Saturday, February 28, 2015

WAZANZIBARI WAJUWENI HAWA MAKABURU WEUSI TANGANYIKA WALIVYO KUWA NI WABAYA MWENYE MACHO HAMBIWI TEZAMA.


WARABU WEEE WAOMANI WEEE WARABU WEEE WA OMAN WEEEE KISHA MIJINO WAA

RAISI KIKWETE WA NCHI YA TANGANYIKA AKIWA ZIARANI YA SIKU MBILI NCHINI KUWAITI


WARABU WEEE WAOMANI WEEE WARABU WEEE WA OMAN WEEEE KISHA MIJINO WAA
ZANZIBAR IKIJITAWALA WARABU WATARUDI WATAJITANGAZIA SEREKALI YA KISLAMU MBONA OMAN LUKUVI ULIKOKWENDA JE NI SEREKALI YA...? JE OMAN SIO WARABU LUKUVI NA MACHUKI  NA UBAGUZI WAKO.

WARABU WEEE WAOMANI WEEE WARABU WEEE WA OMAN WEEEE KISHA MIJINO WAA

WARABU WEEE WAOMANI WEEE WARABU WEEE WA OMAN WEEEE KISHA MIJINO WAA
SITTA NANE TISA AENDELEZA CHUKI ZAKE ASEMA KUWA WAZANZIBARI WALIOKUWEPO NCHINI OMAN WANATAKA KUPINDUWA NCHI.JE SITTA NI NCHI GANI HIYO AMBAYO WAZANZIBARI WALIO KUWEPO OMAN WANATAKA KUIPINDUWA...???

WARABU WEEE WAOMANI WEEE WARABU WEEE WA OMAN WEEEE KISHA MIJINO WAA

WARABU WABAYA WARABU WALIWAFANYA NYINYI WAZANZIBARI WATUMWA WALE WAOMANI SIO WATU WALE SISI TANGANYIKA NDIO NDUGU ZENU BLA BLA BLA NYUMA YA PAZIA WAO WANAKWENDA OMANA NA KUSAINI NAO MIKATABA ILI NCHI YA TANGANYIKA ENDELE SISI ZANZIBAR TUNAENDELEZA CHUKI WAPUMBAVU WAKUBWA MUONENI MR ZANZIBAR SIO NCHI ANAVYOTIA SAINI NA WAOMANI NCHINI OMAN ILI WAENDELEZE MASHIRIKIANO YAO TANGANYIKA NA WAOMANI.

KILA MZANZIBARI ATAULIZWA SIKU YA KIYAMA NA MWENYEZI MUNGU ULIPOSIKIA WAZANZIBARI WENZIO WANADHALILISHWA NA KULAWITIWA NA HAWA JE ULIFANYA NINI TAFUTA JIBU LAKO MAPEMA KWA SIKU HIYO YA KIYAMA SIKU AMBAYO MALI NA WATOTO WAKO WALA CHEO CHAKO HAVITAKUFAA SIKU HIYO.

Thursday, February 26, 2015

VIDEO-KAMATI YA MARIDHIANO SIX 21 FEB 2015 UZINDUZI MIKAKATI TIMU USHINDI CUF MNAZIMMOJA STAR TV


MANSOUR YUSSUF HIMID / MAALM SEIF SHARIFF HAMAD
KILA MZANZIBARI ATAULIZWA SIKU YA KIYAMA NA MWENYEZI MUNGU ULIPOSIKIA WAZANZIBARI WENZIO WANADHALILISHWA NA KULAWITIWA NA HAWA JE ULIFANYA NINI TAFUTA JIBU LAKO MAPEMA KWA SIKU HIYO YA KIYAMA SIKU AMBAYO MALI NA WATOTO WAKO WALA CHEO CHAKO HAVITAKUFAA SIKU HIYO.

VIDEO-KAMATI YA MARIDHIANO SIX PART 1/5 CUF MATEMBEZI TIMU MSHINDI DARAJANI TO MNAZIMMOJA FEB 21ST 2015


PART 1/5
KILA MZANZIBARI ATAULIZWA SIKU YA KIYAMA NA MWENYEZI MUNGU ULIPOSIKIA WAZANZIBARI WENZIO WANADHALILISHWA NA KULAWITIWA NA HAWA JE ULIFANYA NINI TAFUTA JIBU LAKO MAPEMA KWA SIKU HIYO YA KIYAMA SIKU AMBAYO MALI NA WATOTO WAKO WALA CHEO CHAKO HAVITAKUFAA SIKU HIYO.

VIDEO-KAMATI YA MARIDHIANO SIX PART 2/5 CUF MATEMBEZI TIMU MSHINDI DARAJANI TO MNAZIMMOJA FEB 21ST 2015


PART 2/5
KILA MZANZIBARI ATAULIZWA SIKU YA KIYAMA NA MWENYEZI MUNGU ULIPOSIKIA WAZANZIBARI WENZIO WANADHALILISHWA NA KULAWITIWA NA HAWA JE ULIFANYA NINI TAFUTA JIBU LAKO MAPEMA KWA SIKU HIYO YA KIYAMA SIKU AMBAYO MALI NA WATOTO WAKO WALA CHEO CHAKO HAVITAKUFAA SIKU HIYO.

VIDEO-KAMATI YA MARIDHIANO SIX PART 3/5 CUF MATEMBEZI TIMU MSHINDI DARAJANI TO MNAZIMMOJA FEB 21ST 2015


PART3/5
KILA MZANZIBARI ATAULIZWA SIKU YA KIYAMA NA MWENYEZI MUNGU ULIPOSIKIA WAZANZIBARI WENZIO WANADHALILISHWA NA KULAWITIWA NA HAWA JE ULIFANYA NINI TAFUTA JIBU LAKO MAPEMA KWA SIKU HIYO YA KIYAMA SIKU AMBAYO MALI NA WATOTO WAKO WALA CHEO CHAKO HAVITAKUFAA SIKU HIYO.

VIDEO-KAMATI YA MARIDHIANO SIX PART 4/5 CUF MATEMBEZI TIMU MSHINDI DARAJANI TO MNAZIMMOJA FEB 21ST 2015


PART 4/5
KILA MZANZIBARI ATAULIZWA SIKU YA KIYAMA NA MWENYEZI MUNGU ULIPOSIKIA WAZANZIBARI WENZIO WANADHALILISHWA NA KULAWITIWA NA HAWA JE ULIFANYA NINI TAFUTA JIBU LAKO MAPEMA KWA SIKU HIYO YA KIYAMA SIKU AMBAYO MALI NA WATOTO WAKO WALA CHEO CHAKO HAVITAKUFAA SIKU HIYO.

VIDEO-KAMATI YA MARIDHIANO SIX PART 5/5 CUF MATEMBEZI TIMU MSHINDI DARAJANI TO MNAZIMMOJA FEB 21ST 2015


PART 5/5
KILA MZANZIBARI ATAULIZWA SIKU YA KIYAMA NA MWENYEZI MUNGU ULIPOSIKIA WAZANZIBARI WENZIO WANADHALILISHWA NA KULAWITIWA NA HAWA JE ULIFANYA NINI TAFUTA JIBU LAKO MAPEMA KWA SIKU HIYO YA KIYAMA SIKU AMBAYO MALI NA WATOTO WAKO WALA CHEO CHAKO HAVITAKUFAA SIKU HIYO.

