Saturday, December 27, 2014

VIDEO-SHEIKH ALLY BASSALEH-KUHUSU MUUNGANO NA UFUNGUZI WA VITABU VYA SHEIKH NURDIN KISHKI.

Bassaleh vunjeni Muungano

Sheikh Nurdin Kishki Atowa Vitabu Vya Mawaidha Ally Bassaley 2013

NDUGU YANGU NUNUWA VITABU USOME UELIMIKE NA WEWE UELIMISHE NA WENZIO IN SHAA ALLAH.

KILA MZANZIBARI ATAULIZWA SIKU YA KIYAMA NA MWENYEZI MUNGU ULIPOSIKIA WAZANZIBARI WENZIO WANADHALILISHWA NA KULAWITIWA NA HAWA JE ULIFANYA NINI TAFUTA JIBU LAKO MAPEMA KWA SIKU HIYO YA KIYAMA SIKU AMBAYO MALI NA WATOTO WAKO WALA CHEO CHAKO HAVITAKUFAA SIKU HIYO.

VIDEO- UCHUNGU WA MAUTI NA SAKRATILMAUTI-JE UMEJIENDA VYEMA KUKUTANANA MAUTI NA M,MUNGU ALIYE KUUMBA....??????



KILA MZANZIBARI ATAULIZWA SIKU YA KIYAMA NA MWENYEZI MUNGU ULIPOSIKIA WAZANZIBARI WENZIO WANADHALILISHWA NA KULAWITIWA NA HAWA JE ULIFANYA NINI TAFUTA JIBU LAKO MAPEMA KWA SIKU HIYO YA KIYAMA SIKU AMBAYO MALI NA WATOTO WAKO WALA CHEO CHAKO HAVITAKUFAA SIKU HIYO.

VIDEO- SHEIKH JUMA AMEIR - UISLAMU AFRIKA MASHARIKI - KESHO KUTWA WATAIMBA WAISLAM HAPPY NEW YEAR YA SHANGAZI YAKO GANI...????


KILA MZANZIBARI ATAULIZWA SIKU YA KIYAMA NA MWENYEZI MUNGU ULIPOSIKIA WAZANZIBARI WENZIO WANADHALILISHWA NA KULAWITIWA NA HAWA JE ULIFANYA NINI TAFUTA JIBU LAKO MAPEMA KWA SIKU HIYO YA KIYAMA SIKU AMBAYO MALI NA WATOTO WAKO WALA CHEO CHAKO HAVITAKUFAA SIKU HIYO.

VIDEO-SHEIKH OMAR BASHIR

PART 1
PART 2

KILA MZANZIBARI ATAULIZWA SIKU YA KIYAMA NA MWENYEZI MUNGU ULIPOSIKIA WAZANZIBARI WENZIO WANADHALILISHWA NA KULAWITIWA NA HAWA JE ULIFANYA NINI TAFUTA JIBU LAKO MAPEMA KWA SIKU HIYO YA KIYAMA SIKU AMBAYO MALI NA WATOTO WAKO WALA CHEO CHAKO HAVITAKUFAA SIKU HIYO.

Saturday, December 20, 2014

NI YUPI GAIADI...????? MSEMA KWELI NA KUTAKA WANANCHI WAWE NA MAISHA MAZURI AU WANAO IBAA MAMILLIONI KWA MAMILLION NA KUJIRUNDIKIA HUKU WAKIWAWACHA WANANCHI KATIKA HALI MBAYA YA KIMAISHA





MAJAMABAZI WA MAMILLIONI YA MAPESA YA WANANCHI. YANGETUMIKA KWA KUINUWA HALI ZA MAISHA YA WANANCHI ILA LAA WAO WANAIBA WAKITUMIA WAO KATIKA MAISHA YAO NA MAENDELEO YAO BINAAFSI

KESI ZA KUSINGIZIWA NA KUKANDAMIZWA ILI WASISEME UKWELI KUHUSU NCHI







KILA MZANZIBARI ATAULIZWA SIKU YA KIYAMA NA MWENYEZI MUNGU ULIPOSIKIA WAZANZIBARI WENZIO WANADHALILISHWA NA KULAWITIWA NA HAWA JE ULIFANYA NINI TAFUTA JIBU LAKO MAPEMA KWA SIKU HIYO YA KIYAMA SIKU AMBAYO MALI NA WATOTO WAKO WALA CHEO CHAKO HAVITAKUFAA SIKU HIYO.

