Tuesday, January 31, 2012

HICHI NI KIKAO CHA VIONGOZI WALAFI WANAFIKIRIA MATUMBO YAO NA KUTAKA KUIBIYA RASLIMALI ZA WAZANZIBAR

IMG_3725
Kikao cha kamati ya pamoja ya serekali ya TANGANYIKA(( Tanzania)) na Serekali ya Zanzibar kimekutana chinI ya Mwenyekiti wanae muita Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa ((Tanzania))sisi tunajuwa ni makamuwa wa raisi wa TANGANYIKA Dr.Mohd Gharib Bilali.Kikao hicho kilicho husisha Mawaziri,makatibu Wakuu,Watendaji wa Serekali Wakiwemo pia Wataalamu Kilifanyika kwenye ukumbi wa Blue Ubungo Plaza Mjini Dar es Salaam.Wajumbe wa Kikao hicho walikubaliana kuthibitisha kumbu kumbu za kikao cha Kamati ya pamoja ya SMT na SNZ cha Tarehe 2 Juni mwaka 2010 kilichokutana Bwawani Mjini Zanzibar.Halkathalika Wajumbe hao walipitia Taarifa ya utekelezaji wa yatokanayo na Kikao hicho ambayo ni ushiriki Zanzibar katika jumuiya ya Afrika Mashariki((hatutaki muungano na tanganyika vipi sasa wanataka kujadili mambo ya afrika mashariki wazanzibar hapa ndio tuelewe kuwa sisi rai hatuthaminiwi wao wanafanya wayatakayo wavimbe mitumbo yao)), Utafutaji na Uchimbaji wa Mafuta na Gesi asilia,Uvuvi katika ukanda wa Bahari kuu na Ushirikiano wa Zanzibar katika Tasisi za nje.((mbona hawakutaja gesi yao,almasi zao,thahabu zao,tanzanaiti zao wala maka ya mawe yao hawataji kila ukisikia ni mafuta ya zanzibar ndio muungano huwo....?MIJAMBAZI MIKUBWA NYIE SIO VIONGOZI.
Tarifa nyingine ni ajira kwa watumishi wa Zanzibar katika tasisi za Muungano, Mgawanyo wa mapato na faida yatokanayo na Bank kuu , Malalamiko ya wafanya biashara kutozwa kodi mara mbili waingizapo Bidhaa zao Tanzania Bara,usajili wa vyombo vya moto, likiwepo pia ongezeka la gharama za Umeme wa Tanesco kwenda ZECO uharamia na utekaji nyara meli.
Katika majadiliano hayo Mwenyekiti wa kikao hicho Dr Mohd Gharib Bilal aliagiza mamlaka zinazo husika kutowa maelezo ndani ya kipindi cha miezi mine utafutaji na uchimbaji mafuta na gesi asilia.((MUNAMSIKIYA ZIMWI HUYU ANAVYOTAKA KUIMALIZA ZANZIBAR..?
Mapema mwana sheria mkuu wa Serekali ya Mapinduzi ya Zanzibar Mh. Othmani Masoud Othman Taratibu zote na Baraka kuhusu swala hilo zimeshachukuliwa na Serekali ya Mapinduzi ya Zanzibar kupitia Baraza la Mapindizi na Baraza la Wawakilishi na kuliwakilisha Serekali ya Muungano kwa hatuwa za kisheria.
Naye makamo wa pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi alisisitiza hoja ya kuwa na ratiba malum ya vikao pamoja na kupunguza urasimu wa utekelezaji wa mamuzi yanayofikiwa katika vikao hivyo vya pamoja.
Balozi Seif alisema itapunguza kero zilizopo na hatimae kuamsha ari ya kuimarisha Muungano kwa pande zote mpili.
Nirahisishieni kazi ndani ya Baraza la Wawakilishi kwa wajumbe wake wako Solidarity na hakuna mjumbe wa CCM wala CUF katika swala lolote linalohusu Muungano,alisisitiza Balozi Seif.
Katika kikao hicho upande wa wajumbe wa Serekali ya Muungano uliongozwa na Waziri mkuu Mh. Mizengo Peter Pinda wakati ule wa Zanzibar uliongozwa na makamo wa pili wa Rais wa Zanzibar Balozi seif Ali Iddi.

NCHI YA TANGANYIKA INAIZIKA ZANZIBAR HALI YA KUWA ZANZIBAR IHAI HAIJAFA



Na pale Zanzibar ilipojiunga na Jumuiya ya Nchi za Kiislamu (OIC) ili inufaike kiuchumi,tuna muita mshirika wetu wa muungano alitukatalia na kutupa munda tutoke haraka na ndio alipotupiga msumari mwengine katika JENEZA la kuizika Zanzibar katika Jukwaa la Kimataifa. Marais Mwinyi na Salimin Amour wakavuliwa nguo hadharani na wakakemwe na Mwalimu Nyerere watoke kwa mlango wa nyuma kama walivyoingilia. Kwani, zanzibar haitakiwi kuwa na sauti katika jukwaa lolote la kimataifa na hata kucheza dimba katika FIFA-Shiriklisho la kabumbu Ulimwenguni.
MISUMARI YA MWISHO INAPIGWA SASA  NA TANGANYIKA ((TANZANIA)) KATIKA JENEZA LA ZANZIBAR. JE.WAZANZIBAR MPOOOO AU MUMELALA BADOO.. ?

