Friday, August 31, 2012

DEMOKRASI YAKUBALIKA NCHINI TANGANYIKA JE ZANZIBAR MUNAITAKA DEMOKRASI..?


MWANA MUME MOJA AFUNGA NDOWA NA WANAWAKE WATATU  KANISANI MARA MOJA SHABASHI HIVI NDIVYO INAVYOTAKIWA..?NCHINI TANGANYIKA

MAMA AFUNGA NDOWA NA MWANAWE WA KUMZA MWENYEWE BAADA YA BABA YA MTOTO HUYO KUFAA AU BAADA YA MUME WA MAMA HUYO KUFA MAMA ASEMA MTOTO HUYU NDIE ANAYEJUWA KUMTULIZA KITANDANI KAMA ALIVYOKUWA AKIMTULIZA BABA YAKE KATIKA WATOTO WATATU ALIYO NAO WA KIUME HUYU NDIYE NILIYE MCHANGUWA AMRITHI BABA YAKE KATIKA MWILI WANGU NAPENDA ANAVYONITENGENEZA VIZURI KITANDANI ANANIKUMBUSHA URODA WA BABA YAKE NAWASHANGA WALIMWENGU WANAPIGA MAKELELE WAKATI SISI TUKO KATIKA MAPENZI YA THATI ALISEMA MAMA HUYO.
 
NA MTOTO NAE ANASEMA HAMUJUWI JINSI MAMA YANGU ANAVYO NIPA MALAVIDAVI JUU YA KITANDA MUNGELIJUWA HATA NYINYI PIA MUNGELIMTAKA SISI TUMEOWANA MBONA KILA MTU ANAOWA ANAYEMPENDA NA SISI MIMI NA MAMA YANGU TUNAPENDA VIPI TENA KILA MTU ANATUSHUSHIA HUTMA AU MUNA CHOYO ALIHOJI KIJANA HUYO AMBAYE YEYE NA MAMA YAKE WALIEKWA KITAKO KIJIJINI ILI KULIZWA MKASA HUU UMETOKEA NCHINI TANGANYIKA NCHI YENYE DEMOCRASIA HAHAHAHAHAHA

Picture
 

















                                                                                                                                                              Anti Suzy’SHOGA LINALO ISHI NCHINI TANGANYIKA

MASHOGA WAKITANGANYIKA

MASHOGO WAIPENDA NCHI YA TANGANYIKA WASEMA NI NCHI YA DIMOKRASI

TANGANYIKA OYEEEEEEE DIMOKRASI OYEEEEEEE
WANAWAKE WASAGAJII

KAZI YA DEMOKRASI HIYOOOO

KAZI HIYOOO
                                                                                                                           

SENSA YA KISHEIN,MAALIM SEIF NA MJUKUU WA FIRAUNI BALOZI ALI IDDI IMEGONGA MWAMBA NA SASA MASHEIKH WAKAMATWA NCHINI ZANZIBAR


Kwa mujibu wa taarifa zilizorushwa hivi punde na kituo cha Redio Noor katibu mtendaji wa Jumuiya ya Uamsho amekamatwa na jeshi la polisi washenzi wa Shein nchini Zanzibar kwa tuhuma ambazo hazikubainishwa. Pia inaelezwa kuwa jeshi hilo linaendelea na juhudi za kuwasaka viongozi wengine wa jumuiya hiyo kwa kila kina hoelezwa kuwa ni kuwahamasisha wananchi kususia zoezi la sensa kitu ambacho ni kinyume na sheria za KOLONI HILI LA TANGANYIKA. wakati huo huo kwa mujibu wa redio noor jumuiya ya Uamsho inapanga kutolea tamko kali kabisa taarifa iliyorushwa na ZBC TV YA WANAFIKI kuwa viongozi wa uamsho wamewasaliti wananchi kwa kuwahamasisha kususia sensa wakati wao wamejitokeza kuhesabiwa.SENSA haikufanikiwa na sasa kamata kamata ishanza nchini Zanzibar kwa kuwa mkoloni mweusi Tanganyika hakufanikiwa na sensa yake vibaraka MAALIM SEIF,SHEIN NA BALOZI LAZIMA WAFANYE JAMBO KUMFURAHISHA MKOLONI MWEUSI TANGANYIKA NDIO HIYO KAMATA KAMATA ILIYO ANZA SASA.
wabillahi tawfiq

JESHI LA WAKOLONI WEUSI LIKIZUNGUKA KUWASAKA VIONGOZI WA UAMSHO

Thursday, August 30, 2012

HATA UWE NANI UJUWE NA WEWE UTAKUFA TU


Sheikh aboud Rogo aliye uliwa kenya mbele ya familia yake.

........?????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????

KADI ZA UWANA CHAMA WA CHAMA CHA CCM (CHUKUWA CHAKO MAPEMA) ZAGEUKA KUWA UCHAFU WAZANZIBAR BADO KIDUMU..?

M4C Dar9

RAILA ODINGA AKIWA KATIKA DUWA NA WAISLAMU WA PWANI SI KENYA

http://kiswahili.irib.ir/media/k2/items/cache/3bc368fecfdb47e5a1ad08750f790292_XL.jpg

NANI ALIYE MUUWA SHEIKH ABOUD ROGO..????

p1d Riots in Mombasa after killing of Muslim cleric
MOMBASA: The daughter of Muslim Leader Aboud Rogo cries out as Rogo’s father holds the slumped and bloodstained body of his son in the vehicle where Rogo was shot dead near the Jomo Kenyatta.

haya ndio yaliyofuatia baada ya kuuliwa Sheikh aboud Rogo nchini pwani si kenya.

pwani si kenya mambo si shwari

mombasa yachafuka

mtaa kwa mtaa mamwera wakumwanga baba sio mchezo pwani si kenya

mpaka juu ya magorofa askari wamemwagwa duu mombasa iko chini ya ulizi wa machogo

sheikh Aboud Rogo wakati wa uhai wake kabla hajauliwa

silaha kubwa kubwa ndio kuleta amani au kuchafuwa amani..?

MOI KIBAKI ATUWA PWANI SI KENYA PWANI SI KENYA


MOMBASA, Kenya, Aug 30 – President Mwai Kibaki arrived in the port city of Mombasa on Thursday after days of violence sparked by the killing of the  Muslim leader, as authorities insisted security has been restored.
Hundreds of armed security officers have been deployed in Mombasa to quash the stone-throwing rioters who took to the streets in their hundreds following the killing of preacher Aboud Rogo Mohammed on Monday.
“Mombasa is calm … order has been restored,” said senior police officer Ambrose Munyasia, speaking a day after attackers hurled a grenade at a police truck, wounding at least four officers.
The attack, in which the Red Cross said one person was killed, was the second such blast since riots broke out on Monday, with an earlier grenade killing three policemen on Tuesday.
Kibaki flew to Mombasa, but one which is also viewed as a government effort to show confidence in Mombasa’s security, Kenya’s main port and a key tourist hub.
For two days, angry youths fought running battles with police,But Muslim leaders said on Thursday the situation had improved, with many businesses closed during the rioting now open.
“Things are much calmer after last night’s house to house searches by the police this maybe make another riot if police keep search house to house…. Mombasa is slowly returning to normal,” said Khalid Hussein, head of the local organisation Muslims for Human Rights.
“All we can do is pray that police do not go out on a revenge mission since some of their own have fallen victim to the violence. This might provoke the rioters again.”
The murdered – popularly known as Sheikh Rogo  people now ask why the murdered him why..?

Wednesday, August 29, 2012

HALI SI SHWARI MOMBASA BAADA YA KUULIWA SHEIKH ABOUD ROGO


SHEIKH ABOUD ROGO BAADA YA KUPIGWA RISASI NA KUFAA PAPO
HAPO.

SHEIKH ABOUD ROGO WAKATI WA UHAI WAKE KABLA YA KUULIWA
Waandamanaji walivamia magari na majengo mjini Mombasa
MOMBASA SI KENYA YACHAFUKA

PWANI SI KENYA PWANI SI KENYA PWANI SI KENYA SHEIKH ABOUD ROGO AULIWA

VIJANA WAKICHACHAMA KWELI KWELI BAADA YA KULIWA SHEIKH ABOUD ROGO

POLISI WAKIJARIBU KUZIMA MOTO ULIYO WASHWA NA WENYEJI WA NCHI YA MOMBASA BAADA YA KUULIWA SHEIKH WAO ABOUD ROGO

Tuesday, August 28, 2012

Z,BAR NA SENSA-ATI MAENDELEO-YATAKUJA VIPI NA SISI TUNATAWALIWA NA MKOLONI MWEUSI TANGANYIKA..?

Nimekuwa nikifuatilia taarifa mbali mbali kuhusiana na suala zima la sensa na pia kusikiliza hoja nyingi za viongozi wetu wa kitaifa kuhusu suala na umuhimu wa kujiandikisha kwa kupata idadi ya watu wanaoishi Nchini kwa lengo la kupata takwimu halisi kwa ajili ya maendeleo ya Wananchi. Naamini ya kwamba wahusika wanaopigia kelele suala hili kama vili kishein,balozi na maalim seif wana malengo yao maalumu kinyume na kauli mbiu yao ya kutaka kuleta maendeleo.Suala la maendeleo hivi sasa Zanzibar nisawa na kumpigia mbuzi gitaa ukifikiria atacheza,kumbe unajidanganya.Maendeleo huletwa na Nchi ambayo inajitegemea na kujiongoza wenyewe kimamlaka,tofauti na Wazanzibar ambao hii ni nusu karne wanatawaliwa na wakoloni weusi tanganyika.