SEREKALI YA TANGANYIKA IMEUFYATA KWA VIONGOZI MAJAMBAZI WA MAMILLIONI LAKINI MNYONGE AKIKATA MTI MIEZI 6 JELA CCM OYEEEE



BEFORE_THE_IMPROVING_TRADIONAL_WATER_WELL
MTANGANYIKA NA MZANZIBARI ENDELEA TU KUPIGIA KURA CCM MAJAMBAZI MAENDELEO YANAKUJA MUSIJALI MAJI SAFI NA UMEME KAMA KAWA

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka, akielezea msimamo wake wa kutojiuzulu katika mkutano wake na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana nchini Tanganyika.
Siku mbili baada ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG), Jaji Frederick Werema, kujiuzulu, Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Prof. Anna Tibaijuka, ameibuka na kuanza kujisemea na kumsemeya Prof Sospeter Muhongo kuwa yeye pamoja na Waziri wa Nishati na Madini, Prof. Sospeter Muhongo, hawawezi kuchukua uamuzi huo kwa sababu Rais Jakaya Kikwete anawategemea kwa uchapaji kazi wao. (Duuuuh uchapakazi wa kuiba mamillioni Duuuuh) Prof. Tibaijuka na Prof. Muhongo, ni miongoni mwa watuhumiwa wa kashfa ya uchotwaji wa zaidi ya Sh. bilioni 300 katika akaunti ya Tegeta Escrow, iliyokuwa Benki Kuu ya nchi ya Tanganyika (BoT).  Prof. Tibaijuka alitoa msimamo huo alipozungumza na waandishi wa habari katika mkutano ulioitishwa ghafla jijini Dar es Salaam jana nchini Tanganyika. Alisema yeye na Prof. Muhongo wanafanya kazi kubwa, ambayo inamfanya Rais Kikwete awategemee na kwamba, wanafahamiana walipokuwa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM). ((kwa mtizamo na kama huyu mama anatowa onyo kwa kikwete kuwa ukinifukuza unajuwa ni nini kitakukuta))
“Kazi za Muhongo alizopewa na Rais Kikwete zinaonekana kwa macho, kama nguzo za umeme, wananchi wanaona. Lakini kazi zangu hazionekani. Ni kama figo zilizoko ndani ya mwili wa binadamu. Kazi ya Wizara ya Ardhi ni kubwa kuliko watu wanavyofikiri,” alisema Prof. Tibaijuka. Akijibu swali kama yeye ni kibaraka wa Prof. Muhongo kutokana na kupata mgawo katika fedha hizo, alisema yeye (Prof. Tibaijuka) hawezi kuwa kibaraka na hawezi kufanya kazi ya udalali. Alisema yeye na Prof. Muhongo wanafahamiana na kwamba, hata Rais Kikwete anafahamu urafiki wao na hawawezi kuacha kushirikiana kwa sababu wote wamepewa kazi na Rais, ambaye atashangaa kusikia hawaongei. Prof. Tibaijuka, ambaye alipata mgawo wa Sh. bilioni 1.6 katika fedha hizo kutoka kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya VIP Engineering and Marketing LTD, James Rugemalira, alisema kamwe hawezi kujiuzulu na pia anajivunia na kuona fahari kupata fedha hizo. Kampuni hiyo ya Rugemalira ilikuwa mwana hisa katika IPTL.(mama anataba bila ya wasi wasi) Alisema ni bora alivyopata fedha hizo na kuzipeleka katika shule yake kwa ajili ya kusaidia shughuli za elimu kwa watoto wa kike wasio na uwezo. Kutokana na hali hiyo, alisema anahitaji kusifiwa kwa ujasiri wake wa kukiri kupokea fedha hizo na kuzitolea maelezo, ingawa alikosa nafasi hiyo katika Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC).
Akijibu swali sababu za kutokutoa maelezo hayo mbele ya PAC, Prof. Tibaijuka alisema anayepaswa kuulizwa swali hilo ni Mwenyekiti wa Kamati hiyo ya Bunge, Zitto Kabwe.Alisema PAC haikumwita ili atoe maelezo hayo, badala yake Bunge liliishia kutoa maazimio, ambayo mawili kati yake, moja likitaka wachunguzwe na lingine wawajibishwe.Prof. Tibaijuka alisema wakati azimio la kutaka wachunguzwe halijatekelezwa, azimio la kutaka wawajibishwe tayari linatoa hukumu dhidi yao. Akijibu swali sababu za kugoma kujiuzulu, alisema fedha hizo hazijathibitishwa kuwa ni haramu.Alisema atajiuzulu tu iwapo itathibitika fedha hizo za Rugemalira, siyo halali. Prof. Tibaijuka alisema fedha hizo hazijathibitishwa na serikali kuwa siyo halali, kiasi cha yeye kutakiwa kujiuzulu nafasi yake serikalini.Alisema fedha hizo hazina uhusiano kati yake na nafasi ya uwaziri aliyonayo, kwani zilikwenda moja kwa moja kusaidia kulipa deni la Sh. bilioni mbili, ambazo moja ya shule zake ilikopo kutoka Benki M. ((shule ni yako kwanini ulipe na pesa za umma usilipe na zamshahara wako..?))
