Saturday, February 15, 2014

VIONGOZI WA ZANZIBAR MNAO IBAA NA KUJIJENGEA MAKSRI JE MNAIJUWA NYUMBA ALIYO WANDALI M/MUNGU....???


WABUNGE,WAWAKILISHI,MAWAZIRI,MAJAJI,MAJENER WA JESHI NA POLISI,MADIWANI,MASHEHA NA UNAFIKI WENU,MNAO JITA WANA MAPINDUZI MUMEPINDUWA KWA DAMU HAMUTOWE NCHI BLA BLA BLA,WAKWEZI NA WAKULIMA,WACHUZII,WAVUVI,MASHEIKH,WANAVYUONI NA RAI WOTE WA NCHI YA ZANZIBAR KWA UJUMLA NATAKA KUWAONYESHA PICHA HII YA NYUMBA YETU SOTE NYUMBA AMBAYO CHAO CHAKO HAKIKUFUATI,WALA MKE,WANAO,MALI ULIZO IBAA,AU HATA UKIWA FUKARA NA MASINI NYUMBA HII VITU HIVYO HAVIKUFUATI. AYANGALIYE VIZURI KISHA TAFAKARI

NCHI YA ZANZIBAR NI YAWAZANZIBARI SIO YA SERA ZA NYERERE WANAOTAKA SERA ZA NYERERE NENDANI TANGANYIKA SIO HAPA ZANZIBAR


“MUUNGANO huu unatubana mno…..na Muungano ni kama koti tu, likikubana unalivua”. Haya ni maneno ya Rais wa Kwanza wa nchi ya Zanzibar ambaye aliwekwa baada ya kufanywa mapinduzi ya haramu ya kuwauwa Wazanzibari. na mwasisi wa Muungano feki ambao mpaka leo unaiangamiza nchi yetu ya Zanzibar, hayati Abeid Amani Karume aliyoyatamka mwaka 1968, miaka minne kabla ya kifo chake akionyesha kukerwa na kuthiwa na mzigo mzito kwa nchi yake na rai wake wa Zanzibar na Muungano feki huo  wa Tanganyika na Zanzibar.
Kauli hii haikumfurahisha Baba wa Taifa la Tanganyika hata kidogo. [Tanganyika ambayo imeva koti linalo itwa Tanzania], Nyerere, aliyetaka Muungano wake feki ulindwe kwa nguvu zote kijeshi,polisi,mgambo,wanasisa kwa kila hali na mali Muungano ulindwe, tofauti na Karume alipoonekana kuchoshwa na kuelemewa na mzigo mzito wa Muungano feki kutokana na kile alichokiita “kupelekwa puta kwa Muungano feki unaokiuka makubaliano waliyo kubaliana ndio Wazanzibari tukaita ni Muungano feki maana ungalikuwa sio feki basi mtu akikiuka angelishtakiwa lakini hapa hakuna hilo nchi ya Tanganyika anakiuka ikikiuka tena na tena makubaliano na hakuna hatuwa yoyote inayo chukuliwa”.
Tangu mwanzo,Mze Karume alielewa kwamba, alilazimika kuingia Muungano kwa shinikizo na ghiliba. Aliwahi hata kutishia kutohudhuria sherehe za kubadilishana “Hati za Muungano feki” na kutangazwa rasmi kwa Muungano feki huo, mjini Dar es Salaam Aprili 26, 1964.
Na kwa sababu hizo hizo, aliendesha nchi ya Zanzibar atakavyo na kuwa Raisi pika katika Marasi wote walio kuja baada yake kuongoza nchi ya Zanzibar bila ya kuiogopa nchi ya Tanganyika kwa sasa tunaita WAKOLONI WEUSI TANGANYIKA, Bila ya kujali kuwa nchi ya Zanzibar ni sehemu ya Jamhuri ya Muungano feki ya Tanganyika  (Tanzania), wakati huo huo Nyerere aliendelea zaidi na zaidi  kuimeza nchi ya Zanzibar kwa kuongeza mambo ya Muungano feki kwa imla, kutoka 11 ya mwanzo walio kubaliana hadi 16 chini kwa chini bila ya Viongozi wa nchi ya Zanzibar kujuwa wala rai mpaka kufikia wakati wa kifo cha Mzee Karume ambaye ndia aliyekuwa Raisi wa nchi ya Zanzibar kwa wakati huo.
Uhasama kati ya Maraisi wa wawili wa nchi ya Zanzibar Mzee Karume na yule wa nchi ya Tanganyika Nyerere ulifikia hali ya kutisha na hatari katika nchi hizi mbili huku wanachi wakisubiri nini kitatokea kwa bahati mbaya kilicho tokea kilikuwa kifo cha Raisi wa nchi ya Zanzibar kupigwa risasi Mzee Karume mpaka anakufa aliku kiasi cha wawili hao bado hawaongei kabisa ana kwa ana kwa zaidi ya mwaka mmoja mwananchi kumbuka nchi mbili hizo ziko katika muungano lakini Viongozi wake hawaongei. Mawasiliano yao yalikuwa kupitia wapambe wao, Bhoke Munanka kwa upande wa Nyerere, na Aboud Jumbe kwa upande wa Mzee Karume. Kisa.....? Mfarakano juu ya Muungano huu feki nukuwa tayari Mzee karume alijuwa kuwa nchi ya Zanzibar inamezwa na nchi ya Tanganyika na mpaka leo hii 2014 tuko pale pale kero za Muungano feki hazishi!!!! Maana sasa Wazanzibari wote washajuwa kuwa nchi yao imemezwa na nch ya Tanganyika isipokuwa tu hao Wahafidhina wawili watatu ndio wao bado Muungano Mzuri kwa kuwa matumbo yao yako poa.
Kuna wakati Nyerere [mwaka 1968], alikuwa karibu kusalimu amri ili Mungano feki huu uvunjike mpaka ikafikia. Kuandika katika gazeti la “The London Observer” la Aprili 20, 1968, alisema kwa kulalama na kulalamika: “Kama umma wa Wazanzibari, bila ya kurubuniwa kwa hoja za nje, na kwa sababu zao wenyewe, wataona Muungano si wa manufaa kwa uhai wao [na kuamua kujitoa], sitawapiga mabomu kuwalazimisha waendelee na Muungano”. Ok kwanza tujiulize kwa nini alalame na ana bunge la nchi la Tanganyika halimtoshi tu kuwa Raisi wa nchi la Tanganyika...? pili Nyerere hakutupiga mabomu lakini waliofuta yeye na mpaka sasa wanatupiga mabomu kila siku kwa nini na sisi tunataka nchi yetu ya Zanzibar hatutaki nchi yao....??
Yote haya yalitokana na kutekeleza Muungano feki wenye muundo tata na feki wa kutaka kuimeza nchi ya Zanzibar. Wakati Karume aliamini aliingia Muungano wenye Shirikisho lenye Serikali ya mkataba ndio maana anakasema Muungano huu miaka kumi tu kisha tuwangaliye kama unafa tutaendelea haufai basi tuvunje ni mkataba sio serekali Mbili wala Tatu kama zinavyo pikwa sasa na nchi ya Tanganyika na Wazanzibari hivi sasa asilimia 60 wanataka Muungano wa mkataba –, Nyerere kwa upande wake, alitaka Muungano feki wenye Serikali mbili – Serikali ya Muungano feki [ambayo pia ndiyo Tanganyika imeva koti la Muungano] na Serikali ya Zanzibar, lengo likiwa kuelekea Serikali moja kwa sababu ya kutaka kuimeza nchi ya Zanzibar na kuipoteza kabisa katika ramani ya Dunia kuwa hakuna nchi iliyo au ambayo iko inayoitwa Zanzibar.
Na hiyo ndiyo sababu ya kuongezwa kwa mambo ya Muungano feki kinyemela kinyemela kila kukicha, kinyume na matakwa ya Mkataba wa Muungano wa Aprili 22, 1964. Niwazi kuwa nchi ya Tanganyika imevuja sheria na mikataba ya Muungano na kufanya wanavyo taka wao.
Siku moja kabla ya Mzee Karume kupingwa risasi na kuuwawa Aprili 7, 1972, aliyekuwa Katibu wa Baraza la Mapinduzi, Salim Rashid, alikwenda kumuaga kwamba alikuwa anajiuzulu kazi serikalini maana alishaona mbali kuwa nchi ya Zanzibar iko siku itakuwa sio nchi tena ni kijiji tu cha pwani ya nchi ya Tanganyika. Mzee Karume alimsihi asifanye hivyo na kumhakikishia kwamba [yeye Mzee Karume] alikuwa anakusudia kuvunja vunja Muungano feki huo siku chache baadaye. Hata hivyo [Mzee Karume] hakubahatika kuifikia siku hiyo kuweza kutekeleza alilokusudia kuvunja vunja Muungano feki wa nchi ya Zanzibar na nchi ya Tanganyika, kwa sababu alipigwa risasi na kuuwawa kabla hajauvunja na kuwa ndio kifo chakee.
Wachambuzi wa mambo ya siasa za Muungano feki wanaamini kwamba, kama Mzee Karume angeishi mwaka mmoja zaidi ya 1972, Muungano feki huu ungevunjika haraka sana tena sana na kusingelikuwa tena na koti linalo itwaa Tanzania duniani, kwa adha na kwa hali ya kutisha na Wazanzibari kujengewa hofu ya kuto kuhoji Muungano feki au nawa yatawakuta kama yaliyo mkuta Mzee karume. Lakini pamoja na hayo, kupingwa risasa Mzee Karume na kuuwawa na kuwa ndio kifo chake hakikuzika mzimu wa kero za Muungano feki tangu hapo hadi leo, mambo yameendelea vile vile na sasa ndio yamezida haswa maana sasa sio Mzee karume hapendi Muungano feki bali ni nchi ya Zanzibar kwa ujumla  isipokuwa hao Wahafidhina wanao shiba matumbo yao kupitia Muungano feki nasema tena isipokuwa hao Wahafidhina wanao shiba matumbo yao kupitia Muungano feki ndio bado wanaukumbatia na kubusu Muungano feki.