Sunday, February 22, 2015

CUF YAFANYA MKUTANO MKUBWA VIWANJA VYA MNAZI MOJA NCHINI ZANZIBAR


Nchini Zanzibar. Chama cha Wananchi (CUF) jana  kilionyesha jinsi kilivyojiandaa kwa “mwaka wa uamuzi” wakati kilipogawa vifaa mbalimbali vya kusimamia kuwezesha wanachama wake kusimamia Uchaguzi Mkuu katika mkutano wa hadhara uliohudhuriwa na maelfu ya watu kwenye Uwanja wa Mnazi Mmoja. CUF, moja ya vyama viwili vikubwa nchini Zanzibar, iligawa magari kwa kila wilaya na kamati  zilizoteuliwa kusimamia uchaguzi, pikipiki aina ya Vespa kwa majimbo yote 50 na katibu mkuu wa chama hicho, Maalim Seif Sharrif Hamad alisema lengo la mgawo huo ni kuutangazia umma kuwa “huu ni mwaka wa uamuzi”. Akizungumza katika mkutano wa hadhara wa uzinduzi wa Kamati za Uchaguzi za chama hicho kwenye Viwanja vya Mnazi Mmoja, Maalim Seif Shariff Hamad alisema safari ya uchaguzi tayari imeanza na CUF imejipanga vizuri kuliko chaguzi zote zilizopita na imeamua kutumia miezi minane iliyobakia kukamilisha mkakati wa ushindi. Alisema kuzinduliwa kwa kamati hizo za Uchaguzi Mkuu ni kuanza safari ya Zanzibar kupata mamlaka kamili na kuongeza “hakuna kuremba ni kazi, kazi kazi, kwa sababu Wazanzibar wanaitegemea CUF kuwakomboa”. Alisema wamejipanga, wamejizatiti kwa kila hali wala hakuna kinachowatisha na azma ya kutimiza wanachokitaka itatimia kwa umoja wao. 

CUF imekuwa ikitoa upinzani mkubwa katika kila uchaguzi tangu kurejeshwa kwa mfumo wa siasa za vyama vingi, na CCM imekuwa ikipata shida kubwa kushinda chaguzi katika kila changuzi mwisho huiba kura na kuchakachuwa kisha kujitangazia ushindi wenyewe wanauwita ushindi wa kishindo na mara zote umekuwa ukilalamikiwa na wananchi maana wameshakichoka, hali iliyosababisha vyama hivyo kuunda Serikali ya Umoja wa Kitaifa baada ya machafuko kutokea mwaka 2005 na miaka mengine nyuma. “Sitaki visingizio, nimewapa vitendea kazi; magari, pikipiki, mashine za kutolea nyaraka mbalimbali, mashine za matangazo (PA)  sasa kafanyeni kazi huku mkiyakumbuka maazimio yetu ya mwaka huu ambayo ni kazi kwa kwenda mbele. Huu siyo mwaka 2005, wala 2010. Huu ni mwaka 2015, mwaka tofauti kwa chama chetu,” alisema Maalim Seif.Maalim Seif Shariff Hamad, ambaye alihutubia kwa  zaidi ya saa moja na nusu, aliamsha shangwe na vigeregere kutoka kwa watu waliohudhuria mkutano huo wa uzinduzi wakati aliposema kuwa wanaungana na tamko la Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), kutoshiriki katika upigaji Kura ya Maoni ya Katiba Inayopendekezwa.
Katibu Mkuu huyo alisema kuwa katika kuhakikisha huu ni mwaka wa uamuzi na siyo wa uchaguzi, wananchi wa Zanzibar wasishiriki kabisa kuipigia kura Katiba Inayopendekezwa kwa sababu siyo yao badala yake wajipange kuhakikisha Chama hicho kinashika dola. “Wamepiga ngoma wenyewe, wamecheza wenyewe, tuwaache waipigie kura wenyewe. Katiba hiyo ni ya Dodoma na itabaki huko,” alisema Maalim Seif Shariff Hamad. Alisema wananchi wamechoka kutawaliwa na utawala usio na upeo, dira, uadilifu, ubunifu, na mwelekeo, chama kisichojiamini, kinachoshindwa kusimama kidete kutetea maslahi ya Wazanzibari.
Alifafanua kuwa CUF ipo tayari na imejipanga kwa ajili ya kutetea maslahi ya wananchi wote, kufanya uamuzi ndani ya Zanzibar badala ya kufanyia Dodoma. Alisema uongozi uliopo unaangalia maslahi yao badala ya wananchi, huku ukiweka mbele itikadi za kisiasa, badala ya kuangalia maslahi ya wananchi. Huku akijihakikishia nafasi ya urais, Maalim alisema: “Kazi ya kwanza ya serikali ya awamu ya nane baada ya kuapishwa Rais na kuunda baraza lake la mawaziri, ni kuondoa kasoro zilizojitokeza wakati wa utawala CCM, ikiwamo vitendo vya ubaguzi.”
Salamu kwa CCM
Huku akiigiza kulia, Maalim Seif Shariff Hamad alisema kuwa salamu za chama hicho zimeifikia CCM na sasa wanalizana katika vikao vyao kwa kuwa wamechanganyikiwa na hivyo hawajitambui. Alisema hivi sasa askari wote wanaotoka Zanzibar waliokuwa Bara Tanganyika wanarudishwa ili atii kukipa nguvu chama na kukipigia kura wakati wa uchaguzi ila wao pia hii ni nchi yao kwa hiyo wanajuwa wafanye nini wakati ukifika Alisema dalili nyingine ya kuchanganyikiwa ni kukiunga mkono chama kipya (bila kukitaja) na kukitaka kisimamishe mgombe urais kwa gharama zao ili kuzigawa kura, lakini hilo haliwatishi.

Alisema kama CCM itashinda kihalali hawana tatizo , lakini isijidanganye kuwa itafanikiwa kuiba kura au kudanganya kwa namna yoyote ile.

Maalim Seif Sharrif Hamad akiendelea kusema kuwa hivi karibuni alikuwa nchini Qatar kwa ziara fupi anasema kuwa waziri wa Qatar amemuambia kuwa wananchi wote wa Qatar hawaijuwi (Tanzania) ni nchi gani ila ukisema Zanzibar basi wote wanaijuwa ni nchi gani kutokana na maingiliano na masikilizano yaliopo baina ya nchi ya Qatar na nchi ya Zanzibar.
Kuhusu Muungano, Maalim Seif Shariff Hamad alisema: “Hatuwezi kupata maendeleo kwa mfumo huo. Kila kitu kipo kwao, nchi kama Qatar na Uturuki walitaka ndege zao zifike Zanzibar zikakataliwa, lakini kama tungekuwa na mamlaka tungeangalia tunanufaika vipi likapitishwa hilo.” Maalim Seif Shariff Hamad alitumia muda mwingi kumsifu Waziri wa zamani wa SMZ, Mansour Yusuph Himid, ambaye amepewa jukumu la kumshauri Katibu Mkuu mkakati wa kufanikisha ushindi katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu, akisema uamuzi huo umeongeza nguvu ya kuleta mabadiliko ya utawala na kuusimika uongozi.
Awali, Mansour alisema kuwa nyakati za kuburuzwa, kutoshirikishwa zimekwisha sasa kila Mzanzibari anataka Serikali yenye mamlaka kamili ambayo bila shaka italetwa na CUF.
Mshauri huyo wa Katibu Mkuu kabla ya kupanda kwenye membari na kuhutubia alicheza kuashiria furaha ya uzinduzi huo alisema kuwa wananchi wafanye maamuzi ya kuutoa utawala na kuweka viongozi katika uchaguzi wa mwaka huu. Alisema kwa kufanya hivyo watajenga Zanzibar moja itakayompa uhuru Mzanzibari wa kujitawala na kujinasibu nayo badala ya sasa watu wanaogopana.
Kwa upande wake Naibu Katibu Mkuu wa CUF Zanzibar, Nassor Ahmed Mazrui alisema yupo tayari kupoteza maisha kupigania maslahi ya Zanzibar.
Mazrui ambaye pia ni Waziri wa Viwanda, Biashara na Masoko, alisema CUF ni chama kinachotokana na wananchi na kamwe hakitashiriki udalali wa kuiuza nchi katika himaya ya Tanganyika na itaendelea kupigania mamlaka kamili.Mkutano huo ulitanguliwa na maandamano yaliyoanzia katika Uwanja wa Malindi na kupita Barabara ya Darajani na kumalizikia katika Viwanja vya Mnazi Mmoja nchini Zanzibar.
Katika hatua nyingine CUF imeendelea kupeperusha bendera ya zamani ya chama cha Afro Shiraz Party (ASP), ambacho kimefutwa baada ya kuungana na chama cha Tanu bila ya kuulizwa Wazanzibari na matokeo yake ndio kuzaliwa jinamizi Chama cha Mapinduzi(CCM) kuila na kuimeza nchi ya Zanzibar, Februari 5, 1977. Bendera ASP ilipamba mkutano wa hadhara wa CUF uliofanyika jana kwenye uwanja wa Mnazi Mmoja wakati chama cha CUF kilikuwa kinazindua rasmi kamati za uchaguzi za chama hicho ambazo ni maalumu kwa ajili ya kushughulikia masuala yote yanayohusu uchaguzi mkuu ujao ikiwa ni pamoja na maandalizi.
Tofauti na ilivyozoeleka wafuasi wa chama hicho waliingia uwanjani hapo kwa makundi huku karibu kila mmoja akiwa amebeba bendera ya ASP, yenye rangi tatu za kijani, nyeusi na bluu bahari. Kwa mujibu wa taarifa wafuasi wa CUF wameanza utaratibu wa kupeperusha bendera ya ASP kwa madai ya kuienzi Serikali ya Umoja wa Kitaifa (SUK), na pia kutanguliza Uzanzibari kwanza na nchi yao ya Zanzibar kwanza. Hata hivyo siku za karibuni Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) Zanzibar, Shaka Hamdu Shaka kipofu wa akili aliiomba Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini kukichukulia hatua za kisheria chama cha CUF kwa madai ya kupeperusha bendera ya zamani ya chama ASP kinyume na sheria namba 5 ya mwaka 1992.
Shaka kipofu wa akili alisema kwa mudu mrefu kumekuwa na ukiukaji huo wa sheria ukifanywa na viongozi wa CUF na wafuasi wake, wakipeperusha bendera yenye rangi ya ASP kwenye mikutano yao ya hadhara na kusema inatokana na CCM. “Tunazitaka mamlaka za kidola na ofisi ya msajili hapa Zanzibar kukizuia chama cha CUF kiache kupeperusha bendera ya ASP, CUF hawana nasaba na ASP, asili yao ni ZNP, tumevumilia sasa hatutakubali tena dhihaka hiyo,” alisema Shaka kipofu wa akili.

