Thursday, May 31, 2012

VIDEO-UAMSHO - AMANI KWA WAZEE

MUHADHARA UAMSHO - AMANI KWA WAZEE '1'
MUHADHARA UAMSHO - AMANI KWA WAZEE '2'
MUHADHARA UAMSHO - AMANI KWA WAZEE '3'
MUHADHARA UAMSHO - AMANI KWA WAZEE '4'

VIDEO-MUHADHARA UAMSHO - MPENDAE

MUHADHARA UAMSHO - MPENDAE '2'
MUHADHARA UAMSHO - MPENDAE '3'

Wednesday, May 30, 2012

ABOUD NA DUNGUZAKE WAKIPEYANA MAWILI MATATU


Waziri wa Nchi Afisi ya Makamu wa Pili wa Rais Aboud na sasa kweli anabudu na nchi ya zanzibar sote tunamshuhudia aboud anavyo abudu jamaa zake wa mrima hapa akiwa na dungu yake Askofu Mkuu wa Anglican Nchini Tanganyika,Dk Valontino Mokiwa wa kwanza kulia na Maaskofu mbalimbali  akizungumzia kuhusiana vipi kanisa litadumishwa nchini Zanzibar  na vipi mfumo mzuri wa kueneza dini hiyo hapa nchini zanzibar na aboud amesema atawasaidia sana sana kwa hali na mali nawajisikie wako nyumbani kabisa.

SHEIKH FARID ANGURUMA KAMA SIMBA ASEMA HATURUDI NYUMA


Kiongozi wa Maimamu Zanzibar, Farid Hadi Ahmed akiongea na waumini katika msikiti wa Mbuyuni Zanzibar jana baada ya sala ya alaasiri.

Wananchi wa Zanzibar wenye asilimia 99% ya dini ya kiislamu wakiwa ndani ya msikiti wa Mbuyuni
wakionesha mabango ya kukataa Muungano wakati Sheikh Farid (hayupo pichani) akizungumza


JUMUIYA ya Mihadhara ya kiislamu (Uamsho) imetoa msimamo mkali zidi ya Serikali ikisema kuwa haitarudi nyuma katika kudai uhuru wa Zanzibar.
Wakizungumza katika msikiti wa Mbuyuni uliopo eneo la Darajani mjini Zanzibar, viongozi wa Uamsho wamewataka Wazanzibari kutolegezamsimamo wao hata kama jeshi la polisi limezingira mji wao.
Umoja wetu ndiyo utakao tukomboa nchi yetu, msikubali kuyumbishwa na kitu chochote wala kulegeza msimamo wetu. Jambo moja tu, ni mpaka kieleweke.
Bila hivyo hakuna jeshi, hakuna polisi atakaye tuyumbisha” alisema Sheikh Mussa Juma wa msikiti huo na kuitikiwa na wafuasi waliokuwa wamefurika katika msikiti huo “ndiyooooo!”
Wafuasi hao walikuwa wameshikilia karatasi zilizoandikwa “hatuutaki muungano, tunaitaka Zanzibar yetu”.
Naye Sheikh Mussa Juma aliyekuwa amekamatwa na jeshi la polisi kabla ya kuachiwa kwa dhamana aliwapongeza wanachi waliotoka na kuandaa na akisema kuwa hawatarudi nyuma, Tunawashukuru Wazanzibari kwa sababu meonyesha kutotaka kutawaliwa” alisema na kuwauliza wafuasi hao “mko tayari” nao wakijibu “Tuko tayariii”
Naye Sheikh Farid Hadi Ahmed alisema kuwa kundi hilo linafuata taratibu hivyo halipaswi kulaumiwa kwa kufanya vurugu. Aliwataka pia Wazanzibari kutogawanyika kwa vyama vya siasa,Muone katika silaha kubwa wanayotumia maadui ni kutugawa kivyama na kikabila au kirangi, inasikitisha sana.”
Huku akinukuu Katiba ya Zanzibar ibara ya 23 sheikh Farid alisema kuwa kila Mzanzibari anapaswa kuhifadhi mamlaka na uhuru wa Zanzibar.
Aliwahamasisha wafuasi hao kuonyesha mabango waliyokuwa wameshikilia na kumtaka mkuu wa jeshi la polisi kutambua hitaji kubwa la Wazanzibari.
Hebu mwonyesheni IGP mlichonacho….. mnautaka muungano hamuutaki? (wote wakajibu) “hatuutaki!).
Huku akitoa mifano, Farid aliendelea kusema kuwa kilichopo ni wimbi la Wazanzibari kudai nchi yao.
Alisema kuwa kama vile maji ambayo yakizibwa katika njia yake husambaa mitaani, hivyo ndivyo Wazanzibari wanavyosambaa mitaani kudai nchi yao.
Alitetea kitendo cha jumuiya hiyo kuandamana akisema kuwa si kosa kisheria kutembea barabara.
Kwani mtu akitembea kwenye nchi yake anatembea kwa kibali? Sisi tumeamua kutembea… waliokuja na wake zao wametemebea na Mwenyezi Mungu kajalia tumetembea kwa furaha yote. Mbona timu zinafanya mazoezi, zinachukua vibali, watu wanakwenda hitimani wanapewa vibali?” alihoji.
Sheik Faridi alitangaza siku ya  26 kuwa ni ya maandamano kwa Wazanzibari na kuwataka wanajeshi wa Kizanzibari kujiandaa kuwaunga mkono katika maandamano hayo.
Huku akikwepa lawama kwa kundi hilo kwamba limekuwa likichoma na kuharibu makanisa, Sheikh Farid aliwalaani watu wanaounganisha kundi hilo na tuhuma hizo, Tunamwambia IGP kamishina hana uwezo hana uwezo. Wanajeshi tunao…. Vikosi vina watu 8000 waambie wajindae wasibebe silaha ni ndugu zetu… waje wakae barabarani wala sisi hatuhitaji ulinzi” alisema na kuongeza,
Lakini tuna wasi wasi na hawa wanaolipua makanisa na sisi tunawalaani vibaya, hawa tunaamini ndiyo wale wale waliokuwa wakisimama na kutukana matusi, tena wana visu, wana nondo, wana pesa Mheshimiwa IGP waambie wakupe rekodi.”alisema Farid.
Licha ya Waziri katika Ofisi ya makamu wa kwanza wa Rais Mohammed Aboud kukemea mihadhara hiyo, jeshi la polisi halikuthubutu kuingilia mkutano huo.
Magari yaliyosheheni askari polisi yalionekana yakipita mbali na eneo hilo bila kuwabughudhi.

VIDEO–UAMSHO CHWAKA-NI WAJIBU WA KILA MTU KUTETEA NCHI YAKE

VIDEO-MUHADHARA UAMSHO - MAKUNDUCHI

VIDEO-UAMSHO KONGAMANO TAREHE 1/4/2012 BWAWANI ZANZIBAR

VIDEO-UAMSHO-HOFU YA WATANGANYIKA WANAO ISHI NCHINI ZANZIBAR NJE YA MUUNGANO FEKI

VIDEO-MUHADHARA UAMSHO - PWANI MCHANGANI

ASKOFU MAGNUS MHICHE AHOJI WAHUNI WANATAWALA ZANZIBAR..?ASKOFU ANATUTUKANIA VIONGOZI WA NCHI YETU ZNZ KUWAITA WAHUNI SHEIN UPO MAKANISA YOTE HAYA YA NINI NA NCHI HII 99% NI WAISLAMU


