Wednesday, October 23, 2013

BERNARD MEMBE ASEMA NCHI YA TANGANYIKA INASUBIRI TALAKA KUTOKA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI


NCHI YA TANGANYIKA YAO YAWAENDEA WAZANZIBARI KAENI NA FITNA ZENU NA CHUKI ZENU ZA WARABU NA WAKWEZI NA WAKULIMA MPAKA KIYAMA MAJUHA

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe, amesema nchi za Rwanda, Kenya, Burundi na Uganda hazina haja ya kuanzisha shirikisho lao la siri kwani Tanganyika itakapofikia hatua ya kutaka kujiondoa katika Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), suala hilo litapelekwa Bungeni ili lijadiliwe na wabunge wataliridhia wa nchi ya Tanganyika.
Akihojiwa jana asubuhi na Cloud Radio, Membe alisema kuwa nchi hizo hazina sababu ya kufanya mambo kwa siri kwani kama wameshindwa na ni vema kuieleza Tanganyika. “Kama ni talaka moja watupe tu.(( wasikilize Watanganyika wanavyojuwa kulalama wakitendewa wao miaka 50 wanawatendea Wazanzibar hata huruma hawa ila wao wanabweka tu.))  Sisi tunasubiri kupewa talaka alisema Membe.”
Afafanua msimamo wa nchi ya Tanganyika baada ya nchi hizo kuonekana zikifanya jitihada za kuanzisha shirikisho lao na kuitenga nchi ya Tanganyika, Membe alisema nchi hizo ziwe wazi na wakweli kama zinaona kuna jambo ambalo hawaliridhiki nalo ambalo Tanganyika inalifanya na busara itumike kulizungumza kwenye mikutano badala ya hivi sasa zinapoamua kuanzisha muungano wao wa siri.((Wazanzibari je hawaridhiki na Muungano lenu linaila Zanzibar mbona nyinyi haamutaki kutumia busara munajazia majshi wa kikuria tu.))
“Tutakapo amua ku-suspend relationship (kusimamisha uhusiano) na Afrika Mashariki, tutakapo amua kujiondoa kwenye utaratibu huu wa shirikisho la haraka haraka, tutapeleka suala hili bungeni. Bunge litajadili na nina uhakika wabunge wataangalia busara ya kutokuharakisha wala kudhulumiwa wala kuburuzwa,(( hahahahah naona bora nicheke kwanza jinsi huyu Membe maneno yanavyo mtoka na wao wanawafanyia Wazanzibari kila siku kuwadhulumu a kuwaburuza kwa miaka 50 sasa.)) tutawaacha waendelee kwa raha mustarehe, ila sisi tunachoomba tu wawe wakweli, wawe wawazi si kutengeneza muungano wa siri siri,” alisema.(( hahahahahahaha Membe Membe unachekesha))
Alipoulizwa kama hali hii inachangiwa na nini hasa, kama ni kutokana na msuguano baina ya Rais Jakaya Kikwete wa nchi yao ya Tanganyika  na Rais wa nchi ya Rwanda Paul Kageme, wa hivi karibuni au ni msukumu wa Rais wa Uganda, Yoweri Museveni, kutaka kutimiza azma yake ya kuwa raisi wa kwanza wa Shrikisho hilo, Membe alisema yanawezekana.((kwani Yoweri Museveni ikiwa raisi wa kwanza kuna ubaya gani mbona nyinyi Watanganyika mumekuwa raisi wa Muungano huu feki wa Tanganyika na Zanzibar kwa miaka yote lini Mzanzibari alikuwa raisi wa Muungano huu feki..???))
Hata hivyo, alifafanua kuwa kuna mambo kadhaa yanachangia, moja, ni msimamo wa nchi ya  Tanganyika kukataa suala la ardhi kuingizwa katika mambo ya Jumuiya na kwamba ni jambo ambalo serikali haiwezi kukubali hasa ikizingatia kuwa ardhi ndiyo dhahabu ya nchi.(( alaaa basi na gas na mafuta yetu Zanzibar ndio hatutaki kabisa na mbona bado mumengangania...??))
Alisema jambo la pili linalolalamikiwa na nchi hizo ni hatua ya nchi ya  Tanganyika kuwa mwanachama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (Sadc) na Katibu Mkuu wa Sadc kuwa ni Mtanganyika. “Hivyo wanaona Tanganyika damu yao ipo Sadc, kitu ambacho ni kweli, lakini hata hivyo, nao wasilalamike kwa sababu wapo IGAD na Comesa.”
Aliongeza kuwa jambo jingine linalolalamikiwa ni hatua ya nchi ya Tanganyika kupeleka majeshi yake Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) na kuwapa kipigo kizuri kikundi cha waasi cha M23 kati ya Agosti 26 na 28 mwaka huu hatua ambayo nchi hizo zinakiona ni kama kudhoofisha Muungano wa Afrika Mashariki.
