Friday, July 31, 2015

CCM MIAKA YOTE INAONGOZA KWA RUSHWA ILA MWAKA HUU MUMETIA FORAA DUUUUH

Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar, Dkt. Mohamed Ali Shein, akizungumza na Wajumbe wa Kamati Maalum ya CCM Zanzibar
NIMEKAA nje nyumbani kwangu hapa kwetu nchini Zanzibar, jirani yangu akapaisha, “babaake Asma, natoka kupokea pesa mwenzio.” Huyu bibi hana kawaida ya kuniambia kila kitu. Ingawa sina ugomvi naye, kwa hulka yake, huchagua jambo gani aniambie. Tu jirani lakini tunaotofautiana mitizamo ya mambo, bila ya shaka kutokana na kila mmoja anavyotumia akili yake. Mimi mambo ya habari chakula changu, anajua; ila kwake habari ni nadra kuzifuatilia. Lakini labda anajua mambo ya ovyo akiniambia ninayafuatilia. Ndio akaona anieleze yanayotendwa na makada wa CCM wanaosubiri matokeo ya kura za maoni kuomba uwakilishi na ubunge hapa nchini kwetu Zanzibar. Anasema watia nia wa chama hicho anachokishabikia kwa roho safi, wanagawa pesa kwa wanachama wao. Ile tu kutafuta kura za kupitishwa na wanachama kugombea, CCM wanagawa pesa.
Jirani anafichua siri, “kila mtu anapewa shilingi elfu kumi.”
Nini maana yake.....?? Kama nafasi ya uwakilishi inawaniwa na wana-CCM kumi, kila mgaiwa rushwa, atapata Sh. 100,000. Hili chumo bomba! Chama Cha CCM kimeruhusu wanachama wake watoe rushwa kusaka kura za wanachama wenzao watakaoshiriki kuamua kada gani agombee. Kura hizi zinapigwa Agosti mosi. Wala nisiambiwe chama hakikuruhusu uchafu huu. Nisiambiwe maana ugawaji unafanywa asubuhi, mchana na jioni, kabla ya kiza kuingia. Hadharani dhahiri shahiri. Nikamuambia safi jirani. Umezichukua sio.....?? “Ah nisichukue mie masikini ivo unajua. Sikuziomba tumeitwa tukapewa, niziwache......??” anahoji
Hakuona au aliona ni vibaya kupeana pesa, hakujua kama mtindo ule ni rushwa......???
Sawa kama jirani yangu hakujua, je waliotoa pesa zile nao hawakujua....?? Baadhi yao wana elimu kubwa ya mambo, wanajua wametoa rushwa. Kwa mfano tuseme mtu kama Shamsi Vuai Nahodha hajui kufanya vile ni kutoa rushwa....?? Balozi Seif Iddi pia hajui kufanya vile ni kutoa rushwa....??? Shamsi Vuai Nahodha Amewahi kuwa waziri wa mambo ya ndani huko nchini Tanganyika, Waziri Kiongozi hapa nchini Zanzibar kwa miaka kumi. Hajui rushwa huyu.....?? Wanachama wa kawaida kama jirani yangu wakipewa elfu kumi. Walio viongozi wakiwemo masheha na kamati zao, itakuwa wamepewa malaki kuwakusanya wanachama. Usiulize viongozi wa majimbo, wilaya na mikoa. Ally Abdalla Saleh, mwandishi mkongwe na mwanasheria aliyejiunga na siasa, amepata sifa kwa kuteuliwa na Chama cha Wananchi (CUF) kugombea ubunge jimbo la Mji Mkongwe, bila ya kutoa rushwa.
Kikao cha juu cha chama kilipata taarifa alikataa kuhonga wajumbe wa kupiga kura katika jimbo kuamua nani awe mgombea. Mwenyewe alipata kuniambia hatatoa hata senti kutafuta kuteuliwa. Ametoa msimamo huo kwa timu yake iliyoratibu kampeni, na hata kwa wanajimbo. Kweli hakutoa. Kura ilipopigwa alikuwa mtu wa tatu. Lakini Baraza Kuu la Uongozi la Taifa lilipoketi kufanya maamuzi, liliwatema waliomshinda, akateuliwa yeye. Kumbe rushwa inaweza kupigwa vita na chama chenyewe hata kama tume za kudhibiti rushwa zimelala fofofo. Ipo Takukuru na hapa nchini Zanzibar ipo Tume ya Kudhibiti Rushwa na Kuhujumu Uchumi lakini wapi wao wenyewe rushwa pia hiyo Tukururur na Tume ya Kudhibiti Rushwa zote wakisikia jina CCM wanaweka mkia katikati ya miguu wanakuwa masikini vijibwa koko haiwezekani kwa CCM. Ni chama kinachokua kwa rushwa na Edward Lowassa anasema wazi majungu, uongo na fitina ndio mpango mzima. Acha kifilie mbali, chama gani kibaki hai kwa nguvu ya rushwa na uongo....?????
KILA MZANZIBARI ATAULIZWA SIKU YA KIYAMA NA MWENYEZI MUNGU ULIPOSIKIA WAZANZIBARI WENZIO WANADHALILISHWA NA KULAWITIWA NA HAWA JE ULIFANYA NINI TAFUTA JIBU LAKO MAPEMA KWA SIKU HIYO YA KIYAMA SIKU AMBAYO MALI NA WATOTO WAKO WALA CHEO CHAKO HAVITAKUFAA SIKU HIYO.

VIDEO-MBILI ZA ALI KIBA NA MBILI ZA DIAMOND PLATNAMZ WAWAPI HAWA WA HAPA HAPA NYUMBANI

WAWAPI HUYUU..?
WA HAPA HAPA NYUMBANI
SIO NAGERIA WALA AUSTRALIA WA
HAPA HAPA
WAWAPI HUYUU..?
WA HAPA HAPA NYUMBANI
SIO NAGERIA WALA AUSTRALIA WA
HAPA HAPA
WAWAPI HUYUU..?
WA HAPA HAPA NYUMBANI
SIO NAGERIA WALA AUSTRALIA WA
HAPA HAPA
WAWAPI HUYUU..?
WA HAPA HAPA NYUMBANI
SIO NAGERIA WALA AUSTRALIA WA
HAPA HAPA

VIDEO-HUSSEIN MACHOZI ULIKUA WAPI {-?-}

WAWAPI HUYUU
WA HAP HAPA NYUMBANI
SI MAREKANI WALA ULAYA WALA SI SOUTH AFRICA
WA HAPA HAPA

VIDEO-HEMEDY PHD IMEBAKI STORY

WAWAPI HUYUUU WA HAPA HAPA NYUMBANI SIO ULAYA
WALA SOUTH AFRICAN WALA MAREKANI
WA HAPA HAPA
WA WAPI HAWA.....?
WA HAPA HAPA NYUMBANI

HAKUNA FIRAUNI WALA DIKTETA ANAYE KAA MADARAKANI MILELE CCM MLIJUWE HILO WANANCHI MWAKA HUU WATAWATIA ADABU KWA KUWAKANDAMIZA NA KUWATIA UMASIKINI KWA MIAKA 50



NCHINI ZANZIBAR KUMEKUCHA CCM CHAMA CHA MAFISADI,WAUWAJI,WABAGUZI

NCHINI TANGANYIKA KUMEKUCHA CCM CHAMA CHA MAFISADI, WAUWAJI, WABAGUZI.





MMGL2160

MMGL2087

CLJ5hSGWoAACCU3

KILA MZANZIBARI ATAULIZWA SIKU YA KIYAMA NA MWENYEZI MUNGU ULIPOSIKIA WAZANZIBARI WENZIO WANADHALILISHWA NA KULAWITIWA NA HAWA JE ULIFANYA NINI TAFUTA JIBU LAKO MAPEMA KWA SIKU HIYO YA KIYAMA SIKU AMBAYO MALI NA WATOTO WAKO WALA CHEO CHAKO HAVITAKUFAA SIKU HIYO.

Thursday, July 30, 2015

VIDEO-1/3 NANI KAMPA MUHAMMAD saw UTUME (makadara ground mombasa 2011)

PART 1
PART 2
PART 3
KILA MZANZIBARI ATAULIZWA SIKU YA KIYAMA NA MWENYEZI MUNGU ULIPOSIKIA WAZANZIBARI WENZIO WANADHALILISHWA NA KULAWITIWA NA HAWA JE ULIFANYA NINI TAFUTA JIBU LAKO MAPEMA KWA SIKU HIYO YA KIYAMA SIKU AMBAYO MALI NA WATOTO WAKO WALA CHEO CHAKO HAVITAKUFAA SIKU HIYO.

VIDEO-FAIDIKA NA MAWAIDHA YA SHEIKH HILAL KIPOZEO

HILAL KIPOZEO MFALME N NANI..?
HILAL KIPOZEO HAWA NDIO WANAFIQ
HILAL KIPOZEO KIBRI
KILA MZANZIBARI ATAULIZWA SIKU YA KIYAMA NA MWENYEZI MUNGU ULIPOSIKIA WAZANZIBARI WENZIO WANADHALILISHWA NA KULAWITIWA NA HAWA JE ULIFANYA NINI TAFUTA JIBU LAKO MAPEMA KWA SIKU HIYO YA KIYAMA SIKU AMBAYO MALI NA WATOTO WAKO WALA CHEO CHAKO HAVITAKUFAA SIKU HIYO.

