Sunday, January 31, 2016

WAZANZIBARI; TUNAMJIBU AMINA SALUM ALI


MIAKA 30 YA UONGOZI NA HANA MOJA ALILOFANYA KWA NCHI YA ZANZIBAR WALA KWA WAZANZIBARI ZAIDI YA KUIBA NA KUJITAJIRISHA NA KUPELEKA FAMILIA ZAKE KUSOMA NJE JAPOKUWA NI MAMBUMBUMBU ANAWAPELEKA HIVYO KWA PESA ANAZO IBA ZA WALIPA KODI

AMINA SALUM ALI NA MAMA THERESA
Assalamu Alaekum Ndugu Wazanzibari wote wa Nje na Ndani ya Visiwa Vyetu Adhimu. Na Habari Zenu Ndugu Watanganyika Wa Ndani na Nje Ya Nchi yenu. Ama sisi tunachukua Nafasi hii kama Wazanzibari Kumjibu Amina Salim Ali baada ya yakukaa na kutafakari KAULI yake- aliomtaka Maalim Sefu Sharifu Hamadi Kuingia Katika Uchaguzi haramu WA (CCM) wamarudio. Nakusukuma Lawama Nyingi sana kwa Maalim Sefu Sharifu Hamadi badala kusema Ukweli na Kuacha Kusema Nani haswa aliefanya Makosa yakuivuruga SUK na Kuwapasua Wazanzibari ambao walikuwa tayari wameanza ku-hils their Woond baada ya Makubaliano ya Muwafaka Walioufanya Mh. Amani Abedi Amani Karume kutoka CCM na Sefu Sharif Hamad kutoka CUF.
1. Kama yakuandika haya tuliokusudia, kwanza naomba Samahani sana kwakutoa Historia Fupi ya Amina Salumu Ali. Amina Salumu Ali ni Mjukuu wa Bibi mmoja akiitwa Bi Mpangani aliekuwa akikaa pale Muembe Shauri Karibu na Branch ya Zamani ya Tawi la ASP Muembe Shauri. Bi Mpangani alikuwa ni bibi wa KIMANYEMA Na KIZARAMU na Jamaazake ni wale Akina Yusuf Chunda waliokuwa wakikaa Pale chini Mkungu Malofa- Sehemu Iliojengwa Msikiti kuteremkia uwanja wa Kariakoo. Bi Mpangani alikuwa maarufu kwakuuza Togwa- Baba yake Amina inasemekana ni baadhi ya vijana Waliokuja hapa nchini Zanzibar na wazee wake kutoka Bagamoyo Au Rufiji huko nchini Tanganyika (Sina Hakika hapa). Na Mama yake Amina upande Ni Mzaramo aliekulia Uguja wakati Wazee wake walipohamia Unguja Miaka ya katikati ya 1940. Amina Salumu Ali hawezi kuikataa nchi ya Zanzibar hata kama Wazazi Wake hawakutokea hapa nchini Zanzibar (Unguja) . lakini Wametumia Nguvu zao na fedha za Walipa kodi kuendesha maisha yao na kusomesha watoto wao chini ya Serikali ya ASP na baadae CCM. Kama Baba yake Amina alikuwa Ni Clerical wa Serikali ya SMZ.Wamezaliwa Watu 4-5 katika Tumbo lao na Nawakumbuka vizuri wakati tulipokuwa Wadogo pale Muembeshauri. Dada yake mkubwa (Dar Buhite) aliolewa na Mzee mmoja Polisi ambae tukimwita Kar Slemani, ambae asili yake ni Makunduchi na walikuwa wakikaa Bomani. Halafu akafuatia Amina, halafu Ali na baadae Zulekha. Hapa katikati sijuwi kama kulikuwa na mtoto mwengine au laa. Ndugu yake Zulekha na mtoto wa Dada yake anaitwa Khadija tulicheza pamoja japokuwa wao walikuwa Wadogo zangu kidogo kwakuzaliwa.Wazee Wa Amina Salim Ali Walikuwa ni Wanachama kindaki ndaki wa ASP kama alivokuwa Baba yangu na walikuwa wakikutana katika Tawi hilo la ASP pale Muembeshauri.
Kisa Cha Amina Kumchukia Maalim Sefu na SUK:
Amina Salumu Ali alisoma na kumaliza darasa la 12 wakati wa Awamu ya Mzee Jumbe na akajiendeleza kusoma mpaka akafika kwenye Odinary Diploma. Amina Wakati Wa Awamu ya 2 ya Mzee Jumbe na maalim Sefu Akiwa (Waziri wa Elimu kwa muda Mfupi Sana) -Alinyimwa pesa zakwenda Kusoma India na Serikali ya Jumbe narudia tena akanyimwa pesa zakwenda kusoma india na Serikali ya Jumbe. Kwa sababu alikuwa Elimu hio ya Odinary Diploma ya Finance and Management, ikitolewa hapo DSM katika Chuo kizuri cha IMF na Business College. Hivo Serikali ya Mzee Jumbe ilikubali kumsomesha Amina hapa nchini Tanganyika kwanza – hasa kwa vile Qualification zake hazikuwa Nzuri sanaa lakini yeye mwenyewe alishikilia kwenda kuipata elimu hiyo India. na akanyimwa fedha hizo na ikawa Nongwa na Chuki Juu ya Maalim Sefu, Jumbe na Wapemba kwa Ujumla. Amina Salumu Ali ni Marafiki sana na Haribu Bilali. Amina Alikwenda India kusoma baada yakuanza kazi kama Ofisa wa Fedha Wizara ya Hazina hapo Zamani. Nahatimae kuwa Mkereketwa Mkubwa wa CCM na kushika nafasi za Uwaziri wakati wa Serikali ya Salimini Amour.