Wednesday, September 30, 2015

NCHINI ZANZIBAR KISIWA CHA CHANGUU CHAKODISHWA BWERERE



Waziri wa zamani wa Utalii Biashara na Uwekezaji Zanzibar, Samia Suluhu Hassan(Mgombea mwenza wa Magufuli)
Kisiwa cha utalii cha Changuu, kilikodishwa kwa ‘ bei chee’ na kampuni ya Leizure Hotel Limited, ripoti ya Kamati ya Baraza la Wawakilishi (BLW) imebaini. Ripoti ya Kamati ya BLW iliyoundwa kuchunguza ubadhirifu wa mali za serikali , imebaini kuwa kilikodishwa kwa kodi ya Dola 1,000 kwa mwezi na kumtaja aliyehusika na ukodishwaji huo kuwa ni aliyekuwa Waziri wa Utalii Biashara na Uwekezaji Zanzibar, Samia Suluhu Hassan. Waziri huyo wa zamani anatajwa kuwa alishirikiana na Kitengo cha Uwekezaji Zanzibar, (ZIPA) kufanikisha suala hilo Desemba 2002. Katika Baraza la Mawaziri la sasa Samia ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano). Kwa mujibu wa ripoti hiyo kisiwa hicho chenye ukubwa wa hekta 11.27 kimekodishwa mwaka 2002 kwa malipo ya Dola za Marekani 1,000 kwa mwezi katika kipindi cha miaka 30. (Dola moja ni karibu sawa na Sh. 1,580) Hata hivyo kodi hiyo imerekebishwa na kufikia Dola 3,500 licha ya kwamba kabla ya kuwamilikisha wageni kisiwa hicho kilikuwa kinavuna zaidi ya Dola 5,500 kwa mwezi, Kabla ya kukodishwa kisiwa hicho Shirika la Utalii Zanzibar, (ZTC) lilikuwa likikusanya zaidi ya Dola za Marekani 5,500 kwa mwezi kupitia watalii waliokuwa wakitembelea kisiwa hicho.
“ZTC lililipwa Sh.milioni 40 ili kuondoa mkono wao kwenye kisiwa hicho,” imeeleza ripoti hiyo ambayo imeibuwa mjadala mkubwa visiwani Zanzibar. Kamati hiyo ya uchunguzi imesema kiwango hicho cha kodi kiliendelea kulipwa na mwekezaji huyo hadi mwaka 2004 kabla ya kufanyiwa mabadiliko baada ya kulalamikiwa kuwa mkataba huo hauna maslahi kwa serikali “Kamati ya Baraza haikuridhika na kiwango cha kodi ambacho kilikuwa kinalipwa na wakodishwaji na baada ya hapo kodi iliongezeka kufikia Dola 3,500 kwa mwezi kiasi ambacho kinaendelea kulipwa hadi sasa.”ilisema ripoti hiyo. Akihojiwa na Kamati ya Uchunguzi ya Baraza hilo Meneja wa Shirika la Utalii Zanzibar, Sabaha Salum, alisema wakati kisiwa hicho kinasimamiwa na shirika lake walikuwa wakikusanya Dola 5,500 kwa mwezi. Hata hivyo alisema ZTC katika kitega uchumi hicho walihusika kukodisha biashara tu, lakini ukodishwaji wa ardhi ya kisiwa ulifanywa na Wizara ya Ardhi kwa kushirikiana na ZIPA. Kuhusu kobe ambao wamehifadhiwa katika kisiwa hicho alisema pia wamekodishwa kwa mwekezaji huyo kwa mkataba maalum ulioidhinishwa na Idara ya Uhakiki wa Mali za Serikali. Hata hivyo alisema shirika lilikuwa na mpango wa kukodisha kobe hao katika hifadhi ya wanyama ya ‘Zanzibar Park’ lakini serikali iliahirisha kutokan na wananchi wengi kujitokeza kupiga mpango huo.
Kwa mujibu wa taarifa ya ZIPA kuhusu mradi huo, kampuni hiyo ilikabidhiwa rasmi kisiwa hicho Agosti mwaka 2003 na mradi huo ulitarajia kuwa na thamani Dola za Marekani milioni 1.1 ambapo hadi sasa kampuni hiyo imejenga vyumba 27 vya kulala wageni katika kisiwa hicho. Wakihojiwa na kamati hiyo ZIPA walieleza kuwa kampuni hiyo imekuwa na tatizo kubwa la kuficha taarifa za mapato na takwimu za wageni wanaotembelea kisiwa hicho tangu kukabidhiwa mradi huo , hali waliyosema ni kinyume na sheria za uwekezaji Zanzibar. ‘Haieleweki ni kiasi gani cha mapato ambacho mwekezaji anaingiza kutokana na biashara anazofanya kisiwani Chaguu.” Aidha alisema kamati hiyo ilipokea taarifa kuwa hakuna hatua yoyote iliyochukuliwa na SMZ wala taarifa yoyote inayopatikana ya kiulinzi na usalama kutoka kwa wawekezaji hao. ZIPA iliieleza kamati kuwa mwekezaji huyo kwa mujibu wa sheria anatakiwa kutoa taarifa za shughuli zake kila baada ya miezi mitatu jambo ambalo halifanyiki. Pia ilisema baada ya kuhojiwa na Kamati ya BLW Mkurugenzi wa Ardhi Zanzibar kuhusu utaratibu uliotumika kutoa kisiwa hicho, alisema “Wakati kodi inapagwa kwa mara ya kwanza ya ukodishwaji wa kisiwa hicho hapakuwa na tathimini yoyote ya kitaalamu iliyokuwa imefanyika hadi sasa kuhusiana na ardhi ya kisiwa hicho.”alikaririwa mkurugenzi wa Ardhi wa Zanzibar. 
Kamati imeitaka SMZ kuchukuwa hatua ikiwemo kumtaka mwekezaji huyo kutoa taarifa za mapato na wageni wanaoingia na kutoka katika kisiwa hicho ndani ya miezi mitatu tangu kutolewa kwa ripoti hiyo ya uchunguzi mwezi uliopita. Ripoti hiyo iliongeza kuwa tathimini ya ardhi ifanywe pamoja na kuangalia upya sheria ya ukodishaji ardhi kifungu cha 46(6) namba 12 ya mwaka 1992 ili ongezeko la kodi lisiwekewe kikomo cha asilimia 10 ya kodi ya awali ya mkataba wa mradi. Kamati ilieleza kufurahishwa na hatua zinazochukuliwa na kampuni hiyo ya uhifadhi wa mazingira katika kisiwa hicho tangu kufanyika ukodishwaji. Kisiwa cha Chaguu kina daiwa kukodishwa kwa mwekezaji huyo kwa zaidi ya miaka 30 na kimekuwa kivutio kikubwa cha watalii kutokana na historia kubwa ikiwemo kuwahi kutumika kama gereza kabla ya Mapinduzi ya Zanzibar ya 1964 yaliyowaondoa Waarabu visiwani hapa.
KILA MZANZIBARI ATAKAE IPIGIA KURA CCM ILI IBAKI MADARAKANI AJUWE NA YEYE ANACHANGIA KUFUNGWA KWA MASHEIKH NA KUTHALILISHWA KWAO NA KUENDELEZA DHULMA KATIKA NCHI YA ZANZIBAR UKAE UKIJUWA UTAULIZWA SIKU YA KIYAMA NA MWENYEZI MUNGU ULIPOSIKIA WAZANZIBARI WENZIO WANADHALILISHWA,KUDHULUMIWA NA KULAWITIWA NA HAWA JE ULIFANYA NINI TAFUTA JIBU LAKO MAPEMA KWA SIKU HIYO YA KIYAMA SIKU AMBAYO MALI NA WATOTO WAKO WALA CHEO CHAKO HAVITAKUFAA SIKU HIYO.