JESHI LA POLISI LAFUNDISHWA NINI HAKI ZA BINADAMU KABLA YA UCHAGUZI JE WALE POLISI WAFICHA NYUSO NAO WATAFUNDISHWA NA KUFUATA SHERIA....???


Jaji Mstaafu Thomas Mihayo alipokuwa akitoa Mada katika Semina ya Siku mbili kwa Maafisa wa Jeshi la Polisi iliyoandaliwa na Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu nchini ili kulijengea uwezo Jeshi la Polisi katika kulinda haki za binadamu kipindi cha uchaguzi. Semina hiyo imefanyika  huko Ukumbi wa Hotel ya Grand mjini Zanzibar.


Jeshi la Polisi nchini limeshauriwa kuzisoma kwa kina na kuzielewa vyema Sheria na kanuni za Uchaguzi kabla ya kuzitekeleza. Kufanya hivyo kutalipelekea Jeshi hilo kuepuka lawama na kufanya wajibu wao kikamilifu ili kuufanya Uchaguzi unaokuja uwe katika hali ya uhuru, haki na amani. Wito huo umetolewa na Jaji Mstaafu Thomas Mihayo alipokuwa akitoa Mada katika Warsha ya Siku mbili kwa Maafisa wa Jeshi la Polisi iliyoandaliwa na Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu nchini huko Ukumbi wa Hotel ya Grand mjini Zanzibar. Amesema Jeshi hilo linawajibu wa kuhakikisha Sheria za nchi zinafuatwa lakini jambo la msingi ni kuzielewa Sheria hizo kabla ya kuzitekeleza.


Jaji Mihayo amesema inashangaza kuona kuwa nchi ya Tanganyika na ya Zanaibar inaelekea katika kipindi cha uchaguzi Mkuu wakati Maafisa na Makamanda hawazielewi vyema Sheria na kanuni za Uchaguzi unaokuja.
1964 NCHINI ZANZIBAR HAWA WAHUNI WALIUWA WATU BURE BURE WAKATHANI WAO HAWATA KUFA WAKO WAPI LEO HII 2015 MBONA HATA HATUWASIKI.............???
MAITI ZA WAZANZIBARI WALIO ULIWA 1964 NA HAO WAHUNI PICHA HAPO JUU LEO YAITWA MAPINDUZI MATUKUFU ASTAHAFIRUH ALLAH.
HAWA NAO WANAITWA POLISI LAKINI HEBU WANGALIYE HIVYO WALIVYO VYAA NA WASHA PIGA WATU RISASI NA KUJERUHI BADHI NA KUPORA VITU VYA WATU KAMA KAMER.COMPUTA INA YA LAPTOP,PESA N.K. NA HAWA NDIO ATI NI POLISI WATAKAO SIMAMIA UCHAGUZI HAPA NCHINI ZANZIBAR

Hivyo amewaomba Maafisa Wawaelimishe Makamanda wenzao juu ya Sheria na kanuni za uchaguzi ili wakati utakapofika watende haki na Wajibu wao bila ya upendeleo. “Polisi kazi yenu nikuhakikisha Sheria zinafuatwa lakini zitafutwa vipi wakati wenyewe hamzijui.....?? alihoji Jambo la msingu ni kuzisoma na kuzielewa kwanza ndio mufanye juhudi za kutekelezwa” alisema Mihayo. Amefahamisha kuwa Jeshi hilo linapaswa kufuata Sheria za nchi bila kufuata matakwa ya Watawala na kwamba Watawala hao watabadilika kulingana na uchaguzi lakini Wananchi wataendelea kuwepo.

“Jeshi la Pilisi linawajibika kwa Wananchi na si Viongozi wa Serikali hivyo nakuombeni mzijue Sheria na muwe wakwanza kuzitekeleza” Alishauri Jaji Mihayo. Kwa upande wake Kamishna wa Jeshi la Polisi nchini Zanzibar Hamdan Makame ameshukuru Mtandao wa Watetezi wa haki za Binadamu kwa kuendesha Semina hiyo katika kipindi muafaka cha harakati za uchaguzi mkuu.

Amesema kila mtu ni mlinzi wa haki za binadamu katika kila sehemu anayofanyia kazi nakwamba jambo muhimu ni kuhakikisha Haki zinalindwa hasa ikizingatiwa kuwa suala la haki za binadamu ni lakimataifa. Kwa upande wake Makamu mwenyekiti wa Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu nchini Harusi Mpatani ameliomba Jeshi hilo kuhakikisha linawalinda Wananchi wote ikiwemo Watetezi wa haki za binadamu.


Semina hiyo ya siku mbili iliyoandaliwa na Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu nchini ni mwendelezo wa kulijengea uwezo Jeshi la Polisi katika kulinda haki za binadamu ili kuufanya uchaguzi unaokuja uwe huru,haki na Salama.

KILA MZANZIBARI ATAULIZWA SIKU YA KIYAMA NA MWENYEZI MUNGU ULIPOSIKIA WAZANZIBARI WENZIO WANADHALILISHWA NA KULAWITIWA NA HAWA JE ULIFANYA NINI TAFUTA JIBU LAKO MAPEMA KWA SIKU HIYO YA KIYAMA SIKU AMBAYO MALI NA WATOTO WAKO WALA CHEO CHAKO HAVITAKUFAA SIKU HIYO.

CCM BYE.....BYE... MTANIONA HIVI HIVI WANA HIZAYAA NYIEEE MNALANA NYIEEE IWAPATE PIKE YENU

IMG_8375
KILA MZANZIBARI ATAULIZWA SIKU YA KIYAMA NA MWENYEZI MUNGU ULIPOSIKIA WAZANZIBARI WENZIO WANADHALILISHWA NA KULAWITIWA NA HAWA JE ULIFANYA NINI TAFUTA JIBU LAKO MAPEMA KWA SIKU HIYO YA KIYAMA SIKU AMBAYO MALI NA WATOTO WAKO WALA CHEO CHAKO HAVITAKUFAA SIKU HIYO.

Wednesday, July 29, 2015

VIDEO 2PAC SONGS-THE WORLD IS WAKE IF YOU STILL SLEEP IS YOU THAT STILL SLEEP BUT THE WORLD IS WAKE.

CHANGER HAVE TO COME IF THEY LIKE OR NOT HAVE TO CHANGER
2Pac ft. Malcolm X - Me and You Against The Nation▽ 2014

2Pac - Revolution 2015

2Pac - Send Mo Troops▽2015

2Pac - The Suffering That I Feel (2015)

2Pac - Hold On Be Strong (2015)

2Pac - Whats Going Wrong '2013'

2Pac - Danger Zone (2015)

Notorious B.I.G ft. 2Pac - My Way

VIDEO-BIRDMAN ANGIE MARTINEZ INTERVIEW SPEAKS ON ISSUES WITH LIL WAYNE.

PART ONE
PART TWO

CCM BYE BYE UFISADI,KUWATIA UMASIKINI WANANCHI,KUMRISHA POLISI WAWAPIGE RAI NA MAJESHI KUUWA RAI SIKU ZA CHANGUZI MIMI SIMO NAWACHINE WENYEWE VUNDOO LENU.

IMG-20150728-WA0012
KILA MZANZIBARI ATAULIZWA SIKU YA KIYAMA NA MWENYEZI MUNGU ULIPOSIKIA WAZANZIBARI WENZIO WANADHALILISHWA NA KULAWITIWA NA HAWA JE ULIFANYA NINI TAFUTA JIBU LAKO MAPEMA KWA SIKU HIYO YA KIYAMA SIKU AMBAYO MALI NA WATOTO WAKO WALA CHEO CHAKO HAVITAKUFAA SIKU HIYO.

DR SALIM AHMED SALIM ASEMA OKTOBA 25 WANANCHI WACHANGUWE KIONGOZI MWENYE MASLAHI YA TAIFA SIO ANAGOMBEA NAFASI FULANI KWA MASLAHI YAKE BINAFSI,NA SIO KWA WANANCHI.

