Thursday, December 22, 2011

KAMA ABOUBAKAR YUMO KWENYE KUNDI LA HAMA(HR)BASI WAZENJI TUWE MACHO KWELI KWELI.

IMG_0100
Ndugu zangu Wazanzibar ikiwa tetesi zinasema kweli kuwa kuna kundi la watu wanaomunga mkono Hamad Rashid katika vita vyake na  Aboubakar yumo basi TUWE MAKINI KWELI KWELI MAANA WANAWEZA KUMTUMIYA HUYU KUTUMALIZA KWENYE KATIBA WANAYOTAKA KUILETA ZANZIBAR NA KUIFANYA ZANZIBAR KUWA WILAYA YA PWANI WAZENJI TUWE MAKINI KATIKA JAMBO HILI.Mimi binafsi sijawa na uhakika kamili lakini tujihadhari kinga ni bora kuliko tukaja kujuta kama tunavyojuta sasa kuwa kwa nini father karume aliungana na hawa. hakuna mtu hata moja alio tegemea kuwa Hamadi HR, Jidawi, Salum Msabaha wanaweza kutugeuka kwa matamanio tu yakidunia (kuhongwa vijipesa)Sasa na huyu Abou inasemekana ni mtu mwepesi wa kipato sasa isije ikawa katika tetesi za kuhongwa millioni mia 700 alizo pewa Hamadi na best Friend wake Mizengwe Pinda ikawa na Abou yumo?. Itakuwa hatari kwa Zanzibar .Maana  Hamadi anajinata kuwa anao wenzake nyuma ya Pazia sasa Wazanzibar tuweko alart na tetesi kuzipuuza, kuna siri nyingi tu nyuma ya pazia moja ni kesi ya Mkapa kusema Cuf watamfungulia mashataka katika mauwaji ya 2001 tarehe 26/27.aliyo yafanya zaidi ya dungu zetu na hatujamsamehe mpaka na yeye apelekwe mahakamani kwa kuuwa rai wasi na hatia.Hii inasemekana  Hamad Rashid alikula hongo na akaifificha(kuizima) kesi hii ili isije juu na alikuwa sio peke yake kwa hio Wazanzibar imekuwa hutolewa chambo kwa kuwanufaisha wachache katika maslahi yao binafsi.Sasa hofu ya Wazanzibar hivi sasa ni huyu Abou jee huyu ni Aboubakari Sadiki kweli au ni wa Magogoni..?Kama sie basi ashughulikiwe haraka kabla haja tuweka pabaya Wazanzibar na katiba ijayo ya unafiki wa kuitaka kuimeza zanzibar hatuna haja ya katiba tunahaja ya kuvunja muungano tu basi, maana viongozi wa Tanganyika hawaoni tabu kutowa million 700 au zaidi lakini tu lau lipite, hii kwao ni pesa ndogo tu hata kodi ya siku haifiki ni kama pesa ya kununuwa chapati na namaharangwe pale gerezani asubuhi sio jambo kubwa.Na hutumia ujanja hivi sasa wa kurubuni vile viungo muhimu ili mambo yao yawe, kuna mifano mingi tu hivi sasa ya kuwalahai Wazanzibar ili kero za Muungano zizimike mfano.
Hivi sasa utaona katika misafara mingi ya njee huchukuliwa Wazanzibar moja au wawili tena cuf ili wajihisi wamefadhiliwa waje kulipa fadhila kwa watawala wa Tanganyika wazitakapo.lakini zanzibar ikijitawala hizo safari zitakuwepo tena nyingi sana kuliko hizo wanazozitowa wakoloni wausi tanganyika tena zitakuwa za hishima zaidi maana mutakwenda kama nchi kamili inayojulikana umoja wa kimataifa sio uchochoro wa jumanne pale mtendeni kupata supu chapati.kwa hiyo viongozi amkeni.Hii ilikuwa zamani hakuna safari za kimataifa ni wao tu Watanganyika Wazanzibar haziwahusu kama vile sio sehemu kubwa ya huo Muungano wa Tanganyika na Zanzibar kupatikana Tanzania.Tulikwishazowea Wzanzibar kuwa sisi tasisi za kimataifa hatushirikishwi ,sana ukienda katika tasisi hizo utakuta kuanza juu mpaka chini ni wao tu akina John,Lukasi,Jalome etc lakini humuoni Mzanzibar.Hii ndio iliotusababisha Wzanzibar kusema hakuna faida ya nchi yetu kuitika katika Muungano usio fanya haki upande moja, na tulihisi kuwa Wazanzibar tumepoteza pakumbwa nchi yetu kungana.Hali yakuwa Zanzibar ilikuwa Dola huru na lenye mambo yeke ya ndani na njee ya kimataifa sasa vipi leo tuhukumiwe ki-mkoa kwa udogo wa nchi yetu na watu wake.pia tukumbuke father karuma alisema ni wa miaka 10 tu