Wednesday, October 31, 2012

WAZANZIBARI MJUWENI JOHN OKELLO MPYA ANAE WAUWA WAZANZIBARI


JOHN OKELLO WA 1964 ALIYE WAUWA WAZANZIBARI NA KUWAPIGISHA MIKWAJU NA KUWA TESA MPAKA KUFIKIA KUKIMBIA NCHINI KWAO

JOHN OKELLO MPYA WA 2012
HUYU NDIE JOHN OKELLO WA SASA ZANZIBAR ANAYE WAUWA WAZANZIBARI NDANI YA NCHI YAO NA KUWATISHA VIBAYA SANA NA KUWAPIGISHA MIKWAJU YALE YALE ALIYO FANYA JOHN OKELLO 1964 KATIKA NCHI HII YA ZANZIBAR BAADA YA MAKA TAKRIBAN 50 KUKARIBIA AMEZUKA JOH OKELLO MPYA ASIYE NA HURUMA KABISA NA WAZANZIBARI WALA ASIYEJALI UTU MPAKA SASA ASHAWAULISHA VIJANA WATATU BURE BILA YA SABABU NA ASHAWANYOLESHA WATU NDEVU NA NYWELE KWA VISU NA WANAWKE KUVULIWA HIJABU NA NIKAB NA MENGINE MAGI TU AMBAYO HATUYAJUWI ANAYOWAFANYIA WAZANZIBARI KATIKA WANTANAMO YAKE YA MADEMA WAZANZIBARI MJUWENI JOHN OKELLO MPYAA.KAMISHA JOHN OKELLO UKUMBUKE KUNA WALIOKUJA KABLA YAKO WAKAWA NA KIBRI NA TEKEBURI NA JEURI NA KUWAZULIA UWONGO RAI WEMA ZAIDI YAKO. LEO WAKO WAPI..? SISEMI KUWA WAMEKUFA TU, BALI WAMEDHALILIKA KULIKO IDHALALI WALIO WADHALILISHA WAZANZIBARI WAKATI WALIPOKUWA MADARAKANI.WAMEDHALILIKA KULIKO IDHILALI UNAVYOIJUWA WEWE. YUKO WAPI HASSANA MANDERA,(BAMKWE)..?UNAJUWA ALIKUFAJE..? YUKO WAPI ABDALLA RASHID (MAMBA) UNAJUWA ALIKUFAJE..? LABDA NIACHIYE HAPO USIJE UKASEMA  NAKUTISHA SANA KWA KUKUVUTISHA RUWAZA ZA KIFO. NIKUKUMBUSHE KIDOGO KWA ALIYEKUWEPO HAI JE UNAMJUWA GEORGE KIZUGUTU..? UNAYAJUWA YALIYOMFIKA HATA AKAONDOKA HAPA ZANZIBAR. KAMUULIZE!!!!!!

FAIDA ZA GNU NDANI YA MIAKA MIWILI YA UTAWALA WA DIKTETA SHEIN


JE UTAMINI KAMA HII NI ZANZIBAR...?
1)kwenye Ajira hakuna kitu watu wameja mabarazani.
2)hali ya maisha kwa Wazanzibar wamekata matumaini.
3)Mfumo wa Elimu umeporomoshwa kwa makusudi.
4)Huduma za Afya hakuna hata moja zaidi ya uchafu hospitalini.
5)Kipato cha kila mtu kwa siku hakipo hata kidogo watu wanakufa na njaa.


6)Upendeleo wa Ajira kati ya Watu wa Jamii fulani na Wengine.


7)Mfumuko wa Bei za vyakula KUPANDA BILA YA MPANGILIO.

8)mabadìliko makubwa ya kuwadhulumu waislamu bila ya hatia .

9)kuwadhalilisha Wislamu wanawake na kuvuliwa nikab na hijabu.

10)Wamefanikiwa kwa familia zao kimaisha baina ya viongozi wa cuf na ccm sio wananchi.

11)CUF -Wamepatiwa Kingora
12)CUF-Wanapigiwa Saluti
13)CUF-Wanakula Vizuri
14)CUF-Wamo kwenye Serikali
15)CUF-Wanapanda ndege kwenda Ulaya.


16)CUF na CCM sasa ndio wamekuwa washirika wa haya madudu yanayofanyika hapa kwetu ya kuuwa na kutesa watu.                                                                                                                                                                                                                     

17) mwanzoni alikuwa ni CCM tu ila sasa ivi wanashirikiana kupitia hiyo so called GNU.

18)CCM wameweza kuwadhibiti CUF kwenye kila nyanja na wao wameridhika kwa hilo yaani wameuwa upinzani kabisa kabisa kwa visingizio vya GNU. “faida kubwa hii”                                                                                                     
19)Kufichiana madudu na kupongezena ujinga, tumeona wenyewe kamati ya kuchunguzwa migogoro ya ardhi na nyumba nani na nani wamefanya uzandiki lakin hamna hata onyo wachia mbali mtu kuchukuliwa hatua.                                                                                     
20)WanaCuf wamekuwa LELEMAMA kwa kuchoshwa na usaniii.                                                                                              
21)CCM wamekuwa ubaya ubaya kwa kukata tamaa ya maisha.                             
22)uwendelezaji wa kujengwa makanisa.
23)kutharauliwa dini ya kislamu na kunajisiwa misiskiti na kuvunjwa.
24)kuongezeka watu wasiojulikana ndani ya nchi na ujambazi kuzidi na mauwaji yasiyojulikana. 
25)wanawke kutembea uchi wa mnyama mabarabarani.
26)kuendelea kujengwa mabar na madanguro ya wanawake wanauza kuma zao kwa pesa hakuna haja ya kutafuna maneno.
27viongozi kushindwa kabisa kutetea nchi na dini ya kislamu hata kama inaharibiwa na kuchafuliwa.
28)viongozi wote wanasikiliza amri kutoka kanisa.
29)mbinu iliyokuwepo ya kutaka kulipoteza kabisa taifa la zanzibar na GNU ikifurahia.
30)wazanzibari kutiwa umasikini.
31)wazanzibari kutishwa ndani ya nchi yao ili wakimbie.
32)wazanzibari kuteswa bila ya hatia yoyote.
33)wazanzibari kuliwa kwa makusudi na kunyanyaswa ndani ya nchi yao.
34)shein kuteuwa mawaziri wakiristo kushika madaraka baada ya miaka kumi baraza la wawakilishi lote litakuwa na wakiristo watupu.
35)ongezeko la vijana kula madawa ya kulevya..(unga-DRUGS).

36)askari kuingia msikitini na viatu na majibwa na kunajisi misikiti na kuipiga mabomu bila hata kiongozi moja kukemea bali ndio kwanza wanawapongeza askari kwa kazi nzuri walio ifanya ya kunajisi misikiti na kuipiga mabomu na kuwanyanyasa waumini wa dini ya kislamu.
anae thani huu ni uwongo acha comment yako utaje ukweli.

WASHENZI WA SHEIN WAMNYOWA NYWELE KIJANA WA KIZANZIBARI KWA KUTUMIA KISU


KIJANA ALIYE NYOLEWA NYWELE NA NGOZI KWA KISU NA POLISI ZANZIBAR JE HAKI ZA BINADAMU ZIKO WAPI..?DEKTETA SHEIN HII NDIO DIMOKRASI YAKO MUWAJI MKUBWA WEEEEE

HICHI NDIO KIPANDE CHA NGOZI NA NYWELE CHA KIJANA WA KIZANZIBARI ALIYENYOLEWA NA WASHENZI WA SHEIN AMBAO ATI NI POLISI ILA HAWA SI POLISI NI WAUWAJI WA SHEIN ALIYO WALETE KUZIMA VUGUVUGU NA ZANZIBAR KUTAKA KUJITENGA NA MKOLONI MWEUSI TANGANYIKA SHEIN NI KIBARAKA WA TANGANYIKA NA KANISA.
Kitendo cha Salum kufanyiwa ukatili na polisi kimetanguliwa na matukio ya vijana wenguine wawili kuuawa wakati wa utekelezaji wa zoezi la msako wa kuzima vuguvugu la wananchi wa zanzibar kudai nchi yao na kuwa huru sio kitanzi cha muungano feki waliozamishwa na kufikia kutawaliwa na WAKOLONI WEUSI TANGANYIKA. hapa mjini Zanzibar mwezi Oktoba mwaka huu. Imedaiwa kuwa Hamad Ali Kaimu aliuwawa Ijumaa iliyopitama wakati akiwa mikononi mwa polisi katika eneo la Magomeni na Salum Hassan Mahanju alikufa baada ya kupigwa risasi katika maeneo ya Amani Fresh na polisi pamoja na maofisa ulinzi na usalama. Mbali na vijana hao,pia katika uchanguzi mdogo wa bububu alipingwa risasi mtoto mdogo mwenye umri wa miaka 14 mpaka sasa zanzibar imekuwa machinjio ya wazanzibari wenyewe wanao chinjwa na kupingwa risasi na askari polisi maofisa wa ulinzi na usalama km km na jku wote hawa wanaendele na oparesheni ya kuwauwa wazanzibari na kuwatesa vibaya sana na DIKTETA  SHEIN YUKO IKULU KIMYA NA ANAENDELEA KUWAPONGEZA JESHI LAKE KWA KAZI NZURI YA KUWAUWA WAZANZIBARI NA KUWATESA.