Ombi la Januari 18,2012 la Tanganyika (Tanzania ) huko Umoja wa Mataifa,New York,  kutanuliwa  mipaka yake ya baharini  ni misumari ya mwisho inayopigwa  kufuatia ule wa  kwanza  katika JENEZA la Zanzibar  hapo April 26,1964. Mara tu baada ya  kuapishwa rasmi Mwalimu Nyerere  kuwa rais wa Jamhuri  ya Muungano ya Watu wa Tanganyika na Zanzibar,kanuni yake ya kwanza aliotunga (decree), ilikua kuifuta Tanganyika  kwa njia za  kiinimacho  na kuibua Tanzania ambayo ni ile ile Tanganyika  aliyoifuta lakini imeibuka na mipaka mipya ya aridhini.Ilijumuisha   visiwa vya unguja na Pemba. Sasa inajiandaa kupiga misumari ya mwisho kwa kutanua zaidi mipaka yake ya baharini na kiliomo ndani yake tangu dagaa hadi papa.mashamba mpaka mjini watu mpaka miti hii ni dalili ya azimio la arusha inaletwa tena kwa njia nyengine bila ya wazanzibar kufahamu nini kinaendeleya ila wakipata ruhusa tu tujuwe tumekwisha tutahamishwo zanzibar tukitaka tusitake ili waigeuze watakavyo kufanya ulanisi na kila balaa.
Tangu 1964, misumari mingi imekuwa ikigongomelewa jeneza letu  tena hatua kwa hatua; na sisi wazanzibari  twatazama macho tu.
Kufuatia Muungano uliofanyika bila umma kuulizwa ndewe wala sikio, akiba kubwa ya fedha za Zanzibar katika Bodi ya ile iliokua Jumuiya ya AFRIKA MASHARIKI  ziliporwa na tunaemwita Mshirika wetu wa Muungano na kuzitia  kibindoni katika Bank yake (BOT) bila ya ridhaa  umma  au ya serikali yatu. Shabaha ilikua  ni kuiua Zanzibar  kiuchumi ili kuidhibiti. Sehemu ya Zanzibar katika  “Currency Board ” ya Jumuiya ile  ilikua 11.2%. Huo ukawa msumari mwengine kati ya mingi katika jeneza letu. Licha ya juhudi nyingi za Viongozi wetu , walishindwa kuzuwia hilo. Kwani wenzetu hizo wanazoziita “KERO” ndio “MISUMARI” wanayoigongomelea JENEZA LETU hadi watapotuzika kabisa.
Msumari mwengine mjarabu kabisa ni kule  kuunganishwa kwa Afro-shirazi party (ASP) na TANU, 1977 kinyume na  Marehemu mzee Karume alivyowausia   wandani wake wasifanye,kwani yeye binafsi hakuridhia hilo katika utawala wake mzima wa miaka 8 .Kwa msumari huo,hatima ya kisiasa ya Zanzibar ilianza kuamuliwa  Dodoma badala ya kisiwandui. Rais wetu Aboud Jumbe alipofanya nyoko huko Dodoma, 1984 , alikiona kilichomtoa kanga manyoya. Kuanzia hapo hata viongozi wetu wa Zanzibar bila ya ridhaa ya Dodoma,ni mwiko  kukalia kiti cha Urais. Wenzetu wanatuchagulia hata   marais wetu-aibu gani hii ?
Msumari mwengine katika jeneza la Zanzibar ni kuondolewa kwa wadhifa wa ” Makamo-rais ” na kumfanya Rais wetu kana kwamba ni   rais wa kilabu cha mpira cha ” MIEMBENI SPORTS CLUB”. Hana nchi hata akiwa na bendera....SASA AMEKUWA BOYAA TU SHEIN SIO RAISI.
Na pale Zanzibar ilipojiunga na Jumuiya ya Nchi za Kiislamu (OIC) ili inufaike kiuchumi,ana jiitaa mshirika wetu wa muungano alitutia munda na kuupiga msumari mwengine katika JENEZA la kuizika Zanzibar katika Jukwaa la Kimataifa. Marais Mwinyi na Salimin Amour wakavuliwa nguo hadharani na wakakemwe na Mwalimu Nyerere watoke kwa mlango wa nyuma kama walivyoingia. Kwani,  Zanzibar haitakiwi kuwa na sauti katika jukwaa lolote la kimataifa na hata kucheza dimba katika FIFA-Shiriklisho la kabumbu Ulimwenguni.
KABLA SHEREHE ZA MIAKA 50 ZA MUUNGANO 2014, MAITI  ya (ZANZIBAR) iwe tayari kuzikwa kupitia KATIBA MPYA YA SEREKALI YA TANGANYIKA. Zanzibar inazikwa kule kule UMOJA WA MATAIFA,NEW YORK, na sio Mwanakwerekwe ambako kaburi lake lilichimbwa  tayari 1964   pale kiti chake kama dola huru huko kilipotoweka kwa  kiini macho. TANGANYIKA((Tanzania)) inajua kucheza turufu  zake huko  ili kuizika Zanzibar katika  kaburi lile lile iliochimba 1964  kufuatia Muungano FEKI.
Baada ya kupora fedha zetu kutoka Jumuiya ya Afrika Mashariki iliovunjika ,sasa tunae muita mshirika  wetu wa Muungano amejianda kupora gesi na mafuta yetu kwa  njia ya kuitanua mipaka ya bahari kama alivyotanua mipaka ya aridhi katika ile Tanganyika kubwa  kwa jina la ((Tanzania.)) Wakati maliasili zao kama gesi,Tanzanite, dhahabu, almasi ,makaa ya mawe na nyenginezo, ni  mali zao pekee yao, mafuta na gesi ya Zanzibar na Pemba  eti ni ubia.
VIONGOZI WETU WA ZANZIBAR NA SISI UMMA WA ZANZIBAR,  TUTATUMBUA MACHO MPAKA LINI ? AU
MPAKA TUZIKWE KABISA HUKU SANDA TUMESHASHONEWA  NA TUNAIONA ?
Kuna usemi “Kila  Umma  hupata viongozi  uliostahiki kuuongoza.Ukiwa  Umma  ni ngangari, utapata viongozi ngngari kama akina  Jussa,Hamza na Mansuri -wenye kupaza sauti kuutetea Umma.La ,ukiwa  Umma ni wazembe, watapata viongozi wazembe.
Wazanzibari mpo ?
Tusigeuke  ile hadithi ya Mnyamwezi ” Ninamtajama tu” kumbe mwenzake anamharibu.Eti anatafuta ushahidi.
USHAHIDI kuwa tuna muita mshirika mwenzetu wa Muungano hakuwa na nia njema tangu awali, ilidhihirika pale alipopiga msumari wa kwanza,April 26,1964 kwa kuifuta Tanganyika .
Ilikua tangu wakati ule Viongozi wetu  wawaambie  ndugu zetu kuwa, BILA YA TANGANYIKA, HAKUNA MUUNGANO.Mumeivunja wenyewe. TUNAWEZA HATA KUWAAMBIA HIVYO LEO LAIT”I TUNA VIONGOZI NGANGARI- KERO ZIMETOKA WAPI IKIWA HAKUNA MUUNGANO.JAMANI “SI ULIANZA UFIZI NDIPO YAKAOTA MENO ?”
Ningelikua mimi ni  Rais wa Zanzibar,ningekwenda Studio za Raha leo na kulihutubia Taifa nikiwaamrisha wabunge wote wa Zanzibar katika Bunge la Muungano huko Dodoma, warudi Zanzibar mpaka  kwanza waziri-mkuu  Pinda,kwanza  awataka radhi  Wazanzibari na Rais wao pili hao wanao jiitaa washirika wetu katika huo Muungano FEKI,waifufua Tanganyika  walioifuta  kwa kini-macho.
Je, Wazanzibar mpo au tunasubiri kuzikwa kabisa  2014?..lakini UBAYAA HATUNA RAISI HAPA ZANZIBAR TUNA BOYAA TU LAELEYA KATIKA MAJI YA ZIWA TANGANYIKA.
ILI KUZUWIA KUPIGWA MSUMARI WA MWISHO KATIKA JENEZA LETU  ,TUDAI TUJADILI KWANZA UHALALI WA MUUNGANO NA KUIULIZA NCHI TULIYO UNGANA NAYO TANGANYIKA IKO WAPI IRUDI NA KAMA HAWATAKI BASI NDIO TUNAVUNJA KABISA MUUNGANO MAANA KWANZA HAKUNA MUUNGANO KUNA UBABE TU TUSIKUBALI KUJADILI KATIBA MPYA MAANA HAKUNA NCHI TULIYO UNGANA NAYO SASA TUNAJADILIYANA NA MTU ASAYE KUWEPO......? PIA TUKUMBUKENI KUWA. ULIANZA UFIZI NDIPO YAKAOTA MENO !

Tuesday, January 24, 2012

DAWA YA MOTO NI MOTO GNU WAZANZIBAR TUNATAKA KITI CHETU CHA U.N.


Hakuna asie fahamu kuwa kiti chetu cha umoja wa mataifa ndicho kinachotumiwa na jina la ((tanzania)),watanganyika kwa sababu zanzibar ndio iliyo  jiunga na U.N.hapo awali sio TANGANYIKA na ushahidi upo na kila kitu TANGANYIKA haijawahi kujiunga na U.N. wala U.N.hawaitambuwi nchi inayoitwa TANGANYIKA ndio walipo amuwa kufanya muungano FEKI wa tangnyika na zanzibar wakapata tanzania yao FEKI ndipo walipotambulika kwa hiyo hawa jama  wametutumia muamvuli wa zanzibar kimataifa kujitajirisha wao,kiuchumi ,kijamii,kibinafsi,yote haya ni kutawala zanzibar na kuipoteza katika ramani ya dunia.Kisu cha kutawaliwa ni chetu wenyewe,kisu hichi kitatuuwa wazanzibari wote ni vyema tukakidai kisu hichi kabla hakijatutuoa machango,maana kisu hichi tumempa chizi hasikii haoni,wakati umefika sasa kukichukua wenyewe,ili tuweze kupunguza jeuri hawa watwana watanganyika.
Ndio maana wanafanya vile wanavyotaka wao wenyewe,imefika wakati tudai kiti chetu cha U.N,tufanye siku tukakenshe nje ya baraza la wakilishi kusisitiza azimio hilo katika serekali yetu ya GNU tuone kama itatusikia sisi wananchi wake au itakuwa kama ile ya SMZ inayosubiri amri kutoka kwa mabwana zao DODOMA.
Tunawaomba viongozi wetu,waache kubembejea serikali ya muungano suala la mipaka ya bahari ya zanzibar,wakati hawa watanganyika hawaheshimu maamuzi ya baraza la wakilishi na katiba yetu,mangapi tuliwaeleza watanganyika wayaondoe kama ni kero za muungano kama ushuru mara mbili kwa wazanzibari,suala la mafuta na mipaka ya zanzibar,yote haya hawayataki kuyaheshimu na ndio kwanza yanashika kasi kila kukicha.Tuache kujidanganya kuwa tutawaandikia barua serikali ya muungano maana kwanza hakuna huo muungano kuna ubabe na unywanywasazi wa rai wa kizanzibar katika nchi yao wenyewe na hawa wanyika kuwanyanyasa wazanzbar haikuanza leo na haita ishaa leo wa kesho mpaka muungano huu FEKI ufe tuwe na jeshi letu polisi wetu yani vijana wa zanzibar ndio yatakwish.la sivyo tutakuwa tukidanganyana tu.na wala tusifikiri kuwa watasimamisha zoezi hilo,hata siku moja hawatafanya kosa,wakati huu tufunge firago vyetu tuende huko huko umoja wa mataifa kulimaliza tatizo hili kwa sheria za kimataifa na mkataba wa muungano na katia yetu.Azimio la kuenda umoja wa mataifa.Kuzuiya mipango ya uwombaji eneo la bahari.Kudai kiti chetu cha umoja wa mataifa.Kudai mkataba ambao uliruhusu kuondolewa zanzibar katika U.N,na kama haupo mkataba huo ulio sainiwa na sehemu mbili ya muungano,tanganyika itatulipa fidia zetu.Mkataba wa muungao pia tunauhitaji ulio unda jamuhuri ya muungano FEKI kama hakuna siku hiyo hiyo zanzibar ijitangaze kuwa ni nchi kamili na kuomba hifadhi ya kijeshi U.N mpaka itakapokuwa na jeshi lake la kuliamini yani vijana wa zanzibar sio wakuryaa na watwana na machongo waliojazwa katika makambi hawana wanalofanya zaidi ya kulewa na kula bure nakutia dada zetu mimba kisha siku za changuzi wanatuuwa na kutupinga na kutunyanyasa ndani ya nchi yetu wenyewe.
Mungu ibariki zanzibar na watu,tupe moyo na nguvu amiin

BAADHI YA WAWAKILI WAMTAKA ALI JUMA SHAMUHUNA AJIUZULU KWA KUIUZIYA SEHEMU YA BAHARI NCHI YA TANGANYIKA BILA YA KUIARIFU SERKALI YA GNU


