Tuesday, September 1, 2015

HIVI NDIO JESHI LA POLISI / ASKARI LILIVYO ANZISHWA KWALI LITAKUWA NA HURUMA NA RAI WAKE....?


mwaka 1858 ndipo lilipo undwa jeshi la polisi au askari na liliundwa kwajili tu ya kuwakamata watumwa wanajaribu kukimbia au walio kata kufanya kazi ya utumwa katika mashamba ya miwa,pamba,kulima, n.k. kisha baada ya miaka na kakaka kupita na utumwa ukawa sio halal tena ndio jeshi hilo hilo likaundwa kuwa ati lilinde rai na mali zake je kweli jeshi hilo litakuwa na huruma..??

KILA MZANZIBARI ATAULIZWA SIKU YA KIYAMA NA MWENYEZI MUNGU ULIPOSIKIA WAZANZIBARI WENZIO WANADHALILISHWA NA KULAWITIWA NA HAWA JE ULIFANYA NINI TAFUTA JIBU LAKO MAPEMA KWA SIKU HIYO YA KIYAMA SIKU AMBAYO MALI NA WATOTO WAKO WALA CHEO CHAKO HAVITAKUFAA SIKU HIYO.

No comments:

Post a Comment