Kuhusu jinsi gani kitendo cha kuwapiga M23 kinavyodhoofisha muungano alisema: “Kwa sababu wale M23 Tanganyika inakwenda kwa principle (misingi) inayosema tunapoona nchi ya Afrika Mashariki au ya Sadc inakwenda kinyume cha matakwa ya wananchi au haifuati kanuni za uongozi bora, sisi huwa tunaingilia, siyo maana kwamba tunavunja Jumuiya Afrika Mashariki.”
Membe alisema nchi za Rwanda, Uganda, Kenya na Burundi baada ya kuona nchi ya Tanzgnyika haitaki suala la ardhi kuingiza EAC, na bado ni wanachama wa Sadc na kwamba haitaki kuanzisha Shirikisho la Afrika Mashariki haraka haraka na baadhi ya viongozi wa dunia kufanya ziara Tanganyika, waliamua kuanzisha shirikisho lao la siri.
Viongozi wakuu duniani waliotembelea nchi ya Tanganyika mwaka huu pekee ni Rais wa China, Xi Jinping, na Rais wa Marekani Barack Obama. Alisema nchi hizo zilipaswa kutumia utaratibu kama kuna mambo yanawakera ambayo nchi ya  Tanganyika inayafanya ukiwamo. Hatua hizo ni pamoja na kuiita Tanganyika kuzungumza kwani msimamo wa serikali ni kwamba haiwezi kuburuzwa kuingia katika Shirikisho la Afrika Mashariki.
“Msimamo wetu hatuwezi kugawa ardhi yetu, hatuwezi kuwa waangaliaji, hivyo vingezo vyote wanataka tuvitake,’ alisema na kuongeza: FREE ZANZIBAR PEOPLE FROM MKOLONI MWEUSITANGANYIKA TUNACHEKA SANA Wazanzibari kama hamuja amka wala hamtaa amka tena mpaka kiyama muangalieni huyu MKOLONI MWEUSI TANGANYIKA ANAVYO JIGEUZA KAMA KINYONGA. “Wala wasingepata shida yote hii, tungekutana kwenye kikao tukatoa kibali wakaendelea na utaratibu na sisi tukarudi tukaendelee na utaratibu wetu wa mwendo wa pole.”
Membe alisema katika kufikiwa kwa Shirikisho la Afrika Mashariki kuna hatua kadhaa za kufuata, moja ni soko la pamoja, ushuru wa forodha, sarafu moja na mwisho shirikisho la kisiasa.“Hadi sasa bado tunahangaika na hatua hizi za awali, hatujaweza hata kufikia sarafu moja, sasa wenzetu wanataka shirikisho la kisiasa,” alisema Membe na kuongeza:“Mimi sioni hata hiyo monitory union (sarafu moja) ikifikiwa sasa hivi. Sisi bado tunaikataa.”
Alifafanua kuwa hata Waingereza wakati Umoja wa Ulaya wanajiunga kwenye sarafu ya Euro wao walibaki na sarafu yao, na mpaka sasa wanaendelea nayo. Hivi karibuni nchi ya Tanganyika imeonekana kuwekwa kando na nchi nyingine nne kati ya tano zinazounda EAC. Tayari marais wa nchi hizo, Kagame, Museveni, Uhuru Kenyatta wa Kenya na Pierre Nkurunzinza wa Burundi wamekwisha kufikia makubaliano ya kuanzisha mchakato wa kuandikwa kwa Rasimu ya Katiba ya Shirikisho la Kisiasa la nchi wanachama wa EAC, bila kuishirikisha nchi ya Tanganyika.
Waziri wa Serikali za Mitaa wa nchi ya Rwanda, James Musoni, amekaririwa na vyombo vya habari vya nchi hiyo akieleza kuwa makubaliano ya kuanzishwa kwa mchakato wa kuandikwa kwa Rasimu ya Katiba ya Shirikisho la Afrika Mashariki, yalifikiwa Septemba 12 mwaka huu, mjini Kampala na marais wa Rwanda, Kenya na Uganda na hivi karibuni Rais wa Burundi ambaye alialikwa katika mkutano huo na kushindwa kuhudhuria, naye sasa amethibitisha ushirika wake katika shirikisho hilo jipya.
Tayari nchi za Kenya, Uganda na Rwanda zimeshaanzisha mradi wa ujenzi wa bomba la mafuta kutoka nchi ya Kenya hadi nchi ya Rwanda.Vile vile Bandari ya Mombasa nchini Kenya imeshafanyiwa upanuzi kuruhusu nchi za Uganda na Rwanda kupitisha mizigo yao.
Kufuatia hali hiyo ,Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta, hivi karibuni alisema licha ya hatua zinazochukuliwa na nchi wanachama wa EAC za kuitenga nchi ya Tanganyika katika baadhi ya mambo, itabakia na msimamo wake na haitakubaliana kuingia kwenye Shirikisho la Kisiasa huku masuala ya ushuru wa forodha, soko la pamoja na sarafu moja, hayajatengamaa.
Waziri Sitta pia alieleza kuwa nchi ya Tanganyika imeiandikia barua sekretarieti ya baraza la mawaziri wa nchi wanachama wa EAC, ikilalamikia baadhi ya mambo yanayoendeshwa kwa usiri na baadhi ya nchi wanachama.
Kikao kingine cha viongozi wa nchi hizo kinatarajia kufanyika mwishoni mwa mwezi huu jijini Kigali, nchini Rwanda bila kuishirikisha MKOLONI MWEUSI TANGANYIKA.
WAZANZIBARI BADO TU MUMELALA..???

