Saturday, December 21, 2013

TANGAZO MUHIMU SANA TUNASIKITIKA KUWA SHIRAZI ABEID JUMA AMEFARIKI DUNIA AFRIKA YA KUSINI YOYOTE ANAYEJUWA FAMILIA YAKE AIGHARIFU TAFADHALI

picha jumaa abeid
  • Jamaa au mtu anaemfahamu marehemu tafadhali wasiliana na Abdallah Hussein +27 71 216 8505
  • unnamed (62)
  • Watanganyika na Wazanzibari waishio Johannesburg wanawatafuta ndugu, rafiki au jamaa wa Shiraz Abeid Juma (pichani), ambaye sasa ni marehemu. Shiraz alifariki wiki hii na kuzikwa siku ya Jumanne huko Johannesburg, Afrika ya Kusini.
    Marehemu alifika Afrika Kusini akitokea eneo la Mpendae nchini Zanzibar kama nyaraka alizoacha zinavyoonyesha. Namba za simu zilizokuwa kwenye vitabu vya marehemu hazipatikani. Kwa yoyote mwenye kumfahamu marehemu, tafadhali wasiliana na Abdallah Hussein +27 71 216 8505

No comments:

Post a Comment