Napenda kutoa kauli hii kwamba sensa haina umuhimu wowote kwa Wazanzibar hasa kwa kipindi hichi tulichonacho.Kinachofanyika hapa Zanzibar ni serikali yetu ya kufuata mkumbo tu wa wakoloni wetu wa tanganyika kwa vile Tanganyika wanataka wajue idadi ya Raia wake ili waweze kutimiza ile adhima na malengo yao waliokusudia, na sio mengine bali kuwadhalilisha Waislam ambao inaonekana ni tishio kwa Serikali ya Tanganyika hivi sasa.Waislam wa Tanganyika wamechachamaa kudai haki zao za msingi kutokana na kuelewa kwamba Serikali ya Tanganyika inajiendesha kidini zaidi na kuwapa kipau mbele watu wa dini nyenginezo na hasa Wakristo,lengo la sensa hii nikujua idadi yao na kubuni njia za kuwadhibiti Waislamu si vyenginevyo.Hizi ni mbinu chafu zinazotumika kuwadhibiti baadhi ya Raia ambao wanaonekana kama vile ni kero katika medani ya utawala na mrengo wa dunia kwa ujumla.

Ipo haja ya kujiuliza hivi hii sensa faida yake ni ipi kwa Wazanzibar hata viongozi wetu wakawa wanakemea na kuwahamasisha Wananchi lazima wajiandikishe ? Ikiwa ni kwa ajili ya maendeleo sawa, lakini hayo maendeleo hivi sasa Wazanzibar wapi na wapi! kila mtu hoi bin taabani hajui hatma yake kuhusu nchi yake ni ipi ,hivi sasa kwa Wazanzibar sio wakati muwafaka wa kufikiria sensa badala yake ni kuja na mawazo ni mikakati gani itumike ili tupate Nchi yetu,lakini ndio hivyo tena vingozi wetu wanazidi kutuchuuza. Mimi kimawazo yangu ni kwamba sensa kwa Wazanzibar haina maana hasa kwa wakati huu, nilifikiria kwamba Viongozi wetu watasimama kidete kuwaelimisha Wananchi kuhusu mabadiliko ya katiba ambayo yataamua kuhusu hatima ya Nchi yetu lakini viongozi kimya matokeo yake wamelivalia njuga suala la sensa kama vile tukiishahisabiwa ndio matatizo ya Wazanzibar yatakuwa yameisha.

Hoja zinazotelewa kwamba sensa ni kwa ajili ya maendeleo ya Wananchi hazina mashiko yeyote, hivi tujiulize hapa tulipofikia sisi Wazanzibar ni nani utamdanganya kwa kumwambia kwamba ukiisabiwa ndio utapata maendeleo.Ikiwa serikali inashindwa hata kujiamulia mambo yake binafsi kama Serikali lazima wapangiwe kutoka Tanganyika hayo maendeleo yanaozungumziwa na sensa yako wapi,hii ni danganya toto lakini sensa haina ukweli wowote wala maendeleo ya aina yeyote kwa Wazanzibar.Viongozi  wasijitutumue tu kwenye sensa bali watafute mbinu za kuwatatulia Wazanzibar kero na matatizo yao na moja wapo ikiwa ni suala la Wazanzibar kupata Nchi yao na kujiamulia mambo yao wenyewena kulivua hili jinamizi la Muungano na ukoloni wa kitanganyika kuwambiya bye bye.

Ikiwa ni kuhusu kuyakata majimbo na kuyapunguza kutokana na idadi ya watu, hii si sababu ya msingi kwani C.C.M chochote wao watakachoamua hakuna wa kuwazuia. Ikiwa leo baadhi ya Viongozi wanamkemea na kumkejeli muasisi na Mwanaukombozi kama Mzee wetu Moyo watashindwaje kukata majimbo ya Wapinzani . Sensa haitowafanya C.C.M kushindwa kuyagawa majimbo kwa faida yao kwani wao ndio wanao endesha Serikali ikiwa wameshaamua kufanya hivyo,basi sensa ikifanyika isifanyike hilo kwao sio kikwazo, ,kigezo wala hoja ya msingi.Cha msingi ni Serikali kuwasikiliza kwa makini ni kitu gani Wazanzibar wanahitaji hivi sasa.Na hili naamini liko wazi halihitaji mzungu kutoka nje,kwamba kilio cha Wazanzibar ni NCHI YAO KWANZA, upuuzi wa sensa baadae.

Nahisi ipo haja kwa Serikali yetu kuelewa kwamba sisi Wazanzibar sensa haina faida kwetu,sisi tunachohitaji ni nchi yetu sio sensa na hili ukilizungumzia wengine wananuna.Wananchi wa Zanzibar wameshachoka kuburuzwa kila siku.leo hii wamejitokeza baadhi ya watu wanaitetea Zanzibar ili ijikwamue,Wazalendo hawa leo ndio wanaonekana eti ni wasaliti hawana ”support” yeyote isipokuwa matusi na kebehi lakini unakuja upuuzi huu wa sensa Viongozi wote na vyombo vya habari na magazeti imekuwa ”issue”,mbona hamsemi kwamba Wazanzibar wanataka Nchi yao wameshachoshwa kutawaliwa NA MKOLONI MWEUSI TANGANYIKA MBONA HAMUSEMI..? ,mbona kimya !.Tuwe wa kweli kuzungumzia matatizo yanayo wakabili Wazanzibar na tuyape kipau mbele lakini hivi sasa Wazanzibar kuzungumzia sensa ni kizungu mkuti,haingii akilini.

Kama kweli nyinyi lengo lenu ni kujua idadi ya watu au sio ? Nyinyi kama Serikali munashindwa nini kuwapa Raia wenu vitambulisho vya Uraia, kama vile pasipoti,vyetu vya kuzaliwa na ID nyenginezo,hii ni njia nyepesi na wala haina harama kwa Serikali kujua idadi ya Raia zake,hili dogo linawashinda sasa hayo maendeleo munayo yazungumzia yatakuwaje na tuwaelewe vipi. Ndio maana nikaja na hoja kwamba Wazanzibar hawahitaji sensa,ikiwa mtu ni raia wa kizanzibar Baba na Mama ananyimwa haki ya kujiandikisha na kuitumia haki yake hiyo ya kupiga kura na kumchagua anaetaka ndani ya nchi yake,yeye kama yeye sensa ina faida gani kwake kama si kumdhalilisha na kumfanya mjinga na mtu asie na thamani yeyote kwenye taifa lake kama raia.

Nchi ambazo zinafanya sensa ni zile nchi zinazowajali Raia zake na kuwathamini lakini leo hii Mzanzibari ni bora mnyama Nchi za nje(mbwa) anathamani na anathaminiwa kuliko yeye kwenye Nchi yake, sasa sensa inafaida gani kwake ? Nikupotezeana muda na kuwafurahisha wengine wenye malengo yao.KINA KISHEIN,SEIF SHARRIF NA BALOZI ili wazidi kuiba vizuri na kujitajirisha. Natoa mwito kwa Viongozi wetu kushughulikia Utaifa wetu na kupata Nchi yetu kwanza kutoka katika makucha ya Tanganyika halafu hili suala la sensa litakuja baada ya Wazanzibar kupata nchi yao, lakini leo hii kufanya sensa ni sawa na kutia maji pakachani ukidhani ni mtungi kumbe yote yako chini,tukiambiwa na sisi tujiambie tusikurupuke tu watu wakatutoa kwenye malengo yetu ya kudai NCHI YETU.

WALIKUWA WAKITWA WABONGO SASA NI MAZIWA MALA


hii ndio tanganyika wasio ijuwa sasa ijuweni tanganyika

KARIBUNI HII NDIO BONGO YA LEO YA 2012 IKIWIKA NA KUTAKA HAKI SAWA

BONGO HIYOO

KUNA NINI TANGANYIKA..?

BONGO KUNATISHA KWA KUENEYA MASHONGA KILA KONA
Wanaume wa aina hii wapigwe viboko

