Saturday, August 25, 2012

CUF MUME APAA KATIKA QURAAN NA HAMUITETEI ZANZIBAR LAANA ITAWAKUTA NYINYI SHAURIZENU


sasa laana ipo kwa cuf. viongozi wa cuf wote hawawezi tena kuiteteza znz. wao wapo kwa faida ya maslahi yao na hakuna kiongozi wa cuf anayepinga muungano haswa wabunge
wabunge wa cuf wao ni kuchangia maslahi ya tanganyika bungeni. na wanaogopa kupinga muungano huo bungeni , ila wao huchokonyoa tu mambo ya muungano.
wabunge wa cuf wameridhika na kuchangia bajeti za tanganyika bila ya faida ya znz. asilimia kuwa wabunge wa cuf wamejenga majumba dar. na ukiwagusia suala la muungano hukwambia siye tushakuwa ndugu. hili ni sawa na ccm..?
kitendo cha cuf kuingia suk, sio baya wengi wetu tumeliunga mkono lakini cha kushangaza ni kuona cuf  imeshindwa kuwatetea wanachama wake au waznz wote eti cuf haikushinda uraisi hili ni aibu kubwa na niupumbavu kabisa hata kulitamka.
ni sawa na kutaka kumuoa mwanamke mwenye watoto bwana akamwambia bibi `fukuza watoto wako hapa ndio nikuoe` na bibi akakubali kufukuza watoto wake. hii ni aibu kwa cuf  nyengine mbali na wabunge wake kujenga majumba tanganyika na kuupenda muunga . hili sio siri hakuna anayekataa muungano katika wabunge wa cuf ila wanaochokonyoa muungano tu.

na sasa wabunge hao wamekaa kimywa. na kwanini wabunge hao hawapeleki hoja za wananchi bungeni huko kama waznz hawataki muungano..? huu uliopo sasa. hakuna hata mbunge mmoja alilefanya hivi mbali na JUMUIYA YA UHAMSHO kuaanza kuwaamsha waznz.
asilimia 98.5 ya waznz ni waislam , asilimia 1. ni wahindi na asilimia 0.5 ilikuwa wakiristo hapo zamani
leo hii znz imekuwa na asilimia 89 ya wakiristo tena wahamiaji wanaoletwa makusudi kutoka tanganyika kwa staili ya mfomo kristo na asilimia 15 ya wahamiaji kutoka nje ya tanganyika na wanachukuliwa kama ni waznz wenye haki kuliko waznz wazaliwa. na suala hili ccm na watanganyika wanaliridhia, znz imekuwa kama danguro la walevi sasa na wanywaji, wabakaji,malaya na watiaji virus vya HIV.

uzembe mkubwa unaofanywa na ccm znz kushirikiana na watanganyika kuimaliza znz. na pia hivi sasa nasikitika sana kuona raisI wetu kuwateua wakiristo kuwa ndani ya bunge la znz. BLW. hapo nyuma tulikuwa na wahindi tena wazaliwa wa znz hakuna muhindi aliyesema sisi baniani tuchagueni katika BLW.
hili pia nililiona katika tanganyika pale jk alipowateua wakiristo kwenye bunge la tanganyika. na huku kwetu znz pia rafiki yake jk anafanya yaleyale hichi KISHEIN.

cuf ccm wote wameshindwa kutoa ukweli juu ya mapinduzi ya znz . pia wameshindwa kueleza ukweli nani waliofanya mapinduzi ya znz. wameshindwa kueleza ukweli nani aliye muuwa mzee karume.
pia wameshindwa kueleza vipi waengereza waliposhirikiana na wajarumani kufanya biashara ya utumwa.
waengereza waliwatuma machifu kukamata watumwa na kuwasafiri mpaka znz waliwakabidhi kwa waengereza kutokana na mikataba waliokubaliana baina ya machifu wa kitanganyika na waengereza walikuwa wakiwaficha makanisani ushahidi kanisa la mkunazini na baadaye kuwasafirisha. waengereza walitumia makanisa kama nyumba za ibada lakini ilikuwa ni mapango ya kufichia watumwa wao kutoka tanganyika na nchi nyingine. hili hakuna hata mtu mmoja aliyelifafanua.

lakini leo historia hii wamepewa watanganyika tena walioletwa miaka ya karibuni na kupewa makanisa eti mali yao na kuanza kuwatukana hata maraisi wengine wakisema hapa kwao na wazungu ni mababu zao duuuh vichekesho.
MIE NIPO UPANDE WA JUMUIYA , NA WAZNZ WOTE TUWAUNGE MKONO UAMSHO KWA FAIDA YA WAZNZ.
siku niliyosikia maalim seif analilia njaa smz nikasema loo!!! sasa basi na kweli basi.

sasa nawambia nyie mulio UK wakuikomboa znz ni nyie waznz mulio UK. znz ni lazima inaiwe huku kwani waengereza ndio walioipa tanganyika na kenya znz kwa mazumuni yao maalum. kwani kenya na tanganyika ni ya UK. lakini hivi sasa znz tumekuwa yatika tunaonewa wala hakuna mtu anayetutetea. SIO OMAN AMBAYO NDIO TUNASEMA LILIKUWA KOLONI LETU.
koloni letu lilikuwa ni UK na waarabu walikuwa hawana kitu ni wapambe tu. ndio leo tumebakia yatima hatujijui ni koloni la nani?
UAMSHO NDIO ITAYOTUOKOA SASA HIVI, TUSHIRIKIANE NAO NA TUWAUNGE MKONO.
HAKUNA SAFINA WALA JAHAZI WAKULAUMIWA NI CUF NA CCM, ASIYEKUWA NA MACHO NA ABAKIE KIPOFU

No comments:

Post a Comment