Monday, October 21, 2013

NCHI YA TANGANYIKA YAEKWA UBAO KATIKA EAC NCHI YA ZANZIBAR TUMEKUWA MABUBU


Nadhani wenzangu nyote mnafuatilia mwenendo wa Tanganyika na mahusiano yake na Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) kuwa kwa kitambo sasa Tanganyika inaenguliwa au inapingwa changa katika vikao muhimu sana vya maamuzi ya EAC. Nchi kama Uganda, Rwanda na Kenya ndio zinashika usukani wa kuiengua Tanganyika katika mazungumzo  wenyewe maarufu wanajiita ‘coalition of the willing’. Burundi imekaa kando kidogo, ingawa imo humo humo. Tanganyika ndio ‘out’ kabisa.
Wakati kikao hichi muhimu kinapofanyika, Tanganyika na Rais wa Tanganyika wao walikwenda Iringa kuanzimisha mbio za Mwenge wa uhuru, sasa upumbavu kama huo unaingizwa kwenye mambo muhimu ya nchi na ‘national interests’ hizo anazosema Kikwete. Iwe mbio za mwenge ni muhimu kuliko EAC na masuala yake yote ya nchi..??
Juzi kimefanyika kikao chengine muhimu zaidi kinachojadili ‘political federation’ ya EAC. Hii haikuwa tena ‘Federation of the willing’ imeitwa ‘coalition of federation’ maana na Burundi pia ameingia tele na kupewa maamuzi na kufanya action plan towards, EAC political federation. Tanganyika na Zanzibar hazimo na Tanganyika imetolewa kabisa hapo.
Tanganyika imejitoa na kutolewa kutokana na ubabe wake; kama walivyo zowea kuwaoniya Wazanzibari walifikiri Kenya,Uganda,Rwanda na Burundi watakuwa kama Zanzibar kumbe wamekosea.jambo la  zaidi ni switilfahamu baina ya Kikwete Raisi wa nchi ya Tanganyika na Kagame Raisi wa nchi ya Rwanda, hapo sasa imetufanya sote tufuate ‘bwana anavyotaka’ au ni seme MKOLONI MWEUSI TANGANYIKA (national interests hizo!).
Lakini sasa swali la kujiuliza, je kama NCHI YA Zanzibar tuna ‘Zanzibar interest’ ndani ya Jumuiya hii, lakini ‘mabwana hawataki’ au niseme tena MKOLONI MWEUSI TANGANYIKA ndio na sisi tukose moja kwa moja. Kwa mfano, sisi nchi ya Zanzibar kama kisiwa tuna ‘interest’ za kibiashara tokea asili sisi na nchi hizo, kuanzia mifumo ya kodi, ufanyaji biashara n.k — sisi nchi ya Zanzibar kwa ninavyojua mimi ndio hasa waasisi na vinara wakuu wa EAC, na tulikuwa mbele katika east african common currency/board.
Leo just kwa sababu Bernard Member hataki, na Kikwete hawataki WAKOLONI HAWA WEUSI WA TANGANYIKA kutokana na ugomvi wao binafsi na Kagame — basi wameona bora litote na tugawane mbao, na nchi ya  Zanzibar ni nani (they are just nothing). Huu ndio msimamo wa nchi ya Tanganyika MKOLONI MWEUSI TANGANYIKA, na hizi ndio faida za Muungano feki kwa Wazanzibari kunganishwa kwa lazima na hili JIKOLONI  huu tulionao; kuwa kama jambo hawalitaki Tanganyika MKOLONI MWEUSI, basi sooote iwe hatufaidiki nalo hata kwetu nchini Zanzibar ni faida na lina tija kwetu.
Kwa ufupi, naomba mfuatilie vikao hivi vya EAC na maamuzi yake.
Pia naliomba Baraza la Wawakilishi (BLW) linalokaa sasa hivi, wafikiri ‘strategic’ walizungumze hili na kama serikali, SMZ hiyo ya Mapinduzi Daima walitolee maamuzi, na wananchi tujue: Nini msimamo, mustakabali wa nchi ya Zanzibar ndani ya jumuiya hii ya EAC.
Jamani hili ni suala muhimu sana. Mtu kama Uhuru Kenyatta, au Odinga wanajua sisi kuwa ndio EAC na wanapenda kuwa na sisi kwa hilo, lakini tumezidiwa, tumefunikwa na MKOLONI MWEUSI TANGANYIKA — na ukweli hasa wanatutetea wao yanapozungumzwa mambo muhimu yanayohusu Zanzibar, kama bahari kuu wakati — MKOLONI MWEUSI TANGANYIKA  inatuamisha au wanataka kula ‘keki’ yote. Mifano ipo tena mingi tu, mkiitaka sana nitawisilisha (pengine si lazima). Ina maana sisi tunatolewa tonge mdomoni hivi hivi...?? mpaka lini Wazanzibari tutaburuzwa na JIKOLONI HILI TANGANYIKA....???
Kimsingi wao Tanganyika walipofanyiwa survey, imeonekana kuwa 85%ya Watanganyika hawako tayari kujiunga na EAC; lakini ni wao Watanganyika, sio sisi Wazanzibari -sisi hata hiyo survey haikufanyika hapa nchini kwetu Zanzibar.
