Saturday, November 28, 2015

WITO WA MAHAKAMA YA RUFAA YA....NCHINI TANGANYIKA ((TANZANIA)) NCHINI ZANZIBAR M.MUNGU NDIA MJUZI,SIRI,DHAHIRI NA KILA KITU KATIKA DUNIA NA AKHERA PIA

TUZIDISHE DUWA WAZANZIBARI KIZA KILA KIKITANDA ZAIDI BASI NDIO INAKARIBIA KUCHAA NA KUWA ASUBUHI.

KILA MZANZIBARI ALIYE IPIGIA KURA CCM AU MPAKA WAKATI HUU BADO ANAISAPOTI CCM ILI IBAKI MADARAKANI JAPO KUWA CCM IMESHINDWA UCHAGUZI AJUWE NA YEYE ANACHANGIA KUENDELEZA DHULMA NA KUFUNGWA KWA MASHEIKH NA KUTHALILISHWA KWAO NA KUENDELEZA DHULMA KATIKA NCHI YA ZANZIBAR UKAE UKIJUWA UTAULIZWA SIKU YA KIYAMA NA MWENYEZI MUNGU ULIPOSIKIA WAZANZIBARI WENZIO WANADHALILISHWA,KUDHULUMIWA NA KULAWITIWA NA HAWA JE ULIFANYA NINI TAFUTA JIBU LAKO MAPEMA KWA SIKU HIYO YA KIYAMA SIKU AMBAYO MALI NA WATOTO WAKO WALA CHEO CHAKO HAVITAKUFAA SIKU HIYO.

Friday, November 27, 2015

WAZIRI MKUU MAJALI KASSIM MAJALIWA AMURU KUKAMATWA KWA BAADHI YA MAAFISA WA MAMLAKA YA MAPATO TRA NCHINI TANGANYIKA


Waziri Mkuu Mhe Majaliwa Kassim Majaliwa  akisisitiza jambo wakati wa mkutano wake na uongozi wa TRA na TPA alipofanya ziara ya kustukiza Bandarini leo asubuhi.

Waziri Mkuu Mhe Majaliwa Kassim Majaliwa leo ameamuru kukamatwa kwa maafisa kadhaa  wa Mamlaka ya Mapato (TRA) na wengine kufukuzwa kazi  baada ya kufanya ziara ya kushtukiza Bandarini na kukuta madudu ambayo hakuyafurahia.
Maafisa hao, ambao kwa sasa tunahifadhi majina ili Jeshi la Polisi liweze kuwashughulikia, wametakiwa pia kusalimisha hati zao za usafiri.
Hii imekuja baada ya kugundulika kwamba kuna makontena 349 yenye thamani ya zaidi ya bilioni 80 ambayo data za Mamlaka ya Bandari inazo lakini katika mtandao wa TRA hayaonekani.

KILA MZANZIBARI ALIYE IPIGIA KURA CCM AU MPAKA WAKATI HUU BADO ANAISAPOTI CCM ILI IBAKI MADARAKANI JAPO KUWA CCM IMESHINDWA UCHAGUZI AJUWE NA YEYE ANACHANGIA KUENDELEZA DHULMA NA KUFUNGWA KWA MASHEIKH NA KUTHALILISHWA KWAO NA KUENDELEZA DHULMA KATIKA NCHI YA ZANZIBAR UKAE UKIJUWA UTAULIZWA SIKU YA KIYAMA NA MWENYEZI MUNGU ULIPOSIKIA WAZANZIBARI WENZIO WANADHALILISHWA,KUDHULUMIWA NA KULAWITIWA NA HAWA JE ULIFANYA NINI TAFUTA JIBU LAKO MAPEMA KWA SIKU HIYO YA KIYAMA SIKU AMBAYO MALI NA WATOTO WAKO WALA CHEO CHAKO HAVITAKUFAA SIKU HIYO.

Thursday, November 26, 2015

VIDEO-BALOZI SEIF IDDI NA TAMAA YAKE UCHAGUZI KURUDIWA


DADA MSOMESHE HUYU NAYEE
KAKA HEBU MSOMESHE HUYU

KILA MZANZIBARI ALIYE IPIGIA KURA CCM AU MPAKA WAKATI HUU BADO ANAISAPOTI CCM ILI IBAKI MADARAKANI JAPO KUWA CCM IMESHINDWA UCHAGUZI AJUWE NA YEYE ANACHANGIA KUENDELEZA DHULMA NA KUFUNGWA KWA MASHEIKH NA KUTHALILISHWA KWAO NA KUENDELEZA DHULMA KATIKA NCHI YA ZANZIBAR UKAE UKIJUWA UTAULIZWA SIKU YA KIYAMA NA MWENYEZI MUNGU ULIPOSIKIA WAZANZIBARI WENZIO WANADHALILISHWA,KUDHULUMIWA NA KULAWITIWA NA HAWA JE ULIFANYA NINI TAFUTA JIBU LAKO MAPEMA KWA SIKU HIYO YA KIYAMA SIKU AMBAYO MALI NA WATOTO WAKO WALA CHEO CHAKO HAVITAKUFAA SIKU HIYO.

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI BALOZI MKAZI AENDELEA NA UWONGO WAKE ILI KUJINUSURA NA TUHUMA ZA KUKIUWA CHAMA CHA CCM NCHINI ZANZIBAR




TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Tumepokea taarifa kwamba Balozi Seif Ali Iddi amehojiwa na Idhaa ya Kiswahili ya Radio France International (RFI) na kusema kwamba eti viongozi wa CCM na CUF WAMEKUBALIANA UCHAGUZI ZANZIBAR URUDIWE, na kinachojadiliwa hivi sasa ni NANI ASIMAMIE UCHAGUZI WA MAREJEO kwa sababu ZEC ya JECHA INAONEKANA KUTOAMINIKA.
Tunapenda kuwawekea wazi Wazanzibari wote kwamba taarifa hizo hazina ukweli wowote, ni za uzushi na wazipuuze.
Msimamo wa CUF na Maalim Seif Sharif Hamad uko pale pale kwamba HAKUNA KURUDIWA UCHAGUZI na kwamba MSHINDI HALALI WA UCHAGUZI WA TAREHE 25 OKTOBA, 2015 ATANGAZWE NA KUAPISHWA.
Kauli za Balozi Seif Ali Iddi ni za kutapatapa zianzolenga kuwatuliza wana-CCM ambao wanaonekana kukata tamaa baada ya kushindwa vibaya na CUF kwenye uchaguzi mkuu wa Rais wa Zanzibar, Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi, Wabunge na Madiwani uliofanyika tarehe 25 Oktoba, 2015.
Kwenye uchaguzi mkuu wa Urais wa Zanzibar, mgombea wa CUF, Maalim Seif Sharif Hamad, alimbwaga vibaya mgombea wa CCM, Dk. Ali Mohamed Shein, kwa zaidi ya kura 25,000.
Balozi Seif Ali Iddi mwenyewe akiwa Mwenyekiti wa Kamati ya Kampeni ya CCM anatuhumiwa na wana-CCM kushindwa kazi na kukisababishia chama chao kushindwa vibaya kuliko wakati wowote katika historia ya chaguzi za Zanzibar.
Lakini kama hilo halitoshi, wana-CCM wanamtuhumu Balozi Seif na wajumbe wengine wa Kamati ya Kampeni aliyokuwa akiiongoza kusimamia matumizi mabaya ya kiasi kikubwa cha fedha za kampeni za Chama hicho ambazo sehemu kubwa walimdanganya mgombea wao, Dk. Ali Mohamed Shein, kwamba zimetumika kuleta ushindi wa CCM kisiwani Pemba lakini kumbe ziliishia katika mifuko ya watu binafsi.
Haistaajabishi kwamba sasa Balozi Seif Ali Iddi ameamua kuja na njia ya kutoa taarifa za udanganyifu ili kujinusuru na mzigo wa tuhuma za kushindwa kazi na kusimamia matumizi mabaya ya fedha za kampeni kutoka kwa CCM wenzake.
CUF tunamtaka Balozi Seif Ali Iddi awache kudanganya umma na badala yake awajibu CCM wenzake kwa nini amekitia chama hicho aibu na fedheha kubwa ya kupata kipigo kibaya katika uchaguzi kilichopelekea CCM kupoteza majimbo tisa (9) kisiwani Unguja na Dk. Ali Mohamed Shein kushindwa uchaguzi wa Urais wa Zanzibar kwa zaidi ya kura 25,000 huku wakidai kutumia mamilioni ya fedha ambazo hawana maelezo zimetumika vipi.
CUF tunawataka Wazanzibari kutobabaishwa na kauli za kushindwa kazi za Balozi Seif Ali Iddi na watulie wakijua kuwa ufumbuzi wa haki wa uchaguzi mkuu utapatikana kwa kutangaza matokeo ya kura kwa majimbo yaliyobakia na hatimaye mshindi kutangazwa na kuapishwa.
HAKI SAWA KWA WOTE
ISMAIL JUSSA
MKURUGENZI WA MAWASILIANO - CUF
26 NOVEMBA, 2015

KILA MZANZIBARI ALIYE IPIGIA KURA CCM AU MPAKA WAKATI HUU BADO ANAISAPOTI CCM ILI IBAKI MADARAKANI JAPO KUWA CCM IMESHINDWA UCHAGUZI AJUWE NA YEYE ANACHANGIA KUENDELEZA DHULMA NA KUFUNGWA KWA MASHEIKH NA KUTHALILISHWA KWAO NA KUENDELEZA DHULMA KATIKA NCHI YA ZANZIBAR UKAE UKIJUWA UTAULIZWA SIKU YA KIYAMA NA MWENYEZI MUNGU ULIPOSIKIA WAZANZIBARI WENZIO WANADHALILISHWA,KUDHULUMIWA NA KULAWITIWA NA HAWA JE ULIFANYA NINI TAFUTA JIBU LAKO MAPEMA KWA SIKU HIYO YA KIYAMA SIKU AMBAYO MALI NA WATOTO WAKO WALA CHEO CHAKO HAVITAKUFAA SIKU HIYO.