- Amina Ni Mmoja wa Wazanzibari ambao wana Maradhi ya BT na chuki za Upemba na Uunguja, Uarabu na Uafrica. Amina kawahi kuwa Muwakilishi wa Jimbo la Kiembe Samaki katika mihula mii 2 na Aliwahi kutembea UCHI Pale Michenzani Round About- Ikiwa ni Moja ya kuondoa Nadhiri Yake yakushinda Jimbo la Kiembe samaki kwa Mara ya 2. Nadhiri hiyo Aliiweka baada ya Mfumo wa Vyama vingi kuanzishwa 1995 na CCM kushindwa Vibaya sana na CUF kwa mwaka huo. Na Mara ya pili katika Uchaguzi wa 2000 pia alishinda kwa Marogo na Vishuo.
Sitaki kuwaeleza Katika Awamu ya Mh. Amani Karume kwakutegemea Nyote Munajuwa ni Makundi gani Yaliokuwa Yakimtaka Raisi Awe Ghalib Bilali na hawakumtaka Amani. Na Amani alipowekwa Uraisi ( hakukosa Mwenyewe) Alimtema Amina na Chuki yake Akaijenga Juu ya Amani Karume. Na Huu ndio Mwanzo wakumchukia Amani Karume, na Wakati Maalim Na amani walipokuwa Wakitafuta Muafaka wa Mgogoro wa nchi yetu ya Zanzibar. Akina Amina , Nahodha, Gharibu Bilali, Mwinyihaji, Shamuhuna Kificho, Slemani Nyange ( yule alikufa Majuzi)na Viongozi wengine wenye Asili ya Unguja Walikuwa Wakipiga campeni chini kwa chini ili SUK isipite na Wazanzibari Waipigie kura ya Hapana. Kwasababu Amina Aliloliogopa ni Msimamo wa Maalimu kwamba Akiingia kwenye Madaraka Wahafidhuna kama yeye hawatapata Kula yao na Familia zao na kuendelea kuiba na kujitajirisha. Kwahivo Sababu moja ya Amina kuichukia SUK nikwamba Alitemwa katika Serikali ya Awamu ya Amani Karume – Waanzilishi wa SUK Kwa Muono Wake Amina wa Chuki binafsi ilianzishwa na Watu aliokuwa hawapendi.
Kuhusu Maalim Kuingia Kwenye Uchaguzi:
Sisi Wazanzibari hatukushangai Amina Salumu Ali kukataa Ukweli kwamba Katiba na Sheria ya Nchi Imevunjwa. Na Kwanini hatukushangai kutoa kauli hiyoi Kwa sababu Ufanisi kazi yako hauko katika Standard Inayotakiwa. Tuko na mifano ya Kufukuzwa kwako kazi katika Serikali ya Kimarekani. Na baadae Ukaangukia katika AOU. Na Huko Amina Salum Ali Alibebwa tu na Gharibu Bilali. Hivo Mueleo wa Amina katika Mkondo wa Sheria ni Mdogo sana, lakini haoni kwamba kama sio Hao Maaduwi Zako Maalim Sefu na Amani Karume wewe Usingekuwa na Mdomo Mrefu waku halalisha Haramu na kusahau Halali? Sio hivo tu Amina Salumu Ali hivi sasa anataka arushiwe Fupa katika Serikali yao Haramu ambayo Wataiunda kwanguvu zao zote ili wawavuruge Wazanzibari. Na hii ndio Sababu ya Mwanamke huyu Kutamka maneno ambayo kwa Nyadhifa zake alizokaa hatukutegemea kuwa Mpumbavu Wakutojuwa Haramu na halali.
Unasema Maalim Akubali kushindwa katika Uchaguzi, ikiwa Ni Uchaguzi Maalim Alishakubali kushindwa katika Uchaguzi wa 2010. Japokuwa Ushindi Huo ulikuwa ni wa Margin Ndogo. Kama wewe Una Elimu ya Dini na Dunia Ungelionba hili kwanza kabla yakunywa GONGO na Kuropoka Maneno yasio na mizani. Jengine Uchaguzi Sio wa Maalim bali ni Wazanzibari- maalim Sefu kura yake ni moja tu haizidishi wala haipunguzi ushindi wenu. Hivo tungetegemea kwa utaalamu wako Wazanzibari Wameshafanya Uchaguzi 25.10.2015 na Mshindi anajulikana basi mara hii na Nyinyi CCM Kukubali mara hii kushika nafasi ya MAKAMO wa 1. Kama alivofanya Maalim Sefu?.. Kwanini Mumefuta Uchaguzi kama vile Munacheza Mpira Wa Nage?