Hili linaniuma sana maana kwa nia moja au nyengine nimehusika katika ushiriki wa kuifufua EAC miaka ya 1998; na tukaweka msimamo wetu wa SMZ humo.Leo Bernard Membe anatuletea mambo ya ‘yasiyokuwa na maana’ — mambo ya kipuuzi; misaada ya Oman anaizuia na kuweka kauzibe, misaada ya climate change anaizuia na kututilia guu, misaada mengine na mengine anaizuia huu ni uthibitisho tosha kuwa MKOLONI MWEUSI TANGANYIKA kapagawa kwa kujuwa kuwa duuuuh nchi ya Zanzibar ITAENDELEA MAHASIDI WAKUBWA, wao ndio nani, ufalme huu mpaka lini...?? CCM Zanzibar wamekaa tu kama viwete midomo kimya si walelivyo spika anajengewa nyumba ya 1.2 BILLIONI labda na wengine washambiwa zamu yako itakuja basi imepumba, wanatokwa na madenda — hawawezi kufikiri hata chembe, hao CUF nao kadhalika– wanapiga kelele kelele tu; not strategic. Hawazungumzii ‘national issues, au issues of interests’ wanasukuma sukuma tu mawazo kama kuendesha rikwama hapa darajani.
Wazanzibari tuamke jamani — hivi tutakaa hivi mpaka lini — hatuwezi kudai hata chembe ya haki zetu za msingi...???

Sunday, October 20, 2013

WANANCHI ENDELEANI KUFAA NA NJAA NA MARADHI KWANZA TWAJENGA NYUMBA YA SPIKA IMEHARIMU 1.2 BILLIONI NCHINI ZANZIBAR.


NYUMBA MPYA YA KISASA YA KUISHI SPIKA WA BARAZA LA WAWAKILISHI IMEKAMILIKA NA ANATARAJIWA KUHAMIA HIVI KARIBUNI MARA BAADA YA KUKAMILIKA KWA MATENGENEZO MUHIMU YA MIUNDOMBINU YA MAJI SAFI.(( WANCHI JEE HAWAHITAJI MIUNDOMBINU YA MAJI...??))
HAYO YAMEELEZWA NA WAZIRI WA NCHI OFISI YA MAKAMO WA PILI WA RAIS, NDUGU MOHAMED ABOUD MOHD WAKATI AKIJIBU MASWALI YA WAJUMBE WA BARAZA LA WAWAKILISHI KATIKA KIKAO KINACHOENDELEA HUKO MBWENI WILAYA YA MAGHARIBI UNGUJA NCHI ZANZIBAR.
AIDHA WAZIRI ABOUD AMEBAINISHA KUWA NYUMBA HIYO YAKISASA ILIYOPO MIGOMBANI IMEGHARIMU JUMLA YA SHILINGI BILIONI 1.2 AMBAPO ASILIMIA 62 YA FEDHA HIZO ZIMETOLEWA NA SERIKALI YA JAMHURI YA TANGANYIKA NA ASILIMIA 18 NI MCHANGO WA SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR.(( LINI MUTAWAJENGE WANCHI NYUMBA ZA KUISHI KAMA ALIVYO JENGA MZEE KARUME..???))
AIDHA WAZIRI HUYO AMESEMA KUWA NYUMBA HIYO IMEKAMILIKA KWA ASILIMIA KUBWA AMBAPO KASORO ZILIZOPO NI TATIZO LA UKOSEFU WA MAJI AMBAPO MIUNDOMBINU HIYO KWA SASA INAFANYIWA MAREKEBISHO.((RAI WA NCHI HII WAMESUBIRI MIUNDOMBINU YA MAJI KWA MUWA WA NUSU KARNE KUANZIA 1966 MPAKA LEO HII 2013 MAJI BADO RAI HAWANA UHAKIKA LAKINI SPIKA LAZIMA MAJI YAWEPO KABLA HAJAHAMIA KATIKA JUMBA LILLOHARIMU MAMILLIONI WANANCHI WAZANZIBAR TUTAFANYWA WAJINGA MPAKA LINI..???))
AMESEMA KUWA NYUMBA HIYO IMEJENGWA KWA KUZINGATIA VIGEZO VYOTE VYA NYUMBA ZINAZOSTAHIKI KUISHI WAKUU WA NCHI.(( NA MNUKU AMESEMA KUWA NYUMBA HIYO IMEJENGWA KWA KUZINGATIA VIGEZO VYOTE VYA NYUMBA ZINAZOSTAHIKI KUISHI WAKUU WA NCHI. JE WANANCHI WAO HAWASTAHIKI KUJENGEWA NYUMBA ZENYE VIGEZO VYOTE VINAVYO STAHIKI KUISHI KAMA WAANADAMU...???))
HATA HIVYO MWAKILISHI WA JIMBO LA WAWI NDUGU SALEH NASSOR JUMA ALISEMA KUWA ENEO ILIPOJENGWA NYUMBA HIYO SIO ZURI KUTOKANA NAKUWEPO BARABARANI AMBAPO UTULIVU UNAKOSEKANA.(( SALEH NASSOR JUMA WEWE MPUMBAVU KABISA BADALA YA KUSEMA KWANINI NYUMBA HII IMEHARIMU MAPESA YOTE HAYO KWANI NYUMBA ANAYOKA SASA INA NINI AU ANAPEWA MSHAHARA WAKE NAJENGE KWA MSHAHARA WAKE HIZI PESA TUWAJENGE WANANCHI HOSPITALI TULETE MADAWA TUNUNUWE AMBULANSI TUJENGE BARABARA N.K. WEWE WASEMA ILIPOJENGWA NYUMBA HIYO SIO ZURI KUTOKANA NAKUWEPO BARABARA WEWE SIMPEMBA MWAMBIYE SPIKA MUFUNGUWE MADUKA TU ILI MUKISTAFU MUNAMADUKA YA KUUZA MCHELE NA SUKARI MPUMBAVU MKUBWA.
AKIJIBU SWALI LA NYONGEZA LA MWAKILISHI HUYO WAZIRI ABOUD AMEFAFANU KUWEPO NYUMBA HIYO BARABARANI SI TATIZO KUTOKANA NA NYUMBA ANAYOISHI RAIS WA ZANZIBAR DK ALI MOHAMED SHEIN KUWEPO BARABARANI JIRANI NA NYUMBA HIYO KATIKA ENEO LA MIGOMBANI.

