Thursday, October 1, 2015

NCHINI TANGANYIKA POMBE MAGUFULI AKINYWA MAJI YA KIKOMBE CHA BABU

Leo Dodoma. Dkt @MagufuliJP amedai na kusisitiza kwamba katika uongozi wake dawa zitapatikana mahospitalini. Kwa babu wa loliondo alienda kufanya nini? Wanadai ana MSC + Phd ya kemia. Kuongea luha za taifa (Kiswahili, English) kwa ufasaha hajui. Akasafiri loliondo kunywa kikombe cha babu! Halafu ndio alete madawa hospitalini? Kituko cha karne.

KILA MZANZIBARI ATAKAE IPIGIA KURA CCM ILI IBAKI MADARAKANI AJUWE NA YEYE ANACHANGIA KUFUNGWA KWA MASHEIKH NA KUTHALILISHWA KWAO NA KUENDELEZA DHULMA KATIKA NCHI YA ZANZIBAR UKAE UKIJUWA UTAULIZWA SIKU YA KIYAMA NA MWENYEZI MUNGU ULIPOSIKIA WAZANZIBARI WENZIO WANADHALILISHWA,KUDHULUMIWA NA KULAWITIWA NA HAWA JE ULIFANYA NINI TAFUTA JIBU LAKO MAPEMA KWA SIKU HIYO YA KIYAMA SIKU AMBAYO MALI NA WATOTO WAKO WALA CHEO CHAKO HAVITAKUFAA SIKU HIYO.

No comments:

Post a Comment