Unasema kwamba Maalim Hakuweza Kutumia nafasi ya SUK nakuleta Maendeleo kwa Wazanzibari. Kwanza Wewe Amina Ulikuwa Waziri katika Vipindi 3 na muwakilishi wa jimbo la Kiembesamaki katika vipindi 2- Jee Umeleta Maendeleo gani wakati uliposhikilia Nyadhifa hizo zote? Labda Kufanya Umalaya, Kuharibu pesa za Walipa kodi, kwakuwapeleka Familia Yako Kusoma Nje na Wala hawakuwa na Qualification hata Yakufanya Ordinary Level Exams. Let alone kusoma Cheti cha kazi.Jengine Amina Salumu Ali wakati ukiwa Waziri wa Fedha katika vipindi 3. Uwanja wa Ndege Ulikua Kwenye Wizara yako- Pesa za Kodi za Viwanja Mulizi-allocate Vipi? Wakati Wenu Jinsi mulivokuwa Hamuna Uongozi wala Management, Uwanja wa Ndege wa Zanzibar Ulikuwa kama Uwanja wa Kundemba kule Wazaramo Mulikokuwa Mukichezwa UNYAGO Wakati Mulipopata Ukubwa. ILI MUWEZE KULALA NA Wanaume.
Hivo Uwanja wa Ndege wa nchi ya Zanzibar ni mfano Tosha wakwamba Maalim kwakutumia Mawaziri Wake Wachapa Kazi Kaweza kusimamia baadhi ya Ujenzi au Uboreshaji wa Maendeleo. Licha Ya Sefu Iddi Kuiba Fedha Nakudhoofisha Wizara Zote Zilizokuwa Chini ya CUF-Mfano huo wa Uwanja wa Ndege ni mafanikio makubwa kwa CUF na Maalim kwasababu angalau unaonekana kwenye standard kidogo kuwa na Sehemu ya Depature na Arrival na sehemu yakungojea Wageni. Nyinyi Mumekaa Miaka 52 mulilolileta ni Ufukara, Ujinga, chuki, ubadhirifu,kuwa watu,nchi chafu inanuka na kuza majumba ya shangani na viwanja vya watoto kucheza munauza tu na fukwe za bahari mnauza tu na visiwa mnauza tu na Hata Kutuharibia culture yetu. Lakini CUF wameweza hata Kuzuia Zao Lakarafuu Lisiuzwe Kenya ambalo ndilo linalowalisha Nyinyi na familia zenu. Na Sio hivo tu baada ya SUK kuanza Maalim Alikuwa aanzishe hata Shirika la ndege na mipango ilikuwa Imewiva, lakini SEFU ALI IDDI ndie alieharibu SUK Isiweze kufanikiwa Chini ya Sheni. Tunajuwa Njama zenu ya Kuwasobortage Wapinzani.. Hata hivo SUK singefikia hapo ilipo kama sio Maalim Sefu Sharif Hamad na Mh. Amani Abedi Karume.
Jengine Maalim atatumiaje NAFASI YAKE ndani Ya SUK WAKATI NGUVU ZOTE za Uongozi Wake Mulimvua Na Mukamkabidhi ( JABU Mponda) MAKAMO WA 2. AMBAE KIUKWELI HAKUNA ASIEJUWA KWAMBA HUU NDIO ULIOKUWA UKUTA MWEUSI WAKUINYIMA ZANZIBAR Na Wazanzibari MAENDELEO Ambayo Waliyangoja Kwa Hamu Kubwa. Njama Zenu Ilikuwa Ni Kuibomoa CUF na Kumtia Ubayani Maalim.. Wastara Hasumbuki na Aliepewa Kapewa Amina Mzaramu.
Unasema Maalim Anakwenda kukutana na Dr Sheni wanakunywa Kahawa na Haluwa huku Wakicheka, halafu maalim Akifika Nje anabadilika.. Nafikiri Statement Hii Uliposema Ulikuwa Tayari Umeshalewa Gongo Lako La Mapapai Mabovu na Mahindi. Ukweli Hata huyo Mtoto Mdogo hawezi Kutamka Usemi Huu kwakujuwa Kwamba Watu waliovunja Mazungumzo Ni Nyinyi CCM Wahafidhuna.Kumbe Amina Salimu Ali Wewe Unataka kuuguwa Wazimu Nini?. Kwasababu Maalim Sefu Alikaa Kimya kwa Muda Mrefu sana na Nyinyi CCM hasa UVCCM, Waride, Vuyai, Sefu Iddi walikuwa Wakifanya Mikutano na Waandishi wa Habari na kutoa kauli za Uchaguzi na Kutotambua Mazungumzo ya maalim na Sheni.. na Mwisho Sheni alisema hatishwi na kutoa kauli Chafu.. Ndio maalim Akaja na Msimamo madhubuti kabisa ambao Amewaacha CCM ukiwemo wewe Ukiunya Unya..
Kwakumalizia Tunamuomba Amina salumu Ali aache Uongo na unafiki wa Kihafidhina kwakutaka Cheo katika Serikali ya Magufuli au Serikali haramu ya CCM. Bali Uwambie Ukweli Wazanzibari Kwanini Wakubali Uchaguzi wa Marudio wakati katika Tovuti la ZEC mpaka sasa hakuna Complain Zozote za Uchaguzi Wao Waliofanya 25. October.
Ama Kweli Kusoma sio kufahamu, Naamini Huyu Mama kwa Mawazo yake na kauli yake Hii Hafai hata kuwa Makamo wa Kwanza wa Raisi let alone Raisi wa Muungano.
Mtoto wa Ngedere ni Ngedere Tuu hata Umvishe Manukato.
Wabilahi Toufiq.
KISHA NYINYI MUNAYAITA MAPINDUZI MATUKUFU HIVI KWELI NYINYI MUNAJUWA UTUKUFU NI NINI AU DUNIA IMEWAVA KISAWA SAWA MPAKA MNAKUFURU 