KILA MZANZIBARI ATAULIZWA SIKU YA KIYAMA NA MWENYEZI MUNGU ULIPOSIKIA WAZANZIBARI WENZIO WANADHALILISHWA NA KULAWITIWA NA HAWA JE ULIFANYA NINI TAFUTA JIBU LAKO MAPEMA KWA SIKU HIYO YA KIYAMA SIKU AMBAYO MALI NA WATOTO WAKO WALA CHEO CHAKO HAVITAKUFAA SIKU HIYO.

CCM MLIO BAKI CHUKUWENI KAULI HII.......MSEMO WA ‘DUNIA HADAA, YAGHILIBU SHUJAA!’

NYUMBA MPYA YA SALMIN AWADHI SALMIN ALIYO HAMIA ALIZO JENGA HAPA DUNIANI KAZI WACHA HAPA HAPA DUNIANI CCM WASAKA TONGE NA MADALALI MESOMA NINI KATIKA KIFO CHA SALMIN..?
Katika ndege waliotajwa kwenye kitabu kitukufu cha Qurani, kunguru yasemekana yumo. Kwa kawaida vitu au viumbe vilivyotajwa humo vina umaizi mkubwa na mafunzo makubwa tunayopaswa sisi wanadamu tujifunze kupitia kwao.
Utafiti mdogo tu uliofanywa na wanazuoni walioko hapa nchini Zanzibar na nchi ya Tanganyika wamegundua kuwa kunguru amepewa uwezo mkubwa wa macho. Inasadikiwa kuwa jicho la Kunguru lina uwezo wa kuona mara nne zaidi ya jicho la mwanadamu. Lakini je hiyo tu ndiyo hekima aliyonayo kunguru hadi kufikia kutajwa kwenye Qur-ani...? La siyo hiyo na wala sababu hasa hatuijui sisi waja wa kawaida. Tubakie tu kusema ‘allwahu a-alam!’
Sisi watu wa kawaida, tusiosoma, tunamkumbuka kunguru sana kwa ule mlio wake ambao kwa wafasiri wa milio ya ndege – iwe kiutani au kiudhati basi anapolia kunguru husema maneno yanayokaririka – ‘Dunia Hadaa, yaghilibu shujaa!’ Na ni maneno hayo hasa ndiyo yanayonipa kifungu na uwezo mwembamba wa kuandika ukurasa huu leo, kwa watakaobahatika kuusoma!!! in shaa allah.
Lengo, nia na madhumuni yangu ni kuonyesha jinsi gani cheo au uluwa, pesa, nguvu na punzi alizo tupa allah ambazo hatujuwi zinakwisha lini,wapi,wakati gani zinavyoweza kumpoteza njia mwanadamu aliye dhaifu mbele ya Allah hadi akafikia hatua ya kukufuru na kutakabari kulikopitiliza ada. Na basi bila kujua mwanadamu huyo dhaifu kuwa kuna nguvu kubwa zaidi inayomwendesha yeye, huendelea kutakabari hadi akafikia kupatilizwa na mola wake akaishia kupata hasara ya milele!!! huko tuendeko.
Tuna mifano mingi ya viongozi waliokubuhu na kufurutu ada. Wakatakabari kiasi ya kuvaa joho la Mungu. Matokeo yake wakafikia pabaya. Mfano mzuri wa hayo ni firauni wa Misri ambaye kwa jinsi alivyotaraghani ujeuri wake alifikia kusema; ‘Mimi ndiye Mungu wenu wa haki!’ aha!!! Basi alipofikia kipeo hiki, mumba wa haki akajitokeza akamdaka kwa kumgharikisha hata asipate kauli ya kwi! Seuze kupiga shahada!!!
Kwetu sisi watu mfano wa Fira-uni pia wapo. Wengi wao ni wanasiasa kwa bahati mbaya. Mfano wa karibu tutauanza kwa baba wa taifa wa nchi ya Tanganyika Julius Nyerere ambaye kwa jinsi ya nchi yake ya Tanganyika ilivyomtukuza, alifikia hadhi ya utume na kwa wengine hata Uungu haukuwa mbali naye –Astaghfiruh Allah! Naye kwa kupata kichwa, akabweteka, akawa jimbi anayewika.
Siku moja kama sikosei mwaka 1998 au mwanzoni mwa mwaka 1999, katika moja ya vikao vyake Nyerere alisema kuwa anashangaa sana kwanini mtoto mchanga hufa, Astahafiruh Allah. Hilo lisitoshe. Akasema yeye ana tamaa ya kuishi hadi miaka themanini.
Wakati huo alikuwepo Mzee Ruksa, Mwinyi ambaye ama kwa dhihaka au kwa hivyo kumutukuza Nyerere na kumpa bichwaa alimwambia ‘ Nakuongeza miaka mengine mitano, mwalimu!’ Jumla ikawa wamepeana miaka 85 ya kuishi kama kwamba wao ndio Miungu. Mwaka uliofuata Mwalimu Nyerere akafa! Paaa! Ikawa ndio mwisho wake huo na hakuna aliyeweza kumwombea asife!
Aliyekuwa mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Pemba, Rashid Abdalla Mamba, aliwahi kuunyayua mkono akasema kama kuna Mungu nauonyoosha huu mkono wangu, naaukunje huyo Mungu! Astahafiruh Allah Mwenyezi Mungu hana haraka hakuukunja siku ile Rashid Abdalla Mamba alipouliza ukuunjwe lakini kwa vile M.Mungu ana uwezo mkubwa, akaukunja mkono wa Mamba Kivengine. Akazikwa vipande vipande hadi akamalizika. Hassan Mandera aliyekuwa kinara wa uharamia kule gereza la Bamke kiinua miguu naye alioza kipande kipande hadi akamalizika.
Bi Safia Kawawa, siku aliyotaka kuleta hoja ya kuwa wanawake waruhusiwe kuolewa na mume zaidi ya mmoja baada ya shibe ya uluwa kumkaa kisawa sawa, Mungu alimpatiliza. Kifo chake kitabaki siri kubwa lakini hakitosahaulika kamwe katika Historia! Mpango wake wa kuwafanya wanawake wadai kuolewa na waume wengi, akaenda nao kaburini akiwa nyama pakachani!
