Wednesday, October 1, 2014

MWANASHERIA MKUU WA NCHI YA ZANZIBAR KACHEZA LEO GININGI DODOMA KAMA PELE KWA KURA YA WAZI YA HAPANA SITTA ACHANGANYIKIWA AMUANDIKIA PINDA KIBARUA KIDOGO



Hali ya Mwenyekiti wa Bunge la katiba ya wapenda kula walafi miroho ya kujaza matumbo yao na wake zao na hawara zao na watoto wao wa ndoa na walio kuwa sio wandowa wauwaji wakubwa wadidimizaji wa wananchi kwa miaka zaidi ya 50 naa Samuel Sitta na gangi lake imekua ngumu mno bada ya leo na yeye Mwanasheria mkuu wa nchi ya Zanzibar kupigilia msumari wa kura ya uwazi ya kukataa na kupiga HAPANA.
Hali hii imemtia kikwewe Samuel Sitta,sabba,nanne,tissa na Wana Mapinduzi mashuzi njaa kali watapia mloo wa Rasimu ya katiba kuhaha na kuona sasa hali imekua ngumu na kusaka mbinu nyingine.
Sitta,sabba,nanne.tissa amuru kumuandikia kiji notice Waziri mkuu Mizengo Pinda kumtaka ofisini kwake mara moja bada tu, ya Mwanasheria Mkuu wa nchi ya Zanzibar kupiga kura ya Nooooooooooooooooooooooooooooooooo.

KILA MZANZIBARI ATAULIZWA SIKU YA KIYAMA NA MWENYEZI MUNGU ULIPOSIKIA WAZANZIBARI WENZIO WANADHALILISHWA NA KULAWITIWA NA HAWA JE ULIFANYA NINI TAFUTA JIBU LAKO MAPEMA KWA SIKU HIYO YA KIYAMA SIKU AMBAYO MALI NA WATOTO WAKO WALA CHEO CHAKO HAVITAKUFAA SIKU HIYO.

2 comments: