Tuesday, July 19, 2011

WEWE KAMANDA WA POLISI AU NJAA UNATAFUTA ULAJI WA ZAIDI..?

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kaskazini Pemba, Yahya Rashid Bugi akitoa maelezo kwa Makamu wa kwanza wa Rais Maalim Seif Sharif Hamad juuya mikakati ya Mkoa wake katika kupambana usafirishaji wa zao la karafuu kwa njia ya magendo.ila mimi nataka kukuliza wewe kamanda uko wapi wakati unga(drugs)ziki ingizwa unguja na pemba au wewe ndio mlango wao wakuingilia unga na bangi hapa zanzibar..?maana hamuna lakufanya kazi kuplani vipi mutazui karafu wakati karafu ni zao halali hapa zenji.mambo ya haramu unga(drugs)bangi,pombe,MALAYAA.hata habari hamuna nayanafanywa mbele yenu ila mukisikia karafu basi mashipa ishawasimama kama mbwa jike mwenye shurufu wacheni upumbavu waachiyeni wauze wanakotaka.kama wanataka kuwauzia ZSTC sawa kama hawataki basi musiwabughuthi rai hapa pemba kumeingia majambazi na waburundi kibao mbona hamuwakamati na unguja siku hizi watu hawalali tena mlango wazi kama zamani mageti ya chuma na kila aina utafikiri tuko jela nyinyi kimya ila karafu ndio unajuwa plani ya kuwashika watu sio hamuna lolote wanafiki wakubwa kama wewe kamanda kweli funga bar zote zilizofunguliwa pemba na malayaa wote washikeni muwrudishe bara na wauza unga hapo nitajuwa kweli wewe kamanda.ila ukiniambia unawafuta weuza karafu basi wewe ni kitumwa tu cha ZSTC na nimnafiki mkubwa maana unajuwa kama karafu ni halali na pombe ni haramu bangi,malayaa na huwashiki wewe ni sawa sawa na hao wanafiki wenzako hapo walio kaa na makofia na manyota na mamwengi kumbe nyote wezi wakubwa wakuwazuilia watu jasho lao wenye wasiuze wanakotaka

No comments:

Post a Comment