Tuesday, November 8, 2016

VIDEO AFARIKI-JAJI ZUBEIR MAULID ALIYE WAHI KUWA MWENYEKITI (ZEC) AFARIKI DUNIA


Mh Jaji Zubeir Maulid,amewahi kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar(ZEC), alikuwa ni mwalimu na aliwahi kushika nyadhifa mbali mbali Serikalini.Marehemu amefariki nyumbani kwake kwa nchini Zanzibar mjini, na maziko yanatarajiwa kufanyika kwao Mbuzini Unguja kesho.

No comments:

Post a Comment