SALIM
Waziri Mkuu Mstaafu, Dk Salim Ahmed Salim akizungumza nchini Tanganyika mjini Dar es Salaam jana wakati wa ufunguzi wa Semina ya Urithi na Utamaduni wa nchi ya Tanganyika. Kushoto ni Mkurugenzi wa MUM, Profesa Abdallah Bujra.
Waziri mkuu mstaafu, Dk Salim Ahmed Salim amesema chama chochote cha siasa nchini kina nafasi ya kushika dola endapo kitafuata kanuni na taratibu zilizowekwa na mamlaka husika. Dk Salim alisema hayo jana baada ya kufungua semina iliyoandaliwa na Taasisi ya Utamaduni na Urithi kutoka Chuo Kikuu cha Kiislamu Morogoro (MUM)huko nchini Tanganyika. Alisema demokrasia katika vyama vya siasa imezidi kukua na kwamba kikubwa kinachotakiwa ni kutumia njia bora na siyo kurushiana maneno ambayo hayana msingi.
“Utakuta viongozi wa vyama wenyewe kwa wenyewe wanarushiana maneno, huyu hafai mara siyo raia wa nchi hii, sasa haya mambo kwenye siasa hayatakiwi. “Ni lazima kila kiongozi wa chama cha siasa atambue wajibu wake katika jamii,” alisema Dk Salim. Pia maadili ya viongozi katika Taifa yameporomoka, hivyo aliwaasa wananchi kuchagua viongozi bora kwa masilahi ya Taifa katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25 mwaka huu. “Sasa kiongozi anagombea nafasi fulani kwa masilahi yake binafsi, siyo kwa wananchi na anawaomba wampigie kura,” alisema Dk Salim.
Aliwataka wananchi kuwa watulivu na kuilinda amani katika kipindi hiki cha uchaguzi. Katika semina hiyo ya Urithi na Utamaduni wa nchi ya Tanganyika alisema nchi ina urithi lakini haujapewa kipaumbele. Alisema suala la uchumi na maendeleo ndilo lililopewa kipaumbele. Hata hivyo, alisema jamii haijachelewa na inaweza kuweka mikakati itakayofanya jambo fulani kutambulika zaidi. Mkurugenzi wa taasisi hiyo, Profesa Abdallah Bujra alisema semina hiyo itakuwa ya siku tatu. Alisema Taifa haliwezi kupiga hatua bila suala hilo kutiliwa mkazo.
KILA MZANZIBARI ATAULIZWA SIKU YA KIYAMA NA MWENYEZI MUNGU ULIPOSIKIA WAZANZIBARI WENZIO WANADHALILISHWA NA KULAWITIWA NA HAWA JE ULIFANYA NINI TAFUTA JIBU LAKO MAPEMA KWA SIKU HIYO YA KIYAMA SIKU AMBAYO MALI NA WATOTO WAKO WALA CHEO CHAKO HAVITAKUFAA SIKU HIYO.

VIDEO-JE WANANCHI WA TANGANYIKA WATAWAPIGIA KURA UKAWA WAWALETE MAENDELEO AU WATAWAPA TENA CCM MAFISADI WAWAMALIZE KWA MIAKA MENGINE MITANO...???

KILA MZANZIBARI ATAULIZWA SIKU YA KIYAMA NA MWENYEZI MUNGU ULIPOSIKIA WAZANZIBARI WENZIO WANADHALILISHWA NA KULAWITIWA NA HAWA JE ULIFANYA NINI TAFUTA JIBU LAKO MAPEMA KWA SIKU HIYO YA KIYAMA SIKU AMBAYO MALI NA WATOTO WAKO WALA CHEO CHAKO HAVITAKUFAA SIKU HIYO.

VIDEO-WATANGANYIKA WAAMKA KUTOKA KATIKA USINGIZI MZITO WALIO TIWA NA CCM WAUWAJI,MAFISADI,WAROHO,MADARAKA,WALIO WATIA UMASIKINA UFUKARA MKUBWA WANANCHI NA WAO KUJAZA MATUMBO YAO.

Edward Lowassa akabidhiwa kadi ya chadema

Waziri mkuu mstaafu Mh Lowassa atangaza kuondoka CCM na kujiunga rasmi Chadema.


Mzee Kingunge afichua mchakato wa kupata mgombea urais CCM.

Chadema yaahidi kutangaza mgombea urais wa Ukawa wakati muafaka utakapowadia.

KILA MZANZIBARI ATAULIZWA SIKU YA KIYAMA NA MWENYEZI MUNGU ULIPOSIKIA WAZANZIBARI WENZIO WANADHALILISHWA NA KULAWITIWA NA HAWA JE ULIFANYA NINI TAFUTA JIBU LAKO MAPEMA KWA SIKU HIYO YA KIYAMA SIKU AMBAYO MALI NA WATOTO WAKO WALA CHEO CHAKO HAVITAKUFAA SIKU HIYO.

Monday, July 20, 2015

VIDEO-MSIMU USHAFIKI WA KUJA KUDANGANYWA KWA BAHASHA, JAZI, MIPIRA, UPANDE WA KANGA NA VITENGE, JEMBE NA PANGA NA POROJO JINGI.

MWENYEKITI WA CCM MKOA WA MJINI AKITOA SALAAM WAKATI WA KUMKARIBISHA MAGUFULI NCHINI ZANZIBAR


 WAZIRI wa Mawasiliano, Sayansi na Teknlojia wa Jamhuri ya Muungano wa Tanganyika Pro: Makame Mnyaa Mbarawa akikabidhi zawadi kwa makamu bingwa wa michuano ya kuwania kombe la CCM jimbo la Wawi, nahoza wa timu ya Wawi star Azhar Mbarouk, fainali hiyo iliochezwa uwanja wa Gombani Chake chake Pemba, ambapo Fidel ilichukuwa ubingwa

WAZIRI wa Mawasiliano, Sayansi na Teknlojia wa Jamhuri ya Muungano wa Tanganyika Pro: Makame Mnyaa Mbarawa akikabidhi zawadi ya ushindi bingwa wa michuano ya kuwania kombe la CCM jimbo la Wawi, nahoza wa timu ya Fidel Castro Shurubu Ali, fainali hiyo ilichezwa uwanja wa Gombani Chake 

MKE Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mama Mwanamwema Shein, akitoa Mkono wa Eid kwa Wazee wa Nyumba ya Wazee Sebleni alipofika kuwatembelea jana na kutoa mkono wa Eid.


Haji Omar Kheri na Shein Mshawapa vijana wenu Eid Mubara yao kwa kazi zuri walio wafanyia Mwezi wa Ramadhani.......??   astahafiruh allah


Balozi mdogo wa nchi ya Tanganyika Balozi Seif Ali Iddi akimkamilishia Fedha zake Fundi Omar Makame Juma wa Boti aliyochonga kwa ajili ya Vijana Sita wa Kijiji cha  Fujoni walioamua kuacha matumizi ya Dawa za kulevya.


Waasisi wa mbali mbali wakiwa katika Ukumbi wa Mkutano Mkuu Maalum wa Chama cha Mapinduzi ambao umefanya uchaguzi wa kumchagua Mgombea Urais kwa nafasi ya CCM uliofanyka jana katika ukumbi mpya Makulu nje ya Mji wa Giningi Dodoma

Viongozi wa Wastaafu wa Chama cha Mapinduzi wakiwa katika Mkutano maalum wa Kamati Kuu ya CCM Taifa wakati wa kuteuwa wagombea watano (5) ambao wanagombea nafasi ya Urais wa Tanganyika, kikao hicho kilifanyika leo katika Makamo Makuu ya CCM Mjini Giningi Dodoma

Mke wa Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mama Mwanamwema Shein, akitowa mkono wa Eid kwa watoto wa kijiji cha SOS akiwa na Mgombea Mweza Samiha akijumuika na Mama Shein.



HAPA NDIPO ULIPOFIKISHWA ZANZIBAR MNASWALI MKISUJUDIA UTEPE WA POLISI
KILA MZANZIBARI ATAULIZWA SIKU YA KIYAMA NA MWENYEZI MUNGU ULIPOSIKIA WAZANZIBARI WENZIO WANADHALILISHWA NA KULAWITIWA NA HAWA JE ULIFANYA NINI TAFUTA JIBU LAKO MAPEMA KWA SIKU HIYO YA KIYAMA SIKU AMBAYO MALI NA WATOTO WAKO WALA CHEO CHAKO HAVITAKUFAA SIKU HIYO.

Sunday, July 19, 2015

VIDEO-TAFAUTA YA UCHAGUZI WA MWAKA 1961 NA WA MWAKA 2015 NCHINI ZANZIBAR







KILA MZANZIBARI ATAULIZWA SIKU YA KIYAMA NA MWENYEZI MUNGU ULIPOSIKIA WAZANZIBARI WENZIO WANADHALILISHWA NA KULAWITIWA NA HAWA JE ULIFANYA NINI TAFUTA JIBU LAKO MAPEMA KWA SIKU HIYO YA KIYAMA SIKU AMBAYO MALI NA WATOTO WAKO WALA CHEO CHAKO HAVITAKUFAA SIKU HIYO.