“Tunang’ang’ana kujadili Muungano feki kijuujuu bila kugusa Mkataba wa Muungano feki. Kwa nini hatujadili Mkataba wa Muungano feki .....? Hii ndiyo hati pekee inayohalalisha Muungano huu feki na ni msingi na chimbuko kuu la Katiba. Kwa nini tumefanya kujadili Mkataba wa Muungano feki kuwa dhambi....? mnaficha nini au mnaogopa nini.....?
Migogoro, mikanganyiko na mitafaruku yote juu ya Muungano feki inatokana na kukataa kujadili Mkataba huo ambao ndio “Cheti cha kuzaliwa cha Muungano feki”. Ni maneno ya Rais wa awamu ya pili Zanzibar, Aboud Jumbe akihoji Kikao Maalum cha Halmashauri Kuu [NEC] ya CCM iliyomwita kumhoji na hatimaye kumvua nyadhifa zote za uongozi kwa kuhoji muundo wa Muungano huu feki, Giningi Dodoma, Januari 24 – 30, 1964: Soma Mhtasari wa Kikao hicho, ukurasa 116 – 117].
Mzee Jumbe, kama Mzee Karume, alikuwa ameanza kubaini jinsi utekelezaji wa Muungano feki ulivyopelekwa puta bila kuzingatia Mkataba wa Muungano feki kwa mtizamo wa Muundo wa Serikali mbili kuelekea Serikali moja na kuimeza nchi ya Zanzibar na kuipoteza kabisa katika ramani ya dunia, na kuzua hofu miongoni mwa Wazanzibari kwamba “nchi” yao ilikuwa inamezwa taratibu na Tanganyika au WAKOLONI WEUSI TANGANYIKA.
Na hiki ndicho kilichomsukuma Mzee Jumbe kutumia haki yake ya kikatiba kutaka kuhoji kwenye Mahakama Maalumu ya Katiba kupata ufafanuzi juu ya Muundo sahihi, ridhaa inayopatikana kwa kila Tanganyika (Mtanzania ni koti tu) chini ya ibara ya 125, 126 na 128 ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano feki ikiwa ndio katiba aliyokuwa ya nchi ya Tanganyika na kuwa ndio katiba ya Muungano feki ya 1977.
“Awali ya yote, niweke wazi kuwa, chini ya Mkataba wa Muungano, uhusiano wa kisiasa uliokusudiwa ni wa Shirikisho. Mkataba wa Muungano haukufuta Tanganyika wala Katiba na Sheria za Tanganyika”, alisema Jumbe kwa kutoa changamoto kwa NEC ya CCM ((Wauwaji wa nchi ya Zanzibar na Wazanzibari kwa ujumla)) iliyomwita kumhoji.
Akaendelea, “Ule ukweli kwamba Tanganyika ilikabidhi mambo yake kwenye Muungano, haimaanishi kwamba Tanganyika ilikufa. Huu ulikuwa mpango wa muda tu kusubiri Katiba ya Muungano”,
Kwa hili, bila shaka,Mzee Jumbe alikuwa ananukuu ibara ya 5 ya Mkataba wa Muungano feki na kifungu cha 8 (1) cha Sheria ya Muungano feki, Namba 22 ya 1964, vinavyotamka kuwa; “Kuanzia siku ya Muungano feki na kuendelea, Sheria za nchi ya Tanganyika na Sheria za nchi ya Zanzibar zitaendelea kuwa na nguvu katika nchi hizo kwa mambo yote yasiyo ya Muungano feki”,”.
Nyerer akacharuka na kupagawa na MARUHANI YAKE YA UTANGANYIKA YAKA MSIMAMA Msomaji ona Nyerere alivyokuwa hasidi wa nchi ya Zanzibar ni lipi mbaya alilosema Mzee Jumbe...?, akasema Nyerere: “Sasa mkanganyiko wa mawazo umezuka sasa. Makamu [Makamu Mwenyekiti wa CCM - Jumbe] anasema kuna Serikali tatu; mimi nasema mbili. Ni suala la Mkataba wa Muungano. Na kesi imeandaliwa kwenda Mahakamani kwa Serikali ya Mapinduzi kuishitaki Serikali ya Muungano kwenye Mahakama [maalumu] ya Katiba. Ukuu wa Chama. Kwa kosa gani Serikali ya Zanzibar iishitaki Serikali ya Muungano...............???  Makamu, jiuzulu sasa hivi nasema jiuzulu sasa hivi”, Mwalimu akamuagiza Mzee Jumbe kikaoni ijiuzulu. hapa tayari Nyerere alishavunja sheria ya katiba maana yeye sio wakumvuwa Mzee Jumbe uraisi kama ni kumvuwa alikuwa amvuwe Umakamu Mwenyekiti wa CCM - Sio Uraisi wa nchi ya Zanzibar ni wananchi ndio wenye uwezo wa kumngowa Mzee Jumbe madarakani ndio tukasema huu sio Muungano huu ni mpago maalumu wa kuimeza nchi ya Zanzibar basi.
Mzee Jumbe akajiuzulu [kwa shuruti....?] nyadhifa zote za Chama na Serikali kwa dhambi ya kuhoji Muundo wa Muungano feki. Na kuanzia hapo akawekwa chini ya Ulinzi nyumbani kwake “Mji mwema” kwa miaka mingi tusio ijuwaa sisi.
Nyerere alikuwa muumini wa Serikali mbili kuelekea moja na kuimeza nchi ya Zanzibar kabisa.
Kama tutakavyoona baadaye, tangu mwanzo, Mwalimu hakuwa muumini wa Serikali tatu wa mkataba, bali wa Muungano feki wa serekali mbili kuelekea moja. Kwake Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ulivyo, ulikuja kama nyota ya jaha au kuokota dhahabu katikati ya jiji la Dar tu.
Kwa nini nikasema hivyo ni kutokana na shinikizo la nchi za Magharibi enzi za vita baridi, zikimtumia Nyerere kama mpambe wao “aimeze” nchi ya Zanzibar ndani ya tumbo kubwa la nchi ya Tanganyika baada ya Shirikisho la Afrika Mashariki kushindwa ili isiangukie mikononi mwa Wakomunisti kama ilivyo kisiwa cha Cuba kufuatia Mapinduzi ya Mauwaji ya Wazanzibari na kumilikiwa na nchi ya Tanganyika Mauwaji hayo yalitokea Januari 12, 1964.ili Wakomunisti wa Kizanzibari wasifanikiwe na kugauza nchi ya Zanzibar kuwa Cuba ya pili. 
Mwanzoni, Nyerere alijidai kuwa mpinzani mkubwa wa Muungano na kujidai kama hataki kuwe na Muungano kati ya Tanganyika na Zanzibar, pale wazo hilo lilipowasilishwa kwake na Balozi wa Marekani, Februari 1964; na tena Machi 7, 1964 na Naibu Waziri wa Nchi wa Marekani [Mambo ya Afrika], Jimmy Trimble. Lakini baadaye taratibu, alianza kuona hatari mbele yake kwa Zanzibar ya Kikomunisti [hakupenda Ukomunisti mwanzoni] kuwa mlangoni mwa Tanganyika, huku nchi za Magharibi nazo zikimshinikiza achukue hatua juu ya jambo hilo.
Alianza kutambua udhaifu wa Serikali yake ya Tanganyika na wa nchi zingine za Kiafrika dhidi ya hatari kutoka nje. Si hivyo tu, tangu mwaka 1960 kabla ya uhuru, alihofia sana sana nchi ya Zanzibar Nyerere kuwa karibu na nchi yake ya Tanganyika akatamka wazi wazi akisema: “Kama ningekuwa na uwezo wa kukisukuma au kukingowa kisiwa kile [Zanzibar] hadi katikati ya bahari ya Hindi, ningefanya hivyo. Sitanii akasema kwa sitanii ningelikingowa. Nina hofu [kwamba], huko mbele kitakuja kutuumiza kichwa sana sana Watanganyika”. 
Juhudi zote za Nyerere kuona Shirikisho la Afrika Mashariki [EAF] likiundwa, zilikuwa ni kuhakikisha Zanzibar inamezwa ndani ya Shirikisho hilo ili isionekane, na pale Shirikisho hilo liliposhindwa au kugonga mwamba, akaona njia pekee sasa ya kuondokana na hofu yake [na sasa kwa kupewa nguvu pia na Marekani na Uingereza ambazo nazo zilikuwa na hofu ya Ukomunisti kuenea Afrika Mashariki kupitia nchi ya Zanzibar] ni kuiunganisha nchi ya Zanzibar na Tanganyika katika Muungano feki.
Kuhusu Muundo wa Serikali mbili alioendeleza huku akiwa na plani ya kuwa na serekali moja mwishoni, tofauti na Serikali tatu za Mkataba wa Muungano au Muungano wa mkataba walio kubaliana na Mzee Karume,aliendelea na mfomo wake wa serekali mbili na huku analenga Serikali moja kwa kuongeza taratibu [kinyemela] mambo ya Muungano feki ili hatimaye nchi ya Zanzibar ijikute imenyang’anywa mambo yote kuwa chini ya Serikali ya Muungano feki koti la Tanganyika ambayo ndiyo Tanganyika pia. Ugomvi wa Mzee Karume na baadaye Jumbe juu ya Muungano feki umejikita hapo. Na hivi karibuni,  Shein,na fikra zake za kijuwa amewakemea wote wanaodhani Zanzibar siyo nchi yenye mamlaka kamili waache uzandiki huo je mzandiki ni nani hapa Wazanzibari au yeye Shein asiye soma historia ya nchi ya Zanzibar.....? ikiwa Mzee karume alijuwa kuwa nchi ya Zanzibar imemezwa na anataka irudi na Mzee jumbe pia anajuwa ndio hivyo hivyo kuwa nchi hii imemezwa lazima irudi yeye kibushuti huyu asiye juwa anasimama na kusema nchi hii ina mamla kamili kivipi kuwa na mahakama feki ya kuwafunga masheikh ili wasikombowe nchi ya Zanzibar ndio wewe Shein unaona nchi ina mamlaka kamili.....?
Nyerere aliti amri ya mabwana zake