Tuesday, October 30, 2012

MZEE KARUME ASEMA-WAZANZIBARI SI WA KULALA NA JAA KTK NCHI HII YA ZANZIBAR

DEKTETA SHEIN LAKWANZA ALILO TULETEA ZANZIBAR BAADA YA KUWEKWA MADARAKANI NA WAKOLONI WEUSI TANGANYIKA KATULETEA NJAA KWENYE NCHI YETU YA ZANZIBAR JE MZEE KARUME NDIVYO ALIVYO KUAMBIA WATIE NJAA WAZANZIBARI..? MAANA YEYE NDIO MUASISI WA ASP MPAKA KUJA CHA CHA CCM CHUKUWA CHAKO MAPEMA

KITUO CHA POLISI CHA MADEMA CHAGEUKA KUWA WANTANAMO YA WAZANZIBARI


BARUA YA MZANZIBARI NAWANDIKIA NYINYI DUNGU ZETU MULIOKUWEPO NJE

“ndugu zangu za siku nyingi, nadhani watoto wetu wote hawajambo, na mimi sina hujambo kwani Zanzibar inaumwa sana na kama ujuavyo ikiumwa zanzibar na sisi tunaumwa.
“kwa kweli ndugu zangu yanayoendelea Zanzibar ni maafa tena makubwa sijui itachukua mada gani tuweze kuaminiana tena kwani hivi sasa mimi (anajitaja kwa jina lake) nawandikia lakini allah ndie ajuae kama kesho naweza amka kutokana na hofu tulioingiziwa na CCM ndani ya nchi yetu kwa malengo wanayoyajua wao. kila muda watu hupigwa mpaka hupeteza fahamu, au kupoteza maisha, huvunjwa vunjwa viungo au hupelekwa madema wakateswa mpaka wakafa kisha wanakutupa mnazi moja hospitali na kuwapigia simu jamaa zako waje kuchukuwa maiti alumuradi mtihani mkubwa. na utaratibu ndio ule ule kwa sababu anaepigwa vita ni mzanzibari sio uamsho kama inavyo fikiriwa uamsho ni kisingizio tu sasa imefikia pahala sasa hapa Zanzibar watu hawaaminiani maana utasema huyu nikimhadithi basi atanichongea nije kufatwa na kupigwa.
“taarifa rasmi jana walizikwa watu 2 mmoja kazikwa mwera meli 6 na huyu kijana mzenji ila anaishi dar es salaam alikuja kula sikukuu tu katoka shangani ameenda bububu kuamkia jamaa zake kufika wazee wa kazi wameanza kumpiga na kumpiga kichwani damu imeingia na ubongo wakamtupa hapo hapo nje na kufa. na wa pili ni kijana mdogo sana kama miaka 26 mkazi wa magomeni round about namjua mtu mzuri wamekuja askari wakamchukua na kumuuliza tupeleke waliko ubaya ubaya akawajibu mimi siwajui na jamaa ni mtu mpole sana hafahamu chochote mambo hayo basi kweupe machana wakampiga askari ni kmkm, valantia, jku pmoja na polisi watu chungu tele walishuhudia tukio hilo wakamfunga kamba mikononi nyuma na wakampakia garini kufika madema wakampiga nakumpiga tena mpaka akafariki, halafu wakamtupa monchwari jamaa zake waligoma kuchukua maiti, jana jumaapili jioni mimi nilienda kumzika mwanakwerekwe baba ake ni polisi mstaafu kwa kweli nakwambiane dungu zetu wote muliokuwepe bara ulaya,canada,amerika,oman,yemen,arabuni na kwengineko hali ni mbaya hali ni mbaya sana tena sana ndani ya nchi yetu ya zanzibar nchi imeka kama haina raisi wala sheria watu wanauliwa tu ovyo ovyo na kupingwa na kuvunjwa vunjwa viungo mimi nimepata taarifa za kijasusi pengine nitakamatwa sijakimbia na wala sikimbii wakinichukua na wakanipiga na kuniuwa ndio mwisho wa bianaadamu maana kuna askari jana amenambia.
“kwa kweli hali mbaya na hatujui tufanye nini, jee ni uamsho tu au kuna agenda iliyojificha chini ya zulia. maana Mwanza tanganyika ameuwawa kamanda wa polisi pia lakini hatujasikia kuuliwa raia wala kupigwa mtu,wala kuvunjwa vunjwa viungo mtu yoyote na la kusikitisha vyombo vyote vya habari vinakataa kuripoti habari yoyote ya mambo haya si jumuiya za kimatiaifa, wala vyama vya upinzani, yaani gizaa totoro kwa sisi rai tumekuwa kama panya tunaosakwa na mapaka,
“leo nilikuwa na  askari mmoja nimemuuliza jeee hii piga piga itaisha lini: akanambia hii haishi lengo ni kuwakatisha tamaa wazanzibari wote ili wasiendeleee na misimamo yao ya kudai nchi yao ya zanzibar hadi itakapokuja tume ya maoni mkoa wa mjini kwani mikoa iliyopita tume ya maoni wameona ccm lengo lao halitofanikiwa sasa kazi ni mjini sasa hii wanaanza kutisha ili watu woogope waende ccm pekee yao kutowa maoni na ccm wakitowa maoni ni muungano udumu na kutoka katika serekali mbili kuelekea moja huu ndio mpango askari huyo aliniambia kisha huyo akaenda zake akiniwacha nikiduwaaaaaaaa.
“sasa ndugu zanguni hali ndio hii sisi wazalendo na wanaharakati tufanye nini....??? ndugu zetu wanauliwa,wanawake wetu na mama zetu wanavuliwa nikab zao na kupigishwa vichura chura huu ndio mwanzo mwisho najuwa watawanajisi naomba tupate njia kabla yakufikia kufanya hayo tuwe tushawathibiti pia  wanateswa watu vibaya sana madema imekuwa WATANAMO YA WAZANZIBARI, wanavunjwa vunjwa viungo kikatili na hukuna hatua yeyote inayochukuliwa na yeyote tufanye nini dungu zanguni muliokuwepo nje tufanye nini sisi hapa zanzibar..........??????????????????

Monday, October 29, 2012

SHEIN NA WASHENZI WAKE WAENDELEA KUWAUWA WAZANZIBARI


mola amlaze mahali pema peponi

mola amlaze pahali pema peponi

mola amlaze pahali pema peponi

Baba wa marehemu anasimulia mtoto wake alikamatwa siku ya sikukuu mosi akipeleka ng’ombe wake malishoni na akiwa na pesa shilingi elfu 80 ambazo shilingi elfu 30 alichangiwa na baba yake. Pesa hizo alikusudia kwenda kununua godoro baada ya kumaliza kufunga ng’ombe wake. Baba mtu alipomuona mtoto wake nje ameshikwa na polisi wasiopungua 20 alikwenda kusikiliza kumezidi nini? La haula baba mtu nae pia  alipigwa na kutakiwa aondoke mara moja. Baba mtu baada ya kushuhudia mtoto wake akipata kipigo hakua na cha kufanya aliondoka na kumwacha mtoto wake mikononi mwa askari hao. Baada ya kufika jioni na kuona mtoto wake hajarejea, baba mtu alikwenda kituo cha polisi Mwanakwerekwe kumtafuta mtoto wake lakini alimkosa ndipo alipokwenda kito kikuu cha polisi Madema na kumkosa pia. Ndipo baadae akapokea simu kuwa mtoto wake ameshafariki na yupo chumba cha kuhifadhia maiti hospitali ya Mnazi mmoja na kumkuta akiwa katika hali kama hii hapa unayo iyona ktk picha 

