Saturday, October 31, 2015

NCHINI ZANZIBAR CHAMA CHA WANANCHI CUF KIMESIKITISHWA NA MATUKIO YA UTEGWAJI WA MABOMU


Naibu Katibu Mkuu wa chama cha wananchi CUF nchini Zanzibar Mhe. Nassor Ahmed Mazrui akizungumza na vyombo vya habari kuhusiana na matukio ya miripuko ya mabomu.

Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Timu ya Ushindi ya chama cha wananchi CUF Mhe. Ismail Jussa Ladhu, akimkaribisha Naibu Katibu Mkuu wa Chama hicho Mhe. Nassor Ahmed Mazrui (kulia), kuzingumza na waandishi wa habari katika ofisi za Chama hicho Mtendeni nchini Zanzibar.

Chama Cha Wananchi CUF, kimeelezea kusikitishwa na matukio ya kuwatia hofu wananchi na kuhatarisha amani ya nchi. Akizungumza na waandishi wa habari katika ofisi za Chama hicho Mtendeni nchini Zanzibar, Naibu Katibu Mkuu wa chama cha wananchi CUF hapa nchini Zanzibar Nassor Ahmed Mazrui, ameyataja matukio hayo kuwa ni pamoja na miripuko inayoelezwa kuwa ni mabomu katika maeneo ya Mkunazini na Michenzani. Ameyataja matukio mengine kuwa ni uvamizi uliofanywa katika kisiwa cha Tumbatu ambao ulipelekea nyumba nne kutiwa moto na nyengine kadhaa kuvunjwa, sambamba na kupigwa na kujeruhiwa kwa wananchi 16 wa kisiwa hicho. Akifafanua kuhusu matukio ya miripuko, Mhe. Mazrui ameishauri Serikali kuwatafuta waliotega mabomu hayo kwa kutumia picha za kamera za ulinzi za CCTV ambazo zimesambazwa katika eneo lote la Mji Mkongwe.

Amesema bila ya kuchukuliwa kwa hatua wananchi wataendelea kuamini kuwa matukio hayo yamepangwa makusudi kwa lengo la kuwatia hofu wananchi washindwe kuendelea na shughuli zao za kimaisha.Wakati hayo yakiendelea, Mhe. Mazrui amesema juhudi kubwa zimeanza na zinaendelea vyema kwa kuzishirikisha jumuiya na taasisi za ndani na nje ya nchi, zikiwa na lengo la kukwamua mkwamo wa kisiasa unaoikumba Zanzibar hivi sasa. Nae Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Timu ya Ushindi CUF Mhe. Ismail Jussa Ladhu, amesema wanatiwa moyo na juhudi zinazoendelea, na kuwataka wananchi kuendelea kuwa wavumilivu na kudumisha amani.

KILA MZANZIBARI ATAKAE IPIGIA KURA CCM ILI IBAKI MADARAKANI AJUWE NA YEYE ANACHANGIA KUFUNGWA KWA MASHEIKH NA KUTHALILISHWA KWAO NA KUENDELEZA DHULMA KATIKA NCHI YA ZANZIBAR UKAE UKIJUWA UTAULIZWA SIKU YA KIYAMA NA MWENYEZI MUNGU ULIPOSIKIA WAZANZIBARI WENZIO WANADHALILISHWA,KUDHULUMIWA NA KULAWITIWA NA HAWA JE ULIFANYA NINI TAFUTA JIBU LAKO MAPEMA KWA SIKU HIYO YA KIYAMA SIKU AMBAYO MALI NA WATOTO WAKO WALA CHEO CHAKO HAVITAKUFAA SIKU HIYO.