NCHINI ZANZIBAR TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI NDANI YA NCHI YETU YA ZANZIBAR NA NJE YA NCHI YETU YA ZANZIBAR



Juzi, tarehe 27 Septemba, 2015 wakati anahutubia mkutano wa kampeni wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) huko Mkokotoni, Mkoa wa Kaskazini Unguja, Mgombea Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya chama hicho, Dk. Ali Mohamed Shein, ametoa matamko ambayo ni dhahiri yanaashiria kwamba yeye na chama chake hawako tayari kwa uchaguzi huru, wa haki na wa amani na badala yake wanajiandaa kusababisha shari na kutibua hali ya amani na utulivu uliopo.
Katika hotuba yake, Dk. Ali Mohamed Shein amenukuliwa akisema mambo mawili ambayo hayapaswi kuachiwa bila ya kutolewa kauli na chama chetu. Mambo hayo ni:
1. Kwamba eti CCM wanazo taarifa kuwa CUF inaandaa wafuasi wake kufanya fujo kuanzia tarehe 24, 25 na 26 Oktoba, 2015 na kwamba Jeshi la Polisi limejizatiti kukabiliana na hali hiyo. Kauli hiiyo imekuwa ikirudiwa rudiwa kwa namna tofauti na Mwenyekiti wa Kamati ya Kampeni ya CCM, Balozi Seif Ali Iddi.
2. Kwamba CUF mara hii kimekuwa kikisisitiza katika mikutano yake ya kampeni kwamba kitashinda uchaguzi mkuu wa mwaka huu kwa vyovyote vile, kwamba CCM wakitaka wasitake watatoa Serikali, na kwamba CCM wataipeleka weneywe Serikali Mtendeni (yaliko Makao Makuu ya CUF). Akasema kwa kauli hizo CUF kinaonekana wazi kwamba hakitokuwa tayari kukubali matokeo endapo kitashindwa.
Ni vyema tuweke bayana kwamba hatukustaajabishwa na matamko hayo ijapokuwa tumesikitishwa kumuona Mgombea huyo anatumia nafasi yake kuleta hali ya taharuki katika nchi na miongoni mwa raia pasina sababu yoyote. Tunaamini kauli hizo zinatokana na taarifa zisizo sahihi na ushauri mbaya anaopewa na wasaidizi wake ambao ndiyo wanaoonekana wana nia ya kusababisha vurugu pasina sababu wakati nchi yetu kwa kiasi kikubwa imetulia. Tunasema hatukustaajabishwa kwa sababu zifuatazo:
1. Tamko kwamba eti CUF inaandaa wafuasi wake kufanya fujo kuanzia tarehe 24, 25 na 26 Oktoba, 2015 na kwamba Jeshi la Polisi limejizatiti kukabiliana na hali hiyo, sambamba na kauli za Balozi Seif Ali Iddi za kutisha watu mara kwa mara kupitia hotuba zake, linaonekana lina lengo la kuficha mipango miovu inayopangwa na viongozi wa Kamati ya Kampeni ya CCM la kutaka kuitia nchi katika taharuki katika siku za wiki ya mwisho ya kampeni kwa lengo la kuwatisha raia wema wasijitokeze kwenda kupiga kura tarehe 25 Oktoba.
Tunazo taarifa kwamba miongoni mwa mambo yanayopangwa kwenye vikao vyao vya mikakati ni kwamba vikundi vya vijana wa CCM waliowekwa katika makambi maalum na kupewa mafunzo ya kufanya hujuma dhidi ya raia wema wanaandaliwa kufanya fujo katika siku za mwishoni za kampeni wakisaidiwa na kile kikundi cha baadhi ya askari wa Vikosi Maalum vya SMZ wanaojifunika nyuso na kuvaa makachara. Lengo la mkakati huu ni kuwajaza hofu raia wema wasijitokeze kwenda kupiga kura. Ziko taarifa kuwa vijana hawa wanatafutiwa sare za CUF ili ionekane ni CUF wanaofanya fujo hizo. Kwa tamko hili la Dk. Ali Mohamed Shein ni wazi sasa kwamba mazingira yanaandaliwa ya kutafuta visingizio ili kuhalalisha mipango hiyo miovu.
2. Sambamba na mkakati huo wa kutaka kuzua taharuki, tunazo taarifa pia kwamba kutokana na CCM kufikwa na maji ya shingo na kuonekana kuelemewa na uwezo wa Timu ya Kampeni ya CUF ambayo imepelekea mafanikio makubwa katika kampeni za CUF na mgombea wake, Maalim Seif Sharif Hamad, kuna mpango mwengine unaopangwa wa kutaka kuwakamata na kuwabambikizia kesi viongozi wa Timu ya Kampeni ya CUF na baadhi ya wagombea wa CUF wanaoonekana kuwa ndiyo wanaofanikisha kampeni za CUF zinazokimaliza CCM.
Miongoni mwa wanaotajwa katika orodha ya kutaka kubambikiziwa kesi na kukamatwa ni Mwenyekiti wa Timu hiyo, Mhe. Nassor Ahmed Mazrui, na wajumbe wengine Mhe. Mansoor Yussuf Himid, Mhe. Ismail Jussa, na Mhe. Mohamed Ahmed Mugheiry (Eddy Riyami). Katika orodha hiyo, pia wanatajwa wagombea na wanaharakati kadhaa hususan wale waliohama CCM na kujiunga na CUF hivi karibuni ambao wanaonekana kukiweka CCM katika wakati mgumu kwenye majimbo yao. Wapo baadhi yao ambao tayari wamekamatwa katika siku za karibuni na kuhusishwa na tuhuma ambazo mtu anashangaa wakati wote walipokuwa CCM hawakuwahi kuhusishwa nazo.