MAJINA YA WATU WALIO PINGWA VIBAYA NA WASHENZI WA SHEIN NA MZEE ALIYE ULIWA MWANAE IDDI MOSI-HONGERA SHEIN


Baba wa Marehemu Hamadi Ali Kaimu aliyeuliwa na vipigo vya jeshi la polisi siku ya Idi mosi

Walioathirika na vipigo vya uvamizi wa washenzi wa shein mpaka siku ya Jumapili ya tarehe 28/10/2012 ni wakiwemo hawa wafuatao:
Baadhi ya waliovamiwa na kupigwa vibaya na washenzi wa shein
 JINAPAHALA ALIPOPIGWA
1.Juma AbdiDukani Bububu
2.Khamis (Mshona viatu)Dukani Bububu
3.Asma na watoto wakeNdani ya nyumba yao Bububu
4.Juma na mke wakeDukani Bububu
5.Kocha TaibuDukani Bububu
6.Muuza magazetiBarabarani kazini kwake Bububu
7.Ali  Yussuf ChokiDukani Bububu
8.Ubwa na wateja wakeGareji Bububu
9.Shamis AmiriDukani Bububu
10.Mtoto mdogo wa miaka mitatu (3) wa Bi Salma FakiNyumbani kwao Bububu
11.Zahor KhalfanBububu
12.AhmedBububu
13.Mashavu MbaroukBububu
14.Khalfan Moh’dBububu
15.Suleiman Ali AlawiBububu
16.Ali SuleimanBububu
17.Said SuleimanBububu
18.Salma AbdallaBububu
19.Raya Moh’d (Robo)Bububu
20Ali Abdalla SalehBububu
21Salum RazaBububu
22.Khalfan Abdalla AliBububu
22.Nayadi Moh’dKikwajuni
23.MirajiJang’ombe

MARAISI WOTE WA ZANZIBAR NI WAUWAJI WA RAI WAO.


MUWAJI MPYA ALIYE LETWA KUWAUWA KUWAKANDAMIZA NA KUIMALIZA Z,BAR
Hakuna ambae anaweza kuiongoza zanzibar isipokuwa raisi muwaji kwa sasa na hapo nyuma ilikuwa pia na waliobakia wote wanajaribu kutaka kuingia madarakani kwa njia mbali mbali lakini nathubutu kusema hakuna hata mmoja ambae anaweza kuiongoza nchi hii kwa amani na utulivu zaidi ya raisi hawa wauwaji.
Kwanini nikasema hivi ,wengine watanishangaa ni kwa nini wasiweze kuiongoza zanzibar,zanzibar ina meno kuiongoza kwake sio sawa na kucheza msewe au lele mama au sunsu mia,zanzibar inaunguza.
Viongozi wote waliowahi kukaa madarakani wameondoka na roho za watu,tusitafune maneno ,wameua na baada ya kuua wamewapongeza wauwaji,ukitia kipande cha neno katika mauaji kwa kuyapa baraka na ikiwa wewe ni kiongozi basi inakuwa wewe mas-ul na ndio muuaji.
mzee Karume ameondoka na watu kadhaa wa kadhaa hawana idadi maalum na mpaka leo haikupatikana takwimu sahihi ya waliotangulia mbele ya haki katika utawala wake ambao aliwauwa.
Aboud Jumbe amewatanguliza makundi kwa makundi kuna kundi la waliohukumiwa miaka 10 ya kuchunga ngombe,akina salum ahmed na wenzake hawa walipata watu 20 kwa pamoja hawakuonekana tena mpaka leo.
Mheshimiwa Abdullwakil ameondoka na raia mmoja wa maandamano ya sofia kawawa na amewafunga wengine katika kesi za kubabikiziwa ,wengine wamepoteza macho katika kuona baada ya kuachiliwa.
Salmin ametanguliza watu kadhaa huko pemba nakubambikiza watu kadhaa kesi zisizo kichwa wala miguu hatimae wamepoteza macho kwa kuvunda rumande.
Karume mtoto amewatanguliza watu kadhaa pemba na unguja bila sababu zozote za msingi .
Mheshimiwa Ali Mhamed Shein tayari ameshatanguliza wawili na bado anataraji kuongeza idadi kutokana na mawaidha yake aliyoyatanguliza bwawani pia tukumbuke kuwa sasa analinda muungano kwa nguvu zote kwa hiyo tutarajie kuwa ataendelea kuwa na uchanguzi wa 2015 atataka kuka kwa nguvu kwa hiyo atauwa tena.
Sasa kweli ikiwa si CCM ambae anacho kibali cha kutanguliza wananchi wake mbele ya haki nani mwengine anaweza kujitokeza kumpinga CCM katika kutanguliza wananchi hao bila sababu za kimsingi na ikiwa hakuna ambae anaweza kuwatanguliza raia zake ina maana hawezi kupata uongozi wa nchi hii abadan.
Kila siku CCM wanasema nchi tumepata kwa mapinduzi na hatutoi kwa kalamu kama mnaweza mfanye mapinduzi ndio mpate nchi ,Suali yupo wa kufanya mapinduzi ? ikiwa yupo basi ataweza kupata kuiongoza nchi hii bila ya hivyo ,allahu aalam.
Hawa ndio wale waliosema(I appreciate to be honoured in hell ,rather than be dishonoured in heaven).
Sasa tuombeni dua kwani dua ni msingi wa ibada ,lakini kupata madaraka ya kuiongoza nchi inayonukia damu za wananchi halali wa nchi hii na wakaburuzwa kama kwamba si wananchi halali wa nchi hii na wakahalalishwa waliokuwa si halali na kuengwa engwa kwamba wao ni wananchi halali wa nchi hii ni habari tosha kwamba haki haipatikani,kama utaipinga CCM utakuwa huna mpya lakini ukiitukuza na wewe utatukuzwa.
Kipimo cha kiongozi wa nchi hii ni lazima uwe muuaji,mtesaji,myanyasaji na usiye na huruma na wananchi wako bila ya hivyo kaa upande na ikiwa huna sifa na uwezo wa kuwatanguliza wenzio mbele ya haki,hutaweza kudumu katika uongozi wako.
Ule uongozi wa busara,hekima ,mapenzi,uislamu
umeshapitwa na wakati toke alfu miatisa na hamsini,ulibakia ni wa manyanganya l-manyungunyu na
nipige kibao nikukate kichwa.

Saturday, October 27, 2012

SHEIN-WENYE DEVU ZINYOLEWA KWA NGUVU WANAWAKE WENYE NIKAB WAVULIWE NA KUPIGISHWA VICHURA


Haya, tumeshuhudia kunyolewa ndevu kwa Mamiri wetu wakombozi wa zanzibar na wazanzibari akina Ustadh Farid na wenzake wa UAMSHO.
Kinachoendelea sasa ni kuwa vikosi vya washenzi wa shein na vile ulinzi na Usalama vya Bara,vinapita mitaani na kufanya yafuatayo:
1. Kuwanyoa ndevu wanaume wanaowakuta njiani (wameyafanya haya juzi, na jana maeneo mjini, ikiwemo pale Vuga maeneno kwa ‘ally mpemba’.
2. Kuwavua nikab wanawake, kuwagaragiza chini, na kuwaendesha kichura wanawake. Haya yanafanyika mbele za kadamnasi.
3. Kufunga baadhi ya misikiti isilaliwe, na jana walimwaga maji ya kuwasha msikiti mmoja Bububu, na kuuchafua vibaya sana.
* Ukiachalia zile taarifa za kuuliwa kijana mmoja maeneo ya Magomeni, na mwengine kupigwa mahtuti baadhi ya vijana kule Daraja bovu, kuna hali ya kutisha zaidi na zaidi ya kuwapora watu mali zao, kuwanajisi watoto, na kufanya ujahil kama huo.
* Mambo kama haya, kuvua nikab, au kuwanyoa ndevu wanaume – ilikuwa sana anafanya mambo haya ni ben Ali wa Tunisia alipokuwa madarakani kama alivyo sasa kishein.
Yeye Ben Ali alikuwa pia haruhusu vijana kuwa masheikh au kusali, alikuwa anaamini kusali/kutoa mawaidha — ni kazi ya wazee tu.
What next? Nadhani SMZ itapiga marufuku hata kusali, na kufanya ibada yeyote ile, na itakuwa marufuku kusali msikitini (Ben Ali pia aliwahi kutoa fatwa kama hizo). Usiseme haiwezekani, everything is possible chini ya utawala wa waislamu wenzetu (Kikwete, Kishein, Mwinyi, na wenzake wooote).
Naomba tukumbuke kuwa wiki mbili zilizopita, RPC wa Mwanza, Barlow — aliuliwa kikatili sana, na polisi wanaendelea kufanya uchunguzi – lakini mpaka sasa, hakuna msako wala kupigwa watu wa mitaa ya Mwanza ikiwemo eneo alipouwawa kamanad huyo wa Mkoa — eneo la Kitangiri.
* Huo ni mfano tu. Sasa kinachofanyika Zanzibar dhahir bila kujificha ni visasi [revenge] vya zama na zama vilivyobaki katika nyoyo za watu wa Wazanzibar dhidi ya wenzao.
* Kwa muhtasari — kila kiongozi wa Zanzibar lazima afanye ujahil wa kupindukia ndio aonekane kuwa kiongozi aliyekamilika bila hivyo anakuwa hajakamilika kama ni rais ‘halali’. Lazima kila Rais akamilishe na kumegua sehemu ya Zanzibar na kuisalimisha kwa Tanganyika.