Wajumbe wengi wa baraza la wawakilishi visiwani Zanzibar wametaka Waziri wa Maji, Makaazi, na Nishari Zanzibar Juma Shamhuna ajiuzulu. kufuatia sakata la kushirikiana kinyemela na serikali ya TANGANYIKA au feki jamhuri ya muungano wa ((Tanzania)) kufanikisha ombi la kutaka nyongeza ya eneo la bahari ikijumuisha mipaka ya visiwa hivyo, pasipo kulishauri baraza hilo.Wito wa kutakiwa kujiuzulu kwa waziri huyo mkongwe visiwani Zanzibar unafuatia hoja binafsi iliyotolewa na mwakilishi wa Jimbo la Mji Mkongwe Ismail Jussa. Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi wamemtaka waziri wa nishati Zanzibar, Ali Juma Shamuhuna ajiuzulu, pamoja na kupitisha azimio la kuitaka Serikali ya Zanzibar kuwasilisha mara moja barua ya kupinga kitendo cha Serikali  ya TANGANYIKA au feki Jamhuri ya Muungano wa ((Tanzania)) kuwasilisha ombi la huko Umoja wa Mataifa (UN) kuongezewa eneo la kiuchumui katika bahari kuu (EEZ).
Azimio hilo limefuatia hoja binafsi iliyowasilishwa na Mwakilishi wa jimbo la Mji Mkongwe  (CUF) Ismail Jussa Ladhu kuhoji uhalali wa serikali ya muungano kuwasilisha ombi hilo UN bila kuishirikisha Zanzibar kikamilifu.
Katika kukabiliana na serikali ya muungano, Jussa akitoa mapendekezo manne ambayo wajumbe wote wapiga kura kuridhia pamoja na pendekezo la tano linaloitaka baraza la mapinduzi Zanzibar kusimamia utekelezaji wa maazimio yaliyopitishwa na baraza la wawakilishi mwezi Aprili mwaka 2009.
Mapendekezo ya Jussa ni kama ifuatayo: Kwamba seriklai ya Zanzibar iiandikie serikali ya muungano barua ya kusitisha mara moja mchakato wa maombi ya kutaka kuongezewa eneo la ukanda wa bahari kuu, na kwamba iwapo serikali ya muungano ikipuuza serikali ya Zanzibar ipeleke ujumbe UN kutaka mchakato usimamishe.
Wiki iliyopita Serikali ya TANGANYIKA au feki Jamhuri ya Muungano kupitia Waziri wake wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makaazi Anna Tibaijuka iliwasilisha maombi katika umoja wa mataifa kuomba eneo la ziada la maili 150 nje ya eneo la sasa la maili 200 za ukanda wa kiuchumi wa eneo huru la bahari.
Katika mchakato huo serikali ya muungano ilimshirikisha waziri wa nishati wa Zanzibar,  Ali Juma Shamuhuna kama alivyokiri mwenyewe kwa wajumbe wenzake ndani ya baraza la wawakilishi wiki iliyopita. “Kama waziri ni serikali, basi Zanzibar ilishirikishwa,  na nilimpeleka msaidizi wangu kuniwakilisha, lakini kama serikali ni baraza la mapinduzi, basi haikushirikishwa katika jambo hili,” Shamuhuna alisema.
Kauli yake ilizuwa maswali mengi kwa wajumbe wenzake miongoni mwa maswali hayo yakiwa ni inakuwaje jambo zito kama hilo Shamuhuna analibeba peke yake wakati baraza lilipitisha azimio linalotaka eneo lote la bahari la EEZ pamoja na maliasili ya mafuta liondolewe katika orodha ya muungano?
Serikali ya TANGANYIKA NA FEKI muungano haijajibu hadi leo kuhusu azimio la baraza, lakini viongozi wa seriklai ya muungano wamekuwa wakitoa kauli kwamza matatizo yote ndani ya muungano yatashughulikiwa.
Katika kuonesha kutoridhika na Shamuhuna, ndipo baadhi ya wajumbe wakamtaka waziri huyo ajiuzulu mwenywe au rais amtimue kazi kutokana na madai ya kuidhalilisha baraza baada ya kushirikiana na Prof Tibaijuka kupeleka ombi UN.
“Inakuwaje waziri anakuja hapa bila ya kuwa na msimamo juu ya maswala nyeti kama haya…waziri Shamuhuna inabidi ajiuzulu au rais amuwajibishe. Kama hatua haitochukuliwa, tunaweza kutumia kifungu cha 41 kupiga kura ya kutokuwa na imani na serikali…,” alisema mwakilishi Hamza Hassan Juma (CCM Kwamtipura).
Wajumbe wengine ambao walitoa kauli za waziwazi dhidi ya Shamuhuna na kumtaka aachiye ngazi ni Hija Hassan Hija (CUF- Kiwani), Mbarouk Wadi Mussa (CCM- Mkwajuni), Asha Bakari Makame (CCM wanawake), Omar Ali Shehe (CUF-Chakechake), na Rashid Seif Suleiman (CUF- Ziwani).
Ali Mzee Ali (CCM kuteuliwa) alitumia lugha ya kiprofesa pia kumlaumu Shamuhuna kwamba alijitia kitanzi mwenyewe katika kuelezea ushiriki wake katika swala ambalo baraza tayari limetolewa msimamo mwaka 2009.
Juhudi la mwanasheria mkuu wa serikali Othman Masoud kujaribu kutaka kumkingia kifua hazikufua dafu, kwani aliposema kwamba ni mapema kumhukumu mtu barazani  alijibiwa kwa wajumbe kuguna, na baadae Jussa kumwambia kuwa wazanzibari ambao wamekuwa wakimheshimu sana wameanza kuvunjika moyo naye tangu alipopata wadhifa wa mwanasheria mkuu.
Hivi sasa kinachosubiriwa kwa hamu kubwa ni jibu la serikali ambalo makamo wa pili wa rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi aliahidi wiki iliyopita kuwa katika kikao cha baraza la mapinduzi swala hilo litazungumzwa na kujadiliwa ikiwa pamoja na kuangalia athari ya ombi la serikali ya muungano la kutaka nyongeza ya EEZ kwa Zanzibar.

JE SHEIN AU SIJUWI CHENI UTAMTIMUWA AU NDIO FINIKA KOMBE MWANAHARAMU APITE...?USIPO MTIMUWA MTU KAMA HUYU NDIO KWELI HATUTAKUWA NA IMANI NA SEREKALI HII MOJA PILI NDIO UNAZIDI KUTUJULISHA KUWA WEWE NI BOYAA TU UMEWEKWA HAPO AMRI YOTE INATOKA DODOMA ALA UJUWE WALIKUWEPO KAMA WEWE MABOYAA NA SASA WAPO WAPI HABU JIULIZE CHENI JIULIZE.

VATICAN YAVAMIA NCHI YA ZANZIBAR KWA KISHINDO KIKUBWA KABISA

KAZI kubwa inayofanywa        
na taasisi za Kikristo
kutoka Tanzania Bara na
nje ya nchi, sasa inaanza
kuzaa matunda.
Digital StillCamera
KUMBUKENI ZAMANI ZANZIBAR WATU WAKIJA KUSOMA DINI NA ILIKUWA
IKITWA MAKKA YA EAST AFRICA SASA IMEKUWA VATICAN YA EAST AFRICA
SHEIN NA SEIF MUTAMUELEZA NI M/MUNGU SIKU YA KIYAMAA..?NA VIONGOZI
WOTE WA ZANZIBAR PIA MUTAMUELEZA NINI M/MUNGU SIKU YA KIYAMA....?

M a k a n i s a y a k i z i d i
kuchipua kama uyoga,
nazo skuli za awali, msingi
na sekondari za Kikristo
zinazotoa elimu bora,
zinaibuka kila mwaka na
kuwa kimbilio la wazazi
wengi wa Kizanzibari.
Katika eneo la Tomondo
n a M o m b a s a k u n a
makanisa zaidi ya kumi na
skuli za Kikristo pamoja
na maduka ya dawa, hali
ambayo inafanya mji huo
mdogo kuonekana kama
‘Vatican’ ya Zanzibar.
Hali kama hiyo ya ‘Vatican
Tomondo’, inaenea pia
kuelekea Kiyanga, Bambi
na shamba nyengine.
H a l i y a ‘ V a t i c a n
Tomondo’ inaonekana pia
Machui na Kiboje.
“Machui wamejiimarisha
na wanazidi kila uchao.
Huko Kiboje unaweza
kwenda msituni ghafla
ukatokezea kijiji kikubwa
a m b a c h o h a k i k u e p o
kabisa awali, ukawakuta
(Wakristo) wamejaa.”
Anasema mchangiaji
mmoja akitoa maoni yake
juu ya kasi ya kusambaa
U k r i s t o n a Wa k r i s t o
Zanzibar.
“Huo ni mmoja katika
m i k a k a t i y a o k u w a
waongozeke Zanzibar bila
sisi kushtuka, ili siku moja
ghafla waje watwambie
kuwa “hamuwezi kuweka