ZEC ZANZIBAR NI KIGARAGOSI, KITUMWA, KITWANA, CHA KUWAHUNDUMIA MASULTANI WEUSI TANGANYIKA

Afbeeldingsresultaat voor zec zanzibar
Nchini Zanzibar Leo ni skukuu ya pili, mambo yanaanza kuchemka. Tulikuwa na mzee wetu Abdi Salim kipindi sasa hatujamsikia. Pengine ni uzee umemzidi au kafa kihoro. Alaaa kulli hali, mamlaka kamili ya Zanzibar yanahitji kuendelea kupiganiwa. Nirudi kwenye lengo la leo ni mchanganyiko wa ukatwaji wa majimbo. Wananchi wengi hawafahamu jee hapa nchini petu Zanzibar kuna majimbo mangapi ya uchaguzi....?? Au Zanzibar itatowa wabunge wangapi uchaguzi wa 2015...??
Hili limetokana na Tume ya Uchaguzi ya nchi yetu ya Zanzibar ZEC kibaraka cha Mkoloni Mweusi Tanganyika kuongeza majimbo 4 kwa upande wa Unguja na kufikisha idadi ya majimbo 54 kwa nchi ya Zanzibar nzima. Haina mushkeli kwa vile ZEC kigaragosi ndio chombo chenye mamlaka ya kuongeza amma kupunguza majimbo ndani ya nchi yetu ya Zanzibar. Kwa upande wa pili wa sakata nikusikia Tume ya Taifa ya Uchaguzi nayo ikiongeza majimbo 26 kwa ajili ya uchaguzi wa mwaka 2015 bila ya kuyajumuisha na haya 4 yaliyoengezwa hapa nchini Zanzibar. Huku kukiwa na fununu kwamba NEC haitambui ongezeko hili la majimbo 4 ya hapa nchini Zanzibar wala sio kwamba tunawaomba wayatambue ila kwa sasa nchi ya Zanzibar haina mamlaka kamili kwa hiyo tunajaribu kufuata utaratibu ili wasije kusema aha oha maha baada ya uchaguzi.
Hapo ndio mchanganyiko wenyewe ulivyo. Bahati mbaya suala hili halijazungumzwa kwa kina na wananchi wakafahmishwa hali ya kuwa linawaathiri hasa watia nia ya kugombea nafasi ya ubunge kwa majimbo yaliyoongezwa. Hapo itakuja suala kwani ni jimbo lipi limeongezwa......?? Jawabu halijulikanwi. Kwani mengi yamebadilishwa majina na mipaka. Tukisema jimbo la Malindi ni jipya ndio limeongezwa, hivyo Mbunge wake hatambulikanwi na NEC itakuwaje...?? Kwa utata huu ndio ninapoona ZEC inakuwa kikarogosi kinachotumikia bwana wake Mkoloni Mweusi Tanganyika ambaye ni NEC. Muda mrefu ZEC ilikuwa na mchakato wa uhakiki wa majimbo, ikiwakusanya wadau na kuwashirikisha wanachi watoe maoni yao. NEC ILIKUWEPO WAPI.....??? Hata ije sasa na ikatae ongezeko hili. Wakati umefika wa kadhia kuzungumzwa kwa kina na tupewe jawabu sasa kabla ya hatujaingia kwenye kampeni.

KILA MZANZIBARI ATAULIZWA SIKU YA KIYAMA NA MWENYEZI MUNGU ULIPOSIKIA WAZANZIBARI WENZIO WANADHALILISHWA NA KULAWITIWA NA HAWA JE ULIFANYA NINI TAFUTA JIBU LAKO MAPEMA KWA SIKU HIYO YA KIYAMA SIKU AMBAYO MALI NA WATOTO WAKO WALA CHEO CHAKO HAVITAKUFAA SIKU HIYO.

Friday, July 17, 2015

JAMANII AHAAAAA WA MOMBASA NA WATANGANYIKA NA WAZANZIBARI

KILA MZANZIBARI ATAULIZWA SIKU YA KIYAMA NA MWENYEZI MUNGU ULIPOSIKIA WAZANZIBARI WENZIO WANADHALILISHWA NA KULAWITIWA NA HAWA JE ULIFANYA NINI TAFUTA JIBU LAKO MAPEMA KWA SIKU HIYO YA KIYAMA SIKU AMBAYO MALI NA WATOTO WAKO WALA CHEO CHAKO HAVITAKUFAA SIKU HIYO.

Thursday, July 16, 2015

VIDEO- EID MUBARAK KWA WAISLAMU WOTE KUTOKA KWA FREE ZANZIBAR PEOPLE FROM MKOLONI MWEUSI TANGANYIKA.

SUBIRA
VIFO VYA ALBINO

TUACHIWEE TUPUMUWEE TUACHIWEE TUPUMUWEEE TUACHIWEEE TUPUMUWEEE

KILA MZANZIBARI ATAULIZWA SIKU YA KIYAMA NA MWENYEZI MUNGU ULIPOSIKIA WAZANZIBARI WENZIO WANADHALILISHWA NA KULAWITIWA NA HAWA JE ULIFANYA NINI TAFUTA JIBU LAKO MAPEMA KWA SIKU HIYO YA KIYAMA SIKU AMBAYO MALI NA WATOTO WAKO WALA CHEO CHAKO HAVITAKUFAA SIKU HIYO.

