Thursday, June 27, 2013

BI FATMA FEREJI NA BAJETI YAKE YA KUMALIZA NYUMBA YAKE NA MAPAZI MAPYA


kiasi cha sh 3.20BILLIIIIIIIIIIIIIONI zitatumika katika ofisi ya Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar,katika mwaka wa fedha 2013/2014,
Hayo yalibainishwa na Waziri katika ofisi ya Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar,Fatma Ahabibu Fereji alipokuwa akisoma bajeti hiyo.
Kiasi cha SH 1 Bilioni kwa ajili ya kuendeshea kazi za Ofisi ya Makamo wa kwanza wa Rais.duuuuuh bi fatma wee huwachiiiiiiiii
Kiasi cha SH 510.07 Milliioni zitatumika kwa shughuli za makamo wa kwanza wa rais kwa kazi za kawaida. duuuuuuuuh bi fatma unataka kuezeka nyumba yako nini..???
Kiasi cha Sh 257.28 Milioni za mishahara za ofisi ya makamo wa kwanza wa Rais. duuuuuuuh kwa lipi munalo fanya mpaka mujilipe mishahara hii..?? wakati walimu mpaka leo mishahara yao duni.
Kiasi cha 768 Millioni kwa ajili ya Shughuli za ukimwi. duuuuuuh!!!!!!!
Pia bi Fatma  aliwaomba wajumbe wasisite waipitishe bajeti hiyo. hataka kama washakushtukizia kuwa unaziibaa wasisitishe wakuachiye tu ukazivurunge sio bi fatma fereji..?
Jamani Jamani Jamani kuna skuli hazina madeski mpaka leo,kuna barabara hata vumbi hazina tena,kuna watu wanaishi kwa njaa hata mlo mmoja hawana,kuna wajane ,mayatima,mafukara jamani msalieni Ntume nyuso zimewapara kwa kuiba hata haya hamuna tena
Hivi mumewekwa mle au musaidie wananchi SHAME ON 
YOU ALL.MUOGOPENI MWENYEZI MUNGU NYINYI.

No comments:

Post a Comment