Marekani na Uingereza wilimfanya Nyerere akubali Muungano feki wa nchi ya Tanganyika na nchi ya Zanzibar kukidhi matakwa ya Mataifa yao. wangine wanasema Nyerere alifanyiwa Vitisho ili akubali kuivamia nchi ya Zanzibar na kuanzisha Muungano feki je ni vipi hivyo vitisho......??  Kwanza, alikuwa bado na kumbukumbu yenye hofu jinsi alivyonusurika kupinduliwa na Jeshi lake mwenyewe ndni ya nchi yake ya Tanganyika wanajeshi wake walichoshwa naye wakataka kumpinduwa kwa hiyo alikuwa bado ana hofu ile, Januari 20, 1964; na jinsi alivyookolewa na Jeshi la Waingereza ambao ndio pia walioshinikiza anzishe Muungano feki wa Tanganyika na Zanzibar kwa hiyo alikuwa anawafurahisha mabwana zake walio mueka madarakani.
Na hata kama angekataa kuungana, Uingereza na Marekani, chini ya mpango wa kivita ulioitwa “Zanzibar Action Plan” [ZAP], zilikuwa tayari kuivamia Zanzibar kijeshi, kama Karume angekataa Muungano feki kama walivyo ivamia wakati wa Mapinduzi ya Wauwaji wa Wazanzibari na kuuwauwa Wazanzibari.
Uhakika ni kwamba, majeshi ya Uingereza, chini ya Kamanda wa Jeshi la Anga – “Royal Air Force” [RAF], Brigedia Jenerali I. S. Stockwell, na Kamanda wa Jeshi la Ardhini nchini Kenya, Brigedia Jenerali I. H. Freeland, yalipewa Amri [Joint Operation Instruction] Namba 2/64 kuvamia, huku yakitarajia upinzani na kipigo kutoka Jeshi la nchi ya Zanzibar [Zanzibar Liberation Army – ZLA LEO HII LIKO WAPI WAMELIUWA] chini ya Uongozi makini wa Kanali Ali Mahfoudh, na pengine kwa msaada kadhaa wa silaha kali kutoka China na Urusi.
Pili, Mwalimu bado alikuwa akikumbuka kwa hofu, kuuawa kwa Waziri Mkuu wa Kwanza wa Kongo, Mwanamapinduzi Patrice Emery Lumumba, na Rais Sylivanus Olympio wa Togo, waliouawa kikatili chini ya kile kilichoitwa “mchezo mchafu wa nchi za Magharibi dhidi ya Viongozi wanamapinduzi barani Afrika”.
Kwa hili, Nyerere aliona DAAAAH lazima achukue hatua haraka badala ya kusukumwa na kujiweka rehani kwa ugomvi wa mataifa makubwa ya Magharibi na Mashariki. Na hii ilikuwa Baraka pia kwake kumaliza “hofu” yake juu ya KUUIMALIZA NCHI YA ZANZIBAR HURU NA KUIGEUZA KUWA KOLONI LAKE.
Muungano feki huo, ambao ulibuniwa baada ya kuvunjika kwa mpango wa EAF mjini Nairobi, Aprili 10, 1964, ulikuwa njia pekee ya kumzuia aliyekuwa Waziri wa Ulinzi na Mambo ya Nje wa Zanzibar wa wakati huo na Mkomunisti, Abdulrahman Mohamed Babu na mawakala wenzake wa Wachina [Chicoms] na Warusi, asidhibiti na kuhodhi madaraka ya Serikali ya Mapinduzi ya Wauwaji wa Wazanzibari SMZ.
Kuna dhana isiyo kweli kwamba Machi 1964, Nyerere na Mzee Karume walikutana Ikulu Dar es Salaam ambapo Nyerere alipendekeza kwa Mzee Karume juu ya Muungano feki wa Tanganyika na Zanzibar, na eti kwamba Karume alikubali mara moja akisema: “Atii  waandishi wa magazeti; waambie kwamba sisi tuko tayari sasa hivi”.
Dhana hii imepotoshwa. Maneno ya Mwalimu yalikuwa hivi: “Tazama, nimewaeleza wazi wazi Waziri Mkuu [Jomo] Kenyatta na Waziri Mkuu [Milton] Obote kwamba, wao wakiwa tayari kuunda Shirikisho la Afrika Mashariki, sisi [Tanganyika] tuko tayari. Na sasa nakwambia na wewe [Karume, kama nilivyowaambia Kenyatta na Obote], kwamba Zanzibar mtakapokuwa tayari kuunda Shirikisho [hilo], sisi [Tanganyika] tuko tayari”.
Ukweli ni kwamba, alichomwambia Mzee Karume ni juu ya uundaji wa Shirikisho la Afrika Mashariki na si Muungano feki wa Tanganyika na Zanzibar. Ingekuwaje hivyo wakati muda huo Nyerere alikuwa akifukuzia Shirikisho la Afrika Mashariki kuliko kitu kingine chochote, hadi juhudi hizo ziliposhindwa Aprili 10, 1964 na ndipo alipo amuwa kuwa maadamu nchi ya Zanzibar haikumezwa katika Shirikisho la Afrika Mashariki basi sasa kilicho baki ni Tanganyika kuimeza nchi ya  Zanzibar katika Muungano feki wa nchi ya Zanzibar na Tanganyika WAKOLONI WEUSI TANGANYIKA.
Nani anasema Nyerere alitaka Serikali tatu au mkataba..?
Tumesema, Nyerere tangu kale hakuwa muumini wa Muungano FEKI  wenye Serikali tatu wala mkataba alichotaka ni Muungano wa serekali mbili kuielekea moja ila kwa lengo maalumu. Kwenye Mkutano wa nchi huru za Afrika mjini Cairo, Julai 1964, alionyesha wazi wazi kutopendelea Muundo huo aliposema, “Muundo wa Serikali moja [Unitary System of government] haufai kwa Afrika kwa sasa; Muundo bora ni ule wa Shirikisho la Nchi”.tukumbuke hapa ilikuwa ni kuhusu nchi nyingi za afrika kwa hiyo lazima atasema hivi kwa kuwa anajuwa yeye pia hataweza kuchanguliwa kuwa raisi wa bara la afrika kwa wakati huo.
Akitetea hoja hiyo baadaye, aliandika makala ndefu kwenye Gazeti la “Africa Forum” [Vol.1 No. 1] mwaka 1965 akisema: “Mfumo bora ni ule wa Shirikisho lenye Serikali Kuu ya Muungano na Serikali za nchi zinazoungana, kila moja ikiwa na Mamlaka juu ya Mambo yasiyo ya Muungano”. Msimamo wake huo ameurudia pia katika Kitabu chake: “Uhuru na Umoja” [Freedom and Unity] ukurasa 300 – 304.
Na hivyo ndivyo alivyoamini Mzee Karume. Akitoa taarifa kwa Serikali yake kwa simu ya maandishi [telegraph], aliyekuwa Balozi wa Marekani nchini Zanzibar kabla na baadaye kidogo kufuatia Muungano, jasusi la CIA, Frank Carlucci, Aprili 23, 1964 alisema, “Karume ametia sahihi [Aprili 22, 1964] Hati [Mkataba] ya Muungano Mzee Karume akiamini kwamba ameingia Mkataba wa kuunda Shirikisho lenye Serikali tatu”.
Na siku za karibuni kabla ya kifo chake, baada ya kuchoshwa na kero za Muungano zisizoisha, Nyerere alitambua utata wa Muundo wa Serikali mbili alisema muundo huo yafaa ujadiliwe kuondoa utata hata kama yeye alikwishatoa msimamo wake wa Serikali mbili. sasa ikiwa Nyerere mwenyewe aliyeleta Mundo wa serekali mbili anasema inafaa ujadiliwe je hawa visonoko wa CCM Wauwaji wa Wazanzibari wa ni nani wakusema usijadiliwee....?
Ukweli Nyerere alikwenda mbali zaidi kwa kusema kuwa, kama isingekuwa kwa “mambo fulani fulani” juu yake, asingemvua Jumbe madaraka kwa kuhoji Muundo wa Muungano.
Je, hawa wanaojifaragua, hivi sasa, kwamba kujadili Muundo wa Muungano feki nje ya Serikali mbili na ndani ya serekali mbili kuelekea moja atii itakuwa ni  kumsaliti Nyerere., wanatoa wapi ujasiri huo kuuhadaa umma....? Kama ni kumsaliti Nyerere, tusemeje juu ya hao hao waliohujumu Azimio la Arusha na Ujamaa; waliobinafsisha mali za umma bila kujali ili kuwapa ulaji mawakala wa ubepari.....? Je, si wasaliti, hao hao wanaokigeuza Chama cha Nyerere [CCM] kichaka na kimbilio la mafisadi wasiotaka kujivua gamba.......?
Sio siri tena duniani kwamba Wazanzibari wengi hawapendelei Muungano feki wa Serikali mbili kualekea moja, mbali na wanaotaka uvunjwe. Lakini Wahafidhina wa siasa za makundi, kwa unafiki mkubwa, wanajifanya kutoliona hili.
Ni hao hao waliopinga mchakato wa kuundwa kwa Serikali ya Umoja wa Kitaifa nchini Zanzibar, wakiwamo Wajumbe wa NEC ya CCM, mpaka Raisi wa wakati huo, Amani Abeid Karume akatishia kuwaumbua.
Uhafidhina huo na unafiki wao wa kutaka kuona migogoro na kero za Muungano feki zikiendelea ndio unaofanya waishi kwa gharama ya amani na umoja wa Kitaifa wa nchi yetu ya Zanzibar.
Sasa, ifike mahali waambiwe wazi wazi, waache demokrasia na mawazo ya wananchi juu ya Muundo wa Muungano wautakao yatawale badala ya ubinafsi wao. Na tunaposhinikiza mambo dhidi ya matakwa ya wengi tunatafuta nini, na nini hatima ya yote haya.....? Wazanzibari asilimia 60% wanataka Muungano wa Mkataba wapewe ili tujenge nchi yetu ya Zanzibar kwa upole na masikilizano sio mutupe kasumba za Nyerere hivi na Nyerere vile Nyerere ni Watanganyika sio Zanzibar kama unataka kufuata ya Nyerere Tanganyika iko nendeni hamjafukuzwa ati nendeni mkaendeleze sera za Nyerere huko Tanganyika.