KILA MZANZIBARI ALIYE IPIGIA KURA CCM AU MPAKA WAKATI HUU BADO ANAISAPOTI CCM ILI IBAKI MADARAKANI JAPO KUWA CCM IMESHINDWA UCHAGUZI AJUWE NA YEYE ANACHANGIA KUENDELEZA DHULMA NA KUFUNGWA KWA MASHEIKH NA KUTHALILISHWA KWAO NA KUENDELEZA DHULMA KATIKA NCHI YA ZANZIBAR UKAE UKIJUWA UTAULIZWA SIKU YA KIYAMA NA MWENYEZI MUNGU ULIPOSIKIA WAZANZIBARI WENZIO WANADHALILISHWA,KUDHULUMIWA NA KULAWITIWA NA HAWA JE ULIFANYA NINI TAFUTA JIBU LAKO MAPEMA KWA SIKU HIYO YA KIYAMA SIKU AMBAYO MALI NA WATOTO WAKO WALA CHEO CHAKO HAVITAKUFAA SIKU HIYO.

Friday, January 29, 2016

NCHINI ZANZIBAR HALI NI HII TUNAJUWA NI POLISI LAKINI MNAJIFANYA KAMA NI WAHUNI POMBE MAGUFULI HAYA MAJIPU YAKO YATAKUPELEKA THE HAGUE











waliobeba bunduki na mapanga wakiwa kwenye magari yao na ya vikosi vya SMZ muda huu 

wakiranda na kutisha watu mjini Unguja. Jeshi la Polisi linajibadilisha na kujifanya wahuni 

kisha hujifanya polisi tushawajuwa kuwa muna baraka zote za serikali ya Mkoloni Mweusi 

Tanganyika inayo ongozwa na Pombe Maguvuli na hichi ndicho anacho jivunia Shein na Seif 

iddi,vua ali vuai,nadhoda,kificho, N.K wanaungwa mkono na Sultani,Kaburu Mweusi Pombe 

Magufuli.ila mkae mkijuwa The Hague jela zao hazijaja na wala hazijai.Askari polisi wa 

Zanzibar wanao valia mavazi ya vichekesho na kujifanya kuwa ni Wahuni wa CCM na 

kufanya maovu yao.


