Sunday, May 29, 2016

VIDEO-SERIKALI FEKI YA SHEIN NA GENGE LAKE LA WAHUNI IMEMPA THAMANA DADI FAKI DADI SIKU ILE ILE WAKATI MASHEIKH HAWANA HATIA YOYOTE NA BADO WAKO JELA


IMG_7584
Aliekuwa Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Pemba Ambae sasa ndio Mshauri wa Raisi Feki Shein Faki Dadi Faki amekutwa gest akitaka kumla uroda,bata,kumla vitu,kumchokora mtoto wake wa kambo mtoto wa mke wake kwa mume mwengini.

SERIKALI CCM KWELI POA MSHAURI WA RAIS SHEIN DADI KASHIKWA NA VIDEO HIZI ZIMEZAGA KUWA ALIKUWA AKITAKA KUMLA URODA,BATA,KUMCHOKORO MTOTO WAKE WA KAMBO LAKINI SIKU HIYO HIYO MADEMA POLISI ALIPO PELEKWA KAPEWA THAMANA ILA MASHEIKH MPAKA LEO WAPO JELA HII NI MOJA KATIKA DALILI TRILLIONI KUWA HII SI SERIKALI NA WALA HAWA SIO VIONGOZI NI GENGE TU LA WAHUNI NA VIJIBWA VYAO VINAWALINDA WAO WAKIENDELEA NA ULANISI WAO WA KUCHOKORA WATOTO WA WATU,WAKE ZA WATU,KUUWA WATU,KUTESA WATU,KUIBIA WATU,KUWANYANGANYA WATU HAKI ZAO,RUSHWA KUSHAMIRI KISHA HUJIFANYA ATI SERIKALI MAWEE.


SERIKALI ya Feki Iliyopo ya Shein imezama kwenye aibu, ni baada ya mshauri wake Dadi Faki Dadi kukamatwa kwa tuhuma za kufanya ngono na mwanaye, Faki alikuwa Mkuu Mkoa wa Kaskazini Pemba lakini baada ya kukosa nafasi hiyo katika ngwe ya pili ya Shein, aliteuliwa kushika nafasi hiyo ya ushahuri kwa rais hususan masuala ya yanayohusu Pemba. Mshauri huyo amekamatwa kwa tuhuma za kufanya ngono na mtoto wake wa kambo (mtoto wa mkewe) mwenye umri wa miaka 21. Mwanasiasa huyo maarufu visiwani humo alikamatwa mbele ya mkewe na baadhi ya wanafamilia juzi katika nyumba ya wageni ya Executive, jirani na Makao Makuu ya Uhamiaji hapa nchini Zanzibar, eneo la Kilimani mjini Unguja na kupelekwa katika kituo cha Polisi Mwembemadema.
Mkadam Khamis, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mjini Magharibi amethibitisha kushikiliwa kwa Dadi na polisi kwa muda tu kabla ya kumwachia kwa dhamana wakati uchunguzi wa tukio hilo ati ukiendelea. “Tunaendelea kufanya uchunguzi. Iwapo tutabaini ametenda kosa tutampeleka katika vyombo vya sheria,” amesema Mkadam Khamis. Aidha, picha za video ambazo zinaendelea kusambazwa katika mitandao ya kijamii facebook na twitter zinamuonesha Dadi faki Dadi akishambuliwa kwa maneno makali kutoka kwa mkewe na watu waliomkamata.
HABARI NYENGINE ZINA SEMA
Mkuu wa mkoa akamatwa kwa tuhuma za kutembea na ‘mwanaye’
Kwa ufupi
Dadi alikamatwa juzi akidaiwa kukutwa na mtoto huyo wa mkewe wa ndoa mwenye umri wa miaka 21 katika nyumba ya kulala wageni inayoitwa Executive, jirani na makao makuu ya Uhamiaji hapa nchini Zanzibar katika eneo la Kilimani chini na Maisara, mjini Unguja.