Miongoni mwa hao ni Khamis Jabu Mohamedambaye ni Mgombea wetu wa Udiwani katika Wadi ya Chumbuni, Abdi Seif ambaye ni Mgombea wetu wa Ubunge wa Jimbo la Shaurimoyo, na Ramadhani Abdulsatar Salehe ambaye ni Mgombea wetu wa Udiwani katika Wadi ya Kwahani.
3. CUF inamtaka Dk. Ali Mohamed Shein, iwapo kweli anataka wananchi wa Zanzibar wamuamini kwamba ana dhati ya kuhakikisha amani na utulivu, awaeleze wananchi kwa nini hadi leo hajachukua hatua zozote za kuyafunga makambi ya vijana wa CCM yanayoendesha mafunzo ya kiharamia ambayo Maalim Seif Sharif Hamad alimuandikia rasmi na hata kumueleza ana kwa ana juu ya taarifa za kuwepo kwake. Makambi hayo ni pamoja na ile ya Tunguu (iliyopewa jina la SCENARIO ambayo ina vijana wapatao 900), Dunga (ina vijana 150), Welezo (ina vijana 200), na Amani CCM Mkoa (yenye vijana 300) huku kukitajwa mipango ya kufungua kambi nyengine kama hizo katika maeneo ya Kilombero, Pangatupu, Bumbwini na Makunduchi. Maalim Seif pia aliliarifu Jeshi la Polisi kuhusu taarifa za kuwepo makambi haya. CUF pia imechukua hatua ya kuiarifu jumuiya ya kimataifa juu kuwepo kwa makambi haya.
4. CUF pia inataka ielezwe iwapo kweli Dk. Ali Mohamed Shein ana nia ya kuhakikisha amani na utulivu katika nchi yetu amechukua hatua gani dhidi ya matukio ambayo yamekuwa yakifanyika hadharani na yameandikwa kwenye magazeti mbali mbali na hata kuwepo kwa picha zake za video ya kuwepo kwa kikundi maalum kinachohusisha baadhi ya askari wa Vikosi vya SMZ ambavyo viko chini yake na ambao wamekuwa wakivaa makachara na kujifunika nyuso na kuhujumu watu mitaani hususan wakati wa uandikishaji wa wapiga kura wapya katika miezi ya Juni na Julai, mwaka huu.
Matukio haya pia yameripotiwa na Maalim Seif kwake Dk. Shein na kwa Rais Jakaya Kikwete na pia CUF ikamuandikia rasmi Kamishna wa Polisi Zanzibar lakini hadi leo hakuna hatua zozote zilizochukuliwa. Matukio hayo yalifikia hatua mbaya tarehe 4 Julai, mwaka huu, kijijini Makunduchi pale watu wawili, Kheri Makame Hassan na Ramadhani Hija Hassan, walipopigwa risasi na kujeruhiwa vibaya. Tunashukuru kwamba jumuiya ya kimataifa imetuhakikishia kuwa inafuatilia matendo haya yote na kwamba wahusika watabeba dhima kwa yatakayotokea kulingana na mikataba ya kimataifa ambayo Tanzania imeiridhia.
5. CUF inataka Dk. Ali Mohamed Shein pia aeleze iwapo yeye ni msimamizi wa amani na utulivu na anapenda uchaguzi huru na wa haki, ni kwa nini anakaa kimya wakati kikundi maalum cha askari wa Vikosi vya SMZ ambavyo viko chini yake wamekuwa wakiendesha zoezi maalum la kupita mitaani na barabarani, mjini na mashamba na kuzipachua na kuzichana picha za mgombea Urais wa CUF na wakati mwengine kubandika picha za Dk. Shein juu ya picha za Maalim Seif kinyume na Mwongozo wa Maadili ya Uchaguzi ambayo vyama vyote vya siasa, Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar vilisaini kwa pamoja? Haya yanafanyika huku askari wenyewe wa Vikosi wakikerwa na kutumiwa kisiasa kinyume na maadili ya kazi zao.
6. Kuhusu kauli kwamba CUF mara hii kimekuwa kikisisitiza katika mikutano yake ya kampeni kwamba kitashinda uchaguzi mkuu wa mwaka huu kwa vyovyote vile, kwamba CCM wakitaka wasitake watatoa Serikali, na kwamba CCM wataipeleka weneywe Serikali Mtendeni na kwamba kwa kauli hizo CUF kinaonekana wazi kwamba hakitokuwa tayari kukubali matokeo endapo kitashindwa, hili ndiyo linavunja hadhi na muruwa wa Mgombea Urais wa CCM kuliko jambo jengine lolote na kumuonesha udhaifu wake. Waandishi wa habari na wananchi watakumbuka kuwa tarehe 23 Agosti, 2015 wakati Mgombea Urais kupitia CUF, Maalim Seif Sharif Hamad, alipokuwa anazungumza baada ya kuchukua fomu za uteuzi kutoka Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC) alitamka bayana kwamba iwapo uchaguzi utakuwa huru, wa haki na wazi, na yeye ikatokezea akashindwa basi atakubali matokeo na kumpongeza mshindi. Akatumia fursa hiyo kumtaka na Dk. Ali Mohamed Shein na yeye atoe kauli kama hiyo. Siku iliyofuata, tarehe 24 Agosti, Dk. Shein alichukua fomu na kuulizwa swali hilo, lakini waandishi wa habari na wananchi wote wakamsikia akisema kwamba, “Bado ni mapema kutoa kauli kama hiyo”. Hadi leo hajatoa kauli kwamba iwapo atashindwa ataheshimu na kukubali matokeo ya uchaguzi, atampongeza mshindi halali na atakabidhi madaraka kwa atakayepewa ridhaa na wananchi. Sasa hapo ni nani ambaye anaonesha dalili za kutokuwa tayari kukubali matokeo?