KISHA NYINYI MUNAYAITA MAPINDUZI MATUKUFU HIVI KWELI NYINYI MUNAJUWA UTUKUFU NI NINI AU DUNIA IMEWAVA KISAWA SAWA MPAKA MNAKUFURU 

KILA MZANZIBARI ALIYE IPIGIA KURA CCM AU MPAKA WAKATI HUU BADO ANAISAPOTI CCM ILI IBAKI MADARAKANI JAPO KUWA CCM IMESHINDWA UCHAGUZI AJUWE NA YEYE ANACHANGIA KUENDELEZA DHULMA NA KUFUNGWA KWA MASHEIKH NA KUTHALILISHWA KWAO NA KUENDELEZA DHULMA KATIKA NCHI YA ZANZIBAR UKAE UKIJUWA UTAULIZWA SIKU YA KIYAMA NA MWENYEZI MUNGU ULIPOSIKIA WAZANZIBARI WENZIO WANADHALILISHWA,KUDHULUMIWA NA KULAWITIWA NA HAWA JE ULIFANYA NINI TAFUTA JIBU LAKO MAPEMA KWA SIKU HIYO YA KIYAMA SIKU AMBAYO MALI NA WATOTO WAKO WALA CHEO CHAKO HAVITAKUFAA SIKU HIYO.

WATAKUBALI WAPI KURUSHA LIVE BUNGENI WAKATI BUNGENI NDIO 5 STAR HOTEL YAO.





KISHA NYINYI MUNAYAITA MAPINDUZI MATUKUFU HIVI KWELI NYINYI MUNAJUWA UTUKUFU NI NINI AU DUNIA IMEWAVA KISAWA SAWA MPAKA MNAKUFURU 

KILA MZANZIBARI ALIYE IPIGIA KURA CCM AU MPAKA WAKATI HUU BADO ANAISAPOTI CCM ILI IBAKI MADARAKANI JAPO KUWA CCM IMESHINDWA UCHAGUZI AJUWE NA YEYE ANACHANGIA KUENDELEZA DHULMA NA KUFUNGWA KWA MASHEIKH NA KUTHALILISHWA KWAO NA KUENDELEZA DHULMA KATIKA NCHI YA ZANZIBAR UKAE UKIJUWA UTAULIZWA SIKU YA KIYAMA NA MWENYEZI MUNGU ULIPOSIKIA WAZANZIBARI WENZIO WANADHALILISHWA,KUDHULUMIWA NA KULAWITIWA NA HAWA JE ULIFANYA NINI TAFUTA JIBU LAKO MAPEMA KWA SIKU HIYO YA KIYAMA SIKU AMBAYO MALI NA WATOTO WAKO WALA CHEO CHAKO HAVITAKUFAA SIKU HIYO.

Thursday, January 28, 2016

TAMKO RASMI LA CHAMA CHA WANANCHI CUF ((UKAWA)) 28-1-2016 KUSHIRIKI AU KUTO KUSHIRIKI UCHAGUZI. HARAMU WA JECHA,SHEIN,SEIF IDDI NA KUNDI LAO CCM MACHOTARA