Prof. Tibaijuka alisema iwapo itabainika fedha hizo si halali atakuwa tayari kuzirudisha.“Iwapo fedha hizo zitathibitika siyo halali, Joha Trust itazirudisha, kama taasisi inavyoitwa nia njema, sisi hatuhifadhi fedha zisizo halali,” alisema Prof. Tibaijuka. Alisema fedha hizo alizipokea Februari 12, mwaka huu, zilitokana na maombi ya awali kutafuta michango kutoka kwa wafanyabiashara wa ndani na wafadhili wa nje.Alisema hoja kwamba, alipokea mchango mkubwa, haina uzito kutokana aina ya mtu, ambaye alimpa mchango huo na kusema ni mtu mwenye fedha na pia ni mfanyabiashara. “Labda mnafikiri unapoomba fedha kwa mtu kama Bill Gates unategemea atakuchangia kama kiasi gani? Siyo senti. Hata mimi nilipoambiwa na Rugemalira nikaangalie akaunti yangu ina shilingi ngapi na kukuta fedha nyingi, nilijua leo nimeamkia mkono wa kulia. Nilifurahi,” alisema Prof. Tibaijuka. Alisema fedha hizo alichangiwa kwa ajili ya kulipa sehemu ya deni la Sh. bilioni mbili anazodaiwa na Benki M.Prof. Tibaijuka alisema fedha hizo walikopa kwa ajili ya ujenzi wa bweni la shule lenye uwezo wa vitanda 163.(( unajenga ili ukijiuzulu unamiradi yako ya kimaisha unaikeza mwenyewe weee))
Alisema fedha hizo zimechangia maendeleo ya elimu kwa kuwatengenezea watoto mazingira bora.“Hii kitu inabidi tuwe makini kama Taifa, kwani mimi nilikuwa mtumishi Umoja wa Mataifa. Lakini sikuweza kubeba fedha. Na kuna mapesa kule. Iwe katika nchi hii, ambayo nafahamu hata wapigakura wangu wa kule Muleba Kusini na wakulima wanaishi maisha ya chini....?” alihoji Prof. Tibaijuka. Alisema uamuzi wa kuzitoa fedha hizo haraka katika Benki ya Mkombozi, ulifikiwa na Bodi ya Wadhamini ya Joha Trust, ambayo ilitoa maamuzi kwamba, zitumike kulipa deni la Benki M.Hata hivyo, katika mkutano huo Prof. Tibaijuka hakutoa nyaraka zozote zikiwamo risiti zinazoonyesha deni hilo lilivyolipwa kupitia benki hiyo. Alisema analazimika kutoa maelezo hayo katika vyombo vya habari kutokana na kutopewa nafasi ya kufanya hivyo mbele ya PAC. “Kitendo cha mimi kuitwa Escrow, kwa kweli si kizuri na kinashusha maadili hata ya wewe unayekifanya. Waandishi msiandike, ambacho kinasemwa. Fuatilieni kwa umakini. Kwanza hii inaweza kuliweka Taifa katika image (taswira) mbaya. Nilitumikia Umoja wa Mataifa (UN), hata Katibu Mkuu wa UN akiona nimechukua fedha hizi hii, haipendezi,” alisema Prof. Tibaijuka. ((wewe mama unafikiri utaweza kuwaibia wazungu huko U.N. lakini hapa Tanganyika munaiba toka utawala wa nyerere nyinyi mnaiba mpaka sasa wacha kujikosha ushajuwa ni pesa za wizi basi kama kweli wewe hutaki kuwa lawamani zirudishe umedinda kuzirudisha kwa sababu mushazoe kuiba.))
Alisema serikali bado haijathibitisha kuwa fedha za Rugemalira ni haramu kiasi cha yeye kulaumiwa.Kutokana na hali hiyo, alionya kuwa kujiuzulu kusiwe kama mtindo, kwani fedha hizo hazikugusa utendaji kazi zake kama mtumishi wa serikali.Alisema mitandao inaendelea kuandika na asilimia kubwa wakimtukana. Matamshi hayo yametolewa na Prof. Tibaijuka katika kipindi, ambacho Rais Kikwete akitarajiwa kutoa maamuzi kuhusiana na kashfa hiyo wakati wowote.Kwa mujibu wa taarifa kwa vyombo vya habari iliyotolewa na Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais, Ikulu, jijini Dar es Salaam, Jumapili ya wiki iliyopita, Rais Kikwete anatarajiwa kutoa maamuzi hayo ndani ya wiki hii. Wakati huo huo Mahakama ya Wilaya ya Kigoma imemhukumu Zuberi Lubengela (70) kutumikia kifungo cha miezi sita jela, kwa kosa la kukata mti aina mgunga wenye thamani ya Sh. 100,000, mali ya kanisa la TAG lililopo kijiji cha Kiganza. Hukumu hiyo ilitolewa jana na Hakimu Mfawidhi wa mahakama hiyo, David Ngunyale, baada ya upande wa mashtaka kuiridhisha mahakama kuwa mshtakiwa huyo alitenda kosa hilo. Hakimu Ngunyale alisema mahakama inatoa adhabu kali dhidi ya mshtakiwa ili iwe fundisho kwake na kwa wazee wengine wenye tabia kama yake. Alisema upande wa mashtaka ulipeleka mashahidi wawili mahakamani hapo ambao walithibitisha kuwa mshtakiwa huyo alikata mti aina ya mgunga wenye thamani ya Sh. 100,000 mali ya kanisa la TAG kinyume cha sheria.