Salmini Amour, Komandoo wa Udongo naye yumo anamomonyoka Komandoo wakati huo, ambaye kwa sasa ni kipofu kuzuizui, alipisha mipaka ya kejeli, jeuri na dharau dhidi ya damu y Kizanzibari wenye asili ya kisiwa cha pemba. Akawa anajiona kama yeye na Mungu wana mkataba wa pamoja wa kufanya atakavyo. Hajafa lakini pia hayu hai tena yumaji. Yameshamkuta ya kila aina. Ya aibu na fedheha. Ya udunifu na udhalilifu. Kuanzia kukatiwa umeme wakati wa Karume mtoto hadi kukataliwa ni mke hadharani. Hatima yake hatujaijua kama tulivyokuwa hatujazijua hatima zetu. Aliyekuwa Waziri Kiongozi Zanzibar Ramadhani Haji, naye yumo katika kundi hili.
Mwanadamu ni mnyama aliyetukuzwa lakini mjinga hata kuliko baadhi ya wanyama kwa sababu hajifunzi kwa waliomtangulia. Muda si mrefu wiki hii, Salmin Awadh tulikuwa naye akiwa hai na nguvu tele. Hafla tunapata habari kuwa ameshaaga dunia wakati siku tatu tu zilizopita alikuwa akijinadi na kujilabu kwa madebusi kuwa nchi hii CCM hawatoi kwa kura. Lazima damu imwagike ndio nchi hii itapatwa au watatumia vifaru lakini ushindi kwa CUF hata wakishinda kaisi gani nchi hawatoi!
Hayo, ukitoa maneno aliyoyasema kule Kisiwa ndui muda mchache kabla hajafa, ambayo mimi siyajui hadi sasa, ndiyo maneno yake ya mwisho kabla hajakabiliana na muumba wake uso kwa uso akhera. Maneno ya Salmin Awadh ni maneno ya kila kiongozi wa CCM Zanzibar hivi sasa. Kaanza Asha Bakari na wengineo wote wanasema kinaganaga kuwa nchi hawatoi! Lakini kwani nani hajui kuwa CCM nchi hawatoi......???
Ukweli kila mtu anajua kuwa nchi CCM hawatoi lakini hapakuwa na haja ya kuropoka na kupisha mipaka hadi kufika kutishia kuuwa watu kwa sababu ya vyeo na uluwa. Kwa hakika kauli aliyoagia dunia Salmin Awadh haikuwa nzuri wala ya kheri na ndio labda, allwahu aalamu, Mungu kwa kujua ubaya wa nia yake aliyokuwa nayo akaona amchukuwe ili kupishia mbali majanga yatakayotokana na shari za ulimi wa kiongozi huyo!basi yeye na wenzake CCM wamesema kuwa hawatowe naona Mwenyezi Mungu anawatowa wao kwa SAANDA
Hakika Zanzibar haihitaji vifaru kuiwezesha CCM kutawala. Inahitaji ‘wembe ule ule’ tu wa kuinyolea CUF ambayo haina ubavu wa kugoma kutia maji nywele zake zisinyolewe na CCM. CUF ni kichwa kama cha mwendawazimu. CCM wakiwa na wembe tu hujinyolea tu kila siku na hakuna liwalo. Hapakuwa na haja kwa Salmin Awadh Marehemu kupayuka na kumpa nafasi malaika wa dhambi kuharibu wino bure katika kitabu chake.
Salmin Awadh alikuwa anyamaze kimya asubiri uchaguzi ukifika CUF wanapiga kura kwa wingi wakisha wanaenda makwao kulala. Huku CCM wanaiba kura, wanabadilisha kura na kuchakachua kura ikifika usiku wanamtangaza mgombea wao. Asubuhi wakiamka, CUF kama kawaida yao watalia siku mbili kisha wataunda uongo mwengine wa kuwaambia wanachama wao kwanini hawakushinda uchaguzi. Hili halina shaka. Ndio mazoea yao wala sio geni tena hapa nchini Zanzibar! ila mara hii CUF wanasema sio hivyo tutaona ihio oktoba kwa tutakao jaliwa kuwa hai.
Lakini, masikini labda kwa kuchanganyikiwa Salmin Awadh,Umma wa Kizanzibari ulivyo chachama na kuchoshwa na ukiritibwa wa watu wachache wasaka tonge CCM wanao jaza matumbo yao na kuwawacha wengi wa Wazanzibari wakiteseka na maisha,huku CCM ikiendelea kuwandanganya kuwa wanaleta maendeleo wakati hata maji hayatoki ndio labda Salmin Awadhi akaona bora atumeye kiburi na cheo na woga wa kukosa ushindi katika uchaguzi ukamfanya afike mbali. Akasema ya kusema hadi akafikiakukufuru na kuitakia nchi hii na watu wake balaa la maangamizi kwa jambo dogo tu – uluwa!
Leo hii hata ile nia yake ya kuirudisha nchi ya Zanzibar kwenye fujo za kisiasa kwa kuivunja Serikali ya umoja wa kitaifa haikufanikiwa. Mwenye pupa, hadiriki kula tamu! Na hapo ndipo tukasema, tujihadhari na dunia. Kwani Dunia hadaa, yaghilibu shujaa! Mungu atustiri waja wake, na atuongoze katika njia ya kheri na wala tusihadaike na uluwa mfupi wa Shaitan wa hapa duniani usio kuwa na faida yoyote.
Amen Amen Amen!
KILA MZANZIBARI ATAULIZWA SIKU YA KIYAMA NA MWENYEZI MUNGU ULIPOSIKIA WAZANZIBARI WENZIO WANADHALILISHWA NA KULAWITIWA NA HAWA JE ULIFANYA NINI TAFUTA JIBU LAKO MAPEMA KWA SIKU HIYO YA KIYAMA SIKU AMBAYO MALI NA WATOTO WAKO WALA CHEO CHAKO HAVITAKUFAA SIKU HIYO.

MKOLONI MWEUSI TANGANYIKA AENDELEA KUIDIDIMIZA NA KUIKATILI NCHI YA ZANZIBAR NA WAZANZIBARI WALIO URAIYANI KWA MAJI NA PETROL NA WAZANZIBARI WENGINE KUWAFUNGA JELA KISA NINI WAZANZIBARI HAWATAKI TENA KUUNGANA NA NCHI YA TANGANYIKA MAKABURU WEUSI TANGANYIKA.


maraisi wa tatu na wengine hawapo pichani wanao unga umoja wa nchi za afrika mashariki Uhuru wa nchi ya Kenya,Kikwete wa nchi ya Tanganyika na Kagame wa nchi ya Rwanda Shein uko wapi....??? aha nimesahau Maji hayatoki utaoga na nini na utapiga wapi Mswaki petrol hamna utasafiri vipi...? CCM Oyeeeeee Maendeleo hayo ya CCM nchi maji haina daaah ama kweli haya Maendeleo.