TAMKO RASMINI LA CHAMA CHA WANANCHI CUF (UKAWA) LILOFANYIKA LEO TAREHE 28/1/2016 DAR-ES-SALAAM KUHUSU KUSHIRIKI AU KUTOKUSHIRIKI UCHAGUZI WA MAREJEO ZANZIBAR.
AZIMIO LA BARAZA KUU LA UONGOZI LA TAIFA KUHUSU TANGAZO LA MWENYEKITI WA TUME YA UCHAGUZI YA ZANZIBAR LA KUITISHA UCHAGUZI WA MARUDIO ZANZIBAR
Baraza Kuu la Uongozi la Taifa la THE CIVIC UNITED FRONT (CUF – Chama Cha Wananchi), likiwa ndiyo chombo cha juu cha maamuzi katika Chama baada ya Mkutano Mkuu wa Taifa, limefanya kikao cha dharura leo, tarehe 28 Januari, 2016, katika Ofisi Kuu ya CUF, mjini Dar es Salaam. Kikao hicho kilikuwa na ajenda moja tu, ambayo ni kufanya maamuzi kuhusiana na tangazo la Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar la kuitisha uchaguzi wa marudio.
Baada ya kujadili kwa kina tamko hilo la Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar, Jecha Salum Jecha, la kuitisha uchaguzi wa marudio tarehe 20 Machi, 2016 na mwenendo mzima wa hali ya kisiasa Zanzibar tokea alipotoa tamko lake batili la tarehe 28 Oktoba, 2015 kudai kwamba amefuta uchaguzi mkuu wa Zanzibar wa tarehe 25 Oktoba, 2015 na matokeo yake, Baraza Kuu la Uongozi la Taifa limefikia maazimio yafuatayo:
1. KWAMBA Uchaguzi Mkuu wa Zanzibar umeshafanyika tarehe 25 Oktoba, 2015, ambapo kwa upande wa uchaguzi wa Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi na Madiwani ulikwisha kamilika na washindi wote kupewa shahada za kuwathibitisha na kuwatambua kama washindi halali. Kwa upande wa uchaguzi wa Rais wa Zanzibar, matokeo yalikwisha bandikwa nje ya vituo vya majumuisho vya majimbo yote 54. Kilichokuwa kinaendelea baada ya hapo ni kuhakiki matokeo hayo kutoka majimboni na kazi hiyo ilikwishakamilika kwa majimbo 40 na katika hayo, matokeo ya uchaguzi wa Rais kwa majimbo 31 yalikwishatangazwa kabla ya Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi, Jecha Salum Jecha, kutangaza isivyo halali kwamba ameufuta uchaguzi huo.
2. KWAMBA Chama Cha Wananchi (CUF) hakitoshiriki katika uchaguzi wa marudio uliopangwa kufanyika tarehe 20 Machi, 2016 kwa sababu uchaguzi huo si halali kwani uchaguzi halali ulishafanyika.
3. KWAMBA linatoa wito kwa Wazanzibari wote wanaoipenda nchi yao na ambao wanaamini katika utawala wa sheria, demokrasia na kuheshimu Katiba na Sheria za nchi yetu kutoshiriki katika uchaguzi huo usio halali wa marudio.
4. KWAMBA sababu kuu ya Baraza Kuu kufikia maamuzi haya ni kutokana na matamko yote mawili ya Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar, Jecha Salum Jecha, kutokuwa halali na kwenda kinyume na Katiba ya Zanzibar na Sheria ya Uchaguzi ya Zanzibar Nam. 11 ya 1984. Hakuna kifungu chochote cha Katiba ya Zanzibar au Sheria ya Uchaguzi ya Zanzibar kinachotoa uwezo kwa Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar na hata kwa Tume yenyewe kufuta uchaguzi au kuitisha uchaguzi wa marudio.
5. KWAMBA linazipongeza na limetiwa moyo sana na taasisi na jumuiya zote za kimataifa na kikanda zikiwa ni pamoja na Jumuiya ya Madola (The Commonwealth), Umoja wa Ulaya (European Union), Umoja wa Afrika (African Union), Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi za Kusini mwa Afrika (SADC) na Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) pamoja na nchi za Marekani na Uingereza kwa msimamo wao wa kuungana na Wazanzibari na kutetea haki yao ya kidemokrasia na maamuzi halali waliyoyafanya katika uchaguzi mkuu wa tarehe 25 Oktoba, 2015 na kutaka mchakato wa uchaguzi huo ukamilishwe na matokeo yake kutangazwa.
