Tuesday, July 23, 2013

NCHINI ZANZIBAR WALIO KWENDA KUTAKA KUWAZIKA WANAJISHE WETU WA ZANZIBAR WALIOULIWA DARFUR NCHINI SUDAN NA WAO WAPATA AJALI


Madaktari katika hospitali ya mnazi moja wakitowa huduma kwa wananchi na wanajeshi walio pata ajali wakati wakienda katika maziko ya wanajeshi waliouliwa darfur nchini sudan ajali hiyo imetokea mwanakwerekwe sokoni

daktari katika hospitali ya mnazi moja ikitowa huduma ya kwanza ya moja wa wanajeshi walio pata ajali wakati wakiende mazikoni kuwazika wanajeshi wa zanzibar waliouliwa darufur  nchi sudan
06
Moja katika majeruhi akiteremshu katika lori la jeshi wa nchi ya Zanzibar walio pata ajali walipokuwa wanakwenda kuwazika wanajeshi waliouliwa Darfur Sudan

daktari katika hospitali ya mnazi moja akitowa huduma ya kwanza kwa mahatuti aliyefikishwa hospitalini baada ya kupata ajali na gari walilo kuwa wanakwenda kuwazika majeshi wa zanzibar waliouliwa darfru nchini sudan

Moja wa majeruhi waliokuwa katika gari lililo pata ajali akipewa huduma ya kwanza baada ya kufikishwa hospitali ya mnazi moaja

Madaktari wakimpokea na kumkibizi ndani ya hospitali ya mnazi moja. moja wa rai wa Zanzibar nchi Zanzibar baada ya kupata ajali walipokuwa wakiende kuwazika majeshi waliouliwa Darfur nchini sudan

Madaktari na manasi wakitayarisha mabendeji ya kutowa huduma ya kwanza mnazi moja


No comments:

Post a Comment