Wednesday, July 15, 2015

HASARA NA FAIDA IKIWA POMBE MAGUFULI ATAKUWA RAISI WA NCHI YA TANGANYIKA


KAZI KWENU SISI TUKO PALE PALE ZANZIBAR YENYE MAMLAKA KAMILI TUACHIWEE TUPUMUWEEE

1)Moja ya taswira mbaya zinazoweza kujitokeza na kuikumba serikali ya Pombe Magufuli (ikiwa atashinda uchaguzi huko nchini Tanganyika) ni maamuzi ya haraka na yasiyo na tija ya uhakika. Katika utendaji mzuri wa Pombe Magufuli serikalini, madoa makubwa aliyopata ni kwa nyakati kadhaa kusimamia mambo ambayo baadaye yalilalamikiwa sana. Niliwahi kutoa mfano namna ambavyo amewahi kulalamikiwa juu ya maamuzi yake ya kubomoa nyumba za wananchi bila kuwapa muda wa kutosha kuhama. Kibinadamu hayo ni matendo ya ukatili na yanatokana na ufanyaji maamuzi wa haraka katika jambo linalohitaji muda. Sijui kama Pombe Magufuli ataachana na tabia hiyo ya “haraka haraka” ili pia kuifanya serikali yake ijiendeshe kistratejia na kimipango kuliko haraka na nguvu. Ikiwa atasonga mbele na tabia hiyo na serikali yake ikaenda kwa kasi hiyo ya “pupa” kuna uwezekano kuwa kila mambo kumi atakayoyasimamia basi mawili hadi matatu yakawa yanafanywa bila kuwa na tija kwa taifa.
2)Mtihani wa pili ambao unaweza kujenga taswira mbovu ya utawala au serikali itakayoundwa na Pombe Magufuli (ikiwa atachaguliwa kuwa Rais wa nchi ya Tanganyika) ni usimamizi wa masuala ya kiuchumi. Eneo hili naliona kama muhimu sana kwa sababu kama nilivyoeleza hapo juu, Pombe Magufuli amekuwa waziri bora katika serikali inayomaliza muda wake na amekuwa akitumwa na kufanya kila jambo haraka kwa wakati na kwa maamuzi yenye misimamo. Sielewi uwanda wake katika masuala ya kiuchumi na misimamo yake kwenye eneo hilo, hapa sina maana kuwa Rais huyu mtarajiwa wa nchi ya Tanganyika lazima awe mchumi, la hasha! Benjamin Mkapa Muuwaji wa Wazanzibari hakuwa mchumi lakini alikuwa na uwezo mpana wa kusimamia uchumi, Jakaya Kikwete aliye waita Waznaibari walima vitungu ni mchumi lakini amefanya vibaya kwenye eneo hilo kuliko Mkapa Muuwaji wa Wazanzibari. Pombe Magufuli amejionyesha mara zote kama mtendaji kuliko “mfikiriaji na mpanga mambo”. Uchumi wa nchi uliopo kama Tanganyika unahitaji akili ya ziada kuweza kuufufua tena, nchi haina viwanda, inanunua kila kitu kutoka nje. JK anaiacha nchi ya Tanganyika ikiwa hoi sana kwenye eneo hilo. Ikiwa Pombe Magufuli ataingia na mtindo wa kusimamia utendaji zaidi kuliko kufikiri na kubuni vyanzo vipya vya uchumi, serikali yake itabeba taswira ya kushindwa kusimamia uchumi.
3)Taswira nyingine ya tatu ambayo si salama na ambayo inaweza kujitokeza kwenye serikali itakayoundwa na Pombe Magufuli ni serikali ya “One Man Show” (serikali ya mtu mmoja). Watu waliozoea kuwa watendaji wa juu kama Pombe Magufuli huwa na kasumba ya kutaka kila jambo liende kama wanavyotaka kila wakati na wakiona haliendi huingilia haraka na kutaka walifanye wao wenyewe, hili ni jambo la kisaikolojia zaidi. Kilema cha serikali za namna hii huwa ni kumjenga mtu mmoja zaidi kuliko wengine si kwa makusudi, bali kwa sababu watendaji wake wanashindwa kwenda na uwezo wa rais wao. Madhara ya hali hii ni kujenga serikali inayokosa vionjo pale ambapo rais anapokuwa hayupo, kunakuwa na hofu ya dhahiri kuwa ni nani anaweza kusimamia masuala mbalimbali kama awezavyo rais na huyo mtu hayupo. Taswira hii itavunjwa tu iwapo mkuu wa nchi ataamua kuwaachia watendaji wafanye maamuzi magumu wao wenyewe, wajifunze kukosea na kukosolewa.
4)Jambo la nne ambalo linaweza kuwa “taswira dhaifu ya serikali ya Pombe Magufuli” (ikiwa atashinda na kuwa raisi wa nchi ya Tanganyika) ni uwezo wa kusimamia masuala ya haki za binadamu na haki za msingi za raia. Hili linaweza kuunganishwa na ile kanuni yake ya ‘kufanya maamuzi kwa mbio na haraka sana kila mara’. Maamuzi ya haraka na yasiyotoa mwanya wa kutosha wa kuzingatia masuala mengine muhimu ya haki za kiraia huwa hayana tija na huumiza dhana ya usimamizi wa haki hizo na yasipokomeshwa huwaumiza raia. Mmoja wa wajumbe wa mkutano mkuu wa CCM ambaye nimeongea naye na hakumpigia kura Pombe Magufuli katika mkutano mkuu huo amenieleza kuwa hakufanya hivyo kwa sababu nyumba yake ya urithi iliwahi kubomolewa bila kupewa muda wa kutosha kwa sababu ilikuwa karibu na barabara. Dhana ya usimamizi wa sheria lazima iendane na dhana ya kusimamia haki za raia, watu wa namna hii wanaweza kuwa wengi na ni kielelezo cha wazi kwamba Pombe Magufuli atawajibika kurekebisha sana taratibu za ufanyaji maamuzi katika serikali yake ili aweze kulinda haki za raia. Serikali yake inaweza kuepukana na taswira hii mbovu kwa kuchukua muda na kutafakari kwa kina juu ya mustakabali wa wananchi kila jambo fulani linapotokea
5)Taswira ya tano mbaya inayoweza kujitokeza katika uongozi “serikali” ya Magufuli ikiwa atachaguliwa kuwa Rais wa nchi ya Tanganyika ni uwezo wa kukiongoza Chama Cha Mapinduzi cha mafisadi. Mtu yeyote hawezi kuwa na shaka na uwezo wa Pombe Magufuli katika utendaji wake muda wote serikalini, lakini kunaweza kuwa na shaka kubwa katika uwezo wa kukiongoza chama chake cha mafisadi. Mahasimu wake kisiasa tayari wameanza kuwa na hofu na uwezo wa CCM mafisadi miaka ya mbele chini ya Pombe Magufuli, namna ambavyo anaweza kupambana na changamoto za kuongoza chama chenye watu wengi wenye maslahi tofauti tofauti sana haswa ufisadi. Ukweli uliopo ni kwamba muda wote ambao Pombe Magufuli amekuwa serikalini hakuwahi kuwa kiongozi mkubwa wa moja kwa moja ndani ya CCM. Jambo hili linatafsiriwa kama linaweza kumsababishia makosa ya kiutendaji kwa sababu ya “kutaka kujinasibisha kama yuko karibu na wanachama wa CCM mafisadi” kumbe akawa anaingizwa kwenye makosa.
6)Mfano mzuri ni wakati anashukuru wajumbe wa mkutano mkuu wa CCM mafisadi na kabla hajataja jina la mgombea mwenza, mara kadhaa alisikika akisema “CCM kwanza, chama chetu kwanza….” Na kisha baadaye ndiyo anasema Tanganyika  ((“Tanzania kwanza”)). Wafuatiliaji wa mambo wanaweza kuanza kuhoji, gia hii ya Pombe Magufuli ndiyo kutaka kuwaonyesha wanachama kuwa yeye anaifahamu CCM vizuri sana...?? Kwa chama kikongwe kama CCM mafisadi unatarajia kiongozi akitanguliza maslahi, kwanza aseme Tanganyika ((“Tanzania kwanza”)) chama baadaye. Kusimama hadharani na kusema “Chama Kwanza, Chama Chetu kwanza…” inaleta mtazamo kwamba anaweza kujikuta anafanya makosa ya kiutendaji katika serikali yake kwa lengo tu la kutaka “kuwaridhisha wana CCM mafisadi”.  Ni bora Pombe Magufuli akajiamini, akajiona ni mwana CCM mafisadi imara na asijione kama vile “kapewa hisani” kuwa mgombea wa chama hicho. Kujiamini kutamfanya akitazame na kukihukumu chama chake bila woga kila mara na pia aitazame nchi yake kama kipaumbele cha kwanza kabla ya chama, kama Rais wa nchi ya Tanganyika.
7)Pombe Magufuli ni mtu mahiri ndani ya chungu kibovu. Ule ule mkakati wa kuiokoa CCM mafisadi mwaka 2005 kwa “kumleta Jakaya” ndiyo unatumika mwaka 2015 tena sijuwi kama Watanganyika wako macho kwa hili au wamelala bado, kwamba CCM mafisadi inajitahidi na inajaribu kutaka kuendelea kuishi kwa kutumia mgongo wa kukubalika kwa mgombea wake, kwamba Watanganyika wakaipigie kura kwa kumuamini zaidi Pombe Magufuli kuliko kutazama makosa ya kihistoria ya chama hicho tangu miaka 50 iliyopita. Kwa Watanganyika waliokata tamaa na uongozi unaomaliza muda wake, aina ya watu kama Pombe Magufuli wanaweza kuwa kimbilio kubwa sana kwa maana ya upigaji kura, lakini hatujui baada ya kura hizo nini kitatokea, maana Pombe Magufuli anakwenda kuzungukwa na wana CCM mafisadi kama alivyo zungukwa Jakaya Kikwete na CCM mafisadi nini kilikuja kwa masikini hakuna zaidi ya mafisadi kuchota mamillioni kwa mamillioni kisha wakibadilishwa wizari bila ya kushtakiwa bali wanalindwa mafisadi katika CCM mafisadi, pia Pombe Magufuli atazungukwa na watendaji lukuki serikalini ambao kwao “kuiba fedha za umma na kufanya utendaji mbovu ni amri ya kila siku na ndio CCM mafisadi walivyo”. Mambo haya yanaweza kuanza kuwa kikwazo kikubwa kwake hadi pale atakapoamua kuchukua hatua thabiti sana.Mimi binafsi napenda kumtakia kila la kheri kiongozi huyu, katika safari aliyoianza.
8)Taswira ya kwanza ambayo pombe Magufuli anaweza kuirejesha bila wasiwasi ni usimamizi thabiti wa serikali na nidhamu ya utendaji ndani ya serikali. Naamini kuwa serikali ya Pombe Magufuli itakuwa ya kiusimamizi na yeye mwenyewe anaweza kulifanya jambo hilo bila kusita. Katika nyadhifa nyingi alizopitia hadi sasa ameijenga taswira hii kila alikopita na bado inambeba hata ikitokea anachaguliwa kuwa rais wa awamu ya tano wa nchi ya Tanganyika.  Tukumbuke kuwa moja ya mambo ambayo yameanguka kabisa nchini hivi ni utendaji ndani ya serikali. Tunafahamu kuwa wafanyakazi ndani ya serikali ukiachilia mbali matatizo waliyonayo kwa maana ya vipato, hata mambo madogo ambayo wangeweza kuyasimamia ndani ya dakika au saa chache huchukua wiki kadhaa na hata miezi kadhaa. Utaratibu wa utoaji huduma umekwama sana na nadhani kama akiwa na uwezo huo atafanikiwa kutatua changamoto kubwa na ya siku nyingi. Ikiwa utendaji wa serikali unaimarika na huduma zinatolewa kwa wakati, Watanganyika mutaweza kujenga taifa linalokwenda mbele bila kujali chama gani kiko madarakani.
9)Taswira bora ya pili ya serikali ya Pombe Magufuli inaweza kuwa ni misimamo katika masuala ya msingi na kutoyumba sana. Pombe Magufuli muda wote ambao amekuwa kiongozi ameonyesha jambo hilo. Kila mara amekuwa na misimamo hata kama siyo sahihi. Kwa tafsiri nyingine hii huwa ni njia bora ya uongozi wa nchi japo kuwa misimamo ya serikali au kiongozi mkuu wa serikali huwa haipaswi kuwa juu ya haki na matakwa ya wananchi. Moja ya mambo ambayo serikali iliyopita ilikosa, ni pamoja na kukosa misimamo na kuwa na “double standard”. Mfano mdogo tu ni kwenye mchakato wa katiba mpya ambapo Rais anayeondoka alisimamia uanzishwaji bora wa mchakato huo, akaunga mkono katika hatua zote na rasimu zote, lakini akaja kuwageuka wajumbe wa tume hiyo na rasimu yao ya pili alipolihutubia Bunge Maalumu la Katiba. Naamini Pombe Magufuli si mtu wa kugeuka na kuna masuala mengi anaweza kuyasimamia kwa dhati na kila mmoja katika nchi ya Tanganyika akakubali kuwa, naam! Hapa kuna kiongozi anasimamia masuala haya.
10)Taswira ya tatu ya serikali inayoweza kuundwa na Pombe Magufuli ikiwa atachaguliwa kuwa rais ni uwezo wa kusimamia miradi ya maendeleo. Pombe Magufuli ni mtu wa namna hiyo na ametuonyesha katika sekta ya ujenzi na hasa katika eneo la barabara. Moja ya masuala ambayo nayaona kama mafanikio makubwa ya serikali ya Kikwete ni ujenzi wa barabara, ukiniuliza, nitakwambia jambo hili ndilo Kikwete anapaswa kujivunia atakaporudi nyumbani kwake pale ‘Msoga’. Lakini aliyeleta mapinduzi hayo kiusimamizi ni Pombe Magufuli.
11)Mwalimu Nyerere baba wa Taifa hili la Tanganyika aliwahi kusema kuwa “ikitolewa tenda ya ujenzi wa barabara nchini Tanganyika na India halafu nchi zote zikakabidhi tenda hizo kwa watoto wa marais wa nchi, kule India walau barabara ya ‘kudanganyishia’ itajengwa lakini hapa Tanganyika unaweza usione hata kokoto” (tafsiri yangu). Dhana hiyo ina maana kwamba huku kwetu wizi na kujijazia manoti ndivyo vitu vinavyoshamiri kama tulivyo ona kesi za EPA na ESCROW na kwa tafsiri ya Mzee Nyerere “ilipasa Pombe Magufuli awe anaongoza kwa kuchukua noti za barabara na kuzijaza tumboni kwake”,  jambo ambalo limekuwa nadra kutokea na kama liliwahi kuwepo ndiyo tutajua sasa wakati watu wataanza kutoa taarifa zake kwa sababu anataka kwenda Ikulu. Kwa uwezo huu wa kiusimamizi namuona Pombe Magufuli akisimamia miradi ya serikali kwa ustadi mkubwa hata kama siyo “waziri wa miradi” katika serikali atakayoiunda.
12)Taswira ya nne nayoiona katika serikali ya Pombe Magufuli ikitokea anashinda urais wa Tanganyika ni uundaji wa Baraza la Mawaziri na nyadhifa za kiutendaji zilizojaa watu wenye uwezo kuliko marafiki. Serikali za Tanganyika kadhaa zilizopita ikiwamo hii inayoondoka zimekuwa na sifa ya kubeba marafiki kufa au kupona. Siyo siri kwa JK amelalamikiwa mno na mara kadhaa serikali yake ilionekana kama “imejaa washkaji” watu wanaolindana na kuoneana haya kwa heshima za urafiki kuliko kuangalia maslahi ya nchi.
13)Pombe Magufuli anaweza kuwa dawa ya serikali za ushkaji kwani tangu kwenye mchakato wa kupata wagombea ndani ya CCMmafisadi hakuonekana kama “kitisho” na hakuwa na makundi nyuma yake, penyeza yake ya kimya kimya hadi anakuwa mgombea urais wa CCM mafisadi imemsaidia kuanza kujenga marafiki wasio na masharti ya kutaka kubebwa naye. Marais wengi huunda mitandao na mitandao hiyo huwapa fedha mapema na huwasaidia kila jambo, wanapofika madarakani huwa na deni la kuilipa mitandao hiyo, malipo yenyewe ni miradi ya serikali, tenda mbalimbali na vyeo lukuki. Naamini Pombe Magufuli hatakuwa na tatizo hilo na itamsaidia kutengeneza serikali isiyo na “washkaji kibao.”hapa nchini Tanganyika
14)Taswira ya tano inayoweza kujitokeza ni uwezekano wa kurejesha nguvu ya CCM mafisadi ambayo inasambaratika, na naamini hili linaweza kujitokeza sana hasa kwenye kipindi cha kwanza cha uongozi wake. Siamini kama ataweza kurekebisha taswira ya CCM mafisadi kwa miaka mitano mingine (ikiwa atapata vipindi vyote viwili) kwa sababu hatujaona utendaji halisi wa serikali ijayo, ikiwa CCM mafisadi ndiyo itashinda. Wananchi wengi hawaiamini tena CCM mafisadi na jambo hilo linaweza kuipeleka ikaangushwa katika uchaguzi wa mwaka huu, lakini ikitokea CCM mafisadi inavuka kizingiti na inapona kuangushwa halafu Pombe Magufuli anakuwa rais, anaweza kujizatiti na akatumia miaka mitano kufanya mambo makubwa yatakayowafanya wananchi wa Tanganyika warudishe imani kwa chama hicho. Ila akifanya vibaya sana atazidi kuididimiza. Kwa mtazamo wangu wa msisitizo ni kwamba naona akifanikiwa kwenye eneo hili, japokuwa naweka msisitizo wa pili kuwa ni lazima tusubiri kujua ikiwa atashinda kipindi chake cha kwanza kitakuwaje kiuongozi huyu.