NCHINI TANGANYIKA-BUTIKU AWAMBIYA WAZANZIBARI MSIKUBALI KUREJEA UCHAGUZI

Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere, Mzee Joseph Butiku
Taasisi ya Mwalimu Nyerere imeitaka Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC) kufanya kazi kwa kuzingatia katiba na sheria za nchi na kuacha kutanguliza mbele maslahi binafsi ya kisiasa. Akizungumza na vyombo vya habari mjini Musoma, Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi hiyo, Mzee Joseph Butiku, amesema amekerwa na tabia ya Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar kusitisha uchaguzi na kushindwa kuwatangazia wananchi kiongozi wao waliomchagua, huku ikishindwa kuheshimu matakwa ya wananchi waliopiga kura katika visiwa vya Zanzibar. Taasisi hiyo imeitaka Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar kufanya kazi kwa uweledi na kuheshimu maamuzi ya wananchi na sio kwa kutanguliza mbele maslahi binafsi ya kisiasa hatua ambayo inaweza kusababisha machafuko na umwagaji wa damu katika visiwa vya Unguja na Pemba. Aidha Mzee Butiku amewataka wananchi wa Zanzibar kutokubali tena kurudia upigaji wa kura hadi hapo yatakapotolewa maelezo ya kuridhisha na wahusika waliosababisha uchaguzi huo kufutwa pia waweze kuchukuliwa hatua kali za kisheria Mzee Butiku amesema kwa sababu hiyo amewataka viongozi kuheshimu sheria na katiba ya nchi na kwamba chama ambacho kinadhani kimeshindwa katika uchaguzi huo kikubali matokeo badala ya kuifanya Zanzibar ni mali ya chama fulani pekee. 
Uchaguzi wa Tanzania umefanyika Octoba 25 mwaka huu ambapo wazanzibari nao wamepiga kura tano ikiwemo ile ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mbunge ziliyosimamiwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi ya Tanzania (NEC) na kura tatu za kumchangua Rais wa Zanzibar, Mjumbe wa Baraza la Wawakilishi na Diwani. Wakati matokeo ya uchaguzi yameanza kutangazwa majimbo 32 na baadhi ya wagombea kukabidhiwa matokeo yao ambayo yalibandikwa vituoni na baadhi ya matokeo hayo kutangazwa kwenye kituo kikuu cha kutangazia matokeo katika Hoteli ya Bwawani ghafla zoezi hilo likasitishwa na kufutwa kabisa  mnapo Octoba 28 ambapo Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) Jecha Salum Jecha alipojitokeza kwenye kituo cha televisheni cha taifa. Jecha alisema kutokana na kasoro nyingi zilizojitokeza katika uchaguzi huo kwa mamlaka aliyopewa anafuta uchaguzi huo na Tume hiyo italazimika kufanya uchaguzi mengine upya, kauli hiyo imepigwa na baadhi ya wanasiasa na wanasheria mbali mbali nchini. Wakizungumza kwa nyakati tofauti wanasheria hao wamesema kwamba Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi hana mamlaka ya kisheria kufuta matokeo ya uchaguzi na hivyo zoezi liendelee pale liliposita na aliyeshinda atangazwe na hatimae kuapishwa kuwa Rais wa Zanzibar.

KILA MZANZIBARI ATAKAE IPIGIA KURA CCM ILI IBAKI MADARAKANI AJUWE NA YEYE ANACHANGIA KUFUNGWA KWA MASHEIKH NA KUTHALILISHWA KWAO NA KUENDELEZA DHULMA KATIKA NCHI YA ZANZIBAR UKAE UKIJUWA UTAULIZWA SIKU YA KIYAMA NA MWENYEZI MUNGU ULIPOSIKIA WAZANZIBARI WENZIO WANADHALILISHWA,KUDHULUMIWA NA KULAWITIWA NA HAWA JE ULIFANYA NINI TAFUTA JIBU LAKO MAPEMA KWA SIKU HIYO YA KIYAMA SIKU AMBAYO MALI NA WATOTO WAKO WALA CHEO CHAKO HAVITAKUFAA SIKU HIYO.