KILA MZANZIBARI ATAULIZWA SIKU YA KIYAMA NA MWENYEZI MUNGU ULIPOSIKIA WAZANZIBARI WENZIO WANADHALILISHWA NA KULAWITIWA NA HAWA JE ULIFANYA NINI TAFUTA JIBU LAKO MAPEMA KWA SIKU HIYO YA KIYAMA SIKU AMBAYO MALI NA WATOTO WAKO WALA CHEO CHAKO HAVITAKUFAA SIKU HIYO.

Friday, December 19, 2014

VIDEO-KESI YA ESCROW TUNDU LISSU A.K.A. RONALDO ALIVYO FYATUKA BUNGENI NCHINI TANGANYIKA

TUNDU A.K.A. RONALDO BUNGENI

MAJAMBAZI WALIO IBAA PESA ZA WANANCHI KESI YA ESCROW

JAMBAZI LILILO IBAA PESA ZA WANANCHI KESI YA ESCROW

JAMBAZI LILILO IBAA PESA ZA WANANCHI KESI YA ESCROW

JAMBAZI LILILO IBAA PESA ZA WANANCHI KESI YA ESCROW

KILA MZANZIBARI ATAULIZWA SIKU YA KIYAMA NA MWENYEZI MUNGU ULIPOSIKIA WAZANZIBARI WENZIO WANADHALILISHWA NA KULAWITIWA NA HAWA JE ULIFANYA NINI TAFUTA JIBU LAKO MAPEMA KWA SIKU HIYO YA KIYAMA SIKU AMBAYO MALI NA WATOTO WAKO WALA CHEO CHAKO HAVITAKUFAA SIKU HIYO.

MKUTANO WA CCM WARABU SI WATU,MASULTANI HAWAA,WATARUDI WARABU MUTAKUWA WATUMWA NYUMA YA PAZIA WANAWAPIGIA MAGOTI HAO HAO WARABU YAO YAWAENDEA SIO KWA FAIDI YA NCHI BALI KWA MASLAHI YAO BINAFSI


WATANGANYIKA NA WAOMANI NI DAMDAM ILA WAZANZIBARI NI DAMU YA KUNGUNI


MASULTANI WEEE WARABU WEEE MASULTANI WEEE BLA BLA BLA

MASULTANI WEE WARABU WEE SIO WATU HAWA WALITUFANYA WATUMWA WEE KILA KUKICHA KWEYE MIKUTANO YA CCM BILA YA KUTAJA MUARABU AU SULTANI MKUTANO BADO HAUJAKOLEA NYUMA YA PAZI MUMO KUWAOMBA


MASULTANI WEEE WARABU WEEE HI NCHI YA WATU WEUSI BLA BLA BLA WAFANYA NINI KWA WARAB NA WA NI WATU WABAYA WEE KIBUSHUTI SHEIN...???

