Sunday, December 20, 2015

NAIBU WAZIRI WA UTAMADUNI UTALII NA MICHEZO NCHINI ZANZIBAR BIHINDI AIKABIDHI VIFAA VYA MICHEZO TIMU YA ZANZIBAR BEACH SOKA


Kiongozi wa Timu ya Zanzibar Beach Soka Ali Shariff (Adof) akitowa shukrani kwa Uongozi wa Wizara ya Michezo hapa nchini Zanzibar kwa msaada huo na kuitaka Wizara na Baraza la Michezo hapa nchini Zanzibar kuitilia nguvu Michezo ya Beach Soka Zanzibar ili kuukuza mchezo huo hapa nchini Zanzibar, Timu ya Beach Soka inashiriki Michuano ya Klabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati Nchini Kenya michuano hiyo inayotarajiwa kufanyika Wiki Hii Nchini Kenya

Naibu Waziri wa Habari Utamaduni Utalii Michezo nchini Zanzibar Mhe Bihindi Hamad akizungumza na Wanamichezo wa Mchezo wa Mpira wa Ufukweni Zanzibar (Beach Soka) wakati wa kuwakabidhi Vifaa vya Michezo kwa Uongozi wa Timu hiyo katika ukumbi wa VIP Amaan nchini Zanzibar. 

Naibu Waziri wa Habari Utamaduni Utalii na Michezo Zanzibar Mhe Bihindi Hamad akimkabidhi Vifaa vya mchezo wa Soka la Ufukweni (Beach Soka ) Kiongozio wa Timu hiyo Ali Shariff (Adof) kwa ajili ya timu yake kuweza kushiriki vizuri katika michuano hiyo ya Afrika Mashariki inayofanyika Nchini Kenya makabidhiano hayo yamefanyika katika Ukumbi wa VIP Uwanja wa Amaan nchini Zanzibar.katikati ni Mwenyekiti wa Baraza la Michezo nchini Zanzibar Sharifa Khamis (Shery)

Naibu Waziri wa Habari Utamaduni Utalii na Michezo nchini Zanzibar Mhe Bihindi Hamad akiendelea kumkabidhi Vifaa vya mchezo wa Soka la Ufukweni (Beach Soka ) Kiongozio wa Timu hiyo Ali Shariff (Adof) kwa ajili ya timu yake kuweza kushiriki vizuri katika michuano hiyo ya Afrika Mashariki inayofanyika Nchini Kenya.

Kiongozi wa Timu ya Zanzibar Beach Soka Ali Shariff Adof akitowa shukrani 

KILA MZANZIBARI ALIYE IPIGIA KURA CCM AU MPAKA WAKATI HUU BADO ANAISAPOTI CCM ILI IBAKI MADARAKANI JAPO KUWA CCM IMESHINDWA UCHAGUZI AJUWE NA YEYE ANACHANGIA KUENDELEZA DHULMA NA KUFUNGWA KWA MASHEIKH NA KUTHALILISHWA KWAO NA KUENDELEZA DHULMA KATIKA NCHI YA ZANZIBAR UKAE UKIJUWA UTAULIZWA SIKU YA KIYAMA NA MWENYEZI MUNGU ULIPOSIKIA WAZANZIBARI WENZIO WANADHALILISHWA,KUDHULUMIWA NA KULAWITIWA NA HAWA JE ULIFANYA NINI TAFUTA JIBU LAKO MAPEMA KWA SIKU HIYO YA KIYAMA SIKU AMBAYO MALI NA WATOTO WAKO WALA CHEO CHAKO HAVITAKUFAA SIKU HIYO.

No comments:

Post a Comment