KILA MZANZIBARI ATAULIZWA SIKU YA KIYAMA NA MWENYEZI MUNGU ULIPOSIKIA WAZANZIBARI WENZIO WANADHALILISHWA NA KULAWITIWA NA HAWA JE ULIFANYA NINI TAFUTA JIBU LAKO MAPEMA KWA SIKU HIYO YA KIYAMA SIKU AMBAYO MALI NA WATOTO WAKO WALA CHEO CHAKO HAVITAKUFAA SIKU HIYO.

Saturday, July 11, 2015

MAFISADI WA EPA NA ESCROW WAUWANA WA KICHINJANA WENGI WAO WAFA KIHORO GININGI DODOMA

Lowassa+Kukatwa+Photo+Cartoon+Front
KAZI KWENU SISI TUKO PALE PALE ZANZIBAR YENYE MAMLAKA KAMILI

Nchini Tanganyika kuna killa dalili ya kusambaratika kwa chama cha CCM mafisadi wakubwa mwaka huu kuelekea katika uchaguzi mkuu wa october 2015. kumedhihirika ndani ya chama hiki kikongwe kilicho zeka kabisa kihoi bin tabani kuwa kuna mipasuko ya ndani kwa ndani, ambayo inafukuta na kusababisha wanachama pamoja na viongozi wao kutokusikizana na kutafautiana msimamo yao kwa kuwa kila moja anafikiria tumbo lake na wapambe wake watakula vipi.
Bila ya kusahau kule kulewa na madaraka na kusababisha ufisadi wa kupindukia wa kufuja rasilmali za nchi na kusababisha wengi wa viongozi wao kuhusishwa na ufisadi huo na kuanikwa ndani ya bunge hadharani, na hakuna khatuwa yoyote ambayo imechukuliwa kuwarudi wahalifu hao walio ibaa mamillioni kwa mamillioni, kinyume chake ndio hao hao ambao hawana hata haya wala hawajuwi vibaya hii leo wanaupigania uraisi kwa hali na mali na kutumia yale yale mamillioni walio ibaa kutafuta uraisi na kwa njia ile ile ya mirungura na rushwa kwa kukosa haya na wala kuona vibaya, kwa kuamini yakuwa Watanganyika bado watawachaguwa na kuendelea kugawa keki ile ile milele au pia kufikiri kuwa Watanganyika bado wamellala haaaa !!
kwa mtizamo wa haraka haraka kuna killa dalili baada CCM mafisadi kujidai kuwatowa mafisadi na kujidai kubakisha wanao waona wao kuwa sio mafisadi lakini wanachi wanajuwa kuwa CCM nzima ni mafisadi hata hao walio bakia pia ni mafisadi, kuna kila dalili ambayo inaonyesha kuwa yoyote atakaechaguliwa kubeba bendera ya chama cha CCM mafisadi atabwagwa chini chali nyanga nyaga, ndembe, ndembe, mlalo wa chali, kifo cha mendee!!! Hali inavyokwenda na kuendelea hivi sasa si nzuri kwa upande wa watawala na chama chao CCM mafisadi Tanganyika na hata hao walio toka Zanzibar kwenda kubebeleza tonge huko Giningi Dodoma. na kila siku zikiendelea mambo yana zidi kuwaharibikia zaidi na zaidi. haya yanatokana na ulewaji wa madaraka wa chama cha CCM mafisadi kwa kuamini ya kwamba siku zote wataendelea kutawala. na wao tu ndio wenye uwezo na haki ya kuitawala Tanganyika nzima na hata nchini  Zanzibar pia. kinyume na hilo haiwezekani.
Wanasahau kusoma nyakati, yakuwa ule wakati ambao CCM mafisadi ilikuwa ikingara hivi sasa umepitwa na wakati. Watanganyika wameshaichoka CCM mafisadi na huko Zanzibar ndio kabisa hawataki hata kukiona au kukisikia chama cha CCM mafisadi nani ya nchi yao ya Zanzibar, na hili limetokana na chama chenyewe kulewa madaraka hata kufikia kudharau hata sheria zao mama ndani ya chama chao wenyewe ambazo wamezitunga wenyewe na kushindwa kuziheshimu au kuzibadilisha ili tu mambo yao yawaende wanavyotaka wao na ufisadi wao. Imefika sasa wakati wa chama hiki kuondoka madarakani wakitaka wasitake. Hivi sasa chama hiki kimefikia wakati hakina masikizano wenyewe kwa wenyewe, na kila wakiendelea na haya watakaonufaika khasa ni Wananchi kwa mara ya kwanza kabisa katika maisha yao, ambao wamejidhatiti mwaka huu kwa kusahau khitilafu zao na kuungana kwa jina moja la UKAWA na kudhamiria kukingowa chama cha mapinduzi madarakani mwaka huu !! na hali ya chama cha CCM kilivyofikia kwa hivi sasa , kuna killa dalili ya kuangushwa na UKAWA katika uchaguzi wa mwaka huu Tanganyika na Zanzibar pia, haya yako wazi tuwe Wananchi wamechoka na ufisadi na wamechoka na hawa mafisadi wamechoshwa na vitimbi na uwongo wa hawa mafisadi CCM mafisadi bye bye........
KILA MZANZIBARI ATAULIZWA SIKU YA KIYAMA NA MWENYEZI MUNGU ULIPOSIKIA WAZANZIBARI WENZIO WANADHALILISHWA NA KULAWITIWA NA HAWA JE ULIFANYA NINI TAFUTA JIBU LAKO MAPEMA KWA SIKU HIYO YA KIYAMA SIKU AMBAYO MALI NA WATOTO WAKO WALA CHEO CHAKO HAVITAKUFAA SIKU HIYO.

Friday, July 10, 2015

NCHINI ZANZIBAR WANA SIASA WAMEGOMA KUSAINI WAARAKA WA MADILI YA UCHAGUZI

Wadau wa vyama vya siasa wamekataa kusaini maadili ya uchaguzi mpaka kiingizwe kipengele cha jeshi la polisi
Nchini Zanzibar: Wadau wa vyama vya Siasa wamekataa kwa sauti moja kusaini maadili ya vyama vya siasa mbele ya uongozi wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC). Kikao hicho kilichohuduriwa na wajumbe wa vyama vyote vya siasa  kilifanyika jana katika ukumbi wa hoteli ya Grand Palace na kushuhudiwa na Mwenyekiti wa tume hiyo, Jecha Ferauni Jecha, Mkurugenzi Salum Kassim Ali na maafisa wengine wakiwemo Makamishna wa tume hiyo pamoja na maafisa wa Shirika la UNDP.