VIDEO-NINI UISLAMU--SHEIKH ABOUD ROGO

ANGALIA VIDEO HII UELIMIKE
 SHEIKH ABOUD ROGO
 

Sunday, August 26, 2012

KILEMBWE CHA FIRAUNI AKUBALI KUHISABIWA KATIKA SENSA


Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi ameendelea kuinasihi Jamii Nchini kujiandikisha katika zoezi la Sensa ya Watu na Makazi lililoanza usiku wa kuamkia leo ili kupata Takwimu sahihi zitakazoliwezesha Taifa kupanga Mipango bora ya Maendeleo.
Nasaha hizo alizitoa mara baada ya kuandikishwa katika dododso la Sensa ya Watu na Makazi akiwa mkuu wa kaya yake wakati akizungumza na Waandishi wa Habari hapo kwenye makaazi yake Mazizini nje kidogo ya Mji wa Zanzibar.
Balozi Seif akiwa pia Mwenyekiti Mwenza wa Kamati Kuu ya Taifa ya Sensa ya Watu na makazi Tanzania ya mwaka 2012 alisema Serikali lazima iwe na Takwimu za uhakika na ndio maana suala la kuhesabiwa likawa la lazima kwa mujibu wa sheria za Takwimu.
Alisisitiza kwamba tabia ya baadhi ya watu au vikundi kutumbukiza kila kitu katika siasa inaweza kuathiri maendeleo ya jumla ya Taifa na matokeo yake kuipelekea Jamii katika maangamizi.
“ Kama hatutafanikiwa katika zoezi la sensa ni kusema kwamba tumeathirika vibaya Kimaendeleo na kamwe tusidhani kuwa Maendeleo yanayozungumzwa kila mara yanalengwa kwa watu au kikundi maalum”. Alifafanua Balozi Seif.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif alikemea kitendo cha Baadhi ya makarani kutoandika katika madodoso waliyokabidhiwa na badala yake wameanzisha vitendo vya kuandika kwenye vikaratasi.
Alisema tabia hiyo inakwenda kinyume na utaratibu waliopangiwa na waelewe kwamba wanajibebesha dhima kwa vile tayari wamekubali kula kiapo cha uaminifu katika kufanya uadilifu kwenye jukumu walilokabidhiwa.
“ Inasikitisha kuona Makarani hao wamekubali kufanya kazi hizo kwa uadilifu baada ya kula kiapo lakini matokeo yake wanakwenda kinyume na taratibu za kazi”. Balozi Seif alielezea mshangao wake kutokana na vitendo hivyo.
Akizungumzia baadhi ya Vikundi vya Kidini vilivyokuwa vikipinga zoezi hilo Balozi Seif alitahadharisha kwamba hata vitabu vya dini zenyewe vimeamuru na kusisitiza umuhimu wa kuhesabiwa.
Alisema wana dini wanaokataa kuhesabiwa waelewe kwamba wanakwenda kinyume na maamrisho ya dini yenyewe.
“ Sababu za kidini katika masuala haya yanayopigiwa kelelele na baadhi ya vikundi vya kidini zinaonekana ni za juu juu, lakini liko suala la ndani lililojificha ambalo linalooneka kuwa zaidi la Kisiasa ”. Alitanabahisha Balozi Seif.
Mwenyekiti huyo mwenza wa Kamati Kuu ya Taifa ya Sensa Tanzania alisema huduma zitakazotolewa na Taifa katika kuwapatia Wananchi na Jamii yote baada ya kuwa na Takwimu haitachaguwa watu au Vikundi vya Dini.
“ Taifa litakapojiandaa kusambaza huduma za Kijamii ndani ya maeneo itaelewaje idadi ya watu na maeneo hayo kama hakukuwa na Takwimu sahihi za watu na ukubwa wa eneo husika?”. Alihoji Balozi Seif.
Alielezea faraja yake kuona zoezi la uandikishaji wa sensa ya watu na makazi katika maeneo kadhaa Nchini linaendelea kwa amani na utulivu na kuiomba Jamii kuiendeleza hali hii kwa faida ya Wananchi wote.
Akitoa shukrani kwa Niaba ya Uongozi wa Mtakwimu Mkuu wa Serikali Mratibu msaidizi wa Sensa Mkoa Mjini Magharibi Bibi Sabina Raphael Daima alimpongeza Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi kwa mashirikiano yake aliyoyatowa kwa makarani wa Sensa wakati wa kuandikishwa kwenye dodoso la Sensa.
Bibi Sabina aliomba kitendo cha ushirikiano wanachoendelea kukishuhudia kwa Viongozi mbali mbali wa ngazi za juu wa Serikali na hata wa Vyama vya Siasa kwa makarani wao wa Sensa kinafaa kuwa changa moto kwa Wananchi wote Nchini.
NYINYI LAZIMA MUKUBALI KUHISABIWA ILI KUHIFADHI TONGE ZENU TUNAWAJUWA NI WANAFI WAKUBWA.

MNAFIKI WAKWANZA AKUBALI KUHISABIWA-SENSA- KAMA KANISA LINGESEMA USIKUBALI KUHISABIWA USINGELIKUBALI KUHISABIWA ILA MSIKITI UMESEMA UNAUTHARAU SIO MAALIM..?


Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad leo amekuwa miongoni mwa viongozi  walioanza kuhesabiwa katika zoezi linaloendelea la sensa ya watu na makaazi.
Makarani wa sensa wakiongozwa na msimamizi wa makarani bibi Asha Iddi Aslan walifika nyumbani kwa Makamu wa Kwanza wa Rais Mbweni mnamo majira ya saa nne asubuhi kwa ajili ya kuwasilisha dodoso la sense.
Akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kukamilika kwa kazi hiyo, Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif  Sharif  Hamad amesema zoezi hilo limeenda vizuri, na kuwataka makarani wa sensa kuendelea kuwa waadilifu na wavumilivu katika kufanikisha kazi hiyo.
Amesema inawezekana kuwa baadhi ya watu hawakupata elimu ya kutosha kuhusu sensa, lakini kwa wale walioelimishwa na kuendelea na msimamo wao wa kukataa kuhesabiwa huenda wakawa na malengo yao binafsi.
“Wanaokataa kuhesabiwa inawezekana wana malengo yao ambayo hawajataka kuyaweka wazi”, alisema Maalim Seif.
Amesema msimamo wa Serikali pamoja na Chama chake cha CUF ni kutaka watu wote wahesabiwe katika zoezi hili linaloendelea, ili kuisaidia serikali kupanga mipango yake ya maendeleo.
Amefahamisha kuwa zoezi la sensa ni jambo la kawaida katika nchi mbali mbali duniani zikiwemo nchi za kiislam, na kutoa wito kwa wananchi kutokubali kuyumbishwa na badala yake waitikie wito wa Serikali wa kukubali kuhesabiwa kwa maslahi yao na taifa kwa jumla.
NYINYI LAZIMA MUKUBALI KUHISABIWA ILI KUHIFADHI TONGE ZENU TUNAWAJUWA NI WANAFI WAKUBWA.

Saturday, August 25, 2012

CUF MUME APAA KATIKA QURAAN NA HAMUITETEI ZANZIBAR LAANA ITAWAKUTA NYINYI SHAURIZENU


sasa laana ipo kwa cuf. viongozi wa cuf wote hawawezi tena kuiteteza znz. wao wapo kwa faida ya maslahi yao na hakuna kiongozi wa cuf anayepinga muungano haswa wabunge
wabunge wa cuf wao ni kuchangia maslahi ya tanganyika bungeni. na wanaogopa kupinga muungano huo bungeni , ila wao huchokonyoa tu mambo ya muungano.
wabunge wa cuf wameridhika na kuchangia bajeti za tanganyika bila ya faida ya znz. asilimia kuwa wabunge wa cuf wamejenga majumba dar. na ukiwagusia suala la muungano hukwambia siye tushakuwa ndugu. hili ni sawa na ccm..?
kitendo cha cuf kuingia suk, sio baya wengi wetu tumeliunga mkono lakini cha kushangaza ni kuona cuf  imeshindwa kuwatetea wanachama wake au waznz wote eti cuf haikushinda uraisi hili ni aibu kubwa na niupumbavu kabisa hata kulitamka.
ni sawa na kutaka kumuoa mwanamke mwenye watoto bwana akamwambia bibi `fukuza watoto wako hapa ndio nikuoe` na bibi akakubali kufukuza watoto wake. hii ni aibu kwa cuf  nyengine mbali na wabunge wake kujenga majumba tanganyika na kuupenda muunga . hili sio siri hakuna anayekataa muungano katika wabunge wa cuf ila wanaochokonyoa muungano tu.

na sasa wabunge hao wamekaa kimywa. na kwanini wabunge hao hawapeleki hoja za wananchi bungeni huko kama waznz hawataki muungano..? huu uliopo sasa. hakuna hata mbunge mmoja alilefanya hivi mbali na JUMUIYA YA UHAMSHO kuaanza kuwaamsha waznz.
asilimia 98.5 ya waznz ni waislam , asilimia 1. ni wahindi na asilimia 0.5 ilikuwa wakiristo hapo zamani
leo hii znz imekuwa na asilimia 89 ya wakiristo tena wahamiaji wanaoletwa makusudi kutoka tanganyika kwa staili ya mfomo kristo na asilimia 15 ya wahamiaji kutoka nje ya tanganyika na wanachukuliwa kama ni waznz wenye haki kuliko waznz wazaliwa. na suala hili ccm na watanganyika wanaliridhia, znz imekuwa kama danguro la walevi sasa na wanywaji, wabakaji,malaya na watiaji virus vya HIV.

uzembe mkubwa unaofanywa na ccm znz kushirikiana na watanganyika kuimaliza znz. na pia hivi sasa nasikitika sana kuona raisI wetu kuwateua wakiristo kuwa ndani ya bunge la znz. BLW. hapo nyuma tulikuwa na wahindi tena wazaliwa wa znz hakuna muhindi aliyesema sisi baniani tuchagueni katika BLW.
hili pia nililiona katika tanganyika pale jk alipowateua wakiristo kwenye bunge la tanganyika. na huku kwetu znz pia rafiki yake jk anafanya yaleyale hichi KISHEIN.

cuf ccm wote wameshindwa kutoa ukweli juu ya mapinduzi ya znz . pia wameshindwa kueleza ukweli nani waliofanya mapinduzi ya znz. wameshindwa kueleza ukweli nani aliye muuwa mzee karume.
pia wameshindwa kueleza vipi waengereza waliposhirikiana na wajarumani kufanya biashara ya utumwa.
waengereza waliwatuma machifu kukamata watumwa na kuwasafiri mpaka znz waliwakabidhi kwa waengereza kutokana na mikataba waliokubaliana baina ya machifu wa kitanganyika na waengereza walikuwa wakiwaficha makanisani ushahidi kanisa la mkunazini na baadaye kuwasafirisha. waengereza walitumia makanisa kama nyumba za ibada lakini ilikuwa ni mapango ya kufichia watumwa wao kutoka tanganyika na nchi nyingine. hili hakuna hata mtu mmoja aliyelifafanua.