Kumekuwa na tatizo la uhaba wa maji na Petrol katika nchi ya  Zanzibar. Maeneo kadhaa yamekosa hata tone la maji kwa zaidi ya mwezi sasa narudia tena  Maeneo kadhaa yamekosa hata tone la maji kwa zaidi ya mwezi sasa. Huku wananchi hao wakitwishwa mzigo wa kulipia bill ya maji ambayo hayatoke hata tone katika mabomba siviroja hivi. Maeneo kama ya Mpendae, Miembeni, Mwembenjugu, nakadhalika kila asubuhi utawaona wananchi wamebeba vidumu na ndoo wanasaka maji yalipo kisha utasikia CCM MaGoGo wanasema wanaleta maendeleo huu ni Mwaka wa 2015 Zanzibar kinchi kidogo mumeshidwa kabisa kuwapa watu maji watu wanamka hata maji ya kupiga mswaki na kuoga hawana badala ya kwenda kazini wanakwenda kutafuta maji ndio maendeleo hayo ya CCM ya miaka 50 na ushai CCM Oyeee.
Ingawa kumekuwa na ongezeko kubwa la uchibaji visima, ambavyo kwa kiasi fulani vinasaidia jamii na wananchi wa nchi ya Zanzibar kujikwamua na tatizo hili la maji. Wamiliki wa visima huwa wanawagawia jirani zao pale wanapokuwa na maji ya kutosha. Kwenye tatizo la Petrol, vituo kadhaa tokea juzi vimufungwa havina petrol. Huku watu wakisema kwamba meli ya kuleta mafuta kutoka nchi ya Tanganyika ndio imeondoka sasa kwenda kuyafuata huko yaliko hata ifike hata ipakiye hata irudi ni leo.......?? kama sio kuchezeana akili ni nini....?? Vuai ali Vuai,Nahodha,Asha Bakari,Samia Suluhu n.k. mupo maendeleo munayo tulete sihaba tunaendele na mateso ya maendeleo yenu munayotuletea kutoka kwa Mkoloni Mweusi Tanganyika.
CCM MAGOGO WAKIENDELEA KUMZIKA KIGOGO MWENZAO SALMIN AWADHI SALMIN KATIKA NYUMBA YAKE MPYA NA NYINYI MULIOBAKIA ENDELAENE TU KUTESA WATU KWA KUWA NYINYI MUNALISHWA ULUWA NA MKOLONI MWEUSI TANGANYIKA BASI HATA HAMJALI KUTESA WATU MUJUWE NYUMBA HII INAWASUBIRI NYUMBA YA MILELE HII SIO YA DUNIANI UMEISHI SANA SANA MIAKA 100 KWISHA ZAKO UNAINGIA HUMU NDIO UTAJUWA KAMA MAHARAGE SIO MBOGA.
Turudi katika hali ya nchi yetu Hali imekuwa mbaya zaidi hapo jana ambapo kulikuwa na misururu mirefu ya magari kwa vile vituo vinavyosemekana vina akiba ya petrol. Chanzo kikuu kinachozungumzwa kwamba kimesababisha matatizo hayo atii ni ukosefu wa fedha vipi inakosekana fedha na Shein kila kwenye mkutno wa CCM unasema hii ni nchi kamili na ni nchi ya Kimapinduzi sasa mbona Hupinduwi hezo pesa basi ili tukajitatuwa na bala hili la maji na umeme na petrol kwa nini Hupinduwi basi tukawa na Meli yetu wenyewe ya kwenda kuchukuwa mafuta huko yaliko utafikiri hatuna hayo mafuta lakini hatuyachimbi kwa nini au mpaka hayo mafuta pia inapidi tuyapinduwe huko chini yaliko maana nchi hii ni ya mapinduzi basi tunapinduwa tu mavyakula mabovu pinduwa tu maji hayatoki pinduwa tu viongozi wote wanamajumba utafikiri wataishi milele hapa duniani pinduwa tu au sio Shein. Fedha zilizopo zimetengwa kufanikisha uchaguzi wa kura ya maoni hapo April 2015.
Basi tunawambia hatupigi kura wala maoni sisi maji hata ya kuosha kwapa na uso hatuna nyinyi munazirudika ili muje mufanye ukiritibwa wenu kama mulivyo fanya kule Giningi Dodoma basi ile ni Dodoma Giningi hii ni Zanzibar au wewe Shein na wake zako na Viongozi wa CCM na wake zenu na watoto wenu na mahawara wenu na watoto wenu wa haramu makapige hiyo kura ya maoni ila Mzanzibari halisi mwenye uchungu na nchi hii hapigi kura ndio Mwisho wenu. Mawizara mengi sasa hivi pesa za mipango ya maendeleo ya wananchi na matumizi kwa jili ya kuendeleza nchi zimezuiliwa au kutoingizwa kwenye account kabisa ili wao CCM wazitumiye katika kutimiza ukiritibwa wao wa hilo jini la kura ya kuipigia hilo bilisi katiba la Kitanganyika.

KILA MZANZIBARI ATAULIZWA SIKU YA KIYAMA NA MWENYEZI MUNGU ULIPOSIKIA WAZANZIBARI WENZIO WANADHALILISHWA NA KULAWITIWA NA HAWA JE ULIFANYA NINI TAFUTA JIBU LAKO MAPEMA KWA SIKU HIYO YA KIYAMA SIKU AMBAYO MALI NA WATOTO WAKO WALA CHEO CHAKO HAVITAKUFAA SIKU HIYO.

Saturday, February 21, 2015

VIDEO-HAJI OMARI KHERI,MWAKILISHI WA JIMBO LA TUMBATU,AKIENDELEA NA FITNA ZAKE MWENZIO SALMIN AWADHI ASHA HAMIA KWENYE NYUMBA YAKE MPYA KABURINI.


KILA MZANZIBARI ATAULIZWA SIKU YA KIYAMA NA MWENYEZI MUNGU ULIPOSIKIA WAZANZIBARI WENZIO WANADHALILISHWA NA KULAWITIWA NA HAWA JE ULIFANYA NINI TAFUTA JIBU LAKO MAPEMA KWA SIKU HIYO YA KIYAMA SIKU AMBAYO MALI NA WATOTO WAKO WALA CHEO CHAKO HAVITAKUFAA SIKU HIYO.

VIDEO-KIBRI CHA MWISHO CHA SALMIN AWADHI SALMIN KABLA YA MWENYE PUMZI HAJAJA KUJA KUCHUKUWA PUMZI ZAKE



KILA MZANZIBARI ATAULIZWA SIKU YA KIYAMA NA MWENYEZI MUNGU ULIPOSIKIA WAZANZIBARI WENZIO WANADHALILISHWA NA KULAWITIWA NA HAWA JE ULIFANYA NINI TAFUTA JIBU LAKO MAPEMA KWA SIKU HIYO YA KIYAMA SIKU AMBAYO MALI NA WATOTO WAKO WALA CHEO CHAKO HAVITAKUFAA SIKU HIYO.

CCM INAWENYEWE NA PUMZI,ZANZIBAR,DUNIA INAMWENYEWE,KIFO CHA SALMIN AWADHI SALMIN NI ONYO MUNAONYWA CCM ZANZIBAR NA M.MUNGU

IMG_7793
MWILI WA MAREHEMU SALMIN AWADHI SALMINI NDANI YA JENEZA UKIANGWA KATIKA BARAZA LA WAWAKILISHI NCHINI ZANZIBAR CCM GOGO.

IMG_7780BAADHI YA WAWAKILISHI NA WABUNGE KATIKA BARAZA LA WAWAKILISHI WAKIUWAGA MWILI WA MAREHEMU SALMIN AWADHI SALMINI HUKU WAKIWA TUMBO JOTO NA HOFU KUBWA KATIKA NYUSO ZAO.
IMG_7787
BADHI YA WAWAKILISHI NA WABUNGE WAKITAFAKARI KUWA DUUH SIJUWI LINI ITAKUWA SIKU YANGU HUKU WAKIWA TUMBO JOTO.
IMG_7788
BADHI YA WABUNGE NA WAWAKILISHI WAKIWA NA HOFU NA HUZUNI NA TUMBO JOTO
IMG_7775
VINGOZI MBALI MBALI KUTOKA NCHI YA TANGANYIKA WAKIHUDHURIA BARAZA LA WAWAKILISHI KUWANGA MWILI WA MAREHEMU SALMIN AWADHI SALMIN CCM GOGO.