VIONGOZI wa makanisa wa KUTOKA  nchi jirani ya TANGANYIKA WANAO ISHI NCHINI ZANZIBAR wametoa malalamiko yao ya vitendo vya uchomaji na uharibifu wa makanisa kisiwani humo na kutaja vitendo 23 huku wakiitaka Serikali kuingilia kati.Vipi serekali ingeliye kati na serekali HAINA DINI..?na ikigilia kati tu basi tushajuwa kuwa serekali hii ya ni ya mfumo kiristo.
Katibu wa umoja wa Wachungaji wakitanganyika anaishi hapa nchini Zanzibar Jeremiah Kobero alisema kuwa licha ya makanisa matatu yaliyochomwa na kubomolewa katika vurugu za sasa, kuna matukio 23 ya uchomaji moto makanisa yametokea tangu mwaka 2001.
Aliyataja matukio hayo kuwa ni pamoja na uchomwaji moto wa makanisa ya The Church of God na Sloam yaliyofanyika mwaka 2011, makanisa mawili yaliyoko Masunguni yote mwaka huo huo, Kanisa la EAGT la Fuoni mwaka huo, kanisa la Pefa mwaka 2009, kanisa la Mwera mwaka 2012, kanisa la Redeemed lililiopo Dilikane mwaka 2001 yote ya mkoa wa Mjini Magharibi.
Alitaja pia makanisa yaliyochomwa katika mkoa wa Kaskazini kuwa kanisa la Tunguu, Unguja Ukuu, kanisa la CMF, Chukwani na Manyanya.
Alitaja pia kuwepo kwa tabia hiyo kisiwani Pemba akisema kuwa imekuwa ni tabia kwa wakristo kusumbuliwa.hahahahahahah fitna tu na uchochizi ndio kazi yao ati wakiristo kusumbuliwa mawe sio wakiristo kusumbuliwa bali ni maduwa wa zanzibar na watu wa zanzibar wakiristo wako anzi na anzi kabla ya wewe chogo kuja zanzibar kulikuwa na wakiristo habu waulize washawahi kusumbuliwa..?
Kwa upande wake Askofu wa Kanisa la TAG Kariakoo Zanzibar Dickson Kaganga aliwataka Viongozi wa serikali kuchukua tahadhari mapema kabla vurugu hazijatokea.sasa Dickson Kaganga unajaribu kuitisha serekali ya GNU-SUK sio...?
“Wakristo tumewafundisha kuvumilia…juzi walipovamia hapa walichoma moto biblia 50, ingekuwaje sisi tungechoma japo kitabu kimoja cha Kurani? Hayo makanisa yote yaliyochomwa, taarifa ziko polisi, lakini ukienda kutoa taarifa unaulizwa, una kibali Yaani wanakutafutia tena kosa” alisema Askofu Kaganga.
Kaganga ambaye wakati wote alikuwa akibubujikwa na machozi aliwataka Wazanzibar kutambua umuhimu wa muungano kuwa ni pamoja na kuenezwa kwa dini.
“Unapoona makanisa yanaenea hapa, ujue na kule bara misikiti inaenezwa na Wapemba ambao ni wajasiri wa biashara. Hiyo ndiyo faida ya muungano ndiyo faida ya kuoleana” alisema.
Kwa upande wake Makamu Mkuu wa askofu wa TAG kitaifa Askofu Magnus Mhiche alihoji kitendo cha wahuni kuvamia makanisa ilihali Serikali ikiwepo madarakani,
“Mimi siamini kama ni Waislamu wamefanya haya, ila najiuliza, kama siyo wao basi ni wahuni. Hivi kweli wahuni wanatawala Zanzibar?” alihoji.((haya serekali yatu ya GNU-SUK hiyo inatukanwa sasa))washaitwa wahuni.Naye Askofu wa kanisa kuu la Anglican Michael Hafidhi aliiomba Serikali kudhibiti mahubiri yanayotukana dini ya kikristo kwa njia ya kaseti akidai kuwa yanachochea vurugu.
“Zipo Kaseti zinazotukana ukristo, zinachochea vurugu, tunaomba serikali idhibiti. Hata ile kamati yetu ya ushirikiano wa dinio nayo imekufa inabidi ifufuliwe.
Kwa upande wake mwakilishi wa ofisi ya Mufti wa Zanzibar Thabit Jongo aliwataka Waislamu kuchukuliwana na Wakristo akisema kuwa hata Mtume (SAW) alifanya hivyo wakati akiitetea dini yake.
“Hata Mtume wetu alipopata taabu alipokuwa Madina alikimbilia kwa Wakristo. Mpaka uislamu ulipoenea Makka yote. Hata alipotoka Medina na kwenda Mecca aliyempeleka hakuwa muislamu. Nashangaa leo ninaposikia eti Waislam wanachoma makanisa” alisema Jongo na kuongeza,
“Hawa ni waislamu gani, mbona wamechoma hata bendera ya CCM, wamechoma bar na kunywa bia. Nini hasa malengo yao?
WAZIRI wa nchi katika Ofisi ya Makamu wa pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Mohamed Aboud amepiga marufuku mihadhara na maandamano yanayofanywa na vikundi vinavyopinga muungano akisema kuwa watawachukulia hatua kali za kisheria.
Waziri Aboud aliyasema jana hayo baada ya kutembelea kanisa la Assemblies Of God lililopo eneo la Karikoo mjini Zanzibar lililochomwa moto na kubomolewa kutokana na vurugu zilizozuka kufuatia kukamatwa kwa viongozi na wanachama wa kundi la Jumuiya za mihadhara ya Kiislamu Zanzibar (Uamsho).
Katika ziara hiyo ambayo aliongozana na Mkuu wa Jeshi la Polisi IGP Said Mwema na Kamishna wa Polisi Zanzibar Mussa Ali Mussa, Waziri Aboud alisema baadhi ya viongozi wa dini wanatoa maneno ya uchochezi yanayosabaisha vurugu.
“Baadhi ya viongozi wa dini wanatoa maneno ya uchochezi, yanachochea vurugu zote hizi…. Maneno ni sumu, ndiyo tumeiingiza nchi katika machafuko yote haya” alisema Waziri Aboud na kuongeza,
“Sisi kama Serikali tumewaita wenye makundi hayo na kuzungumza. Tumewaambia, kama mtu hataki dini aje kwenye majukwaa ya siasa. Tumekosea kuwaachia watu waanzishe vyama na vimesajiliwa kisheria kwa lengo la kueneza dini, lakini sasa wanaleta uchochezi.
“Kuanzia sasa ni marufuku kufanya maandamano na mikusanyiko yoyote ya aina hiyo” alisisitiza Waziri Aboud.
Naye IGP Said Mwema alisema kuwa jeshi hilo limeongeza ulizni katika maeneo maalum yenye usalama mdogo hasa makanisa.
“Tumejipanga kikamilifu kuhakikisha kuwa tunadhibiti maeneo maalum ili yasiendelee kuvamiwa. Tunafanya uchunguzi, ili kuhakikisha nani, kwa nini na wako wapi” alisema IGP Mwema.
Alisema jeshi hilo kwa sasa lina kikosi maalum kwaajili ya kuongeza nguvu ya kudhibiti machafuko kisiwani humo na kwamba hadi jana jeshi hilo lilikuwa limekamata watu 46 na kati yao 43 wamefikishwa mahakamani huku wengine watattu wakifanyiwa uchuguzi.
Aidha IGP Mwema alikiri kwamba jeshi hilo limecghelewa kuzuia uhalifu huo na kwamba hatua iliyopo sasa ni kudhibiti usiendelee.
“Kuna mifumo mitatu ya ulinzi, kwanza ni kuzuia kabla mambo hayajatokea, kwa hapo sisi tumeshachelewa. Tuko hatua ya kudhibiti yasiendelee na baada ya hapo tutajenga amani iwe endelevu” alisema.
Wakati huo huo Chama Cha Mapinduzi CCM kimesikitishwa na vurugu zilizotokea ambazo wanaamini kuwa zimeandaliwa na Jumuiya za Uamsho na kuitaka serikali kuchukua tahadhari kubwa katika suala hilo kwani kama hatua hizio hazijachukuliwa huenda likaleta maafa makubwa.
“Cham cha Mapinduzi kinaalani vitendo hivyo na kuzitaka serikali zote kudhibiti hali ya amani na utulivu tulioizowea na kuwachukulia hatua kali wote waliosababisha vurugu hizi” alisema taarifa yake kwa vyombo vya habari.
Kwa upande wake chama cha Chadema kimelaani vurugu hizo zilizofanywa kwa makusudi na vijana ambao wanaonekana wameshapata mafunzo maalumu kwa kusaidiwa na chama kimoja cha kisiasa kinachounda serikali ya umoja wa kitaifa.
“Chadema tunavitaka vyama vya siasa kuandaa makundi ya vijana ambayo mwisho wake wanakosa kuwapatia kazi na hatima yake kuwa vikundi vya kihalifu nchini” ilisema taaifa hiyo iliyotiwa saini na Hamad Yussuf Naibu Katibu Mkuu.
Chama Cha Wananchi CUF kimelaani vurugu hizo na kusema zimesababishwa na chuki binfasi, ukosefu wa hekima, matumizi ya nguvu za dola na uchochezi wa makusudi kwa wale wasiopendeleaq maridhiano ya kisiasa ya Zanzibar.
“Vitendo vya watu wachache na kuharibu mali za watu ni uvunjifu wa sheria na kinyume na utamaduni wa kizanzibari, uchunguzi wa kina ufanyike na waliohusika wachukuliwe hatua bila ya uonevu wala upendele” imesema taarifa hiyo iliyotiwa saini na Salim Bimani

JESHI LA POLISI LA KIKURIA LAENDELEA KUNYANYASA WAZANZIBAR NCHINI KWAO MAKABURU WEUSI


Kijana wa nchi ya zanzibar akipata kichapo kutoka kwa jeshi la polisi la kikuria la kutoka nchi jirani ya tanganyika jeshi hili la kikuria kutoka tanganyika liko nchini zanzibar kwa muda wa miaka 48 sasa na wazanzibar hawatakitena kutawaliwa na wakuria wakutoka bara wanadai nchi yao na hawa wakuria wanawapiga na kuwanyanyasa wakuria wakitanganyika wamekuwa MAKABURU WA 2012 NDANI YA NCHI YA ZANZIBAR JE SHEIN HAWA WATACHUKULIWA HATUWA ZA KINITHAMU..? kwa kuwapiga rai wema au ndio basi yashakwisha.imethabitika kuwa kijana huyu alikuwa akipita tu na shughuli zake wao wamefunga njia maeneo ya barabara ya Amani na Magomeni Zanzibar ndipo walipomshika na kupiga na kupigisha vichura ZIKO WAPI HAKI ZA BINADAMU DR SHEIN...?

Tuesday, May 29, 2012

HAKUNA MGAWANYIKO UAMSHO! WANAFIKI M/MUNGU ANAWAONA


ASSALAMU ALAKUM
Kila sifa njema anastahiki M/Mungu rehma na amani zimshukie Mtume Muhammad (S.A.W) Na ahli zake na maswahaba zake na waliowema katika uislamu.
nachukuwa fursa hii kukanusha uvumi unaoenezwa na wanafiki na mafisadi wasiotakia mema zanzibar na uamsho kuwa kuna kutofahamiana baina yetu na mimi nimeondoka kinyemela kwenda Oman.
Nasema hizi ni khabari za uongo safari yangu ya oman nilipanga zamani na niliikhairisha ili niwahi dua ya pamoja maisara na baada ya dua na kuhutubia niliondoka siku hiyo hiyo na viongozi wangu wote wajuu wanajuwa kuwapo safari hii nia ya safari yangu ni kufanya uchunguzi wa afya yangu na nishawahi kwenda india mara mbili kwa ajili hiyo na ilikuwa nikae oman wiki tatu lakini nimeamua kurudi nyumbani haraka iwezekanavyo na Sheikh Mselem safari yake ya Pemba ilikuwa imepangwa wala yeye hakukimbia wala hatukugawanyika sote tuna mawasiliano na mashauriano wao wametaka nibakie kidogo kutizama Afya yangu lakini nimeamua kurudi nyumbani haraka niungane na wenzangu katika harakati za kukomboa nchi yetu kwa amani na utulivu najuwa kuwa polisi walivunja nyumba zangu kunitafuta mimi niliondokea katika kiwanja cha ndege cha zanzibar kwa taratibu zote za sharia siku ya ijumaa ya 25/05/2012 wale wanaovumisha kuwa tumegawika wajuwe sisi hawawezi kutugawa kwa sababu tumeungana kwa ajili ya mungu na naamini mungu yuko pamoja nasi.
Nasaha zangu kwa wanzanzibar tutulie viongozi wenu tuko salama tusikubali kugawiwa tukarudishwa tulikotoka zanzibar ni nchi yetu tukiiharibu hatuna nyengine maaduwi walikuwa wanatafuta siku nyingi sababu ya kutugawa kwa hivyo tusiwape sababu tuilinde amani tuilinde nchi yetu tumuenzi rais wetu mungu ibariki zanzibar wabariki na watu wake AMIN
ndugu yenu
AZZAN KHALID HAMDAN
NAIBU AMIR
JUMIKI

CCM YATAKA JUMUIYA YA UAMSHO NCHINI ZANZIBAR IFUTWE MARA MOJA VUAI ALI VUAI ASEMA KAMA ALIYE PAYUKWA KWA SABABU YAKUHIFADHI TOGE NA FUPA LAKE