NCHINI ZANZIBAR-ICC THE HAGUE-WANAJESHI WALIO LETWE NA VIFARU VYA KIVITA KUTOKA NCHI YA MKOLONI MWEUSI TANGANYIKA WAKIUWA WAZNZIBARI BASI VIONGOZI HAWA WAWE NDIO WA MWANZO KUFIKISHWA ICC THE HAGUE

mkoani
HII NI MKOWANI PEMBA MAJESHI NA VIFARU VYA KIVITA VYA JESHI LA MKOLONI MWEUSI TANGANYIKA UTAWALA WA KIJESHI KWA LAZIMA MAANA CCM IMESHINDWA KIKURA SASA WANATUMIA MAJESHI NA SILAHA NZITO.
HIVI NI VIFARU NA SILAHA ZA KIJESHI ZILIZO KUJA KUTOKA KWA MKOLONI MWEUSI TANGANYIKA NA KULETWA NCHINI ZANZIBAR KUJA KUKAMILISHA MPANGO WAO WA LAZIMA KUWE NA SEREKALI MOJA NA NCHI YA ZANZIBAR KUGEUZWA KUWA KIJIJI KATIKA VIJIJI VYA NCHI YA TANGANYIKA. KWA SABABU CHAMA CHAO CHA CCM KIMESHINDWA NA HAWA NJIA NYENGI YA KUWEZA KUITAWALA ZANZIBAR KWA KUTUMIA KATIBA WALA SHERIA KWA HIYO SASA MPANGO NDIO HUO MAPINDUZI YA KUITAWALA NCHI YA ZANZIBAR KWA GUVU ZA KIJESHI. DEMOCRASIA AU UDIKTETA HUU....??? MAALIM SEIF SHARIFF HAMAD KASHINDA WACHUGUZI WOTE WANAJUWA ULIMWENGU UNAJUWA HILO ILA CCM NA MKOLONI MWEUSI TANGANYIKA HAWATAKI KWA SABABU MAALIM SEIF HABURUZIKI WALA HANA EWALA MASULTANI WETU WA TANGANYIKA HANA HIZO NDIO MAANA HAWAMTAKI SASA WAMEMWAMBIYA YULE MLEVI ASEME KAFUTA UCHAGUZI KISHA WAMELETA MAJESHI NA SASA KUJIDA KURIPUWA BARUTI SEHEMU TAFAUTI KAMA VILI NCHI IKO KATIKA VITA KUMBE HAKUNA LOLOTE VITA NI WAO TANGANYIKA WAKOLONI WEUSI NDIO WANATAKA KUVIANZISHA HIVYO VITA KWA KUTAKA KUITAWALA NCHI YA ZANZIBAR KIJESHI. 

12190038_10205263573132780_8067397132018384983_n







5160227_orig














WOTE HAWA WAPELEKWE ICC THE HAGUE IKIWA HAO WANAJESHI NA VIFARU VYA MKOLONI MWEUSI TANGANYIKA VITAUWA WAZANZIBARI WASIO NA HATI YOYOTE WALIO PIGA KURA ZAO KWA AMANI NA KUCHAGUWA KIONGOZI WANAE MUAMINI ATAWALETEA MAENDELEO LAKINI HAWA HAWATAKI WANATAKA KUWAULISHA WAZANZIBARI KWA KUTUMIA JESHI LA NCHI YA WAKOLONI WEUSI TANGANYIKA BASI WAKIJARIBU NA WAO NI KUMALIZA MAISHA YAO KATIKA JELA ZA HUKO KATIKA MAHAKA YA ICC THE HAGUE

KILA MZANZIBARI ATAKAE IPIGIA KURA CCM ILI IBAKI MADARAKANI AJUWE NA YEYE ANACHANGIA KUFUNGWA KWA MASHEIKH NA KUTHALILISHWA KWAO NA KUENDELEZA DHULMA KATIKA NCHI YA ZANZIBAR UKAE UKIJUWA UTAULIZWA SIKU YA KIYAMA NA MWENYEZI MUNGU ULIPOSIKIA WAZANZIBARI WENZIO WANADHALILISHWA,KUDHULUMIWA NA KULAWITIWA NA HAWA JE ULIFANYA NINI TAFUTA JIBU LAKO MAPEMA KWA SIKU HIYO YA KIYAMA SIKU AMBAYO MALI NA WATOTO WAKO WALA CHEO CHAKO HAVITAKUFAA SIKU HIYO.

