Wednesday, December 25, 2013

DARASA LA SABA (7) LA MKOLONI NI BORA KULIKO DARASA LA (12) LA MKOLONI MWEUSI TANGANYIKA HAPA NCHINI ZANZIBAR

A4253
A4127 (1)
HAYA NDIO MACHOGO YALIYO LETWA PEMBA KUENDELEZA SHEREHE ZA MAUWAJI YA WAZANZIBARI KIWANJA CHEUPE SHEIN NA MACHOGO WAKE ALIYO WALETA BASI
Wete – Pemba
Rais wa Maskani ya Kisonge, Ali Mohammed Shein,  amesema miaka 50 ya Mauwaji ya Wazanzibari nchi ya (Mapinduzi),  Zanzibar imeshuhudia mabadiliko makubwa katika sekta ya elimu.(bora ni cheke kwanza hahahaahha)
Rais wa Maskani ya Kisonge Shein amesema wakati huu Zanzibar ikiadhimisha miaka 50 ya Mauwaji ya Wazanzibari   (Mapinduzi), wananchi hawana budi kujivunia maendeleo makubwa yaliyopatikana  katika sekta hiyo ya elimu.(bora nicheke tena hahahahahaha)
Aliyasema hayo katika sherehe za ufunguzi wa Skuli za Sekondari za Chasasa na  Skuli ya Sekondari ya Wanawake ya Utaani Wilaya ya Wete Mkoa wa Kaskazini  Pemba.
Hiyo ilikuwa ni sehemu ya maadhimisho ya miaka 50 ya Mauwaji ya Wazanzibari  (Mapinduzi) ya mwaka  1964, zinazofikia kilele chake Januari 12, mwaka ujao.
Alisema vikwazo vya elimu kabla ya Mapinduzi haikuwa ada ya skuli pekee,  lakini hata fursa zenyewe hazikuwapo kwa watoto wa familia maskini kwani mtu  angeweza kupata ada lakini akashindwa kupata nafasi kwa kuwa anatoka familia ya  kinyonge. (swali tunakuliza wewe shein ulikuwa katika familia ya kinyonge au yakitajiri...?)
Alisema madhila ya aina hiyo waliyokuwa wakifanyiwa wananchi maskini wa  Zanzibar, ndiyo yaliyokifanya Chama cha Afro Shirazi kusimama kidete kutetea  haki za wanyonge.  ( mbona paka leo basi bado wazanzibari tunaishi katika madhila makubwa kuliko huko tulikotoka na wanao nufaika ni nyinyi viongozi,wake zenu,watoto wenu basi tulio baki tunasaga mawe miaka 50 na sultani wakitanganyika katukalia kooni hata hatupumuwi sasa huwo ukombozi wa Afro Shirazi uko wapi....?)
Alisema azma ya Serikali ya Mauwaji ya Wazanzibari  (Mapinduzi) ya Zanzibar tangu wakati huo ni  kuwapatia elimu watoto wote hadi kikomo cha uwezo wao na ndiyo maana kila wakati  imekuwa ikiongeza fursa za elimu nchini.
Je wewe ulikuwa unaishi katika familia ya kitajiri kabla ya mapinduzi haram Shein...??:..Acha kudangaya vipofu sisi wenyemacho katu hatukubaliani na hayo wazee wetu kila kukicha wanasema darasa la (7) saba la mkoloni nibora kuliko darasa la kumi na mbili(12),La mkoloni mweusi Tanganyika skuli zenyewe za kujivunia mapinduzi ni zipi....?au za pale kwenu Kengeja.....??? miaka 50 sasa ni skuli ngapi zimejengwa na serekali ya mauwaji....?? hospitali ngapi...? barabara ngapi...? maji na umeme mpaka leo hamjayaweza mpaka leo kula ni yatabu watu wanafuturu ugali siku za ramadhani amakweli maendeleo.
ELIMU A A ELIMU BILA MALIPO ELIMU AA ELIMU BILA MALIPO

HII NI HOSPITALI YA PEMBA JE SHEIN MKEO AU MWANAO AKIUMWA UTAMLETA KATIKA HOSPITALI HII...???
MIAKA 50 YA MAUWAJI YA WAZANZIBARI YANAENDELEA KUWAUWA KILA KUKICHA HIZI NDIO FAIDA ZA MIAKA 50

No comments:

Post a Comment