6. KWAMBA linazipongeza na kutiwa moyo pia na taasisi za hapa nchini zikiwemo taasisi na jumuiya za kidini, taasisi za haki za binadamu, vyombo huru vya habari, vyama vyengine vya siasa na Wazanzibari na Watanzania wote wanaopenda amani na demokrasia kwa msimamo wao wa kutetea maamuzi ya Wazanzibari waliyoyafanya katika uchaguzi mkuu wa tarehe 25 Oktoba, 2015 na kuendelea kusisitiza haja ya kuheshimu na kufuata Katiba na Sheria za nchi yetu na pia haja na umuhimu wa kutunza amani ya nchi yetu kwa kutaka haki itendeke. Baraza Kuu linazihakikishia taasisi na jumuiya hizo zote na pia kuwahakikishia Wazanzibari na Watanzania wote kwamba CUF itaendelea kusimama kidete katika kulinda na kutetea Katiba na Sheria za nchi yetu na pia kutetea maamuzi ya Wazanzibari waliyoyafanya tarehe 25 Oktoba, 2015.
7. KWAMBA limesikitishwa na kushangazwa na kitendo cha Msajili wa Vyama vya Siasa, Jaji Francis Mutungi, kuandika barua na kutoa taarifa kwa vyombo vya habari kutaka vyama vya siasa vishiriki uchaguzi wa marudio uliopangwa kufanyika tarehe 20 Machi, 2016 bila ya kujali kwamba uchaguzi huo ni haramu na unakiuka matakwa ya Katiba ya Zanzibar na Sheria ya Uchaguzi ya Zanzibar Nam. 11 ya 1984. Baraza Kuu halikutarajia mtu mwenye hadhi ya Ujaji kufanya kazi ya kutumikia maslahi ya watawala ambao wameamua kuvunja Katiba na Sheria za nchi yetu na kukanyanga misingi ya haki na demokrasia huku akishindwa kukemea uhuni mkubwa uliofanywa wa kubaka demokrasia na haki za watu.
8. KWAMBA limesikitishwa na kitendo cha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dk. John Pombe Magufuli, kukwepa dhamana na wajibu wake kama Mkuu wa Nchi na Amiri Jeshi Mkuu kwa kuiacha njiani kazi aliyoianza ya kutafuta ufumbuzi wa mkwamo wa uchaguzi Zanzibar. Baraza Kuu linamtaka Rais Magufuli kujitathmini na kujiuliza anajiweka vipi na kutoa taswira gani mbele ya macho ya Watanzania na jumuiya ya kimataifa kutokana na kutosimamia ahadi yake aliyoitoa mbele ya Watanzania wakati akilizindua Bunge jipya kwamba atafanya kazi na vyama vya CUF na CCM ili kuupatia ufumbuzi mkwamo huu.
9. KWAMBA linalaani matumizi ya nguvu kubwa ya vyombo vya ulinzi na usalama vya Jamhuri ya Muungano na Vikosi vya SMZ dhidi ya wananchi wasio na hatia na ambao wamekuwa watulivu licha ya vitendo vingi vya uchokozi wa makusudi na hata mashambulizi ya hujuma dhidi yao yanayofanywa na makundi ya vijana wa CCM waliowekwa katika makambi kadhaa kisiwani Unguja.
10. KWAMBA linaitaka jumuiya ya kimataifa na hasa taasisi zinazosimamia haki za binadamu na zinazopambana na makosa ya jinai kimataifa ikiwemo Mwendesha Mashtaka wa Mahakama ya Kimataifa ya Makosa ya Jinai (International Criminal Court – ICC) kufanya uchunguzi wa kauli na matendo ya uhalifu, uvunjwaji mkubwa wa haki za binadamu na ubaguzi ambao umekuwa ukifanywa dhidi ya wananchi wa Zanzibar na kuchukua hatua dhidi ya watu walio nyuma ya maamuzi na utekelezaji wa matukio hayo.
11. KWAMBA linawapongeza wananchi wa Zanzibar kwa kuonesha ukomavu wa hali ya juu na kuwa watulivu licha ya machungu makubwa waliyoyapitia na wanayoendelea kuyapitia tokea pale maamuzi yao yalipopinduliwa na CCM kwa kumtumia Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar, Jecha Salum Jecha. Baraza Kuu linatoa wito kwa Wazanzibari wote kuungana pamoja chini ya chama chao cha CUF walichokipa ridhaa halali kupitia uchaguzi mkuu wa tarehe 25 Oktoba, 2015 kutetea maamuzi yao waliyoyafanya kupitia sanduku la kura kwa njia za amani. Baraza Kuu linawasisitiza tena Wazanzibari kwamba waendelee kutunza amani ya nchi yetu na kutambua kwamba kutunza amani si udhaifu bali ni jambo linaloipa nguvu jumuiya ya kimataifa kufuatilia haki za kidemokrasia za wananchi wa Zanzibar.
12. Baraza Kuu la Uongozi la Taifa linawatahadharisha CCM na watawala wasiowajali na kuwaheshimu wananchi kwamba zama za utawala wa mabavu usioheshimu Katiba na Sheria za nchi hazina nafasi tena katika dunia ya leo. Baraza Kuu lina imani kwamba HAKI ITASHINDA.
LIMETOLEWA NA:
BARAZA KUU LA UONGOZI LA TAIFA
THE CIVIC UNITED FRONT
(CUF – Chama Cha Wananchi)
DAR ES SALAAM
28 JANUARI, 2016