lakini leo historia hii wamepewa watanganyika tena walioletwa miaka ya karibuni na kupewa makanisa eti mali yao na kuanza kuwatukana hata maraisi wengine wakisema hapa kwao na wazungu ni mababu zao duuuh vichekesho.
MIE NIPO UPANDE WA JUMUIYA , NA WAZNZ WOTE TUWAUNGE MKONO UAMSHO KWA FAIDA YA WAZNZ.
siku niliyosikia maalim seif analilia njaa smz nikasema loo!!! sasa basi na kweli basi.

sasa nawambia nyie mulio UK wakuikomboa znz ni nyie waznz mulio UK. znz ni lazima inaiwe huku kwani waengereza ndio walioipa tanganyika na kenya znz kwa mazumuni yao maalum. kwani kenya na tanganyika ni ya UK. lakini hivi sasa znz tumekuwa yatika tunaonewa wala hakuna mtu anayetutetea. SIO OMAN AMBAYO NDIO TUNASEMA LILIKUWA KOLONI LETU.
koloni letu lilikuwa ni UK na waarabu walikuwa hawana kitu ni wapambe tu. ndio leo tumebakia yatima hatujijui ni koloni la nani?
UAMSHO NDIO ITAYOTUOKOA SASA HIVI, TUSHIRIKIANE NAO NA TUWAUNGE MKONO.
HAKUNA SAFINA WALA JAHAZI WAKULAUMIWA NI CUF NA CCM, ASIYEKUWA NA MACHO NA ABAKIE KIPOFU

MASHEIKH WAKAMATWA TANGA-SENSA YAKIONA KIYAAMA MKOA WA SUMBAWANGA NA TANGA


IKIWA ndio siku ya sensa imewadia, bado hali si shwari Waislamu wakibaki na msimamo wakutokuhesabiwa.
Katika kukabiliana nahali hiyo, kumekuwa na kamatakamata wakiandamwa      wale wanaotuhumiwakusambaza vipeperushivinavyowakataza Waislamu kuhesabiwa     au       kuwashawishi      kwa namna yoyote.Habari kutoa mikoa,wilaya na vijiji mbalimbali,zinaonyesha kuwa badala yaserikali kutafuta namna yakutuliza mambo, imekuwa ikichukua hatua ambazo zinawafanya hata wale Waislamu ambao walikuwa hawana msimamo juu ya ususiaji huo, sasa waungane na wenzao.Habari kutoka Tanga zinafahamisha kuwa jana umati mkubwa wa Waislamu  ulifurika katika kituo cha Polisi Chumbageni kuju hatmaa ya masheik wao walio  kuwa    wamekamatwa wakidaiwa kuhamasisha watu kususia sensa.Waliokamatwa walikuwani Sheikh Chambuso, Ustadhi  Hamad Ayoub, Fadhil Chambo, Hussein Idd na Mwalimu Kassim Amar.“Mfumo kristo upo kazini,sheikh Chambuso na mwalimu Kassim Amar  wamekamatwa kwa   kuwaeleza Waislamu     wa    Tanga     vijijini    dhulma     iliyopo   nchini dhidi ya Waislamu.Wameshikiliwa katika kituo cha Polisi Mtandikeni, Duga Maforoni toka jana usiku wasaa tatu. Waislamu simameni  kuwahami Askari hawa wa Allah,Makamanda  wa            Mtume              (s.a.w). Fikisha ujumbe huu kwa  nduguzo Waislamu.”Ujumbe huu wa maneno ulioanza kusambaa jana saa nne usiku, ndio uliowavuta  mamia ya Waislamu jijini  Tanga leo asubuhi baada yakupata tarifa kuwa Masheikh hao walikuwa wameletwa Chumbageni.Hadi tukienda mitamboni ,Masheikh hao walikuwa wameachiwa na kusindikizwa na maandamano hadi Masjid Quba ambapo Waislamuwa likariri msimamo wao wakususia sensa.Katika maelezo yao walisema kuwa walimfahamisha wazi Mkuuwa Kituo cha Polisi kuwa si kweli kuwa serikali haina dini, bali dini ni ya serikali ipo na ndiyo hiyo ya watu ambao wao ndio wenyekusikilizwa, huku Waislamu
Na Mwandishi Wetu
wakipuuzwa, kubaguliwa nakudharauliwa.Kwa mtindo huo ndio maana Waislamu wameona serikali iendelee na hato wathamini katika zoezi hili la sensa.Kwa upande wa Wilayani Same, habari zinafahamishakuwa     Mratibu      wa     Sensa aliye   katika kituo cha Kisiwani‘amelikoroga’ baada ya kuwakosesha Walimu          kuswali          swala ya Idd.Habari zinasema kuwa ilitolewa maelekezo kuwa hakuna cha kuswali Idd, bali semina kwa walimu waliopangwa kuhesabu watu itaendelea kama kawaida wakati swala ya Iddi   inaendelea.Hata baada ya Walimu Waislamu kulalamika, bado Mratibu alisisitiza hakuna cha kuswali  Idd.Habari  zilizokuwa zimevujaHabari zilisema kuwa huo ulikuwa mkakati uliowekwa toka Wilayani kuwa wakikosa kuja katika       semina        hiyo       iwe       sababu   ya kuondolewa.Walimu hao walifika na kwa mshangao, Mratibu alipoita majina na kuona Waislamu wapo akasema hakuna semina watu warudi nyumbani  wakale Idd.Hata hivyo, wakati huo swala ilikuwa ishamalizika watu wanarejea kutoka misikitini. Mpasha habari wetu anafahamisha kuwa walimu Waislamu walikuja juu na wakataka kuwa maadhali wamekoseshwa swala, basi semina iendelee.Tukio hilo limewafanya Waislamu wengi kuona kuwa ni jama dhidi ya Waislamu hivi sasa gumzo idadi kubwa ya  Walimu Waislamu  mjini Same walioomba    kuwa   wahesabuji walivyo achwa na kuchukuliwa Wakristo watupu.Kwa upande mwingine inafahamishwa kuwa hali sishwari Sumbawanga   ambapofutari  iliyoandaliwa na Mkuuwa Mkoa ilidoda baada kususiwa    na Waislamu.Tukio hilo lilitanguliwa nalile la futari iliyoandaliwa na Katibu wa Tawi la Mkoa (RAS)16.Agosti.2012 ambapo  baadaya watu kumaliza maakuli,Mkuu wa Wilaya ya Nkasi alisimama na kuzungumza lakini akabaki akishangaa baada ya kujikuta akiachwa    pweke baada ya kundi la Waislamu kunyanyuka nakuondoka mara tu alipo anzakuzungumzia sensa.Habari za tukio hilo la Waislamu kugomea Sensa mbele ya mkuu wa wilaya na (RAS) katika hafla ya mwaliko    wafutari zilisamba kwa kasi na   kuwa mada ya Khutba za sala ya Ijumaa takriban Misikiti yote Sumbawanga mjini msisitizo ukiwa Waislamu kukataa kuhesabiwa.Khatibu       wa         Ijumaa        Msikiti     wa Qiblatain, Abdillah Salim Kanazawa, alielekeza Waislamu nini umuhimu wa Shura na nini madhara yaku    pinga Shura.Baadhi ya Maimamuakiwemo Imam Rajab waliwasisistiza Waislamu kuwa kinacho hitajika ni umoja nakupigania     haki        na heshima        ya      Uislamu         na Waislamu.Katika kuhakikisha wapo pamoja na wanasaidianakwa lolote litakalotokea,kumetolewa namba za simu kwamba mahali popote mtu atakapobughudhiwa kwa kukataa kuhesabiwa apige ili ipigwe Adhana katika Misikiti mbalimbali waislamu wakusanyike na kuamua lakufanya.Ilikuwa ni baada ya tukio hilo Mkuu wa Mkoa naye akaandaa futari katika jitahada za kupoza mambo.Hata hivyo pamoja na kuandaliwa watu wa TV na magazeti, futari        ilidoda          baada   Waalikwa Waislamu walio      wengi          kususia         ya          kwa kujua kuwa agenda itakuwa sensa.Futari hiyo ilifanyika Agosti18, 2012.Katika   tukio   jingine   kutoka    Sumbawanga  Mjinii, mtoto mmoja wa chini ya miaka10 aliwaacha hoi wahesabuji  waliokuwa katika zoezi lamajaribio baada ya kukataakuhesabiwa na kusema kuwa  akihesabiwa atakuwa kafiri.“Baba kasema sisi waislamu hatuhesabiwi Baba kasema ambaye atahesabiwa atakuwa kafiri.”Alisema mtoto huyoaliyekutwa akiwa peke nyumbani na kutimua mbio akiwacha maofisa wa sensa

CCM INA LAANA NDIO MAANA HAIPOKE NEEMA ALIYOILETA MWENYEZI MUNGU YA UAMSHO








sheikh farid hadi
Ni ukweli usiokanushika wa Historia ya miaka 48 ya Mapinduzi na Muungano, kwamba Chama cha Afro-Shirazi Party (ASP) na baadae CCM –Tawi la Zanzibar, pamoja na viongozi wake wote walioshika hatamu tangu 1964, ndio wenye JUKUMU la Msiba ulioiangukia Zanzibar. ASP kamwe haiwezi wala haipaswi kuvitupia lawama vyama vyengine vya kisiasa kuhusu kusababisha msiba huo.