VUAI ALI VUAI AHARA AKIJIPAKA KWA UTAMU WA MADARAKA

Chama cha Mapinduzi kimetoa shinikizo kwa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kumtaka Waziri wa Sheria na Katiba wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Abubakar Khamis Bakar ajiuzulu kwa madai ya kushindwa kuishauri vizuri Serikali katika suala la kudhibiti asasi za kiraia ikiwemo kikundi cha “Uamsho”.
Aidha, Chama Cha Mapinduzi kimetaka kufutwa mara moja kwa Jumuiya ya “Uamsho” kwa sababu imekwenda kinyume na malengo yake ya kuanzishwa kwa taasisi hiyo ambayo kazi yake kutoa elimu kuhusu mihadhara ya Dini ya Kiislamu tu.
Akizungumza na waandishi wa habari hapo makao makuu ya CCM Kisiwandui mjini Unguja, Naibu Katibu Mkuu wa CCM, Zanzibar, Vuai Ali Vuai  amesema leo, kuwa kikundi cha kutoa mihadhara ya Dini ya Kiislamu cha “Uamsho” kimesajiliwa kwa ajili ya kutoa mihadhara ya mambo ya dini tu na sio kujishungulisha na siasa za majukwaa, ikiwemo kuwahoji wananchi kuhusu uhalali wa Muungano wa Tanzania na kuwakashifu viongozi wa Serikali, wakiwemo Waasisi wa Taifa hili.
Alisema kitendo cha Waziri wa Katiba na Sheria kushindwa kuishauri vizuri Serikali kuhusu mwenendo wa kikundi hicho, ndiyo kimesababisha maafa makubwa na kuiingiza nchi katika wasiwasi mkubwa kiasi kuvurugika kwa sekta ya biashara na utalii, “Chama Cha Mapinduzi, kinamtaka Waziri wa Sheria na Katiba wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, kujiuzulu mara moja kwa sababu ameshindwa kumshauri vizuri Rais pamoja na Serikali kuhusu mwenendo wa kikundi cha “Uamsho” ambacho kinafahamika kwamba kazi yake kutoa mihadhara ya kidini tu na siyo siasa,” alisema Vuai.
Akifafanua zaidi Vuai alisema, kwa mfano, vyama vya hiari vyote vilivyopata usajili wa kudumu wa kufanya shunguli zao vinasajiliwa katika Ofisi ya Katiba na Sheria ambayo ipo katika Wizara yake.
Aidha, alisema Mawaziri wa Sserikali ya Mapinduzi ya Zanzibar walikutana pamoja na Viongozi wa Vyama vya Siasa na Viongozi wa “Uamsho” tarehe 25 Aprili na kutaka kikundi hicho kuacha kufanya mihadhara inayohusiana na mambo ya siasa au kitachukuliwa hatua kali za kinidhamu.
Kwa mfano, alisema hivi karibuni Jeshi la Polisi lilizuia utoaji wa vibali kwa Viongozi wa chama hicho, lakini vibali vilitolewa katika Ofisi za Mufti ambazo zipo chini ya Wizara ya Katiba na Sheria, “Tulimtaka Waziri wa Katiba kulifanyia kazi suala hilo kuona kwamba kikundi hicho hakifanyi mihadhara inayohusiana na mambo ya siasa ikiwemo kuwakashifu viongozi na kuhoji uhalali wa Muungano, lakini hakufanya kazi hiyo,” alisema Vuai.
Vuai alisema, hivi sasa Chama Cha Mapinduzi kimetambua na kufahamu kwamba Jumuiya ya “Uamsho” ipo katika kivuli cha chama kimoja cha siasa na ndiyo maana kimekuwa kikifanya kiburi na jeuri kiasi ya kutamka kwamba hakuna mtu wa kukifuta.
Aidha, Vuai alisisitiza na kuitaka Serikali kuifuta Taasisi ya “Uamsho” mara moja kwa sababu imekwenda kinyume na dhamira yake ya kuanzishwa, “Tunaitaka Serikali kuifuta mara moja Taasisi ya “Uamsho” kwa sababu imekwenda kinyume na malengo ya kuanzishwa kwa taasisi hiyo,” alisema Vuai.
Aidha, Vuai aliwataka wafuasi wa Chama Cha Mapinduzi kuwa watulivu katika kipindi chote na kuacha kujishungulisha na vurugu hizo ambazo zinahatarisha amani na utulivu.
Kwa mujibu wa Katiba ya Jumuiya ya “Uamsho”, Taasisi hiyo itakuwa na kazi ya kutoa mihadhara ya kidini kwa waumini na wafuasi wake na kulinda haki za binaadamu kwa makundi ya Waislamu mbalimbali.
Aidha, Jumuiya hiyo kazi yake ni kusaidia kutatua matatizo ya kijamii, ikiwemo migogoro na majanga mbalimbali yakiwemo waathirika wa ugonjwa wa UKIMWI. Katiba ya chama hicho inapiga marufuku Taasisi hiyo kujishungulisha na mambo ya kisiasa, ikiwemo viongozi wake.
HAYA SASA HUYU DUWA YA MAISARA ISHAMNASA ANAPAYUKWA KAMA ALIYE KUNYWA CHIBUKU NA VOTKA KWA WAKATI MOJA HAWA WOTE SIO VIONGOZI KABISA WANAO ITAKIA ZANZIBAR MEMA HAWA NDIO MAZIMWI NA MADUWA WA NCHI YETU YA ZANZIBAR NA SISI RAI MASIKINI PIA ALA DUWA NDIZO ZITAKAZO WAMALIZA MOJA MOJA.

YANAYOJIRI MSIKITI WA MBUYUNI HIVI LEO HII 29/05/2012.KWA 1.18 UM

  1. zenj 29/05/2012 kwa 1:18 um ·
    Salma Said: Nipo katika msikiti wa Mbuyuni na tayari waumini wameshakusanyika katika msikiti huo na tayari viongozi wa Uamsho akiwemo Sheikh Farid Hadi Ahmed na Sheikh Mussa Juma wameshafika katika msikiti huu na watu wengi wamehudhuria katika sala ya laasiri na matarajio baada ya kumaliza wataanza mhadhara wao kwa mujibu wa ratiba. na huku jeshi la polisi limeweka ulinzi wake kwa kupitapita na magari yao pembezoni mwa msikiti huu kwa upande wa uwanja wa Malindi. hatujui nini kitatokea salma inshallah
  2. zenj 29/05/2012 kwa 1:21 um ·
    Salma Said: watu wanaingia kwa wingi sana
  3. zenj 29/05/2012 kwa 1:22 um ·
    Salma Said: Watu wameshamaliza kusali na sasa wanafanya mhadhara hapa hapa msikitini
  4. zenj 29/05/2012 kwa 1:23 um ·
    Salma Said: Amir Haji Khamis, Sheikh Farid Hadi Ahmed na viongozi mbali mbali wa tasisi za kidini
  5. zamko 29/05/2012 kwa 1:36 um ·
    @Salima
    ahsante sana kwa habari. naomba tutuilishe zaidi kitakachoendelea.
  6. Rocket 29/05/2012 kwa 1:37 um ·
    Musisahahu kututumia VIDEO haraka baada ya muhadhara.
  7. zenj 29/05/2012 kwa 2:21 um ·
    Salma Said: MC Sheikh Fikirini anaongea kutoa maelezo na baadae ataongea sheikh suleiman haji na kisha kupewa fursa sheikh mussa juma na baadae sheikh fard hadi kumalizia mhadhara huu
    Salma Said: anaongea Sheikh Suleiman Haji
    Salma Said: Sheikh Mzee Suleiman anasema kuna chama kimoja kinasema kwamba sisi tunachochewa na vyam alakini sio kweli sisi hatutuwmi na chama tunatumwa na nafasi zetu na dini yetu, msikubali kuymbishwa sisi tuna uwezo wetu wa kufanya kazi kwa ajili ya Allah na tunasema hakuna kitakachobadilika tumeshasema hakuna jeshi hakuna polisi hakuna lolote inshallah tunaomba tawfik na msimamo wetu ule ule hatusikii lolote mpaka kieleweke.
    Salma Said: Sheikh Suleiman Haji hapa kunapigwa takbir nyingi sana
    Salma Said: Sheikh Suleiman Bin Haji anasema nyumba mbovu haipakwi rangi, kila mmoja atumie akili yake vizuri asitawaliwe na jazba asiawaliwe na siasa, wazanzibari tunakupongezeni sana kwa haya yanayotokea siku tatu tupo tupu ndani,
    Salma Said: Sheikh Suleiman Haji anasema jeshi la polisi lilizowea kuingia katika unyanyasaji wa raia, nakumbuka wakati wa wanasiasa, kuna siku niliwaambia wakuu wa polisi kwamba sheikh Mussa ameshakamatwa basi kila ninayemwambia kwamba huku mambo yameshaharibika hakusikia
    Salma Said: Natoa pongezi kwa wazanzibari, mtihani waliopata
    Salma Said: wanataka kuibinya zanzibar lakini nawambia kuwa msikubali kudhulumiwa hata mara moja hata mkitiwa ndani msikubali msikubali
    Salma Said: mwenyeenzi mungu habadilishi mpaka pale wanapojibadilisha wenyewe
    Salma Said: tunachodai ni nchi yetuna hatukubali mpaka dakika za mwisho, kitendo kutufanya sisi kama ni wala unga hatukubali hata siku moja tena ninasema kitendo hichi hakikubaliki nilisema mtu atakayenipiga nikatoa kisu nitamtoa utumbo haikubaliki mpigwe na nyie mkae hivyo hivyo, Nabii Mussa alinyonyonyesha na akamtia katika sanduku
    Salma Said: Sheikh Suleiman Haji tumefurahi sana hata kama tunakubali tukamatwe, tushasema atakayetuharibia tutakwenda nao, mkipigwa mabomu basi msikubali kama ni gari choma moto asiyekugusa msimguse lakini anayekugusa nenda naye sambamba
    Salma Said: Sheikh Mussa Juma, tuachie tupumue anaongea …ameanza kuongea anaanza na shukrani
    Salma Said: misimamo wtu ipo pale pale na kukamatwa kwangu ni sawa na kupewa shahada maana nilikuwa chuoni na sasa nimeshakabidhiwa shahada yangu, tutadai haki yetu mpaka mwisho wa kudai tunataka uhuru wa kutoa maoni kwa watu na ndio katiba yetu inavyotufundisha
    Salma Said sisi tunamadai yetu, tunataka kukusanyika na kuzungumza kwa sababu tumezuwiwa tunataka uhuru w akukusanyika kama inavyosema katiba yetu na uhuru wa kutoa maoni yetu kila mmoja awe na uhuru wake wa kutoa maoni yake
    Salma Said: sisi tuna nguvu moja ambayo wao hawaiwezi hakuna mwenye uwezo ni Allah tu ndio tunayemtegemea peke yake
    Salma Said: watu wapo wengi sana hapa
    Salma Said: tumeshasema
    Salma Said: Nilisema tunadai chetu na tumeshasema kwamba haiwezekani kwa hapa imani imeturuhusu tunaendelea kudai ni mtandio tu ukichukuliwa hatukubali
    Salma Said: hebu twambieni leo hii tunambaka mselem au farid itafahamika hapa……wanasema hapakaliki? hivi nilipokuwa najaribiwa tu kidogo wanakuhoji kama wanakulazimisha vile
    Salma Said: hapa tunadai chetu kwa hivyo hatusikii lolote, na tunasema kwamba tumeshajitolea mimi nimeshaaga kwa wazee wangu na wake zangu, maana kule jela walikuwa wakinipeleka kule wanapotaka kama kunishurutisha mimi nikawaambia siko huko lakini walikuwa wanajifanya,
    Salma Said: wanasema wanataka kusema kuileta ile issue ya uislamu ili watunasibishwe na alkaida
    Salma Said: Shekh Mussa Juma anasema baada ya kuwekwa ndani wakati akihojiiwa alikuwa akilazimishwa kusema wanayoyataka wao
    Salma Said: akitoa mfano heshima za kulina zanzibar katika uislamu
    Salma Said: hata wakati wa Mtume alimgonga kafiri mmoja wakati akimgusa mtume, wazanzibari wanawatukana viongozi na wana kashfa kubwa hawafanyiw chochoe lakini sisi hatukubali kwa sababu huu ni mwanzo na mwisho kuwaachia wakatukamata
    Salma Said: watu wameshachoka hata wafungwa, maana wafungwa wanasema sisi tunataka viongozi wa uamsho tu maana tumeshachoka
    Salma Said: Sheikh Mussa anasema wafungwa wanauliza kwa nini huko chini ndio tukawaambia kwamba huko nje kuna watu wamekamatwa basi wananchi wamekasirika sana kukamatiwa kiongozi wao kwa hivyo wale wala unga waliokuwa wamefungwa wamekasirishwa nao kutokana na hilo, tunasema tena sio kama tunawatisha serikali lakini tunasema tunahitaji kusikilizwa
    Salma Said: anasema sisi tunataka kuwaambia ili yasitokee yale basi tunawaambia wafate taratibu wakati wa kuwakamata viongozi wa dini na sio kuwachukua kama wahuni kwa sababu watu wameshachoka, leo hii mnakuja kunichukua tu hamjanambia lolote nipeni simu niwaambie jamaa zangu na masheikh wangu wamekataa wao wamenichukua tu jee mimi ningejitoa pale na nikawanadia wezi jee ingekuwaje
    Salma Said: Sheikh Mussa anasema ugomvu unakuwa mkubwa inapotokea mambo kama hayo waumini hawataki kungilia katika imani zao, kweli zanzibar kuna haja ya kuletwa helikopta au kifaru? sisi mahodari sana tukiitwa tu ssi tunasema tunakwena kuwaambia kwamba watulie na waitunze amani
    Salma Said: Sheikh Mussa anasema kuna watu wanahatarisha amani kuvunja baaa au kwenda katika makanisa muwaepuke lakini sio hawa, sisi tunaripua mabaa na tuna komandoo wetu ambaye anarpua mabaa lakini anayaripua kisheria
    Salma Said: Muislamu akipata misukosuko ndio anazidi imani kwa hivyo sisi tunaata msukosuko kutokana na imani zetu na haturudi nyuma kwa sababu ssi ni waislamu safi na hatutaki kuvunja sheria lakini tunahitaji uhuru wetu
    Salma Said: serikali au polisi wasituchagulie lugha za kusema maana wanatwambia sisi kazi yetu kusema takbir ndio, sasa tumekuja hapa kukumbushana kwa njia za kiislamu huna utakalolifanya waislamu wasizungumze kumtaja mola wetu kwa sababu yeye ndio atakayetupa nguvu, jambo la msingi ni umoja na hilo ndio muhimu, kura ya maoni ndio tunayoitaka Zanzibar
  8. zenj 29/05/2012 kwa 2:26 um ·
    Salma Said: Sheikh Farid Hadi Ahmed anaongea nani mwneye hatia, kwa sababu kama ni suala la kutukana kachorora wanatukana kila siku wanawatukana viongozi kwa kuwatukana wakisema wapemba wende kwao jee Dk Shein ni nani? Makamu wa kwanza ni nani? hao ndio wanaostahiki kukamatwa
    Salma Said: wazanzibari wanahitaji nchi yao na sio mambo mengine na hilo nataka lijulikane
  9. zenj 29/05/2012 kwa 2:33 um ·
    Salma Said: kama ni maandamano ya amani tumeshayaomba sana hatupewi lakini tunasema kwamba tunataka maandamano tarehe 26 tunataka maandamano tunakuomba wewe IGP maana kamishna wewe huna uwezo, sisi tunawaomba jeshi tunataka litulinde bila ya kuwa na kuwa na silaha
  10. zenj 29/05/2012 kwa 3:10 um ·
    Salma Said: ssi tunaambiwa kwamba sisi tunachoma makanisa lakini wapo wenye kufanya mambo hayo hebu chukuweni hayo mahubiri yao wanaofanya mikutano waambie wakupe CD zao halafu tusikilize CD zetu mtasikia mambo hayo
    Salma Said: Sisi tunalaani vikali kuchomwa kwa makanisa kwa sababu hilo sio suala letu na hilo ni kosa, kwa hivyo IGP tunakuomba tafuta CD usikilize nakuomba sana
    Salma Said: jeshi la polisi wanakuja kuvunja milango ya watu, hivi kwnai sisi sio binaadamu hatudhuriki? defender zimekuja kurandaranda
    Salma Said: haya jeshi la polisi tunaambiwa wamekuja kupiga mabomu wamevunja na inaonesha ndio hao hao wamekuja kupiga mabomu makanisani ili wanataka kuonesha sisi ndio tumevunja
    Salma Said: sisi waislamu hatuwezi kufanya chuki kwa sababu mtume mwenyewe ameishi na wasio na waislamu
    Salma Said: Jeshi la polisi wamepiga risasi za moto msifanye maskhara, sisi tuna mtandao wa kupeleka taarifa kila pahala hapo hapo matembezi yanafanyika basi hapo hapo kila kitu kimeshakwenda kwa wallahi utakwena mahakama ya kimataifa
    Salma Said: Sheikh Farid anasema, tuliwakataza waumini wasiharibu mali zetu lakini leo hii tunaambiwa sisi ndio tulioharibu mali za raia,
    Salma Said: leo hii serikali inatembeza vifaru kwa jili gani? leo hii mnatembeza majeshi kwa ajili ya nini?
    Salma Said: ndugu waislamu nakuombeni wazanzibari wote, hapa jeshi la polisi tuliambiwa kuna utaratibu wa jeshi jamii nasema watu wakeshe maeneo yote penye kusaliwa fardhi isaliwe faradhi na penye kusaliwa sunna basi pasaliwe sunna
    Salma Said: Mheshimiwa IGP sisi madai yetu ni hatutaki muungano madai yetu ssi tunataka zanzibar yetu, lakini njia ipo ya kura ya maoni lakini waheshimiwa serikali wametia pamba, kwani kuna dhamibi gani kuulizwa wazanzibari kama tunataka au hatutaki muungano?
    Salma Said: Tunatoa salamu kwa wawakilishi wetu na tunatoa salamu kwa rais wetu dk shein kwamba wazanzibari wanataka kupewa fursa na heshima yao, tunataka tuwe huru na hilo tunataka uhuru wetu ambao umetajwa katika katiba, sisi tumekuja kwa utaratibu wetu maalumu sisi hatutaki madaraka tunataka tuulizwe tu kama tunataka muungano bas halafu tunawaacha wengine waendelee na uongozi wao hatuna tatizo
    Salma Said: waislamu wanadai haki yao na hatutaki mtu aje kutudaia haki yetu na kwa nini tusisikilizwe?
    Salma Said: Mimi nikikamatwa sina tatizo nikitwa polisi nitakuja na sina tatizo lolote kama nikiitwa polisi na polisi mkifuata taratibu mkitaka nije nitakuja ukinipeleke mahakamani nipelekea kwa heshima kwa adabu, lakini mkija kuleta vurugu wallah huu sio wakati wa kufanyiana vurugu, msije kunikamata kama wanavyomfanyia sheikh mussa juma
    Salma Said: MImi nilichukulia kwa pindu na kutupwa tu kwenye rova na nikatupwa paje nikapelekwa sehemu ambayo huwezi kuijua na jeshi la polisi wakanipiga mikwaju mpaka wakachoka lakini kwa sasa hivi tufanyiane hayo wallahi nasema roho mbichi zitatoka wallahi kama wanangu wakikaa mayatima na nyinyi watoto wenu watakaa mayatima
    Salma Said: hatukubali hata siku moja tuchitakini tutakuja huko lakini na sisi tuna kesi zetu tunazo zimekuandameni hizo hatusameheee…..watu wanajibu hawasamehewiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii…tusiwasameheeeeeeeeeeeeeeeeeee
    Salma Said: sheikh farid hadi ahmed ansema kuna msemo waadui wangu vipi watanifanya ..wakinitia jela basi wananipa faraja maana mimi nilipotiwa jela ….wallahi nimepata faraja wakati mimi nimeshapigwa kinyama basi nikakumbuka hii aya isemayo usidhanie kwamba mwenyeenzi mungu ameghafirika kwa hayo wanayoyatenda madhalimu ije siku ya kiama na huko watakuja madhalimu macho yamew0akodoka….
    Salma Said: ikiwa Mandela alikuwa ndani na alipotoka akapata alichokitaka au hajakipata? msidanganywe kuwa litakuja jeshi hapa ipo haja ya ya kuwa kitu kimoja, nasema tuwe kama jeshi la misri walipooa rais na serikali wamevutana wao wakaingia kat lakini hawajatmia nguvu kwa sababu kwa nini itumie nguvu?
    Salma Said: jeshi likija kuvamia hapa basi ndio mapindui hayo, sisi tunasema tunataka hati ya muungano na hilo tunakuomba wewe IGP
    Salma Said: jumuiya za kiislamu zimekutana zotena zimetengeneza kamati na viongozi walioteuliwa humo watatu, katika kamati hiyo ni Amir Msellem
    Salma Said: mihadhara bado inaendelea kama kawaida na na tunasema kwa kutumia katiba hatusimamishi katu kudai haki zetu, tunaanya kwa hiari na tutaacha kwa hiari, jumapili tutafanya lumumba
    Salma Said: mhadhara utafanyika saa 10 jioni siku ya jumapili na tumeshasema na tarehe ya 26 tunataka maandamano na tunaahidi yatakuwa yametulia na wala hatufanyi fujo,
    Salma Said: hapa watu wanaomba dua maana mkutano umeshakwisha. jeshi la polisi tunawaomba wasidhani kama wanadamana na tunakuombeni mkiondoka hapa muondoke kwa usalama bila ya matatizo
    Salma Said: mhadhara utafanyika saa 10 jioni siku ya jumapili na tumeshasema na tarehe ya 26 tunataka maandamano na tunaahidi yatakuwa yametulia na wala hatufanyi fujo,
    Salma Said: taasisi za kiislamu Amir Msellem, na mimi ndio naibu amir na ndio msemaji wakinikabidhi mimi basi huku nje hakuna msemaji sawa ehhh