vipi leo umefikia miaka 47...?Zanzibar ni taifa (Dola) na sio wilaya wala Kata, huwezi kulinganisha Zanzibar na Arusha au Mbeya kwa kuwa ina watu wengi. thamani ya Zanzibar kimataifa na ki historia ni kubwa .Hatujawahi hata siku moja kusikia Arusha au Iringa ikawa na kiti chake umoja wa mataifa (UN).lakini zanzibar inacho kiti na walisima ni kanchi kadogo na tukawaonyesha kuwa ni nchi na ilikuwa ktk (UN)Sasa Zanzibar kui Treaty kama Mkoa kwa kigezo kuwa ina watu kidogo na ardhi ndogo hatuko tayari na sasa tulipo fikia hata wageuke kuwa wema na kusema OK OK ni nchi hatutaki tena nibora tuvunje Muungano na tubakie na ujirani mwema lakini katu hatuto salim amri au kuisalimisha Dola yetu.Kuna viongozi wengi tu wa ki-Tanganyika wakizani Wazanzibar ni ma-Foolish yaguju, wakisema maneno yakifedhuli na tharau kama vile kusema kijisehemu kidogo chenye watu kidogo kuliko hata Manzese kinataka haki sawa .Kuna badhi ya Wabunge wa Tanganyika wakifananisha majimbo yao eg kuwa na watu wengi mfano wao kama Murogoro kuwa na watu zaidi ya million 2 hali yakuwa Mbunge ni mmoja.Vipi Zanzibar ina watu million 1 ina wabunge zaidi ya 68 , huu ni upumbavu na ujinga wakutufanya sisi foolish, wao hawaoni kuwa Zanzibar ni nchi..? Na bila ya Zanzibar kusingalikuwa na huo Muungano uitwao wa nchi mbili Tanganyika na Zanzibar.Na kama wanatuhukumu kutokana na idadi ya watu wetu na ardhi yake mbona Ushelisheli nchi yenye watu wasiopunguwa laki moja wana kiti cha kudumu umoja wa mataifa wala hawakuambiwa nyiyi hamupewi kwa udogo wenu, au marekani yenye nchi 54 zilizo ungana kuwa na kiti kimoja..?Huu ni ujinga na ufethuli wakutaka tusalimishe nchi yetu kwa udogo yaguju mukitaka nilazima muheshimu kuwa Muungano ni wanchi mbili Tanganyika na Zanzibar na katika Muungano hakuna mkubwa wala mdogo tumeungana sote ni nchi zilokuwa na Dola zake.na sasa imekuwa tafashaa tu kwa hiyo nauvunjike.Misituone kuwa Wazanzibar mabwege tunaweza kuwa foolish yaguju Wazanzibar tunajuwa kitugani tunafanya na tumesoma sio vichwa maji, maana hujinata kuwa sisi watanganyika tumesoma Bongo man? Lakini isabu fupi tu katika watu millioni 1 Zanzibar wasomi walio hitimu masomo ya juu niwangapi..? na millioni 44 za wa Tanganyika niwangapi walio soma= utapata wapi pumba...? Kwa hio Wazanzibar wengi ni wasomi na hatuko tayari kupumbazwa na nyinyi kwa kutufanya foolish tumieni ujanja wa kuwarubuni watapia mloo akina Hamad lakini tukiwabaini Wazanzibar wenye kutusaliti basi tunawatosa na kuwafanya wasi.
Maana inashangaza kuwa kila siku muna mipango mipya ya kuihujumu Zanzibar kwa njia hii au nyingine, alipo kuwepo Baba wenu wa Taifa mulitufanyia vitimbi vingi sasa kafa waliobakia wanaviendeleza.
Wazanzibar tuko macho na hatuko tayari kuhujumiwa enough is enough umetokea mzozo wa Hamad na Maalim nyinyi mumeuvalia njuga kutia moto petrol(fitna) ili ndugu kwa ndugu wafarikiane.hakuna munalolijuwa zaidi ya kufitinisha watu.Sasa chakujiuliza lengo lenu nini? Kama sio ubaya wa roho na kutaka Zanzibar na wazanzibar wasiwe watulivu.Mizengwe mingi tu yakutugonganisha vichwa mulitufanyia na ikawa Zanzibar haikaliki na kupandikizwa chuki na kuja kutuuwa kwa jeshi la wakuria sasa tumesha tulia tunavuta harufu ya amani na ya marashi ya karafu hao mushasimamisha mishipa ya fitina munachokora jengine.m/mungu atawashinda kwa ubaya wa roho zenu mulizo nazo kwa kuioneya choyo nchi yetu ya zanzibar.Mungu ibariki Zanzibar na Wazanzibar wote na uwalani wale maaduwi wa Zanzibar.

No comments:

Post a Comment