Hizi ni hoja za msingi ambazo tunamtarajia Mgombea Urais kupitia CCM, Dk. Ali Mohamed Shein, azitolee ufafanuzi na nyengine zinahitaji hatua madhubuti kuchukuliwa ili tujue iwapo kweli anayoyasema kuhusu amani na utulivu yanatoka katika dhati ya nafsi yake au ni kauli zinazoficha dhamira nyengine ambayo hataki kuisema.
Kwa upande wetu, Chama Cha Wananchi (CUF) tunazichukulia kauli hizi kuwa ni dalili za kutapatapa kwa Mgombea Urais huyo na chama chake baada ya kubaini kwamba mambo yanawaendea kombo kutokana na mwamko mkubwa unaooneshwa na wananchi wa Zanzibar kumkataa yeye na chama chake. Wananchi wa Zanzibar wameamua kukipa talaka chama cha CCM baada ya kuchoshwa na ahadi za chama hicho zisizotimizwa miaka nenda miaka rudi. Sasa wameamua kuikumbatia fursa ya mabadiliko yanayowakilishwa na CUF na mgombea wake Maalim Seif Sharif Hamad.
Tunapenda kukinasihi Chama Cha Mapinduzi kwamba kisiwaingize Jeshi la Polisi katika mipango yao miovu wanayoipanga. Kwa hakika, hadi sasa Jeshi la Polisi limekuwa likifanya kazi nzuri ya kuhakikisha amani na utulivu katika kipindi chote cha kampeni. Na sisi CUF tumekuwa tukitoa mashirikiano ya hali ya juu ili kwa pamoja tuhakikishe nchi yetu inabaki salama na kwamba tunavuka katika kipindi hichi cha uchaguzi katika hali ya amani na utulivu. Hatudhani ni busara kwa viongozi wa CCM kula njama za kutaka kuturudisha kwenye vurugu na fujo.
CUF tunatoa wito kwa vyombo vyote vya ulinzi na usalama hapa nchini kuendelea kusimamia amani na utulivu wa nchi yetu pasina kuegemea upande wowote wa kisiasa na kuendelea kuwajengea imani wananchi wote kwa kukataa kuingizwa katika ubishani wa kisiasa wakati huu wa harakati za kampeni na hatua nyengine za uchaguzi. Sisi katika CUF tunawahakikishia mashirikiano yetu katika kufanikisha dhamira hiyo kama ambavyo tumekuwa tukifanya wakati wote.
Mwisho, tunamkumbusha Mgombea wa CCM, Dk. Ali Mohamed Shein, kwamba alikabidhiwa uongozi wa nchi mwaka 2010 katika hali ya usalama wa hali ya juu na umoja wa kupigiwa mfano wa wananchi wa Zanzibar kutokana na kazi kubwa ya kuleta na kusimamia maridhiano iliyofanywa na mtangulizi wake, Dk. Amani Karume, akishirikiana na Maalim Seif Sharif Hamad.
Tunamuomba na kumnasihi na yeye awe muungwana kwa kusimamia uchaguzi ulio huru na wa haki na utakaofanyika katika mazingira ya amani, usalama na maelewano, na pale wananchi wa Zanzibar watakapofanya maamuzi yao tarehe 25 Oktoba, 2015 basi ayaheshimu maamuzi hayo. Bila shaka, muundo wa Serikali ya Umoja wa Kitaifa utaendelea na unavihakikishia vyama vyote vya siasa vitakavyopata uwakilishi kwenye Baraza la Wawakilishi kuwa sehemu ya Serikali hiyo.
CUF tunalihakikishia Jeshi la Polisi na vyombo vyote vya ulinzi na usalama hapa nchini kwamba tutaendelea kuwa mfano katika kufuata sheria bila shuruti na kwamba tutaendelea kutoa mashirikiano kwao katika kuendelea kuitunza tunu ya amani na usalama katika nchi yetu. Tunawaomba na wao wasisite kuwasiliana na sisi kama ambavyo wamekuwa wakifanya kila inapoonekana kuna haja hiyo ili kwa pamoja tushirikiane kufanikisha uchaguzi huru, wa haki na wa amani. CUF tunaendelea kutoa wito kwa wanachama na wafuasi wetu na wananchi wote kwa ujumla kufuata sheria na pia maelekezo ya viongozi wetu katika kutunza amani na utulivu wakati wote wakijua kwamba tunaelekea katika ushindi mkubwa kwenye uchaguzi mkuu wa tarehe 25 Oktoba, 2015.
HAKI SAWA KWA WOTE
ISMAIL JUSSA
MKURUGENZI WA MAWASILIANO – TIMU YA KAMPENI YA CUF
ZANZIBAR – 29 SEPTEMBA, 2015
KILA MZANZIBARI ATAKAE IPIGIA KURA CCM ILI IBAKI MADARAKANI AJUWE NA YEYE ANACHANGIA KUFUNGWA KWA MASHEIKH NA KUTHALILISHWA KWAO NA KUENDELEZA DHULMA KATIKA NCHI YA ZANZIBAR UKAE UKIJUWA UTAULIZWA SIKU YA KIYAMA NA MWENYEZI MUNGU ULIPOSIKIA WAZANZIBARI WENZIO WANADHALILISHWA,KUDHULUMIWA NA KULAWITIWA NA HAWA JE ULIFANYA NINI TAFUTA JIBU LAKO MAPEMA KWA SIKU HIYO YA KIYAMA SIKU AMBAYO MALI NA WATOTO WAKO WALA CHEO CHAKO HAVITAKUFAA SIKU HIYO.