ASP na baadae CCM (Zanzibar) na Viongozi wake wote walishika hatamu na mpini kuamua hatima ya Zanzibar, ndio walioshika mpini chini ya biramu la “MAPINDUZI DAIMA”. Hatamu na Mpini huo hawakutaka kuziachia au kuwaponyoka tena kwa kila hali hadi hii leo.
Msiba gani huo?
Ni Msiba wa Zanzibar kupoteza Uhuru wake na Mamlaka yake (Soveregnity) kwa Tanganyika iliojibatiza jina la Tanzania . Matokeo yake kuanzia April 26,1964 , ni kuona historia ya miaka 2000 ya dola la Zenj kuanzia (City State)ikianza kuzikwa kabisa hatua kwa hatua.Mjadala wa sasa wa Katiba mpya ambao awali ulikataza maoni juu ya Muungano “mtakatifu”, unalenga kuizika kabisa dola ya Zanzibar hapo 2014.
Ni chini ya usimamizi wa Afro-Shirazi Party ndipo:
a) Zanzibar ilipoteza KITI chake Katika Umoja wa Mataifa 1964-
b) Zanzibar imepoteza Umashuhuri wake katika ramani ya dunia-
c)Zumari leo likipulizwa Zanzibar,hakuna tena achezae mrima-
d)Zanzibar,haiwezi kufunga Mikataba ya Mikopo na wafadhili wa Kimataifa bila ya ruhusa ya Dodoma-
e)Zanzibar ilibidi kujitoa Jumuiya ya Nchi za Kiislamu (OIC) licha ya kuwa ndio iliokuwa Mecca ya Afrika ya Mashariki katika kueneza uislamu-
f)Hata hodi-hodi za Zanzibar kujiunga na Shirikisho la mpira Ulimwenguni (FIFA), hazikufua dafu.
g) Marais wa Zanzibar wanachaguliwa na kuidhinishwa DODOMA kama tulivyoona kisa cha Dr.Amani Karume na Dr.Gharib Bilal.
Kwa ufupi, ni dhahiri-shahiri kuwa,chini ya UONGOZI wa ASP na baadae CCM-Zanzibar, visiwa vyetu vimepoteza SAUTI yake ndani na nje ya Zanzibar .Hali hii ya kufadhahisha, yafaa kuungama hatahivyo, haikuridhiwa na viongozi wote wa afro-shirazi party na baadae wa CCM-Zanzibar .Walipotanabahi na kun’gamua madhambi walioifanyia nchi yao, walijaribu kurekebisha au kugeuza mkondo,lakini bila ya mafanikio.
Mzee Karume alijaribu wakati wa utawala wake wa miaka 8 ulioanzia Januari 12,1964 hadi kuuwawa kwake April 7, 1972 kuikwamua Zanzibar kutoka makucha ya “MUUNGANO-KOTI”bila kudiriki kulivua.Rais Jumbe,mfuasi wake madarakani, nae alijaribu 1984 na kuangushwa Dodoma-lilikochimbwa KABURI la kuizika dola ya Zanzibar na hata viongozi wake.
Commandoo Dr.Salmin Amour,alitumbua macho huku nae KIBIRITI chake KIKITIKISWA alipolazimishwa kujitoa OIC (Jumuiya ya Nchi za Kiislamu). Mwalimu Nyerere aliukomea mlango wa nyuma na wa mbele wa OIC mpaka hii leo wakati nchi ambayo inapinga UDINI,ni rukhsa kuwa na usuhuba wa kibalozi na VATICAN na hata kulitambua dola la Wakristo wa Nigeria ya Mashariki (BIAFRA) walilojaribu kuunda miaka ya 1970.
Seif Shariff na wenzake wakiwa ndani ya CCM walipotaka kufuata NYAYO za Rais Jumbe, na kutetea masilahi ya Zanzbar,walikiona kilichomtoa kanga manyoya walipotimuliwa nje ya CCM Dodoma.
Matokeo yake : Yeyote Yule anaebisha sera za CCM-DODOMA, mfano walivyofanya hivi punde akina Mzee Hassan Nasoro Moyo na Mansouri Himidi kuiweka nchi yao ya Zanzibar kwanza na sera za chama nyuma, SAUTI ZA “MASULTANI WA DODOMA NA MABALOZI WAO waliopo VISIWANI ZANZIBAR NA PEMBA”, zinamkemea. Eti wanakiuka sera ya chama ya serikali 2 kwendea moja ? Ni dhahiri uwepo wa serikali 3 unazuwia sera ya serikali mbili kwendea moja. USIA ULIOACHIWA CCM NA BABA WA TAIFA. Ndipo Mwalimu alipowakemea akina Kikwete na wenzake G-55 walipodai serikali ya Tanganyika.
Hatua walizochukua viongozi hao wote wa Afro-Shirazi party au CCM –Zanzibar, kumvika paka kengele, hazijaiokoa Zanzibar .Na wapi viongozi wa sasa wa CCM walioshika mpini na hatamu katika serikali ya umoja wa kitaifa- akina Sheni na Balozi Seif Idi, wanakoikokota Zanzibar huku wakitetea sera ya chama ya serikali 2 , ni siri yao wenyewe. Mzalendo yeyote wa Zanzibar anaekula kiapo huku ameshika msahafu kuitetea na kuilinda Zanzibar,hawezi kamwe kuchangia mazishi yake makaburini dodoma.
Ni jambo la wazi kabisa viongozi hawa wa CCM , bila ya ridhaa ya Dodoma, wasingeshika hatamu tangu chamani hata serikalini.Vilio vya hivi punde za kuwaajibisha akina Mzee Moyo na kijana Mansouri, ni ushahidi wa hayo.Idhini ya wazanzibari, yadhihirika hawaihitaji na ndio maana wahafidhina ndani ya CCM –Zanzibar na bara ,wanatetea sera za chama na sio nchi yao (Zanzibar).Kuibuka kwa jumuiya ya kiislamu ya muamsho na kudai haki na mamlaka ya Zanzibar,kwa hivyo, ni neema ilioteremshiwa viongozi wa sasa na wa zamani wa ASP-CCM (Zanzibar) na mwenye enzi Mungu.
Ni jahazi la safina walioletewa kulipanda kuwavusha salama na dharuba za kisiwa cha chumbe na mwishoe kujikosha na laana za kuja kulitosa kabisa dola la Zanzibar.kwamba kwani historia itakuja kuandika kuwa (ASP) ndicho chama kilichoiongoza Zanzibar chini ya biramu la “mapinduzi daima” kutoweka katika ramani ya dunia.
Viongozi wa jumuiya ya UAMSHO- akina Amir Msellem;Darid na zan ,wamenadi hadharani,tena dhahiri-shahiri kuwa , hawataki madaraka! .
Watakacho ni kuwarejeshea VIONGOZI wa Zanzibar hadhi yao,kuirejeshea Zanzibar na WaZanzibari UHURU wao na MAMLAKA yao na kuwafanya waZanzibari wote wa Zanzibar na Pemba wapumuwe.
Kwanini basi wanapigwa mabomu hata misikitini?
Kile viongozi wa CCM-ZANZIBAR isipokuwa wachache kama Mzee Moyo na Mansour , wasichothubutu kudai kwa nchi yao ya Zanzibar,UAMSHO wanakidai,tena bila ya hofu,woga na kutetereka. wamejitoa mhanga kusafisha madhambi ya miaka 48 ya viongozi wa ASP na CCM-Zanzibar, waliofanya ama kwa kupenda au kwa kulazimishwa .
Kwanini basi neema hii ilioteremshiwa ASP na CCM-Zanzibar na mwenye enzi mungu,hawaipokei mikono miwili na badala yake waipiga mabomu ? je, chama bora kuliko Zanzibar ?

Friday, August 24, 2012

AMIR FARID HADI AHMED AMPELEKEA BARUA YA WAZI DR SHEIN.