Thursday, October 17, 2013

SHEIN NA NYIMBO YA AMANI WEWE NDIO UNAE HARIBU AMANI KWA KUWAFUNGA MASHEIKH NA KUACHA UVCCM,BORAFYA,SHAKA,WAZEE WAUWAJI WA MAPINDUZI WAKIPANDIKIZA FITNA NA CHUKI NA WEWE UNAWANGALIA IKICHEKELEA


Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi  Shein akihutubia ktk siku ya iddi hajji yao maana nchi ya Zanzibar astahafiru ALLAH wamesimama araf yao jana pale kila cha mbuzini.


Makamo wa Raisi wa nchi ya Zanzibar Maalim Seif Sharrif Hamad akiongozana na Shein

Raisi mstaffu wa nchi ya Zanzibar Amani Abeid Karume na Makamo wa Raisi wa nchi ya Zanzibar Maalim Seif Sharrif Hamad wakimuweka sawa Shein.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohamed Shein ameendelea kusisitiza hali ya Amani na kukemea Vitendo vinavyofanywa na baadhi ya Watu wachache wenye lengo la kuiharibu sifa ya Zanzibar.
Amesema tangu Karne zilizopita Zanzibar pamekuwa pahala pa Amani na utulivu na hivyo kuitaka jamii kutoa ushirikiano wa hali ya juu kwa vyombo vya ulinzi na usalama ili kuwafichua watu ambao wanaoharibu Amani iliyopo.
Rais Shein ameyasema hayo leo katika Hotuba yake aliyoitoa katika Baraza la Idd lililofanyika ukumbi wa Chuo Kikuu cha Tunguu Mkoa wa Kusini Unguja.
Amesema kiujumla hali ya Amani na Utulivu imetanda kote katika Visiwa vya Zanzibar hali inayopelekea Serikali kupanga na kutekeleza mipango yake ya kimaendeleo kwa lengo la kuimarisha uchumi na ustawi wa Wananchi wake.
Hata hivyo amekea tabia inayofanywa na baadhi ya Watu wachache wanaowahujumu na kuwatia hofu Wananchi pamoja na Wageni wanaoitembelea Zanzibar.
Amefahamisha kuwa hakuna Dini inayowaelekeza waumini wake kuwahujumu Wanadamu wengine na kwamba watakaobainika kufanya vitendo hivyo watachukuliwa hatua kali za kisheria.
Amewahahakikishia Wananchi na Wageni kwamba vyombo vya Ulinzi na usalama vinafanya kazi nzuri ya kusimamia ulinzi na Usalama na kuitaka jamii kutoa ushirikiano unaohitajika.
Aidha Dkt. Shein amebainisha kuwa kutokana na kuimarika kwa hali ya usalama na amani Uchumi wa Zanzibar
unaendelea kukua kwa kiwango cha kuridhisha kutoka Asilimia 6.7 kwa mwaka 2011 hadi Asilimia 7.0 mwaka 2012.
Ameongeza kuwa hali hiyo inatoa matumaini makubwa hasa ikizingatiwa kuwa ukuaji wa uchumi katika Bara la Afrika ni Asilimia 5.3 ambapo kwa upande wa Ukuaji wa uchumi wa Dunia ni Asilimia 2.9
Kuhusu Zao la Karafuu Dkt. Shein amesema kuwa Shirika la Biashara la Taifa ZSTC linatarajia kununua tani 4,016 kwa mwaka 2013 na kuwaomba Wananchi waendelee kushirikiana na Serikali katika kupambana na watu wanaofanya Magendo ya Karafuu.
Awali Akimkaribisha Rais Shein kutoa Hotuba yake Waziri wa Katiba na Sheria Aboubakar Khamis Bakary alisema Serikali imepanga Sala na Baraza la Idd katika Siku kuu zote za IDD-EL HAJJ zitakuwa zikifanywa kitaifa katika Mikoa yote ya Unguja na Pemba ambapo kwa mara hii Swala ya Idd ilifanyika kijiji cha Marumbi Mkoa wa Kusini Unguja.
alifahamisha kuwa Serikali imeamua kufanya hivyo ili Wananchi wa Mikoa yote ya Unguja na Pemba wapate fursa ya kuswali pamoja na Viongozi wao Wakuu wa Kiserikali lakini kwa upande wa Swala ya IDD EL-FITRI itaendelea kuswaliwa kitaifa katika Mkoa wa Mjini Magharibi.
Sherehe ya IDD EL HAJJ inakuja kila mwaka kufuatia kumalizika kwa Ibada ya Hijja inayofanyika MAKKA Nchini Saudia kwa Waislamu wenye uwezo wa kufanya Ibada hiyo.

Tuesday, October 15, 2013

FREE ZANZIBAR PEOPLE FROM MKOLONI MWEUSI TANGANYIKA INAWATAKIYENI NYOTE EID JEMAA.