NCHINI TANGANYIKA PESA ZA EPA NA ESCROW ZAFANYA KAZI YAKE



KILA MZANZIBARI ATAKAE IPIGIA KURA CCM ILI IBAKI MADARAKANI AJUWE NA YEYE ANACHANGIA KUFUNGWA KWA MASHEIKH NA KUTHALILISHWA KWAO NA KUENDELEZA DHULMA KATIKA NCHI YA ZANZIBAR UKAE UKIJUWA UTAULIZWA SIKU YA KIYAMA NA MWENYEZI MUNGU ULIPOSIKIA WAZANZIBARI WENZIO WANADHALILISHWA,KUDHULUMIWA NA KULAWITIWA NA HAWA JE ULIFANYA NINI TAFUTA JIBU LAKO MAPEMA KWA SIKU HIYO YA KIYAMA SIKU AMBAYO MALI NA WATOTO WAKO WALA CHEO CHAKO HAVITAKUFAA SIKU HIYO.

VIDEO-NCHINI ZANZIBAR KAMATI YA MARIDHIANO SIX: UFUNGUZI WA KAMPENI MGOMBEA URAIS CUF PEMBA

KILA MZANZIBARI ATAKAE IPIGIA KURA CCM ILI IBAKI MADARAKANI AJUWE NA YEYE ANACHANGIA KUFUNGWA KWA MASHEIKH NA KUTHALILISHWA KWAO NA KUENDELEZA DHULMA KATIKA NCHI YA ZANZIBAR UKAE UKIJUWA UTAULIZWA SIKU YA KIYAMA NA MWENYEZI MUNGU ULIPOSIKIA WAZANZIBARI WENZIO WANADHALILISHWA,KUDHULUMIWA NA KULAWITIWA NA HAWA JE ULIFANYA NINI TAFUTA JIBU LAKO MAPEMA KWA SIKU HIYO YA KIYAMA SIKU AMBAYO MALI NA WATOTO WAKO WALA CHEO CHAKO HAVITAKUFAA SIKU HIYO.