KUMBE NI BINU YAKUTAKA KUZIMA WAZANZIBAR WASIDAI NCHI YAO


Harakati za wazanzibari zikiongozwa na taasisi na makundi mbali mbali ya kijamii juu ya kuhoji, kuujadili na kutaka kuitishwe kura ya maoni juu ya muungano lilikuwa jambo lililowakosesha usingizi baadhi ya viongozi wa Serkali kwa wale wenye kufikiria mitumbo yao na baadhi yataasisi za kijamii zinazo faidika kutokana na muungano huu feki na bati unaendelea kuwadidimiza wananchi na nchi yao ya zanzibar.
Kuna uwezekano kuwa, mipango ilikuwa imesukwa muda mrefu juu ya namna ya kukabiliana na vugu vugu la kudai Zanzibar huru, labda muda muwafaka ulikuwa haujafika tu. Hivi sasa tumeshuhudia namna ambavyo nguvu kubwa iliyopita mipaka na ukosefu wa busara na maadili mema ya kazi inayotumiwa na vyombo vya dola na vile vya habari vya ndani na nje ya nchi yatu ya Zanzibar.
Kuchoma makanisa na mabaa imekuwa ndio kichwa cha habari na ajenda kuu sasa hivi, suali ni nani yuko nyuma ya matukio haya na kwa nini? wala hatuoni ktk vichwa vya habari msikiti wapingwa mabomu na askari wa kikuria wala hatuoni askari wanavyo wapiga na kuwanyanyasa vijana wa kizanzibar. Zanzibar kuna mamia ya makanisa, kabla na baada ya muungano, iweje sasa kuchomwa makanisa isiwe miaka yote hio iliopita, jee hii ni bahati mbaya!au ndio mbinu mpya ya kutaka kuuzima moto wa kudai nchi huru ya zanzibar..?
si bure, lengo ni kuziviza harakati za wazanzibari juu ya dai lao halali lakutaka kuitishwe kura ya maoni kuhusu muungano na kuwatwisha lawama viongozi wa UAMSHO juu ya fujo ambazo huenda zinachochewa na watu maalum na wenye ajenda maalum.ya kutaka kuibakisha zanzibar ktk ukolo mwisusi wa kitanganyika.
Hivyo basi, bidii yoyote au nguvu yoyote inayotumika kuzizima harakati hizi ni batili, ni kinyume na katiba zote mbili za Zanzibar na Muungano na nikinyume na tamko la haki za binadamu ikiwa kweli nyinyi munafuata sheria za katiba mulizo tunga wenyewe la kama ni serekali tu ya ubabe ubabe na uhuni na unyanyasaji wa rai basi sawa endeleni na uhuni wenu wakutuletea wakuria kuja kuwapiga rai wanyonge wa kizanzibar. Wananchi wapewe nafasi ya kujadili lolote linalo husu nchi yao ya zanzibar na mustaqbala wao kwa ujumla, nguvu za kijeshi na propaganda za vyombo vya habari hazitazaa matunda. Bali busara, hekma na mazungumzo ndio sulhu muwafaka.
Ewe Mola wetu mlezi ibariki Zanzibar na watu wake, tuhifadhi dhidi ya maadui zetu, tujaalia salama, amani na utulivu, tuepushe na kila balaa, njama ovu dhidi yetu na nchi yetu na utufanikishie muradi wetu na mustaqbala mwema kwetu na nchi yetu tuipendayo. Aamin.

