Monday, April 30, 2012

WAZENJI WAKUSANYA SAINI YA KUTAKA KURA YA MAONI JUU YA MUUNGANO

 
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Uamsho na Mihadhara ya Kiislamu Zanzibar (JUMIKI) kwa kushirikiana na taasisi kadhaa za kiislamu za hapa Zanzibar zimeanza kutoa fomu ya kuitishwa kura ya maoni juu ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar. fomu hizo zinapatikana katika maeneo mbali mbali ikiwemo katika ofisi za Jumuiya ya Maimamu na Jumuiya ya Uamsho zilizopo Mkunazini Unguja
 na kwa watu binafsi zimeshasambazwa Unguja na Pemba katika maeneo mbali mbali kwa anayetaka awasiliane na taasisi husika na Kikwajuni zinapatikana.

UAMSHO-MZANZIBAR AMKA SIO MUDA WA KULALA NI MDA WA KUIRUDISHA JAMHURI YA WATU WA ZANZIBAR

UBAYA WA DUBWANA NA FIRAUNI,JINI,HITLER MWEUSI,KABURU JEUSI,MKOLONI MWEUSI WA MUUNGANO NA ZANZIBAR
  HAJA YA KUWA WAMOJA ~~ UAMSHO MAKUNDUCHI '1'
HAJA YA KUWA WAMOJA~~UAMSHO MAKUNDUCHI 2
SABABU YA KUUKATAA UMOJA HUU ~ UAMSHO KINYASINI
 UBAYA WA KUONA MAOVU NA KUYANYAMAZIA~ UAMSHO K/MAITI
UBAYA WA DUBWANA MUUNGANO - UAMSHO 'ALABAMA'

Sunday, April 22, 2012

ZANZIBAR KUMEPAMBAZUKA WAZANZIBAR MULIO NJE YA NCHI JE MUSHAMKA..?

“Usiku uwe mrefu uwavyo, lazima kutakucha tu”.
Kumepambazuka: Jamhuri ya Watu wa Zanzibar karibu kutia nanga..
Usiku wa Wazanzibari haujawa wa kuhisabu masaa na masiku, bali wa kuhisabu miaka na dahari. Wazanzibari walilazwa, si kwa kubembelezwa, bali kwa kumwagiwa utupa uliowalevya wakalewalewa, wakaghumishwa na kujingishwa wakashindwa kujitambua, hata walipo tanabahi, dahari zishapita. Wakaulizana kama walivyoulizana as-habul-kahfi “ni siku ngapi tumelala?” na wakajibiana kuwa ilikuwa ni siku tu, au baadhi yake. Lakini wakawa washalala miaka hamsini, takriban.
Walipopambazukiwa, hammad! washaibiwa, washaporwa, washanyanganywa. Kila kilichokuwa chao kilihauliswa kikawa si chao tena, na kilichobaki pao kikabaki pao bila ya kuwa chao. Jina lao lilibaki kama lilivyokuwa, ila halikuwa tena na maana na ile sharafu yake ya mwanzo, kwani lilipovuka n’gambu tu Mzanzibari ilibidi alishereheshe ili muambiwaji aweze kufahamu Zanzibar ni nini, na ipo wapi. Ilibidi aseme, mathalan, “Zanzibar imo ndani ya Tanzania”. Wengine hawakuipenda sherehe hii ingawa ndio ilikuwa rahisi kufahamika, hivyo wakaamua kuikwepa na kutumia ya “Zanzibar ni visiwa vilivyopo kwenye mwambao wa pwani ya Afrika ya Mashariki. Vipo karibu na Kenya”.Sherehe hizo, na nyinigine, hazikubadilisha ukweli kwamba Zanzibar ilishaliwa na Zimwi, ilikuwepo kinadharia tu, ila katika uhalisia ilishatoweka.Katika kiza totoro cha usiku mrefu Wazanzibari nao wakapata tabu ya kujitambulisha kwa watu wengine duniani wenye tambulisho zao za kitaifa. Katika ndimi zao [Wazanzibari] bado jina la Zanzibar lilitamkika vizuri, na mtu alijihisi kujiramba kwa utamu wake zama alipolitamka. Ila halikutosha kuusema utaifa wa Mzanzibari, kwa maana halikuwemo katika daftari la tambulisho za kitaifa za dunia. Badala yake Wazanzibari wakabatizwa kwa jina lisilo lao, jina wasilolitaka. Wako waliolitumia jina lao la ubatizo, na kuna wale walioasi, licha ya kuwa na stakbadhi ya ubatizo, kitabu cha kijani, ambamo ndani yake waliandikwa kuwa wao si Wazanzibari, bali ni watu wengine, kwa maana Zanzibar haikuwepo.Katika Zanzibar ya asili, Wazanzibari walijiamulia mambo yao bila ya kuingiliwa. Walipanga na kupanguwa wenyewe, wakafanya kila lililokuwa na maslahi kwa Zanzibar yao kwa ridhaa zao na mapenzi ya Zanzibar yao. Ila ilipokuja Zanzibar ya kiza, hayo nayo yakapotea arijojo kama ilivyopotea Zanzibar yenyewe. Imamu wa Masjidi Rikunda hakuchaguliwa tena na maamuma wa Rikunda, bali ilitoka amri kutoka kwa makasisi wa nchi nyingine na kuwaambia Wanarikunda kwamba chaguo lao halikuwa sahihi, na badala yake makasisi ndio waliochagua maimamu wa kuongoza swala- za sunna na faradhi- katika Masjidi Rikunda na miskiti mingine ya Zanzibar.Kilichobaki Zanzibar ikawa ni hadithi na vitabu vya tarikhi vilivyosimulia haiba na uzuri wa Zanzibar ya asili. Mitaani ungeweza kusikia sifa za Zanzibar zikisimuliwa kwa wale akina sisi –tusio bahatika kuiona Zanzibar ya asili. Tungeambiwa, “Zanzibar bana, ilikuwa ni dola kubwa iliyotapakaa mpaka Kongo na baadhi ya sehemu za Somalia mpaka Msumbiji”. Au ungesikia “Zanzibar ilikuwa kitovu cha elimu na ustarabu wa kiislam. Watu walitoka Azhar kuja kusoma ilmu Zanzibar. Au “Zanzibar imekuwa na taa za umeme barabarani kabla ya London… Zanzibar ndio nchi ya mwanzo kuwa na TV ya rangi kwa Afrika. Na simulizi za sifa kadhaa wa kadhaa ya jamii hiyo ambazo zilileta maumivu zaidi kuliko afuweni.Hakuna usiku usiogongana na alfajiri. Na alfajiri kukumbatiana na asubuhi. Na ndio wakati huu uliopo sasa. Ni asubuhi. Kushapambazuka. Wazanzibari washaamka. Wanajaribu kuisahau ndoto yao mbaya waliyoiota kipindi cha miaka hamsini waliyolala. Ndoto-kweli. Wanaiangalia nchi yao ishararuliwa raruraru. Haijulikani mbele wala nyuma. Umasikini umetawala. Maneno kama uchumi, biashara, balozi na sera ya nje hayatumiki tena. Lugha ishapotea. Tarabu ishageuzwa sindimba. Wazee wa kishihiri wauza kahawa kwa mideli wakiwa na mavazi yao rasmi hawapo tena, nafasi zao zimechukuliwa na wavamizi wasiojua hata maana ya usafi. Watu wasiokuwa wao ndio waliojazana, na wale wao hawapo. Washaliwa na Mazimwi. Waliopo hajulikani mgonjwa wala mzima, wote sawa. Kuna wanaojiona wazima kumbe ni wafu. Maiti kwenenda maskini! Sura zao kama zilizotopewa. Hajulikani aliae wala achekae. Wote sawa maskini!.
Katika hali hii ndipo wale waliosalia wanaamua kuizaa upya Zanzibar. Wanafanya kila waliwezalo ili kuhakikisha Jamhuri ya Watu wa Zanzibar inarudi katika hadhi yake ya nusu karne iliyopita. Midahalo, makongamano, mashairi, mafumbo na kila aina ya mikakati inatumika kuhakikisha Zanzibar mpya na salama inazaliwa. Katika uwanja wa Tahrir wa Zanzibar, wanasiasa si waongozaji tena, bali ni waskilizaji. Wazanzibari sasa ndio wanaotumia viriri, na kupiga mbiu ya mgambo ya uwokozi wa Zanzibar.
Ila katika mazazi haya – kama vilivyo vizazi vingine- kuna maumivu makubwa ambayo yatawapata Wazanzibari. Kuna wachawi ambao tangu sasa wanataka kumhujumu mtoto atakaezaliwa, na wamo mbioni kulitekeleza hilo. Wazanzibari watatishwa, kwamba huenda mtoto wakampoteza. Watapoteza damu, watasumbuliwa, watabughudhiwa na watasubukuliwa. Na kuna kipindi wakunga wao watajifanya wakali, ukali utakao wapa mori Wazanzibari. Wazanzibari wataisikia sauti inayowaambia: “Vuta pumzi kwa nguvu…fumba mdomoo… sukumaa!!” Hatimae mtoto atazaliwa. Tukichukue kitoto chetu, tukibimbe, tukishum na tukilinde. Mafisadi na wenye vyoyo vya roho tuwaache na mashaka yao.
Tuanze safari mpya.

Saturday, April 21, 2012

BALOZI IDDI AKHOFIA MUUNGANO UKIVUNJIKA MAJUMBA YA KIFAHARI ALIYOYAJENGA Z,BAR ATAYAKOSA


Tumejaribu kufuatilia sana kuhusu huyu makamo wa pili hapa nchini zanzibar kwanini anashikilia sana MUUNGANO.maana watu wakitaja MUUNGANO TU basi yeye huwa kama aliye ambiwa kuwa una kansa au jambo lolote la hatari kabisa.free zanzibar people from mkoloni mweusi.tukaona bora sasa tufuatiliya ili tujuwe ni kwa nini huyu jamaa anaumia sana akisikia au akiambiwa kuwa wazanzibar hawataki tena MUUNGANO inamuuma sana vijana walio mashuhuri kabisa na wanaujuwa kukamilisha kazi yao wakatulete habari kuwa BALOZI IDDI ana jenga anajenga na ameshajenga majumba mengi sana hapa zanzibar moja ktk hayo ni  Ukipita Fuoni utakuta Hekalu, ni jumba sawa na Ikulu ya Zanzibar.vijana wamebaini kuwa ni jumba lake mwenyewe kajenga lakustajabisha kuwa pembeni mwa kasri hilo alilojenga linalokaliwa na vijana wake tu sio yeye mwenyewe na  huku mzee akiishi nyumba ya Gov kuna wazanzibar wenye vijumba vya Tope na vumbi.akina mama wa karibu na kasri hilo maisha yao ya kuhurumiwa kabisa na hata hawajali.na hiyo ni Fuoni tu pia tumepata habari kuwa na Kitope Tunguu pia ana kasri jengine na kwengine makasri yanaendele  kuporomoka kwa kasi ambayo yote hayo ni yake sasa huyu ni kiongozi wa kuwalete wananchi maendeleo au ndio chukuwa chako mapema..?ndio tukamuwa kumeweka hapa ili wazanzibar wote waelewe kuwa BALOZI IDDI anachukizwa na kuvunjika kwa MUUNGANO kwa sababu anajuwa kuwa MUUNGANO ni wa kidhalimu na ukiwa haupo hata weza yeye kuishi hapa zanzibar maana itakuwa sasa kila moja ajieleze utajiri na majumba aliyojijengea vipi.ndio maana akawa mkali sana akisikia wazanzibar HAWAUTAKI MUUNGANO anajuwa itambidi arudi bara na kule hajajijenga kama alivyo jenga hapa pia alisema kuwa maisha bora kwa kila mzanzibar jee haya ndio maisha bora kwa kila Mzanzibar?
Balozi Seif Iddi, haya majumba ya kifahari unayoyaporomosha kila kona ndio maisha bora ya watu wa zanzibar?

KILEMBWE CHA FIRAUNI BALOZI SEIF ALI IDDI

          
HATUTAWAVUMILIA WANAOPINGA MUUNGANO ((NYOKA NI NYOKA TU HATA UMFUNGE NA KUKU BADO NI NYOKA NDIO HUYU BALOZI IDDI HILI NI JOKA TENA KUBWA KWELI KWELI NCHI HII YETU YA JAMHURI YA WATU WA ZANZIBAR IKIPATA UHURU TU KAMA BADO WAPO ZANZIBAR WOTE HAWA WAPANDISHWE MAHAKAMANI

Kundi la watu wanaotaka kuitishwa kura ya maoni kuamuliwa juu ya Muungano uwepo au usiwepo wakiwa katika viwanja vya baraza la wawakilishi

