Tuesday, May 31, 2016

PARY 1 YANAYO ENDELEA NCHINI ZANZIBAR KATIKA ZIARA ZA RAIS WA WATU,KIPENZI CHA WAZANZIBARI,LULU YA WAZANZIBARI RAIS MAALIM SEIF SHARIFF HAMAD ZA MAKUNDUCH COMMING SOON.


Simba wa Nyika, Maalim Seif Sharif Hamad amemaliza mahojiano na Polisi na hivi sasa yuko njiani kuendelea na ziara yake, leo ikiwa ni zamu ya Wilaya ya Kusini Unguja.

Furaha iliyoje watu wakimshangilia Maalim Seif

Wakati Maalim Seif akihojiwa na PoliCCM jeshi La Mkoloni Mweusi Tanganyika likiranda ndani ya Nchi ya Zanzibar kama unavyo waona katika picha.

Wakati Maalim Seif akihojiwa na PoliCCM jeshi La Mkoloni Mweusi Tanganyika likiranda ndani ya Nchi ya Zanzibar kama unavyo waona katika picha.

Wakati Maalim Seif akihojiwa na PoliCCM jeshi La Mkoloni Mweusi Tanganyika likiranda ndani ya Nchi ya Zanzibar kama unavyo waona katika picha

Jeshi la Mkoloni Mweusi Lilifunga Takribani Njia zote walipokuwa wakimuhoja Rais wa watu Maalim Seif Shariff Hamad

Jeshi la Mkoloni Mweusi Lilifunga Takribani Njia zote walipokuwa wakimuhoja Rais wa watu Maalim Seif Shariff Hamad.

Watu wakiendelea kusubiri hatma ya Raisi wao Maalim Seif

Watu wakiendelea kusubiri hatma ya Raisi wao Maalim Seif

Muda huu.. Rais wa nyonyo za Wazanzibari alikawa ziwani kwa mahojiano na PoliCCM Jeshi La Mkoloni Mweusi.

Muda huu.. Rais wa nyonyo za Wazanzibari alikawa ziwani kwa mahojiano na PoliCCM Jeshi La Mkoloni Mweusi.

Muda huu.. Rais wa nyonyo za Wazanzibari alikawa ziwani kwa mahojiano na PoliCCM Jeshi La Mkoloni Mweusi.

Muda huu.. Rais wa nyonyo za Wazanzibari alikawa ziwani kwa mahojiano na PoliCCM Jeshi La Mkoloni Mweusi.

Wakati Lulu ya Wazanzibari Anahojiwa na PoliCCM Wafanya Bishara walifunga Maduka yao ili wajuwe Hatma ya Rais wao Maalim Seif Shariff Hamad.

Wakati Lulu ya Wazanzibari Anahojiwa na PoliCCM Wafanya Bishara walifunga Maduka yao ili wajuwe Hatma ya Rais wao Maalim Seif Shariff Hamad.

Wakati Lulu ya Wazanzibari Anahojiwa na PoliCCM Wafanya Bishara walifunga Maduka yao ili wajuwe Hatma ya Rais wao Maalim Seif Shariff Hamad.



wananchi wa kusini Unguja waleonesha ari baada ya Maalim Seif kuhojiwa na PoliCCM.vijana wa kusini wakipokea Maalim Seif kwa Dufu kama Unavyo waona.

ALIPO TUPO ALIPO TUPO

ALIPO TUPO ALIPO TUPO

FURAHA ILIOJE NCHI IMETULIA VIJANA WAKIBURUDISHA KWA DUFU NA KUSUBIRI KUMPOKEA RAIS WAO MAALIM SEIF.

ALIPO MAALIM SEIF TUPO ALIPO TUPO

ALIPO TUPO MTAKE MSITAKE ALIPO MAALIM SEIF NA SISI TUPO

ALIPO TUPO KAZI KWENU SISI ALIPO TUPO

MGUU MBELE MGUU NYUMA ALIPO TUPO WACHAA WEEE TULIA WEEEE ALIPO TUPO MGUU MBELE MGUU NYUMA.