sheria za Kiislamu kwa
sababu tupo 50-50 (sawa
kwa sawa).” Anasema
mchangiaji huyo.
Uchunguzi uliofanywa
na mwandishi umebaini
kuwa, wakati taasisi za
Kikristo zikizidi kufanya
j u h u d i k i m ya k i m ya ,
baadhi ya Masheikh na
wanaharakati wa Kiislamu
wamekuwa wakilalamika
na kushutumu taasisi
za Kikristo hasa kutoka
Bara kwamba zimekuwa
zikiwahadaa wananchi wa
Zanzibar na kupora ardhi
zao.
Madai yanayotolewa ni
kuwa ‘Wabara’ hao Wakristo
wanawatumilia baadhi
ya Wazanzibari kupata
viwanja wakidanganya
kama wanataka kufanya
shughuli za kijamii, lakini
baada ya muda mchache tu,
“unashtukizia washajenga
k a n i s a n a wa n a we k a
msalaba na kengele”.
L a w a m a k u b w a
wamekuwa wakitupiwa
w a n a n c h i a m b a o
w a m e k u w a w a k i u z a
maeneo yao, lakini nao
wamekuwa wakijitetea
k u w a n i u m a s i k i n i
unaowasukuma kuuza kile
ambacho ndio wanaona
kitawasaidia.
Wamesema, tatizo hili
hawezi kulaumiwa mtu
binafsi mmoja mmoja,
bali ingetakiwa jamii ya
Waislamu, labda kupitia
taasisi zao kuliangalia kwa
mapana yake.
“ Wa i s l a m u h a t u n a
mfumo wa zaka na sadaka
wa kusaidia masikini

wala mpango mkakati wa
kuangalia mustakbali wa
Uislamu Zanzibar, sasa
utamlaumi vipi mtu binafsi
anayeuza eneo lake ili apate
kujikimu kwa chakula na
ada ya watoto ya shule?”
Alihoji Mzee mmoja
katika moja ya maeneo
ya shamba ambapo taasisi
za Kikristo zimekimbilia
kununua ardhi.
B a a d h i y a w a t u
wamelinganisha suala
hili la ardhi ya wazalendo
kuuzwa kwa wawekezaji
wa nje (Wakristo) na
mashirika ya kidini ya
Kikristo sawa na ile hali
iliyotokea kwa Wapalestina
ambapo ardhi kubwa
iliuzwa kwa Mayahudi.
Wa n a o t o a h o j a h i i
wanasema kuwa hata
ukiangalia suala la ulevi,
zipo sheria lakini hazifuatwi
kinyume chake baa na
vilabu vya ulevi huwekwa
kila mahali kwa leseni za
serikali jambo linalotia
s h a k a k wa m b a l a b d a
huenda kuna mkakati wa
kusambaza ulevi kuharibu
jamii.
Baadhi ya Wazanzibari
waliolijadili suala hili hasa
kupitia katika mtandao
wanasema kuwa itakuwa ni
fikra potofu kudhani kuwa
Zanzibar ni ya Waislamu
na Wakristo hawana haki.
“Naona kama ni kheri
tukaacha kutiana chuki
hususan kupitia dini na
kujaribu kuleta mitafaruku
ya kidini. Nadhani Zanzibar
wapo Wakristo, mabaniani
na wengine wengi. Hawa

ni minorities (wachache),
l a k i n i t u k u b a l i a n e
kama wapo!” Amesema
mchangiaji mmoja.
“ N a d h a n i w e n g i
watakuwa wamesoma
japo na Mkristo mmoja
skuli, binafsi nimesoma
na Mkristo nilipofika
sekondari. Huyu alikuwa
akitokea Mkwajuni, huko
Wakristo wapo na hilo
hatuwezi kuliepuka.”
Aliongeza.
“ S i o To m o n d o t u ,
‘Vatican City’ kubwa
ipo Machui huko hadi
n g u r u w e w a p o n a
daladala za Waislamu
ndio zinasafirisha pombe.”
A n a s e m a m c h a n g i a j i
mwingine.
Hata hivyo, wengine
wanasema kuwa kama
ilivyo Marekani, Italy,
Ufaransa na Uingereza
ambapo Waislamu wapo,
lakini katika hali halisi ni
nchi za Kikristo.
“Ni kweli Wakristo
walikuwepo tokea zamani,
lakini sio kutuharibia
ardhi yetu kwa kuzijengea
makanisa na majumba
ya madanguro.” Alisema
m c h a n g i a j i h u y o n a
kuongeza akisema kuwa:
“Hizi chuki lazima
zitakuja, kwa vile kwa
nini wananchi wazaliwa
hawapati viwanja na
badala yake wapewe
hawa ili wajenge makanisa
ambayo mengi hayana
hata hao wanaokwenda
kufanya hizo wanazoita
ibada zao,
bali hii ni mipango
maalumu iliopangwa
kuja kukichafuwa kisiwa
chetu. Mbona hizo nchi
za nje hawakubali misikiti
ijengwe kiholela tu?,
Tusijitie
h u r u m a k wa n i l e o
hii Muislamu mbali ya
kujenga misikiti,bali kuvaa
hizo hijabu za kichwa tu
basi imekuwa kero, sasa je,
sisi wanaojenga makanisa
k i h o l e l a ? A l i s e m a
mchangiaji huyo katika
mtandao.
“Ni lazima tupinge
haya kwa nguvu zote,
na tunajuwa kwamba
Wakristo kweli tumekaa
nao tokea zamani lakini
sio kutujengea makanisa
kiholela kwani nina imani
Wakristo wote hapo labda
ni asilimia 4, sasa hata
yakijengwa yakiwepo
m a k a n i s a m a t a t u t u
yashawatosha.”
U c h u n g u z i w a
mwandishi umebaini
kuwa suala hili la ujenzi
wa makanisa na shule
z a K i k r i s t o , l i m e z u a
mjadala mkali katika
mitandao ambapo wengi
wamekuwa wakipinga
huku wengine wakisema
kuwa wa kulaumiwa ni
Wazanzibari wenyewe kwa
maana kuwa kama wao
wamelala wasidhani kuwa
na wengine wamelala au
wamekaa tu kupiga porojo,
wanafanya kazi.
W a n a s e m a j a p o
inaweza kudaiwa kuwa
kwamba hii ni njama
ya mfumokristo, lakini
Waislamu Wazanzibari nao
wameweka mikakati gani
na kuitekeleza kukabiliana
na njama (conspircy) hizo?
Wanahoji.
Wanaotoa hoja hiyo
w a n a t a h a d h a r i s h a
wakisema kuwa watoto
wanaosoma katika skuli
za Kikristo hivi leo ambazo
zinatoa elimu bora kuliko
ilivyo Benbela na nyingine
za serikali, baada ya miaka
m i c h a c h e i j a yo n d i o
watakaokuwa watawala
wa Zanzibar.
“Lawama kubwa ni sisi
wenyewe Wazanzibari,
sisi wenyewe wananchi,
wananchi ndio serikali
sasa nani wa kulaumiwa
? Skuli haziboreshwi,
zimekuwa mahala pa
watoto kujifunzia mipasho
na uhuni wa kila sampuli,
taasisi za Kiislamu na
watu binafsi hawajengi
n a k u e n d e s h a s h u l e
bora, wakijenga wengine
tusilalamike.” Imeandikwa
katika maoni ya mchangiaji
mmoja katika mtandao.
“ N i w a j i b u w e t u
kuilinda nchi yetu, dini
yetu na Utamaduni wetu,
hakuna mwengine wa
kuyafanya hayo isipokua
sisi Waislamu Wazanzibari.
Muhimu Wazanzibari
tuelewe kuwa kizazi chetu
kitakuja kutulaumu kwa

kuiachia nchi ikichukuliwa
na kutoihami dini ya
Kiislamu wakati uwezo
wa kufanya hivyo tunao.”
Ameongeza.
W a l i o c h a n g i a
wa k i wa n a m t i z a m o
huu wanasema kuwa
kulalamika haisaidii kitu
na la muhimu kufahamika
ni kuwa kila jamii ina
haki ya kujiimarisha ili
kuhakikisha uwepo wake
kwa vizazi vijavyo.
K w a m b a k a m a
Waislamu wa Zanzibar
hawafanyi harakati za
kuwaendea Wakristo wa
Bara na kuwaita katika
Uislamu, Wakristo wa
Bukoba na Tukuyu wao
wakija Tomondo na Chake,
huwezi kuwalaumu.
Z i p o t a a s i s i k a m a
JUMIKI, JUMAZA na
UAMSHO, je, hizi zina
mpango wa kuwaendea
Wakristo wa Kyela, Kibosho
au Sumbawanga?
S a s a k a m a h a z i n a
m p a n g o h u o , w a
kulaumiwa sio Kadinali
Pengo anayetuma vijana
wake kuweka misingi
ya kuimarisha Ukristo
na kudhoofisha Uislamu
Zanzibar.
Kwa upande mwingine
imeelezwa kuwa nguvu
kazi na rasilimali kubwa
ya Waislamu imekuwa
ikitumika katika siasa
zisizo na munufaa kwa
jamii badala ya kuzielekeza
katika mambo yenye tija.
“ K a m a u l e u m a t i
unaokusanyika katika
mikutano ya CCM na
CUF ungeelekezwa katika
jambo moja tu dogo na
jepesi la usafi wa mji,
leo Zanzibar isingekuwa
chafu kiasi hiki, lakini
tembea mjini uone na
labda ulinganishe na miji
mingine yaTANGANYIKA(( Tanzania)).”
A m e s e m a  S h e i k h
mmoja ambaye hata hivyo
hakutaka kutajwa jina lake
gazetini.
Sheikh huyo ambaye
anawalaumu wanasiasa
kwa kushindwa kutumia
nguvu kazi ya mashabiki
wao kufanya mambo
y e n y e m a n u f a a k wa
nchi, amewalaumu pia
viongozi wa Kiislamu kwa
kushindwa kuwatumia
waumini wao kuendeleza
Uislamu badala yake nao
wamebaki wakilaumu
makanisa.