WAZANZIBAR WAPINGWA MABOMU WATANGANYIKA WAFANYA LAANA NA UCHAFU HATUTAKI MUUNGANO













FREE ZANZIBAR PEOPLE FROM MKOLONI MWEUSI TANGANYIKA IMEFANIKIWA KUZINASA PICHA HIZI ZA UCHAFU UNAO FANYWA NA WATOTO WA VIONGOZI WA SEREKALI YA TANGANYIKA KTK PART ZAO NA HUKU RAI KIBAO WAKITESEKA NA NJAA KALI NA UMASIKI MKUBWA JE BADO TU WATANGANYIKA HAMUJAELEWA..?
WATOTO wa Vigogo Waliyojulikana na muandishi wetu na kukimbia na kubahatika kumpata moja kwa jina la Peter Rupia wamefanya pati ya aina yake ambapo waliopata taarifa hiyo wameiita ya kufuru, kwani baadhi ya waalikwa walivua nguo na kubaki kama walivyozaliwa.
Chanzo chetu cha habari kimedai kuwa, pati hiyo ya aina yake ilifanyika katika nyumba yake ya kifahari iliyopo Mbezi Beach, ambapo wasichana walialikwa na kunywa pombe baadaye wakapigwa picha za utupu.wakati kuna rai kibao hapa tanganyika hawana hata pesa ya mkate wa asubuhi na chai ya rangi ila watoto wa wakubwa wanaponda mali kisha wanasema nchi ni masikini.
PICHA CHAFU
BLOG hii ya FREE ZANZIBAR PEOPLE FROM MKOLONI MWEUSI ilifanikiwa kupata picha zilizopigwa katika pati hiyo na nyingi zinaonesha watu wakifanya mapenzi ama mwanaume na mwanamke au mwanamke na mwanamke mwaume moja wanawake wawili.
Baadhi ya picha zilizopigwa katika jumba hilo zinaonesha maadili yasiyofaa kuandikwa blog ila inabidi tuonyeshe ili rai wema wajuwe pesa za nchi yao zinakwenda wapi na nani anazivuruga huku baadhi ya wasichana wakiwa na nguo za ndani tu au kufunga mataulo viunoni, matiti yakiwa nje.
Picha hizo ambazo sasa zimezagaa jijini, zinaonesha wavulana wakiwa na wasichana ndani ya bwawa la kuogelea huku wengine wakichezewa kimahaba.
HAKUNA MKE, MTOTO NDANI
Uchunguzi zaidi umebaini kuwa, wakati pati hiyo inafanyika katika jumba hilo hakukuwa na mke wala mtoto, hivyo baadhi ya washiriki kuiita pati ya X.
MGAWO WA FEDHA
Imedaiwa kuwa ndani ya jumba hilo sherehe kama hizo zimekuwa zikifanyika mara kwa mara na waalikwa huambiwa kuwa hiyo ni siku ya kula bata.
Aidha, imeelezwa kuwa washiriki wote hasa wanawake kila mmoja hupewa shilingi 100,000 baada ya sherehe kukamilika nahao madada kuliwa bata ndio tunzo yao ya kuliwa bata ndio 100,000  haikujulikana mara moja picha hizo chafu hupelekwa wapi baada ya shughuli.
DANSI WAKIWA WATUPU
Mwandishi wetu aliyefuatilia taarifa hizi alifanikiwa kunasa rundo la picha ambazo ni mbaya zinazowaonesha baadhi ya waalikwa wakisakata dansi wakiwa watupu na hukiwakichomekwa mikoko kwenye bata wakati wakisakata dansi sio dansi tu unaliwabata kabisa nakupigwa picha unavyosakata dansi na kuliwa bata wakati moja.
Aidha, mtu mmoja anayetajwa kuwa ni mshereheshaji (MC), anaonekana akisakata dansi na msichana aliyekuwa amevaa nusu uchi.
MAJIRANI
Baadhi ya majirani waliozungumza na mwandishi wetu wa free zanzibar people from mkoloni mweusi kwa sharti la kutoandikwa majina yao ktk blog hii walikiri kufahamu kuwa katika jumba hilo huwa kunakuwa na pati za kufuru.
“Vijana hapa wanasema ni sherehe zinazohusisha wasichana maalum tu lakini wengine wanasema mwanao akialikwa humo, amekwisha, hawatufafanulii,” alisema mama mmoja katika mtaa huo.
BLOG hii pia ilifanikiwa kumhoji mmoja wa washiriki aitwaye Salma na alikiri kupigwa picha hizo kwa lengo la kulipwa fedha.
“Nilipigwa picha za uchi wa mnyama kama nilivyo zaliwa lakini cha ajabu mpaka leo sijalipwa fedha yoyote,” alisema Salma.
MWENYE NYUMBA PETER
Kwa upande wake mtu anayedaiwa kuwa ndiye mwenye nyumba, Peter alipohojiwa na mwandishi wetu alikiri kutambua picha hizo lakini alishangazwa na jinsi zilivyosambaa na kufika chumba cha habari na polisi huku akimtaja rafiki yake aitwaye Sammy kwamba ndiye mhusika mkuu wa upigaji picha hizo.
“Ni kweli nimekuwa nikiandaa pati mara kwa mara. Sammy ndiye aliyepiga picha hizo na alikuja na wasichana alifunguka Peter.
WAZANZIBAR TUNASEMA HATUTAKI MUUNGANO NA WATANGANYIKA MOJA KTK MAMBO YANAYOTUFANYA TUKATAE MUUNGANO NI HAYA KUWA WATU KAMA WANYAMA PORI HAKUNA HESHIMA WALA MADILI

WAZANZIBAR WAPINGWA MABOMO NA ASKARI POLISI WA KIKURIA WALIOJAZWA ZANZIBAR KUTOKEA NCHI JIRANI TANGANYIKA

A
HAWA NI WAZANZIBAR WALIO ANDAMANA KUDAI NCHI YAO BAADA YA MANDAMANO HAYA USIKUWAKE JESHI LA POLISI WA KIKURIA LILIANZA KUWAKAMATA VIONGOZI WA UKOMBOZI WA ZANZIBAR NA KUWATIA VIZUIZINI NDIO FUJO LILIPO ANZA MAANA JESHI LA KIKURIA LIMESHAZOE KUKAMATA KAMATA NA KUWAFUNGA WATU WASIO NA HATIA ILA MWAKA HUU KITAELEWEKA TUU
HATUUTAKI MUUNGANO
MAANDAMANO YALIKUWA YA AMANI KABISA
WANAWAKE NA WATOTO MSTARI WA MBELE
WAKINA MAMA NA DADA ZETU PIA WAMETUUNGA MKONO KUWA MUUNGANO BASI
HATUUTAKI MUUNGANO-MSITULAZIMISHE
WANAWAKE NA WATOTO MSTARI WA MBELE
HATUUTAKI MUUNGANO-TUACHIWE TUPUMUEE.
USIKU ULIPOINGIA TU JESHI LA POLISI LA WAKURIA KUTOKA TANGANYIKA LIKAANZA KUKAMATA WATU MAJUMBANI KAMA WALIVYO ZUWEA KUFANYA HIVYO MIAKA YA NYUMA NA KUPIGA MABOMU KILA WANAPO ONA MKUSANYIKO WA WATU KAMA VILE KARATA,BAO,ZUMNA,NK
HATUUTAKI MUUNGANO-TUACHIWE TUPUMUEE.
MABAKI YA MABOMO YALIYOPIGWA NA WANAJESHI POLISI WA KIKURIA THAIDI YA RAI WEMA WA NCHI YA ZANZIBAR JE HUU SIO UKABURU WEUSI WA KITANGANYIKA..?
MADHAALIM WA TANGANYIKA
ASKARI WA KIKURIA KUTOKA NCHI YA TANGANYIKA AKIWAPIGA MABOMU WANANCHI WA ZANZIBAR JE HUU SIO UKABURU MWEUSI HUU..?

HALI SIO SHWARI NCHINI ZANZIBAR


Waziri wa Mambo ya Ndani Emmanuel Nchimbi na Mkuu wa jeshi la polisi Tanganyika Inspekta Jenerali Said Ali Mwema wakizungumza katika kikao cha pamoja kati yao na viongozi wa dini na serikali, haja ya kurejesha hali ya utulivu nchini Zanzibar
Picha kutoka blog ya Mapara
HALI bado ni yawasiwasi katika Nchi ya Zanzibar kwa baadhi ya maeneo ambayo vitendo vya uvunjifu wa amani vinaendelea licha ya juhudi za kutaka kurejesha hali ya amani nchini humo. Juhudi za pamoja zimeanza kuchukuliwa katika kurejesha hali ya utulivu Nchini Zanzibar baada ya machafuko ya siku mbili zilizopita zilizosababishwa na jeshi la polisi wa kikuria kutoka tanganyika nchi jirani na kusababisha hasara za mimilioni ya fedha na uharibifu wa mali.
Kikao cha pamoja kilichowashirikisha waziri wa mambo ya ndani wa Nchi ya Tanganyika wakoloni weusi, Emmanuel Nchimbi, mkuu wa jeshi la polisi Said Mwema na viongozi wa badhi ya taasisi za kiislamu Nchini  Zanzibar jana walikubaliana kufanya kazi kwa pamoja ili kurejesha hali ya amani Nchini humo.
Katika mkutano huo uliofanyika katika makao makuu ya polisi ziwani zanzibar na pia kuwashirikisha maafisa wa sekta ya utalii na baadhi ya maafisa wa kibalozi kutoka Marekani, Ungereza na Norway. Waziri Nchimbi alisisitiza kuwa suala la kulinda amani ni la wote na akawataka viongozi wote wa kidini na wanasiasa kuhakikisha Zanzibar inaendelea kuwa na amani.
Alisema kuendelea kwa vurugu Zanzibar ni kuonesha viongozi hao wameshindwa kazi jambo ambalo sio sahihi na kwamba vurugu zinaweza kusababisha watalii kuondoka kabisa nchini na hasa kwa kuzingatia kipindi hiki cha msimu wa utalii kukaribia.hapa tunazidi kuona kuwa wao hawawafikiri rai wa nchi ya zanzibar kuhusu maisha yao na nchi yao bali wanafikiria tu kufurahisha watali na kujingizia mabillioni ya mapesa.
Kikao hicho ambacho waandishi wa habari walihudhuria, Nchimbi alisema ujio wake Zanzibar ulilenga katika mambo matatu muhimu ambapo aliyataja mambo hayo kuwa ni kuwahakikishia wazanzibari wote kuwa jeshi la polisi ni lao na litaendelea kuwalinda.sio kweli maana wao ndio walio anzisha vurugu na kuwapiga wananchi au kuwapiga ndio kuwalida...?
Jambo la pili alisema ni kwamba viongozi wote wa dini na siasa wana jukumu kubwa la kusaidia kujenga mazingira ya utulivu na amani Zanzibar.
Aidha Waziri Nchimbi katika mambo ambayo alihimiza ni kuagiza jeshi la polisi kuchukua hatua ili kuhakikisha kwamba watu wote walihusika na vurugu hizo kuchukulia hatua za kisheria.mbona husemi wakuria wenzako walio wapiga watu na kupiga mabomo mskiti wa amani na kuvunja vioo vya madirisha kuwa pia watachukuliwa hatu za kisheria mbona husemi Nchimbi au kwakuwa ni wakuria kama wewe..?
Mkuu wa Polisi Tanganyika Jenerali, Said Mwema aliahidi kushirikiana na viongozi wa taasisi za kidini ili kuendeleza amani na utulivu nchini zanzibar.
Alisema kwamba majadiliano na mazungumzo ni muhimu katika kuimarisha amani na kutatua migogoro iliyokuwepo na kwamba kwa nafasi yake ataendelea kubaki nchini  Zanzibar.
“Vurugu hazisaidii kujenga lakini matumizi ya nguvu pia tunajitahidi kuyaepuka, na katika kuhakikisha mashirikiano yanaendelea mimi nitabakia Zanzibar kwa muda ili kujenga mawasiliano na programu maalumu za ulinzi shirikishi” alisema Mwema.
Kwa upande wa taasisi za kidini walishauri jeshi la polisi katika kujenga mashirikiano na kuepuka michafuko kama hiyo yaliyotokea na kutumia busara wakati wanapotekeleza majukumu yao.
Dk Mohammed Hafidh Khalfan ni kiongozi wa Umoja Kiislamu, wa Elimu, Uchumi na Maendeleo (UKUEM) aliwataka jeshi la polisi kuepuka matumizi ya nguvu wanapotekeleza majumu yao.
Alisema kwamba taasisi yake pamoja na taasisi nyengine za kiislamu zitatumia juhudi na busara za kuwafanya waumini waepukane na vitendo vya fujo kwa sababu fujo inatoa fursa kwa wahalifu kufanya vitendo vya uharibu wa mali na wizi.
Katika kikao hicho ambacho Jumuiya ya Uamsho na Mihadhara ya Kiislamu Zanzibar (JUMIKI) hawakushirikishwa kabisa maana wanajuwa kuwa Uamsho na (JUMIKI) hawata kubali kuburuzwa kwa maneno ya asali na huku unaumwa na nyoka ndio wakaona bora wasiwashirikishe ambapo Dk Hafidh alishauri kikao kama hicho sauti zao ni muhimu kusikika kwani baadhi ya mambo wangeweza kuyatolea maelezo.
Katibu Mtendaji wa Jumuiya ya Maimamu Zanzibar (JUMAZA) Muhidin Zubeir Muhidin ambaye alifanya juhudi za kuwasiliana na polisi na taasisi nyengine katika kutafuta suluhu za machafuko yaliotokea hapa  Nchini Zanzibar aliahidi kuendelea na mashirikiano na wadau wote kwa kuleta amani nchini zanzibar.
“Sote tunajukumu la kuhakikisha hali ya amani inarudi Zanzibar na kwamba, Uislamu hautoi nafasi kwa kufanya uharibifu wala kumdhuru mtu” alisema Sheikh Muhidin.
Kwa upande wao Maafisa wa Mabalozi kutoka Marekani, Uongezeza na Norway ambao walialikwa kama wasikilizaji katika mkutano huo walishukuru ushirikiano kati ya taasisi za serikali katika juhudi za kurejesha amani.hii ni kuonyesha thahiri kuwa wanajipendekeza tu kwa mabalozi hawa.na kujionyesha kama ni watu wa kufuata sheria na kupenda amani lakini ukweli wa mambo ni wakuria wanao taka kuwamaliza wazenji.