BREAKING NEWS-WALIO FANYA 1964 WANATAKA KUYAFANYA TENA JE WAZENJI MTAKUBALI..?

Bububu imevamiwa na vikosi vya polisi, FFU na vya SMZ tokea usiku ila hivi punde uvamizi huo umechupa mipaka, watu wanakamatwa na kupigwa kiholela na wengi wanakimbia, wengine kwa kupitia njia za pwani.

WASHENZI WA BARA WALIOLETWA NA SHEIN KUWATHIBITI WAZANZIBARI MGAMBO WAVAMIA BUBUBU KILA MWENYE JAMAA YAKE BUBUBU AMPIGIE SIMU AWAJULIE HALI SI SHWARI ZANZIBAR.

MOJA KATIKA MAGARI NANE YA FFU WASHENZI WA SHEIN WALIOTUMWA KWENDA KUVAMIA BUBUBU USIKU WA JANA MPAKA LEO WATU WANAENDELEA KUPINGWA NA NA FFU,MGAMBO NA JESHI KILA MWENYE JAMAA YAKE AMPIGIE SIMU KUMJULIA HALI.

BUBUBU YAZUNGUKWA NA FFU,MGAMBO NA JESHI TOKA JANA USIKU WATUWANAINGILIWA MAJUMBANI WAKIPINGWA KILA MWENYE JAMAA YAKE MPIGIE SIMU KUMJULIA HALI UTAWALA WA DIKTETA SHEIN UMEANZA SASA.

BUBUBU IKO CHINI YA ULINZI WA WASHENZI WA SHEIN

WAZANZIBARI KAMA HATUKAZA KUWANGOWA WASHENZI WA SHEIN BASI TUKAE TUKIJUWA HATUNA TENA ZANZIBAR ITAFUTWA KABISA.

KISHEIN CHATUMIKIA KANISA KWA NGUVU ZOTE KUWADHALILISHA MASHEIKH NA WAISLAMU NCHINI ZANZIBAR


WASHENZI WA SHEIN WANAENDELEA KUWASHIKILI WAKOMBOZI WA ZANZIBAR DIKTETA SHEIN ASEMA ATAWASHUGHULIKIA WALE WOTE WANAOJARIBU KUITOWA ZANZIBAR KATIKA MAKUCHA YA TANGANYIKA

Hii ndio hali inayoikabili Zanzibar kwa sasa — mpaka jana nipo msikitini kwa sala ya Ijumaa walikuwa jamaa hawa wa vikosi vya SMZ wanaimba na kuisulubu UAMSHO na viongozi wake huku wakiwataja kwa majina na kusema kuwa ‘tumewanyoa ndevu’ n.k pamoja na kugha jengine za kejeli na matusi, na idhalali.

Zanzibar tumefika hapa, angali kwa makini:
1. Tunapachua bendera za UAMSHO [zilizoandikwa lailah ila-llah] chini ya mtutu wa bunduki, badala yake zinapachikwa bendera za CCM.HONGERA SHEIN

2. Wamenyolewa ndevu masheikh wetu, viongozi wetu mamiri wetu wakombozi wetu viongozi wa dini (alama muhumi katika uislamu na sunna kubwa kuweka ndevu); lakini tumeridhia sana na kuwaacha vijana na kufuga nywele ‘rasta’. Tumefika hapa.HONGERA SHEIN

3. Tumezuia kusali hadharani [uwanjani kama zilivyo sunna] na baadhi ya misikiti kuzuiliwa kusali,HONGERA SHEIN na tumeruhusu msikiti kama ule pale Mwembeshauri, masjid mushawar wa serikali – kusali, na kutumika kama platform ya kuwatukana na kuwakashif na kuwahukumu viongozi wa UAMSHO ndani ya msikiti, mbele ya viongozi wote wa SMZ, na wa dini – akiwa Fadhil Soraga amesimama juu ya mimbar ya msikiti akitukana na kutoa hukumu dhidi ya akina Farid na wenzake.

4. Jamani eee ….. kesi hii iko mahakamani bado, lakini leo tunaona wazi wazi – Shein (MTUMWA WA WATANGANYIKA,anae jifanya anajua utawala wa sheria) anatoa hukumu dhidi ya viongozi wa UAMSHO, kwakutumia platform ya baraza la Eid, tunashuhudia Mohammed Aboud anatoa statement za kuwahujumu watuhumiwa, tunamuona Soraga anatoa hukumu dhidi ya watuhumiwa, tunamuona na kumsikia Mussa Ali Mussa, kamishna wa polisi firauni anatoa hukumu dhidi ya suspects kabla ya hata mahakama kutoa hukumu. CCM Kisiwandui kama kawaida, pia wanatoa hukumu dhidi ya akina Farid na wenzake kabla ya mahakama kuamua. Kisheria tunasema hakuna aliye juu ya sheria…..na huwezi kuamuliwa wewe ni muhalifu au laa, before the court. Hapa ibara ya habari hii ni kubwa. Lakini viongozi wetu, kama ninavyosema siku zote, kuwa wanaishi katika impunity – hawajali kufanya makosa, na wanajisifu kwa fakhari kubwa.

Kweli akina Farid na wenzake wa UAMSHO ni ‘watu wabaya sana..?’, SMZ viongozi wake, na DPP office, na Mahakama – wazuri kiasi gani ikiwa wameuwa mtoto bububu miaka 14.

Angalia — DPP Office chini ya Ibrahim Mzee (huyu mzalendo mnayemchekea sana humu ukumbini eti anaitetea Zanzibar kupitia makongamano ya BLW, na ule uchepe unaofanywa na akina Hamza, Asha Bakari na wenzake) – leo kesi kama hii inayowakabili akina Farid and others iko wazi kabisa kuwa BAILABLE/yaani inadhaminika; leo DPP inaingiliwa na mifumo ya siasa chafu za Zanzibar na kuwanyima dhamana watuhumiwa hawa.

* DPP office inakubali kupinda ethics na taratibu zake za kazi pengine kwa kuwaridhia ‘mabwana’ wakubwa. Yuko wapi Abubakar Khamis Bakari mnafiki, Waziri wa Sheria under GNU. Kweli haki hii..?

Lakini yote ya nini haya: chanzo ya switilfahamu hii ni kuelekea kupata katiba mpya. Awali, nilisema kuwa Katiba MPYA ndio chanzo cha fitna, na ndio source ya kuimaliza Zanzibar. Sasa, tusubiri SERIKALI MOJA NDIO LILILOBAKIA NA SHEIN NDIO ALIYECHANGULIWA KUTUMALIZA.

Kumbuka kuwa Mjini Magharibi ndio wataofuata kutoa maoni, na mmemuona na kumsikia jaji Warioba alivyokuja hapa kutisha watu – na wajumbe wa BLW. Na bado………..mtaona kibano.

* Nyie pigeni kofi kwa GNU, Katiba Mpya, na mambo kama hayo. Hivi sasa, SMZ inachagua vijana ‘makini’ na kwa siri kubwa “wao kwa wao” kuingia katika tume ya kubadilisha katiba mpya — kwenda kufanya kazi maalum huko. Yatafuteni mtayapata.