VIDEO-NCHINI ZANZIBAR KAMATI YA MARIDHIANO SIX: MKUTANO WA KAMPENI ZA MGOMBEA URAIS CUF KONDE

KILA MZANZIBARI ATAKAE IPIGIA KURA CCM ILI IBAKI MADARAKANI AJUWE NA YEYE ANACHANGIA KUFUNGWA KWA MASHEIKH NA KUTHALILISHWA KWAO NA KUENDELEZA DHULMA KATIKA NCHI YA ZANZIBAR UKAE UKIJUWA UTAULIZWA SIKU YA KIYAMA NA MWENYEZI MUNGU ULIPOSIKIA WAZANZIBARI WENZIO WANADHALILISHWA,KUDHULUMIWA NA KULAWITIWA NA HAWA JE ULIFANYA NINI TAFUTA JIBU LAKO MAPEMA KWA SIKU HIYO YA KIYAMA SIKU AMBAYO MALI NA WATOTO WAKO WALA CHEO CHAKO HAVITAKUFAA SIKU HIYO.

VIDEO-NCHINI ZANZIBAR KAMATI YA MARIDHIANO SIX: MKUTANO WA KAMPENI ZA MGOMBEA URAIS CUF MKANYAGENI

KILA MZANZIBARI ATAKAE IPIGIA KURA CCM ILI IBAKI MADARAKANI AJUWE NA YEYE ANACHANGIA KUFUNGWA KWA MASHEIKH NA KUTHALILISHWA KWAO NA KUENDELEZA DHULMA KATIKA NCHI YA ZANZIBAR UKAE UKIJUWA UTAULIZWA SIKU YA KIYAMA NA MWENYEZI MUNGU ULIPOSIKIA WAZANZIBARI WENZIO WANADHALILISHWA,KUDHULUMIWA NA KULAWITIWA NA HAWA JE ULIFANYA NINI TAFUTA JIBU LAKO MAPEMA KWA SIKU HIYO YA KIYAMA SIKU AMBAYO MALI NA WATOTO WAKO WALA CHEO CHAKO HAVITAKUFAA SIKU HIYO.

VIDEO-NCHINI ZANZIBAR KAMATI YA MARIDHIANO SIX: MKUTANO WA KAMPENI ZA MGOMBEA URAIS CUF KOJANI NA MAGOGONI PEMBA

KILA MZANZIBARI ATAKAE IPIGIA KURA CCM ILI IBAKI MADARAKANI AJUWE NA YEYE ANACHANGIA KUFUNGWA KWA MASHEIKH NA KUTHALILISHWA KWAO NA KUENDELEZA DHULMA KATIKA NCHI YA ZANZIBAR UKAE UKIJUWA UTAULIZWA SIKU YA KIYAMA NA MWENYEZI MUNGU ULIPOSIKIA WAZANZIBARI WENZIO WANADHALILISHWA,KUDHULUMIWA NA KULAWITIWA NA HAWA JE ULIFANYA NINI TAFUTA JIBU LAKO MAPEMA KWA SIKU HIYO YA KIYAMA SIKU AMBAYO MALI NA WATOTO WAKO WALA CHEO CHAKO HAVITAKUFAA SIKU HIYO.

VIDEO-NCHINI ZANZIBAR KAMATI YA MARIDHIANO SIX: UFUNGUZI WA KAMPENI ZA MGOMBEA URAIS CUF KIBANDAMAITI UNGUJA

KILA MZANZIBARI ATAKAE IPIGIA KURA CCM ILI IBAKI MADARAKANI AJUWE NA YEYE ANACHANGIA KUFUNGWA KWA MASHEIKH NA KUTHALILISHWA KWAO NA KUENDELEZA DHULMA KATIKA NCHI YA ZANZIBAR UKAE UKIJUWA UTAULIZWA SIKU YA KIYAMA NA MWENYEZI MUNGU ULIPOSIKIA WAZANZIBARI WENZIO WANADHALILISHWA,KUDHULUMIWA NA KULAWITIWA NA HAWA JE ULIFANYA NINI TAFUTA JIBU LAKO MAPEMA KWA SIKU HIYO YA KIYAMA SIKU AMBAYO MALI NA WATOTO WAKO WALA CHEO CHAKO HAVITAKUFAA SIKU HIYO.

VIDEO-NCHINI ZANZIBAR KAMATI YA MARIDHIANO SIX: MKUTANO WA KAMPENI ZA MGOMBEA URAIS CUF FUONI

KILA MZANZIBARI ATAKAE IPIGIA KURA CCM ILI IBAKI MADARAKANI AJUWE NA YEYE ANACHANGIA KUFUNGWA KWA MASHEIKH NA KUTHALILISHWA KWAO NA KUENDELEZA DHULMA KATIKA NCHI YA ZANZIBAR UKAE UKIJUWA UTAULIZWA SIKU YA KIYAMA NA MWENYEZI MUNGU ULIPOSIKIA WAZANZIBARI WENZIO WANADHALILISHWA,KUDHULUMIWA NA KULAWITIWA NA HAWA JE ULIFANYA NINI TAFUTA JIBU LAKO MAPEMA KWA SIKU HIYO YA KIYAMA SIKU AMBAYO MALI NA WATOTO WAKO WALA CHEO CHAKO HAVITAKUFAA SIKU HIYO.