Wednesday, February 12, 2014

MANSOUR YUSSUF HIMID KAMA KAWAIDA YAKE ANACHUKUWA ANAWEKA WAAAH. AWIKA PEMBA


Mjumbe wa Kamati ya maridhiano Zanzibar Mh,Mansour Yussuf Himid amesema hivi karibuni alikuwa mwakilishi wa CCM na alifukuzwa kutokana na msimamo wa kudai Zanzibar huru yenye mamlaka yake kamili ambapo jambo hilo lilikuwa tofauti na
Mh,Mansour aliyasema hayo katika mkutano wa hadhara uliandaliwa na chama cha wananchi CUF katika kiwanja cha Tibirinzi Chake Chake Pemba siku ya jumapili ya tarehe 9/2/2013 ambapo walialikwa kama wajumbe wa kamati ya maridhiano Zanzibar.
Alisema sula la lutofautiana na wenzake wa CCM ndio kilikuwa chanzo kikubwa cha yeye kufukuzwa ndani ya Chama hicho lakini suala hilo halikumrudisha nyuma kubadili msimamo wake na ndio maana hadi leo hii msimamo wake ni hule hule.
‘’Wananchi msinipe pole kwa kufukuzwa CCM nipeni hongera pengine nimepukana na mengi sana’’alisema Mansour.
Akizungumzia kuhusu uanzishwaji wa mchakato wa katiba mpya,alieleza kuwa muda wote akiwa pamoja na wenzake alikuwa akiwausia kwamba huu ndio muda pekee wa kuikomboa Zanzibar kutokana na muungano huu ambao hauleti usawa kwa wazanzibar,lakini baadhi ya wenzake walikuwa hawaoneshi kumuunga mkono.
‘’Ni muda mrefu sasa wazanzibar tumekuwa tukiunda tume za kukabiliana na kero za muungano lakini hadi sasa hakuna kilichotatuliwa’’alieleza Mansour.
Aidha Mh,Mansour alisema kuwa yeye binafsi hana tatizo na muungano lakini usiwe muungano huu ambao hatoi haki kwa washiriki wawili walioungana badala yake angependa kuona muungano unaotoa usawa kwa washiriki wote.
Wananchi wa Zanzibar hivi ni kweli nyinyi mnaamini kuwa wazanzibar hatuna busara na hekma ya kuamua mambo yetu wenyewe mpaka tukaamuliwe Tanganyika,kufanya hivi nikuwakandamiza wazanzibar wasiwe na uwezo wakuamua mambo yao wenyewe,sasa niwakati pekee wa kuyakataa haya.
Alimtolea mfano Rais wa Zamani wa Taifa la Africa Kusini Mzee Nelson Mandela juu ya kauli yake aliyoitoa inayosema ‘’Uhuru sio kumkata mtu minyororo tu bali ni kuheshimiana kwa kila kitu’’alifafanua Mansour.
Wajumbe kadhaa wa CCM walikuwa wakinipa vitisho kutokana na msimamo wake lakini hakuwa kutishika hata siku moja kwa vile yeye ni mzaliwa wa visiwa hivi vya jamuhuri ya Zanzibar,na hajawahi kuwa mtumwa wao iweje wanilazimishe wanayotaka wao.
Akielezea kuhusu hisia zake katika viongozi mbali mbali wa Nchi hii alisema wazi anampenda sana Maalim Seif Sharif Hamad kutokana na msimamo wake wawazi kwa Wazanzibar na ndio maana amekuwa kivutio kikubwa sana kwa wananchi wa Zanzibar na Tanganyika(Tanzania) kwa ujumla.
Pamoja na Hayo Mh,Mansour aliwataka wananchi wa kisiwa cha Pemba na Unguja pamoja na Nchi nzima ya Zanzibar kwa ujumla kuzidi kumuunga mkono Maalim Seif kutokana na msimamo wake ulio na nia njema kabisa kwa wananchi wote wa nchi ya Zanzibar na amewaomba wazidi kuwa na subra huenda safari yao ikawa refu kufikia wanapotaka.
UMMAA ULIYO FURIKA PEMBA KUMSIKILIZA MANSOUR KAMA KAWAIDA ANACHUKUWA ANAWEKA WATU WAAAAAAAAH ISIYE PENDA ANYWE SUMU

Tuesday, February 11, 2014

BALOZI MDOGO WA NCHI YA TANGANYIKA MISAADA MINGAPI YA MAMILLIONI ULIYO KULA...? HAYAKUWAFIKIA WAZANZIBARI


HUYU SIO MAKAMO WA RAISI HUYU NI BALOZI WA KUPOKEA MISAADA YA WAZANZIBARI WANAO KUFA KWA JELI ZA MELI KISHA YEYE NA WAKEREKETWA WENZAKE WANAKULA PESA HIZO ZA MISAADA.

Sawa, mengine ni kudra ya Mwenyezi Mungu; lakini na binadamu anatakiwa kupanga mambo yake kimaisha ya kila siku.
Kipindi kifupi sana tumeona nchi yetu ya Zanzibar imekumbwa na maafa ya kila aina — kuzama kwa meli, dharba za meli, upepo na mvua kubwa (mafuriko). Kati ya yote haya, na mengine Idara ya Maafa haikuonekana mbele ya umma wa Wazanzibari kabisa hata kujisogeza mbele na kutoa ushauri au kusaidia au angalau kuonyesha ubinadamu.
1. ) Jana upepo mkubwa umeharibu nyumba zaidi ya 67 huko eneno la Nungwi, hakuna hata ‘salam’ au response kutoka Idara ya Maafa, ipo chini ya ofisi ya Makamo wa Pili wa Rais Balozi mdogo wa Tanganyika.
2. Upepo wa Pemba, umeezua nyumba nyingi na ushei (no response) ila watu binafsi mara hii wamejitutumua kidogo na kusaidia.  Idara ya Maafa imelala chalii — inasubiri wapelekewa michango ya misaada na kuitumiya wao na kula tu.
3. Imezama MV Spice islander — hakuna response ila tuliona vikosi na bunduki na kutisha watu na kuwaibia wahanga malizao,thahabu zao,N.K   mbaya zaidi, misaada ya mabilioni haikuwafikia wananchi kabisa nao tulosikia atii yamewafikia atii wamepewa liki moja hawakukoseya wabongo laki si pesa. (VP2 ofisi Balozi ndogo wa Tanganyika ni ulaji tu mbele kwa mbele).pesa zote za misaada kazitaifisha yeye na wakereketwa wake.
4. Imezama MV Skagit — kadhalika, hatukuona Idara ya Maafa wala Mazingira wala nani na nani — ila tumeona misaada ikitolewa na haikuwafikia wananchi walioathirika — pesa zimeliwa na hakuna maelezo/si kwa wawakilishi wala wabunge wala nani na nani — ni ulajii tu na  mbele kwa mbele.
5. Kuna kipindi tulikumbw na mafuriko, pia waliopewa magodoro ni wale wanojulikana ni CCM kama sio CCM mtajiji sasa hayo mapinduzi yalikuja kuondowa ubaguzi yako wapi mbona huo ubaguzi ndio kwanza unashamiri na kuvaa njuga.....? (kwa ushahid upo!), wengine mkatafute……!
Pale kuna Mkurugenzi anaitwa Ali Juma, huyu anachokijua ni U-CCM tu, hata Zanzibar yote igharik hajui afanye nini wala hana habari — yeye anajifanya CCM sana na mkereketwa wa nguvu: heee wewe jamaa yangu, utakuwa CCM kweli wewe kuliko Mzee Moyo au Mzee Aboud Jumbe na Ramadhan Haji Faki (waulize wamefanywa NINI na hiyo CCM unayo ikingia kifua na kujitutumuwa nayo);  Mzee Moyo anasalimika kidogo nadhani Kikwete anamuwekea ‘ngao’ kwa mbaaali, anajua angalau ihsani aliyomfanyia ya kumpatia Urais. Mwenzake Shein hana ihsani hiyo.
CCM Oyeeee, CCM daima Oyeeee, CCM ushindi Laizma Oyeee…..mukitaka msitake ni CCM tu Oyeeee mkibisha sana tunaita majeshi na polisi wawauwe Oyeeeee na katiba mlijidai kuipinga na kuipiga moto sasa wenyewe mumekubali na kuka na sisi kuitengeneza katiba  Oyeeeee mnafikiri ni katiba ya TANGANYIKA NA ZANZIBAR lakini sisi nia yetu ni kuwa hii katiba misho wake ndio itakuwa katiba ya nchi na kikatiba chenu cha Zanzibar kitabaki kuwa kama gazeti la nipashe Oyeeeeee hakuna cha mkataba muliotaka wala mkutubu na iko siku mutatubu na katiba hii mpya ni serikali mbili (kama tulivyo na kuelekea moja) Oyeeeeee.