Friday, October 30, 2015

VIDEO-NCHINI TANGANYIKA SEREKALI MBILI KUELEKEA MOJA HIYOOO INAWANYEMELEA WAZANZIBARI

Haya baada ya kuona chama chake kimeshindwa cha CCM na yeye ashakula pesa nyingi sana kuwa atahakikisha CCM ina shinda na haikushinda akaona afanye nini sasa kilicho baki akenda miembeni kwa Borafya akapiga chupa zake za mtindi wa kienyeji ukamkolea barabara, kisha akenda akatangaza kuwa atii uchaguzi umefutwa. Nchi ina Sheria na Katiba ni Sharia ipi au kipengela kipi katika sharia au Katiba ambacho kakitumia katika video hii mukisikiliza mnasikia akikisema hakuna ni domo tu la ulevi wa pombe basi bla bla bla. Kisha Masultani Weusi Tanganyika wakaona alaaa kumbe basi hapa hapa ndio pakuwanyowa na kuwamaliza Wazanzibar hawa. Wamemficha huyu mzee ili asijieleza kisha Wazanzibar mbaki katika utata huku wao huko kwa Wakoloni Weusi Tanganyika wakamtangaza huyo Pombe wao aje na shamrashamra zishanza za kusherehekea atii ushindi wa Pombe awanyweshwa watu Pombe vizuri wapate kulewa, washamtangaza na chati washampa. Ilikuwa asitangazwa mpaka Zanzibar kieleweke na ajulikane mshindi ni nani ndio na wao watapata kura za Zanzibar ili wajumlishe na zao kisha ndio wapate raisi lakini huo sio mpago wao kwa hiyo wao tayari washamtangaza Pombe kuwa ndio mshindi na chati washamkabithi.
Huku Zanzibar ndio kuna Watanganyika na wana wa CCM Wananshangilia Raisi Pombe kwa hiyo sasa inakuwa kama Raisi Pombe ndio Raisi wa Tanganyika na ndio Raisi wa nchi ya Zanzibar pia maana ndio wana CCM na Watanganyika washaingia barabarani hapa Zanzibar kumshangilia na ulimwengu unatizama na kupiga picha pia kuwa  Pombe ndio Raisi wa Zanzibar na Tanganyika siunaona watu wanashangilia na huku kesi ya Raisi wa nchi ya Zanzibar na kura zake watu hata hawashughuliki maana wanaona haaaa wacheni hao sasa kule kwa Masultani Weusi Tanganyika watajidai kuwa bizi kwa harakati za kumuapisha Pombe wao kwa hiyo ya huku Zanzibar wanayawacha kama yalivyo si washaweka majeshi yao kuwa mtu akifurukuta uweni tu hakuna hili wala lile basi ndio hii serekali mbili kuelekea moja ndio hiyo sasa wanaitimiza uchaguzi huu na washajuwa kuwa Shein anamaliza mdaa wake November/ 2 / 2015 kwa hiyo hakuna tena haja ya Wazanzibari kuwa na Raisi sasa Raisi wao atakuwa ndio Pombe yamekwisha Wazanzibar watafanya nini....???

KILA MZANZIBARI ATAKAE IPIGIA KURA CCM ILI IBAKI MADARAKANI AJUWE NA YEYE ANACHANGIA KUFUNGWA KWA MASHEIKH NA KUTHALILISHWA KWAO NA KUENDELEZA DHULMA KATIKA NCHI YA ZANZIBAR UKAE UKIJUWA UTAULIZWA SIKU YA KIYAMA NA MWENYEZI MUNGU ULIPOSIKIA WAZANZIBARI WENZIO WANADHALILISHWA,KUDHULUMIWA NA KULAWITIWA NA HAWA JE ULIFANYA NINI TAFUTA JIBU LAKO MAPEMA KWA SIKU HIYO YA KIYAMA SIKU AMBAYO MALI NA WATOTO WAKO WALA CHEO CHAKO HAVITAKUFAA SIKU HIYO.