UBAO WA SAUTI YA KISONGE

KILA MZANZIBARI ALIYE IPIGIA KURA CCM AU MPAKA WAKATI HUU BADO ANAISAPOTI CCM ILI IBAKI MADARAKANI JAPO KUWA CCM IMESHINDWA UCHAGUZI AJUWE NA YEYE ANACHANGIA KUENDELEZA DHULMA NA KUFUNGWA KWA MASHEIKH NA KUTHALILISHWA KWAO NA KUENDELEZA DHULMA KATIKA NCHI YA ZANZIBAR UKAE UKIJUWA UTAULIZWA SIKU YA KIYAMA NA MWENYEZI MUNGU ULIPOSIKIA WAZANZIBARI WENZIO WANADHALILISHWA,KUDHULUMIWA NA KULAWITIWA NA HAWA JE ULIFANYA NINI TAFUTA JIBU LAKO MAPEMA KWA SIKU HIYO YA KIYAMA SIKU AMBAYO MALI NA WATOTO WAKO WALA CHEO CHAKO HAVITAKUFAA SIKU HIYO.

MAKUBWA HAYA....WASOMALI WA CCM KISONGE KUMBE NDIO HAWA AKAAA

WASOMALI WA CCM NA KISONGE HAWA HAPAWAJUE WASOMALI By Benn Haidar
Tokea Uchaguzi Umalizike bila Ya Mshindi aliechaguliwa Kupata Uraisi Kuapishwa. Kumekuwa na Mizengwe Mingi na Bugudha za Hapa na Pale Zinazofanywa na Watwana, Wahadimu ambao Hulipwa kuandika Mabango yao Pale KISONGE... Na Kuwatukana Wapemba au Wanguja, Wazanzibari Wowote Wale wanaotafuta haki Zao za Kidemocrasia.Hivi Majuzi Nduguzetu Wanaoisho UK walifanya Maandamano Makubwa na Ya Aina yake Kupeleka Ujumbe Kwa Waziri Mkuu wa Uiengereza Ili Aishindikize Serikali ya Tanganyika/ ((Tanzania)) juu ya Kadhia ya Kutangazwa Mshindi wa uraisi. Kwasababu hakuna asiejuwa kwamba Njama zile zilifanywa na CCM Zanzibar lakini Wakapewa Support ya Kijeshi Kutoka nchi ya Tanganyika Chini Ya Jakaya Mrisho Kikwete.
Kama Tunavojuwa UK au London Kuna Watanganyika Wengi na Wazanzibari Wengi ambao Ni Watoto Wa Wakubwa; lakini Wamekuja Kujiripua Hapa UK na wamejiripua kama wao ni WASOMALI. chakusikitisha au kufurahisha Watoto hao sio wa masikini hahehohe mbali ni watoto wa Vigoo wa CCM na wakereketwa na (Mahafidhuna wa SMZ na wengine ni Watoto wa Mawaziri wa nchi ya Tanganyika). Tunawajuwa mpaka wanapokaa, lakushangaza Watoto Hawa wa Wakubwa ambao wamekuja Kutafuta Maisha Bora atii kama wale Wanyonge Wa Kizanzibari Waliovunjiwa Majumba Yao na Kupigwa na Polisi Huku Baba Za Watoto Hawa Wakifurahia kwa sababu wao ndio wenye madaraka na ndio wanao ongoza nchi. Sasa Wamekuwa na Maisha ambayo hayana tofauti na Yule Mpumbavu mtoto wa mlala hoi au kama wanvyo tuita siku hizi Malofaa aliekuja UK kwakuvunjiwa Nyumba na Kufukuzwa Zanzibar kama Kuku. Kwa hivyo Tunawaletea taarifa hizi Watu Wa CCM Kisonge kama hawajuwi nani ni WASOMALI Hawa hapa tunawatajia:
1.Unguja mjini wapo wasomali (wa donge) watoto wa Shamhuna wapo hapa UK- ambao ndio Wamejiripua KIsomali. Choyo na Chuki Walizorithi kutoka DONGE Bado Wanazibeba na kuzileta mpaka Hapa UK. Inachekesha Kuona Watoto Hawa waliokuwa Wakijiona kama Princess leo Wanapokea Voucher ya £ pound 40 kwa Wiki na Wanaishi Nyumba kama walizoishi Wale Watu waliofukuzwa Zanzibar.. Zaidi Watu Waliofukuzwa na Kunyanyaswa Zanzibar Wana Maisha Bora zaidi na Elimu Kuliko Hawa Watoto wa SHAMUHUNA majina yao kapuni au tumeyahifadhi.
2. Wapo wasomali (wa wawi) watoto wa kidonge cha lami marehemu Omar Ali Juma. mmoja wa kike na mmoja wa Kiume- ambao ni mama huruma na mwengine ni mishoga majina kapuni au tumeyahifadhi. Hawa walisota hata Hiyo Sheria ya Kisomali Hawakuipata Sijuwi kama Hawajajiripua KI-SUDAN kwasababu Sura Zao hazina Tofauti na Balozi Mkaazi Sefu Iddi.
3.Wapo wasomali (wa makunduchi) watoto wa KIFICHO tena sio mmoja tu alimuradi Pesa yote ya Dhulma anayoipata Kwenye Baraza la Uwakilishi amefanyia Safari Wanawe kuja UK. Aliwaona Watoto wa Walalahoi na Wapumbavu na Malofaa kama wanavo tuita Wanafaidika na KIFICHO akaona Alete Mji Wa Makundichi hapa UK. Lakusikitisha Watoto wa KIFICHO kuna Wengine MISENGE majina kapuni au tumeyahifadhi ILIKUJA UK na eti Wakaidanganya Serikali ya UK kwamba walikimbia SOMALI ( Sio Zanzibar) Kwakuogopa KUULIWA Zanzibar... Suali Watauliwaje Zanzibar Wakati SERIKALI ya SMZ ni Ya Baba yao KIFICHO na Kundi lake la KIhadimu.....??
4. Wapo wasomali watoto wa yule Mvunja Nyumba za ndugu zetu masikini wa KIPEMBA wakati wa Serikali ya Komandoo wa udongo- Abdalla Rashid. Wasomali Hawa Wao Wamefurutu Adda maana ni MALAYA hata nguo hawavai basi mtihani tu. Sisi tunaona ni Radhi za Wapemba Wasiokuwa na Hatia Zimewarudi Watoto Hawa Wa Abdallah Rashid.
5. Wapo Watoto Wa Kisomali Ambao ni watoto Wa MASAUNI YUSUF aliekuwa Mwenyekiti Au Msaadizi wa TUME 1995- Akaichukua Haki ya Wazanzibari Akampa Salimini Amour. Jaza Yake badala yakuwatumikia Wazanzibari Wote Aliwagawa Wapemba na Kuwavunjia Majumba yao, Kuwafukuza Kazi na Kuwahamisha hamisha.. Mpaka leo Hatumsahau .. Lakini Allah ndie Mlipaji..Watoto wa Masauni ni Majina kapuni au Tunayahifadhi Mmoja anaishi Marekani na Amekuwa Malaya Mkubwa... Walikimbia 2000 Wakahamia Manchester na Sasa Conventry..
Kwahivo Tunataka kuwambia CCM SMZ na Kundi lao la Wahuni pale Kisonge kwamba. Viongozi wa CCM wote watoto wao ni wakimbizi wa Kisomali Uingereza, nani asiejua haya!!!!.....???
Benn Haidar
PELEKA SALAMU KISONGE JE SASA MUSHAWAJUWA WASOMALI WA KISONGE.....???? 
PELEKA SALAMU KISONGE
Benn Haidar...............micharazooooo........


KILA MZANZIBARI ALIYE IPIGIA KURA CCM AU MPAKA WAKATI HUU BADO ANAISAPOTI CCM ILI IBAKI MADARAKANI JAPO KUWA CCM IMESHINDWA UCHAGUZI AJUWE NA YEYE ANACHANGIA KUENDELEZA DHULMA NA KUFUNGWA KWA MASHEIKH NA KUTHALILISHWA KWAO NA KUENDELEZA DHULMA KATIKA NCHI YA ZANZIBAR UKAE UKIJUWA UTAULIZWA SIKU YA KIYAMA NA MWENYEZI MUNGU ULIPOSIKIA WAZANZIBARI WENZIO WANADHALILISHWA,KUDHULUMIWA NA KULAWITIWA NA HAWA JE ULIFANYA NINI TAFUTA JIBU LAKO MAPEMA KWA SIKU HIYO YA KIYAMA SIKU AMBAYO MALI NA WATOTO WAKO WALA CHEO CHAKO HAVITAKUFAA SIKU HIYO.