MWENYEZI MUNGU AWAPE NYOYO ZA SUBIRA WAO NA SISI NA FAMILIA ZAO


FREE ZANZIBAR PEOPLE FROM MKOLONI MWEUSI TANGANYIKA INAWATAKIYENI NYOTE EID NJEMA ILIYO NA FURAHA NA BARAKA PIA BILA YA KUWASAHAU DUNGU ZETU,KAKA ZETU,BABA ZETU,WALIMU WETU,MASHEIKH WETU,VIONGOZI WETU,WAONDOWAJI THULMA KATIKA NCHI YETU,WAPENDA HAKI,WENYE KUWATETEA WAZANZIBARI NA NCHI YETU KWA UJUMLA UAMSHO M/MUNGU AWAPE EID ILIYO NJEMA HUKO HUKO JELA WALIKO NA SHEIKH AZZAN HUKO HUKO ALIKO HOSPITALI INDIA NA IN SHAA ALLAH M/MUNGU AKAWAPE PEPO UBAVUNI KWA MTUME MUHAMMED S.A.W. SIKU YA KIYAMA.

Sunday, October 13, 2013

WAZIRI WA KATIBA NA SHERIA WA NCHI YA ZANZIBAR ABUBAKAR KHAMIS BAKARI ASEMA NCHI YA ZANZIBAR HAIKUSHIRIKISHWA MUSWADA WA KATIBA


WAZIRI wa Katiba na Sheria wa wa nchi ya  Zanzibar, Abubakar Khamis Bakari ameliambia Baraza la Wawakilishi kwamba muswada wa mabadiliko ya Katiba, uliyopitishwa na Bunge la nchi ya Tanganyika na kuzusha malumbano kwa Wabunge wa upinzani, wa nchi ya Zanzibar haikushirikishwa katika marekebisho ya vifungu 12 vilivyoingizwa kinyemela  baadaye.
Abubakar alisema hayo wakati alipotakiwa kutoa ufafanuzi kuhusu ushirikishwaji wa nchi ya  Zanzibar katika mchakato wa marekebisho ya Katiba, ambao katika siku za hivi karibuni umezusha malumbano zaidi kwa kambi ya upinzani.
Mwakilishi wa Mji Mkongwe, Unguja Ismail Jussa (CUF), alimtaka Waziri wa Katiba na Sheria kufafanua kuhusu kauli zinazotofautiana kuhusu nchi ya  Zanzibar, kushirikishwa au kutokushirikishwa katika mchakato wa Katiba.
Akifafanua, Waziri Bakari alisema awali muswada huo uliletwa serikalini na kufanyiwa marekebisho katika maeneo ya mambo manne ambayo nchi ya  Zanzibar, iliyatolea mapendekezo yake na kupelekwa mbele.
“Marekebisho ya awali yaliletwa serikalini…ambapo mimi binafsi nilitoa mapendekezo kwa niaba ya serikali katika maeneo manne,” alisema Waziri Bakari.
Hata hivyo, alisema ilipofika mwezi wa Mei, kulikuwa na utaratibu mwingine wa kuongeza jumla ya vifungu 12 ambavyo hivyo nchi ya  Zanzibar, haikushirikishwa wala haikuonyeshwa:
“Mimi Abubakar Khamis Bakari…Waziri mwenye dhamana ya Katiba na Sheria katika marekebisho ya muswada huo ambapo jumla ya vifungu 12 viliingizwa…sisi nchi ya  Zanzibar hatukushirikishwa,” alisema Waziri Bakari.
Alisema alifanya juhudi za kutafuta muswada huo uliyopitishwa Bungeni na kuona mabadiliko hayo ambayo nchi yetu ya  Zanzibar, haikushirikishwa pamoja na kuingizwa kwa vifungu 12 vipya ndani ya Katiba.
Waziri huyo alisema Septemba 13, mwaka huu alimuandikia barua Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Balosi Seif Ali Idd ambaye naye, aliandika barua kwa ofisi ya Waziri Mkuu, lakini hakuna majibu yaliyotolewa.
Waziri Bakari alisema amelazimika kutoa ufafanuzi huo baada ya kuwepo kwa kauli mbalimbali zenye utata, ambapo baadhi ya watu pamoja na viongozi wa vyama vya siasa, wamekuwa wakipotosha ukweli huo katika majukwaa ya siasa.
Zanzibar kwanza Zanzibar kwanza Zanzibar kwanza jino kwa jino mpaka kieleweke.

Friday, October 11, 2013

WAZIRI HAJI OMAR KHERI ATEMBELEA MAHABUSU WA KULAWITI WATOTO AWAKIMBIA MASHEIKH WA UAMSHO


Waziri anayehusika na Vikosi vya SMZ, Mstahiki Haji Omar Kheri ametembelea vikosi vya SMZ, KVZ, Zimamoto, VALANTIA, JKU, na Mafunzo/MAGEREZA.
Katika mizunguko yake, ametembelea mahabusu wa ina zote za uhalifu ndani ya jela pale Kilimani, Kiinua Miguu ambayo ndio jela  kubwa kwa hapa Zanzibar ya (mahabusu) . Waziri Haji Omar Kheri amewaona kila mahabusu, muuwaji, muuza unga, aliyelawit watoto wa kiume na wakike na makosa makubwa kama hayo ya jinai na mengine mengi.
Ila lakushangaza ni kuwa, kuna taarifa kuwa alikataa kuwaona mahabusu (waliothulumiwa, ambao ni viongozi wa Jumuiya ya Uamsho) akina Sheikh Farid, Sheikh Msellem na wenzake. Alipofika maeneno walipofungiwa Masheikh  wetu hao, yeye ama alikataa au alijifanya hamnazo na kama vile vile hajui au hakujulishwa au hataki kuwaona.
Hawa ndio muhafindhna tulionao ndani ya nchi yetu ya  Zanzibar. Sisi tunajua kuwa Haji Omar Kheri alikuwa kundi la NO, wakati wa referendum; lakini sasa anakula matunda ya GNU ((maisha yote alibaki kama Muwakilishi wa Jimbo la Tumbatu, uwakilishi wakulazimisha tuu))  leo amekuwa na jeuri kama hii lakini ndio vizuri kuwa ALLAH S.W. anazidikutuonyesha Viongozi wanafiki na wauwaji wa nchi yetu ya Zanzibar.
Jeuri kubwa zaidi ambayo  sasa inawachefua watu wengi moyo ni ile ya kuvaa lile kofia la COW BOY akiwa katika kazi zake za kawaida ndio unatuonyesha nini kuwa wewendio ‘check bob’ sana, au wewe ndio mstaarabu sana aua vipi..???kama hujuwi zile ni kofia za wahuni (kama hajui maana, tunakuambia maana sasa)
Na kama kwli serikali hii inajali sana wananchi, na ina heshima ya kutosha ya utendaji na watendaji wake — basi  Shein awaonye watendaji wake kuvaa mavazi haya ya kihuniau ndio tunasibitisha sasa kuwa hii serekali ni ya wahuni..??
Huu ni UHUNI, unless bwana Haji Omar Kheri akatae kuwa Waziri wa serikali na abaki kuwa katika gengi za wahuni.
Pia kitendo ulichofanya  cha kuwatenda wananchi wa Zanzibar just kwa sababu ni mrengo tofauti na wewe, Masheikh wa Uamsho ni ubaya usio kubalika ni wananchi wa Zanzibar kama waivyo wanachama wa Kisonge na kachorora.
Umedharau Wazanzibari na umetharau Waislamu au wewe unathani uislam ni kusubiri siku za mfungo sita kwenda kucheza maulidi Tumbatu na kula haluwa na visheti tu..???
au hayaa imekuja kwa kujuwa kuwa mume wathulumu Masheikh kwa kuwaweka jela bila ya sababu sasa unaona hayaa hata kuwatizama kwenye uso ndio umewakwepa..???
hhhh… tusibiri uzinduzi wa ujenzi wa mnara wa miaka 50 ya mapinduzi ya Zanzibar na uteletee maulidi ya homu. Au unaweza kwenda Tumbatu na kofia lako la kipumbavu, kofia la kihuni Ndio nini wewe..? ujana dume huo au kitu gani? Unatuonyesha nini?