VIDEO-NCHINI ZANZIBAR KAMATI YA MARIDHIANO SIX: MKUTANO WA KAMPENI ZA MGOMBEA URAIS CUF CHWAKA

KILA MZANZIBARI ATAKAE IPIGIA KURA CCM ILI IBAKI MADARAKANI AJUWE NA YEYE ANACHANGIA KUFUNGWA KWA MASHEIKH NA KUTHALILISHWA KWAO NA KUENDELEZA DHULMA KATIKA NCHI YA ZANZIBAR UKAE UKIJUWA UTAULIZWA SIKU YA KIYAMA NA MWENYEZI MUNGU ULIPOSIKIA WAZANZIBARI WENZIO WANADHALILISHWA,KUDHULUMIWA NA KULAWITIWA NA HAWA JE ULIFANYA NINI TAFUTA JIBU LAKO MAPEMA KWA SIKU HIYO YA KIYAMA SIKU AMBAYO MALI NA WATOTO WAKO WALA CHEO CHAKO HAVITAKUFAA SIKU HIYO.

VIDEO-NCHINI ZANZIBAR KAMATI YA MARIDHIANO SIX: MKUTANO WA KAMPENI ZA MGOMBEA URAIS CUF MPENDAE

MCHEKI SUPER STAR WA ZANZIBAR ANAVYO MWAGA VITUZIIIII

KILA MZANZIBARI ATAKAE IPIGIA KURA CCM ILI IBAKI MADARAKANI AJUWE NA YEYE ANACHANGIA KUFUNGWA KWA MASHEIKH NA KUTHALILISHWA KWAO NA KUENDELEZA DHULMA KATIKA NCHI YA ZANZIBAR UKAE UKIJUWA UTAULIZWA SIKU YA KIYAMA NA MWENYEZI MUNGU ULIPOSIKIA WAZANZIBARI WENZIO WANADHALILISHWA,KUDHULUMIWA NA KULAWITIWA NA HAWA JE ULIFANYA NINI TAFUTA JIBU LAKO MAPEMA KWA SIKU HIYO YA KIYAMA SIKU AMBAYO MALI NA WATOTO WAKO WALA CHEO CHAKO HAVITAKUFAA SIKU HIYO.

VIDEO-KAMATI YA MARIDHIANO SIX: MKUTANO WA KAMPENI ZA MGOMBEA URAIS CUF AMANI

KAMA HUMJUWI SUPER STAR WA ZENJI ANGALIA VIDEO

KILA MZANZIBARI ATAKAE IPIGIA KURA CCM ILI IBAKI MADARAKANI AJUWE NA YEYE ANACHANGIA KUFUNGWA KWA MASHEIKH NA KUTHALILISHWA KWAO NA KUENDELEZA DHULMA KATIKA NCHI YA ZANZIBAR UKAE UKIJUWA UTAULIZWA SIKU YA KIYAMA NA MWENYEZI MUNGU ULIPOSIKIA WAZANZIBARI WENZIO WANADHALILISHWA,KUDHULUMIWA NA KULAWITIWA NA HAWA JE ULIFANYA NINI TAFUTA JIBU LAKO MAPEMA KWA SIKU HIYO YA KIYAMA SIKU AMBAYO MALI NA WATOTO WAKO WALA CHEO CHAKO HAVITAKUFAA SIKU HIYO.

Tuesday, September 29, 2015

VIDEO-NCHINI TANGANYIKA MKUTANO WA LOWASSA WAVUNJIKA TANGA KWA WINGI WA WATU KUZIMIA

KILA MZANZIBARI ATAKAE IPIGIA KURA CCM ILI IBAKI MADARAKANI AJUWE NA YEYE ANACHANGIA KUFUNGWA KWA MASHEIKH NA KUTHALILISHWA KWAO NA KUENDELEZA DHULMA KATIKA NCHI YA ZANZIBAR UKAE UKIJUWA UTAULIZWA SIKU YA KIYAMA NA MWENYEZI MUNGU ULIPOSIKIA WAZANZIBARI WENZIO WANADHALILISHWA,KUDHULUMIWA NA KULAWITIWA NA HAWA JE ULIFANYA NINI TAFUTA JIBU LAKO MAPEMA KWA SIKU HIYO YA KIYAMA SIKU AMBAYO MALI NA WATOTO WAKO WALA CHEO CHAKO HAVITAKUFAA SIKU HIYO.

NCHINI TANGANYIKA MSANI JACQUELINE WOLPER AENDELEZA MSIMAMO WAKE KWA UKAWA





Staa wa Bongo Movies, Jacqueline Wolper ambaye amejipambanua siasa kuwa anaunga mkono madadiliko kupitia UKAWA na kushiriki katika harakati za kumpigia kampeni Mh Edward Lowassa ambaye ni mgombea urasi kupitia UKAWA kwa tiketi ya CHADEMA.
Amewatoa hofu mashabiki wao kuwa hakuna bifu miongoni mwao kwani siasa zikiisha wataendelea na maisha yao kama kawaida tofauti na baadhi ya mashabiki wanavyodhani hasa baada ya wasanii hao wa bongo movies walivyotafautiana kimitazamo ya kisiasa kwakipindi hiki hadi kufia  kutoleana lugha kali miongoni mwao.
“Msijali Mashabiki siasa zikiisha maisha yetu yanaenda kama kawaida Maana sisi zetu kamera siyo viti vyekundu ila hapa pipozii tuu paka kieleweke”–Wolper aliandika kwenye mtandao wa instagram.
Pia kwenye moja ya posti zake wkkenyemtandao huo huo wolper alisisitiza kubaki kuwa team mabadiliko
“…Ni bora kuwa kaisari kuliko kuwa yuda mimi nitabaki kuwa Jacq


KILA MZANZIBARI ATAKAE IPIGIA KURA CCM ILI IBAKI MADARAKANI AJUWE NA YEYE ANACHANGIA KUFUNGWA KWA MASHEIKH NA KUTHALILISHWA KWAO NA KUENDELEZA DHULMA KATIKA NCHI YA ZANZIBAR UKAE UKIJUWA UTAULIZWA SIKU YA KIYAMA NA MWENYEZI MUNGU ULIPOSIKIA WAZANZIBARI WENZIO WANADHALILISHWA,KUDHULUMIWA NA KULAWITIWA NA HAWA JE ULIFANYA NINI TAFUTA JIBU LAKO MAPEMA KWA SIKU HIYO YA KIYAMA SIKU AMBAYO MALI NA WATOTO WAKO WALA CHEO CHAKO HAVITAKUFAA SIKU HIYO.