Yalipotokea maafa ya upepo kule Pemba, Idara hii ilinuna sana na waliuliza kwa nini watu binafsi wanatoa misaada moja kwa moja, walitaka ipelekwe kwao Idara ya Maafa, then, eti wao ndio waipeleke kwa wananchi. Wallah wangaliiba hata magunia ya mchele wa mapembe na yale magodoro. Watu binafsi wamefanya jambo zuri mara hii na wanastahiki pongezi na sifa endeleani hiyo hivyo mukitaka kuisaidia pemba au unguja basi hawa majinamizi musiwambiye kabisa.
Na anayetaka kusaidia Nungwi, afanye kama hivyo, vyenginevyo, hawa SMZ na Idara yao ya maafa watachukua mpaka pakti ya chumvi ya sh 300/= hawa hawatosheki wala hawashibi maisha. Pale VP 2 Balozi mdogo wa Tanganyika office watu wametajirika kwa maafa na sherehe za mapinduzi. na Ujenzi wa mnara….? hakuna hesabu, hakuna auditor etc.

Monday, February 10, 2014

CUF HAINA UWEZO YA KUWAPA WAZANZIBARI MAMLAKA KAMILI NI UAMSHO TU YENYE UWEZO HUU KWA UWEZO WA M.MUNGU


TUACHIWEE TUPUMUWEE TUACHIWEE TUPUMUWEE TUACHIWEEE TUPUMUWEEEEE

Nimeona na kusoma kutoka maandiko mbali mbali yanayozungumzia juu ya kuvurugwa  na ukiritibwa uliyo fanywa kwanye uchaguzi wa Kiembesamaki,Bububu, n.k na CCM chama cha Wauwaji. Nimesoma vile vile matamshi ya viongozi wa CUF wasio juwa usiku wala mchana wasio soma wakati wala wasio juwa kuja na mbinu mpya. kwa mfano Maalim Seif alipohutubia mkutano wa viongozi Pemba, na Mkurugenzi atii  wa haki za binadamu Salum Dimani kuhusu sakata zima la uchaguzi huo yaguujuuuuuuu.
Habu tujiulize yaliotokea Kiembesamaki  ndio mara ya kwanza kutokea hapa nchini kwetu Zanzibar....? kama hamulijuwi jibu mimi nitawapa jibu ni hapana yashatokea mara chungu mzima sio tu katika changuzi za jimbo bali hata katika uchanguzi mkuu wa Uraisi yashatokea kuanzia wakati wa Maalim seif na Komando wa Udongo mpaka sasa ni Maalim na Maacheni yumo kuwafunga Wazanzibari maacheni ya Ukoloni Mweusi Tanganyika. Sote tunajuwa kuwa si mageni kwa sababu yanatokea katika chaguzi zote hasa za Unguja.
Tumeona uchaguzi wa Bububu na chaguzi zote tokea 1995 mikakati ni ile ile na matokeo ni yale yale.
Nafikiri ni wakati sasa kwa wananchi wa Zanzibar kukaa na kujiuliza mambo haya yataendelea mpaka lini...? Pia niwakati wakujiuliza hivi kweli dawa ya kuingowa CCM na wahafidhina wake wanao wanyonya,wauwaji,kuwatia maradhi,vilema,umasikini na ufukara Wazanzibari ni CUF.....? kama hamulijuwi jawabu nitawapa tena sio CUF SIO SIO SIO CUF haiweze kuingowa CCM hapa Zanzibar ngoooo ngooooo nakama hamuwamini endeleani kukimbiza mwenge wa CUF mutaona kama hata nyinyi vijana leo hamtajikuta mushakuwa mababu na bado muna CUF yenu mnasubiri uchangu baada ya changuzi hakuna liwalo. kwa nini nikasema hivyo nikuwa toka Maalim anze kugombea Uraisi hivi kweli ashawahi kushindwa kikura tusema ile haki hajawahi kushindwa hata changuzi moja lakini kwa nini hawi raisi....? ni kuwa huu ndio mpango mzima kuwa asiwe raisi na nyinyi mtapiga kura mkipiga tena na atashinda sio kuwa hashindi la atashinda lakini hawa raisi hapa.
 Angalia lile raisi bagbow liliposhindwa na kukata kuondoka watu wake walifanya nini...? wiki mbili tu mambo kwisha sasa yuko jela ya kimataifa huko ulaya uholanzi raisi wa madagasca alipo shindwa na yule mbwamdogo nae akagoma kuondoka ikulu angalia watu wake walifanya nini wiki tu mambo kwisha hapa Maalim anashinda kisha anakuja nje anasema tulieni tulieni muacheni yeye awe raisi maara hii sisi tutashinda tu tena uchanguzi ujao kisha nitakuwa raisi kama ndio hivyo kwa nini basi tukapiga kura Maalim simugelitangaza tu kuwa huyu ndio raisi wa sasa baada ya miaka mitno mimi nitakuwa raisi basi lakini wapi shengesha shengesha kisha hamna kitu. nchi zote za duniani zimejarubu kufanya ukiritibwa wa kuwa baba kama waziri akiondoka basi mwanawe awe waziri,baba akiwa mbunge basi akindoka mwanae awe mbunge baba akiwa spika basi akiondeka mwanae awe spika baba akiwa jenerel basi akindoka mwanae awe jenerel baba akiwa jaji mkuu akindoka basi mwanae awe jaji mkuu baba akiwa raisi basi akindoka mwanae awe raisi nchi nyingi zimejaribu na zimefeli hapa kwetu Zanzibar je zimefeli mbinu hizi....?
 Habu jiulizeni kuna nani hebu angaliyeni katika uwakishi,ubunge,polisi,majeshi kuna watoto wa nani kama sio wa hawa wawakilishi,wabunge,waspika,wajaji,wa raisi . kisha CCM ikisimama kwenye kiriri waarabu hivi waarabu vile wanaleta ukoloni baba akimaliza Ufalme mwana anachukuwa je wao CCM WANAFANYA NINI SINDIO YALE YALE Wazanzibari sisi wapumbavu tunapiga makofi wewe mwanao anakula unga wa madawa ya kulevya yanayoletwa na watoto wa hao hao wa Viongozi wao watoto wao wako ulaya wanasoma kisha wanarudi hapa wanakuwa kama baba zao mbunge,muwakilishi,jaji mkuu,raisi kisha anakupa zile zile kasumba za uwarabu na unyamwezi kama alivyo fanya baba yake kisha yeye mtoto wake ulaya anasoma wako yuko anauza batata za urojo huyo ndio kajaliwa bayaa zaidi anakuwa mwizi au mlaa ungaa kisha kwenye mikutono wewe unapiga kofi una ujinga wa kiasi ngani katika akili zako hata ukashindwa kufikiri....? nionyeshini kiongozi moja tu ambaya ana nyumba moja tu ...? 
Hakuna wote wanashindana kwa kujenga makasiri utafikiri hawafi na kuyawacha hapa hapa lakini mpaka leo familia za kizanzibari baba nyumba ya kupanga watoto wanalala ukumbina,chakula ndio allah ndio ajuwe wapi tunakipata watoto wa viongozi wanaponda pesa tu.kisha munambIwa Zanzibar ni nchi masiki mnapiga kofi tu na vigeregere mpaka lini...? Hivi kweli hakuna njia ya kuweza kupambana nayo na kuyakomesha MAMBO HAYA NA UKIRITIBWA HUU...? Au kwa sababu bado hatujaungana na kuweza kupambana nayo tu mambo haya...?
Haya ndio mambo muhimu ambayo yanatufanya Wazanzibari kwa upande mmoja tuuchukia muungano feki na kwa upande wa pili viongozi wa CCM kung’ang’ania muungano feki kwa sababu ndio unaowapa nguvu na uwezo wa kufanya wanayo yataka maana wanajuwa wazi kuwa mdaa unayoyoma habu niwakumbushe kidogo wakati wa Uamsho ili kuwaa hawalali maana walijuwa kuwa tonge inatoka mdomoni. Sisi Wazanzibari sio kama sote tunataka kuwa Viongozi laa hashaa lakini hao wanao kuwa Viongozi kwa nini hawafanya kazi zao wao ni kuiba tu na kujitajirisha kisha wanakuja kundanganya watu Zanzibar ni nchi masikini kama Zanzibar ni nchi masikini mbona hutaki kujiuzulu katika cheo ulicho nacho...? sio kweli Zanzibar sio nchi masikini ila Viongozi hawa sio Viongozi hawa ni maruhani yaliyo ekwa na MFALME MWEUSI TANGANYIKA yatunyonye na kunufaisha wao na wake zao na watoto wao na bwana wa MKOLONI MWEUSI TANGANYIKA basi muliobaki nchi hii masikini mpaka lini...?