SERIKALI ya Mapinduzi Zanzibar imesema haitawavumilia wanaharakati au kikundi chochote kinatakachohatarisha amani kwa kisingizio cha kupinga Muungano wa Zanzibar na Tanganyika kwa kutumia mihadhara na makongamano.Hayo yameelezwa na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi Seif Ali Iddi wakati akifunga kikao cha Baraza la Wawakilishi kilichomalizika juzi huko Chukwani Mjini hapa.
Balozi Seif alisema Serikali  ya Mapinduzi Zanzibar haitaki kupoteza amani na utulivu na kurejea katika vurugu na uhasama uliojengeka katika jamii kwa maika kadhaa. Napenda niweke wazi msimamo wa serikali ya Mapinduzi Zanzibar haitakivumilia kikundi chochote kitakachoonekana kuhatarisha amani, utulivu na umoja wa wananchi wetu” alisema Balozi Seif.Alisema serikali haiku tayari kurudishwa nyuma ambako wananchi waliishi kwa khofu kubwa huku chuki na uhasama zikiwa zimetanda miongoni mwao.
“Hatutasita kuvizuwia vikundi vyovyote vinavyoendesha mihadhara au makongamano tutakayobaini yanahataridha usalama wan chi yetu. Na hili hatutakuwa na muhali na mtu yeyote Yule” alisema Balozi Seif wakati wa kufunga baraza.Alisema kuna kikundi cha watu wachache wanaoendesha makongamano kwa lengo la kuwakashfu na kuwatukana viongozi, badala ya kutumia jukwaa hilo kwa shughuli za uelimishaji.
 Alisema lengo la serikali zote mbili ni kuona watu wanajitokeza katika tume iliyoundwa na Rais Kikwete kwenda kutoa maoni juu ya katiba na sio kutumia majukwaa kwa kuwapotosha watu na kupinga Muungano.Alisema masuala ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar yana nafasi yake ya kujadiliwa na kwamba wanaotaka kufanya hivyo fursa hiyo wataipata kupitia mchakato ujao wa kukusanya maoni kuhusu mabadiliko ya katiba.Alisema awali waliamini kwamba wanaoendesha makongamano hayo wana nia njema ya kutoa elimu kwa umma lakini badala yake wamekwua wakitumia makongamano na mihadhara hiyo kwa kuwakashifu viongozi, kejeli na matusi kwa viongozi na watu wenye kuunga mkono Muungano.
Kauli ya Makamu wa Pili wa Rais, imekuja wakati tayari wanaharakati wanaopinga Muungano na wanaotaka kuitishe kura ya maoni ya kuwauliza wazanzibari iwapo wanataka kuendelea na Muungano uliopo au hawautaki wamo katika mikono ya jeshi la polisi baada ya kushikiliwa hapo juzi katika viwanja vya baraza la wawakilishi.Wanaharakati hao 12 juzi walikamatwa na jeshi la polisi baada ya kudaiwa kukataa kutii amri halali ya jeshi hilo mbele ya viwanja vya baraza hilo kabla ya kuonana na Spika wa baraza hilo, Pandu Ameir Kificho ambaye walitaka kumuelezea lengo lao la kufika hapo.Kwa mujibu wa barua yao waliomuandikia Spika Kificho, na kutiwa saini na kiongozi wa kundi hilo, Rashid Salum Adiy ilisema wazanzibari wana haki ya kikatiba kudai uhuru wa Zanzibar na hivyo wanachotaka ni kuitetea nchi yao kwa mujibu wa sheria zilizopo ambapo.Akizungumza na waandishi wa habari, Kamishna wa Polisi Zanzibar, Mussa Ali Mussa alikiri kwamba wanaharakati hao walipanga kumwona Spika kwa lengo la kushinikiza baraza lipitishe uzimio kuruhusu wazanzibari kupiga kura ya maoni ya kuukataa au kuukubali Muungano.
Kamishna Mussa alisema sio tatizo wananchi kudai haki hiyo ya kura ya maoni lakini kinachotakiwa ni kufuata taratibu na sheria za kuweza kufika katika viwanja hivyo vya baraza la wawakilishi na sio kwenda bila ya taratibu.“Sio shida wananchi kwenda pale lakini napenda watambue kwamba Baraza la Wawakilishi sio viwanja vya sikukuu, kama kila mtu anaweza kwenda tu na kusherehekea” alisema Kamishna huyo.
Alisema watub wanaweza kudai haki zao bila ya kuvunja sheria na jeshi la polisi limejipanga kukabiliana na vitendo vyote viovu na vyenye kuhatarisha amani ya nchi.Aidha alisema wananchi wanaodai kuukataa Muungano wanaweza kufanya hivyo kwa kufuata taratibu na wale wenye kuunga mkono Muungano pia wanaweza kufanya hivyo lakini kwa kufuata misingi ya sheria zilizopo na jeshi lake halitamvumilia mtu ambaye anakiuka sheria kwa kisingizio kama hicho.“Wanaopinga Muungano wanaweza kupinga lakini kwa kufuata taratibu maalumu na sheria na wale wenye kutaka Muungano pia wanaweza kuunga mkono lakini kama hatuwezi kuwaachia wneye kupinga kwa kusababisha fujo na hivyo hivyo hatuwezi kuwaruhusu wenye kuunga mkono kwa furaha zao wakenda uchi eti kwa sababu wanaunga mkono…lazima sheria na shuruti zitimizwe na sisi tupo hapa kwa ajili ya kuwashurutisha wale wasiotaka kufuata shuruti” alisema Kamishna Mussa.Uchunguzi wa Gazeti hili umegundua kwamba tayari wanaharakati hao wameshahojiwa na jeshi la polisi ambapo baadhi yao walikataa kutoa maelezo akiwemo kiongozi wa kundi hilo hadi hapo wakili wao atakapofika kituoni.

RAISI WA MIKARAFU MPAKA AKILALA ANAOTA MIKARAFU INAIBIWA



NGOJEYA SIKU UTIWE KABURINI NA SIKU YA KIYAMA IFIKE NDIO UTAJUWA UTAMU WA KULA KIAPO KUWA SIO KITU CHA KUTANIA HATA MARA MOJA PONDA MALI KUFA KWAJA WASWAHILI WANASEMA WEWE PONDA KARAFU ZA HARAMU KUFA KWAJA MAANA UNAJUWA WAZI KUWA NI KARAFU ZA HARAMU

Dkt Shein ameeleza hayo leo huko katika Ukumbi wa Kiwanda cha Makonyo Wawi Chake Chake Pemba wakati alipokuwa akiwashukuru Wajumbe wa Kikosi Kazi chaTaifa cha Usimamizi wa zao Karafuu Zanzibar na kuufunga msimu wa uchumaji wa zao hilo japo kuwa ununuzi mdogo wa zao utaendelea.
Amesema kuwa zao la Karafuu unaliingizia Serikali Fedha nyingi ukilinganisha na mazao mengine ya Biashara katika uchumi wa Zanzibar hivyo Serikali itahakikisha kuwa inachukuwa jitahada za zaidi kuona kuwa zao hilo linaimarika kwa kuipatia fedha nyingi Serikali.
Amesema kuwa kikosi kazi imefanya kazi ya ziada safari hii katika kulilida zao hilo lisitoroshwe kwa njia ya Magendo hivyo juhudi alisema ziendelezwe katika misimu ujao.

MUMEMSIKIA HUYU TUNAEMUITA RAISI WETU ANAVYO SEMA NAMNUKU((ZAO LA KARAFU INALIINGIZIA SERIKALI FEDHA NYINGI UKILINGANISHA NA MAZAO MENGINE YA BIASHARA KATIKA UCHUMI WA ZANZIBAR))HAKUSEMA KUWA ZAO LA KARAFU INALINGIZIA PESA NYINGI WANANCHI WANGU NA WAO WATAFAIDIKA ANASEMA SEREKALI SAWA TUACHE HAPO.
1)PESA NYINGI SEREKALINI JE MBONA HAKUNA HOSPITALI NZURI ZA SEREKALI.?
2)MBONA MPAKA LEO MAJI TABUU TUPU..?
3)MBONA MPAKA LEO UMEME ZIMA WASHA ZIME WASHA KAMA TUKO DISCO LA KOMBA PALE BWAWANI..?
MBONA WAFANYA KAZI WA SEREKALI MISHAHARA YAO HAIPANDISHI..?
4)MBONA HOSPITALI HAKUNA MADAWA..?
5)MBONA VYAKULA VINAONGEZEKA BEI KILA KUKICHA N.K
SASA HIYO SERAKALI INAYOPATA PESA NYINGI KTK ZAO LA KARAFU PESA HIZO ZINAPELEKWA WAPI...?NDIO NIKASEMA HATUNA VIONGOZI WOTE NI MAJIZI MAKUBWA HAYA HAKUNA CHENI WALA MNYORORO WOTE WEZI TU

Friday, April 20, 2012

ALIYEKUWA BRIGEDIA JENERELI ADAM CLEMENT MWAKANJUKI AFARIKI DUNIA KIHORO CHA KUSIKIA ZANZIBAR ITAKUWA NCHI HURU TU KAFAA


Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Brigedia Jenerali, Adam clement Mwakanjuki ALIYEKUWA HAPA Z,BAR KABLA YA MAPINDUZI NA BAADA YA MAPINDUZI HAKURUDI BARA AKABAKI HAPA HAPA VISIWA NA KUWASAKAMA WENYE KISIWA AMEFARIKI DUNIA OLE WENU VIONGOZI MULIOBAKI ZANZIBAR NA HATA WANAFIKI WA KIZANZIBAR WANOSHADIDIA ZANZIBAR KUBAKI KATIKA MUUNGANO WA WAKUWASULUBISHA KIMAISHA NA KIDINI MUJUWE MWISHO WENU NI HUU SOTE TUTAKWENDA ILA NYINYI NA OVU WENU MUTAKIONA MUKINGIA MAKABURINI MWENU SHAMHUNA,SAMIA,NAHODA NA MULIOBAKIA.
Ndiye alikuwa mkuu wa makanisa zanzibar na muunganishi mkuu wa kuwaleta wakristo kutoka tanganyika kuja zanzibar.
Huyu ndiye aliyezuia mihadhara ya kiislamu kufanyika wazi hadi pale kipatikane kibali cha mufti, muanzilishi na muasisi wa ofisi tata ya mufti.Mengine mola anayajua zaidi na atamlipa kwa haki inayostahiki juu yake.Hata sijui kama anastahiki kuitwa marehemu.Mola amlaze mahala panapostahiki ****ni

WAZANZIBAR WANAO DAI NCHI YAO KUWA HURU NA ISIENDELE KUTAWALIWA NA WANYIKA WATANGANYIKAA WATIWA BARONI NA JESHI HILI LA KITANGANYIKA LENYE KUENDELEZA UDIKTETA DANI YA NCHI YA ZANZIBAR


MAJESHI YA SEREKALI YA TANGANYIKA MAKABURU NA BANGO LAO LA KUWAONYA RAI WA NCHI HII YA ZANZIBAR WAKATI MAJESHI HAWA SIO RAI WA NCHI HII NI MADIKTETA WANAO INSHIKILIA NCHI YA ZANZIBAR KWA GUVU YA JESHI

Jeshi la Polisi la serekali ya tanganyika inayoshikilia serekali ya zanzibar kwa mabavu na guvu za jeshi ikiwatisha na kuwaonya rai wa nchi hii ya zanzibar kuto kudai haki ya nchi yao ati wakijidai kutowa tahadhari hii ni binu mpya yao yakuonyesha kama wanahishimu haki za binadamu lakini sio ukweli hawa ni wauwaji wakubwa wa kizanzi cha zanzibar na wako tayari kuwa tena na tena ili rai wa zanzibar wasidai nchi yao kuwa huru na na kuendeleya kutawaliwa na watanganyika je wazanzibar mupo mupo mupo huu ndio mda sasa ndio kazi imeanza hakuna tena kurudi nyuma wala kuogopa mpaka waitowe nchi yetu ya zanzibar wangalie hawa hakuna hata kijana moja wa kizanzibar wote ni jamaa wa mrima mitwana iliyojazwa zanzibar.
MAJESHI YA SEREKALI YA TANGANYIKA BARA YAWAVAMIYA WANANCHI WA ZANZIBAR NA KUWASTOPISHA KUDAI NCHI YAO YA ZANZIBAR KUWA HURU MADIKTETA WA KIBARA WANAOISHIKILIA NCHI HII TOKA 1964 KWA GUVU YA JESHI
JESHI LA SEREKALI YA TANGANYIKA WAKOLONI WAUSI WAKIMSAKAMA NA KUMSUKUMA NA KUMPIGA MZEE WA KIZANZIBAR KISA ANADAI UHURU WA NCHI YETU YA ZANZIBAR JE HUU SINDIO UKABURU WATANGANYIKA NI MAKABURU WAUSI WAKOLONI WAUSI
MAKABURU WA KITANGANYIKA WAKIWASHIKILIA RAI HALALI WA NCHI YA ZANZIBAR NAKUWACHUKUWA KTK GARI LAO HILO KUWAPELEKA KTK POLISI YA UKABURUNI NA HATUJAJUWA HATAMA YAO VIPI WATU HAWA WALIO CHUKULIWA NA HILI JESHI LA KIKABURU KUTOKEA HUKO TANGANYIKA WAMECHUKULIWA  ILI WASIDAI HAKI YAO YA NCHI YAO KUWA HURU NCHI HII YA ZANZIBAR IMETAWALIWA KWA MABAVU NA GUVU ZA JESHI LA WAKOLONI WEUSI WAKUTOKA TANGANYIKA KWA NUSU KARNE SASA JE SHEIN NA SEIF MUTAUNGANA NA WAZANZIBAR AU NDIO NA NYINYI MUSHAMEZWA NA WATANGANYIKA..??????????
Jeshi la Polisi la tanganyika likiwachukua watu mbali mbali walikwenda katika viwanja vya baraza la wawakilishi kudai uhuru wa nchi yetu ya zanzibar na kuwa hatutaki tena kutawaliwa na hawa MADIKTETA WA KITANGANYIKA HATUTAKI TENA MUUNGANO NA WAO MAKUBALIANO YA MUUNGANO NI MIAKA 10 TU SASA NI NUSU KARNE PIA NCHI YA ZANZIBAR ILIPO UNGANISHWA NA YA TANGANYIKA WANA NCHI WA ZANZIBAR HAWAKULIZWA NA SASA HATUTAKI TENA MUUNGANO ILA SEREKALI YA TANGANYIKA INATUMIYA JESHI LAKE NA GUVU ZA JESHI KUTUTAWALA KWA LAZIMA HUU NDIO UDIKTETA
Jeshi la polisi la makaburu weusi na wakoloni weusi la tanganyika lilopo ndani ya nchi yetu ya zanzibar limewatia mbaroni watu zaidi ya 12 kwa madai ya kukataa kutii amri ya jeshi hilo la kigeni lakotoka ktk serekali ya tanganyika inayoitawala kwa guvu za kijeshi serekali ya jamhuri ya watu wa zanzibar kwa kutakiwa kuondoka katika viwanja vya baraza la wawakilishi, walipokwenda kuonana na Spika na Baraza hilo Pandu Ameir Kificho.KUMBUKA MZANZIBAR ZANZIBAR NI YETU BARAZA NI LETU SPIKA mnafiki lakini pia NI WETU NA SHERIA YA KATIBA YETU YA ZANZIBAR PIA INATURUHUSU KUJA HAPA NA KUDAI AU KUZUNGUMZA NA SPIKA AU MAWAZIRI SASA KWANINI HAWA WATANGANYIKA NA JESHI LAO LINGILIYE KATI TAYARI WASHAVUNJA SHERIA YA KATIBA YA ZANZIBAR HUU NI USHAHIDI KABISA KUWA WAO NDIO WATAWALA HAPA NA SISI NI WATAWALIWA NA WASIO AMINI SASA WAMINI KUWA ZANZIBAR INATAWALIWA KWA GUVU ZA KIJESHI LA WATANGANYIKA WAKOLONI WAUSI MAKABURU HAWA.WALITAKIWA WABAKI KAMBINI KWAO WAENDELE KULEWA ILA NDIO WANATUONYESHA WAZIWAZI KUWA HATUNA NCHI ATI WANASEMA SEREKALI YA JAMHURI JAMHURI GANI WAKAWANDANGANYE KOBE NA PANYA HILI NI BARAZA LA WATU WA ZANZIBAR SIO LA JAMHURI YA MUUNGANO WASHAVUNJA SHERIA TAYARI JE SEIF NA SHEIN MUPOO AU NDIO MUME JA USINGIZI WA IKULU...???
UDIKTETA UNAENDELEA WAKITANGANYIKA NCHINI ZANZIBAR

Thursday, April 19, 2012

WAZANZIBAR WAKIONYESHA HISIA ZAO KONGAMANO KIDUTANI NCHINI ZANZIBAR


TUNACHOTAKA NI UHURU WA NCHI YETU YA ZANZIBAR IRUDI KAMA ILIVYOKUWA JAMHURI YA WATU WA ZANZIBAR HATUTAKI MUUNGANO NA WABARA WALA KURA YA MAONI KULIZWA KAMA TUNATAKA MUUNGANO AU HATUTAKI TUSHAJIBU HATUTAKI KWISHA UBAKI UJIRANI TU KAMA KENYA NA Z,BAR AU UGANDA NA Z,BAR

HISTORIA YA KWELI YA NCHI YETU YA Z,BAR KUSIMAMA NA KUANGUSHWA KWA DOLA YA Z,BAR

WAZENJI TUAMKE NA KAMA HATUJA AMKA WALA HATUTO AMKA TENA HUU NDIO WAKATI SOTE TUSHIKAMANE KWA MKONO MOJA DOLA MOJA NCHI MOJA YETU YA ZANZIBAR HAKUNA CUF WALA CCM WALA CHADEMA WALA CDA WALA NSSR WALA UBUYU SOTE SOTE KAMA TUNAITAKIA MEMA NCHI YETU YA ZANZIBAR BASI UAMSHO NDIO PAHALI PETU PAA KUSHIKILIA NA KUIKOMBOWA NCHI YETU YA JAMHURI YA WATU WA ZANZIBAR.

