Tuesday, July 19, 2016

IGP MANGU KAMA DAWA YA MAALIM IPO JIKONI DAWA YAKO ISHAWIVA INASUBIRI ULISHWE TU KAA CHONJO



*IGP MANGU MPENI MAALIM HAKI YAKE YA OKTOBA 25, 2015*
Tunaiheshimu serikali na tunaheshimu utendaji wa jeshi la polisi katika kulinda amani lakin hatupo tayari kuona Jeshi la Polisi likiendeleza ukereketwa.
*Mangu* umeshindwa kujitathmini na kuelewa position yako na kipi unatakiwa kufanya kama *IGP* badala yake umeamua kukubali kufungwa *kibwaya* na kucheza ngoma usiyoifahamu.
Hivi _*Mangu* twambie mchochezi ni Maalim Seif alieshinda uchaguzi na kudhulumiwa kwa kupinduliwa maamuzi ya wazanzibari na hilo hilo jeshi lenu Wakoloni Weusi Tanganyika Wazanzibari walio wengi pamoja na kuwatuliza wa znz huku akisisitiza kuidai haki yake/yetu kwa njia za amani, na moja ni kutokushirikiana/kuigomea Serekali haramu IGP Mangu ambayo mumeiweka na kuendelea kuilinda kwa Mitutu Nyinyi Makaburu Weusi Tanganyika.
Au wachochezi ni ccm waliopita na mabango yenye ujumbe "Zanzibar ni nchi ya Waafrika", "Machotara vibaraka wa masultani, Mapinduzi yetu hayawahusu" mbele ya hadhara mbele ya viongozi wakuu wa ccm, labda umesahau unyanyasaji wanaofanyiwa cuf Pemba na Unguja pia.
Hivi kuna mchochezi mkubwa zaidi nchi hii kama si Jecha Salim Jecha? IGP Mangu Naomba twambie ni kifungu gani cha sheria ya uchaguzi na ile sheria mama ambayo ni katiba kinamruhusu Jecha kuyafuta matokeo yote ya halali yalio kamilika...?

*IGP Hebu angalia hii video kidogo kisha niambie nini hii...? Mangu* katika hii nchi ya demokrasia lakini ccm walinadi majukwaani kwamba Serikali hawatoi kwa *vikaratasi* je haukua uchochezi..??
Ukinijibu maswali haya kwa ufasa mimi nitakusaidia kumkamata Maalim Seif kwa hakika yeye atakuwa ndio mchochezi.
*Mangu* punguza Mihemko na kujipendekeza kwa ccm.
Naomba uelewe ya kwamba wanachokifanya CUF ni migomo tu lakini hayo ya hujma za kiuchumi zinafanywa na CCM ikisindikizwa na jeshi la polisi na wewe unajua hilo.
*Mangu* kaa ufahamu yakwamba
*TUMECHOKA KUDHALILISHIWA VIONGOZI WETU* sasa basi na elewa ya kwamba siku utakayothubutu kumgusa *Maalim Seif* utakua umeanzisha vita kati ya Wazanzibari na Jeshi la polisi.
Tunaelewa unajifahari kwa sababu una mitutu ya bunduki, jeshi na vifaru lakini umesahau ya kwamba *NGUVU YA UMMA* haiwezi kushindwa.
Mambo ya kufanya kwa sasa ni haya;
1- *IGP Mangu* andaa jela nyingi kwa sababu huwezi kumkamata *Maalim Seif* tukiwa tunakuangalia, utatukamata *wazanzibari wote*
2- *IGP Mangu* andaa *MAKABURI* mengi kwa sababu hatuwezi kuwa tayari kuwa hai wakati unamdhalilisha kiongozi wetu.
3- *IGP Mangu* jiandae kwenda *The Hague* kwa kukubali kutolewa chambo na CCM.
Ukikamilisha yote hayo *JIANDAE MAANA WAZANZIBARI TUPO TAYARI*

No comments:

Post a Comment