ATII KADHI MKUU WA NCHI YA ZANZIBAR KADHI AU JAAA MSAKA TONGE KHAMISI HAJI KHAMISI KAMA KADHI KWELI MWAMBIE SHEIN NA KIKWETE AWATOWE MASHEIKH KATIKA JELA YA TANGANYIKA AKIONGOZA SALA YA KUUSALIA MWILI WA MAREHEMU SALMIN AWADHI SALMIN, KATIKA MASJID MUHAMMAD MOMBASA KWA MCHINA NCHINI ZANZIBAR,KATIKA SALA HIYO IMEHUDHURIWA NA SHEIN, MAKAMO WA RAISI WA NCHI YA TANGANYIKA GHARIB, RAISI MSTAAF WA NCHI YA ZANZIBAR AMANI KARUME,RAISI WA NCHI YA ZANZIBAR MAALIM SEIF SHARIFF HAMAD,BALOZI NDOGO WA NCHI YA TANGANYIKA IDDI NA VIONGOZI MBALI MBALI WA VYAMA VYA SIASA KUTOKA HAPA NCHINI ZANZIBAR NA NCHI YA JIRANI TANGANYIKA.


SHEIKH OTHMAN MAALIM AKISOMA DUA BAADA YA KUUSWALIA MWILI WA MAREHEMU SALMIN AWADHI SALMIN,CCM GOGO KATIKA MASJID MUHAMMED MOMBASA KWA MCHINA NA KUHUDHURIWA NA VIONGOZI MBALI MBALI NA WANANCHI.


VUAI ALI VUAI AKIWA TUMBO JOTO HUKU AKITIKIA DUWA NA BAADHI YA VIONGOZI NA WANANCHI BAADA YA KUUSWALIA MWILI WA MAREHEMU KATIKA MASJID.

SHEIN TUMBO JOTO HUKU  AKILINGALIA JENEZA VIZURI KABISA NA KUFIKIRI DAAH! IPO SIKU NITAINGIA AU NITAKUWA MIMI MULE SHEIN WATOWE MASHEIKH JELA YA TANGANYIKA NAKUSIA,MAKAMO WA RAISI WA NCHI YA TANGANYIKA GHARIB, AKISALIMIANA NA RAISI MSTAAF WA NCHI YA ZANZIBAR AMANI ABEID KARUME BAADA YA KUMALIZI KUISWALIA MAITI KATIKA MASJID YA MUHAMMED MOMBASA KWA MCHINA NCHINI ZANZIBAR.


WANANCHI BILA YA KINYONGO WAKISHIRIKIANA KUMSINDIKIZA MAREHEMU SALMIN CCM GOGO KATIKA NYUMBA YAKE MPYA NYUMBA AMBAYO SOTE TUTAINGIA NA TUNA MASWALI MENGI TUTAULIZWA NA TUNATAKIWA TUYAJIBU KILA MOJA AJUWE NYUMBA HIYO INAMSUBIRI KWA HAMU.


ASKARI WA BARAZA LA WAWAKILISHI WAKIBEBA JENEZA LILILOKUWA NA MWILI WA MAREHEMU SALMIN AWADHI SALMIN WAKIWA KATIKA KIJIJI CHA MAKUNDUCHI WILAYA YA KUSINI NCHININI ZANZIBAR TAYARI KABISA KUIWEKA MAITI YA SALMIN AWADHI SALMINI KATIKA NYUMBA YAKE MPYA.


SHEIN AKISALIMIANA NA NAIBU KATIBU MKUU WA CCM NCHINI ZANZIBAR VUAI ALI VUAI WOTE WAKIWA TUMBO JOTO NA HOFO TELE WALIPOFIKA KUTOWA POLE ILIYOKUWA NYUMBA YA MAREHEMU SALMIN AWADHI ILA SASA ANA NYUMBA MPYA YA KABURI HII KAWACHA HAPA.



KILA MZANZIBARI ATAULIZWA SIKU YA KIYAMA NA MWENYEZI MUNGU ULIPOSIKIA WAZANZIBARI WENZIO WANADHALILISHWA NA KULAWITIWA NA HAWA JE ULIFANYA NINI TAFUTA JIBU LAKO MAPEMA KWA SIKU HIYO YA KIYAMA SIKU AMBAYO MALI NA WATOTO WAKO WALA CHEO CHAKO HAVITAKUFAA SIKU HIYO.

Friday, February 20, 2015

VIDEO-WAZANZIBARI WOTE TUFANYE HIVI ILI TUWATOWE MASHEIKH WETU NDANI YA MINYORORO YA DHULMA YA MKOLONI MWEUSI TANGANYIKA.



MZANZIBARI KAMA MANENO HAYA HAYAJA KUMSHA KATIKA USINGIZI MNONO ULIO LALA BASI UNAHITAJI DUWA KUBWA WEWE KUOMBEWA FIKIRI VIZURI KUNA KIYAMA.



KILA MZANZIBARI ATAULIZWA SIKU YA KIYAMA NA MWENYEZI MUNGU ULIPOSIKIA WAZANZIBARI WENZIO WANADHALILISHWA NA KULAWITIWA NA HAWA JE ULIFANYA NINI TAFUTA JIBU LAKO MAPEMA KWA SIKU HIYO YA KIYAMA SIKU AMBAYO MALI NA WATOTO WAKO WALA CHEO CHAKO HAVITAKUFAA SIKU HIYO.

INNAA LILLAAHI WAINNAA ILAYHI RAAJIU;UUN CCM GOGO SALMIN AWADHI KUWA AMEFARIKI DUNIA GHAFLA


Salmin Awadhi wakati wa uhai wake akihutubia katika mkutano wa CCM nchini Zanzibar CCM gogo.

Mwili wa marehemu Salmin Awadhi ukipakiwa katika gari tayari kwa taratibu za mazishi, katika makaburi ya makunduchi Mkoa wa Kusini Unguja,  mwili wa marehemu unategemewa kuagwa kesho saa tano katika ukumbi wa baraza la wawakilishi Chukwani nchini Zanzibar na kusaliwa katika Masjid Muhammad kwa mchina na kuzikwa Kijiji kwao Makunduchi nchini Zanzibar.  

Naibu Katibu Mkuu wa CCM nchini Zanzibar Vuai Ali Vuai, akizungumza na waandishi wa habari wa vyombo mbalimbali waliofika nyumbani kwa marehemu mtaa wa mpendae kupata habari ya msiba huo. Naibu Katibu Mkuu wa CCM Vuai Ali amesema marehemu alifika Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui akiwa katika kazi zake na kuhudhuria Kikao kilichofanyika asubuhi ofisini hapo Vuai akiendelea kuzungumza na wandishi wa habari pamoja na muandishi wetu wa Free Zanzibar People From Mkoloni Mweusi Tanganyika Vuai Alisema marehemu ametoka chumba cha mkutano na kwenda kwenye Afisi yake ya Mnadhimu wa CCM Baraza la Wawakilishi, ndipo matatizo yalipojitokeza na kusema anasikia vibaya na kukimbizwa hospitali ya Rufaa ya Mnazi mmoja kwa matibabu , kufika huko hali ilibandilika na kufariki dunia. Marehemu ameacha pigo kwa Chama na wananchi wa jimbo lake Alisema Vuai.