MIMI SHAMHUNA NAWAMBIYENI NYINYI WAZ,BAR KUVUNJA MUUNGANO NI KUJICHIMBIA KABURI

Shamhuna(14)                                            Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali wa Serikali ya Mapinduzi ya zanzibar (SMZ), Ali Juma Shamuhuna, amesema kuwa na mawazo ya kuvunja Muungano wa Tanganyika na Zanzibar sawa na kujichimbia kaburi.

Shamuhuna alitoa tamko hilo katika kikao cha pamoja cha ushirikiano kati ya Wizara yake na Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi ya Serikali ya Muungano, mjini hapa juzi.
Alisema kwamba kama Muungano wa Tanganyika na Zanzibar una kasoro dawa yake ni kuzitatua kwa maslahi ya pande mbili za Muungano na sio kuwa na fikra za kuuvunja kwani umeleta amani na umoja wa kitaifa kwa Watanzania.
“Kuwa na mawazo ya kuvunja muungano sawa na kujichimbia kaburi,…Sisi tuliouganishwa katika muungano tunapaswa kulinda na kuuendeleza muungano wetu,” alisema Waziri Shamuhuna.
“Mawaziri tuna jukumu kubwa sana mie sikubaliani na wale wanaosema muungano hauna faida yoyote,” alisema Waziri Shamuhuna ambaye pia mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM taifa.
Aidha, alisema kwamba Wizara yake itafanyakazi kwa karibu na Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi ya Muungano ili kuharakisha kiwango cha ubora wa elimu kinaendelea kuimarika Tanzania Zanzibar.
Tangu kuanza mijadala ya katiba mpya kumeibuka kikundi cha wanaharakati Zanzibar ambao wanashawishi wananchi kuvunja Muungano na kutoa lugha chafu dhidi ya waasisi wa muungano wa Tanganyika na Zanzibar na viongozi wa kitaifa Zanzibar.
Akizungumza katika mkutano huo, Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi wa Serikali ya Muungano, Dk Shukuru Kawambwa, alisema wanafunzi 12,269 wameshindwa kupata mikopo ya elimu ya juu kutokana na Serikali ya Muungano kukosa fedha za kugharamia elimu katika mwaka wa fedha 2011/12.
Dk Kawambwa alisema jumla ya wanafunzi 38,541 walifanyiwa udahili na kuonekana wanazo sifa na vigezo lakini wanafunzi 26,272 tu ndio walionufaika na mikopo ya elimu ya juu. Aidha alisema kwamba serikali imeshindwa kutoa mikopo kwa wanafunzi wote wenye sifa kutokana na ufinyu wa bajeti yake.
SHEIN KAMCHAGUWA ZIMWI HUYU KUWA WAZIRI WA ELIMU BAADA YA YA UKIRITIBWA ALIYO UFANYA KTK BAHARI KUSAINI KUWA TANGANYIKA WAONGEZEWE BAHARI SASA HUYU SHEIN PIA ANA AKILI AU NDIO KAMA MZEE KARUME WA PILI ANATISHWA NA KIKWETE.....???????????????? KUWA MCHANGUWE HUYU NA YULE AU UTAPINDULIWA VIPI HASWA MAMBO HAYA WAZENJI HEBU TUJIULIZENI VIZURI KABISA TUKIPATA JAWABU TUNAJIUNGA NA UAMSHO KUIKOMBOWA NCHI YETU HAWA SIO VIONGOZI NI MISEPERE MNADA TU

KAMA NI WIZI ULIOFANYIKA Z,BAR SIO MANSOUR TU VIONGOZI NYOTE WA Z,BAR WEZI NA MUNA INSHI KTK NYUMBA ZA WIZI NA MUNAKULA PESA ZA KHARAMU NYOTE NYOTE KUANZIA KICHENI MPAKA SHEHA WA SHEHIYA



KAMA KWELI MUNATAKA KUJENGA NCHI VIONGOZI NYOTE RUDISHENI NYUMBA ZA WATU NA MASHAMBA YAWATU MULIYO WANYANGANYA WATU 1964 MAPINDUZI MAANA ZOTE HIZO NI MALI ZA THULMA NA KAMA HAMUKURUDISHA MUTAKWENDA WALIPA WATU SIKU YA KIYAMA MZEE KARUMA ASHATANGULIYA NA WENZAKE WANATAMANI WARUDI DUNIANI WAJE WAEKE MAMBO SAWA LAKINI WAPI MDA UMEKWISHA BASI NA NYINYI CHUGENI KWELI KWELI AU MWISHO WENU NI MBAYA SANA.
Mansour Yussuf Himid Machano Othman Said ni miongoni mwa mawaziri waliotajwa katika kamati teule ya baraza la wawakilishi ya kuchunguza ubadhirifu uliofanyika katika sekta mbali mbali na kutumia madaraka yao vibaya wakiwemo maafisa wa Ikulu Zanzibar
Kamati imebaini kwamba, Mikataba yote ya mauziano iliyofungwa baina ya Serikali na Ndg. Juma Ali Kidawa na baina yake na Ndg. Amina Aman Abeid Karume ni batili na ya udanganyifu. Aidha, Hati ya Matumizi ya Ardhi aliyopewa Ndg. Amina Aman Abeid Karume na Mhe. Mansour Yussuf Himid, kama tulivyoitolea ufafanuzi wake katika ukurasa wa 182-183, imekiuka taratibu za kisheria na kiutawala.Mhe. Spika: Pia tumegundua kuwa: Mzee Juma Ali Kidawa sio Mmiliki halali kisheria wa Nyumba. iliyokuwa imefuatiliwa na wala hakuhusika na Uuzaji wa Nyumba hiyo kwa mtu yoyote na hakuwahi kufuatilia Utengenezaji wa Warka wa Nyumba hiyo.Mhe. Spika:Hata hivyo, kwa mujibu wa nia njema na mazingira halisi yalivyojitokeza yanaonesha Mzee Juma Ali Kidawa alihusika na kufanya kazi kwa Mhindi aliyeimiliki nyumba hiyo kabla ya kutaifishwa na Serikali.Mhe. Spika:Kamati imejiridhisha kwamba:Ndg. Ramadhan Abdalla Songa na Mama Fatma Karume walishiriki katika Udanganyifu wa Mkataba wa Mauziano uliofungwa baina ya Serikali (Wizara ya Ardhi, Makaazi, Maji na Nishati) na Ndg. Juma Ali Kidawa. Mhe. Spika:Maelezo haya yanafafanuliwa katika ukurasa wa 178 hadi wa 180 wa ripoti yetu.Mhe. Spika: Mbali na taarifa hizo, lakini pia Kamati imebaini kwamba:Ndg. Mwalimu Ali Mwalimu kama Katibu Mkuu, amechangia kufanyika kwa udanganyifu wa Mkataba wa Mauziano baina ya Wizara yake na Ndg. Juma Ali Kidawa.

Wednesday, April 18, 2012

TAARIFA KWA ZANJE WOTE WA NDANI YA NCHI NA NJE YA NCHI

                                                                     Mzanzibari juwa kuwa siku na saa ya ukombozi imefika kwa misingi na utaratibu wa kisheria. kwa hiyo tunatakiwa siku ya Ijumaa saa moja na nusu 1:30 asubuhi tunaarifiwa Wazanzibari sote wa unguja na pemba tufike katika viwanja vya BARAZA LA WAWAKILISHI Chukwani ‘Unguja’ kwa lengo la kudai haki yetu ya kikatiba juu ya kuwepo KURA YA MAONIDHIDI YA MUUNGANO kwa mujibu wa katiba ya Zanzibar . Elewa kupigania haki ya nchi ni jihad. tafadhali ukipata ujumbe huu mtumie na mwengine.

WASOMI NA VIONGOZI MUHIMU ALIYO WAUWA MZEE KARUME NA KUFA KWAKE.

MZEE KARUMA NA MAUWAJI YAKE YA VIONGOZI NA WASOME NCHINI Z,BAR NA KULAZIMISHA KUOLEWA BINTI ZA WATU KWA LAZIMA ATI ANAONDOSHA UBAGUZI

