Thursday, April 30, 2015

VIDEO-BALTIMORE NCHINI MAREKANI MANDAMANO YAMEKOLEA

 

KILA MZANZIBARI ATAULIZWA SIKU YA KIYAMA NA MWENYEZI MUNGU ULIPOSIKIA WAZANZIBARI WENZIO WANADHALILISHWA NA KULAWITIWA NA HAWA JE ULIFANYA NINI TAFUTA JIBU LAKO MAPEMA KWA SIKU HIYO YA KIYAMA SIKU AMBAYO MALI NA WATOTO WAKO WALA CHEO CHAKO HAVITAKUFAA SIKU HIYO.

VIDEO-VIONGOZI WA NCHI YA TANGANYIKA WANAWATIA KASUMBA WAZANZIBARI KUHUSU WAARABU WAWACHUKIYE WAKATI WAO WANAWABUDU


Mkurugenzi wa Shirika la Nyumba ncini Tanganyika Nehemia Mchechu (wakwanza kushoto), watatu kutoka kushoto ni Mwenyekiti wa Shirika la Nyumba la Serikali ya Dubai Ali Rashid Ahmed Lootah, wapili kutoka kulia ni  Issack Peter, na wakwanza kutoka kulia ni Balozi Mdogo Omar Mjenga, watembelea mradi wa nyumba za gharama nafuu za Kigamboni zilizojengwa na Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) mapema leo asubuhi jijini Dar es salaam nchini Tanganyika. 
SIKILIZA KASUMBA NA UCHOCHEZI KISHA MTU KAMA HUYU MNASEMA KASOMA
Mchechu akimwelezea  Lootah ubora wa nyumba za mradi wa gharama nafuu (hazipo pichani) zilizojengwa katika eneo hilo la Kigamboni jijini Dar es Salaam nchini Tanganyika.

Samuel Sitta: Wa- Zanzibar wa Oman watapindua nchi haya nchi ngani ya Tanganyika au ya Zanzibar mnayo sema sio nchi....???

Baadhi ya Nyumba za mradi za gharama nafuu zilizojengwa na Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) katika eneo la Kigamboni.Balozi mdogo wa nchi ya Tanganyika,Dubai Omar wakizikanguwa nyumba ndio hizo.

Mwigulu Nchemba ampaka kamasi na gaga la kutoka puwani kwake M.Tanganyika Mwenzake kwa jinsi anavyo litharau jina la nchi yake mwenyewe ya Tanganyika.

Mjenga akizungumza mara baada ya kumaliza kuangalia mradi wa nyumba hizo za gharama.kisha lukuvi na sitta wanasema nchi ya Zanzibar ikijitenga tu basi warabu watarudi na kuanzisha uislamu wa siasa kali na kuwa na channel ya dini ya kislamu ya kueneza chuki zaidi ya Tanganyika kisha al-shabab watawasaidi wazanzibar na kurusha makombora dar es salaam itakuwa haikaliki haya wazanzibari endeleani kuwasikiliza hawa makelbu wakubwa nchi Zanzibar inazidi kuangamia nchi Tanganyika inazidi kunemeka na hao hao wanao dai wao ni warabu ushahidi huu hapa.
KILA MZANZIBARI ATAULIZWA SIKU YA KIYAMA NA MWENYEZI MUNGU ULIPOSIKIA WAZANZIBARI WENZIO WANADHALILISHWA NA KULAWITIWA NA HAWA JE ULIFANYA NINI TAFUTA JIBU LAKO MAPEMA KWA SIKU HIYO YA KIYAMA SIKU AMBAYO MALI NA WATOTO WAKO WALA CHEO CHAKO HAVITAKUFAA SIKU HIYO

IBADA YA KUABUDU MOTO IMEANZA HUKO SONGEA MKOA WA RUVUMA NCHINI TANGANYIKA NA KUONGOZWA NA RAISI WA MASKANI YA KISONGE SHEIN



Wanafunzi wa darasa la tatu katika shule ya Msingi Ndonga wilayani Nyasa Mkoa Ruvuma Nchini Tanganyika wakisomea darasa ambalo halijaezekwa kwa mwaka mmoja sasa na mvua na jua iko juu ya vichwa vya watoto hao viongozi wanaponda tuu fadha kusherekea IBADA YA MOTO MWENGE ameona wapi duniani...?

MADHARI YA NYUMBA NA MJI WA SONGEA ULIVYO CHOKA ILA PESA ZA KUFANYIA IBADA YA KUABUDU MOTO SEREKALI INAYO ILA HAINA PESA ZA KUWAPA MAJI SAFI,UMEME,HOSPITALI,AMBULANSI YA KUBEBEA WAGONJWA,ELIMU BORA N.K. ILA ZA MWENGE WANAZO NA NYINYI WANANCHI WAPUMBAVU WAKUBWA MNAJAZANA TELE STADIUM KUSIKILIZA UPUMBAVU NA PUMBA WAKE ZAO HAWAJIFUNGUWI HOSPITALI MUNAZO JIFUNGUWA NYINYI WATOTO WAO HAWAENDE SKULI WANAZO SOMA WATOTO WENU BADO TU HAMJA AMKA 2015 HIYOOOOOOOOOOOOOO