WAZEE WAKITANGANYIKA WALIO UWAA WAZEE WETU 1964 HAPA ZANZIBAR NA KUJIFANYA WAO NDIO WAZANZIBARI WANZA KUFITINISHA WATU NA KUBWABWAJA BADALA YA KUSTAHAFIRU KWA WALIO YAFANYA


MAITI ZA WAZANZIBARI WALIO ULIWA 1964 KATIKA MAPINDUZI YA KHARAMU,THULMA NA UKATILII USIO KIFANI

Wastaafu wataka Unguja na Pemba zitengane
KATIKA hali isiyokuwa ya kawaida Waziri wa zamani na wafanyakazi wastaafu wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ), wametoa wito wakitaka visiwa vya Unguja na Pemba vijitawale. Wastaafu hao ni waliokuwa wanajeshi wastaafu, askari wa vikosi vya SMZ ambao wengi wao ni watu kutoka nchi ya Tanganyika walio tumiliwa na Nyerere kuwauwa Wazanzibari wasio na hatia, wafanyakazi wa wizara na idara za mbalimbali za umma walio letwa hapa Zanzibar na kujifanya Wazanzibari.
Katika kongamano lililofanyika siku chache zilizopita kwenye ukumbi wa zamani wa Baraza la Wawakilishi uliopo eneo la Kikwajuni, walisema ipo haja ya kufanyika tena ‘mapinduzi baada ya yale ya 1964 maana walio fanya ya 1964 hawakumaliza kufanya mapinduzi.
Kongamano lilikuwa chini uenyekiti wa Ali Hassan Khamis, ambapo mbali ya wastaafu, pia lilihudhuriwa pia na wanao jiita atii wakulima na wafanyakazi wa SMZ na cheka kwanza hahahaahahaha.
Miongoni mwa walioshiriki ni aliyewahi kuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais (Awamu ya Pili Zanzibar), Aboud Talib Aboud. Yeye aliondolewa madarakani pamoja na Rais Aboud Jumbe mwaka 1984 na MKOLONI WAO MWEUSI TANGANYIKA, baada ya hali ya kisiasa atii wanaita kuchafuka kwa siasa nchini Zanzibar  humo hawajuwi kama Wazanzibari wamesha amka kulikuwa hakuna kuchafuka kwa siasa bali Wazanzibari walitaka muungano wa kuheshimiana na kuwa na madaraka na Tanagnyika MKOLONI MWEUSI HAKUTAKA ndio akawatimuwa na kuweka vibaraka wengine watakao fuata amri yao MKOLONI MWEUSI TANGANYIKA.
Aboud alisema watu kutoka Oman walifika Zanzibar kama walowezi na kuigeuza ardhi mali yao hadi yalipofanyika Mapinduzi yaliyorejesha hadhi, utu na ukombozi wa wananchi wanyonge 1964.....mtu mzee kama huyu bado tu anamawazo ya chuki na kuchocheya fitina kama vile hakuna M/Mungu atakae mulizi siku ya kiyama.
“Jueni kwamba Zanzibar haitatawaliwa tena na wageni. Wanaosema ‘Zanzibar kwanza’, nawaeleza kuwa ni ‘wananchi kwanza’ na Mapinduzi ndio yaliyowakomboa Waafrika wanyonge, hatutakubali ng’o kuwa chini ya ukoloni mamboleo,” alisema Aboud. hebu tumulize Aboud kwani nchi ya Zanzibar sasa hivi haiko chini ya MKOLONI MWEUSI TANGANYIKA..?? au kwakuwa unalipwa vijipesa na serekali ya muungano ndio unaona bora nchi Zanzibar ife lakini mifuko yako imeja pesa za kharamu kutoka nchi ya Tanganyika kwa MKOLONI MWEUSI..???AH wewe mwenyewe mtenganyeka ndio maana ukasema hivyo.
Mbunge wa zamani wa Kikwajuni, Parmuk Hogan Sing, aliipoda Serikali ya Umoja wa Kitaifa (SUK) Zanzibar akidai haikutokana na ridhaa ya Wazanzibari wengi na kudai wameingizwa viongozi wapinga sera za umoja, Mapinduzi na Muungano, hivyo inakosa uzani wa uhalali na kuaminiwa.
Mshiriki wa kongamano hilo, Ali Machano Khamis, alisema matatizo yanayokikumba kisiwa cha Unguja ni kitendo cha kuchaguliwa wagombea urais ambao si chaguo la Wazanzibari.
Alisema wagombea hao wasiofaa ndio chanzo na kiini cha kuanza kulegelega kwa utetezi wa misingi ya Mapinduzi, na kuwataka wazee kuanza kujirekebisha kuhakikisha wanaoteuliwa lazima wawe na uchungu wa nchi, si wasaka maslahi binafsi.
“Ni vipi Pemba iwe ya Wapemba, Unguja iwe ya wote? Viwanja vya Unguja wamepewa Wapemba wakati Pemba hakuna Muunguja anayeishi na kujenga nyumba. Jamani, Waunguja tumechoka! Tunataka mamlaka yetu haraka,” alisema Suleiman.ni lini munguja alikwenda kutaka kuishi pemba akakataliwa..??
Kuibuka kwa madai hayo wakati huu huenda kukaiweka Serikali ya GNU inayo ongozwa na Shein katika taharuki na kuitikisika SUK iliyopatikana baada ya mazungumzo kusaka muafaka, na kubadilishwa kifungu cha Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984, hivyo kufanyika kwa kura za maoni ambapo asilimia 66 ya Wazanzibari waliikubali SUK.cha kushangaza ni Mizee kama haya yashauwa watu sana 1964 na baada ya hapo pia na bado hawaja tafakari kuwa walio fanya ni mabaya wanaona kama amali njema walio fanya na wanataka kufanya tena kama si wazimu basi sijuwi nitie ni nini.
Khamis Mwinyishehe Suleimna alisema Pemba haikushiriki katika harakati za Mapinduzi ya Zanzibar.FREE ZANZIBAR PEOPLE FROM MKOLONI MWEUSI tunakujibu kuwa wapemba na wanguja hawakushiriki Mapinduzi ya Zanzibar walio shiriki wote katika Mapinduzi ya Zanzibar ni wageni kutoka Kenya,Tanganyika,Malawi siku hizo ikitwa nyasa,Uganda,Mozambiqi na N.K. nyinyi nyote asili yenu ni Tabora,Mwanza,Mtwara na N.K. musifikiri hatuwajuwi ila tunawahishimu tu kwa hiyo kuweni na adabu zenu muishi kwa amani na utulivu au mara hii Zanzibar itawawakia moto.
Alisema kati ya waasisi 14 wa Mapinduzi hakuna hata mmoja kutoka Kisiwa cha Pemba, hivyo suala la visiwa hivyo kujitenga halihitaji mapatano wala mazungumzo ya suluhu mezani.FREE ZANZIBAR PEOPLE tunakuambia wewe utarudi kwenu Tanganyika na unguja na pemba mutaiwacha hapa hapa nyerere mfalme wenu pia sialisema kuwa kama anauwezo angelifirusha kisiwa unguja na pemba katika bahari ya hindi ili vizeme kamzama nani nyerere au unguja n pemba..???
Mzee Younus Haji alisema jambo hatari lililofanyika katika uundwaji wa SUK ni kuingizwa viongozi wenye itikadi za vyama vya zamani vya Zanzibar and Pemba Peoples Party (ZPPP) na Zanzibar Nationalist Party (ZNP), na kwamba sasa ni wakati muafaka wa kufanya tathmini kuhusu Serikali hiyo na kutafuta Katiba mpya ya Zanzibar.
Wastaafu wengi waliozungumza walionekana kusikitishwa na kuvunjwa kwa miiko ya Mapinduzi ya Zanzibar wakisema waliomrithi Rais Abeid Amani Karume, walipuuzia wosia ulioachwa na viongozi wa Afro Shiraz Party (ASP) na waasisi wake.
“Kama watu hawa wangependa umoja na maridhiano tangu awali hata Mapinduzi ya mwaka 1964 yasingetokea, kwani kiongozi wa ZPPP, Mohamed Shamte Hamad, angeunganisha viti vyake vitatu na ASP basi,” alisema Mzee Kheir.
Ahmed Khamis Mcheju alisema kitendo chochote cha kuyapuuza Mapinduzi ya Zanzibar hakivumiliki kwa Waafrika waliobaguliwa na kudharauliwa tangu kuondolewa madarakani kwa kiongozi wa Kiafrika, Mwinyimkuu, na Waarabu kutoka Oman mwaka 1804.huyo mwenye mkuu munae jivuni mwenyewe ni Mtanganyika kwa hiyo Wazanzibari hatumtambuwi nyinyi munamtabuwa kwakuwa alikuwa Mtanganyika mwenzenu.

