. Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye kujua Mwenye hikima.”TQ

“Je! Hawaoni ya kwamba wanatiwa mtihanini kila mwaka mara moja au mara mbili? Kisha hawatubu, wala hawakumbuki.”TQ

“Je! Mwenye kuweka msingi wa jengo lake juu ya kumcha Mwenyezi Mungu na radhi zake ni bora au mwenye kuweka msingi wa jengo lake juu ya ukingo wa shimo linalo burugunyika, na likaburugunyika naye katika Moto wa Jahannamu? Na Mwenyezi Mungu hawaongoi watu madhaalimu.”TQ

Hii yote ni uthibitisho tosha ya muungano huu haukujengwa kwenye msingi unao kubalika na ndio sababu kila uchwao unamong’onyoka, na unawafalia wale tuu wenye kufuata matamanio ya nafsi zao , naamini kabisa kama kweli muungano huu ungelijengwa kwenye msingi ya kumcha mwenye enzi Mungu { UKWELI} haya yanayo tokezea yasingelikuwapo sote tungeli utetea kwa umoja wetu sote.
“ WATAKUTOLEENI UDHURU mtapo warudia. Sema: Msitoe udhuru; hatukuaminini. Mwenyezi Mungu amekwisha tueleza khabari zenu. Na Mwenyezi Mungu na Mtume wake wataviona vitendo vyenu. Kisha mtarudishwa kwa Mjuzi wa ya siri na ya dhaahiri; naye atakuambieni mliyo kuwa mkiyatenda.”TQ

Jee ndugu yangu mzanzibari hatuoni kila kukicha hawachi udhuru” mara waseme hili mara lile yote haya ni mazingatio kwetu jamani tusiwaamini hawa, hawana nia wala njia ilio njema juu yetu.

“Na jikingeni na Fitna ambayo haitowasibu walio dhulumu peke yao kati yenu. Na jueni kuwa Mwenyezi Mungu ni Mkali wa kuadhibu.”TQ

Jamani tuwatenge hawa kwani lengo lao ni kuendelea kutudhulumu tuu miongoni mwetu, tunawaonea haya kitu gani hawa ni adui zetu jamani sio ndugu zetu, asilani Abadan.
“ Wamevifanya viapo vyao ni kinga, na wao wakajizuia kuifuata Njia ya Mwenyezi Mungu. Hakika ni mabaya kabisa waliyo kuwa wakiyafanya.”TQ

“ Hayo ni kwa sababu ya kuwa waliamini, kisha wakakufuru; kwa hivyo umepigwa muhuri juu ya nyoyo zao. Kwa hivyo hawafahamu lolote.”TQ

{*Jee hebu tuwatizame wote wale wanao utetea muungano wa Tanganyika na Zanzibar hawana sifa hizo, jee miongoni mwao si ndio hao wanaokula viapo vya kuulinda muungano, na kufanya ndio kinga yao ya kuendeleza dhulma ndani ya nafsi zao..?????
Jee hawa maadui zetu wote hawa amini udhalimu wa muungano huu? Wanaamini ila kwa sababu ya kukufuru kwao, wameshapingwa muhuri juu ya nyoyo zao na sasa hawafahamu chote ila matamanio ya nafsi zao tuu.






NA WENGINE WOTE MUNAJIJU AMBAO PICHA ZENU HAZIKO HAPA ILA MUME APA KUULINDA MUUNGANO NA WANGINE SASA WANAUTETE HASWA KWENYE BARAZA LA WAWAKILISHI NA BUNGENI PIA.
“ Na unapo waona, miili yao inakupendeza, na wakisema, unasikiliza usemi wao. Lakini wao ni kama magogo yaliyo egemezwa. Wao hudhania kila ukelele unao pigwa ni kwa ajili yao. Hao ni maadui; tahadhari nao. Mwenyezi Mungu awaangamizilie mbali! Vipi wanapotoka na haki?” TQ

Kwakweli nikiwazungumza watu hawa nitahitaji miaka na sito wamaliza ilaa natoa inzari juu ya watu hawa tujiepushe nao.
 kuwasilisha.

1) Aya 120 Surati-l-Baqara
‘Mayahudi wala manasara (wakristo) hawatakuwa radhi nawe mpaka ufuate mila yao. Sema: “Hakika ya uwongofu wa MwenyeziMngu ndio uwongofu. Na kama utafuata matamanio yao baada ya ujuzi uliokwisha kujia, hutapata mlinzi wala msaidizi kwa MwenyeziMngu”

2) Aya ya 103 Al Imraan
‘Na SHIKAMANENI kwa Kamba ya MwenyeziMngu nyote kwa pamoja, wala MSIFARIKIANE. Na kumbukeni neema ya MwenyeziMngu iliyo juu yenu: vile mulivyokuwa maadui baina yenu wenyewe kwa wenyewe; (Yeye SWT) akaziunganisha nyoyo zenu ; kwa neema yake mukawa ndugu. Na mlikuwa ukingoni mwa shimo la moto, naye akakuokoeni nalo. Kwa namna hii MwenyeziMngu anakubainishieni Ishara zake ili mpate kuongoka’

3) Aya ya 118 Al Imran
‘Enyi mlioamini! Msiwafanye wasiri wenu watu wasiokuwa katika nyinyi (mayahudi, manasara, majusi nk) HAWATAACHA KUKUFANYIENI UBAYA. Wanayapenda yanayokudhuruni. Chuki yao imekwisha fichuka kutoka midomoni mwao (yaani kwa wanayoyasema) na yaliyojificha (yaliyomo) vifuani mwao ni makubwa zaidi (yaani haya wanayotufanyia ni madogo kulikoni hayo yaliyomo nyoyoni mwao!). Tumekwisha kukubainishieni ishara ikiwa mtayatia haya akilini.’
MwenyeziMngu atujaaaliye katika wenye kusikiza maneno Yake na kuyatekeleza kwa vitendo.
WaLlahu waliyyu tawfeeq

ASALAAM ALEYKOUM

No comments:

Post a Comment