RAISI MAGUFULI AMERITHI NCHI AMBAYO RUSHWA NI SEHEMU YA SHERIA NA KATIBA YA NCHI KWA SASA INAYO WAONGEZA VIONGOZI UTAJIRI NA KUWAUMIZA NA KUWAUWA WANANCHI

Ulimwengu wa sasa umefikishwa pahali pabaya sana sana na tawala luluki za kifisadi zilizopita. Tawala ambazo, kwa hakika zimeleta ufujifu mkubwa wa amani na utulivu kwa matumizi mabaya ya dola na fedha za umma. Tawala zilizotawaliwa na viongozi waroho wa madaraka, walafi, wachoyo, wabinafsi na wasiojali wanyonge wala wanaowaongoza kama ilivyo nchi ya Tanganyika na nchi ya Zanzibar pia Pombe Magufuli leo.Taifa lolote linapofikia hatua ya kifisadi kama hiyo mungu huwashushushia nakama ya njaa, vita, na kila aina ya uonevu ambayo inawafanya wote, wanaonyonya na wanaonyonywa wapate shida na mateso yasiyomithilika. Hali hii husababishwa na kushindwa kwa mfumo sahihi wa maisha uliolengwa kuwasaidia watu kufikia malengo yao baada ya ufisadi kushika hatamu. Rais Pombe Magufuli, rais wa awamu ya Tano wa Jamhuri ya Tanganyika, ameingia madarakani hivi juzi na kurithi Tanganyika iliyo mahututi kwa ufisadi na ubadharifu katika Nyanja zote za nchi hii ya Tanganyika. Magufuli anarithi Tanganyika yenye viongozi mafisadi waliofurutu ada wala hawasiki wala hawaoni wala hawajali wala hawana hata hurumu wamekuwa kama familia za utawala wa Kiroma ni wao na familia zao na mahawara wao na watoto wao wa nje na rafiki zao walio baki kufeni na njaa na maaradhi pia wao hawajali. Magufuli anarithi Tanganyika ambayo viongozi wakuu wa nchi wanatumia madaraka yao kujitajirisha wao na familia zao.Magufuli anaingia madarakani katika nchi ambayo Serikali imo kiganjani mwa wafanya biashara na wala rushwa na pia rushwa imekuwa ni sehemu ya sheria na katiba ya nchi kwa sasa katika nchi hii ya Tanganyika. Magufuli anarithi nchi iliyokufa katika mfumo wa sheria na mahakama, miundo mbinu, nishati, madini, haki za binadamu, uchumi, kilimo, utalii na kila nyanja ya uchumi imekufa fofofo!!! na rushwa imetawala katika kila nyanja za hayo yote.


Leo hii Magufuli anaingia Ikulu huku Hospitali zetu zikijaa wagonjwa wasioshughulikiwa hadi kufa huko. Wagonjwa ambao hulala chini kwenye wodi zinazonuka kuliko machinjio ya ng’ombe. Haya yote yapo nchi nzima ya Tanganyika. Magufuli anaingia Ikulu akiwa na mkururo wa viongozi mafisadi ambao wao na aila zao ndio wanaomiliki uchumi wa nchi bila hata kulipa kodi hata chembe. Magufuli, ukiachilia mbali mzozo wa nchi ya Zanzibar ambao anaonekana haumshuhulishi sana na kujitia hamnazo, anakabiliwa na changa moto kubwa ya kurudisha hela ya kuurudisha tena uchumi wa nchi ya Tanganyika kuwa katika hali ilivyo sasa. Magufuli anakuja wakati ambao watu kama Kingunge na familia yake wanaweza kukodoshwa kituo kizima cha mabasi ya Ubungo kwa kodi ya milioni mbili kwa mwaka. Magufuli anakuja wakati ambapo watoto wa Viongozi kama Ridhiwani Kikwete wanamiliki mabasi karibu yote ya UDA hapa Dar Es Salaam ilhali hata kodi hata chembe hawalipi na ikiwa zitalipwa basi zinavyolipwa ni mushkeli mtupu na vichekesho. Magufuli anakuja katika Uongozi ambapo umasikini wa nchi ya Tanganyika umezidi kipimo kuliko miaka ile ya 1970 na hata baada ya vita vya Uganda vya 1978-79. Kwa ufupi, Magufuli amekuja katika Tanganyika ambayo imeshakufa dungu msokoni. Imekufa kwa sababu amerithishwa Serikali yenye matatizo kadhaa wa kadha na Viongozi waliomtangulia na kumuachia Tanganyika ikiwa kama mzoga wa Tembo aliyekwishang’olewa vipusa. Haya yote yamefanyika na kwa miaka 54 sasa, unaweza kuona kuwa kuna kila sababu ya nchi ya Tanganyika kupata Rais aina ya Magufuli.nchi ya Tanganyika kwa hakika inahitaji Kiongozi mfano wa Magufuli. Rais ambaye badala ya kutumia mamilioni ya fedha kuandaa sherehe za Uhuru wa Tanganyika, sasa anaokoa mamilioni ya fedha kwa kuwataka viongozi nchi nzima wafanye usafi pesa za kufanya shrehe hizo kwend kwa wanao hitaji kama maji safi nchi nzima tena sio mfereji moja kijiji kizima laa maji yatoke katika kila mbomba ndani ya nyumba,umeme wa uhakika sio zima washa zima washa kama tuko disco,dawa hospitalini n.k.
Rais ambaye, badala ya kuyafumbia macho makosa ya uzembe wa utendaji katika Hospitali zetu, amevaa njuga na kuyafanyia kazi na kuyapatia utatuzi haraka sana. Kiongozi ambaye wakati viongozi waliotangulia wakitumia mamilioni ya fedha kwa safari za nje kwenda kuinjoi na wake zao au mahawara wao, yeye ameamua kuzifungia safari hizo na kutaka fedha zitumike katika shughuli za kimaendeleo. Rais ambaye, badala ya kutumia mamilioni kwa vikao vya Serikali, huamuru watumishi waishie kula njugu (karanga) na juisi ya ukwaju huku akiamini kuwa hapana haja ya kulipwa posho kwa kuwa hiyo ni sehemu ya kazi zao good one au ni seme Sadakta. Hatua hii ya Rais Mgufuli kufanya marekebisho makubwa ya mambo ambayo hatujapata kuyaona yakifanywa na kiongozi yeyote, hata huyo Nyerere wana muita baba yao wa taifa la Tanganyika, tunaweza kuiita ‘MAGUFULICATION’ of TANGANYIKA na falsafa inayosimama juu ya mchakato huu inaitwa ‘MAGUFULISM’. Hatua ya Rais Magufuli kufanya mabadiliko haya ya kurudisha heshima katika utumishi wa Umma na kuimarisha utendaji wa Serikali (Magufulication) na Imani yake kuwa atahakikisha kila kitu kinakuwa sawa na Watanganyika kwa mara ya kwanza katika maisha yao wanapata nchi yao ya Tanganyika iliyo bora kabisa (Magufulism) ni hatua nzuri ya kupigiwa mfano kwa kweli na ndio maana nchi jerani kama Kenya nao washanza kushughulikia Viongozi mafisadi baada ya kuona ((Magufulism is working)). Hoja yangu lakini inakuja kuwa, pamoja na kuwa Magufuli amekuja kufichua uoza ulioachwa na waliomtangulia, nahisi Magufuli amekuja mwisho wa karamu. Ujio wake na sera zake za ‘Magufulism’ ni nzuri lakini nina uhakika akiwa amezungukwa na jopo la JUJA wa MAJUJA na masihi Dajjal ndani ya Serikali yake, hafiki mbali. Na iwapo atashinda vita hii, itakuwa ndio mwisho wa dunia maana wenye nchi wapo na wanatizama tu anavyo fanya na hawatamuachia afanye Umagufulism wake na kuwaathiri katika maslahi yao na yawatoto wao na ya mahawara wao. Kwa maana hiyo, licha ya uzuri wa sera zake za ‘Kimagufulism’ na hatua zake murwa za kurejesha hadhi ya uchumi wa nchi ‘Magufulication’ , bado naamini kuwa amechelewa sana. Tumeona hapo awali, wenziwe waliomtangulia, walikuja na Ari Mpya kifyofyoko, Nguvu Mpya kinyokonyoko na Kasi Mpya kifyokokifokoke, Watanganyika wakaishia na Tanganyika yenye uchumi mbovu unaokaribiana na ule wa Zimbabwe!!! na mipesa mingi isiyo na thamani utafikiri tuko somalia!!! Na licha ya uthabiti wa nia yake, nionavyo ni kama vile anakazania kulifunga banda wakati farasi kashatoka!!! si Wazanzibari yetu machooooooooooooooooooooooooooo.

KILA MZANZIBARI ALIYE IPIGIA KURA CCM AU MPAKA WAKATI HUU BADO ANAISAPOTI CCM ILI IBAKI MADARAKANI JAPO KUWA CCM IMESHINDWA UCHAGUZI AJUWE NA YEYE ANACHANGIA KUENDELEZA DHULMA NA KUFUNGWA KWA MASHEIKH NA KUTHALILISHWA KWAO NA KUENDELEZA DHULMA KATIKA NCHI YA ZANZIBAR UKAE UKIJUWA UTAULIZWA SIKU YA KIYAMA NA MWENYEZI MUNGU ULIPOSIKIA WAZANZIBARI WENZIO WANADHALILISHWA,KUDHULUMIWA NA KULAWITIWA NA HAWA JE ULIFANYA NINI TAFUTA JIBU LAKO MAPEMA KWA SIKU HIYO YA KIYAMA SIKU AMBAYO MALI NA WATOTO WAKO WALA CHEO CHAKO HAVITAKUFAA SIKU HIYO.

Wednesday, November 25, 2015

RAISI WA KENYA UHURU KENYATTA AMEWATIMUWA MAWAZIRI WOTE WENYE KASHFA ZA UFISADI JE MAGUFULI UTAWATIMUWA WENYE KASHFA ZA ESCROW,EPA,RICHMOND NA OPERATION TOKOMEZA NA KUWAPELEKA MAHAKAMANI....???


Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta amefanya mabadiliko katika Baraza la Mawaziri na kuwapiga chini mawaziri wote ambao wizara zao zinakumbwa na kashfa za ufisadi. Uamuzi wa Rais Kenyatta umekuja siku moja baada ya kutangaza ufisadi kama tishio la usalama wa kitaifa huku akiazimia kufanya mabadiliko makubwa kwenye ofisi ya Rais hivi karibuni.Katika mabadiliko hayo, Kenyatta ameongeza pia idadi ya wizara kutoka 16 hadi 20 na kuongeza idara mpya chini ya wizara hiyo, kutoka idara 26 hadi 41 kwa kile alichoeleza kuwa ni kusaidia wizara kutekeleza majukumu yao bora zaidi.

Baadhi ya mawaziri walikuwa tayari wamekwisha jiondoa kwenye wizara zao kwa tuhuma za ufisadi huku wengine wakiwa na kesi za kujibu mahakamani.Hivi karibuni, Waziri wa Ugatuzi, Anne Waiguru alikuwa wa mwisho kujiondoa kwenye wizara akiwa na kashfa zilizopata umaarufu zaidi kwa kipindi cha hivi karibuni za kununua kalamu moja kwa shilingi zaidi ya 200,000 za nchini Tanganyika.Hata hivyo, Uhuru Kenyatta hakuwa na budi ya kuvunja baraza lake na kuunda upya kwa kuwa katiba ya nchi hiyo inataka idadi ya mawaziri isiwe chini ya 14. Baada ya Waiguru kujiuzulu nafasi ya uwaziri, baraza la mawaziri lilibaki na mawaziri 13 pekee.

KILA MZANZIBARI ALIYE IPIGIA KURA CCM AU MPAKA WAKATI HUU BADO ANAISAPOTI CCM ILI IBAKI MADARAKANI JAPO KUWA CCM IMESHINDWA UCHAGUZI AJUWE NA YEYE ANACHANGIA KUENDELEZA DHULMA NA KUFUNGWA KWA MASHEIKH NA KUTHALILISHWA KWAO NA KUENDELEZA DHULMA KATIKA NCHI YA ZANZIBAR UKAE UKIJUWA UTAULIZWA SIKU YA KIYAMA NA MWENYEZI MUNGU ULIPOSIKIA WAZANZIBARI WENZIO WANADHALILISHWA,KUDHULUMIWA NA KULAWITIWA NA HAWA JE ULIFANYA NINI TAFUTA JIBU LAKO MAPEMA KWA SIKU HIYO YA KIYAMA SIKU AMBAYO MALI NA WATOTO WAKO WALA CHEO CHAKO HAVITAKUFAA SIKU HIYO.

Tuesday, November 24, 2015

MAKAMISHA WA ZEC WANATAKA KUBAMBIKIWA KESI FEKI ATII ZA KUHUJUMU UCHAGUZI KAMA WALIVYO BAMBIKIWA KESA MASHEIKH SASA ZAMU YA MAKAMISHA WA ZEC


IDARA ya Mahakama hapa nchini Zanzibar inatumika kutekeleza mpango mchafu wa kuandaa na kuziamua kesi za jinai zinazokusudiwa kufunguliwa dhidi ya watendaji wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) kwa lengo la kutaka kuhalalisha madai ya kuvurugika kwa uchaguzi. Madai ya kuharibika kwa uchaguzi uliofanyika Oktoba 25, yamekuwa yakipaishwa na viongozi waandamizi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) ambacho kinatajwa kumtweza nguvu Mwenyekiti wa Tume, Jecha Salim Jecha hadi kutangaza kufutwa kwa uchaguzi Oktoba 28. Mwandishi wetu alifahamishwa kuwa wanasheria kadhaa wakiwemo walioko Idara ya Mahakama wanashiriki katika mpango huo ambao wachambuzi wanasema unalenga kuufanya uongo wa chama cha CCM uaminike kama ndio ukweli wakati ni uwongo mtupu. Zimepatikana taarifa za uhakika kuwa Mahakama ya hapa nchini Zanzibar itapokea kesi angalau mbili zinazohusu kilichoitwa “tuhuma za uzembe na ufisadi katika uchaguzi” walengwa wakiwa ni watendaji wa Tume waliosimamia uchaguzi majimboni. Kwa mujibu wa taarifa hizo, katika mnasaba huohuo, ndipo inafikiriwa hata Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Shariff Hamad, akamatwe na kutungiwa kesi. Kesi inayotajwa sana katika vinywa vya viongozi wakubwa na wadogo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), inahusu madai kuwa kiongozi huyo aliyegombea urais na kutangaza mwelekeo wa kushinda uchaguzi mkuu, alijitangazia “mshindi” Oktoba 26, siku moja baada ya upigaji kura. Katika kesi ya watendaji wanaotuhumiwa kuharibu uchaguzi, ambao ulithibitishwa na waangalizi kuwa ulikuwa uchaguzi mzuri kuliko wa 2010, inadaiwa atakuwemo Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), Jecha Salim Jecha. Haijaelezwa hasa mashitaka gani yatamhusu Jecha, ambaye ndiye alitoa tangazo Oktoba 28, la kufutwa uchaguzi wote wa nchini Zanzibar kwa alichodai ulikumbwa na matatizo mengi, yakiwemo machache aliyoyataja katika taarifa aliyoitolea ufichoni alikorekodiwa na taarifa kurushwa na Shirika la Utangazaji la nchi ya Zanzibar (ZBC). Hata hivyo, inaelezwa katika mpango huo wa siri, Jecha atashitakiwa kama njia ya kulaghai ulimwengu, kwa kuwa wanaofadhili mpango huo, wamekuwa wakikiri “kunufaika na alichokifanya Jecha.” “Hii kesi ya Jecha kama zilivyo nyingine, isipokuwa ya Maalim Seif, ni geresha tu kwa sababu wakati ya Jecha ni nzito ambayo ingeweza kuwa kesi ya kumfungisha jela, itakosa ushahidi kwa kuwa wenyewe hawako tayari aadhibiwe. Huyu wanasema hajatenda kosa,” amesema msiri aliyekuwa ikizungumza na muandishi wetu ambaye ni mtumishi serikalini.Kumekuwa na shinikizo nyingi kutaka Maalim Seif akamatwe na kushitakiwa kwa tuhuma atii za kujitangaza mshindi wa urais. Taarifa zilizotangazwa hivi karibuni na Naibu Mkurugenzi wa Makosa ya Jinai (DDCI) wa nchini Zanzibar, Salum Msangi, zimesema tayari maofisa wa Tume na makamishna wameanza kuhojiwa. Kamishna Msangi ameripotiwa akisema Makamu Mweyekiti wa ZEC, Jaji Abdulhakim Ameir Issa tayari ameshahojiwa. Mwenyewe Jaji Abdulhakim hajathibitisha kuhojiwa ingawa walio karibu nae wanasema baada ya kuwa ametekwa kwenye ofisi za Tume eneo la ukumbi wa Salama wa Hoteli ya Bwawani, alidhibitiwa na Jeshi la Polisi Makao Makuu Ziwani kwa saa tatu hivi na kuachiwa kiasi cha saa 9 mchana Oktoba 28. Jaji Abdulhakim mpaka sasa hajawa tayari kuzungumza kilichomtokea hasa siku hiyo. Jitihada za mwandishi wa habari hizi kupata kauli yake zimeshindikana. Simu haipokewi na meseji zinazouliza yaliyomsibu alipotekwa, hazijibiwi. Siku hiyo alichukuliwa kwa nguvu na askari wawili waliovalia upolisi na kuongozwa kuingia kwenye gari ya vioo vya giza ambayo ni moja ya zinazotumiwa na Tume ya Uchaguzi zikiwa ni za mradi wa uchaguzi 2015 uliofadhiliwa na Shirika la Mpango wa Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP). Wakati jaji huyo kijana akidhibitiwa na maofisa wa upelelezi wa Polisi makao makuu bila ya kuhojiwa lolote, ndipo kukasikika tangazo la Mwenyekiti Jecha la kufuta uchaguzi. Siku hiyo Jecha alikuwa amesubiriwa na wenzake kuendelea na kazi ya kutangazwa matokeo ya urais akini hakutokea saa 4 kama alivyoahidi siku iliyotangulia ambayo shughuli zilisitishwa baada ya umeme kukatika Bwawani. Tayari alikuwa ametangaza matokeo zaidi ya asilimia 70. Wasiri wa gazeti hili wanasema ndani ya Idara ya Mahkama ya nchini Zanzibar, wapo majaji wasiopungua wawili wanashirikiana na wanasheria binafsi wa nchini Zanzibar wanaohangaika maandalizi ya kesi hizo za kubabaisha. Mwanasheria mmoja kati ya waliotajwa kushirikishwa, ameithibitishia Mwandishi wetu kuwa mpango huo unafadhiliwa na baadhi ya wakubwa wa CCM. “Vile ukiona baadhi ya watu wanatokeza kwenye teleivisheni kutetea alichokifanya mwenyekiti wa tume ya uchaguzi, ujuwe ni sehemu ya huo mpango unaoniuliza kama upo. Lakini mimi sijaingia sana labda kwa kuwa wanaamini siwezi kuwasaidia mambo yao,” amesema mwanasheria katika moja ya kampuni binafsi za uwakili hapa. Imekuwa mtizamo wa watu wengi hapa kuwa baada ya Othman Masoud Othman, mwanasheria aliyefukuzwa kuwa mwanasheria mkuu wa serikali baada ya Bunge Maalum la Katiba, kutoa elimu kubwa kupitia programu ya Mada Moto ndani ya Channel Ten, kumetumwa baadhi ya watu kupotosha aliyoyaeleza.Wakati watu hao wakisikika waziwazi kutetea uamuzi wa Jecha, na kuendeleza madai yaliyosikika kutolewa na viongozi waandamizi wa CCM mara tu tangazo la kufutwa uchaguzi lilipotolewa, wamekuwa wakieleza kwa hoja msisitizo kuwa Maalim Seif alivunja utaratibu kutangaza ushindi. “Unaona hawa mara zote unaowasikia wakimsakizia tuhuma Maalim Seif, wanakwama unapouliza kama adhabu ya kosa lake inastahili uchaguzi ufutwe,” amesema ofisa ndani ya Tume ya Uchaguzi. Imeelezwa kwamba mpango wenyewe ni kuzikabidhi kesi hizo kwa wanasheria hao binafsi ikiwemo kampuni ambayo baadhi ya wamiliki ni watoto wa viongozi wakubwa serikalini, watakaozisimamia chini ya mwamvuli wa serikali. Serikali ya Mapinduzi Zanzibar ilitoa taarifa wiki mbili zilizopita kupitia aliyekuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais, Mohamed Aboud kwamba wanaheshimu uamuzi wa Tume kufuta uchaguzi na kusihi wananchi watulie huku wakisubiri uamuzi mwingine wa kuitisha uchaguzi mpya. Tangu Jecha atangaze uamuzi wa kufuta uchaguzi wote wa Zanzibar wakati yeye mwenyewe alishatangaza hadharani matokeo ya kura za urais katika majimb 31, hajasikika yoyote katika tume hiyo kuzungumza lolote. Hata hivyo, taarifa kuwa Jecha aliibuka Novemba mosi na kuwaita makamishna kwa ajili ya kikao. Katika kikao hicho ambacho inasemekana hapakuwa na muandikaji kumbukumbu, Jecha alinukuliwa akisema “nimelazimika kusema uongo ili kuiokoa nchi na balaa.” Uongo wenyewe unatajwa kuwa ndio huo wa kudai taratibu nyingi za uchaguzi zilikiukwa ikiwemo kura zilizopigwa kukutwa mitaani, idadi ya kura kuzidi wapigaji katika baadhi ya vituo ambavyo hakuvitaja na kwamba katika kuyajadili matatizo hayo, makamishna walishikana mashati wakiwa wameacha jukumu lao la kuzidiwa na matakwa ya vyama vyao vya siasa. Hata Mwanasheria Mkuu wa Serikali kwa sasa, Said Hassan Said, hajajitokeza kueleza msimamo wake kuhusu madai ya kutokuwepo uongozi halali wa serikali akiwemo Shein, kwa mujibu wa Katiba ya nchi ya Zanzibar. Imekuwa vigumu kumpata kwa simu na hata ofisini. Jaji Mkuu Omar Othman Makungu naye hajapatikana. Simu yake imekuwa ngumu kupatikana. Mara nyingi inalia pasina kupokewa. Tume ya Uchaguzi Zanzibar inaundwa na makamishna saba – wawili kutoka CCM na wawili kutoka CUF; mwenyekiti na makamu mwenyekiti na mjumbe anayewakilisha vyama visivyo na wawakilishi kwenye Baraza la Wawakilishi.Kwa mujibu wa Katiba ya nchi ya Zanzibar ya Mwaka 1984, Rais atamteua mwenyekiti wa Tume kwa kigezo cha mtu aliyekuwa au mwenye sifa za kuwa jaji katika Mahakama Kuu au Mahakama ya Rufaa katika nchi yoyote iliyo mwanachama wa Jumuiya ya Madola au mtu anayeheshimika katika jamii.Jecha amesomea Shahada ya Sayansi ya Siasa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam. Akawa kiongozi mwandamizi serikalini ambaye alistaafu akiwa Katibu Mkuu wizara ya Tawala za Mikoa na Vikosi vya SMZ. Aliteuliwa kuongoza Tume mwaka 2013. Kumetanda ukimya mkubwa hapa nchini Zanzibar wakati Maalim Seif akiendeleza vikao vya majadiliano na marais wastaafu Amani Karume, Ali Hassan Mwinyi na Dk. Shein na Balozi Seif Ali Iddi. Maofisa usalama wa taifa wanasema huwenda viongozi hao wakaendelea na vikao leo ambavyo hufanyikia Ikulu ya nchini Zanzibar. Vikao hivyo vimekuwa vya siri. Hakuna anayetaka kueleza kinachozungumzwa na lini majadiliano yatamalizika. Hali inakuwa mbaya kwa umma kwa vile kinachosemwa ndani ya CCM ni maandalizi ya uchaguzi mpya kama ilivyoeleza taarifa iliyotolewa kwa vyombo vya habari na Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Kamati Maalum ya Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) Zanzibar, Waride Bakari Jabu. Amesema “kwa mara nyingine tena tunaiomba Tume itangaze siku ya uchaguzi ili tufanye uchaguzi utakaokuwa wa huru na haki. Ni dhahiri, baada ya uchaguzi huo, CCM Zanzibar na wananchi wa Zanzibar watalazimika kufanya maamuzi mengine ingawa yatakuwa magumu.”“... CCM inawaambia viongozi na wafuasi wa CUF kwamba suala la kuapishwa Maalim Seif Shariff Hamad kuwa Rais wa nchi ya Zanzibar ni ndoto za mchana kwani Tume ya Uchaguzi tayari imetangaza kufutwa kwa uchaguzi huo, na kinachofanywa na wanaCUF ni kuwadanganya wananchi,” amesema Waride. Taarifa hiyo imeanza na maelezo ya kulaani kitendo kilichofanywa na wabunge wa UKAWA kuu zomea zomea “Viongozi wa SMZ waliohudhuria sherehe za uzinduzi wa Bunge la 11 la Jamhuri ya Muungano.” Waride ametaka wanaCCM na wapenda amani watulie na kuvumilia (kwani) “dawa ya wapinzani iko njiani.”