Tanganyika na Zanzibar  ni moja katika nchi 65 wanachama wa Mpango wa Uendeshaji Shughuli za Serikali kwa Uwazi(Open Government Partnership) au GOP ulioanzishwa 2011 zikiwemo Marekani na Brazil. Ili nchi iwe mwanachama wa mpango huo kuna mambo ambayo lazima uyatimize na yaonekane kwa vitendo, ikiwa ni pamoja na democracy kamili kwa wananchi wake. Angalia nukuu hii ambayo imo katika Open Government Declaration:
As members of the Open Government Partnership, committed to the principles enshrined in the Universal Declaration of Human Rights, the UN Convention against Corruption, and other applicable international instruments related to human rights and good governance:
Sasa inakuaje mambo kama haya yanatokea mchana kweupe katika nchi ambayo imejicommit katika umoja kama huu.....? kuanzia changuzi za mwaka 1995 mpaka huu wa mwisho kuanzia wa raisi na hata wa majimbo ni watu wangapi washauliwa ndio democrasi hiyo....? wangapi washatiwa ulimavu ndio democrasi hiyo...? mara ngapi Maalim kshinda mbona hajawa raisi ndio democrasi hiyo.....? yagujuuuu kaeni tu mkila batata za urojo. Serikali ya Tanganyika inajua kila kinacho fanyika hapa nchini Zanzibar wanatoa baraka zote yafanyike kwa manufaa yao kwani hili ndio koloni lao walilo nalo toka 1964 walipogaiwa na Mzee Karume.
Nawashauri Wazanzibari wakusanye ushahidi wa vitendo vyote vilivyotokea; kwa mfano video zinazoonyesha watu wanapelekwa kwa magari kutoka maeneo yasiohusika kwanda kupiga kura video za watu kupigwa na polisi na waalio uliwa na polisi au majeshi na hata walio uliwa na watu wasio julikana,na orodha ya watu walioahidiwa kulipwa Tsh20,000 baada ya kupiga kura nk. Wapeleke ushahidi huu kwa OGP Steering Committee pamoja na nakala kwa rais Kikwete wa nchi ya Tanganyika. Na vile vile wafungue kesi mahakamani ya kimataifa kupinga matokeo ya uchaguzi na wawasilishe ushahidi wote juu ya uovu wote uliofanyika katika changuzi zote kuanzia 1995 mapaka huu wa juzi.
Na wananchi wasimame pamoja kupinga dhulma hii na dhulma wafinyiwao Masheikh kule jela kama walivyosimama kuitetea Zanzibar katika mchakato wa katiba mpya. Kukaa kimya ni kuipa matumaini CCM wauwaji katika uchaguzi wa 2015, kuwa hakuna tabu mambo yao yanakwenda watakavyo kwa hiyo wanajuwa watafanya vile vile na zaidi katika uchanguzi wa 2015 kama hamukisamama sasa hivi na Masheikh kutolewa jela basi sahauni kabisa kabisa mamlaka kamili ya nchi yetu ya Zanzibar hayatakuja ngooo ngooo kama kweli mnataka mamlaka kamili ya nchi hii yetu ya Zanzibar basi lazima tusimame kwa sote mpaka Masheikh watolewe kule jela.Bila ya wale Masheikh hakuna mamlaka wa mumlaka hapa CUF haina lake CUF ishakuwa CCM B mambo wanayo yafanya katika mikutano yao ndio yale yale ya CCM lipi jipya taarabu wanaume wanawake kukatika viuno ndio kudai nchi huko hahahahahaha mnachekesha nchi hii haipatikani kwa taarabu na ngojeya uchanguzi ujao ahh yakhee tusubiri uchanguzi ujao tutashinda tu yagujuuu hakuna lolote uchanguzi utapigwa kura zitaisabiwa Maalim atashinda kutangazwa atatangwazwa huyo kishein chao basi Maalim atakuja tena nje ya bwawani tulein tulieni muacheni amalize miaka ya mitano kisha mimi nitashida ndio yale yale hakuna jipya kama hamuamina ngojeni mtanao wenyewe.
Mimi naamini Viongozi wa Zanzibar hawana ujuzi,huruma,wala maendeleo kwa wananchi wake wao ni mabavu tu lazima ashendi kwa kuwa ni mtoto wa karume lazima ashindi kwa kuwa ni mtoto wa abuu jahal wa Zanzibar borafya lazima ashinde kwa kuwa na mtoto wa vuai,kombo,jecha,pandu, nk lakini sio kuwa ashinde ataleta maendeleo laaa ila maendeleo yake ni kujitajirisha zaidi na familia yake na kutunza mali za wizi alizo ibaa baba yake zisichukuliwe haya ndio maendeleo yao. hawa wapi wananchi uhuru wa kweli kabisa kisiasa kuchanguwa kiongozi hapa nchini Zanzibar wamtakae ambaye wao wananchi wanao atawaletea maendeleo hilo halipo hapa Zanzibar wanachotumia ni mabavu tu, na mabavu yana siku na kikomo chake. yuko wapi Husni Mabarouk...? yuko wapi Iddi Amini...? yuko wapi Saleh...? yuko wapi Gaddafi.....? na wengine wengi tu kina Savimbi,Kabila, N.K.                                                                            
kila mara CCM Wauwaji wana fanya ufokonyoko wao na ikiritimbwa kimya kimya CUF ni kukusanya watu kibanda maita au mchangani malinda na kulalamika tu kama mwanamke hawara aliyekimbiwa bwana hawana mishion mpya kuwa jamaa tushaibiwa mara ya kwanza hii sasa mara ya pili tufanye nini hivi kweli ushawahi kusikia mtu akaumwa na nyoka mara kumi.....? hata kipofu haumwi na nyoka mara mbili lakini wapi CUF wanaumwa wakiumwa na nyoka yule yelu na wao ni hawa tusubiri mwakani tusubiri mwakani yagujuuu Wazanzibari nyote kaeni mkijuwa kuwa kama kweli munataka mamlaka kami ya nchi hii yetu ya Zanzibar ni Uamsho tu ndio njia ya kupata mamlaka kamili ikiwa ni wakweli ndani ya nyoyo zenu kuwa munataka mamlaka kamili laa kama mnataka kucheza msiwe,kibao kata,mduwara na taarabu basi sawa CUF ndicho hasa chama cha haya bila ya shaka mamlaka kamili ni UAMSHO TU UAMSHO TU UAMSHO TU  maana CCM wanaona kama wana haki ya kufanya lolote kwa sababu watu wamekaa kimya CUF imekaa kimya kimya kila ikibiwa kimya.
Ili kuepukana na matatizo haya, wajumbe wanaokwenda kwenye bunge la katiba wasikubali kupitisha kifungu chochote kama hakitoi mamlaka kamili kwa Zanzibar kuamua mambo yake yenyewe ikiwemo kuchagua viongozi wanaowataka. Bila ya kuwa na Zanzibar yenye mamlaka kamili mambo haya yataendelea milele na milele MKOLONI MWEUSI TANGANYIKA ashamuamrisha kicheni kutia muakilishi wa ............ mnajuwa wenyewe na toka huko nyuma hatukuwa na muakilishi kama huyu lakini leo yumo basi ndio hivyo tena moja wawili watatu tahamaki ni wanyaturu watu ndani ya baraza la wawakilishi. UAMSHO NDIO WENYE UWEZO WA WAKUWAPA WAZANZIBARI MAMLA KAMILI NA MAENDELEO WALIO BAKI WOTE WANAGANGA NJAA TU.

Friday, February 7, 2014

KUTOWA NI MOYO SIO UTAJIRI

Ambulance
Jumuiya ya Zanzibar Welfare Association nchini Uingereza inawaomba kila mwenye uwezo wa kuchangia gharama za usafirishaji gari la kusafirishia wagonjwa kutoka London kuelekea nchini Zanzibar, Gari hilo ambalo litapelekwa Hospital ya Chake Chake Pemba kitengo cha Watoto linatarajiwa kuondoka UK mara tu gharama za usafirishaji zitakapopatika, nazo ni Jumla ya £1200.
Kwa yule ambae atakuwa na uwezo na Moyo wa kuchangia anaweza kutoa mchango wake kupitia Paypal ya Mzalendo.net na kuandika kumbukumbu Ambulance ama kwa wale waliopo UK wanaweza kuwasiliana na Mwenyekiti ZAWA UK Hassan M Khamis nambari ya simu 07588550153.
Ahsanteni.