ALIPO TUPO

ALIPO TUPO

ALIPO TUPO NA DUWA TUNAOMBA

AKIWAPA MKONO WAFIWA NA WAGONJWA SIE TUPO NJAA TUNAMSUBIRI ALIPO TUPO BADO TU HUJAMINI

MAJI MATUPE MADIMBWI MVUA JUWA ALIPO TUPO BADO TU HUJAMINI

BASI LABDA HII UTAMINI KAMA ALIPO TUPO

AU HII ALIPO TUPO

BASI HII ALIPO TUPO

ALIPO TUPO RAHA MPAKA NDANI YA ROHO

ALIPO TUPO

ALIPO TUPO ALIPO TUPO

ALIPO TUPO AKAA

HATA KAMA HUMJUWI UKISIKIA JINA LAKE MAALIM SEIF SHARIFF HAMAD BASI UTAMPENDA ALIPO TUPO

ALIPO TUPO NA WALA HATUBANDUKI HAPO HAPO MPAKA TUPATE NCHI YETU NA MAALIM SEIF NDIO RAIS WETU.

ALIPO TUPO WATAKA FALUDA AU WATAKA PUDING HAAAA HAAAA BABU WEE ALIPO SISI TUPO


MCHANGO WA KUWAFUTARISHA NA KUWAPA IDI WATOTO MAYATIMA NCHINI ZANZIBAR!

watoto wafutari
Baadhi ya watoto mayatima wakifutarishwa katika Ramadhani ya mwaka jana huko Zanzibar!
Ndugu Wapendwa,
Sote tunaifahamu hali ya maisha duni wanayopambana nayo baadhi ya watoto mayatima nchini kwetu Zanzibar. Hatuwezi kuibadilisha hali yao hio, lakini tunaweza angalau siku moja kuwafutarisha vizuri katika hii Ramadhani ijayo na kuwapa mkono wa Eid siku ya Sikukuu.
Kwahivyo, ZANZIBAR-CANADIAN DIASPORA ASSOCIATION (ZACADIA) ya Toronto, Canada, inatoa wito kwa Wazanzibari wote wanaoishi nje kuungana pamoja ili kuwafutarisha watoto hao mayatima na kuwapa mkono wa Eid siku ya Sikukuu.
Kama unaguswa na hali ya mayatima kule Zanzibar basi changia chochote unachokiweza ili watoto hao mayatima wafutari vizuri angalau hio siku moja katika Ramadhani ijayo na siku ya Sikukuu wapate mkono wa Idi.
Tafadhali changia and Allah will reward you, Inshaa Allah!
Hii kampeni itamalizika Ramadhani ya 10, ili kabla Ramadhani haijesha tupate muda wa matayarisho ya shughuli ya kufutarisha hao mayatima kule Zanzibar na pia kupata muda wa kuwanunulia nguo za Sikukuu, kwani hali zao kama mnavyoona pichani hapa juu ni taabani
Tuma mchango wako kwa muwakilishi aliekuwepo karibu na wewe:
CANADA:
Hassan Othman @+1.647.404.8618 (Toronto)
Bi Shahida Hamad @+1.289.696.3089 (Toronto)
U. S. A
Mohammed Masoud @1.330.880.9524 (Ohio)
UNITED KINGDOM:
Miss Fauzia Karama @+44.7847.024.456 (Manchester)
Abdalla Juma (Dulla Ndende) @ +44.7909.225.287 (Milton Keynes)
CONTINENTAL EUROPE:
Dr. Muhammed Mwinyi Khami @ +46.70.426.9707 (Scandinavia / Sweden)
Nabil Salum (Nasser) / NASMO @ +32.487.28.39.96 (Belgium)
MIDDLE EAST:
Mohamed Omar @ +971.50.424.6878 (Dubai, U.A.E)
Ali Said Ali @+968.9.509.7454 (Muscat, Oman)
FAR EAST:
Suleiman Ali Al Rawahy @+81.80.4027.3510 (Japan)
Source: zacadia.com

Monday, May 30, 2016

VIDEO-RPC MKADAMU WEWE NI RPC AU WAKILI WA DADI FAKI DADI MSHAURI WA SHEIN ANAYE BAKA WATOTO.....?????

JECHA KAFUTA MATOKEO MSHAURI WA SHEIN DADI FAKI DADI KAMSHAURI SHEIN SASA IBAKE DEMOKRASI YA WATU WA ZANZIBAR. PIA HATUSTAJABU KWA RPC MKANDAMU KUMUACHIA HURU MBAKAJI MAANA NYINYI POLISI PIA MNABAKA WATU SIKU ZA CHAGUZI KWA HIYO NI MILA ZENU KUBAKA BAKA KISHA JECHA ATAFUTA MATOKEO YA UBAKAJI BASI MAISHA YANAENDELEA.