VIDEO-NCHINI ZANZIBAR HALI INATISHA MAALIM SEIF SHARIFF HAMAD ATOA ONYO KALI



KILA MZANZIBARI ATAKAE IPIGIA KURA CCM ILI IBAKI MADARAKANI AJUWE NA YEYE ANACHANGIA KUFUNGWA KWA MASHEIKH NA KUTHALILISHWA KWAO NA KUENDELEZA DHULMA KATIKA NCHI YA ZANZIBAR UKAE UKIJUWA UTAULIZWA SIKU YA KIYAMA NA MWENYEZI MUNGU ULIPOSIKIA WAZANZIBARI WENZIO WANADHALILISHWA,KUDHULUMIWA NA KULAWITIWA NA HAWA JE ULIFANYA NINI TAFUTA JIBU LAKO MAPEMA KWA SIKU HIYO YA KIYAMA SIKU AMBAYO MALI NA WATOTO WAKO WALA CHEO CHAKO HAVITAKUFAA SIKU HIYO.

NCHINI ZANZIBAR-TUNATA NCHI YA TANGANYIKA IONDOWE MAJESHI YAKE YOTE KATIKA NCHI YA ZANZIBAR





KILA MZANZIBARI ATAKAE IPIGIA KURA CCM ILI IBAKI MADARAKANI AJUWE NA YEYE ANACHANGIA KUFUNGWA KWA MASHEIKH NA KUTHALILISHWA KWAO NA KUENDELEZA DHULMA KATIKA NCHI YA ZANZIBAR UKAE UKIJUWA UTAULIZWA SIKU YA KIYAMA NA MWENYEZI MUNGU ULIPOSIKIA WAZANZIBARI WENZIO WANADHALILISHWA,KUDHULUMIWA NA KULAWITIWA NA HAWA JE ULIFANYA NINI TAFUTA JIBU LAKO MAPEMA KWA SIKU HIYO YA KIYAMA SIKU AMBAYO MALI NA WATOTO WAKO WALA CHEO CHAKO HAVITAKUFAA SIKU HIYO.

NCHINI RWANDA RAIS KAGAME WA RWANDA ARUSHA MADONGO LA NGUVU




KILA MZANZIBARI ATAKAE IPIGIA KURA CCM ILI IBAKI MADARAKANI AJUWE NA YEYE ANACHANGIA KUFUNGWA KWA MASHEIKH NA KUTHALILISHWA KWAO NA KUENDELEZA DHULMA KATIKA NCHI YA ZANZIBAR UKAE UKIJUWA UTAULIZWA SIKU YA KIYAMA NA MWENYEZI MUNGU ULIPOSIKIA WAZANZIBARI WENZIO WANADHALILISHWA,KUDHULUMIWA NA KULAWITIWA NA HAWA JE ULIFANYA NINI TAFUTA JIBU LAKO MAPEMA KWA SIKU HIYO YA KIYAMA SIKU AMBAYO MALI NA WATOTO WAKO WALA CHEO CHAKO HAVITAKUFAA SIKU HIYO.

NCHINI ZANZIBAR CUF IMEIPA ZEC SIKU TATU KUKAMILISHA MCHAKATO WA UCHAGUZI

Tamko1
Tamko2
Tamko3
KILA MZANZIBARI ATAKAE IPIGIA KURA CCM ILI IBAKI MADARAKANI AJUWE NA YEYE ANACHANGIA KUFUNGWA KWA MASHEIKH NA KUTHALILISHWA KWAO NA KUENDELEZA DHULMA KATIKA NCHI YA ZANZIBAR UKAE UKIJUWA UTAULIZWA SIKU YA KIYAMA NA MWENYEZI MUNGU ULIPOSIKIA WAZANZIBARI WENZIO WANADHALILISHWA,KUDHULUMIWA NA KULAWITIWA NA HAWA JE ULIFANYA NINI TAFUTA JIBU LAKO MAPEMA KWA SIKU HIYO YA KIYAMA SIKU AMBAYO MALI NA WATOTO WAKO WALA CHEO CHAKO HAVITAKUFAA SIKU HIYO.