KILA MZANZIBARI ALIYE IPIGIA KURA CCM AU MPAKA WAKATI HUU BADO ANAISAPOTI CCM ILI IBAKI MADARAKANI JAPO KUWA CCM IMESHINDWA UCHAGUZI AJUWE NA YEYE ANACHANGIA KUENDELEZA DHULMA NA KUFUNGWA KWA MASHEIKH NA KUTHALILISHWA KWAO NA KUENDELEZA DHULMA KATIKA NCHI YA ZANZIBAR UKAE UKIJUWA UTAULIZWA SIKU YA KIYAMA NA MWENYEZI MUNGU ULIPOSIKIA WAZANZIBARI WENZIO WANADHALILISHWA,KUDHULUMIWA NA KULAWITIWA NA HAWA JE ULIFANYA NINI TAFUTA JIBU LAKO MAPEMA KWA SIKU HIYO YA KIYAMA SIKU AMBAYO MALI NA WATOTO WAKO WALA CHEO CHAKO HAVITAKUFAA SIKU HIYO.

Monday, November 23, 2015

MAANDAMANO YA WAZANZIBARI WAISHIO NCHINI MAREKANI YAFANYIKA NA KUTAKA RAISI ALIYE SHINDA UCHAGUZI NCHINI ZANZIBAR ATANGAZWE


Mpenda amani na Demokrasia Bwana Thuweni akionyesha bango Njee ya Ikulu ya Marekani (White House)

Mpenda amani na Demokrasia  Yussra Alkhary akionyesha bango Njee ya Ikulu ya Marekani (White House)

Wanachama wa ZADIA kutoka majimbo tafauti Nchini Marekani wakionyesha mabango yao

Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazanzibari Waishio nchni Marekani (ZADIA) Bwana Omar Haji, akiongea na moja waandishi wa habari.

Pichani ni Bango la waandamanaji wa Zadia nchini marekani

Wapenda amani na Demokrasia wakiwa na mabango yao Njee ya Ikulu ya Marekani (White House)


Mpenda amani na Demokrasia Lodi Mohamed akiongea na muandishi wa habari Njee ya Ikulu ya Marekani (White House)

Mpenda amani na Demokrasia wa (ZADIA) wakipata picha Njee ya makao makuu ya Ikulu ya Marekani (White House)

Mpenda amani na Demokrasia wa (ZADIA) wakipata picha Njee ya makao makuu ya Ikulu ya Marekani (White House)

Na Mwandishi wetu aliyepo jijini Washington nchini Marekani

Wakati vikao vya siri vya kutafuta suluhu ya mzozo wa kisiasa nchini Zanzibar vikiwa vimeripotiwa, juhudi za kuupatia ufumbuzi mzozo huo zimehamia kutoka Ikulu ya nchi ya Zanzibar na kufika Ikulu ya Marekani (White House).Mnamo tarehe 21 mwezi huu, Wazanzibari waishio nchini Marekani waliandamana hadi kwenye Ikulu ya nchi hiyo ya Marekani ambayo ndio wanayo ishi katika juhudi za kutafuta uingiliaji kati ya kimataifa ili kuupatia suluhisho mzozo huo ulio fanywa kwa makusudi ili kuikandamiza nchi ya Zanzibar.Akizungumza na waandishi wa habari mbele ya Ikulu hiyo, Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazanzibari Waishio nchni Marekani (ZADIA) iliyoandaa maandamano hayo Bwana Omar Haji Ali, alisema kuwa maandamano hayo yanakuja katika juhudi za Jumuiya hiyo ya kutafuta uingiliaji kati ya kimataifa katika kuukwamua mgando wa kisiasa nchini Zanzibar.Aliendelea kusema kwamba maandamno hayo pia yana lengo la kumkumbusha rais Barack Obama wa Marekani kutekeleza ahadi yake ya kuilinda demokrasia Barani Afrika.“Katika hotuba yake aliyoitoa kwenye Makao Makuu ya Umoja wa Afrika mapema mwaka huu, rais Obama alisema ‘.. pale ambapo raia hawawezi kutekeleza haki zao, basi ulimwengu una jukumu la kukemea. Na Marekani itafanya hivyo, hata kama wakati mwengine itakuwa inauma’..”, alikumbusha Bwana Ali.Aliongeza kuwa “Wananchi wa nchini Zanzibar wameshindwa kutekeleza haki yao kwa zaidi ya nusu karne sasa. Wakati umefika sasa kwa ulimwengu kuchukua jukumu lake. Wakati umefika sasa kwa Marekani siyo tu kukemea, lakini pia kuchukua hatua za kivitendo ili kuhakikisha kuwa sauti za Wazanzibari zinasikilizwa na kuheshimiwa”