Mwakilishi wa Jimbo la Kikwajuni Mhe Mahmoud Mussa , akiwa katika eneo la msiba akizungumza na ndugu na jamaa wa marehemu katika kupanga taratibu za Mazishi na mambo mengine muhimu. 
Habari iliotufikia muda huu Mnadhimu wa CCM Baraza la Wawakilishi nchini Zanzibar na Mwakilishi wa Jimbo la Magomeni nchini Zanzibar Salmin Awadh, Salmin amefariki dunia hafla baada ya kuanguka akiwa katika kazi za Chama Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui nchini Zanzibar.

MWAKILISHI wa Magomeni nchini Zanzibar, Salmin Awadhi Salmin (CCM), amefariki dunia ghafla baada ya kuanguka katika kikao cha Chama Cha Mapinduzi (CCM), kilichokuwa kinafanyika katika ofisi kuu ya chama hicho, Kisiwandui mjini Magharib nchini Zanzibar.
Taarifa hiyo ilianza kuenea mjini saa 6 mchana, na hata kuzua maswali kutoka kwa wananchi kuhusu utata wa kifo chake.
Salmin mwenye umri wa miaka (57) ambaye pia alikuwa ni mnadhimu wa wawakilishi wa CCM na mjumbe wa Kamati Kuu ya chama hicho (CC), alikuwa mmoja wa wawakilishi wanaopingaa vikali mfumo wa Serikali ya Umoja wa Kitaifa (SUK) kwa kutaka wananchi atii waulizwe kama bado wanahitaji muundo huo wa Serikali ya (SUK) nchini Zanzibar.
Akizungumza na Mwandishi wetu Free Zanzibar People From Mkoloni Mweusi Tanganyika kuhusu kifo cha mwakilishi huyo, Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar, Vua Ali Vuai, alisema kabla ya kufikwa na mauti, alianguka ghafla wakati akitoka katika kikao hicho cha kawaida.
Alisema baada ya kuanguka viongozi na wanachama walimnyanyua na kumkimbiza Hospitali ya Mnazi Mmoja kwa ajili ya matibabu.
“Baada ya Salmin kuanguka, baadhi ya viongozi na wafanyakazi kwa haraka walimbeba na kumpeleka katika Hospitali ya Mnazi Mmoja kwa ajili ya matibabu na baada ya kufikishwa alipelekwa katika chumba cha wagonjwa mahututi (ICU), ambako baada ya muda mfupi madaktari walithibitisha kuwa amefariki dunia kwa maradhi ya shinikizo la damu.
“CCM imepokea kwa mshtuko mkubwa kifo cha kiongozi wetu ambaye alikuwa ni kiongozi na mtendaji wa kuigwa ndani na nje ya chama chetu, ila kazi ya Mungu haina makosa, jambo la kusikitisha amefariki akiwa katika utendaji wa kazi za chama hapa ofisi kuu Kisiwandui,” alisema Vuai.
Naibu Katibu Mkuu huyo wa CCM alisema kwa sasa taratibu za mazishi zinaandaliwa na Serikali kwa kushirikiana na chama nyumbani kwake Mpendae na anatarajiwa kuzikwa leo kijijini kwao Makunduchi Mkoa wa Kusini saa 7 mchana.
Kwa upande wake, Katibu wa Baraza la Wawakilishi (BLW), Yahya Khamis Hamad, alisema baraza hilo limeondokewa na kiongozi mahiri ambaye muda wote alikuwa na kazi ya kuimarisha umoja kwa Wazanzibari.(kweli.............????)
Salmin Awadh Salmin pia amewahi kushika wadhifa mbalimbali ndani ya CCM ikiwamo ujumbe wa NEC, Kamati Kuu na Mnadhimu wa Wawakilishi wa Kambi ya CCM ndani ya Baraza la Wawakilishi.
Machi 2, mwaka jana wakati wa mkutano wa Bunge Maalumu la Katiba mjini Dodoma Giningi, Salmin aliwaongoza wawakilishi wa CCM kupinga hatua ya Spika wa Baraza la Wawakilishi, Pandu Ameir Kificho, kuwasilisha maoni kwa iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba ya kutaka Serikali tatu na kuyaita ni maoni ya baraza hilo.
Katika mkutano huo, Salmin alisema mapendekezo hayo ni kinyume na msimamo wa CCM na wao hawako tayari kuliona hilo huku akiahidi suala hilo kufikishwa katika vikao vya ngazi za juu.
Salmin alisema Spika Kificho hakuwashirikisha wenzake katika mapendekezo ya Serikali tatu aliyoyawasilisha kwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, wakisema Baraza la Wawakilishi, kama taasisi, halikutoa msimamo wa pamoja.
Mei 4, mwaka jana, Salmin alisema wawakilishi wa CCM wanajiandaa kuwasilisha hoja binafsi kwenye Baraza la Wawakilishi ili kuwapa nafasi wananchi waulizwe iwapo wanataka kuendelea na Serikali ya Umoja wa Kitaifa (SUK), au laaaa.(daaah!!)
Kauli hiyo aliitoa wakati akihutubia mkutano wa hadhara wa chama hicho ulioongozwa na Katibu Mkuu wake, Abdulrahman Kinana kwenye viwanja vya Kibandamaiti, nchini Zanzibar.
Salmin alisema wajumbe hao wamefikia hatua hiyo kwa kuwa wanaona kwamba lengo na matumaini ya kuundwa SUK yamefutika na hayana dalili njema katika siku za usoni.
Alisema ni vyema wananchi wakaulizwa kama bado wana hamu na mfumo huo au ule wa zamani urejeshwe.(kwa nini hakusema wuulizwe kama Wanautaka Muungano au Hautaki Muungano...??)
Katika mkutano huo, alimwomba Rais wa Maskani ya Kisonge, Shein, kuunga mkono hoja hiyo itakapowasilishwa ili kutoa nafasi mpya ya kidemokrasia kwa wananchi wake kujua kama wanataka
mfumo wa sasa au wa zamani.

SHUGHULIKA SANA NA DUNIA WAKATI HAPA NI PAHALA PAA KUPITA TU NA KUTENGEZA AKHERA.

Innaa Lillaahi wainnaa ilayhi raajiu'uun

KILA MZANZIBARI ATAULIZWA SIKU YA KIYAMA NA MWENYEZI MUNGU ULIPOSIKIA WAZANZIBARI WENZIO WANADHALILISHWA NA KULAWITIWA NA HAWA JE ULIFANYA NINI TAFUTA JIBU LAKO MAPEMA KWA SIKU HIYO YA KIYAMA SIKU AMBAYO MALI NA WATOTO WAKO WALA CHEO CHAKO HAVITAKUFAA SIKU HIYO.

Monday, February 16, 2015

RAISI WA NCHI YA ZANZIBAR MAALIM SEIF SHARRIF HAMAD AMEWASILI NCHINI SALAMA SALMANI AKITOKEA NCHINI QATAR ALIKOKUWA ZIARANI.

 
RAISI WA NCHI YA ZANZIBAR AKIWASILI NYUMBANI NCHINI ZANZIBAR BAADA YA KUMALIZA ZIARA YAKE HUKO NCHINI QATAR AKIVIKWA SHADA LA MAUWA KUKARIBISHWA NYUMBANI NA MABINTI WA KIZANZIBARI.

RAISI WA NCHI YA ZANZIBAR AKISALIMIANA NA BADHI YA VIONGOZI NA DUNGU NA JAMAA BAADA YA KUWASILI NYUMBANI NCHINI ZANZIBAR AKITOKEA ZIARANI NCHINI QATAR.

RAISI AKIENDELEA NA MAPOKEZI MAZURI BAADA YA KUWASILI NYUMBANI NCHINI ZANZIBAR.

RAISI WA NCHI YA ZANZIBAR MAALIM SEIF SHARRIF HAMAD AKIZUNGUMZA NA WANDISHI WA HABARI BAADA YA KUWASILI NYUMBANI NCHINI ZANZIBAR.