M.MUNGU HAWAFICHI WANAFIKI HATA WAKIJIFICHA ATAWAFICHUWA TUU

MASULTANI WEEE WARABU WEEE HAWA SIO WATU WARABU MASULTANI UNAFANYA NINI KWAO...........????   ....MR ZANZIBAR SIO NCHI

WATANGANYIKA SIKU HIZI HAWATOKE KWA WANAO WAITA NI MASULTANI KUNANI......??


WATANGANYIKA SIKU HIZI HAWATOKE KWA WANAO WAITA NI MASULTANI KUNANI......??

MAKINDA..AKIMKABIDHI ZAWADI YA PICHA YA MLANGO WA ZENJI WA NYUMBA  KWA NINI ASIMPE WA KILIMAJARO AU MBUGA ZA WANYAMA IWE NI ZANZIBAR....?? SPIKA WA BUNGE LA JUU LA OMAN MAJLIS DOULA, MHESHIMIWA DR YAHYA AL MANDHARY.

AMIIIII LUKUVI AMIIIIII LUKUVI WAJA LEO WAONDOKA MWAKANI AMIII LUKUVI

HAYA BERNARD MEMBE HILO PIA LINALO WAZUWIA WAZANZIBARI WASIENDE KUOMBA MISAADA YEYE MWENYEWE HATOKI OMAN

AMIIII MEMBE OMANI KUTAMU EHEEE AMIIII MEMBE

MEMBE AKIMKABIDHI ZAWADI ANGALIA PICHA KWA NINI ISIWE YA KARIAKO BADALA YA STONE TOWN NCHINI ZANZIBAR AU ZIWA VICTORIA AU LIKE TANGANYIKA.

AMIII MEMBE VIPI KUPAKAZA KASUMBA ZA USULTANI WAKITI WEWE NDIO WA KWANZA KWENDA OMAN YAKHEEE AMII MEMBE VIPI YAKHEEEE

AKIWA KWENYE MKUTANO WA CCM BALOZI MDOGO WA NCHI YA TANGANYIKA ALIYAPO HAPA NCHINI ZANZIBAR MASULTANI WEEE WANATAKA KURUDI WARABU WEE HII NCHI YA WATU WEUSI WEE KASUMBA NYINGI HUYU HAPA MUONENE ANAVYO JIPENDEKEZA KWA HAO HAO MASULTANI

BALOZI NAONA UMEZUNGUKWA NA MASULTANI AHAA MWENYEWE WEEE
WAPUMBAVU NI SISI WAZANZIBARI TUNAO KWENDA KWENYE MIKUTANO YA CCM KUSIKILIZA UPUMBAVU WA KIBAGUZI NA CHOKOHOKO WAKATI VIONGOZI WENYEWE HAWA HAPA WANAPIGA MAGOTI KWA HAO HAO WANAOWAITA MASULTANI NA WATANGANYIKA NDIO KABISA WAKIWASHWA TU WASHAFIKA OMAN

KILA MZANZIBARI ATAULIZWA SIKU YA KIYAMA NA MWENYEZI MUNGU ULIPOSIKIA WAZANZIBARI WENZIO WANADHALILISHWA NA KULAWITIWA NA HAWA JE ULIFANYA NINI TAFUTA JIBU LAKO MAPEMA KWA SIKU HIYO YA KIYAMA SIKU AMBAYO MALI NA WATOTO WAKO WALA CHEO CHAKO HAVITAKUFAA SIKU HIYO.

VIONGOZI MAJAMBAZI,WALEVI,WEZI,WAUWAJI,WANAOPENDA STAREHE,WASIO JALI UTU WALA WATU ZAIDI YA MATUMBO YAO,WAKE ZAO,MAHAWARA WAO NA WATOTO WAO N.K. UKIWAPA NCHI KUONGOZA UNATARAJIA NINI...????


WALEVI UKIWAPA NCHI KUONGOZA UNATARAJIA NINI...........?????

MASULTANI WEEE WARABU WEEEE MR ZANZIBAR SI NCHI AKIWA OMAN KAKIMBIA HUKO HUKO NCHI ZA KIARABU KWENDA KUJIFICHA MPAKA BALAA LA ESCROW LIPOWE AKIRUDI UTASIKIA CHUKI ZAKE MASULTANI WALE WABAYA WALE YAGUJUUU