* Hawa wanaingizwa kwenda ‘kuchakachua’ na kuandika vile wanavyotaka wao, sio walivyosema wananchi au wanavyotaka wananchi wa Zanzibar. never be……Tume ya Warioba wakaridhia watachosema au watachotaka Wazanzibari. Hii ninasema wazi na kujiamini kuwa NEVER BE! Hii wiki hii tu, kuna vijana, the so called lawyers — wanakwenda DAR na tayari wamepangiwa kila kitu huko kwa ajili ya kufanya kazi hiyo.

* Unajua system ya TZ ni ‘nzuri’ sana: kuiba mali ya Umma is OK, kuuza unga (cocaine) is OK…..na uharamia unaoujua wewe fanya, lakini usipinge muungano tu;mzee karume kasema muungano n koti kenda na maji jumbe halkathalika seif sharrif kapewa funzo sasa yuko pamoja nao  hili ndio kosa la UAMSHO!! Uamsho ilikuwa wasimame katika viriri na kusema “Muungano Oyeeeeee’, JK Oyeee, Mwalimu Nyerere oyeeeee…………hapo ungeliona mambo yao yangalikuwa super.

Sympathy ziende kwa viongozi wa UAMSHO. Ni Wazanzibari pekee wanaoitetea Zanzibar lilah taaala, bila kulipwa katika vikao vya kamati kuu au vya kiwizara, wala hawana posho au mshahara. Ni viongozi pekee genuine, with a genuine heart kwa ajili ya Zanzibar.

La mwisho, zanzibar broadcasting Corporation (ZBC) imetoa barua kutaka vyombo vyooote vya habari Zanzibar visiandike au kuchapicha au kutangaza habari za UAMSHO. Mimi nafikiri kisheria hawana mandate hii, wenye mandate hii ni Idara ya habari maelezo. Mnaona tunavyotoa maamuzi kishabik shabik hivyo? Ukwereketwa mbele. Naam….! UAMSHO CHINI, VIKOSI VYA SMZ JUU. DAIMAAAAA!

Friday, October 26, 2012

WATETEZI NA WAKOMBOZI WA NCHI YA ZANZIBAR WANYOLEWA NDEVU ZOTE


SIMBA HILO NA PEACE PIA BADO KAWAPA JAPOKUWA WAMENYOWA DEVU YEYE NDIO KWANZA ANAWAPA PEACE. hawa ndio watetezi wa nchi yetu ya zanzibar wakishikiliwa na makaburu weusi wakitanganyika kwa sababu ya maraisi watatu wanaojita dimokrasi kumbe wote ni MADIKTETA SI SEHIN WALA SI MAALIM WOTE MADIKTETA WAKUBWA.

huyu ni sheikh azzan akitoka nje ya mahakama akisindikizwa na washenzi wa shein na maalim seif washenzi wa kitanganyika ambao wamewanyowa devu zote kama unavyo ona katika pic hii.

haya yote mandela na gaddi walifanyiwa lakini mwish nchi walipata sasa kwa shein na maalim seif kuwafanyia mamiri wetu mambo kama haya haitakuwa jambo jipya maana ndivyo ilivyo siku zote ukisimama kwenye haki basi umo mashakani hongera seif sharrif huu ndio umakamo wako unavyo wafaa wazanzibari hongera kishein ulivyo mfupi na mkimya kumbe unavitimbi kuliko firauni.

washenzi wa shein na maalim seif wakijaribu kuwavunja wakombozi wa nchi yetu ya zanzibar

VIONGOZI wanane wa watetezi wa wazanzibari na wenye kutowa Mihadhara ya Kiislamu Zanzibar (JUMIKI) walifikishwa mahakamani huku wakiwa wamenyolewa ndevu wameshitakiwa mahakamani kwa madai ati ya kuhatarisha amani Zanzibar.
Wakitarajiwa kufikishwa mahakamani jana kuendelea na kesi yao ya awali kwenye Mahakama ya Wilaya ya Mwanakwereke,hawakupelekwa tena bali viongozi hao walipelekwa Mahakama Kuu Vuga mjini hapa na kufunguliwa mashitaka mapya mbayo hayana miguu wala kichwa utaelewa zaidi msomaji kuwa hakuna serekali bali kuna UDIKTETA.
Wakati wanafikishwa mahakamani kwa siku ya kwanza Jumatatu iliyopita washtakiwa wote walikuwa na ndevu ZAO videvuni mwao lakini jana walikuwa wamenyolewa devu zote na kuwachwa na sharubu tu huu ni mtindo wa viongozi wanao chukia dini ya kislamu siku zote wanachukia devu na kupenda sharubu. Na jambo hilo kuzua gumzo kubwa miongoni mwa jamii.
Mkurugenzi wa Mashitaka Zanzibar (DPP), Ibrahim Mzee Ibrahim ameeleza kwa mamlaka aliyopewa na sheria ya Usalama wa Taifa kifungu cha 10 anawafungulia mashitaka viongozi na wakombozi wa zanzibar akiwemo Sheikh Farid Hadi Ahmed ambaye kutoweka kwake hivi karibuni kulizua ghasia kubwa Zanzibar.
Wengine waliofikishwa mahakamani ni sheikh Msellem Ali Msellem, Mussa Juma Issa, Azzan Khalid Hamdan, Suleiman Juma Suleiman, Khamis Ali Suleiman, Hassan Bakar Suleiman na Ghalib Ahmada Omar.
Walisomewa mashitaka na Wakili wa Serikali, Raya Msellem liyekuwa akisaidiwa na Rashidi Fadhili na Ramadhan Nasibu mbele ya Mrajisi wa Mahakama Kuu Zanzibar, George Kazi. Hati ya mashitaka inasema kuwa kuanzia Oktoba 17 hadi Oktoba 18 mwaka huu katika barabara kadhaa za Mkoa wa Mjini Magharibi washitakiwa hao wanadaiwa kuwachochochea wafuasi wao kuharibu barabara, kuvunja majumba, kuharibu vyombo vya moto na kuleta hasara ya sh. 500 milioni.upuuzi mtupu
Shitaka lingine wanadaiwa kuwa kati ya Mei 26 hadi Oktoba 19 mwaka huu katika mandamano yaliyofanyika Lumumba, Msumbiji, Fuoni Meli sita na Mbuyni Unguja waliwshawishi watu wengine ambao hawapo kortini kufanya ghasia na kuhatarisha amani.upuuzi mtupuu
Jumatatu iliyopita watu 7 bila kuwemo Ghalib Ahmada Omar walifikishwa katika Mahakama ya Mwanakwerekwe kwa madai ya kufanya uchochezi katika mhadhara walioufanya Agosti 17 mwaka huu.
Waliporudishwa tena Mahakama ya Mwanakwereke kwa kesi yao ya awali haikuweza kusikilizwa kwa vile halimu hakuwepo. Washitakiwa hao wamerudishwa rumande hadi Novemba 7 kesi yao ya Mwanakwerekwe itakposikilizwa na Novemba 8 siku ya kesi ya Mahakama Kuu.
Watuhumiwa hao walifikishwa mahakamani bila ya kuwa na mawakili baada ya mawakili wao, Salim Tawfik na Abdallah Juma kujitoa katika kesi hiyo kwa madai ya kuwa wateja wao wanadhalilishwa.
Wakizungumza na waandishi wa habari nje ya Mahakama Kuu Vuga, mawakili hao walisema kitendo cha serikali kuwashikilia wateja wao na kushindwa kuwaleta mahakamani ni dalili tosha ya kuonesha haki haiwezi kutendeka kwani ni kitendo kinachokwenda kinyume na sheria za kimataifa na sheria za nchi hasa kwa kuzingatia kupewa dhamana ni haki ya kila raia.hapa ndio unajuwa kuwa hakuna serekali kuna majambazi watupu si shein wala si maalim seif wote majambazi wauwaji madhalim na MADIKTETA WAKUBWA.
“Inaonesha hapa haki haiwezi kutendeka dalili zimeanza kuonesha mapema kwa sababu kwanza wamezuiliwa kupewa dhamana wakati pande zote mbili hazikuwa na pingamizi ya kutoa dhamana lakini mahakama ndio inakataa kutoa dhamana, lakini jambo jengine na la kushangaza walitakiwa kuletwa hapa mahakamani lakini sisi tumekuja hapa mahakama ya Mwanakwerekwe tunasubiri wateja wetu hawajaletwa mpaka saa 5:30 asubuhi tunaulizia tunaambiwa twende Vuga na tunafika hapa Vuga hakuna mtu kwa hivyo tunajitoa katika hii kesi kwa leo (jana) ili kufikisha ujumbe wa serikali kwamba hawawatendei haki wateja wetu,” alisema Tawfik

MADARAKA MATAMU YAMEWALEVYA SHEIN NA MAALIM SEIF MPAKA WAO SASA NDIO WANAO WATHALILISHA WAISLAMU WENZAO NA WAZANZIBARI ATI NCHI YA KISLAMU MAWE ATI ASILIMIA MOJA WOTE NI WAISLAMU MAWE ATI VIONGOZI WOTE WA NCHI HII NI WAISLAMU MAWE HATA MAKAFIRI BASI WANGELIWAPA THAMANA LAKINI HAWA WANAO JITA WAISLAMU WAMEWANYIMA THAMANA KABISA HAYA MUBAROUK NA GADDAFI NA BEN ALI NA SALEH WAKO WAPI NA WAO WALIKUWA NA MAJESHI YA KWELI NA KWELI ITAKUWA WEWE KISHENZI NA MAALIM SEIF MUNA NINI ZAIDI YA ULUWA MULIOPEWA NA WATANAGNYIKA KUWAKANDAMIZA WAZANZIBARI KILA LENYE MWANZO LINA MWISHO.

