Monday, August 24, 2015

MUUWAJI WA WAZANZIBARI 26-27,2001 AMPIGIA DEBE POMBE MAKUFULI ILI AWEZE KUENDELEA KUWALINDA CCM WAUWAJI NA MAFISADI APE,ESCROW N.K.


Rais  Mstaafu wa nchi ya Tanagnyika iliye waulisha Wazanzibari wengi sana wakati wa utawala wake  wa  awamu  ya  tatu  mh. Benjamini  William  Mkapa  amesema  kuwa  wapinzani  wanaodai  vyama  vyao  ni  vya  ukombozi atii  ni  Wapumbavu  na  malofa  kwa  kuwa  Watanganyika ((watanzania)) Wazanzibari  walikwisha  kombolewa  na  chama  cha  ASP  na  TANU  na  kwamba  chama  pekee  cha  ukombozi  kilichobaki  hivi  sasa  ni  CCM  pekee.

Mkapa  ametoa  kauli  hiyo  leo  katika  viwanja  vya  Jangwani  jijini  Dar  es  Salaam wakati  akimnadi  mgombea  urais  wa  CCM,  John Pombe  Magufuli.anafikiri tushasaha lakini sisi Wazanzibari hatuja sahau na kama alivyo yeye kufuguwa mdomo na kuipigia debe CCM chama cha wauwaji na mafisadi basi nasi tutaendelea kumkumbusha yale mauwaji ya pemba ya wananchi zaidi 35 ya januari 26-27,2001.kwa hiyo mkapa endelea kupiga debe lako kuwa CCM ibaki madarakani lakini kaa ukijuwa ipo siku utakwenda tu ICC kujibu mashataka ya kuwauwa Wazanzibari wasio na hatia yoyote.

KILA MZANZIBARI ATAULIZWA SIKU YA KIYAMA NA MWENYEZI MUNGU ULIPOSIKIA WAZANZIBARI WENZIO WANADHALILISHWA NA KULAWITIWA NA HAWA JE ULIFANYA NINI TAFUTA JIBU LAKO MAPEMA KWA SIKU HIYO YA KIYAMA SIKU AMBAYO MALI NA WATOTO WAKO WALA CHEO CHAKO HAVITAKUFAA SIKU HIYO.

No comments:

Post a Comment