NCHINI ZANZIBAR-BREAKING NEWS- CCM ZANZIBAR NA MKOLONI MWEUSI TANGANYIKA WAJA NA VICHEKESHO VINGINE ATI KUNA MBONO LIMETENGWA


BREAKING NEWS
BOMU LIMERIPULIWA DAKIKA HII Unguja, DARAJANI MARKITI KWENYE TRANSFORMA " CONTROLLED DETONATION" WITH NO DESTRUCTION.
Hizo ni njama za CCM wa unguja na Mkoloni Mweusi Tanganyika kutaka kuwachezea watu akili wanatafuta sababu waseme nchi haiko ktk amani jeshi la Mkoloni Mweusi Tanganyika lichukue nchi yetu kisha wamtangaze Pombe wao ndio Raisi wa nchi zote,
They are looking for the ways to declare the state of emergency...
hii ni Baruti sio bomu Mzanzibari hadanganyiki nyinyi.
KILA MZANZIBARI ATAKAE IPIGIA KURA CCM ILI IBAKI MADARAKANI AJUWE NA YEYE ANACHANGIA KUFUNGWA KWA MASHEIKH NA KUTHALILISHWA KWAO NA KUENDELEZA DHULMA KATIKA NCHI YA ZANZIBAR UKAE UKIJUWA UTAULIZWA SIKU YA KIYAMA NA MWENYEZI MUNGU ULIPOSIKIA WAZANZIBARI WENZIO WANADHALILISHWA,KUDHULUMIWA NA KULAWITIWA NA HAWA JE ULIFANYA NINI TAFUTA JIBU LAKO MAPEMA KWA SIKU HIYO YA KIYAMA SIKU AMBAYO MALI NA WATOTO WAKO WALA CHEO CHAKO HAVITAKUFAA SIKU HIYO.