WANANCHI wa Kijiji cha Mtengashari Wilayani Tunduru Mkoani Ruvuma wawakumbusha Viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kutimiza ahadi yao ya kuwajengea Zahanati Kijijini hapo hata sio hospitali zahani miaka 50 na ushaiya jioneani wananchi kuwa CCM sio chama kitakacho kuletea wewe maendeleo bali ni chama cha kukumaliza wewe na wao kujaza matumbo na familia zao wanaiba mabillioni kwa mabillioni wala hawaende jela wanapeta EPA,WSCROW N.K. zahanati hiyo hapo inaporomoka CCM Oyeeeeeeeeeeeeeeee

Innalillaahi wa ina ilahii raajiuun
Huu ni msiba mkubwa sana.Nini faida ya jimoto hili,wananchi wanalala na njaa,maji safi hawana,umeme hakuna,usafiri wa uhakika hakuna,elimu hakuna,ajira hakuna,vijana wanazurura tu na kuvuta maunga drugs,dada zetu wanazidi kuwa malaya,watoto mayatima wanongezeka barabarani,mlo moja kwa siki ukijaliwa kuupata,hospitali hakuna, madawa hakuna,wanafunzi wanakaa chini na kadhalika.Wao pesa wanaziwashia mwenge ili watoke ikulu waje nje kuchezacheza maana kama hakuna sherehe za moto itabidi agande ikulu.Huu ni ubadhirifu wa fedha za umma. Pesa zetu sisi wananchi maana zao washazifisha nchi za nje zetu sisi za kutuletea mandeleo ndio hizi mara moto mara muungano feki mara siku za mashuja wanazo wanazifisidi na sisi mijuhaa tumeja tele stadium, wananchi wanakamuliwa kuchangia hizo mbio za mwenge.Tunausherehekea moto badala ya kuukimbia moto kama sio wazima nini...??? Hebu tuwambiye hawa viongozi kuanzia sasa hakuna tena kusherehekea lolote mpaka nchi hii itengene wala hakuna kiongozi kusafiri nje ya nchi kwa jambo lolote au matibabu yoyote ukiumwa wewe mkeo au mtoto wako au kiongozi yoyote tunakupeleka muhimbili au amana hospitali au mnazi moja nchini Zanzibar au mahonda zahanati nchini Zanzibar mpaka nchi hii itengenea muuona kama hata kuna mtu atataka kungombea udiwana wote watakata lakini wanajuwa wakiwa wabunge mawaziri raisi ndio yeye na familia yake washaukata maneno ya vijana ndio maana masherehe ya kipumbavu yasio kwisha kila kukicha.Kisha utasikia nchi haina pesa nchi imeja madeni kinyoko kinyokoko upumbavu mtu na sisi wananchi tumo tu kama mangombe yanayo nyonyesha.Ya rabbi tustiri na utuepeshe na moto,utuepusha na viongozi hawa madhalim na kila wanaishirikiana nae Amin. Haya kwa uwezo wa M.Mungu Mwengi wa Rahma atayaepusha mbali katika nchi yetu ya Zanzibar. Yashapitwa na wakati kwa nchi yetu ya Zanzibari hatuna haja tena ya kupumbazwa kwa kufurusha moto. Faida yake ni nini.........????? Zaidi ni Kuvusha wauwaji na majambazi kutoka kwa Mkoloni Mweusi Tanganyika kuja nchini kwetu Zanzibar, ili kusaidia chama tawala kuiba kura, na kuendelza ukoloni kutawala kibabe , Kibri.Wazazi hospital wanajifungua milangoni, huduma mbovu na duni, na elimu hayasemeki, uoza, uzushi na upotoshaji wa historia ya nchi yetu ya Zanzibar kwa makusudi . Until when........??????? Freedom and liberty.

KILA MZANZIBARI ATAULIZWA SIKU YA KIYAMA NA MWENYEZI MUNGU ULIPOSIKIA WAZANZIBARI WENZIO WANADHALILISHWA NA KULAWITIWA NA HAWA JE ULIFANYA NINI TAFUTA JIBU LAKO MAPEMA KWA SIKU HIYO YA KIYAMA SIKU AMBAYO MALI NA WATOTO WAKO WALA CHEO CHAKO HAVITAKUFAA SIKU HIYO

Wednesday, April 29, 2015

HATUTAKI, HATUWEEBU,AMIIII HATUTAKI.TUACHIWEE TUPUMUWEEE

Image result for mkapa na maalim seif katika sherehe za muungano 2015


























KILA MZANZIBARI ATAULIZWA SIKU YA KIYAMA NA MWENYEZI MUNGU ULIPOSIKIA WAZANZIBARI WENZIO WANADHALILISHWA NA KULAWITIWA NA HAWA JE ULIFANYA NINI TAFUTA JIBU LAKO MAPEMA KWA SIKU HIYO YA KIYAMA SIKU AMBAYO MALI NA WATOTO WAKO WALA CHEO CHAKO HAVITAKUFAA SIKU HIYO