Wednesday, October 9, 2013

VIDEO-KAMATI YA MARIDHIANO SIX.SHINIKIZO LA VYAMA VYA UPINZANI MKUTANO NCHINI ZANZIBAR

HAYA HAFIDHINA MIROHO MUSIOJUWA KUSHIBA MPAKA WATANGANYIKA PIA SASA WANAKUAMSHINE NYINYI BADO TU KAENI MKIJUWA KUWA 
NCHI YETU YA ZANZIBAR IKIWA HURU MUKIMBIYE KABISA LAA SIVYO NYOTE MAHAKAMANI MUKAJIELEZE KWA NINI MUMEIHUJUMU NCHI NA MALI ZA NCHI NA KILA MOJA ATAJIELEZA UTAJIRI ALIO NAO KAUPATA KWA MSHAHARA UPII
ZANZIBAR KWANZA ZANZIBAR KWANZA ZANZIBAR KWANZA MZANZIBARI ZIDUKA

Saturday, October 5, 2013

VIDEO-RAP KUTOKA KISAUNI-MOMBASA-KENYA

WATIWE VIDOLE

NYUMBA 100 ZINAVUNJWA NCHINI ZANZIBAR MAPINDUZI DAIMA MAPINDUZI DAIMA


Bora ni anze kwa kucheka kwanza hahahahahaha mwaka 1964 yalipokuja mapinduzi ya Zanzibar hapa nchini zanzibar sisi watu wausi tulitiwa sumu kweli kweli ya kuwachukia dungu zetu na kufurahia kila walilo fanyiwa na Serekali ya Mapinduzi kama kutolewa ndani ya nyumba zao na kupewa sisi au kunyanganywa mashamba yao na kukatwa heki na kupewa sisi kuvunjiwa nyumba zao na hata kunajisiwa wake zao na watoto wao wakike sisi tukawa tunafurahi sana sana na kuimba mapinduzi daima kumbe tulikuwa ni wajinga wa kufikiri maana sasa wao hawapo tena wamefukuzwa tumebaki sisi kwa sisi mambo hayajatengenea toka nchi hii ilipo pinduliwa na majahili Wakizanzibari wakathani wataka madarakani daima mpaka leo nchi hii inakwenda vile vile kithulma tu basi kisha tunalalamika tusilala mike bali tufurahi tena sana na kuimba pia tuendelea kuimba mapinduzi daima mapinduzi daima kwa nini tulalamike..? au kwa nini leo nyumba zetu zikivunjwa tunalia wakati 1964 Wazanzibari wenzetu walipovunjiwa nyumba zao na kutolewa ndani ya majumba yao sisi tulikuwa tukifurahiya.
MAMLAKA ya Maji Zanzibar imevunja nyumba nyengine 39 za makazi katika maeneo ya Mwanyanya wilaya ya Magharibi Unguja na kufanya idadi ya nyumba zilizovunjwa kufikia 55, baada ya kujengwa katika vianzio vya maji.
Kwa mara nyengine buldoza lilishuhudiwa likivunja nyumba hizo huku baadhi ya wamiliki wake wakiangua vilio.
Akizungumza na waandishi wa habari, Afisa Uhusiano wa Mamlaka hiyo, Zahor Suleiman Khatib, alisema nyumba 100 zitavunjwa katika opresheni hiyo.
Alisema Mamlaka imechukua hatua hiyo baada ya wamiliki kujenga kwenye vianzio vya maji na kukaidi amri ya serikali.
Alisema nyumba zilizovunjwa ni zile ambazo wamiliki wake wamevamia na kwamba hakuna mtu atakaelipwa fidia.
Alisema nyumba hizo zimejengwa ndani ya mipaka iliyowekwa na Mamlaka hiyo, ambamo zimo chemchem za maji zinazosambaza huduma katika mji wa Zanzibar na vitongoji vyake.
Aidha alisema, mbali ya kujenga wananchi hao wamekata miti na kusababisha jua kukausha chemchem hizo, zilizoanza kupata athari kubwa ikiwemo kupunguza uzalishaji wa maji.
Alisema pamoja na juhudi zinazochukuliwa kupitia vyombo vya habari kuihamasiaha jamii kuacha kujenga katika vianzio vya maji, bado jamii inaendelea kushindana na serikali kwa kujenga ndani ya vianzio na kuharibu miundombinu ya maji.
“Tunachukua juhudi kubwa kuwafahamisha wanachi kupitia vyombo vya habari kutojenga katika vianzio vya maji pia kwa kuthibitisha hilo tulijenga nguzo zetu 100 kuwaonesha mipaka lakini baada ya wiki tatu nguzo hizo walizibomoa na kushindana,” alisema.
Nae Mwanasheria wa Mamlaka hiyo Khadija Makame, alisema hakuna fidia itakayolipwa kwa waliobomolewa.
Alisema maeneo hayo yalipigwa marufuku zamani kufanywa shughuli zozote ikiwemo kuchibwa mchanga, kutupa taka na kujenga nyumba za maakazi lakini cha kushangaza wananchi hao walikaidi amri hiyo.
Kwa upande wake Sheha wa Shehia ya Mwanyanya, Pembe Khamis Pembe, alisema alikuwa akichukua juhudi za mara kwa mara kuwaelimisha wananchi wake kuwa sehemu hiyo haitakiwi kujengwa lakini wamekuwa wakiendela kujenga na kumuona hana maana.
Hata hivyo, alikanusha kwamba baadhi ya wamiliki wa nyumba hizo aliwauzia viwanja akishirikiana na Diwani.
Chemchem ya maji Mwanyanya ni ya muda mrefu ambayo ipo tangu mwaka 1923.

Thursday, October 3, 2013

KUMBUKUMBU ZA PICHA ZA NCHI YA ZANZIBAR NA PICHA YA MWAKA 1885 TANGANYIKA HAITABULIKI DUNIANI KAMA NI NCHI BALI NI PORINI NA MISITU TU


HII NDIO NCHI YETU YA ZANZIBAR TOKA ENZI NA ENZI NI NCHI SIO PORI NA MWITU

TRANI YA KWENDA BUBUBU TOKA ENZI HIZO WAZEE TUNA TRANI ZANZIBAR

HAPA NDIO DARAJANI NCHINI ZANZIBAR

HII NDIO BUBUBU RAILWAY STATION, NCHINI ZANZIBAR


HII NDIO TANGANYIKA MIAKA YA 1885 ALIKUWA SIO NCHI BALI NI PORI NA MISITI WAZUNGU WAKIJA WAKIFANYA WANAVYOTAKA WAKICHOKA HUJIFANYA KUWABATIZA WATANGANYIKA LEO WATANGANYIKA MUMEJUWA KUVA SUTI MNATUTUKANA WAZANZIBARI AMAKWELI ALIYE LALA USIMUAMSHE UKUMUAMSHA BASI UTALALA WEWE NA NI KWELI WAZANZIBARI TUMELALA FOFOFO NCHI YA ZANZIBAR IMEKUWA MKOA WA PWANI WA TANGANYIKA.

Tuesday, October 1, 2013

PICHA ZA KUMBUKUMBU KUWA KWELI ZANZIBAR NI NCHI


Rais Abeid Amani Karume wa nchi ya Zanzibar akiwa na Rais Gamal Abdel Nasser wa Misri mara baada ya kiongozi huyo kuwasili nchini Zanzibar kwa ziara rasmi tarehe 24 Septemba, 1966. Kushoto kwa Mzee Karume anaonekana Brigadier General Yussuf Himid hii ndio NCHI YA ZANZIBAR NANI ASIYEITAKA NCHI HII KURUDI..?

Malkia Elizabeth II wa Uingereza akiwa ameambatana na mwenyeji wake Rais wa nchi ya Zanzibar Sheikh Aboud Jumbe mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa nchi ya Zanzibar kwa ziara rasmi katika visiwa hivi mwaka 1979.

Hadi wakati huo zilibakia angalau alama kama hizo za Muungano wenye heshima, haki na usawa kati ya nchi ya Zanzibar na Tanganyika.

Sasa mambo yamegeuka. Badala ya Wakuu wa Madola ya kigeni kutembelea nchi ya Zanzibar, kupokelewa rasmi kwa gwaride na kupigiwa mizinga 21 huku Wimbo wa Taifa wa nchi ya Zanzibar na ule wa nchi ya Mkuu anayetutembelea zikipigwa kwa heshima, sasa Rais wa nchi ya Zanzibar na wasaidizi wake hufunga safari kwenda Tanganyika kuwapokea Wakuu wa Nchi za Nje na kufanya nao mazungumzo yanayoihusu nchi ya Zanzibar huko huko kwa MKOLONI MWEUSI TANGANYIKA.

Nchi ya Zanzibar kudhibiti na kuendesha wenyewe Mambo ya Nje si suala jipya. Jamhuri ya Watu wa Zanzibar ilikuwa na Wizara ya Mambo ya Nje na pia ilikuwa na Mabalozi wake waliokuwa wakiwakilisha nchi ya Zanzibar nje ya nchi. Pichani ni Balozi wa nchi ya Zanzibar nchini Misri, Salim Ahmed Salim, akiwasilisha khati zake za ubalozi kwa Rais Gamal Abdel Nasser mwaka 1964.

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Watu wa China, Chou En-Lai akiwa ameambatana na mwenyeji wake Rais wa Jamhuri ya Watu wa Zanzibar, Sheikh Abeid Amani Karume anakagua gwaride rasmi la kijeshi kwenye Uwanja wa Ndege mara baada ya kuwasili nchini Zanzibar kwa ziara rasmi tarehe 5 Juni, 1965.

FREE ZANZIBAR PEOPLE FROM MKOLONI MWEUSI TUNA SEMA ASNTE SANA (Ismail Jussa)KWA KUZIHIFATHI PICHA HIZA NA SISI KUWEZA KUZIPATA SANTE SANA.