NCHINI ZANZIBAR GOODLUCK JONATHAN-LED COMMONWEALTH GROUP, US, EU, AU EXPRESS CONCERN OVER ZANZIBAR POLLS CANCELLATION

jonathan_cuf
Rais Mstaafu wa Nigeria Bw. Goodluck Jonathan, alipotembelea Ofisi za CUF zilizoko Vuga, tarehe 24 Oktoba 2015, kutaka kujua mwenendo wa uchaguzi mkuu wa mwaka huu. Picha: Ismail Jussa
Call for reversal of annulment
The international election observer groups in Tanzania comprising the Commonwealth, European Union, African Union and the Southern African Development Community on Thursday expressed concern over last Wednesday’s cancellation of Zanzibar’s presidential polls, warning that the development could endanger peace and unity in the semi-independent island.
In a statement jointly issued on Thursday in Dar es Salaam, the four international observer groups described the nullification of the elections as unfortunate and therefore urged the leaders of both Tanzania and Zanzibar to quickly resolve the stalemate.
The United States embassy in Tanzania also said it was “gravely alarmed” at the annulment of the Zanzibar presidential polls, after what it described as “an orderly and peaceful election.”
In a statement, US officials called for the action to be withdrawn and urged “all parties to maintain a commitment to a transparent and peaceful democratic process.”
The Zanzibar Electoral Commission Chairman, Jecha Salum Jecha, had last Wednesday suspended an ongoing results declaration and announced a surprise nullification of the Zanzibar elections, citing breach of electoral laws and processes. This happened despite opposition claims of victory, a development likely to exacerbate the growing political crisis in the Island.
The cancellation came as a surprise to all stakeholders especially after both the local and international observers had issued interim statements on 27 October, declaring that the voting processes in both Zanzibar and across Tanzania were credible and transparent.
In yesterday’s joint statement, the observers reiterated their belief in the transparency of the cancelled elections, stressing that they “had commended the National Electoral Commission and the Zanzibar Electoral Commission for the competent and largely efficient manner in which they managed the electoral process on election day.
It further said: “Our overall assessment of the voting and counting process at the polling stations, based on all our observations, was that it was conducted in a generally peaceful and organised manner according to the procedures outlined in the laws of the United Republic of Tanzania and the laws of Zanzibar. We stand by this assessment.
“We were conscious that the tabulation of results process was yet to conclude. We expressed the hope that all stakeholders, particularly the political leadership in Zanzibar, would await the conclusion of that process in the spirit of national unity, reconciliation, peace and stability.
“We now respectfully request the Zanzibar Electoral Commission (ZEC) to specify in which polling stations there were irregularities. We appeal to the ZEC to act with full transparency in its decision to nullify the elections. We urge the political leadership of Zanzibar to cast aside their differences, put the interest of the United Republic of Tanzania and Zanzibar first, and come together to find a speedy resolution to the issues that have led to this unfortunate development.
“Democracy, peace and unity in Zanzibar are at stake. The 2010 elections in Zanzibar ushered in a government of national unity which gave the people of Zanzibar hope for sustainable peace and democracy.
“We urgently call on the leadership of Zanzibar, the United Republic of Tanzania, the ZEC, NEC and all stakeholders to live up to the expectations of the people.”
Source: This day live
KILA MZANZIBARI ATAKAE IPIGIA KURA CCM ILI IBAKI MADARAKANI AJUWE NA YEYE ANACHANGIA KUFUNGWA KWA MASHEIKH NA KUTHALILISHWA KWAO NA KUENDELEZA DHULMA KATIKA NCHI YA ZANZIBAR UKAE UKIJUWA UTAULIZWA SIKU YA KIYAMA NA MWENYEZI MUNGU ULIPOSIKIA WAZANZIBARI WENZIO WANADHALILISHWA,KUDHULUMIWA NA KULAWITIWA NA HAWA JE ULIFANYA NINI TAFUTA JIBU LAKO MAPEMA KWA SIKU HIYO YA KIYAMA SIKU AMBAYO MALI NA WATOTO WAKO WALA CHEO CHAKO HAVITAKUFAA SIKU HIYO.

VIDEO-NCHINI ZANZIBAR HUU NI MPAGO MZIMA WA SEREKALI MBILI KUELEKEA MOJA NDIO WAKTI HUU UMEFIKA JECHA FIRAUNI JECHA ALIPOTANGAZA KUWA ATI UCHANGUZI KAUFUTA


Haya baada ya kuona chama chake kimeshindwa cha CCM na yeye ashakula pesa nyingi sana kuwa atahakikisha CCM ina shinda na haikushinda akaona afanye nini sasa kilicho baki akenda miembeni kwa Borafya akapiga chupa zake za mtindi wa kienyeji ukamkolea barabara, kisha akenda akatangaza kuwa atii uchaguzi umefutwa. Nchi ina Sheria na Katiba ni Sharia ipi au kipengeli kipi katika sharia au Katiba ambacho kakitumia katika video hii mukisikiliza mnasikia akikisema hakuna ni domo tu la ulevi wa pombe basi bla bla bla. Kisha Masultani Weusi Tanganyika wakaona alaaa kumbe basi hapa hapa ndio pakuwanyowa na kuwamaliza Wazanzibar hawa. Wamemficha huyu mzee ili asijieleza kisha Wazanzibar mbaki katika utata huku wao huko kwa Wakoloni Weusi Tanganyika wakamtangaza huyo Pombe wao aje awanyweshwa watu pombe vizuri wapate kulewa, wakamtangaza na ilikuwa asitangazwa mpaka Zanzibar kieleweke na ajulikane mshindi ni nani ndio na wao watapata kura za Zanzibar ili wajumlishe na zao kisha ndio wapate raisi lakini huo sio mpago wao kwa hiyo wao tayari washamtangaza Pombe kuwa ndio mshindi.