URUHANI WA TANGANYIKA NDIYO FITNA KUBWA YA MUUNGANO


KATIKA wakati huu ambapo wananchi wanasubiri kwa hamu kushuhudia Bunge Maalum la Katiba likijadili na hatimaye kuidhinisha Rasimu ya Katiba mpya ya Jamhuri ya Tanganyika  (Tanzania,) hakuna chochote kitakachodhoofisha mamlaka ya Zanzibar kuliko vile ilivyokuwa siku zote.
Mwansheria Mkuu wa Zanzibar, Othman Masoud Othman.
Huu ndio mtizamo wa Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar, Othman Masoud Othman ambaye ametoa fursa ya mahojiano maalum na Zanzibar Daima Online kuhusiana na Rasimu ya Katiba iliyotolewa Disemba 30, mwaka jana wakati ilipokabidhiwa kwa Rais Jakaya Kikwete Raisi wa nchi ya Tanganyika na Rais wa Kisonge, Shein.
Othman ambaye amekuwa mmoja wa viongozi wa ngazi ya juu katika Serikali ya Wauwaji wa Zaznzibari (Mapinduzi) wanaoeleza maoni yao kwa ujasiri na ufasaha, anasema hakuna mgongano wowote wa kikatiba kati ya kile kilichoelezwa katika Rasimu ya Katiba na kilichopo kwenye Katiba ya nchi ya Zanzibar iliyofanyiwa mabadiliko makubwa mwaka 2010.
Katiba mpya la kuitambua Jamhuri ya Tanganyika  (Tanzania) kama nchi na Shirikisho lenye mamlaka kamili, haijaathiri utambuzi wa nchi ya Zanzibar kuwa ni nchi, kama ilivyobainishwa kwa uwazi wakati wa mabadiliko ya Agosti 2010.
Kwa mujibu wa pendekezo la Rasimu ya Katiba mpya ambayo Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba alikabidhi kwa marais, Jamhuri ya Tanganyika (Tanzania) sasa inatajwa waziwazi kama ifuatavyo:
“Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni Nchi na Shirikisho lenye mamlaka kamili ambalo limetokana na Muungano wa nchi mbili za Jamhuri ya Tanganyika na Jamhuri ya Watu wa Zanzibar, ambayo kabla ya hati ya Makubaliano ya Muungano ya mwaka 1964, zilikuwa nchi huru.”
Katika Sura ya Kwanza, Katiba ya nchi ya Zanzibar ya mwaka 1984, iliyorekebishwa 2010, inatamka kwamba: “Zanzibar ni nchi ambayo eneo la mipaka yake ni eneo lote la Visiwa vya Unguja na Pemba pamoja na Visiwa Vidogo vilivyoizunguka na Bahari yake ambayo kabla ya Muungano  wa Tanganyika na Zanzibar, ikiitwa Jamhuri ya Watu wa Zanzibar.”
“Itategemea na utakavyotafsiri nini, maana ya NCHI maana neno hili lina maana nyingi, lakini kwa maoni yangu binafsi naona hapa inaimarisha unchi wa Zanzibar kuliko kuleta mgongano kama mtu anavyoweza kutafsiri akisoma Rasimu ya Katiba ilivyoeleza jambo hili,” anasema Mwanasheria Mkuu wa Serikali ya Zanzibar.
Othman, msomi wa sheria katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam alikochukua shahada ya kwanza na Uingereza alikosomea shahada ya pili, akizidi kueleza mtizamo wake katika suala hilo la kile wanasheria wanakiita “Ukuu wa Katiba,” anasema kilichofanywa na Zanzibar kusema ni nchi kwa maana ile, ni kuondoa “kizoro.”
“Katiba hii inayopendekezwa inaposema Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni nchi na Shirikisho naona inaunga mkono msimamo uliomo kwenye Katiba yetu. Katiba ya Jamhuri ya Muungano ilikuwa inaona haya kuueleza ukweli huu bayana. Tulichokifanya tuliporekebisha Katiba 2010 ni kuondoa kizoro hichi kisicho sababu,” anasema.
Kizoro ni vazi la mwanamke wa Kiislam linalomfunika uso mzima isipokuwa akibakisha macho tu, staili ambayo inamhifadhi kama inavyoelekeza dini hiyo katika kumtambua mwanamke kama kiumbe anayetakiwa kutojianika.
Othman anasema kwamba ukweli ni kwamba Zanzibar imeungana na Tanganyika na kupatikana Jamhuri ya Muungano na kwamba kutokana na pendekezo la Rasimu ya Katiba mpya, ukweli huo utaendelea kubaki, kwa kuwa “Zanzibar si jimbo. Tulipoungana tuliunganisha nchi huru na kupata taifa moja, lakini kila moja ina mamlaka yake kwa mambo yake, haya ndiyo yalikuwa matarajio.
“Ukizungumzia Nchi kwa hii maana ninayoieleza, basi utakuta Zanzibar ni nchi si jimbo. Zanzibar ni state (dola) na kwa maana nzima ya sasa, ni moja ya nchi washirika zinazounda Jamhuri ya Muungano wa Tanzania… na kwa sasa kwa mapendekezo ya katiba mpya, Tanganyika ambayo ilikuwa imejificha, nayo itakuwa ni state waziwazi kama ilivyo Zanzibar.”
Akizungumzia Ibara inayomtambua Rais wa Zanzibar kama Mkuu wa Nchi ya Zanzibar, Kiongozi wa Serikali ya Mapinduzi na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, kwa kuchukulia pia pale Rasimu ya Katiba mpya inapomtaja Rais wa Jamhuri kama Mkuu wa Nchi, Kiongozi wa Serikali na Amiri Jeshi Mkuu, Othman anasema hapo vilevile hakuna mgongano wowote.
“Ndivyo hali halisi ilivyo. Katiba ya Zanzibar inaelezea mamlaka ya Rais wa Zanzibar kwenye eneo lake. Rasimu ya Katiba mpya inaelezea mamlaka ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa yale mambo aliyolengwa kuyasimamia kimuungano,” anasema.
Mtizamo wa Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar unaondoa hisia zilizojengeka kwa baadhi ya Wazanzibari kwamba kwa pendekezo lililokuja katika Rasimu ya Katiba kwamba Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni Nchi na Shirikisho lenye mamlaka kamili, limesababisha kuing’oa meno Katiba ya Zanzibar inayoitambua Zanzibar kuwa ni nchi.
Alipoulizwa anadhani kutakuwa na maelewano kuhusu pendekezo la mfumo wa Muungano wa SerikaliTatu wakati Bunge Maalum la Katiba litakapokutana kama inavyotarajiwa mwezi ujao, Othman amesema hilo ni moja ya maeneo anayoona yatakuwa na ubishani ingawa, “itakuwa ni bahati mbaya tu kwa sababu jambo hili lilipaswa liwe limeshakuwa na muafaka.”
Othman hakutaka kuingia kwa undani kwa suala hili lakini anajulikana alivyo na msimamo imara kuhusu umuhimu wa kuondokana na mfumo wa Serikali Mbili ambao anasema “ni ghali zaidi kwa Zanzibar.”
Agosti mwaka jana alipokuwa akifungua Baraza la Katiba la Shirikisho la Wanavyuo Vikuu na Taasisi za Elimu ya Juu Zanzibar, Othman alisema kwamba chini ya mfumo wa Serikali Mbili, “maofisa waandamizi wa Serikali ya Zanzibar wamekuwa wakipishana kila uchao Dar es Salaam kufuatilia masuala mbalimbali yanayoihusu Zanzibar peke yake.”
Huku akitilia shindo kukubaliwa kwa moyo mkunjufu kwa mfumo wa Serikali Tatu akiona ndio mfumo imara wa Muungano, Othman aliwaambia wanavyuo kuwa Serikali Mbili ni ghali kwa Zanzibar kuliko ilivyo kwa Tanzania Bara.
“Jamani mfumo wa Serikali Mbili hautufai. Namimi hili nalisema mara nyingi halina maslahi nasi. Ndiyo maana wenzetu wamekuwa hawashughuliki kutatua wanazoziita kero. Hawana cha kukosa, wakati akitokea mtu akifanya utafiti kwenye wizara na idara mbalimbali katika Serikali ya Zanzibar kila siku maofisa wanapishana kusafiri kwenda Dar es Salaam kufuatilia matatizo.”
“Hakuna hoja za msingi za kuwa na Serikali Mbili. Kama tunataka kweli, na tumedhamiria kuimarisha Muungano wetu, basi tuone haja ya kuridhia mfumo wa Serikali Tatu ambao utaweka bayana maslahi ya kila mshirika… mfumo wa Serikali Mbili unaweza kuwa sababu ya haraka ya kuvunjika Muungano. Nawaambieni ndugu zanguni, Muungano utavunjwa na Serikali Mbili kwa sababu wapo watu kule (Tanzania Bara) wanaichukia Zanzibar, sasa ni lazima tujenge misingi ya kuulinda Muungano.”
Othman alisema kujificha kwa Tanganyika kwenye Serikali ya Muungano, ni fitna kubwa inayoudhoofisha Muungano.
“Uruhani wa Tanganyika ndiyo fitna kubwa ya Muungano, Mzee Jumbe (Aboud Jumbe Mwinyi, Rais wa Pili wa Zanzibar) alitaka kuja na hirizi ya huyu ruhani akamchukue na akamzike.”
“Kwa bahati mbaya alidhalilishwa mbele za watu kwa kuambiwa eti hajui hesabu moja na moja anasema tatu. Hivi kweli Mzee Jumbe msomi mzima hajui hesabu? Huu uruhani wa Tanganyika ndiyo fitna kubwa ya Muungano, ipo haipo. Lakini akipanda kichwani anasema nipo, sasa inataka kutumia jina letu la pamoja.”
Othman alikumbusha mkasa uliomtokezea Mzee Jumbe ambaye mwaka 1984, akiwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, aliandaa waraka wa mapendekezo kwa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, kutaka mfumo wa serikali tatu kwa kutokana na kile alichoamini kuwa “moja na moja ni tatu.” Alimaanisha serikali ya Zanzibar iliyopo wazi, serikali ya Muungano iliyopo wazi na serikali ya Tanganyika iliyojificha.
Waraka huo ulinaswa na mashushushu waliokuwa Ikulu ya Zanzibar kabla hajaondoka kwenda mkutanoni Dodoma, na hatimaye akalazimishwa na Mwalimu Julius Nyerere kujiuzulu.
Baada ya Tume ya Warioba kupendekeza mfumo wa serikali tatu, viongozi wakuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wamekuwa wakipinga na kutamka kwamba watafanya kila wawezalo kukwamisha kupita.
SHEIN,BALOZI WA TANGANYIKA SEIF IDDI AMINI,NAHODHA WA MARIKWAMA,BORAFYA ABBU JAHALA WA ZANZIBAR,SAMIA SULUBU USULUBIWE,VUAI ALI VUAI N.K. MUMESIKIA MANENO HAYA AU BADO TU NYINYI NI SUMU YA WAZANZIBARI NA ZANZIBAR YENYEWE HAMUONI JAPO MUNA MACHO HAMUSIKI JAPO MUNA MASIKIO