Inastajabisha na kushangaza kusikia kiongozi mkuu wa serikali ya Tanganyika, kama Mizengo Pinda, Waziri Mkuu wa Nchi ya TANGANYIKA kuwa amesafiri ziara nje ya nchi kwa muda wa zaidi siku 15, wakati nchi iko katika hali tete sana kisiasa, na isitoshe yeye mwenyewe Pinda ni moja wa watu wanaotuhumiwa kila upande – kuanzia kasi ya ESCROW, hadi huu uvurugaji wa uchaguzi wa serikali za mitaa katika nchi ya Tanganyika. Katika hali kama hii, sisi tuliopata mafunzo zamani ya kiutawala, na labda ulinzi/wa nchi basi ilikuwa hata katibu mkuu haruhusiwi kuondoka kutoka kituo kimoja cha kazi hadi chengine; yaani hata kama uko Dar, basi huwezi kwenda hata Tanga mpaka kijulikane (au kwa lugha yenu ya siku hizi vijana, mpaka kieleleweke).
Mimi nimeitafsiri ziara ya Pinda nje ya nhci ni moja ya jeuri zake na kibri alichonacho anachokiendeleza na pia kutokuwa na umakini wa Rais mwenyewe, Kikwete. Vipi hali kama hii anamruhusu Waziri Mkuu wake aondoke nchini (je, akibadilisha kibao huko, na kuamua kumpinga akiwa nje ya nchi, ok hili si tatizo lakini kwa nini amruhusu jambazi hili....??); au kwa maelelezo tuliyosoma jana, ni kuwa kama vile Rais hajui! Daaah! Hivi kweli Rais hajui kuwa Waziri Mkuu wake hayupo nchini, mpaka kuagizishia arudi.....? Hivi kweli inaingia akilini hii......? wewe basi Raisi au shaghala balaaa hujuwi Waziri Mkuu wako kuwa hayupo Nchini utajuwa shida za wananchi wako kweli.......? situnadanganyana tu. Kama ni hivyo, ni aina gani ya uongozi au uendeshaji wa serikali...???? Kama ni hivyo,basi raha sana kuongoza nchi ya  Tanganyika — kuwa hata Katibu Mkuu, au Mkurugenzi anaweza kuondoka nchini bila kujulikana…..tunajua amekwenda kufanya nini huko.....??
Pinda anasema eti amekwenda kutafuta vitega uchumi na wawekezaji. Huu ni uwongo usiokuwa na macho wala miguu, wiki mbili basi....?? Hee jama limeiba kisha limeona kashfaa inakuja limesepa nchi za uwarabuni kwenda kupoza kwanza na kusikiliza upepo ili watu wasahau kisha akirudi kama kawaida wapi tuibe weee……Obama alikuja nchini Tanganyika siku moja na nusu, na alifanya deal ya billions of dollars, Putin yupo India na kwengineko, kila pahala siku moja…..na anavuna trilions of dollars…kama vitega uchumi, na kukuza biashara….yule tapeli number moja siku duniani, Mchina…..rais wake hupita tu pahala wala halali au kukaa….anavuna billions na kuiba rasilmali zote zilizopo kwa kila nchi, na akipata wajinga kama hivi nyie Watanganyika au Wazanzibari basi ndio huokota kama anavyo-okota embe dodo (kwa sisi watu wa shama). Jamani nchi lazima iwe na nidhamu — kisheria na taratibu hata Rais wa nchi anatakiwa ajulikane ziara zake ni siku ngapi; lakini sio mwezi au miezi miwili kama anavyofanya Raisi wenu mwenyewe JK eti anatafuta vitega uchumi na kuvutia wawekezaji yaguuujuuuuu.
Sasa jeuri kama hizi za akina Pinda na wenzake, ndio inaifanya nchi ya Tanganyika kuwa mpaka leo haina maji, ndoo kichwani….haina umeme Miaka 50 na ushiyaa Viongozi wa CCM majambazi wameshindwa kuwa wananchi maji na umeme tu ndio kweli wataweza kuleta maendeleo......???  (sasa mgao umerudi Tanyangika kutokana na upuuzi kama huu wa akina Pinda au Tibaijuka na hayo majambazi yalio jaa bungeni kazi kuiba tuuu. Jana nimesoma kuwa Tibaijuka anasema kuwa yeye hajiuzulu maana hajaiba wala kuhusika na sakata la EScrow. Heeee….mama weee unayejisifu kuwa ni mstaaf wa UN. OK, hujaiba wala hujachukua cha mtu unamdanganya nani......??? Hii kufanyiwa trasation ya 1.6 bilion ni halali, kwa nchi gani......????? financial regulations zinasemaje hapa Tanganyika, sikwambii huko UN unakojisifu kuwa wewe ni mstaafu wake. Je, UN inaruhusu kitita kama hichi cha pesa kusafirishwa au kuwa wired trasfer kama hivi. Mimi siku zote nina shaka sana na taasisi kama UN maana watendaji wake ndio kama hawa Tibaijuka, au Asha Rose Migiro na wengine kama hao, watu ambao credibility zao ni mashaka mashaka. Watu wenye mashaka mashaka kama hawa Tibaijuka, ndio waliofanya na kuandika rasimu mpya ya katiba…ile wanayoitaka wao, sio wanayoitaka wananchi, ili wapate kuiba zaidi na zaidi…….hiyo ndio nchi ya Tanganyika/wezi mtupu na ndio wanaowafundisha Viongozi wa nchi ya Zanzibar kuwa majizi namba 1

