Saturday, December 21, 2013

HALI HALISI YA SKULI YA KENGEJA-PEMBA NCHINI ZANZIBAR HAYA NDIO MAENDELEO YA MIAKA 50 MAPINDUZI YA ZANZIBAR AMAKWELI TUME ENDELEA

kengeja
Huyu ni moja katika wanao ijuwa skuli hii ana haya ya kusema. Mimi ni Skuli ya Kengeja Secondary nimezaliwa mnamo mwaka 1922 nimetoa elimu kwa watu wengi sana wa Kengeja na maeneo jirani kama vile Mwambe,Kiwani,Kangani kwa kipindi cha nyuma wakati wa kuanzishwa kwangu.
Kwa sasa naendelea kutoa elimu bado ingawa nimechoka sana kutokana na uchakavu wa majengo yangu,naomba msaada kwa Serikali na wasamaria wema kunifanyia alau ukarabati tu na ikiwezekana kujengwa upya.

No comments:

Post a Comment