Wednesday, February 5, 2014

MKAZI WA KIEMBESAMAKI AKIJITAYARISHA KUPIGA KURA

mpigra_kura_kiembesamaki
SHEIN KASEMA KWELI WANAOTAKA MAMLAKA KAMILI WAHAME KWA NINI AKASEMA VILE NU KUWA ANAO JAMAA ZAKE WA MRIMA ANAWALETA TU HUYU NI MKAZI WA KIEMBESAMAKI LAKINI KAZALIWA MCHANGANI.

Monday, February 3, 2014

NCHINI ZANZIBAR RAI WAWILI WANAOSADIKIWA KUWA NI WAFARANSA WAMEULIWA NA KUFUKIWA KATIKA KISIMA CHA MAJI


JE PASPOTI ZITARUDISHWA ILI WAJULIKANE WANAOINGIA NCHINI MWETU ZANZIBAR AU NDIO MUUNGANO FEKI UDUMU WANYATURU WANAINGIA WATAKAVYO WAKIUWA WATAKAVYO NA KUIBA WATAKAVYO ATI NCHI HII INA MAMLAKA KAMILI TOKA 1964 YAGUJUUU SEMANI KWELI KUWA NCHI HII IMEFANYWA JAAA LA KILA MACHAFU TOKA MWAKA 1964 HUO NDIO UKWELI WA MAMBO.
Nchini Zanzibar ni Aibu na masikitiko makubwa ya kuliwa wafaransa wawili.  Kikosi cha Zimamoto na Uokoaji (KZU) na Polisi wa MKOLONI MWEUSI TANGANYIKA wamefanikiwa kuvunja zege lililokuwa limejengwa kufunika kisima walichotupwa raia wawili wa Ufaransa, baada ya kuuawa na kupata sehemu za miili yao ikiwamo fuvu la kichwa.
Ikielezwa kwamba waliotekeleza unyama huo walilenga kupora nyumba na kiasi kikubwa cha fedha walichokuwa nacho Wazungu hao.
Akizungumza na Mwandishi wetu wa siri jana, Mkurugenzi na Makosa ya Jinai nchini Zanzibar (DCI) Yussuf Illembo, alisema kuwa hadi jana mchana, mifupa miwili ya mapaja, fuvu la kichwa na miwili ya mbavu imepatikana kutoka ndani ya kisima hicho.
Alisema kwamba Kikosi Kazi cha Uokoaji kinaendelea kufanya kazi eneo hilo la Matemwe lililopo Shehia ya Kaskazini, Mkoa wa Kaskazini Unguja.
“Kazi bado ni ngumu, tunaendelea kuzamia ndani ya kisima na itakapokamilika tutatoa taarifa. Tuacheni kwanza tufanye kazi hii nzito na ngumu kwa wakati huu,” aliomba DCI Illembo.
Zoezi hilo lilifanyika huku likishuhudiwa na ofisa mmoja wa Ubalozi wa Ufaransa nchini na kuelezwa kuwa marehemu hao walinunua eneo la ardhi na nyumba kwa Sh150 milioni kwa kutumia jina moja la mzawa wa nchi ya Zanzibar, kutokana na sheria kutoruhusu wageni kumiliki ardhi nchini humo Zanzibar.
Watu hao, Francios Chererobert Daniel, aliyekuwa mtumishi mstaafu wa ngazi za juu wa Serikali ya Ufaransa na mkewe Brigette Mary, walipotea tangu Desemba 27 mwaka jana.
Baadaye taarifa za kupotea kwa watu hao zilifikishwa Polisi ndipo msako wa kuwatafuta ulipoanza na baadaye kugundulika kuwa, kuna watu wameuawa na miili yao kutupwa katika kisima cha maji kilichopo ndani ya ua wa nyumba hiyo.
Hata hivyo, baadhi ya waokoaji na mashuhuda wa tukio hilo, walimuambia  Muandishi wetu kwamba sehemu hizo za mwili zinazosadikiwa kuwa za Wafaransa hao, zimefukuliwa baada ya kazi kubwa ya kuvunja zege kwa kutumia mashine maalumu inayofanywa na Kikosi cha Zimamoto na Uokoaji kwa kushirikiana na wakazi wa eneo hilo zege ambalo inasadikiwa lilimwangiwa juu ya maiti hizo baada ya kuuliwa.
“Tumefanikiwa kutoa sehemu ya miili, imehifadhiwa katika Hospitali ya Mnazi Mmoja,” alisema mmoja wa mashuhuda ambaye alitaka jina lake lisiandikwe. Alisema kuwa kazi ya kuvunja zege hilo ilikuwa ngumu, walilazimika kuwachukua vijana wengine raia wa kawaida ili kuifanikisha.
Akielezea mazingira waliyokutana nayo chini ya kisima walichotupwa Wafaransa hao baada ya kuuliwa, alisema kuwa baada ya zege kuvunjwa walikuta nguo nyingi zimejazwa chini yake na juu yake kujengwa zege hilo kabla ya kumwagwa saruji isiyochanganywa na kitu ili kufunika kisima kwa lengo la kupoteza ushahidi.
Hata hivyo, vyanzo vya habari vinaeleza kuwa zoezi hilo lililazimika kusitishwa kutokana na sehemu ya chini ya kisima kupita mkondo wa maji ya bahari, hivyo kulazimika kutafuta mashine ya kuvuta maji nchi imefisidika mpaka hai hata mashine ya kuvutia maji inasikitisha sana alisema mashuhuda moja.
“Kazi hiyo ikiweza kufanyika ndipo tutakapoweza kwenda katika kina kirefu zaidi cha kisima hicho ili kukusanya mifupa. Tukipata idadi ya mifupa na mafuvu yote, tutaweza kujua waliouawa ni wangapi,” kilieleza chanzo kimoja kingine.
Habari zilizopatikana zinaeleza kuwa siri ya mauaji hayo ni baadhi ya watu wasio julikana kama ni Wazanzibari au ni Mijitu yakutoka nchi nyengine iliyo jaa humu nchini mwetu Zanzibar kwa faidi ya MUNGANO FEKI na MAPINDUZI DAIMA kutaka kupora nyumba, waliyokuwa wakiishi Wafaransa hao pamoja na fedha zinazodaiwa walikuwa nazo raia hao wa kigeni wakitaka kununua eneo la kujenga hoteli kwenye ufukwe wa Urowa.
Inelezwa kuwa kabla ya kuingia nchini Zanzibar, Wafaransa hao walifikia Nairobi nchini Kenya ambako walitaka kujenga Hoteli lakini inadaiwa kuwa mmoja wa wanasiasa wakongwe nchini humo aliwashauri kuja nchini Zanzibar kuishi na kuwekeza maana Zanzibar hakuna cha sheria pesa yako tu basi mambo poa.
Taarifa zaidi kutoka ndani ya Jeshi la Polisi la MKOLONI MWEUSI TANGANYIKA zinaeleza kuwa mazingira ya tukio hilo yanaonyesha kuwa kabla ya watu hao kuuwawa, mbwa wao aliyekuwa akifahamika kwa jina la Allan, alipewa chakula chenye sumu na kufa na kwamba sehemu ya mabaki ya chakula hicho yaliliwa na mbwa wa jirani ambaye pia alikufa huu kweli ni uchunguzi hata mtoto wa darasa lapili anaweza kujuwa uchunguzi huu.
Aidha, mifuko mitupu ya saruji inayosadikiwa kutumika katika ujenzi wa zege la kisima hicho, imeokotwa nyuma ya ukuta wa nyumba hiyo waliyokuwa wakiishi Wafaransa hao. 
MZEE ABEID AMANI KARUME OYEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE.
JULIUS NYERERE BABA WA WATANGANYIKA OYEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE.

AFRO FISADI INAENDELEA KUIFISI ZANZIBAR,WAZANZIBARI NA WAGENI OYEEEEEEEEEEEEEEE.
MAPINDUZI DAIMA OYEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE.

MUUNGANO FEKI OYEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE.
MUKIONA TUNAWAUWA SANA HAMENI  OYEEEEEEEEEEEEEE.
NCHI HII INA MAMLAKA KAMILI TOKA MWAKA 1964 OYEEEEEEEE.