HUU HAPA USHAHIDA KAMA UNATAKA USHAHIDI
Hii ya Dadi ni shahawa au Laana?? 

POLISI MPENI DADI FAKI DADI HAKI YAKE.!
Nimesikitishwa na taarifa ya jeshi la PoliCCM Zbar kuwa wamemuachia huru ndugu Dadi Faki Dadi kwa kuwa eti hawajaona kosa la yeye kulala na binti yake. Kamanda wa poliCCM mkoa wa mjini magharibi ndugu Mkadam Hamis Mkadam Mumesema hakuna kosa kisheria alilolifanya ndugu Dadi Faki kwa kuwa si binti wake wa kumzaa na pia hakumlazimisha. Wakikubaliana kwa kuwa binti huyo ni mtu mzima (miaka 21). Nimesikitishwa sana maneno haya kutamkwa na jeshi la PoliCCM. Watu waliopewa dhamana ya kuinforce sheria kumbe nao hawajui sheria ila hamna jipya si huwa mnapeyana vyeo na madara japo kuwa hamukusomea hii ndio faida yake . Ngoja nikupe sababu;
1. Kwanza, PoliCCM hawakupaswa kusema kama Dadi Faki ana hatia au laah. Hiyo si kazi yao. Wao wangefungua jalada wapeleke mahakamani then mahakama ndio ingetoa uamuzi kama alichokifanya Dadi ni kosa au si kosa.
2. Pili, RPC Mkadamu ameacha majukumu yake ya URPC na kujipa kazi mpya ya kuwa wakili wa Dadi Faki. Kusema kwamba yule si binti yake wa kumzaa na kwamba ni mtu mzima hivyo walikubaliana ni utetezi uliopaswa kutolewa na wakili wa Dadi Faki sio wewe RPC Mkadamu hii sio kazi yako jifunze tena kazi yako ni nini inaonyesha huijuwi upo tu unakula Mshahara wa Bure hapo.
3. Tatu, je ni kweli sheria inaruhusu mtu kulala na binti yake kisa tu hajamzaa....?? amakweli ikiwa hukuona ya Musa utaona ya Firauni, Jibu SI KWELI. Hapa RPC Mkadamu amepotosha au bila shaka na yeye hajui sheria. The Law of Divine &Men inazuia mwanaume kulala na binti yake (wa kumzaa au kumlea), dada yake (waliyezaliwa pamoja au waliyeshare mzazi mmoja), mama yake (aliyemzaa au kumlea). Itz serious offence na mtu akipatikana na hatia aweza kutumikia hadi kifungo cha miaka 20 gerezani.
Pia sheria ya kanuni za adhabu Zanzibar na Tanganyika (Tanzania) (Penal Code) inaeleza wazi kuwa ni kosa mtu kulala na ndugu yake, mathalani mtoto wake hata kama ni wa kumlea. (Rejea kesi ya A.Kapeta vs Republic ya mwaka 2013, iliyosikilizwa mahakama kuu kanda ya Rukwa na jopo la majaji watatu wakiongozwa na Jaji Nathalia Kimaro). Je RPC Mkadamu hajui sheria hii....??
4. Nne, Je kama binti ameridhia inahalalisha kosa....?? Jibu SI KWELI. Hata kama binti ameridhia mwenyewe kulala na baba yake bado haihalalishi kosa. Akisema aliridhia kulala na baba yake, basi wote wawili waweza kufungwa miaka 20 gerezani kila mmoja. Lakini binti akisema alilazimishwa basi kesi itabadilika kuwa ubakaji (under SOSPA) ambapo mtuhumiwa aweza kufungwa miaka 30 akipatikana na hatia.
Kwahiyo katika shauri hili hakuna namna ambayo Dadi Faki anaweza kupona. Binti akisema kuwa wakikubaliana basi wote wawili wanakwenda miaka 20 jela, lakini binti akisema alilazimishwa basi Dadi Faki atashtakiwa kwa ubakaji na aweza kwenda hadi miaka 30 jela.
Sasa inakuaje RPC Mkadamu aseme haoni kosa....?? Hivi askari PoliCCM hawasomi sheria walau kwa viwango vya basic knowledge ili tuondoe aibu ya kuwa na maRPC wasiojua sheria kama RPC Mkadamu.....?? Tunaliheshimu jeshi la PoliCCM lakini ni vizuri liache kutumika kisiasa. Dadi Faki apewe haki yake, ashtakiwe kwa makosa yake na achukuliwe hatua kwa mujibu wa sheria. Polisi Zbar mpeni Dadi Faki Dadi haki yake.!

