Tuesday, June 9, 2015

HARUFU INANUKIA KUWA MARA HII VIONGOZI WA ZANZIBAR NA TANGANYIKA NI MARA YAO KWENDA MAHAKAMA YA KIMATAIFA YA THE HAGUE WAKANYIE NDOONI ((SAMIA SULUHU HASSAN UPO))

IMG-20150609-WA0000
HAWA NDIO BAADHI TU YA MAMLUKI WA KULETWA NA KUANDIKISHWA MARA MBILI.
IMG-20150609-WA0003
HAWA NDIO BAADHI TU YA MAMLUKI WA KULETWA NA KUANDIKISHWA MARA MBILI.
IMG-20150609-WA0002
International Criminal Court The Hague
Tume ya Uchaguzi imefeli kusimamia zowezi la uchaguzi kwa misingi ya kuto kuwa wadilifu na kazi yao na badae kuwa ni watumwa wa chama tawala ccm kwa kuibeba kwenye ushindi wa kuto kuwatendea haki vyama vengine vya upinzani. Wananchi na vyama vya upinzani wanapopiga kelele na kusema kua tume/Vyombo vya Dola vimekua haviko huru na badae wanafanya kazi za kuibeba CCM , Bado inaonekana tume na vyombo vya Dola ni matawi ya CCM Chama Cha Mkoloni Mweusi Tanganyika kuwapatia ushindi kwa kutumia ulahai kama huu wa ID na nguvu kubwa za vyombo vya Dola zidi ya Raia. Angalia zowezi la uandikishaji wa vitambulicho vya kadi ya mpiga kura tume inavyo koroga mambo ili tu CCM Chama Cha Mkoloni Mweusi Tanganyika  kishinde , hali hii kuwapa kwakuwatengenezea wafuasi wa CCM vitambulisho viwili viwili ili wapate kupiga kura mara mbili inaashiria hali ya hatari na taifa kulitumbukiza katika migogoro na umwagaji wa damu usiokuja kuweza kuzuilika.
 CCM Chama Cha Mkoloni Mweusi Tanganyika wasidhani tu kuwa kila siku wataweza kuzowea kufanya mambo yao vile vile tu kwa kuitegemea tume na vyombo vya dola kutumia nguvu kubwa. maara hii wananchi wamesha choshwa na siasa za kimabavu, kwahio kama Tanganyika na Zanzibar mnataka iwe ni zamu yake mara hii Viongozi na Majeshi na Polisi kwenda kunyia ndoo katika jela ya The Hugue na kuwa katika mahakama ya International Criminal Court (The Hague) basi endeleani tu na sisi wananchi wasio na hatia tutauangalia uchaguzi na ipigwavyo ndivyo tutakavyo icheza. Hakuna chaka kua viashirio vya uvunjifu wa Amani na udanganyifu mkubwa wanao ufanya CCM Chama Cha Mkoloni Mweusi Tanganyika  kwa kutumia tume ya uchaguzi na vyombo vya Dola Tayari umeshajizihirisha hazarani na kuna ushahidi mwingi tu wa kutosha kabisa.
Sasa ikiwa viongozi wa Tanganyika na Vibaraka vyenu huku Zanzibar mnajisifu kua Tanganyika na Zanzibar ni nchi ya Amani huku wakitufanyia mambo yakuvunja amani na kutaka kuyatumbukiza mataifa au nchi hizi mbili kwenye vita na umwagaji wa damu , basi oktoba elfu 2015 haiko mbali ,itakavyo pigwa ndio itakavyo chezwa. Hivi sasa makada wa CCM Chama Cha Mkoloni Mweusi Tanganyika  wanapita wakinadi kua nchi hawatowi kwa vikaratasi na wingi wa watu wa upinzani katu , sasa mara hii mutatoa hivyo munavyo taka kama nikuua basi sio jambo geni limeshatokea lakini mujuwe na nyiyi mutauliwa na mutajibu ulimwengu wa sasa sio ule mulio zoea na mara hii kama kuuwa basi mutauwa kwa makundi lakini katu haturudi nyuma tena kudai haki yetu. Nyiyi jinateni kua mchezo ni ule ule na ushindi ni ule ule na tayari munao mkononi munasubiri siku tu yauchaguzi mumtakaze mtu wenu, sasa kama uchaguzi ni geresha tu kwa vile tume/ vyombo vya Dola ni vyenu na nyiyi munajinadi kua tume ni yenu na vyombo vya Dola ni vyenu ok someni nyakati mara hii.
KILA MZANZIBARI ATAULIZWA SIKU YA KIYAMA NA MWENYEZI MUNGU ULIPOSIKIA WAZANZIBARI WENZIO WANADHALILISHWA NA KULAWITIWA NA HAWA JE ULIFANYA NINI TAFUTA JIBU LAKO MAPEMA KWA SIKU HIYO YA KIYAMA SIKU AMBAYO MALI NA WATOTO WAKO WALA CHEO CHAKO HAVITAKUFAA SIKU HIYO.

No comments:

Post a Comment