Miaka 40 iliyopita, Aprili 7, 1972; Rais wa Serikali ya awamu ya kwanza ya Mapinduzi na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar, ambaye pia alikuwa Makamu wa Kwanza wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Abeid Amani Karume, aliuawa kwa kupigwa risasi katika mazingira na sababu za kutatanisha.
Risasi nane zilitolewa mwilini kwake mwili wake ulipofikishwa kwenye Hospitali ya V. I. Lemin, mjini Unguja kwa uchunguzi, sawa na idadi ya miaka minane ya utawala wake tangu 1964 hadi kifo chake.
Ilikuwa hivi: Rais Karume na Makomredi wenzake wa Chama cha Afro-Shirazi (ASP) alikuwa na mazoea ya kucheza karata, damma au dhumuna kwenye ukumbi wa ofisi za makao makuu ya Chama hicho Kisiwandui, kila jioni kama sehemu ya mapumziko. Siku hiyo alifika saa 11.00 jioni akiwa na walinzi wake, akaingia ndani nao wakabaki nje kulinda.Ikafika zamu yake kucheza; akawa anacheza na Mzee Maalim Shaha Kombo ambaye alionekana kulemewa. Ndipo Karume akamwita Mzee Mtoro Rehani ajitayarishe baada ya Kombo, naye akaitikia kwa kuaga kwanza aende msalani kujisaidia.Sekunde chache baada ya hapo na kabla Mzee Mtoro Rehani hajarejea kutoka msalani, ghafla watu wawili wenye silaha walivamia chumba alimokuwa Karume na wenzake na kumimina risasi wakimlenga; na kufumba na kufumbua, akawa katika dimbwi la damu kimya, amepoteza uhai. Hakuna mtu mwingine aliyeuawa mbali na kujeruhiwa tu, mmoja wao akiwa Katibu Mkuu wa ASP, (sasa) Hayati Thabit Kombo Jecha.Risasi uaji (the fatal bullet), mbali ya risasi zote, iliyochukua uhai wa Karume ilitoka kwenye bunduki ya Luteni Hamoud Mohammed Hamoud wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWT), ambaye ndiye alikuwa kiongozi wa uvamizi huu na aliyefyatua risasi ya kwanza wakati Karume akicheza na wenzake. Inasemekana, Hamoud aliuawa papo hapo na mlinzi wa Karume.Wauaji wengine waliofuatana na Hamoud katika uvamizi huo ni Kapteni Ahmada Mohamed, Koplo mmoja wa jeshi ambaye jina lake halijafahamika hadi leo, na raia mmoja aliyekwenda kwa jina la Ali Khatibu Chwaya, ambao inaelezwa wote hao waliuawa kwenye mapambano ya silaha nje ya eneo la tukio.Dakika chache baada ya mauaji kutokea, alifika Kanali Ali Mahfoudhi na askari mwingine, Kapteni Makame Hamis, wakauchukua mwili wa Karume na kuukimbiza hospitali.Itakumbukwa, Kanali Mahfoudhi ni mmoja wa vijana wa Umma Party (UP) cha Abdulrahman Mohamed Babu, kilichoungana na ASP baada ya Mapinduzi ya Januari 12, 1964 na kuunda Serikali ya mseto. Ni kati ya vijana waliopelekwa Cuba kwa mafunzo ya kijeshi, na ni mmoja wa wapiganaji walioendesha mapambano ya kisayansi usiku wa Mapinduzi na kukamata uwanja wa ndege mchana Aprili, 1972.Ni mmoja wa wanaharakati wa siasa za mrengo wa Kikomunisti ambao hawakutakiwa Zanzibar wakati wa utawala wa Karume, hivi kwamba kufuatia Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, Aprili 26, 1964, Karume alishinikiza kwa Nyerere wapewe kazi Tanzania Bara aweze “kupumua” ambapo Mahfoudhi alipewa cheo cha Mkurugenzi wa Operesheni katika JWT.Wengine ambao hawakutakiwa ni pamoja na Babu mwenyewe aliyepewa Uwaziri wa Mipango ya Uchumi, na kama tulivyoona makala zilizopita, hasimu mwingine wa Karume, Othman Sharrif, ambaye alifanywa Afisa Mifugo wa Mkoa, Mtwara au Mbeya, na Balozi Salim Ahmed Salim wakati huo Balozi wa Zanzibar nchini Misri ikaridhiwa aendelee kuwa Balozi wa Jamhuri ya Muungano nchini humo.
Tuache hayo, lakini hapa swali linazuka: Kwa kuwa Kanali Mahfoudh hakuwa kipenzi cha utawala wa Karume tangu mwaka 1964, ilikuwaje akawa Afisa wa kwanza kuwa kwenye tukio kabla ya maafisa wengine vipenzi, kama vile Kanali Seif Bakari ambaye alikuwa pia Mkuu wa Usalama wa Taifa Zanzibar ambalo halikuwa jambo la Muungano, na wengineo?Je, alikuwa katika ziara ya kikazi wakati mkasa huu ukitokea au alijua kilichotarajiwa kutokea? Kwa nini alikuwa mmoja wa washitakiwa zaidi ya 100 kwa tuhuma za mauaji hayo, na mmoja wa watuhumiwa 18 miongoni mwa hao walioshitakiwa wakiwa Tanzania Bara, Abdulrahman Babu akiwa mmoja wao.Kuna dhana mbili kinzani kuhusu jinsi Karume alivyouawa na hatima ya wauaji. Dhana moja inadai kwamba, watu wanne walivamia mahali alipokuwa Karume na wenzake, wakamimina risasi mara nne au mara tano hivi, risasi ya kifo ikampata Karume shingoni akafa, huku zingine zikiendelea kumiminwa kulenga meza walipokuwa.Inadaiwa kuwa Hamoud aliuawa kwenye eneo la tukio, ambapo wawili waliuawa baadaye na vyombo vya usalama (kwa mapambano?) na mmoja alijiua.Dhana ya pili inadai kwamba Hamoud alikufa kwenye eneo la tukio katika mazingira ya kutatanisha, ama kwa kujipiga risasi kuepuka kukamatwa hai na kuteswa baada ya kuona asingeweza kutoroka; au alijeruhiwa vibaya na walinzi wa Karume, kisha Ahmada akampiga risasi na kumuua kumwepusha kuteswa na kutoa siri kama angekamatwa hai, kisha (Ahmada) akaweza kutoroka kwenye eneo la tukio.
Juu ya utata huu kuhusu hatima ya wauaji, ni ukweli kwamba ni Luteni Hamoud pekee aliyeuawa kwenye eneo la tukio na washiriki wengine katika mauaji waliweza kutoroka eneo la tukio na baadaye kuuawa katika mazingira yasiyofahamika.Kufuatia mauaji hayo, watu 1,100 walikamatwa na kuhojiwa juu ya kuhusika au kutohusika kwao na mauaji, wengi wakiwa viongozi na wanachama wa zamani wa Umma Party, chama cha Babu na wanachama mashuhuri wa ASP wenye siasa za mrengo wa kikomunisti.Yote haya yanaturejesha kwenye swali letu la awali: je, kuuawa kwa Karume kulikuwa na lengo la kulipiza kisasi kwa chuki binafsi, kama baadhi ya watu wanavyodai, au lilikuwa jaribio la Mapinduzi lililoshindwa kwa Serikali ya Mapinduzi? Ni nani huyu Luteni Hamoud Hamoud aliyeongoza mauaji na kwa nini?Je, lengo lilikuwa ni mauaji hayo pekee au kulikuwa na mpango mkubwa zaidi nyuma? Ukiongozwa na nani?Kupata majibu ya maswali haya, hatuna budi kuiangalia hali ya kisiasa Zanzibar baada ya Mapinduzi ya Januari 12, 1964 na baada ya Muungano na Tanganyika, Aprili 26, 1964.Kama nilivyoeleza katika mfululizo wa makala nne hivi karibuni katika gazeti hili kuhusu jinsi “Field Marshal” John Okello alivyoongoza Mapinduzi ya 1964, na kuundwa kwa Serikali ya Mseto kati ya vyama vya ASP na Umma, lengo kuu la Karume lilikuwa ni kuzivunja nguvu za wanaharakati wa Umma Party na za wakomunisti wa ASP walioshabihiana kimawazo na kimtazamo wa kitaifa na wana-Umma Party na kumnyima Karume usingizi.Lakini tofauti na matarajio ya Karume, hatua hiyo iliwaleta karibu zaidi wanamapinduzi hao na kumnyima zaidi usingizi kwa hofu ya kupinduliwa, wakimtuhumu kushindwa kuongoza na kusimamia madhumuni ya Mapinduzi Visiwani.Mungu bariki kwa Karume, ukatokea Muungano kati ya Zanzibar na Tanganyika mwaka huo, akaona vyema awasambaratishe kwa kuwatafutia nafasi Tanzania Bara ambako wasingeweza kufurukuta.Waliokumbwa na kadhia hiyo ni pamoja na Abdulrahman Babu (Umma) na aliyepewa Uwaziri wa Mipango na Uchumi kwenye Serikali ya Muungano; Kassim Hanga (ASP) aliyeteuliwa Waziri katika Ofisi ya Rais wa Jamhuri, Mambo ya Muungano; Salim Ahmed Salim (Umma) aliyeteuliwa Balozi nchini Misri.Wengine ni Othman Sharrif (ASP) aliyeteuliwa Balozi nchini Marekani, lakini Karume akampinga Nyerere akidai hastahili, uteuzi ukafutwa; badala yake akateuliwa kuwa afisa mifugo katika moja ya mikoa ya Kusini Tanzania, Mbeya au Mtwara, na Kanali Ali Mahfoudh (Umma) aliyeteuliwa Mkurugenzi wa Operesheni katika Jeshi la Wananchi (JWT), na wengineo.Kwa wale wenye maoni tofauti na ya kukosoa Serikali waliobaki Visiwani, hasira ya Karume aliyetawala kwa mkono wa damu iliwashukia, wengi walikamatwa na kutiwa kizuizini na pengine kupoteza au kuuwawa kikatili na katika mazingira ya kutatanisha. Mmoja ya waliouawa kikatili kizuizini ni Mzee (mwanaharakati) Mohamed Hamoud, baba yake Luteni Hamoud Mohamed muuaji wa Karume.Tangu Mapinduzi ya Januari 12, 1964, Zanzibar haikuwa na Katiba wala Sheria; iliongozwa kwa Amri za Rais (Presidential Decrees) kadri alivyoona inafaa. Na kwa mujibu wa Gazeti la “The Tanganyika Standard” la March 9, 1968, Karume aliapa kutofanya uchaguzi wala kuwa na Katiba Kisiwani kwa miaka 50 tangu 1964 – 2014 Kwa madai kwamba “chaguzi zote ni vyombo vya mabeberu kuwakandamiza wananchi”.Na kadiri kalamu ya Karume ya wino wa damu ilipozidi kuandika historia ya ukatili, udikteta na umwagaji damu kwenye kurasa ngumu za kukwaruza ndivyo alivyojichongea na kujiongezea upinzani na uadui kwa jamii ya Kizanzibari.Kufikia mwaka 1967 hofu ya Karume dhidi ya wenzake na kwa nafasi yake ilitia fora kiasi cha kuogopa kivuli chake mwenyewe. Na ili kuendelea kuwamaliza wenzake, mwaka huo zilitungwa tuhuma za uongo dhidi ya watu 14 makada wa ASP katika kumpindua, zikiwalenga hasa wenye fikra za kikomunisti.Walioingizwa kwenye tuhuma hizo ni pamoja na mawaziri wa Serikali yake mabwana Abdallah Kassim Hanga, Salehe Saadallah Akida, Abdul Aziz Twala na makatibu wakuu wa wizara, Aboud Nadhif na Mdungi Ussi na baadaye Othman Sharrif.Wote waliokuwa Visiwani walikamatwa, kisha Karume akamwomba Nyerere kuwarejesha Zanzibar kutoka Bara, Othman Sharrif na Hanga ili “wakahojiwe” lakini wote wakaishia kuuawa kikatili bila kufikishwa kwenye vyombo vya sheria.Mmoja wa mashahidi wa uongo walioandaliwa dhidi ya “watuhumiwa” kwa vyombo vya Karume, alikuwa Ahmada ambaye kwa uongo wake, watu wanne akiwamo Hanga, Twala, Saadallah na Othman, walinyongwa mwaka 1969. Kwa uongo huo, Ahmada alizawadiwa cheo cha kapteni jeshini. Ni Kapteni Ahmada huyu, aliyeshiriki kwenye mauaji ya Karume miaka mitatu baadaye.Kwa hofu ya jamii ya Kizanzibari kufikiwa na fikra na mawazo mapya ya kimaendeleo, Karume alipiga marufuku vijana wa Kizanzibari kwenda nje kwa masomo ya juu ikiwa ni pamoja na Chuo Kikuu cha Dar Es Salaam; alipiga marufuku pia ujenzi wa Chuo Kikuu Visiwani.Mbali na kutokuwapo kwa utawala wa sheria enzi za Karume, unyanyasaji wa kijinsia na ubaguzi kwa misingi ya historia na kisiasa ulitia fora. Kwa mfano, mwaka 1966, alitoa amri (decree) kuwanyima wazazi haki ya kuwakataa wanaume walioposa binti zao kama njia ya kuondoa ubaguzi wa rangi.Kwa sababu hii, wasichana, hasa wale wa Kiarabu walilazimishwa kwa nguvu ya Serikali kuolewa kwa nguvu. Karume mwenyewe, wakati huo akiwa na umri wa miaka 65, aliwania kuoa kwa nguvu, wasichana wanne wa Kiajemi, na alipokataliwa, aliamrisha wazazi wao watiwe kizuizini na kuchapwa viboko kwa kosa la kuzuia mpango wa ndoa mchanganyiko, na baadaye kutimuliwa Zanzibar.
Chini ya mpango huo, raia wa kigeni waliotaka kuchumbia wasichana wa Kizanzibari walitakiwa kuilipa Serikali Sh. 64,000,000, bila hivyo hawakuruhusiwa kuwaoa.Karume alikuwa ameanza kuwa mwiba kwa Mwalimu Nyerere pia juu ya Muungano. Kwa mfano, alimkatalia Nyerere kwa lugha ya dharau na kejeli juu ya Siasa ya Ujamaa na Kujitegemea na Azimio la Arusha kutumika Zanzibar.Na kuhusu akiba ya fedha za kigeni ya Zanzibar iliyofikia dola milioni 80 mwaka 1972, alimuonya asithubutu kuitolea macho,akamwambia: “Fedha ya kichwa cha Malkia si yako na usiniulize, labda niulize juu ya hii (sh.) yenye picha ya kichwa chako”.Na kuhusu Muungano, Karume alikuwa ameanza kuchoka nao. Siku moja alisema, “Muungano ni kama koti tu; likikubana unalivua”.Ufa huu kati ya viongozi hao wawili juu ya Muungano, ndio uliosababisha kamati ya kupendekeza Katiba (Constitutional Committee) isiundwe na Bunge la Katiba (Constitutional assembly) lisiteuliwe ndani ya muda wa mwaka mmoja tangu Muungano, kama ilivyotakiwa chini ya Mkataba wa Muungano wa Sheria ya Muungano ya 1964.Wadadisi wa mambo ya siasa wanakubaliana kuwa, kama Karume angeendelea kutawala miaka kadhaa baada ya 1972, Muungano ungefikia kikomo kwa njia ya kutisha na kusikitisha.Kufikia mwaka 1972, upinzani kwa Serikali ya Karume ulikuwa umechukua harakati za uasi wa umma, chini kwa chini kwa mara ya kwanza tangu Hanga na wenzake wanyongwe mwaka 1969.

Tuesday, April 17, 2012

VIJANA NA RAI WEMA WA ZANZIBAR WATAKA KURA YA MAONI


Baraza la Katiba limemaliza awamu yake ya utoaji wa elimu ya uraia juu ya katiba na huku baadhi ya wananchi wakiwa na maoni mbali mbali, picha hii ni baadhi ya wananchi waliofika katika viwanja wa Baraza la wawakilishi wakitaka baraza litoa maamuzi juu ya kuitishwa kura ya maoni wiki iliyopita hapa nchini zanzibar

HAWA NDIO WAKOMBOZI WA NCHI YATU YA ZANZIBAR WANAOTAKA ITOKA KTK MAKUCHA YA UKOLONI MWEUSI TANGANYIKA NA KUWA NCHI HURU KAMA NCHI NYENGINEZO DUNIANI UAMSHO



na mfumo wake kabla ya kuangalia suala la katiba mpya.Wa l i s e m a , j a p o w a p o Wazanzibari watakao                               hojai hiyo iwezekurekebisha kero za muungano, lakini wao wanataka ipite kwanza kura ya maoni ili
ijulikane kwamba Wazanzibari bado wanautaka muungano huo au la.A k i o n g o z a v i j a n a h a o
kiongozi wao, Rashid Salum Adiy alisema lengo la kukusanyika hapo ni kufikisha ujumbe kwa
Wawakilishi ambao pamoja na mambo mengine wanahitaji kuitishwa kura ya maoni itakayoamua mutastakbali wa
nchi yao ambayo imevamiwa na Tanganyika kimabavu kwa miaka kadhaa tokea walipoungana kwa khiyari kati ya viongozi walioasisi Muungano huo Mwalimu Nyerere na Mzee Karume. Mara baada ya kuwasili katika viwanja hivyo majira ya saa
moja kamili asubuhi, vijana hao walionekana wakiwa na mabango kadhaa yakiwa na maandishi ya kutaka kura ya maoni kwa kuwa Zanzibar ina sheria ya kuitisha kura ya maoni iwapo kutatokea jambo linalotaka kuamuliwa na wananchi wenyewe.
Kabla ya kuingia ndani ya viwanja hivyo askari dhamana waliokuwepo katika viwanja vya baraza hilo waliwazuwia
vijana hao na kuwaambia wasiingie ndani na ndipo taarifa zikasambazwa kwa kuitwa jeshi la polisi kutoka makao makuu
ya jeshi hilo wakitakiwa kuleta ulinzi mkali kudhibiti hali hiyo. Sio muda mrefu vikosi vya ulinzi na usalama vilifika eneo la tukio vikiwa vimejitayarishakimapambano lakini hali ghalfa ilibadilika baada ya uongozi wajeshi hilo kutaka mazungumzo
na vijana hao na kuingia ndani kwa pamoja huku gari za polisi wa kuzuwia fujo FFU zikiwa zimekaa kusubiri amri ya mkuu
wao wa jeshi hilo.Hata hivyo hali haikuwa mbaya kama vile kama ilivyosambazwa ambapo Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mjini Magharibi, Azizi Juma Mohammed alipata wasaa wa kuongea na waandishi wa habari muda mfupi baada ya kutoka katika kikao cha pamoja ambacho kiliwajumuisha viongozi wa vijana hao, jeshi la polisi pamoja na uongozi wa Baraza la Wawakilishi.Kamanda Azizi alisema wamepokea taarifa kutoka vyanzo mbali mbali za tukio hilo na kwa mujibu wa umuhimu
wa chombo hicho cha kutunga sheria kuhitaji utulivu waliona ni muhimu kufika uongozi wa jeshi hilo na kutaka kujua zaidi juu ya kadhia hiyo ambapo baada ya kukaa na uongozi waliona mambo ni tofauti na taarifa za awali.“M i m i k a m a K a m a n d a mwenye dhamana ya mkoa huu kuhakikisha usalama unakuwepo muda wote nilipigiwa simu n i k a a m b i w a k u n a v i j a n a w a p a t a o 3 0 w a m e v a m i a katika viwanja vya Baraza la Wawkailishi wakilazimisha kuingia ndani, lakini baada ya kufika hapa nikakuta mambo ni tofauti na tumepata wasaawa kuongea nao lakini kumbe walikuwa wanataka kuonana na mwakilishi wao wa Jimbo la Kikwajuni ili kufikisha ujumbe wao kwa ambao wanasema muda mrefu wamewasiliana nao lakini amekuwa akiwazungusha”.Alisema Kamanda Azizi.Naye kiongozi wa kundi hilo Rashid alisema awali walimuandikia barua Mwakilishi wao lakini kwa kuwa amekuwa akiwazungusha na hatoi majibu,wameamua kumfuata katika kikao hicho cha Baraza.V i j a n a h a o a m b a o walionekana wakiwa watulivu sana walisimama kando ya barabara mbele ya jengo la Baraza la Wawakilishi wakiwa na mabango yao yanayosomeka kutaka kura ya maoni na kukataa
mchakato wa katiba kwa kutoa maoni juu ya katiba mpya ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.Wakiwasilisha barua ya hiyo kwa Mwakilishi wa Jimbo la KiKwajuni (CCM) Mahmoud Mohammed Mussa ambaye pia ni Mwenyekiti wa Baraza laWawakilishi walisema baada ya kumuona Mwakilishi wao hatoa majibu sahihi wameamua kuja katika viwanja hivyo na
kuandika barua na kuwapa kila mjumbe wa baraza hilo ili kuona wanachotaka vijana hao.“ M h e s h i m i w a s i s i n i
wananchi wa Zanzibar hivi sasa tusiopungua laki tatu(300,000) tunaofikisha barua hii mbele yako kuwa ni sisitizo
la tunachokihitaji kikatiba kwa mujibu wa katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984 tolea la 201.Lengo la barua hiyo ni kupatiwa
haki ya kikatiba dhidi ya suala la Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ili wananchi watoe ridhaa ya kisheria ikwapo
Muungano uendelee kuwepo au kutokuwepo.V i o n g o z i w e n g i n e waliopelekewa nakala hizo ni katibu wa Umoja wa Mataifa(UN), Katibu wa Baraza la Wawakilishi, Katibu wa Baraza la Mapinduzi, na kampuni ya Ojode Onjoro & Advocates