Alipoulizwa ni hatua gani watakazochukuwa iwapo Serikali ya Marekani haikuchukua hatua yoyote kusaidia kumaliza mgando wa kisiasa nchini Zanzibar, Bwana Ali alisema “Tuna imani na rais Obama, na tumemfikishia barua ya malalamiko yetu, na tunasubiri jibu lake, na imani yetu ni kuwa atachukua hatua madhubuti khususan ikizingatiwa kuwa Ubalozi wa Marekani nchini ((Tanzania)) ulikuwa wa mwanzo kutoa taarifa kuelezea kuwa uchaguzi wa nchi ya Zanzibar ulikuwa wa haki na huru” Alidokeza kuwa, iwapo hali itaendelea kubakia kama ilivyo, basi ZADIA itaelekea kwenye Umoja wa Mataifa.Katika maandamano hayo yaliyowashirikisha pia wapenda amani na demokrasia kutoka sehemu mbalimbali ulimwenguni, waandamanaji walibeba mabango yaliyokuwa na maneno kama vile “Mshindi wa uchaguzi atangazwe”, “maamuzi ya Wazanzibari yaheshimiwe”, “bila haki hakuna amani’ na mengineyo.

Aidha, waandamanaji hao walipiga makelele wakidai “tunataka matokeo yetu ya uchaguzi..”
Akizungumza na Swahilivilla, raia mmoja wa Marekani aliyeshiriki kwenye maandamano hayo alisema “Nilimpeleka mwanangu kwenda kusoma kule, bado ana mapenzi na nchi yetu ya Zanzibar, na amenisimulia habari nzuri za amani, utulivu na ukarimu wa watu wake. Amekuwa akifuatilia hali ilivyo, na kwa hamasa kubwa alipopata habari za maandamano haya, akaniomba tuje kuwaunga mkono Wazanzibari katika kudai haki yao”Itakumbukwa kuwa, wananchi wa Zanzibar walipiga kura mnamo tarehe 25 Oktoba mwaka huu, lakini Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC)  Jecha Salum Jecha kwa ukereketwa wake na kutaka kuipendelea chama chake cha CCM akatangaza kufutwa kwa uchaguzi huo Mkuu nchini humo Zanzibar, kitendo ambacho wataalamu wa Sheria wamesema kuwa kinakwenda kinyume na Katiba ya nchi ya Zanzibar.
Wachambuzi wanaona kuwa hatua hiyo ya Jecha ilikuja wakati asilimia kubwa ya matokeo yaliyokuwa yametangazwa yalikuwa yanampa ushindi mgombea wa urais wa nchi ya Zanzibar kutoka chama cha upinzani cha Wananchi (CUF) Maliim Seif Shariff Hamad.
Kitendo cha kufutwa kwa uchaguzi huo ambao wachunguzi wa nje na ndani waliulezea kuwa ulikuwa wa haki na huru, kimezua mtafaruku wa kisiasa nchini humo Zanzibar, na juhudi za ndani na nje zimekuwa zikifanyika ili kumaliza mgogoro wa kisiasa nchi humo Zanzibar.
Maandamano ya ZADIA ni katika juhudi za hivi karibuni kabisa za kimataifa za kusaka suluhu za mgogoro huo kwa njia za amani tafauti na nchi ya Tanganyika inavyotaka kumaliza mzozo huo kwa kutumia majeshi na fifaru ilivyo vipeleka nchini humo baada ya kuona chama chao cha CCM KIMESHINDWAAAAAAA.

KILA MZANZIBARI ALIYE IPIGIA KURA CCM AU MPAKA WAKATI HUU BADO ANAISAPOTI CCM ILI IBAKI MADARAKANI JAPO KUWA CCM IMESHINDWA UCHAGUZI AJUWE NA YEYE ANACHANGIA KUENDELEZA DHULMA NA KUFUNGWA KWA MASHEIKH NA KUTHALILISHWA KWAO NA KUENDELEZA DHULMA KATIKA NCHI YA ZANZIBAR UKAE UKIJUWA UTAULIZWA SIKU YA KIYAMA NA MWENYEZI MUNGU ULIPOSIKIA WAZANZIBARI WENZIO WANADHALILISHWA,KUDHULUMIWA NA KULAWITIWA NA HAWA JE ULIFANYA NINI TAFUTA JIBU LAKO MAPEMA KWA SIKU HIYO YA KIYAMA SIKU AMBAYO MALI NA WATOTO WAKO WALA CHEO CHAKO HAVITAKUFAA SIKU HIYO.

Saturday, November 21, 2015

UKAWA WAMUUNGA MKONO RAISI HALALI WA NCHI YA ZANZIBAR CCM WAENDELEA KUVUNJA SHERIA NA KATIBA NA KUENDELEA UTAWALA WA MKONO WA CHUMA

UMOJA wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), umesema mipango yao ya kutomruhusu Rais Dk. John Magufuli kulihutubia Bunge akiwa na Rais wa Zanzibar, Dk. Ali Mohamed Shein, imefanikiwa.Mwenyekiti wa Umoja huo, Freeman Mbowe, alisema  jana kuwa waliamua kuzuia Rais Magufuli asihutubie Bunge kwa vile Dk. Shein, muda wake wa kuwa rais ulikwisha tangu Novemba 2 mwaka huu kwa hiyo hakustahili kuhudhuria Bunge hilo.Alisema kuwa waliamua kufanya vile wakiamini kuwa ilikuwa sehemu muafaka ya kufikisha kilio chao kutokana na wageni mbalimbali waliohudhuria mkutano ule, wakitokea katika nchi za jumuiya ya kimataifa.

“Tulishangaa kumuona Dk. Shein, Pandu Amiri Kificho na Makamu wa Pili wa Rais wakiwa ndani ya Bunge wakati kikatiba hawana uhalali,”alisema Mbowe.

Alisema, baada ya kitendo kile hivi sasa umoja wa vyama hivyo, unatarajia kukutana ili kupeana mikakati ya kuendeleza mapambano ya ndani na nje ya nchi ya kudai haki.

“Uchaguzi wa Zanzibar hauwezi kutenganishwa kikatiba au kisiasa na uchaguzi mkuu wa Jamhuri ya muungano,” alisema Mbowe.

Mbowe alisema Ukawa hawako tayari kuinajisi Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa ((Tanzania)) kwa kuruhusu viongozi wasio halali kuingia bungeni.Aidha, Mbowe alisema walitaka shughuli ya ufunguzi rasmi wa Bunge isitishwe kwa sasa na kuahirishwa hadi hapo Rais halali aliyechaguliwa na wananchi wa Zanzibar,Maalim Seif Sharrif Hamad, atakapotangazwa rasmi na kuapishwa.Naye Mwenyekiti Mwenza, James Mbatia, alisema haijawahi kutokea katika historia ya Bunge tangu nchi hiyo ilipopata uhuru kwa vyombo vya dola kuingia ndani ya bunge na kuwatoa wabunge kwa nguvu.

“Wakati sisi tunatafuta majadiliano mezani ilikumaliza mgogoro huu wenzetu Chama Cha Mapinduzi (CCM), wameamua kutumia majeshi kukandamiza demokrasia,” alisema Mbatia.

Mbatia alisema kuwa hawatakaa kimya bali wataendelea kupigania matakwa ya wananchi hususan kwa upande wa Zanzibar.

“Kuna mambo mengi yanafanywa hovyo hovyo na CCM na wapinzani wamekuwa wakivumilia kwa sababu ya kumpenda mama ((Tanzania)) lakini hivi sasa wasijaribu kuharibu amani, utulivu na mshikamano uliopo,” alisema Mbatia.

Mbatia, alisema kwa kawaida mtu anapodhulumiwa haki yake kila mara matokeo yake anachoka kwa hiyo kuna siku ataifuta haki yake hata kwa kusababisha kumwaga damu.Naye Mwanasheria wa Chadema, Tundu Lissu alisema Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA ) wamesikitishwa na kitendo cha serikali ya CCM kuonesha wazi wazi jinsi walivyobaka na kuikanyaga demokrasia nchini.Alitoa kauli hiyo alipokuwa akizungumza na mwandishi wetu muda mfupi baada ya kutoka bungeni baada ya kufukuzwa na Spika wa Bunge, Job Ndugai baada ya wabunge wa umoja huo kupinga kitendo cha kuruhusiwa kwa Rais wa Zanzibar kuwa sehemu ya Bunge.Lissu alisema imeonesha wazi kuwa serikali ya CCM ilivyo kuwa ikitumia mabavu ya kuvunja sheria waziwazi sambamba na kuvunja kanuni za bunge jambo ambalo ni hatari kwa afya ya nchi.Akizungumzia kutoka kwao nje ya ukumbi wa Bunge alisema serikali ya CCM kwa kutumia kiti cha Spika walionekana kupanga mbinu chafu za kuwazima wabunge wa Ukawa ili wasiweze kufikisha hoja zao mbele za wananchi kupitia bunge hilo.

“Unaweza kuona kwamba serikali ya CCM inavyoweza kuvitumia vibaya vyombo vya dola, kwa utaratibu jinsi ulivyo ili kuruhusu watu waingie katika ukumbi wa bunge ni lazima kutengua kanuni ili watu waweze kuingia lakini kutokana na uovyo ovyo na ujinga mkubwa wa serikali hii ya CCM, ambayo haizingatii sheria wala katiba imeweza kuleta askari wengi pamoja na majeshi kwa ajili ya kukabiliana na upinzani.