KILA MZANZIBARI ATAULIZWA SIKU YA KIYAMA NA MWENYEZI MUNGU ULIPOSIKIA WAZANZIBARI WENZIO WANADHALILISHWA NA KULAWITIWA NA HAWA JE ULIFANYA NINI TAFUTA JIBU LAKO MAPEMA KWA SIKU HIYO YA KIYAMA SIKU AMBAYO MALI NA WATOTO WAKO WALA CHEO CHAKO HAVITAKUFAA SIKU HIYO.

MAJAMBAZI YANAJIUZULU NA KUPANGIWA KAZI NYENGINE ILI WAENDELE KUIBA MTETEA WANYONGE ANAFUKUZWA KAZI CCM OYEEE

bnnn
Huyu wa kwanza ameacha kazi baada ya kushiriki katika njama na ufanikishaji wa wizi wa fedha za umma (Mabilioni ya Escrow)….
Huyu wa pili alifukuzwa kazi miezi michache iliyopita baada ya kutetea haki, ukweli na matakwa ya wananchi katika mchakato wa katiba.
Watanzania ijuweni Serekali ya ccm inavyo fanya kazi za kimafya za kulindana
Hukumu ya vigogo wa ccm ni nguvu ya umma ikiamua (people’s Pewer), bila ya nguvu ya umma basi ccm itaendeleza umafya wake na watanzania tusahau mabadiliko ya maisha bora kwa kila Mtanzania
Chanzo Facebook Julius S. Mtatiro

KILA MZANZIBARI ATAULIZWA SIKU YA KIYAMA NA MWENYEZI MUNGU ULIPOSIKIA WAZANZIBARI WENZIO WANADHALILISHWA NA KULAWITIWA NA HAWA JE ULIFANYA NINI TAFUTA JIBU LAKO MAPEMA KWA SIKU HIYO YA KIYAMA SIKU AMBAYO MALI NA WATOTO WAKO WALA CHEO CHAKO HAVITAKUFAA SIKU HIYO.

Thursday, December 18, 2014

MOJA KATIKA MAJAMBAZI YALIO IBAA MMILLIONI YA ESCROW FREDERICK WEREMA LAAMUWA KUJIUZULU ILI SASA LIKATUMIYE HIZO PESA VIZURI


Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Frederick Werema amejiuzulu nafasi yake hiyo kuanzia leo, Jumanne, Desemba 16, 2014 na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amekubali ombi hilo la kujiuzulu.
Katika barua yake kwa Mhe. Rais Kikwete, Jaji Werema amesema kuwa ameomba kujiuzulu kwa sababu ushauri wake kuhusiana na suala ya Akaunti ya Tegeta Escrow hakueleweka na umechafua hali ya hewa.
Mhe. Rais Kikwete amemshukuru Jaji Werema kwa utumishi wake ulioongozwa na uaminifu na uadilifu.


NAMNUKU...Mhe. Rais Kikwete amemshukuru Jaji Werema kwa utumishi wake ulioongozwa na uaminifu na uadilifu.

bora nicheke kwanza hahahaha uaminifu na uadilifu uko wapi na jitu lishaibaa mpaka linadhrika kisha wewe unamuita muaminifu na muadilifu......?

HATA AKIJIUZULU WASHTAKIWE PIA NA PESA WARUDISHE ILI LIWE SOMO KWA WENGINE WASHAZOEA HAWA MAJAMBAZI

KILA MZANZIBARI ATAULIZWA SIKU YA KIYAMA NA MWENYEZI MUNGU ULIPOSIKIA WAZANZIBARI WENZIO WANADHALILISHWA NA KULAWITIWA NA HAWA JE ULIFANYA NINI TAFUTA JIBU LAKO MAPEMA KWA SIKU HIYO YA KIYAMA SIKU AMBAYO MALI NA WATOTO WAKO WALA CHEO CHAKO HAVITAKUFAA SIKU HIYO.