Mkurugenzi wa Utalii Zanzibar, Ali Khalil Mirza alisema sekta ya utalii inachangia pato kubwa la taifa kwa zaidi ya asilimia 75 inaweza kutetereka iwapo hali ya utulivu itatoweka nchini na hivyo kushauri mashirikiano zaidi kati ya taasisi zote na wadau ili kuimarisha hali ya utulivu nchini.
Wiki iliyopita baadhi ya watu wanaosaidikiwa kuwa ni wafuasi wa uamsho walikusanyika katika makamo makuu ya polisi ya mjini magharibi kupinga kukamatwa kwa miongoni mwa wanaharakati wa jumuiya ya uamsho na mihadhara ya kiislamu Zanzibar.ambaye alikamatwa kama mwizi au muhalifu bila ya kosa lolote na watu walio jaribu kufika hapo na kusema kuwa achiwe na amri ilisatolewa kua achiwe ila maofisa wa kikuria walitakuonyesha ukuria wao waligoma kumtowa ndio hapo watu walikereka kweli na hapo tayari wakuria wao walikuwa washavunja sheria kwa kumkamata kama mwizi na kumvujia hishima yake na pili walishamrishwa wamuachiye wao wakagoma.

Monday, May 28, 2012

WAZENJI WASHIKWA NA KUPELEKWA MAHAKAMANI NA VIJANA WAWILI WAULIWA NA JESHI LA KIKURIA NCHINI ZANZIBAR


HILI NI JESHI LA KIKURIAKUTOKA NCHI YA TANGANYIKA LIKIWAPINGA VIJANA WAZALIWA WA KIZANZIBAR KWA KUDAI NCHI YAO KUWA HURU NA KUACHIWA KIONGOZI WAO ALIYESHIKWA USIKU NA WAKURIA HAWA
 Zanzibar leo hii imejikuta ikirejea kule ilipotoka baada ya matukio ya majeshi ya kikuria kuanza kuwakamata viongozi wa ukombozi wa watu wa zanzibar mamboyameanzakujitokeza kwa mara nyengine tena ambapo jeshi la polisi kwa wamekuwa wakifanya vitendo vya uvunjifu wa haki za binadamu. Vijana wenye hasira wamechoma moto matairi barabarani na kudai zanzibar huru lakini  Polisi wa kikuria kutoka tanganyika nao wamekuwa wakiwakamata vijana hao na kuwapiga kwa marungu na mateke jambo ambalo ni kinyume na haki za binaadamu ambapo Tanzania imeridhia azimio la umoja wa mataifa la kuheshimu haki hizo.
JUMLA ya watu 30 wakiwemo wanaodaiwa kuwa viongozi wawili wa Jumuiya ya Uamsho na Mihadhara ya Kiislamu Zanzibar, leo walifikishwa mahakamani chini ya ulinzi mkali na kusomewa mashitaka ya uzembe, uzururaji na uvunjifu wa amani.

Shitaka jengine walilosomewa mahakamani chini ya Hakimu Mohammed Ali Mohammed Shein hapo ni pamoja na kufanya mkusanyiko usivyo halali ambapo Mbarouk Said Khalfan (45) Mkaazi wa Taveta Meli nne na Mussa Juma Issa (57) Mkaazi wa Makadara wote wakaazi wa Mjini Zanzibar.

Washtakiwa hao ambao walisomewa mashtaka matatu ikiwemo kufanya mkusanyiko isivyo halali, uzembe na ukorofi pamoja kufanya kitendo kinachoweza kuleta uvunjifu wa aman, walifikishwa mahakamani hapo wakiwa chini ya ulinzi mkali wa askari Polisi.

Viongozi hao kwa pamoja walisomewa mashitaka ya kujikusanya na kufanya maandamano kinyume na sheria kifungu 55 (1)(2)(3)  sheria nambari 6 ya mwaka 2004. ambapo Hakimu Shein alisema mahakamani hapo kwamba mnamo Mei 26 mwaka huu majira ya saa 6:30 za  mchana viongozi hao walijikusanya kinyume na sheria za Zanzibar.

Hakimu huyo alisema wananchi hao walifanya maandamano ambayo yalianzia katika uwanja wa Lumumba kupitia Msikiti wa Biziredi na kumalizia uwanja wa Lumumba, ambalo ni kosa kwa vile linaweza kuhatarisha amani na utulivu na kuweza kusababisha
uharibifu wa mali za wananchi wa Zanzibar.

Mbali ya viongozi hao wanaodaiwa wa Uamsho wengine walijumuisha katika kesi hiyo ni Mbwana Hamadi Juma (50) Mkaazi wa Nyerere, Masoud Hamadi Mohammed (17) Mkaazi wa Mtoni Kidatu, Mohammed Juma Salum (35) Mkaazi wa Kianga na Abdulrahman Simai Khatib (19) Mkaazi wa Mbweni.

Wengine ni Hashim Juma Issa (54) Mkaazi wa Mbweni Matar Fadhil Issa (54) Mkaazi wa Mbweni, walifikishwa katika kizimba cha mahakama ya hakimu Mdhamini Janet Nora Sekihola kujibu shitaka la  uzembe na ukorofi kinyume na kifungu cha 181 (d) cha kanuni ya adhabu sheria namba 6/2004 sheria za Zanzibar.
Watuhumiwa wengine walifikishwa katika mahakama ya hakimu Omar Mcha Hamza na Valentine Andrew Katema, wakikabiliwa na mashitaka ya kufanya kitendo kinachoweza kuleta uvunjifu wa amani, ambao walishitakiwa chini ya kifungu cha 74 (1) (b) cha sheria namba 6/2004 sheria za Zanzibar.
Mashitaka yote hayo yaliwasilishwa kwa nyakati tofauti na waendesha Mashitaka, Wanasheria wa serikali Mohammed Kassim Hassan, Suleiman Haji Hassan pamoja na Ramadhan Abdallah, kutoka Ofisi ya Mkurugenzi wa Mashitaka Zanzibar (DPP).
Katika mahakama ya hakimu Mohammed Ali Mohammed, Mwendesha Mashitaka Mohammed Kassim alidai kuwa watuhumiwa Mbarouk Said na Mussa Juma, bila ya halali walipatikana wakiandamana kupitia katika maeneo mbali mbali ya manispaa ya mji wa Zanzibar, kitendo ambacho kingeweza kuleta uvunjifu wa amani.
Watuhumiwa hao wote kwa pamoja walikana makosa hayo na kupewa dhamana ya masharti ya shilingi 300,000 kila mmoja ambapo walitimiza masharti hayo na wapo nje ya dhamana hadi Juni 16 mwaka huu, kwa kesi hiyo kutajwa.
Awali mahakamani hapo vikosi vya ulinzi na usalama walionekana kujipanga imara na kuhakikisha usalama umedhibitiwa wakati wote wa uendeshaji wa kesi hiyo ambapo maeneo yote ya Mahakama ya Mwanakwerekwe yaliimarishwa ulinzi ndani na nje ya eneo hilo.

Mamia ya wananchi walifika katika eneo la mahakama hiyo na kuja kusikiliza kesi hiyo lakini waliishia nje ya mahakama hiyo kutokana na ulinzi uliozunguka katika eneo hilo mwanzo hadi mwisho wa kesi hiyo.

Licha ya watu hao 30 kufikishwa mahakamani leo lakini hali ya amani bado haijatengeneza kutokana na baadhi ya maeneo kurushwa mabomu ya machozi na watu kadhaa kutawanywa katika maeneo ya Mwanakwerekwe, Darajabovu, Amani na Mikunguni muda mfupi baada ya wananchi kutoka katika eneo la mahakama hiyo.Askari kutoka Tanganyika-Wakristo ni magaidi na maharamia wauwaji hatari, leo wamesababisha vurugu kubwa baada ya kuupiga mabomu na kuuharibu Msikiti mpya wa ghorofa (Omar Ibm Khatwab) uliopo Msumbiji upande wa kushoto kama unatoka Kwerekwe kwendea Amani yaani karibu na Skuli ya msingi ya Nyerere, Msikiti huu wameuvunja vioo na milango kwa mabomu tena basi waliukuta umefungwa wakati huo, baada ya uonevu huu vijana wabichi damu ikiwachemka zaidi na zaidi. Dhima za lawama bado zinarudi kwa Uongozi wa Kanisa na CCM na Borafya Mtumwa Borafya na kina Juma Faki kwa kuwakusanya vijana wa CCM usiku na kulichoma Kanisa la Kariakoo ili waonekane UAMSHO ni wabaya na wanaudini lakini bahari haikai uchafu ushahidi Mungu kashaanza kuuweka wazi. Moh’d Aboud usiwe na haraka usiwe na haraka Wazanzibari wenzako watauliwa tu na Watanganyika,n.k madhali ni Waislamu na Mafuta yapo. Lakini kama si hapa duniani basi soon baada ya kufa na nyinyi mtaonja joto ya jiwe. Haya yote waandishi wa habari wa Tanganyika na vibaraka wao ZBC hawajayaona wameliona KANISA tu. lakini msikiti ulio vunjwa milango na vioo vya madirisha hawajauonyesha kabisa. Pia ndugu zangu kunataarifa za vijana wawili wameuliwa na polisi wa kikuria hapa nchini kwetu zanzibar na kuzikwa kwa kisingizio cha kutaka kuchoma Transformer. Hii vipi Jamani?

