Friday, October 19, 2012

WATANGANYIKA SIMULISEMA WAOMAN NI MASULTANI MAKATILI VIPI MBONA MJAA TELE OMAN..?


WAKOLONI WEUSI TANGANYIKA WAJIPENDEKEZA NCHINI OMAN

VIPI TENA MKOLONI MWEUSI SIMULISEMA WAOMANI NI MASULTANI WAUWAJI MBONA SASA NYINYI WAKOLONI WEUSI MUNAJIPELEKAPELEKA...?

MZANZIBARI AMKA AMKA WATANGANYIKA WANAWATIA CHUKI KUWA OMANI SIO WATU WALE OMANI WALIWAFANYA WATUMWA NYIE OMANI WALIWATESA WAZEE WENU MUONE HUYU MKOLONI MWEUSI ANAFANYA NINI OMAN..?

Rais Jakaya Mrisho Kikwete
Magreth Munisi
SERIKALI za Tanganyika na Oman zimetiliana saini mikataba mitano itakayoziwezesha nchi hizo kufanya biashara kwa uaminifu na utaratibu unaoridhisha kati ya pande zote.
Mikataba hiyo imetiwa saini katika mkutano wa wafanyabiashara wa Oman Oktoba 16, mwaka huu na kushuhudiwa na Rais Jakaya Mrisho Kikwete aliyefanya ziara nchini humo.
Mikataba hiyo inahusisha uundwaji wa Baraza la Biashara baina ya Oman na Tanganyika lengo likiwa kukuza na kulinda biashara, majadiliano ya kisiasa na Elimu ya Juu.
Katika mkutano huo Rais Kikwete aliwaeleza wafanyabiashara wa Oman kuwa Tanganyika ipo tayari kufanya biashara na nchi hiyo ambapo aliwakaribisha nchini akiwaeleza kuwa milango ipo wazi, kwa wote wenye nia na uwezo wa kuwekeza katika sekta za kilimo, viwanda, uvuvi, utalii, pamoja na sekta nyingine, ambazo Tanganyika imejaliwa kuwa nazo.
“Tanganyika ni mlango mkuu wa nchi hizi za Afrika Mashariki, pia zilizopo Kusini mwa Afrika na Maziwa Makuu,”  alisema Kikwete raisi wa nchi ya Tanganyika.
Mapema kabla ya kufungua mkutano huo Rais Kikwete alitembelea makumbusho ya kijeshi Bait Al Falaj, ambapo alielezwa historia ya Oman na kuweka jiwe la msingi eneo ambalo utajengwa Ubalozi wa Tanganyika nchini Oman.
Awali akifungua mkutano huo  Mwenyekiti wa Chama cha Wafanyabiashara Wenye Viwanda cha Oman, Khalil Al Khonji alieleza jinsi nchi hizo mbili zinavyofurahia na kuuenzi uhusiano wa kindugu baina yao.pumbavu shein limeka tu nitaulinda muungano nitaulinda watu wanamaraisi sisi tuna bunju.

No comments:

Post a Comment