Maadili hayo yalipangwa kutumika wakati wote wa uchaguzi mkuu ambapo wadau hao walitakiwa kuyazingatia na kuyafuata ili kuweka mazingira mazuri ya uchaguzi ya kufanyika kwa haki na uhuru. Akizungumza kwa niaba ya wenzake Mwakilishi wa Jimbo la Mji Mkongwe Ismail Jussa alisema hawatasaini waraka wa maadili hayo hadi kitakapoingizwa kipengele kitakachoeleza wazi majukumu ya jeshi la polisi na vikosi vya Serikali ya Zanzibar ambavyo vimeonesha ishara mbaya hivi karibuni. Jussa alisema licha ya kuwa vikosi vya SMZ havitakiwi kisheria kusimamia uchaguzi lakini vimeshuhudiwa vikiingilia uandikishaji wazi wazi na kufanya ukiukwaji mkubwa wa haki za binaadamu, kukiuka sheria, kanuni na taratibu za uandikishaji jambo ambalo limezusha malalamiko makubwa kwa wananchi na wadau hao. Alisema bila ya kuwekewa kipengele mahsusi jeshi la polisi na vikosi vya SMZ maadili hayo yatakuwa hayana maana yoyote kwa kuwa hivi karibuni Wazanzibari wameshuhudia vikosi vya SMZ vilivyopita njiani na kuvaa soksi usoni huku vikiwa vimebeba silaha nzito nzito pamoja na silaha za kienyeji kama mapanga, nondo na misumeno ya kukatia miti wakiwatisha wananchi na kuwatishia maisha waandishi wa habari.
“Mwenyekiti mimi na chama changu hatukubaliani na kusaini maadili haya na ninawashawishi wenzangu wakatae hadi hapo kitakapoingizwa kipengele ambacho kitaeleza bayana majukumu ya jeshi la polisi, majukumu ya vikosi vya SMZ kwa sababu hivi juzi tu vimeonesha mfano mbaya sana kwa vikosi hivi kuvaa masoksi usoni kuwavamia na kuwapiga watu kuvamia vituo vya radio na kufanya uhuni mkubwa kwa hivyo kama hawajaingizwa hawa kwenye muongozo huu wa maadili hatuwezi kutia saini kikao kivunjike mkaingize tena kisha tuitane tena kuja kusaini” alisema. Kauli ya Jussa iliungwa mkono na wadau wengine huku wakipiga makofi kuonesha kuunga mono hoja hiyo wajumbe hao wamesema ni kweli kuna kila sababu ya jeshi la polisi na vikosi vya SMZ kuwekewa utaratibu wa maadili kwa kuwa wao ndio waribifu wakubwa tena sana na kila mara wao huharibu uchaguzi namba moja hivyo sio vyema maadili yakawaacha nyuma.
Suleiman Mohammed Abdallah kutoka chama cha NRA ambaye amesema anashangazwa kuona serikali ikikaa kimya licha ya kelele zote zilizopigwa za ukiukwaji mkubwa wa sheria na haki wa kuingilia uandikishaji huku jeshi la polisi likiwakana watu wao na kusema hawawajui wenye kuendesha vitendo hivyo. “Mimi nashangaa ikiwa serikali inaona vitendo vilivyokuwa vikifanyika njiani watu wamebeba silaha za moto, wamebeba mapanga, wamebeba misumeno ya kukatia miti wanatumia magari ya polisi na wengine wamevaa sare sasa hawa kama hawajawekewa utaratibu maalumu au hawajaingizwa kwenye haya maadili watakuja kutuletea maafa baadae” alisema Mohammed. Akitaja kipengele cha kuongeza katika maadili hayo Jussa alisema kifungu cha 15 kwenye wajibu wa serikali na wajibu wa tume ya uchaguzi kuongezwe wajibu wa jeshi la polisi na wajibu wa vikosi vya SMZ mbapo iwe wajibu wa jeshi la polisi ni kuhakikisha wanalinda usalama wa raia na mali zao, wanalinda wapiga kura maafisa wa tume lakini pia kuhakikisha wanalinda Amani na usalama na hawaingiliwi na taasisi nyengine ya ulinzi kwa kuwa wao ndio wenye mamlaka ya ulinzi.
Aidha katika kipengele hicho jeshi la polisi lihakikishe linafuata sheria na katiba na kwenye idara maalumu za SMZ zina sheria na jukumu na sheria iliyoanzishwa idara hizo na zijikubalishe kuwa hazitaingilia kwa hali yoyote katika uchaguzi. Juma Said Sanani kutoka Chama cha ACT Wazalendo, amesema kuwekwa maadili ya uchaguzi ni vizuri kwa kuwa yatakuwa ni muongozo wa kuipelekea nchi kwenye amani na kufanyika uchaguzi huru na wa haki. “Maadili haya tunayokuja kuyaweka basi yawe yanafuatwa ili tuvuke katika uchaguzi kwa salama bila ya hivyo tutakuwa na uchaguzi usio huru wala haki na matokeo yake tutashuhudia machafuko kama nchi nyengine kwa hivyo mimi nashauri maadili haya yatupeleke kwenye ukweli atakayeshinda apewe ushindi wake na alokuwa hajashinda akubaliane na matokeo” alihimiza Sanani. Makamo mwenyekiti wa baraza la vijana Chadema, Zeudi Mavamo Abdillahi alisema matumizi ya nguvu ya vikosi vya SMZ yaliotumika ni makubwa hivyo haiwezekani vikosi kuwekwa nyuma kutokana na kuonesha mfano mbaya hivi karibuni.
“Hatuwezi kusaini bila ya vikosi na wao kuingizwa humu kwa sababu wao wanajulikana namna gani wanavyoingilia chaguzi zetu na kwa kuwa tumeshatafunwa mara moja hatukubali kutafunwa tena juzi tu hapa wamefanya uhuni mkubwa kwa kuingilia watu na kuwapiga ovyo vipi tukubali tu hilo haliwezekani” alisema Zeudi. Mohammed Noor kutoka CUF naye alipendekeza kwenye kifungu cha 13 kuongezwa kifungu chengine kidogo kushughulikia kwa wepesi malalamiko yanayotolewa kwani kumeonekana malalamiko yanapotolewa tume huchukua muda kuyashughulikia. Aidha amesema katika kifungu cha 18 badala ya vyama vya siasa kuahidi kuyakubali matokeo  ya uchaguzi bali kuwepo neno halali “Mimi hapo kwenye neno kuyakubali matokeo kuongezwe neno halali hivyo isomeke vyama vya siasa tunaahidi kutakubali matokeo halali ya uchaguzi kwa mujibu wa fomu za uchaguzi yaliosainiwa kwenye vituo vya upigaji kura” alisema Noor. Peter Magwira wa UDP amesema kuna kila sababu ya kuwekwa maadili ya vyama vya siasa ili yaweze kuwaongoza wakati wote wa uchaguzi na baada ya kutoka matokeo ya uchaguzi ili nchi iwe salama na uchaguzi ufanyike kwa Amani.
“Watu wengine hawapendi kuyaheshimu haya maadili wakati sisi wenyewe ndio tunaoyatengeza lakini mimi nawashauri wanasiasa wenzangu tuyaheshimu haya maadili tunayoyatengeneza” alisisitiza Peter. Naye Mwenyekiti wa Kamati ya Maadili ya vyama vya siasa, Kamishna Nassor Khamis Mohammed kutoka ZEC alikubaliana na wadau hao kwamba maadili hayo yasisainiwe lakini akawaomba wafanye marekebisho ya vifungu ambavyo wanataka kuviongeza ili waende sambamba na dhana ya kufanyika kwa uchaguzi huru na wa haki. Khamis alisema maadili hayo ni yao wao kwa pamoja na sio ZEC peke yao hivyo wana kila sababu ya kuwasikiliza wadau hao hadi hapo watakapowafikiana kwani mwisho wa siku muongozo huo ndio utakaotumika kwa wote wakati wa uchaguzi hivyo sio busara wao kama ZEC kushikilia wanavyotaka wao tu bila ya kuridhiwa na wadau wote. Hata hivyo Chama Cha Mapinduzi hakikuhudhuria katika kikao hicho, akiomba radhi kwa kutoshirikia Mwenyekiti wa maadili hayo alisema kwamba aliwasiliana nao wamesema hawakuhudhuria kutokana na viongozi ambao walipaswa kuwepo kwenye kikao hicho wamekwenda Giningi Dodoma kwenye shughuli za kumtafuta mgombea urais wa nchi ya Tanganyika Masultani Weusi Tanganyika lakini wanakubaliana na mabadiliko na maamuzi yeyote yatakayofanyika katika kikao hicho.

KILA MZANZIBARI ATAULIZWA SIKU YA KIYAMA NA MWENYEZI MUNGU ULIPOSIKIA WAZANZIBARI WENZIO WANADHALILISHWA NA KULAWITIWA NA HAWA JE ULIFANYA NINI TAFUTA JIBU LAKO MAPEMA KWA SIKU HIYO YA KIYAMA SIKU AMBAYO MALI NA WATOTO WAKO WALA CHEO CHAKO HAVITAKUFAA SIKU HIYO.