VIDEO MAANDAMANO YA AMANI YALIYOFANYIKA ZANZIBAR

WAZANZIBAR WAKIANDAMANA KWA AMANI KABISA KUDAI NCHI YAO
USIKU WAKE IMEGUDULIKA KUWA JESHI LA POLISI WA KIKURI KUTOKA TANGANYIKA LILI FIKA NA KUMKAMATA SHEKH MUSSA NA BAADAYE KUVUNJA MILANGO YA NYUMBA YA SHEKH FARID LAKINI HAWAKUFANIKIWA KUMKAMATA HIVI SASA ZANZIBAR IKO KTK .....???? 
JAMHURI YA WATU WA ZANZIBAR KWANZA
WAZANZIBAR WAPINGWA MABOMU NA JESHI LA POLSI LA KIKURI KUTOKA TANGANYIKA

JESHI LA WAKURI WAKUTOKA TANGANYIKA WARIPUWA MABOMU YA MACHOZI NCHINI ZANZIBAR


Zanzibar yaripuliwa kwa mabomo ya machozi na jeshi la wakuri kutoka tanganyika
Monday, 28 May 2012 FREE ZANZIBAR PEOPLE FROM MKOLONI MWEUSI TANGANYIKA
ZANZIBAR imechafuka. Baada ya kuwapo kwa amani kwa takribani mwaka mmoja tangu kuundwa kwa Serikali ya Umoja wa Kitaifa Zanzibar, vurugu na hali ya wasiwasi zimeibuka tena baada ya wanaharakati wa KIZANZIBAR kufanya maandamano kutaka uhuru wa NCHI YAO YA ZANZIBAR KUWA HURU.
Zanzibar ilijikuta katika hali tete kiusalama tangu mwaka 1995 baadaya kutangazwa matokeo ya uchaguzi mkuu wa Rais, ambayo Chama cha Mapinduzi (CCM) kiilibuka kidedea kwa kuiba kura na kutangaza kuwa kimeshinda na Chama cha Wananchi (CUF) kupinga, lakini uhasama huo ulizikwa Julai 31 mwaka 2010, baada ya kura ya maoni ya kuunda Serikali hiyo ya umoja wa kitaifa na wazanzibar wote kuungana na na kuwa wamoja.
Lakini kuanzia juzi usiku hadi jana jioni mji wa Unguja na viunga vyake ulitikiswa na mabomu ya kutoa machozi ambayo polisi waliyatumia kutawanya mamia ya wanaharakati hao wa KIZANZIBAR.
Mabomu ya machozi yalipigwa mfululizo juzi usiku na kuendelea kutwa nzima jana, hivyo kuathiri shughuli za biashara,na amani na utulivu kwa sababu ya mabomu hayo yaliyokuwa yakipinwa na askari wa polisi wakitokea bara na kuwapiga wanchi wa kizanzibar na kuwasaka na kusababisha hofu kwa wananchi wanaoishi katika nchi hii ya ZANZIBAR.
Kwa muda wa saa takriban mbili hivi kati ya saa 3:00 na saa 5:00 asubuhi, helkopta ya polisi ya watanganyika ilikuwa ikipasua anga la Zanzibar ambalo lilikuwa limetandwa na moshi uliotokana na mabomu ya machozi yaliyokuwa yakifyatuliwa na maskari wa kitanganyika waliyomwagwa zanzibar kuwathibiti wanaharakati wa kizanzibar wanao dai nchi yao kuwa huru kutoka katika ukoloni huu wa KITANGANYIKA KWA MUDA WA MIAKA 48 SASA TANGANYIKA INAITAWALA ZANZIBAR KWA MABAVU YA GUVU ZA KIJESHI NA POLOSI.
Kamishna wa Jeshi la Polisi Zanzibar,MNAFIKI   Mussa Ali Mussa aliwaambia waandishi wa habari kuwa wafuasi hao wamefanya uharibifu mkubwa ikiwa pamoja na kuchoma moto makanisa mawili na kwamba, watu saba akiwamo Imamu wa Msikiti wa Bizeredi, Maalim Mussa Juma wanaotuhumiwa na matukio hayo wamekamatwa na jeshi hilo.
Akizungumza na Mwandishi wa habari hizi Kiongozi wa Kanisa la Tanzania Assemblies of God (TAG), Askofu Dickoson Maganga alisema watu wasiojulikana walivamia kanisa lao eneo la Kariakoo Mjini Zanzibar mnamo saa 4.30 usiku na kuvunja ukuta, kuchoma viti vya plasitiki pamoja na gari yake.
Chanzo cha vurugu hizo kinatajwa kuwa ni wanaharakati hao wanaotaka nchi ya zanzibar kuwa huru juzi kufanya mkusanyiko na maandamano makubwa ya kushtukiza ambayo yalizistua mamlaka za usalama NCHINI HUMO, lakini baada ya kutawanyika jioni baadhi ya viongozi wa maandamano hayo walitiwa mbaroni bila ya kisa wala sababu hii nikuonyesha wazi kuwa ukoloni wa kitanganyika unaendelea kuwadidimiza wananchi wa zanzibar kusita kudai nchi yao.
Baada ya kukamatwa kwao, wafuasi wao walikusanyika makao makuu ya polisi Mkoa wa Mjini Magharibi, Madema, kushinikiza kutolewa kwa viongozi hao wanaoshikiliwa kituoni hapo.
Habari zaidi zinasema kutokana na hali ilivyo, askari polisi wakitanganyika walitarajiwa kuongezwa NCHINI HUMO ZANZIBAR, ili kusaidia kuimarisha hali ya UDIKTETA pia kuwadhibiti WANANCHI WA ZANZIBAR WANAO DAI NCHI YAO KUWA HURU ambao walikuwa wameanza kuelekea nje ya maeneo ya mji.
Tayari kuna taarifa kuwa askari wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa TANGANYIKA (JWT) kutoka Tanganyika jana mchana walingiaNchini Zanzibar kisirisiri kwa ajili ya kuongeza utawala wa kimabavu katika mji wa Unguja.
Hata hivyo, katika hali ya kushangaza hakuna kiongozi yoyote wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) aliyetoa kauli kuhusu hali hiyo MIJINAFIKI MIKUBWA.
Kauli ya Polisi
MNAFIKI Kamishna Mussa alisema jeshi lake litaendelea kuwasaka na kuwatia mikononi wote waliopanga KUDAI UHURU WA NCHI YA ZANZIBAR  pamoja na viongozi wote wa JUMIKI.
“Jumuiya ya Uamsho na Mihadhara ya Kiislamu Zanzibar ndio iliyohusika na kuwachochea vijana kukusanyika na kufanya uharibifu ikiwemo kuchoma moto gari, kupanga mawe barabarani na kufanya hujuma mbalimbali kinyume cha sheria alisema MNAFIKI HUYO KAMISHA MUSSA. Tutaendelea kuwasaka kwa gharama zote,” aliapa Kamishna Mussa.
Alifafanua kwamba kwa sasa mikusanyiko yote ya mihadhara ya kidini na vyama vya siasa, lazima ipate kibali cha polisi vyinginevyo jeshi lake lawakuria wakutoka tanganyika litatumia nguvu za ziada kutawanya mikusanyiko hiyo ili kulinda utawala wa kitanganyika kuendele na kudumisha nchini humo zanzibar,
Hata hivyo, kamishna huyo wa polisi alijizuia kuhusisha harakati za Uamsho na chama cha siasa wala kutaja majina ya viongozi ambao tayari wanashikiliwa na jeshi lake kuria kutoka tanganyika.
“Mpaka sasa hivi sina majina yao kwa jumla, lakini tumewakamata viongozi wa Uamsho na tunatendelea kuwasaka lakini jina moja tu ndio ninalo ambalo ni Mussa Abdallah Juma,” alisema Kamishna huyo.
Hali bado tete
Wakati jeshi la wakuri litoa onyo hilo, hali ya usalama ilionekana kuwa bado tete huku maeneo kadhaa ya Mji wa Zanzibar hasa Darajani na Michenzani ambako muda wote ni sehemu zenye harakati nyingi za biashara, jana zilikuwa zimebakia bila pirikapirika kutokana na askari wa kikuri waliojazwa nchini zanzibar walioamuwa kufanya doria katika mitaa yote na kulipua mabomu kila penye kikundi cha watu waliokusanyika wakinywa kahawa au hata batata za orojo wakuri walikuwa wakifyatuwa mabomu ya machozi.
Mitaa hiyo ilikuwa imechafuliwa kwa mawe, matofali na magogo yaliowekwa barabarani ili kuziba njia kwa ajili kuzuia magari yasipite huku mipira ya magari ikiwashwa moto na vijana hao ambao ndio rai halali wa nchi hii ya zanzibar sio jeshi la wakuri linalo leta ubabe.
Kwa upande wake Askofu Maganga     akizungumzia uvamizi kanisani kwake alisema:
“Nasikitika sana kwa tukio hili ambalo tayari tumeiarifu polisi ambao jana (juzi), usiku walifika hapa wakishirikiana na kikosi cha kuzima moto na kufanikiwa kuuzima moto huo ambao kwa habati nzuri haujaathiri paa la kanisa letu,” alishukuru kiongozi huyo.
Alisema kundi la watu ambalo lilikuwa likitoa maneno ya kashfa na kutishia maisha ya waumini waliokuwa wakifanya ibada usiku huo, lilikatisha ibada hiyo pamoja na kusababisha uharibifu wa mali ya kanisa hilo yenye thamani ya zaidi ya Sh 100 millioni.hata mimi muandishi ilibidi nicheke kwanza ati nini zaidi ya sh 100 million hahahahaha au anazisikia tu ndio akamuwa kuzisema ni kacheka tena hahahaha.
Kauli ya JUMIKI
Kutokana na hali hiyo, jumuiya hiyo jana ilitoa taarifa yake kwa vyombo vya habari ikikanusha kuhusika na kuchochea watu kuchoma kanisa wala kuharibu mali za watu.
Hata hivyo, Katibu wa Jumuiya hiyo, Abdallah Said alisema katika taarifa hiyo kwamba jeshi la polisi linapaswa kubeba lawama kwa yote yaliotokea kutokana na kuvunja sheria na kuwakamata viongozi bila ya utaratibu wa busara.
“Uislamu ni dini ya amani na inahimiza ushirikiano na utulivu na hatuwezi kuwatuma watu kwenda kuvunja makanisa na kuharibu mali, kwa sababu ndani ya imani zetu tunajua hilo ni kosa na jambo ambalo halifai katika maamrisho ya dini yetu,” alisema Sheikh Abdallah.
Taarifa hiyo ilisema pia kwamba jumuiya hiyo imekuwa wazi katika kudai maslahi ya Zanzibar na sio vinginevyo na kuahidi kufanya hivyo kwa njia za amani, na iwapo watakuwa wamekosea basi wapo tayari kufikishwa katika vyombo vya sheria.
“Ni lazima polisi wajue kwamba tupo tayari kufanya kazi kwa misingi ya kisheria na hata kwa kujisalimisha tupo tayari, lakini ukamataji bila kufuata busara na sheria haukubaliki. Tunachokitaka ni kura ya maoni haraka na hilo tutaendelea kulidai,” alisisitiza katibu huyo wa JUMIKI.
Wakati viongozi wa Uamsho wakiendelea kutafutwa na jeshi la polisi, wa kikuri waliojazwa nchini humo zanzibar nyumba ya kiongozi aliyeongoza maandamano juzi Sheikh Farid Hadi Ahmed inadaiwa kuvunjwa milango usiku wa manane alipokuwa akisakwa jeshi hilo la wakuri wa kitanganyika. polisi waliofanya kitendo hicho manastahiki kushatakiwa lakini watashtakiwa vipi na wao ndio wakoloni weusi..?, wanafamilia wanasema waligongewa milango na kutakiwa wafungue baada ya kutofungua walisikia kishindo kikubwa cha kusukumwa milango katika eneo la Mbuyuni Mjini Unguja.
Vijana katika mitaa ya Zanzibar jana walionekana wakiwa na hamasa kubwa wakidai kuendelea kuungana na viongozi wao kudai haki ya Zanzibar, pamoja na kutaka Zanzibar huru kutoka ndani ya mikono ya  wakoloni weusi wa kitanganyika kwa kuvunja Muungano.
“Sisi tunachokitaka Zanzibar yetu watupige mabomu, watuue, watukamate lakini tunataka Zanzibar yetu na hatusikii lolote,” walisikika baadhi ya vijana hao wakisema wenye uchungu na nchi yao ya zanzibar.
Hadi jana jioni vurugu katika badhi ya maeneo hususan Kwerekwe na njia ya Baa ya Amani zilikuwa zikiendelea na gari moja lilichomwa moto karibu na ofisi ya CCM.
Matukio kabla
Zanzibar imekuwa ikitawaliwa na matukio ya ghasia ambayo licha ya mihadhara hiyo ya Kiislam ilikuwa ni uhasama wa kisiasa kati ya vyama vikuu vya CUF na CCM, hatua ambayo iliwahi kusababisha mauaji ya Januari 27, mwaka 2001.
Lakini, uhasama huo wa kisiasa ambao ni wa kihistoria ulizikwa baada ya kura hiyo ya maoni na uchaguzi mkuu wa 2010 hatua ambayo imemfanya Katibu Mkuu wa CUF, Maalim Seif Sharrif Hamad kuwa Makamu wa Kwanza wa Rais wa SMZ huku baadhi ya mawaziri pia wakitoka katika chama hicho.
Hata hivyo, wanaharakati hao wanye uchungu na nchi yao ya zanzibar wameanza upya kudai uhuru wa  Zanzibar wakishinikiza visiwa hivyo viwe taifa huru kwa kujitenga katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.ambao wengi wao sasa wameamka na kujuwa kuwa sio jamhuri ya muungano wa tanzania bali ni utawala wa kimabavu wa kitanganyika zaidi ya nchi hii dogo ya zanzibar
Zitto ataka tume ya uchunguzi
Katika hatua nyingine Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe amemtaka Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein aunde kikosi kazi maalum kwa ajili ya kudhibiti
vurugu hizo na kuanza mazungumzo na pande zote kwa kuwa, “Hiki sio kitendo cha kudharau
kabisa.”
Alifafanua kwamba waliochoma nyumba za ibada wasakwe na kufikishwa mbele ya sheria mara
moja na kuongeza, “Tusiruhusu hata kidogo wapuuzi wachache kutuingiza katika vurugu za
kidini ili kufikia malengo yao ya kisiasa.”ati wapuuzi wachache zanzibar nzima inadai uhuru wa nchi wanawake na wanaume vijana na wazee kisha anasema wapuuzi hii nikuthibitisha wazi kuwa hawahishimu kabisa zanzibar.

