Monday, August 24, 2015

MAENDELEO YA MIAKA 50 YA CCM HILI NI JENGO LILILOKUSUDIWA KUWA OFISI YA WIZARA YA FEDHA NA UCHUMI PEMBA NCHINI ZANZIBAR


JENGO la Ofisi ya Wizara ya Fedha na Uchumi Pemba, ambalo ujenzi wake haukufikia mwisho baada ya ukuta wa nyuma wa jengo hilo kuinama, huku likiwa limeekewa nguzo kuzuwia ukuta huo ili lisianguke. Jengo hili limegharimu mamilioni ya fedha, likiwa karibu na Ofisi ya ZSSF Tibirinzi Chake Chake faidi za CCM za miaka 50 na ushaiya hizo zinaendelea unambiwa jengo lima harimu mamilioni lakini hebu litezame hilo jengo lenyewe lililo harimu mamilioni vichekesho oktoba hiyo uchaguzi mpya ulaji mpya wananchi umasikini mpya CCM oyeee.

KILA MZANZIBARI ATAULIZWA SIKU YA KIYAMA NA MWENYEZI MUNGU ULIPOSIKIA WAZANZIBARI WENZIO WANADHALILISHWA NA KULAWITIWA NA HAWA JE ULIFANYA NINI TAFUTA JIBU LAKO MAPEMA KWA SIKU HIYO YA KIYAMA SIKU AMBAYO MALI NA WATOTO WAKO WALA CHEO CHAKO HAVITAKUFAA SIKU HIYO.

No comments:

Post a Comment