Huku Zanzibar ndio kuna Watanganyika na wana wa CCM Wananshangilia raisi Pombe kwa hiyo sasa inakuwa kama raisi Pombe ndio Raisi wa Tanganyika na ndio Raisi wa Zanzibar maana ndio wana CCM na Watanganyika washaingia barabarani hapa Zanzibar kumshangilia na ulimwengu unatizama na kupiga picha pia kuwa  Pombe ndio Raisi wa Zanzibar na Tanganyika siunaona watu wanashangilia na huku kesi ya raisi wa Zanzibar na kura zake watu hata hawashughuliki maana wanaona haaaa wacheni hao sasa kule kwa Masultani Weusi Tanganyika watajidai kuwa bizi kwa harakati za kumuapisha Pombe wao kwa hiyo ya huku Zanzibar wanayawacha kama yalivyo si washaweka majeshi yao kuwa mtu akifurukuta uweni tu hakuna hili wala lile basi ndio hii serekali mbili kuelekea moja ndio hiyo sasa wanaitimiza uchaguzi huu na washajuwa kuwa Shein anamaliza mdaa wake November/ 2 / 2015 kwa hiyo hakuna tena haja ya Wazanzibari kuwa na Raisi sasa Raisi wao atakuwa ndio Pombe yamekwisha Wazanzibar watafanya nini....???

KILA MZANZIBARI ATAKAE IPIGIA KURA CCM ILI IBAKI MADARAKANI AJUWE NA YEYE ANACHANGIA KUFUNGWA KWA MASHEIKH NA KUTHALILISHWA KWAO NA KUENDELEZA DHULMA KATIKA NCHI YA ZANZIBAR UKAE UKIJUWA UTAULIZWA SIKU YA KIYAMA NA MWENYEZI MUNGU ULIPOSIKIA WAZANZIBARI WENZIO WANADHALILISHWA,KUDHULUMIWA NA KULAWITIWA NA HAWA JE ULIFANYA NINI TAFUTA JIBU LAKO MAPEMA KWA SIKU HIYO YA KIYAMA SIKU AMBAYO MALI NA WATOTO WAKO WALA CHEO CHAKO HAVITAKUFAA SIKU HIYO.

Thursday, October 29, 2015

NCHINI ZANZIBAR HAKUNA DEMOKRASI KUNA UTAWALA WA MKONO WA CHUMA WA MKOLONI MWEUSI TANGANYIKA

HAWA WAKISHANGILIA SI VIBAYA NA HULINDWA ILI WASHANGILIE VIZURI




HAWA WAKISHANGILIA HUZUIWA NA KUAMBIWA WATAWANYIKE WAKIKATA HUPINGWA NA MARUNGU,MINYORORO,MIKWAJU,RISASI NA HATA MABOMU YA MACHUZI.




KILA MZANZIBARI ATAKAE IPIGIA KURA CCM ILI IBAKI MADARAKANI AJUWE NA YEYE ANACHANGIA KUFUNGWA KWA MASHEIKH NA KUTHALILISHWA KWAO NA KUENDELEZA DHULMA KATIKA NCHI YA ZANZIBAR UKAE UKIJUWA UTAULIZWA SIKU YA KIYAMA NA MWENYEZI MUNGU ULIPOSIKIA WAZANZIBARI WENZIO WANADHALILISHWA,KUDHULUMIWA NA KULAWITIWA NA HAWA JE ULIFANYA NINI TAFUTA JIBU LAKO MAPEMA KWA SIKU HIYO YA KIYAMA SIKU AMBAYO MALI NA WATOTO WAKO WALA CHEO CHAKO HAVITAKUFAA SIKU HIYO.