Wednesday, September 2, 2015

JE NI YUPI WA KUPELEKWA MAHAKAMANI TENA ((THE HAGUE)) WEZII WA MABILLIONI WA ESCROW, BENJAMENI MKAPA ALIYE FANYA MAUWAJI YA RAI WASIO NA HATIA YOYOTE AU MTUHUMIWA LOWASSA.....????



Tokea atangeze kujiondoa CCM na kujiunga chama cha democrasia na maendeleo( CHADEMA)Mh Edward Lowassa ,imekua kasakamwa na wanafiki wa chama tawala na kulikuza swala la richmond mama vile yeye ni mtuhumiwa pekee ndani ya CCM alokua sio msafi.....?? Tumesahau kuwa nijuzi juzi tu hapa Serekali nzima ya ccm chini ya raisi huyo huyo Kikwete kumetokea wizi wakutisha wa Tageta Escrow na hakuna alofikishwa kwenye vyombo vya sheria wala nini na baadae wezi hao hao wameteuliwa na CCM kuwania nafasi zao za uongozi.
Sasa iwaje leo tuhuma za swala la Mh Lowassa lionekane nikubwa kuliko Mapapa yalomo kwenye CCM.....?? ikiwa kulitokezea ubadhirifu wa kupotea pesa za Richmond jee kikwete atalikwepa vipi haliyakua yeye ndio alokua Raisi......?? na ubadhirifu wa kuibiwa mamillioni ya Tageta Escrow jee kikwete atalikwepa vipi na hili haliyakua yeye bado na ndio alokua Raisi.....??? au swala la Tageta Escrow vipi lisimuhusu Waziri mkuu Mizengo Pinda...... ?? Au kikwete atawaeleze nini waislamu kwa kuwafunga Masheikh na Wazanzibari wasio na hatia yoyote katika magereza ya nchi yake ya Tanganyika...??? Au tuchukulie swala la Benjameni Mkapa kuwaua raia wa nchi ya Zanzibar wasio na hatia yoyote ndio jepesi lakuweza kuonekana la Mh Edward Lowassa ni kubwa kuliko raho za Wazanzibar na Waislamu wa Muiembe chai.........???.
KILA MZANZIBARI ATAULIZWA SIKU YA KIYAMA NA MWENYEZI MUNGU ULIPOSIKIA WAZANZIBARI WENZIO WANADHALILISHWA NA KULAWITIWA NA HAWA JE ULIFANYA NINI TAFUTA JIBU LAKO MAPEMA KWA SIKU HIYO YA KIYAMA SIKU AMBAYO MALI NA WATOTO WAKO WALA CHEO CHAKO HAVITAKUFAA SIKU HIYO.

No comments:

Post a Comment