BARUA YA WAZI KWA RAIS WA DOLA YA ZANZIBAR DR. ALI MUHAMMED SHEIN
BISMILLAHI ‘RRAHMANI ‘RRAHIM
Kila sifa njema zinamstahikia Allah, Subhanah wa Taala, isofichika kwake dhulma wala harudishi dua ya mwenye kudhulumiwa. Rehma na amani zimshukie Mtume Muhmmad (s.a.w) kipenzi chake na cha umma, mtetezi wa waliodhulimiwa hata kabla ya kupewa Utume.
Mhishimiwa Rais,
Kwa mapenzi makubwa, baada ya kuisoma kwa utulivu khutuba yako ya siku tukufu ya Iddil Alfitri, nimelazimika kuandika barua hii kufuatana na kauli mbiu ya Mtume Muhammad (s.a.w) inayosema:
“…Dini ni nasaha…nasaha kwa Allah (S.w.T) na ni nasaha kwa Mtume (s.a.w.) na kwa viongozi wa Waislamu na kwa watu wote…”
Mh. Rais;
Ni kweli nchi yeti ya Zanzibar imechafuliwa jina lake kuwa ni nchi ya amani kama ilivyogeuzwa nchi yetu na ndugu zetu na kufanywa kuwa ni koloni lao baada ya mkoloni Mwingereza kutupa uhuru mwaka 1963 na kuwa na kiti chetu Umoja wa Mataifa huku walimwengu wote wakishuhudia; kiti ambacho kwa uwezo wake Allah atakirejesha karibuni na wewe ukiwa rais wa Zanzibar au uliyemwakilisha kuweza kuketi juu yake Insha’allah na sisi wananchi wako wa Zanzibar tukifurahikia jambo hilo adhimu.
Mh.Rais;
Ni kweli nchi yetu inatiwa dosari lakini si kweli kuwa wananchi wa Zanzibar ndio wanaosababisha dosari hiyo na doa hilo la uvunjifu wa amani; ushahidi wa maneno haya tutaupata tukirejea na kutizama kwa jicho la uadilifu na insafu katika matukio tafauti. Kwa hakika tukifanya hivyo tutagundua bila ya taabu kuwa Jeshi la Polisi la Tanzania ndio wahusika wakuu na waanzilishi wa vurugu na uvunjifu wa amani ya nchi yetu ya Zanzibar kwa mara zote tatu, nikimaanisha machafuko yaliyotokea tarehe 25-26/5/2012 mjini Zanzibar na yale ya kuhujumu waumini na kunajisi misiskiti tarehe 17/6/2012, Donge, Mahonda na Mkokotoni pamoja na hujuma ya tarehe 20/7/2012 msikitini pia dhidi ya Waislamu walokusanyika msikiti wa Mbuyuni kuwasalia ndugu zao waliofariki kwa ajali ya meli ya Mv. Skaget. Waislamu tulihujumiwa ndani ya msikiti. Jeshi la polisi halikusita hapo bali liliwaingilia wananchi wanyonge mpaka ndani ya nyumba zao na kuwatendea matendo haramiya ya chuki na uhuni na katika waliotendewa matendo hayo maovu walikuwa wanawake na watoto wachanga. Polisi hao wakhalifu wa sharia waharibifu wa amani walifika hadi ya kutupa mabomu ya madawa makali ndani ya majumba ya raia bila ya kujali athari zitakazowasibu watoto wachanga na wanawake wenye kunyonyesha. Iwapo jeshi la polisi lililopewa jukumu la kulinda sharia, kuweka amani na kuwahami wananchi na mali zao ndio wenye kuvunja sharia kwa kuwahujumu watu bila ya sababu, wananchi na haki zao zitalindwa na nani?
Mh.Rais;
Matokeo ya ukiukwaji wa sharia na haki za binadamu yaliyopelekea kuiharibia nchi yetu ya Zanzibar sifa yake ya amani na utulivu yamesababishwa na jeshi la polisi la Tanzania lililoacha kutekeleza wajibu wake wa kutunza amani ya nchi yetu Zanzibar . La kusikitisha zaidi ni kuwepo baadhi ya watendaji wako wa karibu wanaopotosha ukweli na kuifanyia khiyana nchi yetu ya Zanzibar kwa kufikisha kwako taarifa za uongo zilizopelekea kuitia doa na kuiharibu khutuba yako ilojaa maneno matukufu ya Allah Subhanah wa Taala pamoja na mafunzo kutoka Sunna za Mtume (s.a.w), khutuba ambayo ilitarajiwa kukemea dhulma za jeshi la polisi dhidi ya Waiislam na nyumba tukufu za Allah (S.w.T) iliyohujumiwa pamoja na wanawake na watoto wachanga ndani ya majumba kama ulivotetea makanisa na kubainisha hatari na ubaya wa walioyachoma makanisa hayo kwa lengo la kutaka kuanzisha fitna baina ya Waislam na jirani zao Wakristo waliokaribishwa nchini Zanzibar na kuishi pamoja nao miaka mingi kwa amani kiasi ambacho haijawahi kutokea Muislamu kulitusi kanisa licha kulichoma moto, kwani hayo ni kinyume na mafunzo ya dini yetu tukufu ya Kiislamu.
Mh.Rais;
Watu wanaokuwa karibu na Rais ni watu muhimu sana katika kufanikisha dhana ya uadilifu na utawala bora na wa haki usioogopa kukemea maovu hata kama walotenda au kuteleza ni Jeshi la Polisi kwani pia wao ni binaadamu siajabu kutenda makosa kwa maksudi seuze kuteleza, Allah Sbhanah wa Taala anatwambia: “…Enyi mloamini kuweni wasimamizi wa Allah wenye kushuhudia ukweli hata kama ni dhidi ya nafsi zenu…” Kwa hivyo, kosa kubwa zaidi ni kuuficha ukweli au kumpotosha kiongozi wa nchi hadi kufikia kuwashushia sifa wasiostahiki, wahuni ambao waliwatendea ya uhuni na dhulma kubwa hata wanawake na watoto. Ni khatari wadhulumiwa wanapofikishwa kumshtakia Mfalme wa Mbingu na Ardhi juu ya dhulma wanazotendewa. Isitoshe, khiyana ya watu kamaa hao wa karibu na viongozi kila inapojikariri khiyana hiyo inajenga hisiya kwa wenyeji wa nchi hii ambao wengi wao ni Waislamu kuwa wanabaguliwa, na sio wao tu bali hata kudharauliwa nyumba zao tukufu za ibada na kuthaminiwa makanisa peke yake. Sisi Waislamu hatutaki nyumba zozote za ibada zidharauliwe. Nyumba zote za ibada lazima ziwekewe hishima zinazostahiki.
Mh.Rais;
Kwa heshma zote naomba zichunguzwe sana sifa mbili kwa watu wote wa karibu na viongozi, sifa mbazo ni hatari kuzikosa tena zinaweza kuiangamiza nchi yetu tukufu ya Zanzibar . Sifa hizo si nyengine illa ni ukweli na uaminifu ambazo ni kinyume na uwongo na khiyana.
Yarabbi Muumba Mbingu na Ardhi, usieshindwa na jambo, tunakuomba muhifadhi Rais wetu, turejeshee nchi yetu kwa salama na amani, DOLA HURU YA ZANZIBAR, wastiri wanawake na watoto wachanga majumbani na Wazanzibari wote tunaodhulumiwa kwa kudai uhuru wa nchi yetu ya Zanzibar uloporwa na jirani zetu, ndugu zetu baada ya kutoka kwa wakoloni.
Amir Mkuu, Jumuiya ya Maimamu Zanzibar
Farid Hadi Ahmed

GNU IKO KWA VIONGOZI WA CUF NA CCM SIO WANANCHI


SASA SIO KERO TENA ZA MUUNGANO IMEKUWA KAROOOO LINANUKA LA MUUNGANO
* New Finance Bill yapitishwa kwa mbwembwe Bungeni
* Magari zaidi ya 800 yakwama Bandari ya Dar – Tanganyika
* Viongozi wa Zanzibar GNU wanasema ‘hawajui, hakuna ushahidi’.
* Imezidisha na kuzaa kero (karo) mpya ndani ya Mchakato mpya wa Katiba
Kama mmefuatilia kwa makini, Agosti 16-2012 Bunge la jamhuri ya muungano lililokutana Dodoma limepitisha kwa ‘mbwembwe’ zote ‘The Finance Bill 2012′ – iliyowasilishwa na Waziri wa Fedha wa Tanganyika, Dr. William Mgimwa.
Sasa, kwa ufupi bill hii moja kati ya vipengelea vilivyomo ni kuwa inataka uingizaji wa magari TZ iwe ni /si chini ya miaka 10 tokea kutenngezwa kwake. Kwa maana hiyo yote yatayoingizwa nchini zaidi ya miaka kumi yatattozwa ushuru mkubwa plus ushuru wa vyuma chakavu.
Bill hii inazungumzia ‘uingizaji wa magari kutoka nje ya nchi’ — import.
Bill hii, kasoro yake haikutoa hata muda wa kuvuta pumzi kwa importers kinyume na taratibu za utungaji wa sheria zote duniani au hata hapa TZ.
Yaani kama meli haijafunga gati, basi ikifika kama zimo gari za namna hiyo pia utalipa ushuru huo mpya.
Lakini mbaya zaidi ni kuwa magari kutoka zanzibar pia yameathirika kwa maana kuwa yanatoka ‘nje’ ya nchi – Je, zanzibar ni nchi tofauti au ni nchi moja.? kila siku wanasema Zanzibar sio nchi ni mkoa wa pwani wa Tanganyika.sasa mbona katika hili pia Zanzibar inahisabiwa ni nchi nyengine..? kinadharia pale wanapotaka kutumaliza basi husema Zanzibar ni nchi ili watumalize kisha hugeuza kibao nakusema Zanzibar sio nchi ili watutawale ndio inakuwa Zanzibar na Tanganyika (tanzania ni moja)?  viongozi wa GNU mupoo au ndio uluwaaa mpaka hamuwezi kusema..? Hivi sasa Dar port wamezuia magari yapatayo 800 eti yameingizwa kinyume na taratibu na lazima yalipiwe huo ushuru wa vyuma chakavu, mengine yameingizwa hata kabla ya tarehe hiyo. jamani kweli haki hiyo..? mitwana ni mitwana tu.
Magari mengine waliyazuia hata kabla sheria hii haijapita kwa kujua kuwa watawakomoa Wazanzibari.
By definition, magari haya yatakuwa yameshaingia nchini (kama tunaamini zanzibar-tanganyika-tanzania ni nchi moja), unless tuamini kuwa zanzibar ni ‘foreign country’ kwa hili.
Wenzetu hawa wanaamua mapema, kutumaliza within the process katiba mpya kero za muungano zinazidi . na karo za /KARO za MUUNGANO zinazidi kunuka; hakuna msafishaji.maana kishein ndio kishein tu kipo kipo.Wakati haya yanajiri, viongozi wetu wanaoshughulika na wizara za fedha na biashara wanasema ‘hawajui, hawana taarifa’ na mmoja alikwenda mbali zaidi kwa kusema kuwa ‘anataka ushahidi’. Wafanya biashara wamempelekea ushahidi, so what? and what next? amebaki kupwesa tu kama pweza!
Hawa ndio viongozi wetu wa GNU batata za urojo viongozi musile, wanajua kupayuka tu pale BLW na kuchukua allowance ya 600,000 per day plus other benefits – wanahalalisha matumizi yao binafsi, but utapokuja suala la nchi – forget about it – si Othman Massoud, si Mazrui au Yussuf Mzee; au Jussa-Hamza – wote hawa ni fitna tu: hawana ukweli.
Basi hawawezi hata ku-protest kidogo hivi.? kimya mikia wameifata kama majibwa koko.
Nakumbuka wakati wa Uongozi wa Dr.Salmin Tanganyika walizuia makontena ya Zanzibar 40 wakati ule. Waziri wa Fedha alikuwa hayati Prof.Kighoma Malima.
Na Zanzibar alichachamaa na Malima aliitwa Zanzibar, naam…makontena yalitoka tena BUREEEE (Nassor Mazrui anakumbuka maana alikuwa President wa Chamber of Commerce); leo anatamka kuwa ‘eti hajui wala hana habari’. Ulwa mbaya baba!!!! utapata habari vipi na utajuwa vipi na wewe yako yanakuendea.
Sasa jamaa zetu wamelewa madaraka – in the GNU.
Mwisho, namuomba adm/au shak kiongozi – kama ataipata hotuba hii ya bajeti akurushieni mzalendo, muweze kuisoma na kufaidika nayo zaidi – gazeti la zanzibar waliichapisha hii/tolea lake ya Agosti 19-2012.
Mkumbuke kuwa Naibu waziri wa fedha anaitwa Saada Mkuya (mzanzibari), nilidhani atatetea maslahi ya Zanzibar ndani ya muungano; kumbe ni figure head tu — hawashi, hazimi. yupo yupo yupo tu! anakula batata zake za urojo kwisha habari yake.
* KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI!
* ZIDUMU FIKRA ZA BALOZI SEIF ALI IDDI NA FIKRA ZAKE ZA SERIKALI MBILI KUELEKEA MOJA.
* LIDUMU JIMBO LA KITOPE