Thursday, October 25, 2012

KISHEIN,MAALIM SEIF NA KILEMBWE CHA FIRAUNI SEIF IDDI WAHAKIKISHA MAAMIRI WETU WALA IDDI HAJI NDANI YA JELA


MARAISI WATATU NA WOTE WAISLAMU SIJUWI NA WOTE WANAJIFANYA NI WAUMINI WA KISLAMU SIJUWI NA WOTE WANAJIFANYA 5 SWALAWATI ILA TUNAVYO JUWA SISI UKISWALI BASI SWALA ANAKUFANYA UWACHANE NA MAMBO MABAYA. VIPI LEO MARAISI HAWA KWANZA SHEIKH KATEKWA NYARA NA WASHENZI WAO WANAO WAITA ASKARI ILA SISI TUNAJUWA NI WASHENZI.KISHA BAADA YA KUACHIWA WANAWABAMBIKIA KESI KISHA BAADA YA HAPO WAMESHINDWA KUWAHUKUMU MAANA HAKUNA MAKOSA WAMEAMUWA KUBADILISHA MAHAKAMA NA BAADA YA HAPO PIA HAIKUSAIDI WAMEAMUWA KUWAWEKA JELA NA IDDI YOTE HII. SEIF SHARIFU WEWE HAYA YALIKUFIKA NA WALIO KUFANYI HAYA WANGALIE LEO WAKO WAPI..? HUU NI MTIHANI KWAKO NA HICHI KISHEN HILI IDDI WOTE TUNALIJUWA KUWA ASTAFIRU ALLAH HATA SI THANA KAMA NI MUSLAMU KAMWEA. ILA NYINYI MOJUWE KUWA HAWA MAMIRI WAKILA IDDI JELA MUJUWE NA NYINYI MUMEKWISHA M/MUNGU ATAKUJA KUWATHALILISHA NYINYI MPAKA MUJUTE MAANA MUNAJUWA WAZI KAMA HAWA HAWANA MAKOSA ILA NI UPUMBAVU WENU WAKUTAKA KUFURAHISHA MABWANA ZENU WATANGANYIKA BASI SAWA NYINYI FURAHISHENI MABWANA ZENU WANYEKA NA HUKU MUNAWADHULUMU WATU WASISHEREHEKE IDDI NA FAMILIA ZAO KISHA MUTAONA BAKORA YA M/MUNGU ITAKAVYO WAJIA.PIA TUNAZO HABARI KUWA WAMENYOLEWA NDEVU MAAMIRI WOTE MUJUWE KAMA KWELI NA NYINYI PIA MUNA BEBA THAMBI.

NI KARIAKOO MAJESHI YA NINI..? WAPUMBAVU NYINYI VIONGOZI MAJUHA HII NDIO FAIDA YAKE



askari kanzu na mgambo wakiwapa WAISLAMU  nchini tanganyika

hili ni jeshi kazi yake ni kulinda nchi isivamiwe na nchi jirana ila tanganyika jeshi ni la kuwa rai wake Nna WAISLAMU  tanganyika oyeeeeeeeee

hili ni jeshi la tanganyika likiwa nchini tanganyika sio malawi hapa wala uganda ni tanganyika kariakoo kidumu chama cha mapinduzi mpaka kidumike

vipi tena mbona majeshi mpaka kwenye jiji..?

je tanganyika imehabariwa kuwa inataka kuvamiwa kijeshi na nchi jirani nini ndio wakaona wamwange majeshi kulinda jiji..? hahhahahahahahaa

hakuwa mjerumani wala mrusi walikuwa wakitisha ulimwengu na leo wahoi itakuwa kijitanganyika thulma inawasumbuwa na hamutaishi kwa amani mpaka muache kudhulumu.

oyeee oeyee nyinyi majeshi mbona mnakobeyana...?duuuuuuuh moja kaka chini kachoka kukobewa hahahahahahaha

kama majeshi kweli mbona vita vya uganda hamukishinda mpaka mkaja kuwachunguwa kaka zetu jeshi la nyuki zanzibar kwenda kuliulisha uganda ndio tukashinda na nyinyi mukajidai kuwa ndio mulio pigana na kushinda mpaka leo tuna vilema na hamuja walipa kazi kuone rai ikija vita kweli nyote munakimbia makambini majoga makumbwa kazi kunywa chibuku na kutesa rai.

jeshi la nini kariakooo..?

sio kampala hapa ni kariakoo

sio lilongwe hapa ni kariakooo

nyerere kawaulisha wazanzibar vita vya uganda mkapa kawauwa wazanzibar siku za chaguzi sasa majeshi yanataka kuwauwa watanganyika waislamu huu ndio mwanzo.

vipi tena nchi ya tanganyika imevamiwa na malawi..?

shiibe mbaya sana hii ndio dalili ya shiibe washashiba hawana lakufanya wameka tu makambini sasa wafanye nini kama sio kunyanyasa wananchi.

UWENI WATU TESENI WATU JIFANYENI NYINYI NDIO NYINYI MAANA MUNA SILAHA NA NDIO NYINYI NDIO WENYE NCHI LAKINI MUJUWE NA NYINYI PIA IKO SIKU MWISHO WENU NI HAPA NYERERE BABA YENU YUKO WAPI NA JEURI ZAKE NA KEJELI ZA KUWATHULUMU WAISLAMU NA KUWATESA WAZANZIBARI YUKO WAPI YUKO WAPI BASI NA NYINYI PIA MUTAKWENDA TU.

Monday, October 22, 2012

ALIKUWA WAPI..? YUKO WAPI..? ANA KWENDA WAPI..?


VUNJA MIFUPA KAMA BADO MENO YAPO UTAKUJALIA KAMA UMEKWICHA POTEZA ULUWA WAKO HAKI..? HAKI KWA NANI..? ASIE TAKA HAKI..?

NAWABATIZA VIONGOZI WOTE WA ZANZIBAR KULITUMIKIA JINA LA BABA KILA ATAKAE KALIA KITI CHA UWONGO ZANZIBAR NIMEMBATIZA KULITUMIKIA JINA LA BABA.

SHEIN KABURU MWEUSI ONA ANAVYOO WAFANYA WAZANZIBARI MAALI SEIF KAPEWA FUPA ANYONYO KIMYA UKO WAPI MR HAKI KWA NANI...?


WASHENZI WA SHEIN WAKITIMIZA KAZI YAO WALIOPOWE NA SHEIN KUFURAHISHA WATANGANYIKA WAKOLONI WEUSI WALIO MUWEKA KATIKA URAISI

WAUNGWANA WAKISUBIRI KUSIKIA HATMA YA MAMIRI AMBAO WANASHIKILIWA NA WASHENZI WA SHEIN

HAKUNA USHINDI UNAO KUJA BILA YA THARUBA NA MATESO ILA UKIONA HIVI SIKU ZOTE UJUWE SEREKALI HIO HAINA MDAA TENA ITAPOROMOKA TU

MASHAA ALLAH ANGALIA SIMBA LILIVYO FURAHI MAANA ANAJUWA HUU NDIO MOJA YA USHINDI HATA WASI WASI HANA NA PEACE PIA KAWAPA ANGALIA ASKARI WALIVYO JAWAA NA HOFU NA HASIRA HII NI KUONYESHA WAZI KUWA M/MUNGU ANAWATHOFISHA JAPO KUWA WAO NDIO WENYE SILAHA ILA BADO WANA HOFU

SEREKALI YA KINAFIKI INAENDESHWA KINAFIKI WATENDAJI WAKE WANAFIKI RAI HATUTAKI UNAFIKI NA TUTAUNGOWA TU

Saturday, October 20, 2012

MAHOJIANO YA SHEIKH FARID NA DADA SALMA BAADA SHEIKH FARID KUACHIWA HURU BAADA YA KUTEKWA NYARA NA POLISI WASIO JUWA SHERIA WASHENZI WA SHEIN


HAPA ALIPOACHIWA NA MAPOLISI WALIO MTEKA NYARA NA KUMUHOJI KWA SIKU 4 FULULIZO NA HUKU WAMEMZIBA KITAMBA CHA MACHO NA HATA KUMTISHA KWA KUPIGA RISASI.