Rais wa Nchi ya Zanzibar, Maalim Seif Sharrif Hamad amewasili nchini Zanzibar salama usalimini na amepata nafasi ya kuzungumza na Waandishi wa habari.
Amesema alipokutana na Waziri wa Mambo ya Nje wa nchi ya Qatar Waziri huyo alimwambia Raisi wa Nchi ya Zanzibar Maalim Seif Sharrif Hamad waziwazi kwamba wananchi au Rai wa kawaida wa Qatar hawaijui (Tanganyika-Tanzania) lakini wengi wanaijua nchi ya Zanzibar kutokana na mahusiano ya kihistoria yaliyopo baina ya nchi mbili hizi.
Maeneo waliyokubaliana kushirikiana ni pamoja na:
1. Qatar kuangalia uwezekano wa kuijengea Zanzibar Environment Resource Centre ili kukabiliana na athari za mazingira.
2. Qatar kuisaidia Zanzibar kuanzisha mfumo wake wa kuzalisha umeme wake wenyewe.
3. Qatar kuisaidia Zanzibar katika mradi wa kumaliza tatizo la maji khasa Mkoa wa Mjini Magharibi.
4. Qatar kuipatia lami Zanzibar kiasi cha tani 10,000 kwa ajili ya matengenezo ya barabara.
5. Qatar kuangalia jinsi ya kuwekeza katika uendelezaji wa Uwanja wa Ndege Pemba ili uweze kutoa huduma za kimataifa.
6. Qatar kuangalia namna ya kuwekeza Zanzibar katika Ujenzi wa Bandari maalum ya kushughulikia utoaji wa huduma kwa sekta ya mafuta na gesi asilia.
7. Qatar kusaidia Zanzibar katika kuendeleza Karume Institute of Science and Technology na Kengeja Technical Secondary School kuwa za kisasa.
8. Qatar kuona uwezekano wa kusaidia madrasa za Zanzibar kwa kuziimarisha na kuzipatia vifaa.
9. Qatar kuwapatia ajira vijana wa Zanzibar lakini kwanza kwa kuanzisha vituo hapa hapa Zanzibar vya kuwapa mafunzo ya aina za kazi wanazoweza kuifanyia Qatar.
10. Qatar Investment Authority na Qatar Development Fund kuleta ujumbe Zanzibar kuona maeneo wanayoweza kuwekeza na kufanya kazi kwa pamoja na Zanzibar.
Amesema kinachofuata sasa ni ufuatiliaji na kuchukua hatua madhubuti kuyafanikisha haya.

KILA MZANZIBARI ATAULIZWA SIKU YA KIYAMA NA MWENYEZI MUNGU ULIPOSIKIA WAZANZIBARI WENZIO WANADHALILISHWA NA KULAWITIWA NA HAWA JE ULIFANYA NINI TAFUTA JIBU LAKO MAPEMA KWA SIKU HIYO YA KIYAMA SIKU AMBAYO MALI NA WATOTO WAKO WALA CHEO CHAKO HAVITAKUFAA SIKU HIYO.

Friday, February 13, 2015

RAISI WA NCHI YA ZANZIBAR MAALIM SEIF SHARRIF HAMAD AKIWA ZIARANI NCHINI QATAR KUKUTANA NA MAMLAKA YA UWEKEZAJI (QATAR HOLDING) MJINI DOHA.


MAALIM SEIF SHARRIF HAMAD RAISI WA NCHI YA ZANZIBAR AKIZUNGUMZA NA UJUMBE WA MAMLAKA YA UWEKEZAJI (QATAR HOLDING) MJINI DOHA,IKIWA NI SEHEMU YA ZIARA YAKE YA SIKU NNE.

Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, amewakaribisha wawekezaji nchini Qatar kuja kuwekeza Zanzibar katika sekta mbali mbali zikiwemo utalii na uvuvi wa bahari kuu.
Akizungumza na uongozi wa mamlaka ya uwekezaji nchini Qatar ikiwa ni mwendelezo wa ziara yake nchini humo, Maalim Seif amewatoa hofu wawekezaji wa nchi hiyo, na kwamba Zanzibar yako maeneo mengi ya uwekezaji kwa makampuni yanayotaka kufanya hivyo.
Amesema Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar tayari imejipanga kupokea wawekezaji hasa katika sekta za utalii, viwanda vidogo vidogo na uvuvi wa bahari kuu, na inaendelea kuimarisha miundombinu katika maeneo ya uwekezaji ili kurahisisha kazi hiyo.
Amesema Serikali imekuwa ikijidhatiti kuimarisha viwanja vya ndege, bandari na ujenzi wa barabara katika maeneo ya uwekezaji, sambamba na kuimarisha huduma za umeme na maji katika maeneo hayo, ili kuondosha usumbufu kwa wawekezaji.
MAALIM SEIF SHARRIF HAMAD RAISI WA NCHI YA ZANZIBAR AKISALIMIANA NA WAZIRI MKUU WA NCHI YA QATAR SHEIKH ABDALLAH BIN NASSER BIN KHALIFA AL-THANI WALIPO KUTANA LEO MJINI DOHA, NCHINI QATAR.
Aidha Maalim Seif amesifu hatua nzuri ya maendeleo iliyofikiwa nchini Qatar katika kipindi kifupi kilichopita, na kwamba Zanzibar ina mambo mengi ya kujifunza kutoka kwa ndugu zao wa Qatar.
Akizungumzia kuhusu sekta ya mafuta na gesi asilia, Maalim Seif amesisitiza kuwa eneo hilo litapatiwa ufumbuzi mara baada ya kuondolewa kwenye orodha ya mambo ya Muungano.
Kwa upande wake Mkurugenzi wa maendeleo ya biashara wa mamlaka ya uwekezaji ya Qatar (Qatar Holding), Sheikh Faisal Bin Soud Al-Thani, amesema atawasiliana na makampuni ya uwekezaji nchini humo, ili kuona maeneo wanayoweza kuweka vitega uchumi vyao.
Hata hivyo ameomba kuwepo na mawasiliano ya karibu kati ya mamlaka hiyo ya Qatar na mamlaka ya vitega uchumi ya Zanzibar (ZIPA), ili kuweka wazi sheria na taratibu za uwekezaji za Zanzibar.
Katika mazungumzo hayo, Sheikh Faisal amesisitiza haja kwa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kutoa kipaumbele katika uimarishaji wa miundombinu katika maeneo yaliyotengwa kwa ajili ya uwekezaji, ili kuweza kuwavutia wawekezaji wengi zaidi.
“Miundo mbinu ni muhimu sana katika maeneo ya uwekezaji kwani ni vigumu kwa muwekezaji kujenga kila kitu, kwa hivyo Serikali pia ina jukumu kuhakikisha kuwa baadhi ya mambo ya msingi yakiwemo barabara, maji na umeme yanapatikana katika maeneo hayo”, alishauri Sheikh Faisal.
Akizungumzia mafanikio yaliyopatikana nchini humo, Sheikh Faisal amesema yametokana na mashirikiano mazuri yaliyopo kati ya taasisi za Serikali na sekta binafsi.
Akionekana kupendezwa na mazingira ya Zanzibar, Sheikh Faisal amesisitiza kuwa kabla ya kutembelea na kuyashawishi makampuni ya Qatar kuwekeza Zanzibar, atawasiliana na mamlaka ya vitega uchumi Zanzibar (ZIPA) ili kujua taratibu za uwekezaji, na kutaka ushirikiano baina ya Zanzibar na Qatar uendelezwe.

KILA MZANZIBARI ATAULIZWA SIKU YA KIYAMA NA MWENYEZI MUNGU ULIPOSIKIA WAZANZIBARI WENZIO WANADHALILISHWA NA KULAWITIWA NA HAWA JE ULIFANYA NINI TAFUTA JIBU LAKO MAPEMA KWA SIKU HIYO YA KIYAMA SIKU AMBAYO MALI NA WATOTO WAKO WALA CHEO CHAKO HAVITAKUFAA SIKU HIYO.