“Jambo kubwa na baya zaidi na la ajabu ni pale ambapo askali waliovaa magwanda ya polisi na jeshi wakiwa na silaha za moto walivyoweza kuingia katika ukumbi wa bunge kwa misingi ya kutaka kukabiliana na wabunge wa upinzani.

“Jambo ambalo hapa ni kwamba hata wao wanajua kuwa Dk. Shein siyo rais tena na wala sio halali wa Zanziba lakini kwa ubishi wao wanalazimisha kufanya hivyo na kutokana na hali hiyo ndiyo maana serikali imekuwa ikitumia vyombo vya dola kwa ajili ya kuthibiti wabunge wa Upinzania ambao wametumwa na Umma wasitoe mawazo yao,” amesema Lissu.

Mbali na hilo alisema pamoja na kuwa walizuiliwa kuendelea na bunge, kwa ajili ya kuwasilisha hoja zao kwa watanzania lakini watatumia mbinu nyingi za kufikisha ujumbe kwa jamii kwani kwa sasa kuna kila mikakati ya kuhakikisha wanataka kuuzima upinzani.Akizungumzia kuhusu kanuni za bunge kwa sasa alisema kama ilivyo katiba ya sasa ilivyo na makosa kibao ndivyo na kanuni za bunge zinavyotakiwa kurekebishwa kwani kuna makosa mengi zaidi.Kwa upande wao wabunge wa Zanzibar walisema ni dhambi kubwa kwa Dk. Ali Mohamed Shein kuenedelea kung’ang’ania kukaa madarakani wakati muda wake umeisha jambo ambalo linaonesha wazi kuwa ni matumizi mabaya ya madaraka na dola yake.

“Inasikisha zaidi kuona jinsi Rais wa Zanzibar alivyokuwa siyo muungwana anajua kabisa kwamba hakushinda uchaguzi, lakini ikumbukwe wakati wa kuvunja baraza la wawakilishi wabunge wa CCM walimkataa Maalim Seif Shariff Hamad kama makamu wa kwanza wa rais asiingie katika bunge.

“Lakini kwa uungwana wa kiongozi huyo aliondoka wala hakuhudhuria kikao hicho lakini jambo la kushangaza huyu Dk. Shein amekomaa sasa inafikia hatua anazomewa bila kuwa na aibu sasa huo ni uongozi gani na anamuongoza nani,” amesema.

“Tunamuuliza Rais Magufuli, ni nani akapeleka vifaru na kuongeza askari na majeshi wengi katika nchi ya Zanzibar na ni kwa sababu gani....??

“Kwa sasa hali ya nchi ya Zanzibar si shwari kwani kila jambo sasa limelala kwani hata watalii hawaji kama ilivyokuwa mwanzo, mbali na hilo kuna hali ya sitofahamu ni kwani nguvu nyingi ya vyombo vya dola inaelekezwa Zanzibar,” alisema mmoja wa wabunge wa Zanzibar.

KILA MZANZIBARI ALIYE IPIGIA KURA CCM AU MPAKA WAKATI HUU BADO ANAISAPOTI CCM ILI IBAKI MADARAKANI JAPO KUWA CCM IMESHINDWA UCHAGUZI AJUWE NA YEYE ANACHANGIA KUENDELEZA DHULMA NA KUFUNGWA KWA MASHEIKH NA KUTHALILISHWA KWAO NA KUENDELEZA DHULMA KATIKA NCHI YA ZANZIBAR UKAE UKIJUWA UTAULIZWA SIKU YA KIYAMA NA MWENYEZI MUNGU ULIPOSIKIA WAZANZIBARI WENZIO WANADHALILISHWA,KUDHULUMIWA NA KULAWITIWA NA HAWA JE ULIFANYA NINI TAFUTA JIBU LAKO MAPEMA KWA SIKU HIYO YA KIYAMA SIKU AMBAYO MALI NA WATOTO WAKO WALA CHEO CHAKO HAVITAKUFAA SIKU HIYO.

VIDEO-WAZANZIBARI TUMEPINDULIWA WAZANZIBARI TUMEPINDULIWA WAZANZIBARI TUMEPINDULIWA HUTBA YA MKOLONI MWEUSI TANGANYIKA



Masultani Weusi Wastaafu Nchini Tanganyika, kutoka kushoto ni Ally Hassan Mwinyi mzee kondom, Benjamin Mkapa dume la masokwe, Jakaya Kikwete mwaka huu 2015 Amewapinduwa Wazanzibari kwa kutumia jeshi na kutharau kura zao walizo piga kwa kuchaguwa viongizo wanao wataka huu ni uthibitisho kwa ule msemo wao kuwa HATUTOI KWA VIKARATASI wala hawajali Wananchi wamechaguwa kiongozi gani mara nyengine tena Wazanzibari tumepinduliwa.

((Rais wa Zanzibar akiwaangalia wabunge wa upinzani ambao walikuwa wakimzomea muda wote tangu alipoingia kwenye ukumbi wa bunge mjini Dodoma. Kulia ni Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan na Makamu wa pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi Seif Ally Iddi.))

HIVI NDIVYO WALIVYO ANDIKA LAKINI HUYU NI RAISI KIVIPI,KISHERIA IPI AU KIKATIBA IPI INAYO MFANYA HUYU KUWA RAISI WA NCHI YA ZANZIBAR NA HUYO BALOZI MKAZI KUWA MAKAMO...? MIAKA YOTE MAKABURU WEUSI TANGANYIKA WANAWALAZIMISHA WAZANZIBARI NA KUWACHAGULIA RAIS WASIO WATAKA KWA LAZIMA NA KUWAIBIA KURA MARA HII HAWAKUWAHI KUIBA KURA WALA KUFANYA BANDIKA BANDUWA YAO. WALIPONA KUWA SASA WAMEKWISHA WAZANZIBARI WAMEKIKATA CHAMA CHA WAUWAJI CCM NA MAMAFIA CCM MACHAMPIONI CCM WA KULA RUSHWA KILICHO FUATA SASA CCM MKOLONI MWEUSI TANGANYIKA HAKUWEZA KUJIFICHA TENA ILA NIKUCHUKUWA KURA ZA WAZANZIBARI NA KUMPA POMBE MAGUFULI KUMHALALISHIA ILI AWE RAIS HARAKA HARAKA NA KUAPISHWA HARAKA HARAKA KISHI KULE ZANZIBAR WAKAFUTA UCHAGUZI WAKOLONI WEUSI TANGANYIKA ILI IONEKANE KUNA MZOZO WA KISIASA HUKU KIKWETE AKATUJAZIA MAJESHI WAZANZIBARI WANAPINDULIWA BILA YA KUJIJUWA KAMA WANAPINDULIWA. KISHA WAKAENDELEA NA UKIRITIBA WAO WA KUAPISHANA HUKO KWA MKOLINI MWEUSI TANGANYIKA MPAKA JANA NDIO WAKATHIBITISHIA WATANGANYIKA NA ULIMWENGU MZIMA KUWA CCM HAPA HATUFUATI KATIBA WALA SHERIA NI UBABE NA GUVU ZA JESHI NA POLISI KWA KUWA HAO PIA NI CCM MPAKA SASA WAZANZIBARI WASHAPINDULIWA NA KUEKEWA DIKTETA SHEIN AWAOGOZI KWA MIAKA MENGINE 5 NA SHEIN NDIO ATAENDELEA KUWA RAIS WENU MUTAKE MUSITAKI SHEIN NDIO RAISI WENU AKISAIDIWA NA JESHI LA MAKABURU WEUSI TANGANYIKA.

WAZANZIBARI LAZIMA TUJUWE KUWA SHEIN SIO RAIS WA KUPIGIWA KURA SOTE TUNAJUWA NA KUTABUWA KUWA SIO RAIS ALIYE CHAGULIWA NA WANANCHI NI RAISI ALIYEWEKWA NA MKOLONI MWEUSI TANGANYIKA KWA LAZIMA KWA KUTUMIA GUVU ZA KIJESHI NA UTAWALA WA MKONO WA CHUMA WA MKOLONI MWEUSI TANGANYIKA HAPA SASA NDIO ULE MSEMO WAO UNAKAMILIKA HATUTOI KWA VIKARATASI NA MWENGINEI NI SEREKALI MBILI KUELEKEA MOJA MAANA SHEIN SI RAIS NI PAMBO TU SASA WALE WANAO KAA WAKASEMA KUWA ZANZIBAR NI NCHI WATUAMBIYE NI NCHI KIVIPI MWENYE MACHO HAMBIWI TIZAMA.