HAPA AKIHOJIWA NA WANDISHI WA HABARI

NYUMBANI KWAKE NA JAMAA WOTE WA ZENJI WAKIPIGA DUWA YA KUMSHUKURU ALLAH KWA KUMRUDISHA SALAMA SALMINI ALAHAMDULILAHI
SHEIKH FARID ASEMA ALICHUKULIWA NA GARI NA POLISI WANNE WAWILI WAKIWA NA MASHINGANI NA DEREVA NA MOJA ALIYEJITAMBULISHA KUWA NI ASKARI.WAKAMCHUKUWA NA KUMFUNGA KITAMBA CHA USO ANAENDELEA KUHADISIA KUWA SAFARI ILIKUWA DEFU KIDONGO MPAKA NDANI YA NYUMBA AMBAYO WALINIWEKA MPAKA MUDA HUU NDIO WAMENIACHI BAADA YA KUZIMWA UMEME.KIPINDI HICHA CHA SAA MBILI NA KIDOGO.ANAENDELE KUSEMA KUWA MUDA WALIO NICHUKUWA ITAKUWA NI SIKU TATU MPAKA NNE MAANA TOKA JUMAA NNE WALIPONICHUKUWA

.MARA ILE WALIPO KUCHUKUWA WALIKUFUNGA KITAMBA PIA NA KUKUPIGA JE MARA HII..? YAA MARA HII PIA WAMEFANYA KAMA MARA ILE ILA MARA HII HAWAJA NIPINGA ALAHAMDULILAHI.LAKINI WALITAKA KUJUWA MAMBO MENGI HASWA KUHUSU HIZI HARAKATI TUNAZO FANYA SAFARI ZANGU ZA OMANI NA ARABUNI NILIZO KWENDA MASWALI MINGI PASI NA SABABU NA WAMEICHUKUWA SIMU YANGU NA HAWAJANIRUDISHIA.PIA WAMENIHOJI SANA KUHUSU NAMBA ZOTE ZILIZOKUWEMO NDANI YA SIMU YANGU.NA MESIGI NA KILA KILICHO KUWEMO WAMEONA BORA WATIE HASARA KAMA ZILIVYO TOKE ILA WAJUWE KILA KITU KUTOKA KWANGU

.WALIKUWA WANGAPI..?WALIKUWA WANNE NA MUDA WOTE WALIKUWA WAMENIFUNGA MACHO.HAO WATU WALIO KUCHUKUWA UNAWEZA KUWATAMBUWA UKIWAONA..? SIWEZI KUWATAMBUWA MAANA WOTE WAMEVA SOKSI HATA WALIOKUWA WAKINILINDA PIA WAMEVA SOKSI WAMEBAKISHA MACHO TU.LAFTHI ZAO NI VIPI..? LAFTHI ZAO NI NUSU BIN NUSU LAKINI WENGI INAONYESHA NI WABARA WAHAPA LABDA WAWILI WENGI WALIKUWA NI WABARA. LAFTHI ZAKITANGANYIKA. MAMBO GANI WALIKUWA WAKITA KUJUWA ZAIDI.?  YOTE KUHUSU HARAKATI NA MAHUSIANO YANGU MIMI NA SEREKALI PIA MAHUSIANO YANGU MIMI NA SHEIN,MAHUSIANO YANGU MIMI NA SEIF YANI KILA KITU KIUFIPI WALITAKA KUJUWA KILA KITU.

NAILIKUWA VITISHO MPAKA IKAFIKIA KUPIGA RISASI.CHINI YA MIGUU ALMURADI WALIFIKIYE LIGO LAO WALILOKUWA WAKILITAKA.POLISI WAMESEMA HAWAJA KUTEKA LAKINI TULIAMBIWA NA DEREVA WAKO KUA ULIPIGIWA SIMU JE UNAFAHAMU ALIYE KUPIGIA NA KWANINI ULIPO AMBIWA NJOO NA WEWE UKENDA..?MIMI SIMU YANGU INAPINGWA NA WATU WENGI SANA WENGI SANA KWA SIKU HATASIJUWI NI SEME NI WATU WANGAPI WANANIPIAGIA NA WATU WENGI WANANITA NA SISI KAMA VIONGOZI HUWA TUNAKWENDA KUONANA NAO WENGINE NI WANDISHA WA HABARI,WENGINE NI RAI WAKAWAIDA,WENGINE NI IKLASI,WENGINE NI WAFANYA KAZI KATIKA SEREKALI,WENGINE NIWAHUSIKA KATIKA SEHEMU TAFAUTI KATIKA SEREKALI.KWA HIYO MIMI NAITWA NA WATU WENGI MARA HII MTU ALIYE NITAA ALIJINASABISHA KUWA YEYE NI MOJA KATIKA WANAFUNZI WANGU WA MAHADA ALI MAHAFUDHI LAKINI MIMI SIKUWEZA KUMJUWA YOYOTE WALA SIKUWEZA KUJUWA SURA ZAO NA SIKUWEZA KUJUWA CHOCHOTE ZAIDI YA KUHOJIWA.NA HAKUNA JENGINE ZAIDI YA VITISHO.

HABU TUELEZE KIDOGO ULIPOTOKA KATIKA GARI YAKO NAKUINGIA KATIKA GARI NYENGINE HALI ILIKUWAJE.?MIMI NILIFIKA PALE NA PALIKUWA HAKUNA MTU BASI KUNA MSIKITI MDOGO NIKAMUAMBIA KIJANA WANGU AKANUNUWE UMEME NA NILIKUWA NAWEZA KUMUONA KABISA BASI MIMI NIKAINGIA KUSWALI NATOKA TU GARI HIYO NASIKIA MAALIM NDIO NIKASOGEA NIKAONA WAKO WAWILI WENYE MASHENGANI NA MOJA AKAJITAMBULISHA NI ASKARI BASI MIMI NIKAONA NISIFANYE FUJO WALA KUKIMBIA NIKAINGIA KWENYE GARI SASA TULIPOTOKA KWA UPANDE ULE TUKAPINDA KUSHOTO NIKAJUWA WANANIPELEKA MOMBASA HATUWEZI KUJA MJINI NAKAHISI TUNAELEKEA  LAKINI TULIIPOFIKA RAUNDI ABOUTI YA MOMBASA WAKAZUNGUKA MARA KADHA ILI WANIPOTEZE NISIJUWE WANANIPELEKA WAPI. JE ULIPOFIKA KATIKA NYUMBA KULIKUWA NA MAZINGIRA GANI.  SIKUONA MAZINGIRA YOYOTE MAANA MUDA WOTE NIMEFUNIKWA KITAMBA. JE ULIWEZA KUJIFUNGUWA .? HAPA SIKUWEZA KUJIFUNGUWA MIMI.

KWA HIYO UMEFUNI MPAKA ASUBUHI HUJALA HUJAFANYA CHOCHOTE..? MIMI SIJALA NA WALA SIWAMINA HATA WAKINILETEA CHAKULA SILI NA MUDA WOTE HUU NIMEKA NAO MIMI SIJALA.MIMI ILIKUWA NIKIENDE MSALANI NIKINYWA MAJI KATIKA MFEREJI BASI HICHO NDIO NILICHO NIKIPONEA MIMI.LAKINI NILIKUWA SILI CHAKULA CHAO KABISA KABISA. UNATUAMBIA KWA MUDA WA SIKU TATU HUJA GUSA KITU CHOCHOTE..? MIMI SIJALA KITU. VIPI MAZINGIRA KATIKA NYUMBA LABDA VITISHO AU KUPINGWA..? WALAHI WAKATI WA KUHOJIANA NDIO KUBWA WAKATI WA KUHOJI YANA.ANAWEZA AKAJA NA LUGHA YA BUSARA NA AKAKUTIZA NA WEWE UTAMJIBU VIPI WANAWEZA WAKATUMIA VITISHO WANATAFAUTIANA WALE WATU WALIOKUWA WAKIHUTHURIA PALE NDANI.