NCHINI TANGANYIKA SHAMSA FORD ASEMA..NATAKA MABADILIKO...SIWEZI KUJIDHALILISHA KUFUATA FEDHA CCM


Staa wa  filamu ya Chausiku, Shamsa Ford amesema hatobadilisha msimamo wake wa kushabikia vyama vya upinzani kwa kulaghaiwa na wasanii wachache kwa maslahi yao binafsi .

Shamsa amesema hayupo tayari kufuata maamuzi ya watu wengine hata kwa lundo la fedha kwani  kufanya hivyo  ni kujidhalilisha .

“Mimi nitabaki huku kwa kuwa nahitaji mabadiliko,kila siku wasanii tunalia tukidai tunaibiwa na hakuna utekelezaji na matokeo yake tunapewa ahadi zisizoisha.”Amesema Shamsa

Aidha , Shamsa Ford aliwataka mashabiki kuwaona kama watu wakawaida kwani baada ya siasa maisha yataendelea kama zamani.

KILA MZANZIBARI ATAKAE IPIGIA KURA CCM ILI IBAKI MADARAKANI AJUWE NA YEYE ANACHANGIA KUFUNGWA KWA MASHEIKH NA KUTHALILISHWA KWAO NA KUENDELEZA DHULMA KATIKA NCHI YA ZANZIBAR UKAE UKIJUWA UTAULIZWA SIKU YA KIYAMA NA MWENYEZI MUNGU ULIPOSIKIA WAZANZIBARI WENZIO WANADHALILISHWA,KUDHULUMIWA NA KULAWITIWA NA HAWA JE ULIFANYA NINI TAFUTA JIBU LAKO MAPEMA KWA SIKU HIYO YA KIYAMA SIKU AMBAYO MALI NA WATOTO WAKO WALA CHEO CHAKO HAVITAKUFAA SIKU HIYO.

NCHINI ZANZIBAR CHAMA CHA WANANCHI CUF KINAENDELEA NA KAMPENI ZAKE JIMBO LA CHONGA, CHAKECHAKE PEMBA



 MGOMBEA urais wa nchi ya Zanzibar kupitia chama cha CUF Mhe:Maalim Seif Sharif Hamad, akizungumza na wananchi wa Kumvini Pujini jimbo la Chonga, wakati wa Uzinduzi wa kampeni za Chama cha CUF.

WANACHAMA wa chama cha CUF na wapenda mabadiliko wakimsikiliza kwa makini Mgombea Urais kupitia chama chao wakipendacho, Maalim Seif Sharif Hamad wakati alipokuwa akizungumza na wananchi wa Kumvini Pujini, wakati wa ufunguzi wa kampeni za Jimbo la Chonga Wilaya ya Chake Chake Pemba.

KILA MZANZIBARI ATAKAE IPIGIA KURA CCM ILI IBAKI MADARAKANI AJUWE NA YEYE ANACHANGIA KUFUNGWA KWA MASHEIKH NA KUTHALILISHWA KWAO NA KUENDELEZA DHULMA KATIKA NCHI YA ZANZIBAR UKAE UKIJUWA UTAULIZWA SIKU YA KIYAMA NA MWENYEZI MUNGU ULIPOSIKIA WAZANZIBARI WENZIO WANADHALILISHWA,KUDHULUMIWA NA KULAWITIWA NA HAWA JE ULIFANYA NINI TAFUTA JIBU LAKO MAPEMA KWA SIKU HIYO YA KIYAMA SIKU AMBAYO MALI NA WATOTO WAKO WALA CHEO CHAKO HAVITAKUFAA SIKU HIYO.

NCHINI ZANZIBAR MGOMBEA URAIS WA NCHI YA ZANZIBAR KWA TIKETI YA CCM SHEIN AMENDELEA NA KAMPENI ZAKE HUKO MKOKOTONI









































KILA MZANZIBARI ATAKAE IPIGIA KURA CCM ILI IBAKI MADARAKANI AJUWE NA YEYE ANACHANGIA KUFUNGWA KWA MASHEIKH NA KUTHALILISHWA KWAO NA KUENDELEZA DHULMA KATIKA NCHI YA ZANZIBAR UKAE UKIJUWA UTAULIZWA SIKU YA KIYAMA NA MWENYEZI MUNGU ULIPOSIKIA WAZANZIBARI WENZIO WANADHALILISHWA,KUDHULUMIWA NA KULAWITIWA NA HAWA JE ULIFANYA NINI TAFUTA JIBU LAKO MAPEMA KWA SIKU HIYO YA KIYAMA SIKU AMBAYO MALI NA WATOTO WAKO WALA CHEO CHAKO HAVITAKUFAA SIKU HIYO.