Saturday, January 21, 2012

NI KWELI WASEMAVYO KUWA ZANZIBAR SIO NCHI SHEIN NI BOYAA KAMA ALIVYOKUWA KARUME KWA NYERERE BOYAA TU


HAPA NDIO TULIPO MALIZWA SASA NI KAMA KUMSUKUMA MLEVI TU










NATUJIULIZE TUNATOKA WAPI TUNAKWENDA WAPI NA VIONGOZI TULIYOKUWA NAO NA AMBAO TUNAO SASA NINI TAFAUTI AU NGOMAA NDIO ILE ILE....?
PALAU,BIRIANI,WALI WA MAJI AU WA NAZI LAKINI WOTE NI NINI
MCHELE BADO TU WAZANZIBAR HATUJA AMKAA

GNU YATAKIWA KUTOWA MAELEZO KUHUSU NYONGEZA YA MASAFA YA BAHARI

RUSHWA MBAYA JAMAA MMAUZAA NCHI NZIMAA SASA MPAKA BAHARI YA MWENYEZI MUNGU PIA MUUNAUZAA....

kificho1
 January 20, 2012
Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar, Pandu Ameir Kificho akiendesha kikao cha baraza hilo kinachoendelea katika ukumbi wa Mbweni nje kidogo ya Mji wa Zanzibar
Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar, Pandu Ameir Kificho ameitaka Wizara ya Ardhi, Makaazi, Maji na Nishati kutoa taarifa katika baraza la mawaziri suala la TANGANYIKA kuwasilisha ombi la nyongeza masafa ya bahari kuu kwenye Umoja wa Mataifa. Kificho alisema hivyo baada ya Waziri wa Ardhi, Makaazi, Maji na Nishati, Ali Juma Shamuhuna kusema kwamba yeye kama wizara taarifa anayo hiyo lakini katika baraza la mawaziri hakuna taarifa ya jambo hilo iliyowasilishwa.
“Nakuomba waziri mheshimiwa Ali Juma Shamuhuna kuleta taarifa hiyo baraza la mawaziri kwa ajili ya kuifanyia kazi pamoja na wajumbe wa baraza la wawakilishi” alisema Spika Kificho.
Kificho, aliwaambiwa wajumbe wa baraza hilo wasubiri na kuiagiza Serikali kulifuatilia suala hilo kikamilifu ili wananchi wa Zanzibar wajue lengo la hatua hiyo kwa serikali ya TANGANYIKA((LENGO TUNALIJUWA NIKUTUMALIZA KABISA MAANA WASHATUMALIZA TOKA FATHER KARUME ALIPOSEMA NDIO TUMEUNGANA ILIKUWA KISHA SASA NI KUJIKOMBOWA TU SIO DOMO DOMO TUPU KAMA DEBE.
Alitoa agizo kwa serikali kutoa maelezo juu ya upande mmoja wa Muungano kupeleka maombi hayo kwa Umoja wa Mataifa bila kuushirikisha upande wa pili.
Aliitaka Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kufuatilia jambo hilo kabla ya maamuzi ya Umoja wa Mataifa hayajatolewa kuhusiana na suala hilo kwani suala hilo linahusu pande mbili na wananchi wa Zanzibar wana haki ya kujua mwenendo wa mambo katika nchi yao.
Awali Mwakilishi wa jimbo la Mji Mkongwe (CUF) Ismail Jussa Ladhu alitoa taarifa mbele ya wajumbe wa baraza la wawakilishi kwamba Jamhuri ya Muungano wa(( Tanzania))YANI TANGANYIKA MKOLONI MWEUSI  imewasilisha ombi katika umoja wa mataifa kuomba kuongezewa masafa zaidi ya maili mia mbili katika bahari kuu.
Jussa alitoa hoja ndani ya baraza la wawakilishi akiwataka wajumbe wa baraza hilo lijadili suala hilo kwa uwazi hasa kwa kuzingatia suala hilo lina athari kubwa kwa wazanzibari iwapo litafanikiwa.
Alisema hatua hiyo ya Serikali ya Muungano ni nzito na inayogusa wananchi kwa hiyo, ilitakiwa kuangaliwa vizuri kwani waathirika wakuu zaidi ni wazanzibari.
Jussa alifahamisha kuwa kwa mujibu wa taarifa iliyotoka ndani ya vyombo vya habari ombi hilo linawasilishwa jana katika ofisi za Umoja wa Mataifa huko New York, Marekani.
“Waheshimiwa wawakilishi hoja hiyo imetugusa sana wananchi wanzanzibari tunaomba muichangamkie, hatutaki mambo ya hewala bwana, hoja ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa(( Tanzania)) TANGANYIKA kusema kuwa Zanzibar imeshirikishwa kwa vile mjumbe mmoja kutoka Zanzibar anaonekana katika picha ya pamoja na mama tibaijuka katika kuwasilisha ombi hilo la umoja wa mataifa hatuitaki wala haitoshelezi” alisema Jussa katika kikao hicho cha baraza la wawakilishi kinachoendelea huko Mbweni Zanzibar.
Kwa upande wake Mwakilishi wa Kuteuliwa na Rasi, Ali Mzee Ali, alisema kuwa ingekuwa jambo la maana suala kama hilo likapigiwa kura kutokana na umuhimu wake kitaifa na sio kuamuliwa na upande mmoja.
Suala la masafa ya bahari kuu limekuwa na mgogoro kati ya Zanzibar pamoja na serikali ya jamhuri ya muungano wa ((Tanzania))TANGANYIKA kiasi ya baraza la wawakilishi kupitisha azimio kuhusu jambo hilo, ambalo limeingizwa katika orodha ya kero za muungano.
Akitoa ufafanuzi zaidi, Shamuhuna                                                                                                      alisema kwamba wizara yake inayo taarifa kamili ya suala hilo ambapo alitakiwa yeye kufunga safari kwenda umoja wa mataifa kuwasilisha ombi hilo pamoja na waziri wa ardhi, nyumba na maendeleo ya makaazi wa jamhuri ya muungano Bi Anna Tibaijuka.
Hata hivyo Shamuhuna alisema kwamba kutokana na kutingwa na kazi nyingi alimtuma afisa wake kufuatana na ujumbe huo kwenda katika safari hiyo.“Ujumbe huo kwa sasa upo katika umoja wa mataifa na tayari unatarajiwa kuwasilisha ombi hilo ambapo TANGANYIKA baadaye itapangiwa tarehe kwenda kusikiliza shauri lao”.
Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar baadhi yao wamehoji hatua ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano ya ((Tanzania))TANGANYIKA kupeleka maombi Umoja wa Mataifa (UN) kuomba kuongezewa ukubwa wa eneo la bahari na kutaka ufafanuzi wa suala hilo kuwasilishwa ndnai ya kikao hicho, hatua ambayo kimsingi Spika Kificho alikubaliana nao wajumbe hao na kuiagiza serikali kuwaislisha suala hilo barazani hapo.
TANGANYIKA inawasilisha ombi la kuongezwa zaidi masafa ya eneo la bahari kuu kutoka mia mbili na sasa kufikiya mia nne, kama shauri hilo litakubaliwa.
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka, anaelezwa kuwasilisha hoja hiyo na kuiwasilisha Umoja wa Mataifa (UN) huko New York Marekani.

WAZANZIBAR TUNAPIKANA WENYEWE KWA WENYEWE

Thursday, January 19, 2012

KAMA SEREKALI YA KINAFIKI GNU HAIWEZI KUVUNJA MUUNGANO BASI WANANCHI TUVUNJANI AU TUNAOGOPA....?

 Hiloooo suala la bahari kuulaenda umoja wa mataifa (U.N)                                                                                                                                                            Kudai mipaka ya bahari ni hatua ya kunyang’anywa na kuchimbwa
      mafuta yetu Z’bar.
Ndugu zangu wazanzibari,AMKENI JAMAA AMKENII
Serikali ya Tanganyika yenye jina la Tanzania imekua na utaratibu wake siku zote mambo ya muungano kuamua wao peke yao bila hata kuyajali mawazo ya wazanzibari au kuwashirikisha Serikali ya Zanzibar, nasema haya kwakua imezoeleka hivyo katika mambo mengi tunayopitishiwa kwa sindikizo la muungano, haya ni matunda ya ubwege na upumbavu na ujuwa wakuto kusoma alioufanya Karume kuunganisha Nchi kibubusa bila kuangalia hatma ya taifa kwa baadae wala kuwashirikisha wananchi wa zanzibar matokeo yake tumetawaliwa kuanzia 1964 mpaka leo hii 2012 tuko chini ya utawala wa kikoloni wakitanganyika.