HATA WALIPOKUWA WAKIKULIZA WALIKUWA WAMEKUFUNIKA..? WAMENIFUNIKA HAWANIFUNUWI KABISA KABISA. WAMEKUFUNUWA WAKATI NGANI..? WAKATI WAMWISHO KABISA WALIPOKUJA KUNILETA WALIPOKUWA WANANIREDESHA KABLA HAWAJA NISHUSHA WAKANIFUNGUWA PINGU NA KUNIVUWA KITAMBA WAKANISUKUMA WAKANIAMBIA SHUKA NIKASHUKA. WAMEKUSHUSHA WAPI..? WAMENISHUSHA PALE PALE WALIPONICHUKUWA PALE PALE WALIPONICHUKUWA NDIPO WALIPO NIREJESHA. WAKATI NGANI TAKRIBAN ULE ULE WKATI ULE ULE MAJIRA YALE YALE MAJIRA KAMAHHH KARIBU SAA MBILI NA KIDOGO HIVI SIKUWEZA KUJUWA HASWA TIMU NI VIPI LAKINI NI MAJIRA HAYO HAYO.SWALI LANGU LA MWISHO WEWE ULIKUWA UNAFAHAMU KAMA KUNAKITU KIMETOKEA KATIKA NCHI NA MAMBO MAMBO AU WAMEWAHI KUKUNGUSIA AU VIPI..?

MIMI HAWAJA NIGUSIA CHOCHOTE WALA NILIKUWA SIJUWI VIPI LAKINI BAADA YA KUTOKA TU KILA NINAE KUTANA NAE ALIKUWA ANANIPAHA HALI TAFAUTI KUWA HALI ILIKUWA MBAYA KUNA WATU WAMEPOTEZA MAISHA KUNA HIVI NA HIVI NIMESIKIA MENGI TU ILIKUWA NI MUDA MFUPI LAKINI NISHAONANA NA WATU WENGI SANA SANA KAMA MWENYEO UNAVYO SHUHUDIA HAPA.  SASA NI NINI MAONI YAKO KWA SEREKALI YAKO..? KWAKWELI TUNAIYOMBA SEREKALI ITUMIYE HAKIMA NA UWADILIFU KINYUME CHA HIVYO WATAKUWA WANAIMBA TU AMANI LAKINI HAIWEZI KUPATIKANA.NAIWE SHERIA YA KIVITENDO HAYO NDIO UGOVI WENYEWE KWASABABU MIMI MWENYEWE NILIDHANI WALINIKAMATA KWASABABU MIMI NILIZUNGUMZA KATIKA MSIKITI WA MWANAKWEREKWE NA NILIZUNGUMZA KWA HASIRA SANA.KWAKUZINGATIA HAYO HAYO NA NILIMTUHUMU SHEIN NAKUMTUHUMU MAALIM SEIF NA WENGINE WOTE VIONGOZI WA JU KWA NYINYI VIONGOZI MUPO LAKINI KIUKWELI HAMTENDI SHERIA.

WALA HAMUTETEI SHERIAHAYO NDIO NILIKUWA NIKIYAZUNGUMZA MIMI NA NILIYAZUNGUMZA MAKALI KAMA MTAZIRUDIA KWENYE DVD MTAZIONA NYINYI WENYEWE NIMEZUNGUMZA MANENO MAKALI MAKALI KWELI KWASABABU INAUTHI KATIKA NCHI KUWA WATU WANAZUNGUMZA KUWA WANATAKA SHERIA LAKINI KIVITENDO HAWATAKI SHERIA YANI MFANO SUALA LA VITAMBULISHO VYA MTANZANIA WAKATI HUO HUO MTU ANATAKA KITAMBULISHO CHA MZANZIBARI KISHERIA NA HAPEWI NA HAPIWE MTU WALA HAKINADISHI WALA HAKITETEWI HATA KIKITETEWA NI MARA MOJA TU KISHA KIMYA SEREKALI IMEKUWA KAMA SI SEREKALI RAISI AMEKUWA SI RAISI AMAKUWA KAMA MFALME KATIKA NCHI ANAFANYA ANAVYO TAKA YEYE HENDI KAMA KATIBA INVYO MUELEZA SIO MFALME YEYE WANANCHI NDIO WENYE MAMLAKA KWAHIYO YEYE ALIKUWA AFUTE WANANCHI WANAVYO TAKA NA INGELIKUWA WATU WAO WANAFUATA SHERIA YASINGELITOKEA HAYA YOTE YOTE YASINGELITOKEA NA HIZI VURUGU ZOTE NI ASKARI POLISI HAKUNA MWENGINA ANAE ANZISHA

NA USHAHIDI WA YOTE HAYO KAMA MUNAKUMBUKA TUMEANZISHA MIHADHARA TOKA MWANZOWA MWEZI WA KWANZA MPAKA MWEZI WA TANO NAA MWISHO WA MWEZI WA TANO NDIO ZIKANZA VURUGU TENA WALIANZISHA WAO SIO SISI.  SASA NI NINI MAONI YAKO KWA WANANCHI..? NAWAOMBA WANANCHI WATU NAAA WASIFANYE VURUGU ZA AINA YOYOTE NA NCHI YETU TUNAIPENDA LAKINI WANATAKIWA WAWE IMARA KATIKA KUTETEA HAKI ZAO KWA SABABU HIZI NI AWAMU ZA SHERIA NA AWAMU ZA UWAZI NA WATU WA DUNIA NZIMA NDIVYO INAVYO KWENDA HIVI NA VIONGOZI WOTE WAJUWE KUWA ASIYEKUBALI MABADILIKO WAKATI UTAMBADILISHA KWA NGUVU AKITAKA ASITAKE. SHEIKH FARID SWALI LANGU LA MWISHO POLISI AY WATU WA USALAMA WANAWEZA KUSEMA KUWA WALIKUCHUKUWA WANATAKA KUKULIZA AU KUKUHOJI AU KUKUTIA HOFU LICHA YA MASWALI YOTE NA VITISHO VYOTE NINI MSIMAMO WAKO KATIKA SUALA LA KUTETEA ZANZIBAR.

 MIMI KATIKA MSIMAMO WANGU NA KUITETEA ZANIBAR LIPO PALE PALE  TENA LIMEZIDI HASWA ZANZIBAR TUTAITETEA MPAKA TONE LA DAMU LA MWISHO KABISA MADAMU TUNACHOKIFANYA NI KATIKA SHERIA NA KATIKA TARATIBU ZA NCHI KAMA ZILIVYO HATUJA KIUKA KABISA SHERIA NA TUNAKWENDA KATIKA MIPANGILIO YA SHERIA KWAHIYO TUTAENDELE KUITETEA MPAKA DAKIKA ZA MWISHO NA KUITETEA NA KUTETEA ZANZIBAR YETU MPAKA IREJE NI DOLA HURU KAMA ILIVYO KUWA 63 NCHI KAMILI YANYE MAMLAKA KAMILI HAIULIZWI NA MTU INAJIHOJI WENYE MAMBO YAKE YOTE INATAMBULIKA KITAIFA NA KIMATAIFA INAJULIKANA NA HISHMA YAKE KAMILI HILO NDIO TUNALOLITAKA HATUTAKI JENGINE HATUTAKI KITU KWA DUNGU ZETU WA KITANGANYIKA SISI HATUTAKI JENGINE WAKITUFANYIA HILO TUTAWAPENDA ZAIDI WATAKUWA WAMETUTENDEA UWANDILIFU SASA WATU WAMEFURAHI SAN HAPO NJE.. NAAM NA WAPO JE WATAENDELE KUKA MPAKA ASUBUHI...? SIWEZI KUJUWA HILO KAWAULIZI WAO UKISHUKA HUKO CHINI WATAKA MPAKA ... AH WEWE SASA UTAWAMBIA NINI..?
MIMI NITAKA MPAKA NTAACHOKA NIKICHOKA NITAWAMBIYA JAAMAA MIMI NIMECHOKA NATAKA KWENDA KUPUMZIMA MAANA SASA HIVI TAYARI SAA SITA KWENDA JUU ASANTE SANA SALAMU ALEIKUM.