HABARI NYENGINE ZINASEMA
Zanzibar. Mkuu wa zamani wa Mkoa wa Kaskazini Pemba na mshauri wa Rais wa Zanzibar kisiwani humo, Dadi Faki Dadi amekamatwa akituhumiwa kufanya mapenzi na mtoto wake wa kambo. Dadi alikamatwa juzi akidaiwa kukutwa na mtoto huyo wa mkewe wa ndoa mwenye umri wa miaka 21 katika nyumba ya kulala wageni inayoitwa Executive, jirani na makao makuu ya Uhamiaji hapa nchini Zanzibar katika eneo la Kilimani chini na Maisara, mjini Unguja. Mwanasiasa huyo alijikuta akipigwa pingu na polisi akiwa kifua wazi mbele ya mkewe na wanafamilia na kisha kupelekwa katika Kituo Kikuu cha Polisi Mwembemadema. Picha za video zilizosambazwa kwenye mitandao ya kijamii, zilimwonyesha Dadi akikabiliwa na mashambulizi makali ya maneno kutoka kwa watu waliomkamata, akiwamo mkewe. “Mwacheni avae nguo kwanza, mpeleke bwana, twende bwana ni baadhi ya maneno yanayosikika katika video iliyorekodiwa wakati wa kumtia mbaroni.
Taarifa zilizopatikana miongoni mwa wanafamilia ya kiongozi huyo, zilidai kwamba alikamatwa baada ya kumtilia shaka binti huyo kutokana na mienendo yake ya hivi karibuni na kuamua kumfuatilia. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mjini Magharibi, Mkadam Khamis Mkadam alithibitisha kumshikilia Dadi kwa muda kabla ya kumwachia kwa dhamana. “Kijamii alitenda kosa, lakini sisi tunaendelea kufanya uchunguzi, iwapo tutabaini ametenda kosa la kisheria na anaweza kuwa mashtaka tutamkamata ili kumpeleka katika vyombo vya sheria,” alisema Mkadam. Mmoja wa wanafamilia ambaye aliomba jina lake lisitajwe alisema: “Mwizi siku zake ni arobaini, tulimtega na hatimaye tumemnasa sasa tuone mwisho wake utakuwa nini na kipi kitajiri baadaye.”

KISHA NYINYI MUNAYAITA MAPINDUZI MATUKUFU HIVI KWELI NYINYI MUNAJUWA UTUKUFU NI NINI AU DUNIA IMEWAVA KISAWA SAWA MPAKA MNAKUFURU MKOLONI MWEUSI TANGANYIKA KATUPINDUWA TENA WAZANZIBARI NA KUWEKA VIONGOZI WAWATAKAO WAO WAKINA BT TUNAENDELEA TENA KUKA CHINI YA SERIKALI YA KIKOLONI YA MKOLONI MWEUSI TANGANYIKA MPAKA MIAKA MITANO IMALIZIKE KISHA TUTIWE TENA KATIKA SHENGESHA LA UCHAGUZI NA KUPIGA KURA KISHA WAZANZIBARI WAPIGE KURA NA KUCHAGUWA VIONGOZI WAWATAKAO MKOLONI MWEUSI TANGANYIKA ATAKUJA NA STYLE MPYA YA KUZIPIGA KURA ZA WAZANZIBARI CHINI NA KUTUEKEA VIONGOZI WAWATAKAO KISHA TUTAKA TENA CHINI NA KUSUBIRI UCHAGUZI WA 2025 MAMBO YATAKUWA HIVYO HIVYO KISHA TUTAKA CHINA NA KUSUBIRI UCHAGU WA WA 2030 TUKIWA HAI KAMA HATUKO TENA WATAKAO BAKI WATAFANYIWA TENA HIVYO HIVYO NA MKOLONI MWEUSI TANGANYIKA KISHA WATAKA CHINI WASUBIRI......>>> MPAKA KIYAMA KISIMAME BASI NI BORA TU TUKUBALI KUWA NDIO TUMEKUBALI KUWA CHINI YA MKONI MWEUSI TANGANYIKA KULIKO UPUMBAVU HUU WA UCHAGUZI AMBAO KILA MOJA WETU HAPA ZANZIBAR KAMA UCHAGUZI WA MARA HII HAUJAWASOMESHA WALA HATUTA SOMA TENA MILELE. 

KILA MZANZIBARI ALIYE IPIGIA KURA CCM AU MPAKA WAKATI HUU BADO ANAISAPOTI CCM ILI IBAKI MADARAKANI JAPO KUWA CCM IMESHINDWA UCHAGUZI AJUWE NA YEYE ANACHANGIA KUENDELEZA DHULMA NA KUFUNGWA KWA MASHEIKH NA KUTHALILISHWA KWAO NA KUENDELEZA DHULMA KATIKA NCHI YA ZANZIBAR UKAE UKIJUWA UTAULIZWA SIKU YA KIYAMA NA MWENYEZI MUNGU ULIPOSIKIA WAZANZIBARI WENZIO WANADHALILISHWA,KUDHULUMIWA NA KULAWITIWA NA HAWA JE ULIFANYA NINI TAFUTA JIBU LAKO MAPEMA KWA SIKU HIYO YA KIYAMA SIKU AMBAYO MALI NA WATOTO WAKO WALA CHEO CHAKO HAVITAKUFAA SIKU HIYO.

No comments:

Post a Comment