TUNAOMBA MUWASAIDIYA HAWA DUNGU ZETU KUTOWA NI MOYO SIO UTAJIRI


Asalamu Alaykum.
Naomba nilete hii makala muisome muone jinsi maradhi yanavyowatesa viumbe wa Mungu, Mwenyeenzi Mungu Mkubwa mtoto anateseka anasikitisha na kuhuzunisha na huwezi kutupa jicho mara mbili kumtazama na umasikini umemsogeza hadi hapa alipofikia Subhanallah.
“Mama watoto Skuli wananiuliza mbona ngozi yangu ipo hivi” Ndivyo anavyoanza kusema Mtoto Nairat Khamis Ali alipokuja katika ofisi za Mwananchi Zanzibar kwa ajili ya mahojiano.
Nairat mwenye umri wa miaka 7 Mkaazi wa Tumbe Wilaya ya Micheweni Mkoa wa Kaskazini Pemba amelazimika kukatisha masomo yake ya Nursery (Chekechea) kutokana na ugonjwa wa ngozi alioupata na kumsumbua kwa muda sasa akisumbuliwa tokea akiwa na miaka miwili.
Nairat ni mtoto mcheshi na mwenye kuongea sana ambapo matumaini yake ni makubwa ya kupata elimu na kuendelea kusoma lakini anasema ikiwa atapata nafuu ataendelea na masomo yake.
“Nataka mie kusoma lakini naumwa sasa hivi nikitibiwa na nikipona nitarudi zangu skuli na pia nilikuwa nasoma chuoni na najua kusoma Quraan lakini sasa hivi ndio nimekuja Unguja kwa kutafuta dawa” alisema Nairat huku akiwa ameinamisha uso mwake chini.
Unapomuona Nairat unajua kama ni mgonjwa na anasumbuliwa na maradhi ambayo bado hawajajua ufumbuzi wake wala dawa kutokana na kuwa kwanza ngozi yake imepiga weusi na imefanya mabaka lakini pia ukimuona machoni utaona vidonda ambavyo vimezunguka katika mdomo wake na katika macho ambapo tayari macho yake yameshaathirika na kuanza kupoteza nuru.
Pia Nairat mdomo wake umejaa vidonda na anashindwa kula kutokana maumivu na kuchonotwa anapotia chakula mdomoni na hivyo muda mwingi hukaa na njaa kwa kuogopa maumivu.
Kutokana na kuwa na vidonda ndani na nje ya mdomo wake, Mama Mzazi wa Nairat aitwaye Khadija Mohammed mwenye umri wa miaka 30 na mwenye watoto wanne anasema usiku kucha Nairat analia na kuugua kutokana na maumivu.
“Wallahi mwanangu usiku yuwalia tu kwa maumivu na hapo nyuma nilikuwa nikimpa dawa angalau akilala lakini dawa zimeniishia kwa kuwa sina pesa” alisema kwa masikitiko Bi Khadija ambaye ana watoto wawili wenye matatizo kama hayo na kuongeza kuwa.
“Kula hawezi kwani akitia chakula tu yuwalia asema aumia lakini maji ndio achwa sana”
Kwa mujibu wa Bi Khadija ambaye amefuatana na watoto wake wawili ambao wote ni wagonjwa amesema analazimika kununua dawa za kupunguza maumivu shilingi 70,000 na kumpatia mwanawe huyo dogo.
Mbali ya Nairat mtoto mwengine ni Bisambe (25) ambaye pia ana ugonjwa wa ngozi kama wa Nairat na anasumbuliwa na hivi sasa ameacha masomo kutokana na kuhangaikia matibabu na watoto wengine ni Yussra (5) na Abdul (2) ambapo wawili hao wadogo bado hawajaathirika na ugonjwa huo. Mwenyeenzi Mungu awaepushe na hao wengine awape tiba ya uhakika wapumzike na mateso wayapatayo inshallah.

KUTOWA NI MOYO SIO UTAJIRI TUNAWAOMBA MUWASAIDI HAWA NI DUNGU ZETU HAPA ZANZIBAR. WAO WANATESEKA NA MARADHI HAWANA HATA SHILLINGI YA KUNUNULIA DAWA.DUNGU WOTE WA ZANZIBAR MULIO HAPA ZANZBAR NA MULIO NJE YA ZANZIBAR TUNAWAOMBA MUWASAIDIYE. ILA SHEIN,MAALIM,BALOZI IDDI PESA ZAKUTEMBELEA MIKOA NA VIJIJINI KWENDA KUTIA FITINA MUNAZO NA HUKU WANANCHI WANATESEKA KAMA HIVI MARAISI WATATU NDANI YA NCHI MTOTO HUYU SI WAKUTESEKA ILA NYINYI SIO MARAISI NYINYI NI MAJINA MIZI ILA M/MUNGU ANAWAONA NA ATAKWENDA KUWASIMAMISHA INSHAA ALLAH SIKU YA KIYAMA MUELEZE UZURI FITNA NA KUJIFAHARISHA KWENU HUKU WANCHI WAKITESEKA.
HAWA NDIO WATU WA KARIBU WAKUWAPA
HUWO MSAADA ILI UWAFIKIA HAWA DUNGU ZETU
KUTOWA NI MOYO SIO UTAJIRI INSHAA ALLAH KHERI
Salma Said,
P. O. Box 1442,
Tel: +255 (024) 223 5219
Mobile: +255 777 477 101
E-mail: muftiiy@yahoo.com

Hassan Mussa Khamis
Mobile: +44 7588550153
email: hassan.mussa@gmail.com
United Kingdom

Wednesday, August 22, 2012

JUMIKI YATAJA MAMBO SITA AMBAYO YAKITIMIZWA BASI NDIO WAISLAMU NDANI YA NCHI YA Z,BAR WATASHIRIKI SENSA LA SIVYO HAKUNA SENSA NCHINI ZANZIBAR.