KISHA NYINYI MUNAYAITA MAPINDUZI MATUKUFU HIVI KWELI NYINYI MUNAJUWA UTUKUFU NI NINI AU DUNIA IMEWAVA KISAWA SAWA MPAKA MNAKUFURU MKOLONI MWEUSI TANGANYIKA KATUPINDUWA TENA WAZANZIBARI NA KUWEKA VIONGOZI WAWATAKAO WAO WAKINA BT TUNAENDELEA TENA KUKA CHINI YA SERIKALI YA KIKOLONI YA MKOLONI MWEUSI TANGANYIKA MPAKA MIAKA MITANO IMALIZIKE KISHA TUTIWE TENA KATIKA SHENGESHA LA UCHAGUZI NA KUPIGA KURA KISHA WAZANZIBARI WAPIGE KURA NA KUCHAGUWA VIONGOZI WAWATAKAO MKOLONI MWEUSI TANGANYIKA ATAKUJA NA STYLE MPYA YA KUZIPIGA KURA ZA WAZANZIBARI CHINI NA KUTUEKEA VIONGOZI WAWATAKAO KISHA TUTAKA TENA CHINI NA KUSUBIRI UCHAGUZI WA 2025 MAMBO YATAKUWA HIVYO HIVYO KISHA TUTAKA CHINA NA KUSUBIRI UCHAGU WA WA 2030 TUKIWA HAI KAMA HATUKO TENA WATAKAO BAKI WATAFANYIWA TENA HIVYO HIVYO NA MKOLONI MWEUSI TANGANYIKA KISHA WATAKA CHINI WASUBIRI......>>> MPAKA KIYAMA KISIMAME BASI NI BORA TU TUKUBALI KUWA NDIO TUMEKUBALI KUWA CHINI YA MKONI MWEUSI TANGANYIKA KULIKO UPUMBAVU HUU WA UCHAGUZI AMBAO KILA MOJA WETU HAPA ZANZIBAR KAMA UCHAGUZI WA MARA HII HAUJAWASOMESHA WALA HATUTA SOMA TENA MILELE. 

KILA MZANZIBARI ALIYE IPIGIA KURA CCM AU MPAKA WAKATI HUU BADO ANAISAPOTI CCM ILI IBAKI MADARAKANI JAPO KUWA CCM IMESHINDWA UCHAGUZI AJUWE NA YEYE ANACHANGIA KUENDELEZA DHULMA NA KUFUNGWA KWA MASHEIKH NA KUTHALILISHWA KWAO NA KUENDELEZA DHULMA KATIKA NCHI YA ZANZIBAR UKAE UKIJUWA UTAULIZWA SIKU YA KIYAMA NA MWENYEZI MUNGU ULIPOSIKIA WAZANZIBARI WENZIO WANADHALILISHWA,KUDHULUMIWA NA KULAWITIWA NA HAWA JE ULIFANYA NINI TAFUTA JIBU LAKO MAPEMA KWA SIKU HIYO YA KIYAMA SIKU AMBAYO MALI NA WATOTO WAKO WALA CHEO CHAKO HAVITAKUFAA SIKU HIYO.

MARAISI AU MAWAZIRI WANAPO ALIKWA KUSHUHUDIA RAIS WA NCHI FULANI AKIAPISHWA HUPEWA HASHMA KUBWA KWA KUJA KWAKE SHEIN MBONA HUKUPEWA HISHIMA KWENYE KITUO CHA MABASI YAENDAYO KWA KASI KUTOKA DAR TU COMMORO....???


Waziri wa mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa wa Nchi ya Tanganyika Mh.Bernard Membe akimuwakilisha Rais Jakaya Kikwete katika Sherehe za Kumuapisha Rais Mpya wa Madagasca.

Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na Rais Mpya wa Msumbiji Filipe Jacinto Nyusi pamoja na Rais wa Msumbiji aliyemaliza muda wake Armando Emilio Guebuza katika viwanja vya ikulu ya Maputo baada ya sherehe za kuapisha leo.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanganyika Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza jambo na Mwenyeji wake Rais Mteule wa Uganda Yoweri Kaguta Museveni mara baada ya kumaliza Kuapishwa huko nchini Uganda.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanganyika Drk.Mohammed Gharib Bilal Akimpongeza Rais Mpya wa Malawi Prof. Arthur Peter Mutharika Baada ya Rais huyo Kumaliza Kuapishwa.


Shein Akisubiri Mabasi Yaendayo Kwa Kasi Katika Kimoja Cha Vituo Vya Mabasi Hayoo Hata Bodigadi wako Pia Kanywimwa Kiti cha Kuka Katika Kituo Tu Cha Mabasi Na Magwanda Yake ya KijeCCM.

Sunday, May 29, 2016

WAZANZIBARI TUJIUNGE TUIKOMBOWE NCHI YETU YA ZANZIBAR MIAKA 52 TUKO CHINI YA MKOLONI MAKABURU WEUSI TANGANYIKA


MAKABURU WEUSI TANGANYIKA POLICCM

MAKABURU WEUSI TANGANYIKA POLICCM
Takriban wiki mbili zilizopita nilitowa wito kwa Wazanzibar kujiponya maradhi mabaya yaliyowasibu ya ‘UJECHA’. Pamoja na muda niliotowa kuonekana kama vile kichekesho au hautoshi, sina shaka wito hule wengi wameitikia vya kutosha na imekuwa dawa ya kujitibu na maradhi haya thakili. Tunashkuru hii ni hatua moja mbele. Kwa vile tumeweza kujip[onya maradhi yetu sasa ni wakati wa kurudi uwanjani. Tunarudi uwanjani tukimjuwa aduwi wetu. Hali inayopelekea kuwa na mbinu mpya na mbadala kwanza; kujikinga na kudhurika tena, pili; kujiponya pale tutakapoathirika, na tatu; mbinu za kumpiga na kumtokomezea mbali huyo adui yetu. Hivyo basi, wito wa siku yaleo ni Wazanzibar wote kwa ujumla tujitokeze, tujikusanye, tujipange nakadhalika kwa ajili ya kupambana na adui yetu. Adui yetu hapa ni ‘UKOLONI MWEUSI’. Mkoloni amechomoza makucha yake na anaendelea kunyanyasa nchi yetu.