Thursday, July 9, 2015

KATIKA HAWA CCM MAFISADI NI YUPI MSAFI AMBAE HAJAWAHI KUPOKEA AU KUTOWA AU YEYE MWENYEWE KULA RUSHWA.....?????

pic+vichwa
Vikao vya maamuzi ya CCM mafisadi vimeanza Giningi Dodoma. Huku wanachama na wapenzi wa CCM mafisadi Macho na masikio yao yakiwa yametegeshwa giningi dodoma kusubiri ni nani fisadi mpy atakayeteuliwa kupeperusha bendera ya ofisadi ya chama hicho katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu. Kwa miaka yote ambayo CCM mafisadi imeshirki chaguzi kama hizi huko nyuma, Ni mwaka huu pekee ambapo CCM imekuwa katika wakati mgumu. Ugumu huu unatokana na mambo mengi, Lakini jambo kubwa ni MAKUNDI ya Mafisadi hawa na mgombe wa nafasi ya urais, ambayo kwa kiwango kikubwa kinaitishia uhai wa CCM mafisadi kama vikao hivi havitatumia busara katika hitimisho ya mchato huu. Siyo mara ya kwanza CCM mafisadi kuwa na makundi ya ufisadi wakati kama huu wa uchaguzi, Bali makundi haya yalikuwepo lakini walikuwa wakifanya kampeni zao kwa kufuata kanuni na taratibu za chama bila ya vitisho au kuchafuana. Lakini taratibu makundi haya ya ufisadi yalianza kushinikiza vikao vya maamuzi kuteuwa wagombea mafisadi wanaowataka na hata wakati mwingine kutoa vitisho kwa viongozi na wajumbe wa vikao hivi ili mgombea wao ateuliwe kwa lazima ndio ulaji atiii kila moja ana mawazo akishinda huyu mimi nitakula nae hakuna anae fikiri wananchi ni wao na matumbo yao basiiiiiiiiii.
Kwa mfano kundi la WANAMTANDAO: Kundi hili lilianzishwa mwaka 1995 likiwa na wagombea EDWARD LOWASA na JAKAYA MRISHO KIKWETE. Baada ya lowasa kuenguliwa katika hatua za awali, kundi hili lilihamishia nguvu zake kwa kikwete,ambapo katika hatua za mwisho, Mkapa aliibuka mshindi na hivyo, akateuliwa kupeperusha bandera ya CCM. Kwa kumbukumbu zaidi, Mkapa baada ya kuteuliwa na CCM, Aliwaomba wanaCCM wenzake wavunje makundi ili waingie katika kampeni wakiwa wamoja, Na kuonya kwamba kundi hili la wanamtandao ni hatari kwa uhai wa chama.
WANAMTANDAO WALIKUBALI MDOMONI LAKINI MOYONI HAWAKUVUNJA KUNDI LAO.
Taratibu,kundi la wanamtandao likaanza kujiimarisha kwa uchaguzi mkuu wa mwaka 2005 kwa kuongeza watu katika kundi hili pamoja na kuandaa mpango mkakati utakaowawezesha kushinda uchaguzi wa mwaka huo. Kwa upande wa mikakati, WANAMTANDAO walianza kuwaweka watu wao katika chaguzi za chama ili wapate idadi itakayowezesha mgombea wao kuteuliwa, KIKWETE. Kwa kuanzia,wanamtando waliwaweka watu wao katika uchaguzi wa ndani ya chama wa mwaka 1997 na uchaguzi wa mwaka 2002. Kwa kumbukumbu zaidi, uchaguzi wa nadani ya chama ya mwaka 2002, Kikwete alilalamikia kura za itifaki zilizopigwa katika uchaguzi huo. Katika kuhakikisha kuwa idadi ya wanamtandao unaongezwa,kundi hili liliwaingiza kundini, wafanyabiasha ,wanachama na viongozi wa CCM mafisadi ,watumishi wa umma pamoja na watendaji katika vyombo vya dola. Baadhi ya wanamtandao waliokuwa wanakundi ni: Kikwete, Lowassa, Rostam, Membe, Sitta, Apson Nwang’onda, Kingunge, Sofia Simba, Makala, Karamagi, Chenge, Noni, Diallo, Meghji nk. Kwa wale wenye kumbukumbu watakubaliana na mimi kuwa, Uchaguzi wa mwaka 2005, Ulitawaliwa na rushwa,kuchafuana miongoni mwa wagombea pamoja na uzushi, vitisho, shinikizo za kila aina,maada mgombea wao ateuliwe. Ni uchaguzi huu ambapo Watanganyika na Wazanzibari walishuhudia Dr Salim akizushiwa kuwa alimuua Karume,mara Hizbul mara mwarabu kumbe hawna lolote CCM mafisadi wanangalia matumbo yao ni kiongozi gani akipita mimi na huyu na yule tutakula manono na sio vipi tutawatatulia wananchi matatizo yao.
Sumaye alizushiwa kuwa ameficha fedha nyingi nje ya nchi, Mwandosya akizushiwa kuwa aliiuza TTCL na mtoto wake anasomeshwa na wanunuzi wa TTCL afrika kusini. Haya yote yalifanyika kwa lengo moja tu!: KIKWETE aingie madarakani kwa namna yoyote ile na sio kiongozi yupi anae faa kuja kuwaokuwa wananchi katika hali duni sio kabisa, iwe kwa uzushi, kwa shinikizo,kwa vitisho au kwa fedha haramu za EPA nk na walifanikiwa, Huku wakiacha maumivu makali kwa washindani wao. Ni hapo ambapo kundi hili la wanamtandao walijiaminisha kuwa Kile watakacho amua kukitenda kitafanyika kwa matakwa yao. Ndiyo maana Lowassa alipoongea na wanahabari siku chache kabla ya kutangaza nia, alisema kuwa walikubaliana na Kikwete kuwa kipindi hiki ni kipindi cha Lowassa kuwa rais wa awamu ya tano ((swali tunawauliza hawa mafisadi je wao ni Masultani....? maana wanarithishana kama Masultani. Vivile Mzee Kingunge wakati Lowassa anatangaza nia Arusha alisea”Ni vyema Lowassa wakakaa na Kikwete ili wamalize tofauti zao. Kwa kuwa kundi hili lilijiapisha kufanya wanayoyataka iwe kwa uhalali au haramu na kujiona kuwa ni wamoja, Walisahau jambo moja muhimu sana, DHAMBI YA UBAGUZI. Madhara yatokanayo na dhambi hii imefafanuliwa vizuri katika hotuba ya baba wa taifa wa nchi hii ya Tanganyika mwalimu nyerere ya mwaka 1995 kilimanjaro hotel,ambpo mwalimu alisema”Dhambi ya ubaguzi ni dhambi mbaya sana, Na ukishaitenda huwezi kuiacha na ni sawa na kula nyama ya mtu”….”Huwezi kutenda dhambi hii halafu ukabaki hivihivi salama”.na ukisha kula nyama ya mtu hutaweza kuwa utaendelea tu kuila ndio haya yanayo toke leo CCM mafisadi wanalana wenyewe kwa wenyewe.
Watu wa nchi ile ile mnapoamua kubaguana ukisema sisi ni na wao ni…Na kwamba mkawaacha wenzeni wa wamebung’aa,wao watabaki salama lakini ninyi ….hamtabaki salama”.DHAMBI HII NDIYO INAWATAFUNA WANAMTANDAO MPAKA LEO. Kwa nini nasema hivyo......??.Unapokuwa ukiwachambua watia nia wa CCM mafisadi, Utagundua kwamba,Ni wanamtandao walewale ambao sasa wamemeguka au wamangatuka na kuwa vimtandao, Na kwamba,Ndio wanaokashifiana ,kuzushiana na kuchafuana maadam mtu wao ateuliwe na CCM mafisadi. Hii inaonyesha kuwa wanamtandao waliomzushia na kumchafua salim hawapo pamoja kama walivyokuwa mwaka 2005,Lakini dr salim aliyeathirika kutokana na kampeni hizo..YUPO SALAMA. Wanamtandao walishindwa kuelewa na kuchambua hotuba ya mwalimu nyerere Baba wa taifa hili Tanganyika ya 1995 kilimanjo hotel/ Kama vikao hivyo vitakapokuwa vimeshindwa kusimamia hili,MAKUNDI NDANI YA CCM MAFISADI HAYATAISHA KABISA,BADALA YAKE CCM MAFISADI ITAKUFA KIFO CHA KUJITAKIA. Baadhi ya majjina ya wanamtandao waliotia nia ni: Lowassa, Membe, Sitta, Nyalandu, Wasira, Migiro, Mwigulu, January, Ngeleja, Kamani, Kitine, Mbega, Mahiga, Bilal, Kingwangala, Muhongo, Amina Salum, Ally Karume na kadhalika.
KILA MZANZIBARI ATAULIZWA SIKU YA KIYAMA NA MWENYEZI MUNGU ULIPOSIKIA WAZANZIBARI WENZIO WANADHALILISHWA NA KULAWITIWA NA HAWA JE ULIFANYA NINI TAFUTA JIBU LAKO MAPEMA KWA SIKU HIYO YA KIYAMA SIKU AMBAYO MALI NA WATOTO WAKO WALA CHEO CHAKO HAVITAKUFAA SIKU HIYO.