CCM YASEMA TUTAPAMBANA NA UAMSHO AMAKWELI BUNJU NI BUNJU TU HATA ILIWASHEYE TAA HALIONI NDIO HAWA CCM

 KASHINDWA FERAUNI MUTAWEZA NYINYI VISONOKO
Wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wakiwa katika mkutano uliofanyika Magogoni kwa Mabata Mjini Unguja
Uamsho tunawagusa ka sababu kama wametumwa wafanye kazi hii basi sisi tutapambana nao na kama serikali imeshindwa kuwazuwia basi sisi tutawazuwia na tumeshajiandaa mikoa yote mitano tutapita wao wanakuja kutuchezea tunasema tupo tayari kwa lolote tumejiandaaa kwa lolote wanyama wale siwataji majina… tumefanya Mapinduzi hatutashindwa na wanyama wale ….tunasema mapema wapuuzi!!!!!! sisi wallahi tutapambana nao …waambiweeee. hapa hakuna vijana kuzungumza vijana wana kazi zao tulokuja hapa ni madingi maputu mmewaona …tutawatumia vijana wetu wapambane nao hao watu wanshabikia wanasema eheeee waambie wale…..
 Mkutano wa Jumuiya za wanawake, vijana wa CCM wa mikoa mitatu ya Unguja
 Salama Aboud Talib Aboud katika risala yake ya mikoa miwili ya Unguja amesema na kuwaambia wana CCM wasibabishwe na kikundi cha watu wanaotaka kuvunja Muungano wanaofanya mihadhara kwa kisingizio cha dini.Sheikh Juma Faki anasoma  Aya inayosema mnapotaka kufanya jambo basi watafuteni wenye akili, …… sio kila mtu tu anayekwiteni mnakubali tu ….Sheikh wa Uamsho wewe unasema unatuona sisi sio chochote sio lolote haaa haaaa CCM Oyeeee ….wallah nimepewa dakika kumi lakini haaaa CCM Oyeee….wanaijiita uamsho sisi tunawaambia tumeamka zamani na tumeamshwa zamani na Mzee Karume na Mwalimu Nyerere zamani sana tena.Wazee hawa walituamsha zamani ili wakati huo yeye Mzee Karume alipokwenda ulaya alikuwa anahusudu mambo ya huko na aliporudi ametuletea TV hatukuwa na radio tutakuwa na TV …HAAAA haaaa.Hapa kulikuwa na ngoma ya beni hapa ikipigwa na ndani ya beni lile kulikuwa na dua …Nyimbo inaimwa ‘mweheshimiwa twakupenda wewe lakini …….waafrika tutajitawala…..CCM… wana CCM wakapiga makofi na vigeregere alaaa, leo tumeshafika hapa hatukujua sisi kama tumeendelea leo tunapanda viscudo kina Pandu na Jecha …..CCM oyeeee.Ukitaka kufanya jambo ujiulize kwanza hili Jambo ninalolifanya lina faida gani kwa jambo hili leo wewe shekhe mzima na masheikh wenzio mnakwenda kusema rais wetu ni kibaraka yeye na kikwete hakheeee vipi yakheeee ahhhh na unasema unasomesha Quran,Fighi na masomo ya dini  ahhhh umeupataje usheikh huo?.Elimu na maarifa …wanachama wanasema wambie wambie……elimu sawa na fedha elimu walbaarifa. Elimu ufanye kwa maarifa …leo wewe muislamu hebu angalia pale Sayyid na Ibrahim alivyokabidhiwa pale Mji wa Madina aliomba ewe Mwenyeenzi Mungu ujaalie huu mji wa Madina uwe na amani leo nyinyi masheikh mnataka kutuchafulia amani alaaa, Na wewe Msellem mnataka kutuchafulia amani ahhhh wewe Msellem unavaa jokho leo?… akasema CCM OYEEE.Sheikh wewe Msellem upo airport kule tena sehemu muhimu sana, tumekupa dhamana lakini leo unafanya hivyo ……Hatujategemea, jamani nikuulizeni hivi CUF gani anayempenda CCM? Hakunaaaaaaaa.  leo mnasema Muungano uvunjike alaaaa umetizama weeeee umemurika weeeeeee alaaa sio unasema pweza sili lakini mchuzi unakula alaaaaa bara kule mnasema Tanzania bara hakuna wanalalamika kule alaaa watu hawapati viriri kama vile kwa nini? hivyo mnavyopiga nyie keleee uchumi unakuja chini, mnavyosema mnamdanganya nani? bara wenye pesa ilikuwa Mchaga peke yake akifuatiwa na Mpare lakini sasa Mzanzibari peke yake mwenye fedhaaaa ukikaa masaa mawili inakupitia mabasi ya mabwana makubwa…leo magari tele halafu mnasema Muungano hauna maana ehhhh…Muungano hauna maana eheee.Mwenyeenzi mwenyewe kasema …Sheikh ametoa aya inayozungumzia suala la mazingatia. Jeee do you think about that things, ndugu zetu mnakusanywa na watu wanaokutakieni maovu? watu wanakutieni pampu, nani anakutieni mori wanakuoneni mmestarehe katika nchi na Mwenyeenzi Mungu akikusudia kukupa anakupa lakini ……hamkupewa basi msignganganie.Nyinyi mnasema mmesoma ndio kusoma huko Sheik anatoa aya ya Ataamuruna nnsada bilbiri Mweyeenzi Mungu anasema ataaamuruna nnas ….bilbiri mmesoma ili muamrishe watu kufanya mazuri alioyaridhia Subhannah lakini leo mnasimamia ugomvi ili tuchukuane……ndugu hamjui kuwa tumeshaoana tumeshajukuu….wacheni kumchezea Mungu nyie…..Sheikh akatoa aya nyengine tena kuhusu ufisdi…Mwenyeenzi Mungu anasema inadhihiri fisadi baharini na nchi kavu kwa mambo manyoyachuma nyie wenyewe….akasema CCM Oyeeee.CCM Oyeee.
 Kama yule Mussa Sharifu (Hapa amekusudiwa Professa Abdul Shereef) kaja na mizani kule Bwawani eti anaupima uzanzibari anapima utanzania bara kuna mambo gani yametiwa huku na akayachukua ya kule na kutia huku, eti anasema mambo ya Zanzibar yameingizwa katika Muungano ndio mezani ikaja chini yote…hiyo mezani usiitupe tunakwambia kwani sisi hatujui upande ule Qurani na upande huu Shamba…Astaghafirullah …ah sio Qurani maandishi tu ya kiarabu….Sisi hatuitoi serikali hii ya Mapinduzi silaha zetu sisi tulikuwa na silaha na silaha zetu tuliotumia ilikuwa mapanga na nyundo hatukuwa na magobore wala bunduki sisi lakini baada ya kupindua tukaseja na sera na Mwenyeenzi Mungu alizipenda sra zetu maana tulisema katika sera tunataka amani na utulivu na hiyo Sayyid na Ibrahim alikuwa anataka amani na utulivu, tukaja na sera ya Elimu a hiyo Mwenyeenzi Mungu amehimiza ilmu, kaipenda Mwenyeenzi Mungu sera yetu ya kuondoa ubaguzi pia Mwenyeenzi Mungu akaipenda na hiyo.Sheikh: sema kweli japo inauma hii tutaisema wacha iwaumize sisi tumeikubali serikali ya Mapinduzi na Mapinduzi haya tumeyapata kwa rehema yake Mwenyeenzi Mungu sasa sisi tumeishapata neema tuifukuze? ….aya….tumekuwa tumbo ndani ya hasara sasa hivi mimi nina miaka 70 wallahi ingekuwa ninaendea mkongojo lakini sasa hivi wallah nipo very smart lakini ingekuwa utawala ule ule basi ningekuwa nimeshakwisha.Nasema tumekubali kuuwa na kuuliwa na waliobaki wambaki waliokufa wamekufa, tumefanya mapinduzi lakini wallah hatuitoi serikali hii hatutoi, eti tukakae pale Ikulu tumekaa katika vitu tuseme chukuweeeeeeni …..looo haaaa CCM CCM CCM …sisi hatukupiga kura kwa vyama bwana sisi tumeipata serikali hii ni neema alaaa tulivyoipata serikali hii tofauti na serikali ya Tanzania bara wao walitia bia katika chupa halafu wakaamina wakanywa na baadae Nyerere wakamwambia chukua serikali yako, walitaka kuuwacha utawala.Lakini sisi tulichua bado utawala na tukafanya mapinduzi wakati watawala wanaitaka nchi hiii tulibanwa watawala walikuwa wanaitaka …wallah thuma wallah hatuitoi tena, hapa Zanzibar kulikuwa na mabaraza ya kutunga sheria hapa kulikuwa na makureshi mabun saiddy na hakuna Pandu humo wala Jecha wallah.Wallah sisi CCM  ….. tulikuwa hatuna haja ya kufanya mikutano lakini wallah mmetufanya tufanye mikutano tutakujibuni moja baada ya moja ….ahsanteni…CCM CCM….CCM…Nyimbo inaimbwa …Januari huru jina Tanzaniaaaaaa….ameshuka jukwani.Viongozi wanatambulishwa yupo Bi Asha wa Balozi Seif Iddi, Asha Bakari, Waziri Machano Othman Said, Waziri Dk Mwinyihaji Makame, Waziri Ramadhan Abdallah Shaaban na wote wakatakiwa kuwasalimiwa wana CCM. WANASEMA.viongozi niliowataja hapo juu wanatajwa na kutakiwa wawasalimie wanachi wanasema kwa pamoja CCM Oyeeee Muungano Oyeeee wanajibiwa oyeeeee,
 CCM Oyeeee kidumu chama cha mapinduzi ….Muungano oyeeee …oyeee oyeeee…
 Ramadhan Abdallah (Kichupa) tunaishukuru serikali ya umoja wa kitaifa rais na makamo wake wote wanaendesha vizuri serikali, pili baraza la wawakilishi linatia hamu kulisikiliza na tunawaomba wajitahidi zaidi na majimbo yao yanajitahidi sana sana katika jitihada na jimbo zaidi lilivyonivutia ni jimbo la Balozi Seif Iddi la Kitope yeye na Mwakilishi wake Mshimba.Jamani sisi tumefanya uchaguzi mwaka jana 2010 sasa hebu tutazame mara hii wenye akili zake timamu watazame ni nchi imetulia hata wageni wanasifu na wengine wanakuja kujifunza kwetu sasa nasema utulivu huu umekuja na kila mmoja anafanya shughuli zake vizuri, tunakwena vizuri sasa niulize nani wa kujibu pindi hali hii ikiharibika?vyama vipo vimetulia sana CCM, CUF, na vyama vyengine, wametulia na wanazungumza lugha nzuri lakini viongozi wa dini ndio wanaotaka kuchafua hali hii lakini sisi tunawaambia kama wao wanataka kuwa wanasiasa basi hivi wanavyofanya wakachukue usajili kwa msajili wa chama kama walivyofanya wale waliojitoa CUF wameanzisha chama chao na wao wakaundwe chama chao.Lakini sio wawaambie watu wakatae Muungano kitendo hicho sio cha kiungwana huu Muungano sio zanzibar peke yake ni bara na Zanzibar naomba waombe kibali wakawaambie wenzao wapite kila mkoa wende kila pahali waaambie wazanzibari wa kule bara wakaseme tukatae Muungano.
 tuna wiraza ya ulinzi wakaseme wazanzibari rudini mkaseme hatutaki Muungano, wenye uhamiaji, wende wakaaambie wabunge kataeni Muungano halafu sisi mimi ni mstaafu wa Muungano maana tupo wengi tunakwenda kuchukua mishahara kila mwezi sasa utatwambia nini sisi wastaafu?na waaambie wale waliokuwa na majumba  kule bara wakatae Muungano na wajiandae mapema waondoshe mali zao na magari yao na nyumba kama zinaweza kuondoka basi ziondoke na mashamba yao waondoe maana watayaweka pwani kule maana huku ardhi imejaaa na pwani yenyewe kuanzia Nungwi mpaka Pemba ndio wakaweke magari yao.Sio watuulize sisi kama tunataka au hatutaki maana sisi tunajua faida za Muungano wao waliokuwa hawajui dini wala hawajasomeshwa inaonesha ndio wanaosema hawataki Muungao…..unapomkashifu Mwalimu Nyerere au Mzee Karume unakusudia nini?.Nashangaa hawa Uamsho wamekwenda Makunduchi kuwaambia watu wakatae huu Muungano alaaa wanawajua watu wa Makunduchi kuwa kule ni waasisi wa Muungano? tunaishukuru sana serikali yetu ya Muungano, kamati mmeiona ile nimefurahi sana kumuona mtu mmoja amechaguliwa mtu katika kamati ile ambaye kateuliwa katika kamati ile ya Kikwete alikuwa mkaidi sana kule Bwawani katika ule mkutano wao lakini nimemuona kule ….namsubiri nikikutana naye nitamuuliza vipi bwana?.….sisi ni binaadamu mataifa 50 ya Ulaya wameungana na kule nchi za kiarabu nchi zote ….zimeungana lakini leo kitoto kinatokea kwenye jukwaa eti kinasema  kataeni Muungano, tena wanatutisha maana wanasema mkisema kwiiii tutakuuweni nani mnamtisha alaaa na tuuweni basi kama na nyinyi mtabaki wafanye waone mwenye kutaka kufanya jambo hasemi bwana na wafanye waoneeeee hii.Tume sio ya kuulizwa mnautaka au hamuutaki Muungano, sasa tunasema Muungano upo na hakuna atakayeulizwa…wao Uamsho wanaogopa wanawaambia watu msende mtauliwa mnamdanganya nani hapa ….mimi nimewahi kuona Mapinduzi na nilishiriki kila kitu hakuna nilichokuwa sijakifanya na nilidhani nitakufa wakati wa Mapinduzi lakini siogopi mimi nikifa leo sina matatizo hebu tazameni hili wanaposema wanakheri kweli haya?….Tuwalaani kila wanapopita …tumekuja makusudi kama wametumwa na vyama vya siasa tunasema tutapambana nao……na kama wametumwa na vyama au wenyewe wanasiasa …tunasema tutakwenda kila pahala watakapokwenda wao ….kitakachokuja kuwapata shauri yao …..na tunaeleza mchana hakuna nyota….Naibu Katibu Mkuu wa CCM, Ramadhan Abdallah Ali (KICHUPA) anasema, tunababaishwa sana tukitajiwa muhadhara lakini neno muhadhara tunadhani ni wa kidini tu lakini ni neno la kiarabu tu lakini na iwe neno la kidini lakini neno la kidini unakwenda kuwaeleza watu maidha wakikubali au wakikataa, sasa kinachotushangaza wanachofanya hawa viongozi wa dini wanaojiita Uamsho wanakwenda mfano Makunduchi kwenda huko sasa hawa watu wengi wanakwenda na magari mengi kuna nini huko?.Hapa pana kichaka lakini wenzangu wameshazungumzia jambo jengine ni hawa wanaosema wanakwenda kutangaza dini lakini basi kwa nini waondoke mjini na magari 40 kwenda sehemu moja na watu ni wale wale kila siku?…….watu wanajibu kuwa hao ni  macuf ……Watu wanashabikia wanasema ndioooooooo. Waambiee. sisi CUF tumewaona kuwa wana heshima wamefanya mikutano yao bila ya kuwagusa CCM na sisi tunafanya mikutano yetu bila ya kuwataja wao CUF lakini Uamsho tunawagusa ka sababu kama wametumwa wafanye kazi hii basi sisi tutapambana nao na kama serikali imeshindwa kuwazuwia basi sisi tutawazuwia na tumeshajiandaa mikoa yote mitano tutapita wao wanakuja kutuchezea tunasema tupo tayari kwa lolote tumejiandaaa kwa lolote wanyama wale siwataji majina… tumefanya Mapinduzi hatutashindwa na wanyama wale ….tunasema mapema wapuuzi!!!!!! sisi wallahi tutapambana nao …waambiweeee. hapa hakuna vijana kuzungumza vijana wana kazi zao tulokuja hapa ni madingi maputu mmewaona …tutawatumia vijana wetu wapambane nao hao watu wanshabikia wanasema eheeee waambie wale…..Leo tumekuja kusema jambo kuna kijambo ndani yake wanatumia siasa kwa mgongo wa dini mimi ni Al-Hajj sisi sote waislamu hapa namuomba Mwenyeenzi Mungu anijaalie nimalize vizuri umri wangu …..watu hawa walianza misikitini kufanya hivi maana ukishasali kuna baadhi ya misikiti ilikuwa uondoke tu lakini ukisema unasubiri kusali basi utaona unalengwa wewe maaana CCM yuleeeee.….Lakini sasa tena wanakuja hapa majukwaani na kuanza kutukana viongozi wetu sasa wamevuka mipaka tunasema hiki chuo cha kiislamu ndipo waliposoma hawa lakini kile chuo kimejengwa na Mzee Karume na mtu akijenga chuo na watu wakisoma huwa anapata fungu sasa imekuwa hilo fungu halipatikani sisi tunasemahilo fungu tutalionesha hapa hapa tunasema kama wanatwambia watatuuwa basi Mwenyeenzi Mungu anasema anayekuja kukuuwa muue yeye kwanza kwa hivyo kama wanatwambia tukatae Muungano wallahi hatukubali kuukataa Muungano ……sisi Muungano tunaujua sana kuliko wao……..