MATEMBEZI YA AMANI KUDAI NCHI YA ZANZIBAR KUWA HURU YAFANYIKA NCHINI ZANZIBAR


WAZENJI WAKIANDAMANA KWA AMANI KUDAI NCHI YETU YA ZANZIBAR

WAKINA MAMA NA DADA PIA WAKIANDAMANA KUDAI NCHI YETU YA ZANZIBAR
Maelfu wa wazanzibari wakiongozwa na Taasisi za Kiislamu na Jumuiya ya Uamsho na Mihadhara ya Kiislamu Zanzibar (JUMIKI) wakifanya matembezi ya amani katika barabara za Zanzibar na kupeleka ujumbe wao kwa viongozi wa serikali za Zanzibar na ile ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania pamoja na Umoja wa Mataifa wakitaka Zanzibar huru ambapo baadhi ya watembeaji hao wakiongoza na Kiongozi wa Jumuiya hizo, Sheikh Farid Hadi Ahmed na viongozi wengine
Maelfu ya wazanzibari leo wamefanya maandamano amani kuishindikiza Serikali ya Mapinduzi Zanzibar kuitisha kura ya maoni juu ya Muungano na kupeleka ujumbe kwa Umoja wa Mataifa wa kutaka Zanzibar kujitenga kama ilivyofanya Sudan ya Kusini.
Wazanzibari hao wakiongozwa na Sheikh Farid Hadi Ahmed walitembea kutoka viwanja vya Lumumba na kupitia barabara ya Kinazini, Mpigaduri, Michenzani Maskani ya CCM Kisonge, kwa Biziredi na kurudi tena viwanja vya Lumumba.
Maandamano hayo walioyaita matembezi ya amani yalifanyika na kuhudhuriwa na maelfu ya wazanzibari ambapo awali kuliandaliwa kongamano kubwa lililoandaliwa na Taasisi za Kiislamu kwa kushirikiana na Jumuiya ya Uamsho na Mihadhara ya Kiislamu Zanzibar (JUMIKI) kwa lengo la kuzungumzia mfumo wa elimu Zanzibar.
Akizungumza na maelfu ya wazanzibari kabla ya kuanza maandamano hayo yaliitwa ni matembezi ya amani, Sheikh Farid alisema wazanzibari wana haki kama walivyokuwa na haki wananchi wengine ulimwenguni kote kudai haki yao ndani ya nchi yao.
“Sisi wazanzibari kama wananchi wengine wowote duniani tuna haki ya kikatiba kudai nchi yetu kama walivyodai Sudan ya Kusini, mbona Sudan ya wameweza kujitenda na kupata nchi yao kwa nini sisi kama wazanzibari tusikubaliwe kudai nchi yetu sasa sisi tunampelekea salam katibu mkuu wa umoja wa mataifa kumwambia kuwa wazanzibari sasa wanataka nchi yao” alisisitiza Sheikh Farid huku akiungwa mkono kwa mamia hao kuinua mikono na kusema ndiooooo.
Awali Sheikh Farid alisema salamu hizo anataka zimfikie Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Kin moon ambaye kwamba wazanzibari wamechoshwa na kuwepo ndani ya Muungano ambao umedumu kwa miaka 48 lakini bado ukiwa na kero nyingi na malalamiko ambayo yanaonekana utatuzi wake ni mdogo na usiowezekana ambapo alisema Muungano wa Tanganyika na Zanzibar hauna manufaa yena na wazanzibari.
Katika kuonesha kwamba hawataki tume ya katiba ije kuchukua ya maoni ya katiba mpya Sheikh Farid alisema wanataka kwanza kuamuliwe suala la Muungano kabla ya jambo lolote na kuahidi kwamba wataendelea kufanya makongamano, mihadhara na maandamano kwa kadiri wawezavyo hadi hapo serikali itakaposikia kilio hicho.
“Ujumbe huu tunautoa kwa Ban Kin moon, na kwa ulimwengu mzima lakini pia tunataka rais wetu Dk Shein asikie kilio hiki na Rais Kikwete ambaye yeye ni mtetezi wa haki za binaadamu na pia ni mfuatiliaji wa nchi zinazovunja haki za binaadamu tunataka asikie kilio cha wazanzibari kuwa wanataka nchi yao” alisema.
Alisema juzi wamefanya maombi maalumu ya kumuombea Rais wa Zanzibar lengo likiwa ni kumjaaliwa kheri na awe na maamuzi sahihi juu ya wananchi wa Zanzibar sambamba na kuwaomba Makamu wa Kwanza na makamu wa Pili wa Zanzibar kusikia kilio cha wazanzibari wasiotaka Muungano.
“Tunamuomba Rais wetu Dk Shein, Makamu wa Kwanza Maalim Seif na Makamu wa Pili Balozi Seif kwamba sisi wazanzibari tunahitaji Zanzibar huru, tunahitaji heshima ya nchi yetu na tupo tayari kwa lolote kwa hivyo tunataka salamu hizi na ujumbe huu ukufikieni” alisema Sheikh Farid huku akiungwa mkono na maelfu waliohudhuria katika kongamano hilo ambalo awali liliandaliwa kwa lengo la kuzungumzia masuala la elimu na mfumo wake.
Akiendelea kutoa salamu hizo mara Sheikh Farid alisoma kifungu cha 16 cha katiba na kuwaleza wananchi kwamba haki ya kutembea ni haki ya kila mwananchi ambayo imeainishwa katika katiba na sheria za haki za binaadamu hivyo aliwageukiwa na kuwataka wasimame na kisha kumfuata yeye.
“Haki ya kutembea ni haki ya msingi kwa mujibu wa sheria na kifungu cha 16 kinatupa haki ya kutembea sasa mimi nataka kutembea jeee mpo tayari kutembea na mimi? Alihoji Sheikh huyo huku akijibiwa na umma mkubwa kwamba ndioooo”
Aliongeza kwamba “Tunaanza kutembea na tuone mtu atukamate tunakwenda njia ya kinazini, tunapita michenzani, tunapita barabara ya kwa biziredi na kisha tunarejea hapa hapa kuendelea na kongamano letu kwa amani kabisa mmesikia….akajibiwa ndiooooo”
baada ya kusema hivyo Sheikh Farid alitoa takbir na kuanza kukamatana mikono na viongozi wenzake na huku ummati mkubwa ukiwa umekamatana mikono nyuma na kuanza safari kwa pamoja na kutembea katika barabara ambazo walizitaja awali.
Waandamani hao walikamata mabango yenye maandishi mbali mbali ikiwemo hatutaki muungano, tunataka nchi yetu, zanzibar bila ya muungano inawezekana na wengine kadhalika huku wakitembea njiani na kupiga takbir ambapo walikuwa wakisema Mwenyeenzi Mungu Mkubwa, Mwenyeenzi Mungu Mkubwa sisi hatuna uwezo isipokuwa tunakutegemea wewe Mwenyeenzi Mungu.
Waandamanaji hao walianza kutembea kwa utaratibu maalumu huku magari yakizimama na kuwapisha bila ya kuwepo jeshi la polisi ambapo viongozi wa jumuiya hiyo na wananchi wengine waliongoza utaratibu huo na kutembea katika barabra kwa utaratibu mzuri hadi kumaliza maandamano yao waliyoyaita matembezi ya amani.
Awali akitoa mada katika kongamano hilo, Maalim Abdulhafidh Malelemba alisema sekta ya elimu imekuw aikidorora Zanzibar kutokana na kukandamizwa na mambo ya Muungano ambapo kila mwaka wanafunzi wanapofanya mitihani kufelishwa kwa makusudi huku idadi ya wanafunzi wanaokwenda katika vyuo vikuu wakiwa kidogo kutokana na kufelishwa katika mitihani ambapo husainiwa na baraza la mithani Tanzania (NECTA).
Wakizungumza katika nyakati tofauti katika kongamano hilo, baadhi ya walimu walisema kukosekana kwa baraza la mitihani Zanzibar kusimamia mitihani ya elimu ya juu ndio sababu ya wazanzibari kufelishwa kwa wingi na kushindwa kuingia katika vyuo vikuu kwa kuwa wanafunzi wengi wa Zanzibar hufelishwa.
Walimu hao walitoa ushahidi wa hivi karibuni wa kufelishwa wanafunzi wa kidatu cha nne ambapo walisema lile ni tukio la makusudia lililofanywa na baraza la mitihani ikiwa ni kuwadhoofishwa wanafunzi wa Zanzibar ili wasiendelee katika masomo kwa kuwafelisha