Kwa mujibu wa mkataba wa muungano katika mistari ya mwanzoya nakala hiyo inazungumza kuwa Mataifa haya mawili yaliungana kuunda jamuhuri moja (Nchi Moja), nah ii ilithibitishwa na Kikwete baada ya Pinda kusema Zanzibar si Nchi, yeye akasema mataifa haya mawili yaliungana kuunda taifa moja na akaengeza kuwa “ukiwa ndani ya Tanzania Zanzibar ni Nchi ukitoka Nje Zanzibar si Nchi” kauli hizi na nyenginezo za viongozi wa Tanganyika zinaonesha wazi kutoitambua Zanzibar kama ni Nchi hadi hii leo, Marekebisho ya 10 ya katiba ya Zanzibar syabezi ila hayana faida yeyote kwakua bado tupo palepale serikali ya MKOLONI MWEUSI  inafanya itakavyo na haiwi lolote, na wasiwasi wangu mkubwa hii katiba mpya pia inakuja kutubamiza na kuyameza marekebisho yaliofanywa na Baraza la Wawakilishi ya kwamba Zanzibar ni Nchi.
Katika mambo ambayo yaliwakera watanganyikani kuibadilisha katiba yetu na kusema kwamba Zanzibar ina mipaka yake ya asili, hili ndio kusudio la mada yangu, kwakua katiba ya Jamhuri ya muungano ya sasa inatamka wazi kuwa eneo la na mipaka ya Tanzania ni eneo lote la Tnganyika na eneo lote la Zanzibar, hapa ikiimanisha serikali ya muungano inaweza kufanya lolote bila ya kuwashirikisha SMZ na ndio maana mambo yote wanafanya watakavyona SMZ haifanyi kitu.IMELALA TU KAMA MAJIBWA KOKO MKIA KTK YA MIGUUU
Kwa mfano, katiba ya jamhuri ya muungano inatamka wazi mafuta na gesi ni mali ya muungano,wenzetu wanafaidika na gesi kila leo mabilioni kwa mabilioni bila ya hata senti tano kupewa Zanzibar, na sasa wanayanyemelea mafuta yetu kupitia mipaka ya bahari ili wayachimbe kirahisi. SMZ wao wamebaki “mafuta si mali ya muungano EHEE ABAA MAFUTA SI MALI YA MUUNGANOO MAFUTA SI MALI YA MUUNGANOO MPAKA LINI MAMBO HAYA yatolewe lakini hadi sasa wenzetu hawajataka kwakua watazipoteza pesa za mafuta ya wzanzibari”.
Awamu ya Raisi Amani walijaribu kutaka kufanikisha hili wakashindwa, waliunda kampuni ya mambo ya mafuta ya Tanzania, wakawapa vibali wachimbaji ili waje Zanzibar kuchimba mafuta kwa bahati Waziri Mansoor Yusuf akalivalia njuga suala hili likakwama, na Baraza la wawakilishi likatamka wazi “ Hata kama kuna tone moja tu la mafuta basi litachimbwa na wazanzibari wenyewe” lakini hatua hii ya serikali bado haijakwamisha azma ya mtawala MKOLONI MWEUSI  kwa Zanzibar.
Mwaka jana tumeshuhudia sote Pinda alienda kukagua meli za mafuta na hili halikuwa suala la kupuuzi labda Pinda alienda kutembea tuu lahasha ilikua tayari mipango yao wanakamilisha na ndio maana inaombwa mipaka ya bahari ili uchimbaji uanze, na kama si leo basi kesho ilimradi hilo limo katika mipango yao. U.N. ni marekani, hapa naona mmarekani nae anataka fungu lake aidhinishe mipaka ya bahari ili watu wachimbe mafuta nayeye aingie kwenye mgao.
Mipaka ya ya bahari yaTanganyika ni midogo sana tokea asili kwakua Nyerere aliiba majangwa tu ili kujilimbikizia eneo kubwa la mitaa za mraba, baadae ili kuipata bahari akafanya jitihada za makusudi kufanikisha muungano leo ndio hayo tunayaona, serikali ya SMZ haina nguvu hata ya kujikuna ipo ipo tu na wala haifanyi kitu kwakua wanaotuongoza ni wale wale CCM, si serikali ya umoja wa kitaifa bali ni serikali ya Paa moja la Kitaifa, na wanawaridhia watanganyika walitakalo, wanaokumbuka sera za Rais Shein alipokua akiomba kura wazitafute zilikua zinazungumzaje kuhusu mafuta na muungano watapata jawabu.
Tukitaka salama na Nchi yetu tujitoe kwenye muungano, wenzetu hawana nia safi ya umoja na udugu, wanalotaka wao ni kututawala ili milele tubaki maskini wa kutupa,na rasilimali zetu wazitumie wao na baadhi ya wanafiki wa Zanzibar kwa maslahi ya matumbo yao.
AGIZO:
Serikali ya Zanzibar kupitia Baraza la wawakilishi tunataka msimamo wenu juu ya hili wacheni kujadili kuhusu maposho ya wastaafu jadilini mambo ya maana mipaka ya Nchi yetu na rasilimali zake ziko kwenye hatari, eti posho la simu la mstaafu kwa mwezi liwe laki tano jamani huo ni mshahara wa wafanyakazi wa4 wa kawaida, wateteeni wanyonge wekeni pembeni maslahi yenu binafsi ili Nchi iwe huru kwanza kisha tukijitawala wenyewe haya yote yatakuja bila ya shida maana tutakuwa na mafuta hata wastafuu wakitaka laki7 sio neno mafuta ni kitu kikubwa oneni QATAR INAVYOTIGISHA ULIMWENGU WACHINI UJINGA FUATILIYENI KUJIKOMBOWA KWANZA ILI ZANZIBAR IWE HURU.
Kila la kheri Zanzibar,
Umoja, ,mshikamano,uhuru

SEREKALI YA WAKOLONI WEUSI TANGANYIKA IMEAMUWA KWENDA U.N.KUDAI NYONGEZA YA ENEO LA BAHARI BAINA YA TANGANYIKA NA ZANZIBAR

IMG_1616
Thursday, January 19, 2012
Waziri wa Ardhi na Maendeleo ya Makazi, Anna Tibaijuka ( Mb) akimkabidhi kwa niaba ya Serikali ya TANGANYIKA, Mkurugenzi wa Idara ya Umoja wa Mataifa ya Masuala ya Bahari na Sheria ya Bahari, Sergei Tarassenko, kwa niaba ya Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Andiko la kudai nyongeza ya maili 61,000 nje ya eneo la maili 200 la Ukanda wa Kiuchumi wa Bahari wakati wa hafla fupi iliyofanyika jana jumatano katika ofisi za Idara hiyo zilizopo katika Umoja wa Mataifa, Jijini New York, Marekani
NA MWANDISHI MAALUM
NEW YORK
SEREKALI HII YA TANGANYIKA, imewasilisha katika Umoja wa Mataifa, Andiko la kudai eneo la nyongeza lenye ukubwa wa maili 16,000 nje ya eneo la sasa la maili 200 za Ukanda wa Kiuchumi wa Bahari.
Waziri wa Ardhi na Maendeleo ya Makazi, Mhe. Anna Tibaijuka (Mb) ndiye aliyewasilisha Andiko hilo, kwa niaba ya serikali, katika hafla fupi na ya kihistoria iliyofanyika siku ya jumatano katika ofisi za Idara ya Umoja wa Mataifa inayoshughulikia masuala ya Bahari na Sheria ya Bahari.
Andiko hilo limepokelewa na Mkurugenzi wa Idara hiyo, Bw. Sergei Tarassenko kwa niaba ya Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa. ambaye aliipongeza TANGANYIKA kwa hatua hiyo muhimu na kuahidi kwamba Idara yake kupitia, Kamisheni ya Umoja wa Mataifa inayohusika na mipaka ya baharí italifanyi kazi Andiko hili.
Aidha Mkurugenzi huyo ameielezea TANGANYIKA, kama moja kati ya nchi inayoheshima sana na yenye historia nzuri katika Umoja wa Mataifa.MAWE
Akizungumza wakati wa kuwasilisha Andiko hilo, Waziri Anna Tibaijuka, amesema kwa kuwasilisha Andiko hilo, TANGANYIKA si tu kwamba imefanya kazi ya uhakika ya maandalizi na hatimaye uwasilishaji lakini ni hatua kubwa kwa maendeleo ya kiuchumi na kijamii kwa TANGANYIKA.((MUNAFIKIRI WAZENJI NI WAJINGA SANA BINU YENU HAPA NI KUHAKIKISHA MAFUTA YANAINGIA KATIKA MIPAKA YA TANGANYIKA KISHA NDIO MUVUNJE MUUNGANO NA ASIYEJUWA MBINU HII....?
Akabanisha kwamba mchakato wa maandalizi ya Andiko hilo ambao umechukua miaka mitano, umewashirikisha wataalamu mbalimbali wakiwamo wa ndani na nje , ikiwa ni pamoja na kuzihusisha nchi ambazo zinapakana kibahari na TANGANYIKA.((JE SEREKALI YA ZANZIBAR MUMEIHUSISHA KAMA YES NANI ALIYEKUWA KATIKA KIKAO HICHOO..?
Akizungumza manufaa ya kudai nyongeza ya eneo hilo, Waziri Tibaijuka anasema. “ TANGANYIKA itanufaika kwa kuongeza ukubwa wa eneo la mipaka ya nchi lakini la msingi zaidi ni unufaikaji wa rasilimali zikiwamo za MAFUTAA na GESII na madini ambazo zitakuwamo katika eneo hilo jipya, rasilimali ambazo kwa sasa zinaelekea kutoweka katika eneo la maili 200”.((YANATOWEKA SASA NDIO MUNATAKA NYONGEZA MUZIDI KUVIMBA NA KUSINZIA BUNGENI DODOMA AU SIO..?
Eneo ambalo TANGANYIKA inadai liongezwe la maili 61, 000 ukubwa wake ni sawa na eneo la mikoa mitatu ikiunganishwa kwa pamoja.
Aidha kuongezwa kwa eneo hilo kutaisaidia pia serikali katika masuala ya ulinzi na usalama hasa katika kipindi hiki ambacho vitendo vya uharamia wa baharini vikiwa vimeongeza katika eneo la bahari ya Hindi.
“ Pamoja na kuwasilisha Andiko hilo, lakini nchi yangu inapenda pia kutoa ombi la pekee kwa idara yako, kuangalia uwezekano wa kuharakisha mchakato wa kupitia nyaraka na vielelezo tulivyowasilisha katika Andiko letu, kwani itatusaidia sana katika ulinzi wa eneo la mipaka yetu dhidi ya uharamia” akasisitiza Waziri .
Na kuongeza kwamba TANGANYIKA, kama ilivyo kwa nchi nyingine ambazo zinaendelea zinahitaji msaada mkubwa kutoka kwa wadau mbalimbali ikiwamo Idara ya Umoja wa Mataifa ya masuala ya bahari na sheria ya bahari katika kuukabili uharamia.((NYINYI NDIO MAHARAMIA WA KWANZA KABISA.
Faida nyingine ukiacha za kiuchumi ni kwa wataalamu wa fani mbalimbali kuwa na fursa ya kufanya utafiti katika eneo hilo hapo litakapokuwa limeridhiwa rasmi na kuwa sehemu ya TANGANYIKA.
Baada ya kuwasilisha Andiko hilo, hatua inayofuatia ni kwa TANGANYIKA kupitia wataalamu wake, itatakiwa kulitetea Andiko hilo mbele ya Makamishna wa Kamisheni ya Umoja wa Mataifa inayohusika na Mipaka ya Bahari utetezi huo utafanyika mwezi Agosti mwaka huu.
TANGANYIKA imewasilisha Andiko hilo kwa kuzingatia Sheria ya kimataifa ya Bahari namba 76 kifungu kidogo cha 4, sheria hiyo inaziruhusu nchi ambazo ziko kando kando ya bahari kudai eneo la nyongeza iwapo zitakidhi vigezo vilivyotolewa na Umoja wa Mataifa.((NYINYI MUMEKIDHI..?HAHAHAHAH
Mchakato wa kuanda Andiko hilo ulianza mwaka 2007 ukiwashirikisha wataalamu wa kada mbalimbali kutoka Wizara ya Ardhi na Maendeleo ya Makazi, Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Chuo Kikuu cha Ardhi na Mazingira, Wizara ya Sayansi na Teknolojia na Shirika la Maendeleo ya Petroli ( TPDC).
Sehemu kubwa ya Mradi imefadhiliwa na Serikali Kuu na kwa kusaidiwa na Serikali ya Norway.
Hafla ya kuwasilisha Andiko hilo imehudhuriwa na Balozi wa TANGANYIKA katika Umoja wa Mataifa, Mhe. Ombeni Sefue, na waheshimiwa wabunge, Zakhia Meghji na Abulrahman Hassan Shah ambao ni wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Mazingira.
Wengine waliohudhuri hafla hiyo ni baadhi ya wataalamu waliohusika na maandalizi ya Andiko hilo ambao ni Dr. Sellasie Mayunga, Prof. Evelyne Mbende, Bw. Ayoub Mohamed Mahmoud kutoka Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Bw. Kelvin Komba na Bi. Verdiana Mashingia.
TANGANYIKA inakuwa nchi ya 59 kuwasilisha Andiko la kudai nyongeza ya eneo la bahari na ikiwa ni nchi 10 kutoka Afrika kufanya hivyo.TAAMAA TU BASI JINCHI KUBWA KITU GANI LAKINI BADO TU MUTAKUFA MUTAYAWACHA HAPA HAPA KAMA BABA YENU NYERERE MBONA HAKWENDA NAYO HUKO KABURINI KWAKE......?