Thursday, April 5, 2012

WASITULETE UPUMBAVU WA UMAPINDUZI TUNATAKA ZANZIBAR IWE NCHI HURU KAMA NCHI NYENGINEZO


Wakati umefika kwa vijana wa Kizanzibar wenye uchungu wa Nchi yao kujitolea kwa hali na mali kupigania Visiwa vyao kutoka katika makucha ya Wakoloni. Ni dhahiri kwamba Zanzibar kama Zanzibar kwa kupitia Serikali yake ya Mapinduzi imeshindwa kuwaongoza Wazanzibar na matokeo yake kila siku Zanzibar inapoteza kila kilicho chake, na huku Wazanzibar wakizidi kudidimia na hali ya maisha kuzidi kuwa ngumu kila uchao. Hii yote inatokana  na sisi Wazanzibar kuvishwa koti bovu la kaniki na Watanganyika, huku baadhi ya vibaraka Zanzibar wakivishwa vilemba vya ukoka vyenye madaraka ya uongo kupitia mwavuli wa Muungano.
Ukweli ni kwamba wale wote ambao wanajiita Wanamapinduzi ndio chanzo kikubwa cha kuipoteza Zanzibar kisiasa na kutuletea matatizo visiwani, kiuchumi na kiutamaduni. Hii ni kutokana na kwamba wamedumazwa kiakili na kimawazo na wameshindwa kufikiri kwamba kizazi cha leo ni tofauti na ulimwengu walioishi wao kimabavu na uonevu. Kizazi cha leo kinahitaji mabadiliko ya maendeleo,haki na usawa lakini kama hayo hayatoshi ni vyema tukaja na kauli moja ya kwamba vijana wa Kizanzibar wanachodai ni Zanzibar kuwa huru .
Zanzibar sio Nchi tena ya kuongozwa na Baraza la Mapinduzi, kwani hata hao wanaojiita Wanamapinduzi basi hawapo tena na hao waliobakia basi hoi bin taaban na hawana muelekeo wowote ule wa kimaendeleo isipokuwa hisia zao ni zakibaguzi, umimi,uonevu na muelekeo wao ni ule ule kwamba tumepindua au wazee wetu walipindua. Kimsingi Zanzibar inahitaji damu mpya ya vijana wenye uchungu, hisia na ”vision” ya kuongoza Taifa lao.Vijana hao tunao lakini Wanamapinduzi hawa wanashindwa kuwapa nafasi kwa kuogopea maslahi yao. Hawana budi kuelewa kwamba kwa sasa itikadi zao zimeshapitiwa na wakati hawana budi kulijua hilo na kulifanyia kazi.
Leo hii Wazanzibar wengi wamekuwa wakitowa lawama kila kona na pembe ya dunia, lakini ukiangalia utagundua kwamba kelele za mlango hazimfanyi mwenye nyumba yake ashindwe kupata usingizi. Jee sisi kama Wazanzibar hatua gani tumezichukua ambazo watawala wetu watatuelewa kwamba tumechoshwa na utawala na ubeberu wao ? Sisi hatuishi kwa raha takriban nusu karne sasa, kama ni hivyo kwa nini na wao waishi kwa raha huku tulio Wengi kwenye Nchi yetu tukiumia ! hilo haliwezekani hapana budi kukaa kitako na tukalifanyia kazi suala hili.
Watawala wetu wana kila mbinu za kuzima kelele zetu kwani wao wanafaidi matunda ya nchi yetu kwa maana hiyo kuitoa keki midomoni mwao hicho sio kitu rahisi, kunahitajika mbinu na ikibidi hata vita basi wako tayari kwa hilo.Kiufupi watawala wetu hawajali hali zetu wala matatizo yetu, maslahi yao ndio kitu wanachojali na sivyenginevyo.Na usifikiriwe ya kwamba kama hatukujitolea kwa hali na mali Wanamapinduzi hawa watabadilika la hasha, hawa lazima tuwapindue kama walivyoipindua Zanzibar lakini kwa njia ya demokrasia sio ile fitna ya mauaji.
Wanamapinduzi hawa wameshindwa kuongoza Serikali kwani hawa ni vibaraka ambao wanafanya kazi ya kuikandamiza Zanzibar chini ya mwevuli wa Muungano unaongozwa na Serikali ya Tanganyika. Ukiangalia na kulifanyia uchunguzi suala hili utagundua hawa wote wanaojitia umapinduzi basi ni watu wenye asili ya kutoka bara, ama wazee wao walikuja hapa Zanzibar kutafuta maisha au ni mashushushu ambao walipandikizwa na Mwalim Julius Nyerere kuja Zanzibar kwa kazi maalum. Ndio hawa sasa hivi wanaojiita Wazanzibar halisi lakini kama hilo halitoshi basi watu hawa ndio wanaojifanya kwamba wana haki zaidi Zanzibar kuliko mtu yeyote hapa Visiwani.
Sasa wakati umefika kwa Wazanzibar kuacha porojo na malumbano kwenye mitandao na magazeti ya mitaani. Chamsingi kabisa ni kwa vijana wa Kizanzibar popote pale walipo duniani kujikusanya pamoja na kuunda makundi maalum ambayo yatandaa mikakati ya kudai Nchi yetu kwa njia yeyote ile.Kinyume na hapo tutakuwa tunajidanganya na vilio vyetu vitaishia kwenye kapu Dodoma. Wazanzibar tusidanganyike sana na Katiba kwani hawa Watanganyika sio wapumbavu kama Wazanzibar, tayari wameshajipanga vyakutosha ni vipi wataipitisha katiba hii na wapi watawamaliza Wazanzibar, katika hili lazima tuwe wa kweli na mipango madhubuti ipangwe ili tupambane  kuipigania Nchi yetu, ikumbukwe kwamba siku zote umoja ni nguvu.
Hatuna  budi tuangalie kwa undani kabisa, hivi inaingia akilini kwa Jumuia ambayo sio ya kiserikali kulivalia njuga suala la katiba huku Serikali ya Mapinduzi ambayo ndio mdau mkubwa wa suala hili ikiwa kimya, Wazalendo wenzengu hapo pana Katiba au tunadanganyana ? Nilifikiria kwamba Serikali ya Mapinduzi ndio itowe muongozo na Elimu kwa Wananchi wake lakini hilo halionekani kila mmoja analinda maslahi yake asije akabadilishwa Wizara, sasa kweli tutafika na tupate Katiba itakayotukomboa Wazanzibar ?