MAKABURU WEUSI TANGANYIKA POLICCM
Wazanzibar, mengi sana yashasemwa. Yamesemwa na watu wa rika tofauti, wenye vipaji, uzoefu, na ufasaha wa kuzungumza. Hatua kadhaa za kisheria waliotangulia walijaribu kuchukuwa. Nguvu ya kisiasa kwa mtazamo wa kidemokrasia pia umetumika kama ndio njia ya kuondosha UKOLONI huu nchi mwetu. Mafanikio yako mbali kuyafikia, lakini haina maana tusizidishe nguvu zetu au kuvunja harakati zetu. Mkoloni Tanganyika anaendelea kustawisha himaya yake. Nguvu zake zinakuwa kubwa kwa kutumia Jeshi, Polisi na vikosi vyengine vilivyo chini ya vibaraka wake. Ikiwa hiyo ni njia moja anayoitumia, Mkoloni anazo njia nyengine zikienda sambasamba na njia hii kuu. Njia hizo ni kama vile kuwaziba midomo Wazanzibar pale wanapodai haki zao (kuwaweka gerezani), kuiyuwa Zanzibar kiuchumi, kuibadili Zanzibar kiutamaduni, mila na hata silka zetu.Nikiwa muumini wa ukombozi wa Zanzibar utapatikana kutokana na Wazanzibar wenyewe, pale tutakapojikusanya na kujipanga kuleta mbinu mpya ya ukombozi siku itafika na Zanzibar itapata uhuru wake.Mwaka 2008, Wazanzibar chini ya Uongozi wa Dr Yussuf Saleh Salim (Marehemu) walijikusanya, wakapanga na ndio iliyokuwa chanzo cha maridhiano Zanzibar. Hivyo na sasa tunatakiwa kubuni tena fikra kama zile ili ziwe chanzo na chachu ya ukombozi wetu. Ingawa bado hatujawa na msimamo wa hoja ya kushika kama silaha yetu.MAKABURU WEUSI TANGANYIKA POLICCM
Kwani bado miongoni mwa Wazanzibar wanaoona ipo haja ya Ukoloni wa Tanganyika kuendelea kubaki kwa mbinu ya Muungano. Nikimaanisha wako wanaotaka kuendelea na muunngano. Hii ni hoja ya kwanza. Hoja ya pili ni ile ya wanaotaka wapumue. Yaani wanaotaka mamlaka kamili. Hapa kidogo kuna kufumbafumba. Hoja ya tatu ni ya wale wanaotaka kura ya maoni. Wanataka waulizwe moja tu; Yaani munautaka (muungano). Bado hakuna utafiti niliofanya juu ya hoja ipi kati ya tatu hizo ndio yenye nguvu. Pale tutakapoona hoja moja kati ya hizo ndio yenye nguvu, ndipo pa kushika na kumwendea MKOLONI kama vile MUSA alipomwendea FIRAUNI. Wazanzibar!! Ukombozi huu umo mikononi mwetu, sasa ni wakati wa kufanya kazi kwa vile miaka miaka miaka nasema tena miaka 52 imepita.
MAKABURU WEUSI TANGANYIKA POLICCM
KISHA NYINYI MUNAYAITA MAPINDUZI MATUKUFU HIVI KWELI NYINYI MUNAJUWA UTUKUFU NI NINI AU DUNIA IMEWAVA KISAWA SAWA MPAKA MNAKUFURU MKOLONI MWEUSI TANGANYIKA KATUPINDUWA TENA WAZANZIBARI NA KUWEKA VIONGOZI WAWATAKAO WAO WAKINA BT TUNAENDELEA TENA KUKA CHINI YA SERIKALI YA KIKOLONI YA MKOLONI MWEUSI TANGANYIKA MPAKA MIAKA MITANO IMALIZIKE KISHA TUTIWE TENA KATIKA SHENGESHA LA UCHAGUZI NA KUPIGA KURA KISHA WAZANZIBARI WAPIGE KURA NA KUCHAGUWA VIONGOZI WAWATAKAO MKOLONI MWEUSI TANGANYIKA ATAKUJA NA STYLE MPYA YA KUZIPIGA KURA ZA WAZANZIBARI CHINI NA KUTUEKEA VIONGOZI WAWATAKAO KISHA TUTAKA TENA CHINI NA KUSUBIRI UCHAGUZI WA 2025 MAMBO YATAKUWA HIVYO HIVYO KISHA TUTAKA CHINA NA KUSUBIRI UCHAGU WA WA 2030 TUKIWA HAI KAMA HATUKO TENA WATAKAO BAKI WATAFANYIWA TENA HIVYO HIVYO NA MKOLONI MWEUSI TANGANYIKA KISHA WATAKA CHINI WASUBIRI......>>> MPAKA KIYAMA KISIMAME BASI NI BORA TU TUKUBALI KUWA NDIO TUMEKUBALI KUWA CHINI YA MKONI MWEUSI TANGANYIKA KULIKO UPUMBAVU HUU WA UCHAGUZI AMBAO KILA MOJA WETU HAPA ZANZIBAR KAMA UCHAGUZI WA MARA HII HAUJAWASOMESHA WALA HATUTA SOMA TENA MILELE. 

KILA MZANZIBARI ALIYE IPIGIA KURA CCM AU MPAKA WAKATI HUU BADO ANAISAPOTI CCM ILI IBAKI MADARAKANI JAPO KUWA CCM IMESHINDWA UCHAGUZI AJUWE NA YEYE ANACHANGIA KUENDELEZA DHULMA NA KUFUNGWA KWA MASHEIKH NA KUTHALILISHWA KWAO NA KUENDELEZA DHULMA KATIKA NCHI YA ZANZIBAR UKAE UKIJUWA UTAULIZWA SIKU YA KIYAMA NA MWENYEZI MUNGU ULIPOSIKIA WAZANZIBARI WENZIO WANADHALILISHWA,KUDHULUMIWA NA KULAWITIWA NA HAWA JE ULIFANYA NINI TAFUTA JIBU LAKO MAPEMA KWA SIKU HIYO YA KIYAMA SIKU AMBAYO MALI NA WATOTO WAKO WALA CHEO CHAKO HAVITAKUFAA SIKU HIYO.