Thursday, December 11, 2014

VIDEO-PEMBA ISLAND-MKATA KWAO MTUMWA HATA MKIJIPUBAZA HUKO MLIKO

TUHIMIZANE TUKAJENGE KWETU SIO TUNAJENGA NCHI ZA WATU TU

KILA MZANZIBARI ATAULIZWA SIKU YA KIYAMA NA MWENYEZI MUNGU ULIPOSIKIA WAZANZIBARI WENZIO WANADHALILISHWA NA KULAWITIWA NA HAWA JE ULIFANYA NINI TAFUTA JIBU LAKO MAPEMA KWA SIKU HIYO YA KIYAMA SIKU AMBAYO MALI NA WATOTO WAKO WALA CHEO CHAKO HAVITAKUFAA SIKU HIYO.

HATA MJITIA HAMNAZO MKAE MKIJUWA UKWELI NDIO HUU NA WALA HAUTAFUTIKA MPAKA KIYAMA

HIBU SOMA HAYA MAJINA TU KISHA JIULIZE NDIO MAJINA YA WAARABU YALIVYO..??
HII NDIO SIKU YA KWELI YA UHURU WA NCHI YETU YA ZANZIBAR
12-JAN-1963 HII NI SIKU YA CHINJA CHINJA AU SIKU YA MAUWAJI YA DUGU ZETU,BABA,AMII,ANTI,DADA,BABU NA BIBI NA WENGINE WOTE WALIO ULIWA NA WATANGANYIKA WAKATA MAKONGE WALIO PANDISHWA VIBOTI KUTOKEA TANGA NA KUJA ZANZIBAR KUJA KUUWA.
             
HAWA NDIO WAKATA MKONGE KATIKA MASHAMBA YA MKONGE AL MARUFUU 

MANAMBA WALIO LETWA KUJA KUUWA WAZANZIBARI.
WAZANZIBARI HALISIA MAKUREISHI WA ZANZIBAR
WAUWAJI NDIO HAWA WALIO WAUWA WAZANZIBARI OKELLO MWENYE KOFIA NA WENZAKE
OKELLO AKIJINATA NA KUWATUKANA WAZANZIBARI NA MACHOGO WA TANGANYIKA
OKELLO BAADA YA KUMALIZA KUUWA NA KIFUA MBELE MZEE KARUME NA BABU WANAMCHEKI TU WANAONA HILI FALAA LISHATURAHISISHIA SISI KUKA MADARAKANI.
OKELLO AKIMKABITHI RASMI MADARAKA MZEE KARUME AKAFIKIRI YEYE ATAPEWA MADARAKA YA JUU KUMBE ATAPIGWA CHANGA LA MACHO NA MZEE KARUME
OKELLA BAADA YA KUMALIZA KUUWA WAZANZIBARI NA MACHOGO YA TANGANYIKA NA KUMKABITHI MZEE KARUME NCHI NA BABU NA HANGA WAKAMGEUKA OKELLO WAKAMUAMBIA UNAITWA TANGANYIKA NA NYERERE ALIPOFIKA NYERERE AKASEMA TIA PINGU FUKUZA NJE YA NCHI YANGU YA TANGANYIKA KWISHA UJABARI WAKE ALIONA SIJUWI ATAKUWA MAKAMO WA RAISI WA ZANZIBAR AMEULA NA CHUYAA
WAHAFIDHINA WA ENZI HIZO UTAMU WA MADARAKA HATA HAWAJALI DUGU ZAO WAMEULIWA KWA UTAMU WA MADARAKA

NYERERE NAE AZIDI KETE KARUME AMWAMBIA TUNGANE AU NACHUKUWA MACHOGO WENZANGU KISHA UTAJIJUWAMWENYEWE MZEE KARUMA AUVAA MKENGE MPAKA LEO MKOLONI MWEUSI TANGANYIKA ANATUMALIZA KWA NJIA YA MUUNGANO.
WAZANZIBARI TUNATAKA NCHI YETU TU BASI

KILA MZANZIBARI ATAULIZWA SIKU YA KIYAMA NA MWENYEZI MUNGU ULIPOSIKIA WAZANZIBARI WENZIO WANADHALILISHWA NA KULAWITIWA NA HAWA JE ULIFANYA NINI TAFUTA JIBU LAKO MAPEMA KWA SIKU HIYO YA KIYAMA SIKU AMBAYO MALI NA WATOTO WAKO WALA CHEO CHAKO HAVITAKUFAA SIKU HIYO.