TUMEPINDULIWA WAZANZIBARI TUMEPINDULIWA TUMEPINDULIWA NA MAKABURU WEUSI TANGANYIKA HILO TULIKUBALI NA SASA TUTAFUTE NJIA NYENGINE LAKINI TUSIDANGANYANE TENA KUWA TUKIPIGA KURA TUTAPATA TUNACHOTAKA KATIKA NCHI YETU ITAKUWA TUNADANGANYANA TU. KWANZA NI KUJARIBI NI NJIA GANI HUYU MKOLONI MWEUSI TANGANYIKA TUTAMFUKUZA KATIKA NCHI YETU MAANA SASA NI KWEUPE KILA MOJA ANAJUWA SASA KUWA SIO TENA MUUNGANO WA NCHI MBILI KAMA WANAVYO DANGANYA WATU NA WANAVYO DANGANYA ULIMWENGU KUWA SISI TUNAMUUNGANO WA NCHI MBILI MAVI LABDA HAKUNA NCHI MBILI ZILIZO UNGANA HAPA KUNA MKOLONI MWEUSI TANGANYIKA NA NCHI YETU YA ZANZIBARI NI KOLONI LAO WAMEFANYA KWA SIRI MIAKA 50 NA KUWANDANGANYA WAZANZIBARI KUWA WANA RAISI NA WANAPIGA KURA BLA BLA BLA ZOTE GERESHA TU UKWELI UMEJIONYESHA SASA WAZI KUWA HATUNA NCHI TUKO NCHINI YA MKOLONI MWEUSI NA ATAKALO YEYE NDIO HILO HILO SASA NI KUJIKOMBOWA KWANZA KUTOKA KATIKA TUMBO LA MKOLONI MWEUSI SIO KUENDELEZA VIKAO WASIVYO NA MAANA YOYOTE WALA SIO KUPIGA KURA HALISAIDI CHOCHOTE SOTE WAZANZIBARI TUSHIKANA NA KUANZIA SASA TUTANGAZE RASMI KUWA ZANZIBAR IKO CHINI YA MKOLONI MWEUSI TANGANYIKA,MAKABURU WEUSI TANGANYIKA,MASULTANI WEUSI TANGANYIKA NA WAZANZIBARI WANATAKA UHURU WA NCHI YAO KWISHA.


KILA MZANZIBARI ALIYE IPIGIA KURA CCM AU MPAKA WAKATI HUU BADO ANAISAPOTI CCM ILI IBAKI MADARAKANI JAPO KUWA CCM IMESHINDWA UCHAGUZI AJUWE NA YEYE ANACHANGIA KUENDELEZA DHULMA NA KUFUNGWA KWA MASHEIKH NA KUTHALILISHWA KWAO NA KUENDELEZA DHULMA KATIKA NCHI YA ZANZIBAR UKAE UKIJUWA UTAULIZWA SIKU YA KIYAMA NA MWENYEZI MUNGU ULIPOSIKIA WAZANZIBARI WENZIO WANADHALILISHWA,KUDHULUMIWA NA KULAWITIWA NA HAWA JE ULIFANYA NINI TAFUTA JIBU LAKO MAPEMA KWA SIKU HIYO YA KIYAMA SIKU AMBAYO MALI NA WATOTO WAKO WALA CHEO CHAKO HAVITAKUFAA SIKU HIYO.

Friday, November 20, 2015

MAANDAMANO YA WAZANZIBARI WAISHIO NCHINI UINGEREZA YAFANYIKA NA KUTAKA RAISI ALIYE SHINDA UCHAGUZI NCHINI ZANZIBAR ATANGAZWE





12247082_455166178000825_8745307794412665492_n

Wawakilishi wa Zawa UK wakiingia 10 Downing Street kukabidhi barua kwa Waziri Mkuu Bwana David Cameroon kuhusiana na sakata la Uchaguzi Mkuu wa Zanzibar. Pichani ni Bwana Rashid Ali, Bi Ghariba Said

8

4

9

5

3

2



6

12227082_10205370980297892_5516912819446149797_n

Nchini Uingereza Wazanzibari wanaoishi nchini Uingereza leo wamefanya maandamano wakidai haki yao na kwa Wazanzibari kwa ujumla ya kutangazwa ushindi wa Chama Cha Wananchi (CUF) katika uchaguzi mkuu nchini Zanzibar uliofanyika Octoba 25 mwaka huu.Maandamano hayo yameandaliwa na Jumuiya ya Zanzibar Welfare Association (ZAWA) ambapo Wazanzibari hao wametoka maeneo mbali mbali katika miji yao na kukusanyika katika eneo Downing Street kwenye Ofisi ya Waziri Mkuu wa Uingereza, David Cameron na uongozi huo kukabidhi barua yao yenye malalamiko kutaka suala la nchi yao ya Zanzibar lishughulikiwe.Maandamano hayo yamefanyika kwa lengo la kuongeza shindikizo kwa mamlaka ya Jamhuri ya Muungano wa ((Tanzania)) au Wakoloni Weusi Tanganyika kuchukua hatua za haraka ya kuhakikisha Tume ya Uchaguzi ya nchini Zanzibar (ZEC) inakamilisha kazi ya kutangaza matokeo ya uchaguzi huo.Uchaguzi wa nchi ya Zanzibar umekwamishwa na uamuzi wa Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi nchini Zanzibar, Jecha Salum Jecha Octoba 28 alipotangaza kufuta uchaguzi huo wote kwa madai kwamba umekumbwa na matatizo mbali mbali sote tunajuwa ni ukereketwa na kunywa maji ya bendera ya CCM ndio kulimfanya achukuwe uamuzi huo ulio kinyume cha Sheria za nchi ya Zanzibar na katiba ya nchi ya Zanzibar.
Uamuzi huo wa kufuta matokeo umepigwa na Chama Cha Wanasheria Zanzibar (ZLS) kwa kuwa hauna ugumu,uwezo kisheria ambapo Mwenyekiti wa tume hiyo hana mamlaka ya kufuta uchaguzi ambao tayari ulishakamilika na matokeo yake kuanza kutangazwa.Wakati jecha akitoa tangazo la kufuta matokeo bila ya kushauriana na tume yake alikuwa tayari ameshatangaza matokeo ya kura za urais za majimbo 31 kati ya 54 ya Zanzibar pia washindi wa nafasi za uwakilishi na udiwani katika majimbo hayo walishatangazwa na walishakabidhiwa vyeti vyao.Barua hiyo iliyowasilishwa na Rashid Ali ambaye kiongozi wa ZAWA wamewasilisha barua hiyo wakiamini kwamba suala la nchi ya Zanzibar litashughulikiwa ili wananchi wa Zanzibar waweze kuendelea na maisha yao ya kawaida.Mwakilishi wa ZAWA, Hassan Khamis alisema wameamua kupeleka barua kwenye ofisi za waziri Mkuu wakiamini suala hilo litashughulikiwa ikiwa pamoja na serikali ya ((Tanzania)) Wakoloni Weusi Tanganyika kuchukua hatua madhubuti na za haraka katika kushughulikia suala hilo ambalo limewaweka wazanzibari roho juu.“Sisi kama Wazanzibari tumeshachoka na nduguzetu nyumbani ndio kabisa wamechoka na hali iliyopo sasa huko nyumbani kwetu ambao kuna jamaa zetu na wazee wetu wanahitaji kuendelea na maisha yao hivyo kuna kila sababu ya kumalizwa mgogoro uliopo ili waendeleaa na maisha yao sasa hivi maisha yamekuwa magumu, vitu havinunuliki khofu imetanda majeshi yamejaa na hali ya khofu ndio imekuwa kubwa kwa wananchi hawajui saa ngapi kutazuka nini” alisema Khamis.
Wakizungumza kwa njia ya simu baadhi ya wanawake walioshiriki maandamano hayo wamesema wanaiombea dua nchi yao ya Zanzibar ili mgogoro na mkwamo wa kisiasa umalizike ili wananchi waweze kuishi kwa amani kwani suala la kuishi kwa khofu linawatia huzuni hasa wao ambao wapo nje ya nchi.“Tunaumia tukisikia ndugu zetu wa Zanzibar wana mgogoro mwengine uliotokana na uchaguzi kwa sababu ni miaka mingi kulikuwa na hali kama hiyo miaka mitano nyuma kukatafutwa Maridhiano lakini sasa tunarejea nyuma miaka 15 iliyopita, haipendezi na pia inatutia sisi wasiwasi ambao tupo mbali na ndugu zetu” alisema mmoja wa wanawake walioandamana.Khamis alisema wamekabidhi barua na imepokewa ambapo wameahidiwa kwamba barua yao itafanyiwa kazi pamoja na kuonana na baadhi ya viongozi wengine wa serikali ili kupeleka malalamiko yao yafanyiwe kazi haraka.Wazanzibari hao waliovalia nguo rangi nyekundu na buluu na nyeupe huku wengine wakiwa wamebeba mabango yenye maandishi mbali mbali na picha za Mgombea Urais wa tiketi ya Chama Cha Wananchi (CUF) Maalim Seif Sharif Hamad wameonekana wakiwa na furaha wakati wa maandamano hayo.Hii ni mara ya kwanza tokea kumalizika kwa uchaguzi wa nchi ya Zanzibar kufanyika kwa maandamano kama hayo nchini Uingereza ambapo baadhi ya wananchi wanaoishi Marekani nao wameandaa maandamano yao ambayo yanatarajiwa kufanyika wiki ijayo.“ tutafanya maandamano kuitaka Serikali ya Marekani kuingilia kati na kuweka shindikizo kwa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa ((Tanzania)) ili mshindi aliyeshinda atangazwe na serikali ya umoja wa kitaifa iundwe wazanzibari washirikiane wajenge nchi yao” alisema mmoja wa wazanzibari anayeishi Marekani.

KILA MZANZIBARI ALIYE IPIGIA KURA CCM AU MPAKA WAKATI HUU BADO ANAISAPOTI CCM ILI IBAKI MADARAKANI JAPO KUWA CCM IMESHINDWA UCHAGUZI AJUWE NA YEYE ANACHANGIA KUENDELEZA DHULMA NA KUFUNGWA KWA MASHEIKH NA KUTHALILISHWA KWAO NA KUENDELEZA DHULMA KATIKA NCHI YA ZANZIBAR UKAE UKIJUWA UTAULIZWA SIKU YA KIYAMA NA MWENYEZI MUNGU ULIPOSIKIA WAZANZIBARI WENZIO WANADHALILISHWA,KUDHULUMIWA NA KULAWITIWA NA HAWA JE ULIFANYA NINI TAFUTA JIBU LAKO MAPEMA KWA SIKU HIYO YA KIYAMA SIKU AMBAYO MALI NA WATOTO WAKO WALA CHEO CHAKO HAVITAKUFAA SIKU HIYO.