Tuesday, January 17, 2012

KARUME ASEMA UHURU WA 1963 ZANZIBAR ULIKUWA WA BANDIA HAHAHA HAHAHAAH


HII NDIO BENDERA YA UHURU WA ZANZIBAR 1963

HII NDIO BENDERA ILIYOKUJA KUINGOWA
UHURU WA WAZANZIBAR MANA ALIKUJA NAYO
JOHN OKELLO NA HUYU JOHN OKELLO SIO MZANZIBAR ALIKUWA NI NYIKA WAKUTOKA UGANDA SASA MAPINDUZI HAYO UNAYOSEMA NI HAKI KWELI NI YA HAKI YA KULETWA NA WANYIKA NA MACHONGO AU YALE TULIYOPEWA NA MUENGEREZA NDIO YA HAKI..? WEWE UNASEMA NINI..?
Mh.Karume sherehe za Mapinduzi miaka 46
  • Adai uhuru wa 1963 ulikuwa bandia!?
RAIS Mstaafu wa Zanzibar, Dk. Amani Abeid Karume, amesema kauli ya ‘mapinduzi daima’ isiwatishe wananchi, kwani maana yake halisi ni kuwapatia wananchi wa Zanzibar mageuzi ya kimaendeleo.
Dk. Karume, alieleza hayo jana wakati akifungua jengo jipya la skuli ya Mwembe Shauri, iliyojengwa kwa msaada ZAYADESA, kwa kushirikiana na serikali Mbunge, Mwakilishi na wadau wengine.
Alisema kwa muda mrefu wapo baadhi ya watu wamekuwa na wasiwasi juu ya kauli hiyo kwa dhana wanazozijua wao, ambapo hakuna haja ya kuwa na wasiwasi kwani dhamira ya serikali ya juu ya kauli hiyo ni kuwapatia wananchi maendeleo daima.((ZANZIBAR ILIKUWA NCHI YA KWANZA KUWA NA UMEME WA TAA ZA BARABARANI KABLA HATA YA LONDON SASA HATA UMEME HAKUNA MAENDELEYO NGANI UNAYOYASEMA...?
Alisema serikali ya ukoloni haikuwapa fursa wananchi wote kupata nafasi ya kusoma kutokana na kuwapo kwa skuli chache na idadi ya wanaopata elimu ilikuwa ni ndogo, huku serikali hiyo haikuwa ikichukua
bidii kufanya mabadiliko yoyote katika sekta hiyo.((MUWONGO MNAFIKI MKUBWA MAMA YANGU KASOMA MPAKA KAMALIZA NA NI MUAFRO SHIRAZI WALA HAKUBANGULIWA WALA HAKUSUMBULIWA ILA MIJITU MINGINE ILIKUWA MIVIVU HAITAKI KUSOMA UNASEMA NINI WEWE...?
Alisema baada ya Mapinduzi 1964, serikali iliyoingia madarakani iliweza kuibadili sekta ya elimu kila mwaka kwa kutoa elimu bure, jambo ambalo limeongeza idadi ya skuli na kutoa nafasi zaidi kwa wananchi wa Zanzibar kupata elimu.((SAWA HAYA MBONA WAKIMALIZA FORM4 NA FORM6 HAWANA HATA KAZI YA KUFANYA BASI..?MBONA WATU WANAMALIZA KUSOMA FORM6 NA FORM4 HAWAJUWI HATA KUZUNGUMZA KIENGEREZA AMA KWELI MUMEIBADILISHA SEKTA YA ELIMU NA KUTUFANYA WAZANZIBAR MAJUWA.
Kutokana na kuwapo kwa hali hiyo Dk. Karume, alisema ndio maana serikali ya Zanzibar imekuwa ikisema mapinduzi daima kwa vile hayo ni maendeleo ambayo yamepatikana baada ya Mapinduzi kwani kabla ya hapo hayakuwapo(( HAYOO YA UJUWA SIO....?
Alisema serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, inapenda kuona inawapatia wote fursa za kupata elimu na ndio maana imekuwa ikichukua juhudi kujenga majengo mapya na ya kisasa ili wananchi watumie fursa hiyo bila ya ubaguzi kama ilivyokua wakati wa ukoloni.((SASA NDIO KUNA UBAGUZI JINA MOHAMMED,ALI,ISMAIL KATAKATA ILA FAKI,JECHA,PANDU WANAPASI AU SIO..?
Alisema Zanzibar tangu kuanza kutekeleza sera ya maendeleo katika sekta ya Elimu, Zanzibar imekuwa nchi ya mfano ikilinganishwa na nchi nyengine katika bara la Afrika.((HAHAHAHAHHAHAH UNACHEKESHA SANA TENA SANA HAHAHAHAHA KAMA NCHI NGANI YA AFRIKA MUNAYOTAKA NYINYI KUPINGIWA MFANO ..?HAHAHA
Alisema hiyo tangu kutangazwa kwa malengo ya Milenia zipo juhudi mbali mbai ambazo serikali imezichukua kuibadili sekta ya elimu kiasi ambacho tayari imeweza kuifikia dhamira hiyo.
Akizungumzia juu ya uhuru unaodaiwa kupatikana mwaka 1963, alisema hilo halipo kwani ulikuwa ni wa bandia na aliyepewa uhuru huo ulikuwa ni utawala wa kisultani.((ALAA SIKILIZA HII SAUTI NI YA KISULTANI KWELI AU....?

Kutokana na hali hiyo, Dk. Karume, alisema uhuru wa Zanzibar ni wa 1964, ambao ulitokana baada ya kuondolewa madarakani utawala wa mkoloni.((UNASEMA KWELI KWA HIYO UNAFURAHIYA KULIWA KWA WAZANZIBAR 1964 NA KUHARIBIWA DADA ZETU NA MAMA ZETU NA MACHONGO WALIYOLETWA NA NYERERE SIO..?
UHURU HUU UNATAMBULIWA NA NYINYI SIO DUNIA
WALA MWENYEZI MUNGU BABA YAKO YUKO WAPI..?
TUBU KWA MOLA WAKO KABLA HUJENDA NA WEWE PIA.

