Friday, January 17, 2014

KUNANI RAISI WA NCHI YA TANGANYIKA J.M.KIKWETE KUKUTANA NA MAKAMO WA KWANZA WA RAISI MAALIM SEIF SHARRIF HAMAD WA NCHI YA ZANZIBAR FARAGHA...???

Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akikutana na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, Ikulu jijini Dar es Salaam. Viongozi hao wamekutana na kufanya mazungumzo ya faragha kwa zaidi ya dakika 20. (picha na Salmin Said, OMKR)
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Nchi ya Zanzibar Maalim Seif Sharrif Hamad, amekutana na Rais wa Jamhuri ya Tanganyika Dkt  Jakaya Mrisho Kikwete, Ikulu leo jijini Dar es Salaam Nchini Tanganyika. Viongozi hao wamekutana na kufanya mazungumzo ya faragha kwa zaidi ya dakika 20 au tuseme wamezungumza mazungumzo ya siri peke yao kwa dakika zaidi ya 20 KUNANI.......??

No comments:

Post a Comment