Waaislamu nchini Zanzibar wametakiwa wasishiriki sensa kwani ndani ya sensa kuna mtego ambao utasababisha madhara makunwa dhidi ya waislamu.
Hayo yameelezwa na amiri wa jumuiya hiyo Sh Mselem bin Ally katika mkutano ambao uliwashirikisha waandishi wa habari ambao ulifanyika katika msikiti wa mbuyun zanzibar kwa lego la kutoa tamko la waislamu kwa nini  wanakataa  sensa.
Akibainisha miongoni mwa sababu anbazo zinawafanya wasikubali sensa ni pamoja na kuondoshwa kipengele cha dini licha ya kwamba Serikali imejitetea kwa kudai ya kwamba wao hawapangi mambo ya maendeleo kwa kuzingatia dini, jambo ambalo si kweli bali ni kuendeleza ile desturi ya serikali ya muungano katika kutii matakwa ya maelekezo ya ya mfumo Kristo ambao umekua ukiendesha Serikali hiyo kwa maslahi ya makanisa na wakiristo kwa muda mrefu.
akiongezea amesema wazanzibar na waislamu hawashiriki sensa mpaka yafanyike mambo yafuatayo;
1-Wazanzibar wote wenye haki ya kisheria wapatiwe vitambulisho vya Uzanzibari na wale wote wasiostahiki wakapewa kwa utashi wa kisiasa wanyanganywe au wavirudishe wenyewe.
2-Wazanzibar wana vitambulisho vyao kwa hiyo vitambulisho vinavyotoka Tanganyika kwa jina la Tanzania visitishwe mara moja kuletwa Zanzibar.
3-Ili wazanzibar washiriki sensa kwanza wapatiwe nchi yao ya Zanzibar yenye mamlaka kamili ikisha watajihesabu.
4-kipengele cha dini kiingizwe katika dodoso la sensa kwani hili si geni katika sheria za kimataifa za sensa ili kujua nchi inaendeshwa vipi ili kuchunga maslahi ya wenye dini zao.
5-Serikali zote mbili zitoe tamko la kulaani vitendo vya jeshi la polisi vya kinyama vya kunajisi miskiti na kuharibu nyumba za ibada  kama walivyolaani wakati yalipoharibiwa makanisa na hatimae kuzawadiwa nafasi ya uwakilishi katika baraza la uwakilishi.
6-vyombo vya habari (ikiwemo ZBC) vilivoripoti taarifa zisizo sahihi na kuwachafua JUMIKI ndani na nje ya nchi iwaombe radhi waislamu kwa kupotosha habari kitu ambacho kimewasababishia wapate maafa makubwa.
Kutokana na mikakati hiyo  wazanzibar  wametakiwa wasusie zoezi la sensa hadi pale madai yao yatakaposikilizwa na kufanyiwa kazi kwa uakmilifu wake. kwa hiyo kila mwenye uchungu wa zanzibar na chembe ya imani ya uislamu haimfalii kushiriki zoezi la sensa kwani kufanya hivo ni kuusaliti uislamu na kuisaliti zanzibar.

Tuesday, August 21, 2012

BOTI NYENGINE YAZAMA Z,BAR BAADA YA SHEIN KUZICHEZEA AYAA ZA QURAAN KWA MASLAHI YAKE WAKATI UMEFIKA WA SHEIN KUJIUZULU.

Mwezi mmoja tu tangu maafa ya kuzama kwa boti ya Mv Skagit iliyotokea Chumbe Unguja Julai 18, watu wengine 10 kati ya 12 wamenusurika kufa kwenye bahari kuu kati ya Pangani, Tanga na Mkoa wa Kaskazini Unguja baada ya boti Mv Saluwat waliyokuwa wakisafiria kuzama.

Katika ajali hiyo iliyotokea jana, watu wawili, Khalfan Saleh Ali ambaye ni mmoja wa mabaharia wa chombo hicho na mwingine mwanamke, hajajulikana jina, wanahofiwa kufa maji kwa kuwa hadi jioni walikuwa hawajapatikana.
Walionusurika ni Athumani Makame Athumani (40) wa Mtoni Kidatu, nahodha Ali Idi Haji (51) wa Pita na Zako, Shaame Ali Shaame (33) wa Mtoni Kidatu, Khamis Juma Mtwana (33) wa Kibeni, Ahmada Haji Kombo (47) wa Shangani Mkokotoni, Athumani Ali Shaame (50) wa Magogoni na Fundi Khalid (49) wa Kizimbani Pita na Zako.
Raia wa kigeni walionusurika ni Banmin Luubih (30) na Jeenle Rog (29), Raia wa Wafaransa na Ruud Verhees (23) wa Uholanzi.
Watu hao walikuwa katika boti hiyo iliyotoka bandari ya Pangani asubuhi juzi ikienda bandari ndogo ya Mkokotoni ikiwa na abiria 12 na magunia ya nazi.
Kati ya watu waliookolewa kutokana na jitihada za wavuvi wa bandari ndogo ya Shangani, Mkoa wa Kaskazini Unguja, walikuwemo raia watatu wa kigeni.
Fundi mkuu wa boti hiyo, Khalid Haji Maulid, alisema iliondoka Pangani saa 2.30 asubuhi siku ya Jumapili na ikaanza kupata dhoruba na kuingiza maji kwenye chombo majira ya saa 9 mchana.
Alisema walijitahidi kuyatoa maji kwa kutumia pampu, lakini mashine hiyo nayo ilipungua nguvu na kuharibika.
Fundi Khalid alisema waliamua kurudi bandarini Pangani, lakini hawakufika mbali kwani chombo kilizidi kuingiza maji na injini yake ikazimika.
“Abiria wote tuliwapa life jacket kwa ajili ya kujiokoa. Wengine walikuwa wakielea huku wameshika chombo na waliokuwa wakijua kuogelea, walijirusha kwenye maji,” alisema fundi huyo ambaye alikuwa mmoja wa wafanyakazi wa boti hiyo inayomilikiwa na Ahmad Haji Kombo, mkazi wa Shangani, Mkokotoni.
Alisema walilazimika kufanya kazi usiku kucha kuelekeza abiria wasikumbwe na mawimbi kwa kushikilia sehemu ya juu ya chombo, lakini hatimaye chombo kilizama kabisa usiku wa manane.
Fundi Khalid alisema akiwa na nahodha wa chombo, Ali Idi Haji, walitoa ripoti ya tukio hilo kwa vituo vya polisi wanamaji bandarini Pangani na Tanga mjini, lakini hawakupata msaada wowote haraka.
“Tuliwafahamisha tangu majira ya saa 9 mchana kuwa tupo eneo la Maziwe tunahitaji msaada wa haraka, lakini bahati mbaya hadi kunakucha hatukuwaona,” alisema.
Fundi Khalid alisema kutokana na kuchelewa kupata msaada wa polisi wanamaji, waliwasiliana na wavuvi wanaowafahamu wanaoishi Shangani Mkokotoni.
Hata hivyo, wavuvi hao walishindwa kutoka haraka kutokana na maji kuwa yamejaa ambapo walisubiri hadi usiku wa manane yalipokupwa ndipo wakaanza safari ya kuwatafuta ili kuwapa msaada.
Alisema watu wawili ambao hawajapatikana, mwanamke na mwanamume, walipotea alfajiri baada ya kuishiwa nguvu.
Chombo hicho kilisajiliwa na Mamlaka ya Usafiri Baharini Zanzibar (ZMA) kwa namba Z907 SV kikiwa na uwezo wa kuchukua abiria 50.
Mvuvi aliyeongoza operesheni ya kuokoa watu hao, Rajabu Hamad Juma, aliiambia NIPASHE kuwa alipokea taarifa majira ya saa 11 jioni juzi kutoka kwa watu waliokuwa kwenye boti hiyo wakiomba msaada baada ya chombo kuzidiwa na maji.
Alisema walianza safari baada ya maji kupwa usiku wa manane wakitumia tochi na taa za kandiri kwenda eneo la tukio la Maziwe walikoelekezwa.
Ilipofika saa moja asubuhi jana ndipo walipowaona watu hao na walifanikiwa kuwaokoa wakiwa salama na kuwapakia katika boti yao ya MV Tawakal.
“Laiti kungekuwa na vyombo vya kisasa watu hao wangeokolewa mapema zaidi,” alisema.
Kamanda wa kikosi cha Polisi wanamaji Zanzibar, Martin Lissu alisema walipokea taarifa za tukio mapema wakiwa kituoni kwao Malindi, lakini kulikuwa na tatizo kubwa la mawasiliano kati yao na polisi wanamaji wa bandari ya Tanga.
Kamanda Lissu alisema polisi wenzao wa Bandari ya Tanga waliokuwa karibu zaidi na eneo la tukio walikuwa wamewaeleza kuwa wamechukua hatua za kufika eneo hilo, lakini hawakuwaona watu haraka.
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa ZMA, Abdalla Hussein Kombo, alisema mamlaka yake ambayo haikutoa msaada wowote kufika eneo la tukio, inakabiliwa na tatizo kubwa la ukosefu wa vifaa vya mawasiliano na boti maalum.
Aliwasifu wavuvi wa Shangani Mkokotoni waliofanikiwa kutoa msaada na kuokoa abiria.
Baadhi ya walionusurika walipelekwa Hospitali ya Mkoa wa Kaskazini Unguja ya Kivunge kupatiwa huduma ya kwanza.
Tukio hilo linakumbusha matukio mawili ya kuzama kwa Mv Spice Islander I Septemba 10, 2011 na MV Skagit Julai 18 mwaka huu, ambazo ziliua mamia ya watu na wengine kunusurika.
Ajali hii inafanya ajali kubwa za boti kufikia tatu ndani ya mwaka mmoja tangu Septemba 10, mwaka jana ambapo watu 1,529 walikufa na 941 kuokolewa baada ya meli ya MV Spice Islanders kupinduka na kuzama katika mkondo wa bahari eneo la Nungwi Zanzibar.
Meli hiyo ilizama kutokana na kuzidisha abiria na mizigo; kitendo kilichopelekea viongozi kadhaa wakiwemo maofisa na vigogo wa Shirika la Bandari na Mamlaka ya Usafiri Baharini kusimamishwa na kufunguliwa mashitaka ya uzembe na kusababisha vifo.
Katika ajali ya Mv Skagit iliyotokea karibu na kisiwa cha Chumbe ikiwa na abiria 248, watoto 31 na mabaharia 9, watu 146 waliokolewa wakati 139 walikufa.

SI AJABU WATANGANYIKA KUUWA WAZENJI MAANA WAO WENYEWE WANAKATANA KAMA MIKATE

Ukatili wa Maalbino Tanzania