Friday, October 30, 2015

VIDEO-NCHINI TANGANYIKA SEREKALI MBILI KUELEKEA MOJA HIYOOO INAWANYEMELEA WAZANZIBARI

Haya baada ya kuona chama chake kimeshindwa cha CCM na yeye ashakula pesa nyingi sana kuwa atahakikisha CCM ina shinda na haikushinda akaona afanye nini sasa kilicho baki akenda miembeni kwa Borafya akapiga chupa zake za mtindi wa kienyeji ukamkolea barabara, kisha akenda akatangaza kuwa atii uchaguzi umefutwa. Nchi ina Sheria na Katiba ni Sharia ipi au kipengela kipi katika sharia au Katiba ambacho kakitumia katika video hii mukisikiliza mnasikia akikisema hakuna ni domo tu la ulevi wa pombe basi bla bla bla. Kisha Masultani Weusi Tanganyika wakaona alaaa kumbe basi hapa hapa ndio pakuwanyowa na kuwamaliza Wazanzibar hawa. Wamemficha huyu mzee ili asijieleza kisha Wazanzibar mbaki katika utata huku wao huko kwa Wakoloni Weusi Tanganyika wakamtangaza huyo Pombe wao aje na shamrashamra zishanza za kusherehekea atii ushindi wa Pombe awanyweshwa watu Pombe vizuri wapate kulewa, washamtangaza na chati washampa. Ilikuwa asitangazwa mpaka Zanzibar kieleweke na ajulikane mshindi ni nani ndio na wao watapata kura za Zanzibar ili wajumlishe na zao kisha ndio wapate raisi lakini huo sio mpago wao kwa hiyo wao tayari washamtangaza Pombe kuwa ndio mshindi na chati washamkabithi.
Huku Zanzibar ndio kuna Watanganyika na wana wa CCM Wananshangilia Raisi Pombe kwa hiyo sasa inakuwa kama Raisi Pombe ndio Raisi wa Tanganyika na ndio Raisi wa nchi ya Zanzibar pia maana ndio wana CCM na Watanganyika washaingia barabarani hapa Zanzibar kumshangilia na ulimwengu unatizama na kupiga picha pia kuwa  Pombe ndio Raisi wa Zanzibar na Tanganyika siunaona watu wanashangilia na huku kesi ya Raisi wa nchi ya Zanzibar na kura zake watu hata hawashughuliki maana wanaona haaaa wacheni hao sasa kule kwa Masultani Weusi Tanganyika watajidai kuwa bizi kwa harakati za kumuapisha Pombe wao kwa hiyo ya huku Zanzibar wanayawacha kama yalivyo si washaweka majeshi yao kuwa mtu akifurukuta uweni tu hakuna hili wala lile basi ndio hii serekali mbili kuelekea moja ndio hiyo sasa wanaitimiza uchaguzi huu na washajuwa kuwa Shein anamaliza mdaa wake November/ 2 / 2015 kwa hiyo hakuna tena haja ya Wazanzibari kuwa na Raisi sasa Raisi wao atakuwa ndio Pombe yamekwisha Wazanzibar watafanya nini....???

KILA MZANZIBARI ATAKAE IPIGIA KURA CCM ILI IBAKI MADARAKANI AJUWE NA YEYE ANACHANGIA KUFUNGWA KWA MASHEIKH NA KUTHALILISHWA KWAO NA KUENDELEZA DHULMA KATIKA NCHI YA ZANZIBAR UKAE UKIJUWA UTAULIZWA SIKU YA KIYAMA NA MWENYEZI MUNGU ULIPOSIKIA WAZANZIBARI WENZIO WANADHALILISHWA,KUDHULUMIWA NA KULAWITIWA NA HAWA JE ULIFANYA NINI TAFUTA JIBU LAKO MAPEMA KWA SIKU HIYO YA KIYAMA SIKU AMBAYO MALI NA WATOTO WAKO WALA CHEO CHAKO HAVITAKUFAA SIKU HIYO.

No comments:

Post a Comment