MARUHANI HAWAKUPINDUWA ZANZIBAR YETU


SINA tabia ya kusutana, kubishana au hata kujibizana na wasomaji wa makala zangu wenye kutoa maoni tofauti na yangu. Ninaamini kwamba kila mtu ana uhuru wa kutoa maoni yoyote ayatakayo hasa pale maoni hayo yanapokuwa ni ya ufafanuzi au uchanganuzi wa matukio ya kihistoria. Kufanya ufafanuzi lakini ni tofauti na kuuelezea ukweli hasa ule ukweli wenye kuhusika na tendo ama vitendo fulani.
Nimekuwa nikisubiri kwa shauku kubwa hitimisho la makala za mwandishi mwenzangu wa Raia Mwema, Joseph Mihangwa, kumhusu John Okello. Mfululizo huo wake wa makala zake kuhusu Okello na Mapinduzi ya Zanzibar ya mwaka 1964 ulikuwa ni majibu ya maandiko yangu juu ya mada ya Okello. Kwenye sahafu (safu) ya leo nataka kuyajibu baadhi ya yaliyomo kwenye majibu yake.
Kuna baadhi ya Wazanzibari wanaoona kwamba hakuna faida yoyote kujadili yaliyopita hasa sasa wakati wa mchakato wa Katiba mpya. Lakini wanakosea kwani tunaposonga mbele ni lazima tujue si tu hapa tulipo lakini pia tulikotoka. La sivyo tutajikuta tunajikwaa kila tunapopiga hatua.
Kuna tatizo kubwa kumtathmini Okello na dhima yake katika Mapinduzi ya Zanzibar. Sababu yake ni kuwako kwa simulizi zenye kukinzana kuyahusu Mapinduzi hayo na walioshiriki kwenye matukio yaliyoanzia Januari 12, mwaka 1964.
Migongano ya simulizi hizo yanamfanya mtu afikirie kwamba labda mapinduzi hayo yalifanywa na maruhani na kisha ndipo wanaadamu nao wakaingia. Ndio maana wengine chambilecho Sheikh Thabit Kombo, aliyekuwa Katibu Mkuu wa Afro-Shirazi Party (ASP), wanaifikiria historia ya Zanzibar yote kuwa ni uongo mtupu.
Lazima niseme hapa kwamba baadhi ya wanaotoa simulizi mbadala huwa hawana nia njema na Zanzibar. Simulizi zao huupotosha ukweli ili ziweze kuwa na mishiko. Mihangwa si miongoni mwao. Yeye ni mwandishi mahiri mwenye kuandika baada ya kuridhika kuwa amefanya uchunguzi wa kina kuhusu mada inayohusika.
Nimekuwa nikiyafuatilia maandishi yake kuhusu Zanzibar kwa muda mrefu na kwa maoni yangu huyu ni mwandishi mwenye kutupenda laisa kiasi sisi wazawa wa Zanzibar.
Lakini kwa vile yeye si mzaliwa wa Zanzibar na wala hajakuwako Visiwani (hasa Unguja) wakati wa Mapinduzi; kwa kiwango kikubwa amekuwa akiwategemea wengine kwa masimulizi yake. Pingine hao ndio waliompotosha.
Sitothubutu kusema kwamba ubara wake umeugubika utaalamu wake kwa sababu hakuteleza kuyaeleza ya Zanzibar tu kama alivyomuelezea Othman Sharif kuwa alikuwa Mkomunisti wakati bwana huyo akijulikana kwa chuki zake dhidi ya wenye siasa za mrengo wa kushoto.
Mihangwa ameteleza kwa mengine pia.
Kwa mfano, amemuelezea Idi Amin kuwa ni Mlangi, mtu wa kabila la Lango, ilhali tunajua kwamba alikuwa Mnubi wa kabila la Kakwa.
Tukiliacha hili la Okello, ambalo hakika Mihangwa halielewi, maandishi yake mengine kuhusu Zanzibar hayakirihishi kama ya wenzake wengi wa Bara. Mara kadha wa kadha kabla ya kuundwa kwa Serikali ya Umoja wa Kitaifa huko Zanzibar alikuwa akiwavua nguo watawala wa Visiwani kwa kufuata kisiri siri sera za kibaguzi zilizopitishwa na Mkutano Mkuu wa ASP mwaka 1973 kule Pemba.
Kwa kiwango fulani, Mihangwa amesaidia kuwaelimisha Wabara wenzake kuhusu mgongano wa maneno na vitendo vya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar.
Juu ya hayo lazima tumkumbushe Mihangwa kwamba Che Guevara, mzawa wa Argentina, hakwenda Cuba kama mfanyakazi mhamiaji kama alivyokuwa Okello. Che alikuwa msomi aliyeshirikiana na akina Fidel Castro, Raul Castro, Camilo Cianfuegos na Wacuba wengine waliokuwa uhamishoni kwenda Cuba kwa dhamira thabiti ya kufanya Mapinduzi ya kuikomboa nchi hiyo kutokana na udikteta wa Batista.
Wala Che hakuwahi kujaribu kudai na kupora haki ya kutawala na uongozi kama alivyofanya Okello Zanzibar. Wacuba walimtunuku Che nyadhifa za uongozi kwenye serikali yao mpya kwa ridhaa yao na kwa heshima kubwa. Walimfanyia hayo kwa vile walitambua mchango wake adhimu kwenye Mapinduzi yao.
Kiashiria kingine cha mapenzi ya Wacuba kwa Che ni pale Wacuba walipokwenda Bolivia alikouawa Che na kulisaka kaburi lake na kisha kuirejesha Cuba maiti yake kwa mazishi ya kitaifa. Kumfananisha Che na Okello ni kumtukana Che bila ya kiasi.
Okello alionyesha chuki kubwa kwa Wazanzibari na kujisifu kwa kuwaua wengi mbali na kujaribu kupora hatamu za utawala kutoka viongozi wa ASP. Ukweli ni kwamba Okello anafaa kulinganishwa na jamaa yake, Joseph Kony, wa Lords Resistance Army ya kule Uganda na sio kumweka pamoja na Major Ernesto ‘Che’ Guevara.
Laiti Okello angalikuwa hai basi yakini angelijiunga na LRA kwani ni muumini wa dini ya Ukristo uchwara wa kuendesha mauaji ya kikatili sawa na mhalifu Kony.
Okello mwenyewe alizidi kuipotosha historia pale alipolalama kuwa Waafrika wa Zanzibar wamemfukuza baada ya yeye kwenda Visiwani kuwasaidia kuwashinda Waarabu waliokuwa wakiwachinja. Hapo ndipo tatizo linapoanza na hicho ndicho kielelezo au kiashirio cha uzushi unaobatizwa kuwa ‘historia ya nyumbani’.
Kwenye makala yake ya mwisho juu ya kadhia ya Okello, Mihangwa amemalizia kwa kuibua maswali muhimu kuhusu uhasama mkubwa uliojitokeza upande wa baadhi ya wakuu wa ASP dhidi ya Makomredi, yaani wafuasi wa Abdulrahman Babu na chama cha Umma Party.
Hii ni mada nzito lakini lazima tuigusie. Hali ya kutoaminiana kati ya Makomredi na wakereketwa wa ASP imekuwepo wakati wote chini kwa chini tangu kilipoundwa chama cha Umma Party mwaka 1963.
Juu ya kuwepo hali hiyo ilibidi pia wakati ule pawepo na aina ya ushirikiano kati yao katika kukabiliana na wapinzani wao; yaani vyama vya Zanzibar Nationalist Party na Zanzibar and Pemba Peoples’ Party.
Haja hiyo ndiyo iliyopelekea pawepo umoja uliovishirikisha vyama vya ASP na Umma, vyama vya wafanyakazi pamoja na Jumuiya ya Wanafunzi.
Kiini cha kuwepo hali hiyo ya kutoaminiana ni ule msimamo wa itikadi ya kikabila wa takriban viongozi wote wa ASP wa kuwaepuka kisiasa Wazanzibari wenye asili ya kiarabu sembuse waliotokana na damu ya Hizbu. Mtazamo huu wa aina ya ‘kikaburu’ ndio uliokuwa msimamo na unaendelea hivyo hadi leo kwa upande wa wahafidhina wa iliyokuwa ASP.
Wabara wasioitakia kheri Zanzibar wamekuwa wakiipalilia moto hali hii ili waweze kuidhibiti Zanzibar kwa maslahi yao. Kwa hiyo, dhana ya Umma Party ya kuyasuka Mapinduzi ili yawe na mtazamo wa kitabaka pekee badala ya ‘ugozi’ (ubaguzi wa kikabila na wa rangi) ilisambaratishwa muda wote tangu kuanzia miaka ya mwanzo ya mwongo wa 1960 na akina Othman Sharif, Jamal Ramadhan Nasib na Mdungi Usi.
Baadaye usambaratishaji huo uliendelezwa na wanapinduzi, kina Seif Bakari, Abdalla Said Natepe na kaumu yote ya ile ijulikanayo kama ‘Kamati ya Watu 14.’ Hao ndio waliomshinikiza Sheikh Karume kutowashirikisha Makomredi kwenye uongozi wa nchi.
Siku zote walikuwa wakimtisha Mzee Karume kuwa Makomredi walikuwa na njama na jamaa zao Wakiarabu za kuutokomeza utawala wa Waafrika. Hatimaye walifaulu pale Karume alipowatimua kutoka kwenye serikali kina Badawi Qullatein na Ali Sultan na kubwa lao Babu kudondoshwa na Julius Nyerere.
Kuna siku ambapo Brigadia Yusuf Himidi aliwasikitikia baadhi ya wafuasi wa Umma Party waliokuwa naye kwa kuwaambia: “Eh jamaa fitna nyingi zimepita kutugombanisha.” Hakumtaja mtu lakini ilikuwa wazi kwamba mafatani walikuwa baadhi ya wahafidhina wa ASP.
Tatizo kubwa la Zanzibar ni kwa Wazanzibari kukubali kuhadaiwa na wanasiasa uchwara kuendelea kuwa wafungwa wa historia ya kisiasa iliyoigawa jamii katika makundi ya kikabila na kinasaba.
Jukumu linalotukabili sasa ni namna ya kutafuta njia za kuuyayusha urathi huu muovu unaoigawa jamii ya Wazanzibari na unaoutia sumu ufahamu au utambuzi wa pamoja wa Wazanzibari.
Okello alifurushwa Zanzibar kwa sababu alikuwa akileta matatizo. Alikuwa ni adha lakini hakuwa kitisho cha kisiasa. Angelikuwa ni kitisho cha kisiasa basi isingekuwa rahisi kumng’oa nchini kama alivyotolewa.
Wala si peke yake, kati ya wageni waliokuwa wakifanya fujo, aliyefukuzwa Zanzibar. Mwengine alikuwa Engine kutoka Kenya. Naye pia alitimuliwa baada ya kukamatwa huko Maruhubi, kwa amri ya Sheikh Karume, na kikundi cha Makomredi wakiongozwa na Ali Mshangama.
Mwengine aliyekuwa akiitwa Mfarinyaki alikamatwa Chwaka na Komredi Hamed Hilal aliyempeleka gerezani Kiinua Miguu. Amri za kukamatwa Mfarinyaki aliitoa Yusuf Himidi akiwa mkuu wa jeshi. Kwa nini hajawahusisha wanajeshi wengine na wapinduzi wa ASP, haijulikani. Labda Yusuf Himidi alikwishang’amua kwamba wenzake walikosa nidhamu, wakijihusisha zaidi na wizi wa ngawira, wakati Makomredi walikuwa na nidhamu ya hali ya juu.
Hatujui pia kwa nini Karume alihiyari kuwatumia Makomredi kuwatimua akina Okello, Engine na wapinduzi wengine waliokuwa si wenyeji wa Zanzibar.
Yumkini Karume aliamua kuwatumia Makomredi kumfukuza Okello badala ya kuwahusisha akina Said Washoto, Mohamed Abdalla Kaujore, Seif Bakari, Khamis Darwesh na wengine wa Kamati ya Watu 14 kwa sababu alihisi wangelisitasita na pengine kuibua mgogoro. Said Abdallah Natepe aliwahi kuhadithia kwamba waliwahi kumjadili Okello miongoni mwao na hata pakatolewa wazo la kumuua.
Sheikh Aboud Jumbe amekiri kwenye kitabu chake ‘The Part-nership’ kuwa alikuwa hawajui na hakupata kuwaona baadhi ya waliokuwemo kwenye Kamati ya Watu 14, wakiwa pamoja na Okello.
Nakiri kwamba ni taabu kuamini ya kuwa Okello aliibuka ghafla Raha Leo kutoka halaiki ya watu waliokuwa wamekusanyika hapo. Lakini pia tuna uhakika kwamba Okello hakuwa na uwezo wala heshima anayobandikwa nayo na Mihangwa.
Hatusemi hivi kwa sababu Okello hakuwa Mzanzibari. Tunasema hivi kwa sababu huo ni ukweli huku tukikubali kwamba kuna haja ya kuiangalia upya nafasi yake Okello katika mchakato mzima wa maandalizi ya Mapinduzi.
Nimalizie kwa kukumbusha jingine. Nalo ni kwamba kadhia niliyoieleza ya kutimuliwa Okello kutoka Zanzibar haikuwa ya mwanzo ya kufukuzwa Okello. Mara ya kwanza alifukuziwa kutoka uwanja wa ndege wa Dar es Salaam na kusindikizwa hadi Nairobi na Oscar Kambona, aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje wa Tanganyika.
NA TATIZO JENGINE KUBWA ZAIDI NI SISI WATU WA ZENJI KUTO KUITAJA HISTORIA YA KWELI NA KUIGEUZA GEUZA KILA KUKICHA  MPAKA SASA UKWELI HASWA HAUJULIKANI NA WABARA NDIVYO WANAVYOTAKA HIVYO  KWA HIYO WAZENJI TUSHAIKAMANI HAKUNA MUARABU WALA MUHINDI WALA MTU MWEUSI SISI SOTE NI WAZENJI BASI TUSHIKILIE HAPO HAPO.

WAZANZIBAR TUSHIKANE SOTE NA JUMUIA YA UAMSHO NDIO NCHI YETU ITAKUWA HURU SOTE TUSIGAWIKE VIKUNDI VIKUNDI SOTE TUWE KTK UAMSHO


Wazanzibari wana haki ya kuujadili Muungano



Viongozi wa dini wakiwa katika kongamano la kujadili khatma ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar
Labda leo makala hii ivunje ukimya juu ya hali ya kisiasa inayoendelea hivi sasa hapa Zanzibar, maana vyombo vya habari vyote vya Tanzania vimefanya kama kwamba hakuna kilichopo, yaani mambo kama kawaida. Kwa hakika mambo si kama kawaida. Kuna harakati nyingi na ziko wazi kabisa ambazo zinafaa kuandikiwa kwa sababu ni kwa kuandikiwa ndio zitajulikana lakini si kujulikana tu ila hata kufanyiwa uchambuzi.
Hali ya kisiasa ya sasa ya Zanzibar inatokana na kukaribia au kuelekea kwenye mchakato wa Katiba ya Muungano ya Tanzania kuridhi matakwa ya Sheria Namba 8 ya 2011 ambapo imetandika misingi ya Watanzania kujadili Muungano ikiwa ni miaka 48 tokea ulipoasisiwa.
Harakati zinazoendelea zimo au zinatarajiwa kuwemo ndani ya wigo wa kuelimisha umma juu ya mchakato ujao, lakini kwa kiasi kikubwa zimechukua mkondo mkubwa zaidi pengine hata ambao haukuwa ukitarajiwa.
Kwa busara kubwa Serikali ya Zanzibar imeruhusu mjadala huo kuendelea ili kutoa fursa ya Kikatiba kwa watu kutoa maoni yao, na kwa sababu hakuna fujo zozote zilizotokea hadi sasa, ukitoa kauli zisopendeza, basi mambo yamekuwa yakishika kasi.
Kuna taasisi tatu ambazo zimekuwa zikiendesha elimu ya umma kuhusu mchakato huo ujao, ambazo zote zina mitizamo tofauti, zina hadhira tofauti na kwa hivyo zina mbinu tofauti na zina malengo ya mwisho tofauti.
Kuna Jumuia ya Taasisi Ziso za Serikali za Mkoa Mjini Magharibi UWECSONET ambayo wao wanatoa elimu ya uraia kama ilivyo katika kitabu kwa kuwapitisha wadau wake kwenye vipengele vya sheria na hawafiki kutoa suluhisho lolote juu ya Muugano.
Pili ni Jumuia ya Taasisi za Kiislamu, lakini wakiongozwa na Jumuia ya Uamsho na Jumuia ya Maimamu ambao wao mtizamo wa ni kuwa miaka 48 ya Muungano imetosha na hakuna haja ya kuendelea nao na uvunjike halan, kwa msimamo wao.
Kisha kuna Baraza la Katiba ambalo linachukulia suala zima katika mizani ya Sheria na Katiba na wao mtizamo wao ni kuelekea kujaribu kutoa suluhu ya nne kwa kuona kuwa mfumo wa sasa wa Serikali mbili haukuuvusha Muungano, wa Serikali moja hautakiwi na wa Serikali Tatu hautaweza kuipatia Zanzibar utaifa (sovereignty) na kwa hivyo wamekuja na dhana ya Muungano wa Mkataba ( Treaty Union) badala ya Muungano wa Katiba ( Constitutional Union) kama ilivyo hivi sasa.
Pia lipo kundi la vijana wengi wakiwa ni wanafunzi wa vyuo vikuu ambao wao pia ni kama Uamsho wanataka Muungano uvunjike kama leo, na wito wao unabebwa na bango lenye anuani ya Jamhuri ya Watu wa Zanzibar Kwanza.
Mjadala unaokuja unataka wananchi wajadili kuimarisha Muungano, kama zilivyo hadidu rejea katika Sheria Namba 8, ambayo itaunda Tume ya Kukusanya Maoni, na kwa sababu ya hilo ndipo harakati za kisiasa za Zanzibar zimejikita katika nukta hiyo.
Hoja iliyopo kwa walioingia katika mjadala na wafuasi wao hasa Uamsho, ni kuwa si haki wala si vyema kabisa kubana mjadala wa Katiba kuwa ujikite kwenye kuimarisha Muungano, ambapo hadi sasa kuimairisha kumekuwa ni kuongeza mambo ya Muungano na sio kupunguza.
Hadi leo, wanadai kuna maeneo mengi ambayo yamo kwenye Muungano lakini hayatekelezeki au yamemaliza kazi yake na kwa hivyo yanapaswa kutolewa katika Mambo ya Muungano na kurudishwa ndani ya mamlaka ya Zanzibar, lakini hilo halijawahi kufanywa wala jaribio lake halijatokea.
Baraza la Katiba na Uamsho wameeleza kuwa wanaelewa vipengele vinavyofunga kuwepo mjadala wa aina hiyo na pia vipengele vinavyobana Tume ya Maoni ijayo kwa vile hadidu rejea ziliopo hazitatoa nafasi ya kubadili mfumo wa Muungano seuze mabadiliko makubwa kama wanayotizama Uamsho ya kuvunja Muungano au ya Baraza la Katiba ya Muugano wa Mkataba ambao utaiwezesha Zanzibar kuwa mwanachama wa Jumuia ya Afrika Mashariki na jumuia nyengine zote za kimataifa.
Pia wadau wa mtizamo huo wameeleza wasiwasi wao iwapo Tume ya Maoni itaruhusu kuwepo maoni aina hiyo katika vikao vyake na wananchi hapa Zanzibar. Wanasema itawezekana kabisa mambo mawili kutokea watu watapoenda katika kutoa maoni yao.
Ama watafukuzwa katika kikao kwa kuwa watakuwa wakisema kitu ambacho Tume haikutumwa kukisikiliza kwa kuwa itasema haina mamlaka ya kufanya hivyo, lakini pili inawezekana kabisa ikasikiliza lakini hatimae maoni kama hayo yasiwemo kwenye majumuisho yao.
Baya zaidi wanasema ni kuwa inawezekana Tume ikajumuisha maoni hayo ya kutaka ama Muungano uvunjike au usonge mbele katika mfumo mpya, lakini maoni hayo yakifika kwa Rais yatapuuzwa kama yalivyopuuzwa majumuisho ya Jaji Robert Kisanga kwa kuambiwa kuwa amefanya jambo nje ya hadidu rejea ilizopewa kamati yake.
Kwa sababu hiyo basi Jumuia ya Uamsho ina msimamo kuwa hakuna haja ya kuingia katika mchakato wa katiba kwa sababu ni maoni yanayohitajika tu ndio ambayo yatolewe lakini mengine yote yakiwemo ya kutaka Muungano usite, iwapo kutakuwa na ridhaa, yasizingatiwe kabisa.
Pia kuna wasi wasi unaolezwa kuwa kumekuwa na utamaduni mdogo wa Serikali za Kiafrika, Tanzania ikiwemo kuheshimu maoni ya Tume kama hizi na kwa hivyo fikra iliopo kuwa mchakato mzima ni upotezaji wa fedha na wakati.
Hoja nyengine mbili zinatolewa. Moja ni ile ya kuwa ili kuepuka gharama na kupoteza muda basi ingekuwa vyema kwa kwanza kutishwa Kura ya Maoni kwa Wazanzibari, ambayo wanayo sheria hiyo, kuulizwa iwapo wanaotaka au la Muungano uliopo hivi sasa halafu ndio kuendelea na mchakato.
Hilo wanataka lifanywe na Serikali ya Zanzibar lakini hapana dalili kuwa litaweza kutokea maana kimya kimetanda na kura kama hiyo inaweza kuitishwa na Rais au Baraza la Wawakilishi kumshauri Rais.
Kuna hoja pia Sheria Namba 8 kama ilivyo hivi sasa ikianza kazi basi ni batili na haramu kwa mujibu wa Katiba ya Zanzibar. Imeelezwa wazi kuwa Sheria yoyote inayotengenezwa na Bunge kwa maeneo ya Muungano ili ifanye kazi Zanzibar lazima iwasilishwe katika Baraza la Wawakilishi na Waziri anaehusika, lakini hadi leo jambo hilo halijafanywa.
Kwa sababu hiyo basi pia Uamsho imekuwa ikipiga vita ushiriki wa Wazanzibari katika Tume ya Maoni ijayo ikisema wasiingie humo kwa ajili ya kutafuta kipato ilhali wanajua kuwa Tume hiyo haitaweza kwa hakika kulinda maslahi ya Wazanzibari.
Kama kawaida ya Zanzibar kuna kundi kubwa la Wazanzibari ambalo limenyamaza kimya likitizama hali inakwendaje. Kundi hili ni muhimu ingawa kwa sasa halisemi chochote lakini naamini kila mtu kwenye kundi hili yumo kutafakari na baada ya muda mitizamo na misimamo yao itajulikana.
Kwa sasa pongezi kwa Serikali ya Zanzibar kuachia kushamiri mawazo huru ambayo baadae yatajichuja na kutulia na kujua wapi yanaelekea. Naamini mchakato wa katiba ujao utaendelezwa kwa njia ambayo kila wazo litachukuliwa, kila wazo litapewa nafasi ya ushawishi na hatimae wengi watakubaliwa, wachache wataheshimiwa na matakwa ya umma yatakuwa ndio mbele na maslahi ya nchi yatajikita katika mizani.

