Friday, August 31, 2012

SENSA YA KISHEIN,MAALIM SEIF NA MJUKUU WA FIRAUNI BALOZI ALI IDDI IMEGONGA MWAMBA NA SASA MASHEIKH WAKAMATWA NCHINI ZANZIBAR


Kwa mujibu wa taarifa zilizorushwa hivi punde na kituo cha Redio Noor katibu mtendaji wa Jumuiya ya Uamsho amekamatwa na jeshi la polisi washenzi wa Shein nchini Zanzibar kwa tuhuma ambazo hazikubainishwa. Pia inaelezwa kuwa jeshi hilo linaendelea na juhudi za kuwasaka viongozi wengine wa jumuiya hiyo kwa kila kina hoelezwa kuwa ni kuwahamasisha wananchi kususia zoezi la sensa kitu ambacho ni kinyume na sheria za KOLONI HILI LA TANGANYIKA. wakati huo huo kwa mujibu wa redio noor jumuiya ya Uamsho inapanga kutolea tamko kali kabisa taarifa iliyorushwa na ZBC TV YA WANAFIKI kuwa viongozi wa uamsho wamewasaliti wananchi kwa kuwahamasisha kususia sensa wakati wao wamejitokeza kuhesabiwa.SENSA haikufanikiwa na sasa kamata kamata ishanza nchini Zanzibar kwa kuwa mkoloni mweusi Tanganyika hakufanikiwa na sensa yake vibaraka MAALIM SEIF,SHEIN NA BALOZI LAZIMA WAFANYE JAMBO KUMFURAHISHA MKOLONI MWEUSI TANGANYIKA NDIO HIYO KAMATA KAMATA ILIYO ANZA SASA.
wabillahi tawfiq

JESHI LA WAKOLONI WEUSI LIKIZUNGUKA KUWASAKA VIONGOZI WA UAMSHO

No comments:

Post a Comment