AMANI KARUME UKIWA HUMU NDANI MAPINDUZI DAIMA HAYATA
KUSAIDIYA WALA KISONGE KAA UKITAMBUWA HILO.
Alisema uhuru huo ndio ulitambuliwa na dunia nzima yakiwemo mataifa ya Afrika, huku nchi zilizokuwa zikiitawala Zanzibar ikiwemo Uingereza ndio iliyochelewa kuutambua uhuru huo.
Mapema Dk. Karume aliifungua rasmi jengo la skuli ya Mwembe Shauri ambapo katibu Mkuu wa wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali, Mwanaidi Saleh, akitoa maelezo ya kiufundi alisema thamani yake hadi
linakamilika ni shilingi milioni 222,492,444.
Alisema kati ya pesa hizo serikali ya Zanzibar imetowa shilingi milioni 122,813,524 na ZAYADESA imetoa shilingi 99,678,920 ikiwa ni mchango kwa ajili ya kununulia vifaa pamoja na kuwalipa mafundi.
Mapema Mwalimu Tatu Suleiman Ubwa, akisoma risala ya Walimu wa skuli hiyo waliishukuru Jumuiya ya ZAYADESA na serikali kwa kufanikisha ujenzi wa skuli hiyo na kuiomba kuangalia uwezekano wa kujenga skuli nyengine inayofanana na hiyo kwenye eneo hilo.
Katika sherehe hizo pia ilihudhuriwa na Mwenyekiti wa Jumuiya ya ZAYADESA, Mama Shadya Karume, Mbunge wa Jimbo la Rahaleo Abdalla Juma na Mwakilishi Nassor Salum ‘Aljazira’.

Wednesday, January 11, 2012

MFAA MAJI HAWACHE KUTAPATAPA NDIO YA HAMAD RASHID SASA

Hamad-Rashid-Mohamed1 
Mbunge wa Wawi, Hamad Rashid Mohamed
Mbunge wa Wawi, Hamad Rashid Mohamed, ambaye wiki iliyopita alitangazwa kufukuzwa uanachama wa Chama cha Wananchi (CUF) na wenzake watatu, amesema kufikia jana alikuwa hajapata barua rasmi kutoka CUF ya kumuarifu kuhusu hatua hiyo dhidi yake.
Hamad, ambaye na wenzake hao; Doyo Hassan, Shoka Khamis Juma, Juma Said Saanan, alisema taarifa za kufukuzwa kwao uanachama, wamekuwa wakizisikia tu kwenye vyombo vya habari, kinyume cha kawaida.
Hata hivyo, alisema tayari amekwisha kumwandikia barua Katibu wa Bunge kumjulisha kuhusu uamuzi wa Mahakama Kuu, Kanda ya Dar es Salam, uliozuia kufanyika kwa kikao cha Baraza Kuu la Uongozi wa CUF Taifa, kilichowafukuza uanachama wa chama hicho.
Amri hiyo ya iliyotolewa na Jaji wa Mahakama hiyo, Augustine Shangwa, ilitaka kikao hicho kisifanyike hadi hapo kesi ya msingi namba 1/2012 iliyofunguliwa na Hamad na wenzake 10 itakaposikilizwa na kuamuliwa.
Hamad alisema katika barua aliyomwandikia Katibu wa Bunge aliambatanisha pia na nakala ya uamuzi huo wa mahakama.
Alisema nakala ya barua hiyo pamoja na ile ya uamuzi wa mahakama, vimepelekwa pia kwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG) na kwa Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, kuwajulisha kuhusu uamuzi huo wa mahakama.

NCHI YA ZANZIBAR MAJI HAKUNA UMEME WA MGAO VYAKULA VIMEPANDA BEI LAKINI SHEREHE ZA MAPINDUZI LAZIMA ZIFANYWE NA TAYARI MILLIONI700 AU ZAIDI ZITATUMIKA NIAKILI HIZOOOO

HAYA NDIO WALIYOYAFANYA VIKAPTURA MACHONGO KUWAUWA DUNGU ZETU WA HAPA ZANZIBAR NA KUWANAJISI DADA ZETTU NA MAMA ZETU NA KUTUIBIYA MALI ZETU NA KUTUTHALILISHA NA KUTUKANDAMIZA NA KUTUTAWALA KWA NGUVU MPAKA LEO HII ZANZIBAR HAIKO HURU INATAWALIWA NA NYINYI WAPUMBAVU WAKUBWA NDIO KWANZA MANAPLANI KUFANYA SHEREHE ZA KULIWA MAMA ZENU,BABA ZENU,DADA ZENU,KAKA ZENU NA KUPORWA KWA NCHI YENU NYINYI MUNASHANGILIYA HAYO AMAKWELI USIMUAMBIYE KIPOFU TAZAMA.HAKUNA HATA MAHALI PAMOJA KATIKA ULIMWENGU HUU SASA AMBAPO WATU HAWAJUWI NINI KILICHO TOKEZEYA 1964 ZANZIBAR ILA MUNAJIFANYA KAMA PUMBUWANI SIO HAYA SHEREHEKEANI KULIWA KWA DUNGU ZENU.HIZO PESA KWANINI ZISIFANYIWE MPANGO MAALUM WA MAJI AU UMEME AU KUSHUSHA BEI YA VYAKULA.SI NDIO YA MUHIMU HAYA LAKINI WAPI MUNAONA BORA MUSHEREHEKE KULIWA KWA DUNGU ZENU KULIKO KUWA NA MAJI,UMEME,NA CHAKULA MIAKA NENDA MIAKA RUDI MAMBO NI YALE YALE TOKA 1964 HAYA SHEREHEKEANI TOWAONE.JIONE MWENYIWE MAITI ZA WAZANZIBAR ZILIVYO JAZWA KWENYE MALORI KUTOKA MASHAMBA NA BAHARINI MBALI WALIOULIWA NA KUFUKIWA KATIKA KABURI MOJA KISHA NYINYI MUNASHEREHEKEYA MAUWAJI HAYA ILIKUWA WATU MUKUSANYIKA NA KUSOMA HITMA NA KUOMBA DUWA M/MUNGU AWALAZE PEMA PEPONI NA AWASAMEHE WAZANZIBAR WALIOFANYWA MAJUHA KWA UROWO WA MADARAKA WAKAWAUWA WANZAO NAMWISHO WAO WENYEWE PIA WAKAULIWA LAKINI HAYA HAYAWAINGI KATIKA VICHWA VYENU NYINYI MUNASUBIRI SHEREHE TU BASI MUKAI MUKIJUWA MUNASHEREHEKEYA KULIWA NA KUNAJISIWA NA KUIBIWA NA KUCHUKULIWA NCHI YETU YA ZANZIBAR HAYO NDIO MUNAYO SHEREHEKEYA SIO UKOMBOZI KAMA MUNAVYODANGANYWA KUWA MULIKOMBOLEWA MAWEEEEEEEEEEEEEEE
Zaidi ya Shs. Million 700 zinatarajiwa kutumika katika kuadhimisha Sherehe za miaka 48 ya Mapinduzi Zanzibar ambayo kilele chake kitakuwa Januari 12 Mwezi huu huko katika Uwanja wa Amani Mjini Zanzibar
Akitoa taarifa mbele ya waandishi wa habari leo huko ofisini kwake Vuga, Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamo wa Pili wa Rais Mohamed Aboud Mohamed amesema kuwa fedha hizo ni kwa makisio tu lakini taarifa kamili ya matumizi hayo itatolewa baada ya kukamilika kwa sherehe hiyo
Amesema kuwa sherehe za mwaka huu zitakuwa ni tofauti kidogo tu ukilinganisha na miaka iliyopita kwani wanafunzi hawatoshirikishwa wakiwa wamevaa sare zao kwani imeonekana kuwa wananchi wengi watahudhuria sherehe hizo.
Amesema kuwa Kiwanja kilichokuwepo kwa sasa hakikidhi haja ya kuweza kuwachukua wananchi wanaokadiriwa kuzidi uwezo wa uwanja huo ambao ni watu 15 Elfu tu.
Hata hivyo Waziri Aboud amesema kuwa Wanafunzi hawakatazwi kuja kusherehekea wakiwa wamevaliwa nguo zao kama wananchi wa kawaida
Akizungumzia suala la Sherehe hizo kuitwa za Mapinduzi wakati Zanzibar inaendesha Chaguzi zake kwa njia za kidemokrasia, amesema kuwa Neno Mapinduzi ni kitu ambacho kilichowagomboa wananchi wa Zanzibar kwa hivyo Serikali imeona iko haja ya neno hilo lienziwe kwani Mapinduzi ndiyo yaliyowagomboa Wananchi wa Zanzibar kutoka katika makucha ya Wakoloni.
Aidha amewapongeza wananchi wa Zanzibar pamoja na waandishi wa habari kwa mashirikiano yao makubwa ambayo wameyaonesha katika kusherehekea sherehe hizo za miaka 48 ya Mapinduzi tangu kuanza kwake tarehe 4 mwezi huu.
Waziri Aboud ametoa wito kwa wanachi kuhudhuria kwa wingi katika sherehe hizo ambazo milango yake itafunguliwa kuanzia saa 12 za asubuhi siku ya kilele