JE BADO TU HAMJAMINI KAMA MKOLONI MWEUSI NDIE ANAYETAWALA ZANZIBAR...? MAWAZIRI WASEMA ZNZ IANZISHE BARAZA LAKE LA MITIHANI SEREKALI INAKATA HAMJUWI KWANINI MKOLONI MWEUSI KATUSHI BARABARA


Wajumbe wa baraza la wawakilishi wamepitisha mswada wa sheria wa Kuunda baraza la Mitihani Zanzibar. awali Jina lililopendekezwa na waziri wa elimu wakati wakiwasilisha mswada ilikuwa ni Kuanzisha Bodi ya Vipimo na Tathmini ya Elimu Zanzibar. Waziri, pamoja na naibu wake Zahra Ali Hamad, pamoja na Mwanasheria Mkuu wa Serikali Othman Masoud walijititajihidi kutetea jina la Bodi, lakini wajumbe wengi wa baraza khasa Backbenchers walifanikiwa kujenga hoja ya kuunda baraza la mithani Zanzibar ambalo majukumu yake hayatoingilia baraza la taifa la Mithani Tanzania (NECTA).
Japokuwa Baadhi ya wajumbe akiwemo Mwakilishi wa Jimbo la Chonga (CUF) Abdallah Juma Aballah Chonga walipendekeza Zanzibar ianze kutunga mithani ya Form 4 na kuacha kutegemea NECTA, Majukumu ya ‘baraza la Mithani Zanzibar’ yatakuwa ni kusimamia mithani ya Zanzibar (Darasa la Saba, na Form 2) pamoja na kufuatilia maendeleo ya elimu Zanzibar.  Wakichangia mswada huo Mwakilishi wa jimbo la Mji Mkongwe (CUF) Ismail Jussa Ladhu alisema wakati umefika kwa Zanzibar kuwa na chombo kinachojitegemea kitakachoshungulikia uratibu wa mitihani ya elimu ya juu hasa kwa kuzingatia umuhimu wa elimu nchini.
Jussa alisema mswada huo ni mzuri licha ya kuwa na kasoro madogo madogo ambazo zinapaswa kurekebishwa na alisema chombo hicho ni muhimu sana kwa sababu ndiyo kitakachoratibu shunguli za mitihani ya kuanzia kidatu cha kwanza hadi cha kumi na mbili.
Akizitaja kasoro hizo Jussa alisema kuna baadhi ya wadau ambao hawakushirikishwa katika mswaada huo na walipaswa kushirikishwa katika mchakato huo.
“Suala hili sio la Muungano na imefika pahala Zanzibar ianzishe mambo yake wenyewe kwani msiba mkubwa tulipata wa kufelishwa wanafunzi kati ya 3303 waliofutiwa matokeo zaidi ya 1000 wanatokea Zanzibar lakini waziri ameshindwa kutoa kauli yoyote kuhusiana na suala hilo, Wananchi wanauliza jee serikali ipo makini katika hili? Alihoji Jussa.
“Wananchi wa Zanzibar hivi sasa wanapoteza imani na wenzao wabara kutokana na mambo kama haya Mheshimiwa Spika.” alisema Jussa. Mwakilishi huyo aliwaambia wajumbe wa baraza hilo kwamba katiak suala la kuleta maelendeleo ya elimu nchini, serikali isione tabu kuzialika taasisi za elimu kutoka nje ya nchi kwa ajili ya kusaidia kuinyanyua elimu ya Zanzibar. Na kusisitiza kwamba nchi yeyote yenye maendeleo basi wananchi wake wanakuwa na elimu.
Mwakilishi wa Jimbo la Kwamtipura (CCM) Hamza Hassan Juma naye alisema ili kufuta machozi ya wananchi wa Zanzibar ni kubadilisha jina la mswada huu na sio kuzungukazunguka katika kutoa majina ta tahmini na viwango bali ni kusema moja kwa moja baraza la mtihani Zanzibar “Mheshimiwa Spika dawa kubwa ni wazanzibari kuunda baraza letu la mitihani basi hakuna jengine. Maana hawa wenzetu wamezowea kutubeza nakumbuka tulipotaka kuanzisha vyuo vikuu hapa kila majina wakitwita lakini jee tuwaulize leo kuna vyuo vikuu hakuna? Alihoji Hamza.
Alisema suala la kuundwa kwa baraza la mitihani Zanzibar haklina mjadala na wala halitaki kuzungukwa zungukwa kwani Zanzibar ina watalamu wake wa kila aina hivyo hakuna haja ya kuwa na kigugumizi katika hilo. Alisema katika suala hilo la elimu elimu ya form 4 Zanzibar kamwe haijakiuka katiba bali imetekeleza kwa vitendo azma yake ya kuinua kiwango cha elimu kwa wananchi wake, kwa kuwa rasilimali ya nchi yeyote ni elimu basi ni kurekebisha mitaala na sera za elimu.
kufuatia malalamiko ya hivi karibuni ya wanafunzi kufutiwa mitihani, baadhi ya wajumbe wa baraza la wawakilishi walipendekeza zanzibar ijitegemee katika kutunga mithani yake na kuachana na NECTA, lakini waziri na mwanasheria mkuu wakajibu kuwa Zanzibar kujitoa ktk NECTA ni kinyume cha sheria, halafu haiwezi kuwa ni suluhisho la matatizo ya mithani.
“Kwa kweli wanafunzi wetu wamefanya udanganyifu mkubwa. kamati ya baraza la wawakilshi ilikwenda Dar es saallam katika ofisi za NECTA na kuthibitisha hilo, na kamati ya wazee ambao watoto wao wamekumbwa na mkasa wa kufutiwa mithani pia wamethibitisha. hata kama tukiamuwa kutunga mithani wenyewe, tusiruhusu udanganyifu,” Shaabani alisema.
Alisema upo ushahidi wa kutoka kwamba watoto walifanya udanganyifu na kwamba ni lazima wazazi pamoja na waalimu waungane kupiga vita udanganyifu ili kupata wanafunzi wankaoweza kuwa wataalamu siku za baadae. Waziri alisema, katika hesabu za jumla, kati ya wanafunzi 3303 waliyofutiwa matokeo ya mithani, 2076 ni kutoka shule za zanzibar. “watoto wamefanya kosa, lakini adhabu ya miaka mitatu bila kufanya mithani ni mingi. nitazungumza na waziri mwenzangu wa elimu tanzania bara kuangalia uwezekano wa kupunguza adhabu hiyo.”
Amesema kuundwa kwa baraza la mitihani la Zanzibar sio suluhisho la kuepukwa kwa vitendo vya udanganyifu vinavyofanywa na wanafunzi katika mitihani yao.
“Mheshimiwa Spika hata kama Zanzibar itakuwa na Baraza lake la mitihani sio ufumbuzi wa tatizo hilo kwa sababu tatizo la udaganyifu wa mitihani ni la muda mrefu na vijana wetu wamepunguza kasi ya kusomea wanasubiri kuvuja mitihani ndio waanze kutafuta fedha wanunue” alisema Shaaban.
Waziri alisema wanafunzi 1,200 waliofutiwa mitihani yao hapa Zanzibar ni kutokana na kuthibitika kuwa wamefanya udanganyifu katika mitihani hiyo.
Alisema wanafunzi hao wamegundulika kuwa katika mtihani ya kiidato cha nne walifanya vitendo vya udaganyifu kwa kushirikiana na wasimamizi wa vituo wakati wa utahiniwa.
Waziri huyo alisema Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA) lililazimika kufuta matokeo ya wanafunzi hao baada ya uchunguzi wa kina kufanyika jambo ambalo wizara yake nayo iliunda kamati maalumu ya kufuatilia suala hilo. Aidha Waziri Shaaban ambaye ameiaga wizara hiyo hapo jana alisema kwamba Wizara ya elimu ilichukuwa hatua kwa kulitaka baraza la mitihani la taifa Tanzania (NECTA) kuwasilisha ushahidi baada ya wanafunzi kufutiwa matokeo yao na serikali imelidhika na ushahidi wa Baraza hilo.
Aliwaambiwa wajumbe wa baraza la wawakilishi kwamba katika suala la mitihani kwa wanafunzi wa kidatu cha nne uthibitisho umepatikana kwamba wanafunzi walifanya udanganyifu na hivyo suala la kufutiwa matokeo limetokana na kasoro hiyo iliyotokea kwa udanganyifu huo.
Akitaja hatua za serikali katika suala hilo Waziri huyo alisema baada ya kutafakari kwa kina na kushauriana na wataalamu mbali mbali wa wizara yake serikali kupitia wizara ya elimu imeamua kuunda kamati ya kuchunguza kashfa hiyo ya udanganyifu na wasimamizi watakaobainika kuhusika na vitendo hivyo watachukuliwa hatua za kisheria.
Akitaja hatua ambazo serikali iemchukua ni pamoja na Wizara ya elimu na mafunzo ya amali kuchukua jukumu kusambaza mitihani ya kidato cha nne na sita na kusimamiwa katika vituo vya wizara badala ya kazi hiyo kufanywa na watendaji wa mikoa hapa Zanzibar.
Alisema licha ya kuwa wazazi wengi kuguswa na suala hilo lakini ni vyema wazazi hao wakachukua subra katiak jambo hilo kwani kuendelea kuwatetea wanafunzi ambao wamefanya vitendo vya udanganganyifu ni kutengeneza taifa dhaifu. Akizungumzia adhabu iliyotolewa na NECTA ya kuwazuwia wanafunzi kufanya mitihani miaka mitatu alisema adhabu hiyo ni kubwa na sasa wanapitia adhabu hiyo na kuangalia uwezekano wa kuweza kuipunguza kwani inaweza kuleta athari kubwa kwa wanafunzi.
“Ni kweli adhabu waliopewa wanafunzi kufungiwa kwa miaka mitatu wasifanye mitihani, adhabu hiyo ni kubwa lakini seriakli zetu zote mbili ya Zanzibar na muungano tumeanza kujadiliana kuangalia upya adhabu hiyo namna ya kutafuta utaratibu mwengine” aliwaambia wajumbe wa baraza hilo.
Mswada huo umepitishwa na wajumbe wa baraza la wawakilishi ambapo serikali imekubali kubadilisha jina la awali na kuitwa baraza la mitihani la Zanzibar ambapo awali jina lake lilikuwa Bodi ya vipimo na tathmini ya elimu Zanzibar jina ambalo lililalamikiwa na wajumbe wengi wa baraza hilo.
Moja ya kazi za Baraza hilo ni kusimamia mitihani ya shule ya msingi na mitihani ya kidato cha pili Zanzibar ambapo Waziri Shaaban alisema mitihani ya kidato cha nne na sita itaendelea kusimamiwa kama kawaida na Baraza la mitihani la Taifa Tanzania (NECTA).
Kwa mujibu wa mswada huo Baraza la mitihani la Zanzibar litafanya kazi ya kupima na kutathmini viwango vya ubora vya elimu ya maandalizi na msingi ili kuinua kiwango cha elimu cha Zanzibar. Waziri Shaaban alisema kwamba Wizara ya elimu na mafunzo ya Amali itaendelea kushirikiana na NECTA na Wizara yake haina mpango wa kujiondoa NECTA kwani wanafanya kazi pamoja.
“Mheshimiwa Spika Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar haina nia wala mpango wa ya kujitoa NECTA tutazidisha mashirikiano kwa kutumia uzowefu wao na utaalamu wao kuendeleza sekta ya elimu Zanzibar.”aliahidi Waziri Shaaban.
Kabla ya kupitishwa mswada huo wajumbe wakichagia muswada huo walishauri Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kuanzisha Baraza lake la mitihani na kuchukuwa majukumu ya kusimamia mitihani yote badala ya kazi hiyo kufanywa na Baraza la Mitihani ya nchi ya TANGANYIKA ((Tanzania)) NECTA ombi ambalo serikali imelikataa.

Ramadhan Abdalla Shaaban Mheshimiwa Spika Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar haina nia wala mpango wa ya kujitoa NECTA tutazidisha mashirikiano kwa kutumia uzowefu wao na utaalamu wao kuendeleza sekta ya elimu Zanzibar.”aliahidi Waziri Shaaban.HAYA NDIO MANYOKA YANAYO IYUWA ZANZIBAR NA HAWA NDIO VITUMWA VYA MKOLONI MWEUSI TANGANYIKA.