KISHA NYINYI MUNAYAITA MAPINDUZI MATUKUFU HIVI KWELI NYINYI MUNAJUWA UTUKUFU NI NINI AU DUNIA IMEWAVA KISAWA SAWA MPAKA MNAKUFURU 

KILA MZANZIBARI ALIYE IPIGIA KURA CCM AU MPAKA WAKATI HUU BADO ANAISAPOTI CCM ILI IBAKI MADARAKANI JAPO KUWA CCM IMESHINDWA UCHAGUZI AJUWE NA YEYE ANACHANGIA KUENDELEZA DHULMA NA KUFUNGWA KWA MASHEIKH NA KUTHALILISHWA KWAO NA KUENDELEZA DHULMA KATIKA NCHI YA ZANZIBAR UKAE UKIJUWA UTAULIZWA SIKU YA KIYAMA NA MWENYEZI MUNGU ULIPOSIKIA WAZANZIBARI WENZIO WANADHALILISHWA,KUDHULUMIWA NA KULAWITIWA NA HAWA JE ULIFANYA NINI TAFUTA JIBU LAKO MAPEMA KWA SIKU HIYO YA KIYAMA SIKU AMBAYO MALI NA WATOTO WAKO WALA CHEO CHAKO HAVITAKUFAA SIKU HIYO.

NI NANI ALIYE FANYA MAPINDUZI YA ZANZIBAR OKELLO NA KUNDI LAKE LA WATANGANYIKA AU MACHOTARA WA CCM...???

KISHA NYINYI MUNAYAITA MAPINDUZI MATUKUFU HIVI KWELI NYINYI MUNAJUWA UTUKUFU NI NINI AU DUNIA IMEWAVA KISAWA SAWA MPAKA MNAKUFURU 

KILA MZANZIBARI ALIYE IPIGIA KURA CCM AU MPAKA WAKATI HUU BADO ANAISAPOTI CCM ILI IBAKI MADARAKANI JAPO KUWA CCM IMESHINDWA UCHAGUZI AJUWE NA YEYE ANACHANGIA KUENDELEZA DHULMA NA KUFUNGWA KWA MASHEIKH NA KUTHALILISHWA KWAO NA KUENDELEZA DHULMA KATIKA NCHI YA ZANZIBAR UKAE UKIJUWA UTAULIZWA SIKU YA KIYAMA NA MWENYEZI MUNGU ULIPOSIKIA WAZANZIBARI WENZIO WANADHALILISHWA,KUDHULUMIWA NA KULAWITIWA NA HAWA JE ULIFANYA NINI TAFUTA JIBU LAKO MAPEMA KWA SIKU HIYO YA KIYAMA SIKU AMBAYO MALI NA WATOTO WAKO WALA CHEO CHAKO HAVITAKUFAA SIKU HIYO.

JECHA JECHA JECHA DAAAAAH KARIBU ULISHE WATU TAKA MSAMAHA KWA M.MUNGU KWANZA

KILA MZANZIBARI ALIYE IPIGIA KURA CCM AU MPAKA WAKATI HUU BADO ANAISAPOTI CCM ILI IBAKI MADARAKANI JAPO KUWA CCM IMESHINDWA UCHAGUZI AJUWE NA YEYE ANACHANGIA KUENDELEZA DHULMA NA KUFUNGWA KWA MASHEIKH NA KUTHALILISHWA KWAO NA KUENDELEZA DHULMA KATIKA NCHI YA ZANZIBAR UKAE UKIJUWA UTAULIZWA SIKU YA KIYAMA NA MWENYEZI MUNGU ULIPOSIKIA WAZANZIBARI WENZIO WANADHALILISHWA,KUDHULUMIWA NA KULAWITIWA NA HAWA JE ULIFANYA NINI TAFUTA JIBU LAKO MAPEMA KWA SIKU HIYO YA KIYAMA SIKU AMBAYO MALI NA WATOTO WAKO WALA CHEO CHAKO HAVITAKUFAA SIKU HIYO.

Tuesday, January 26, 2016

KESHO TAREHE 27 JANUARI 2016 TUNATIMIZA MIAKA 15 TOKEA YALIPOFANYIKA MAUJI YA KINYAMA YA KULIWA WAZANZIBARI WASIO PUNGUWA 65 HAPA HAPA NCHINI KWAO ZANZIBAR


TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Kesho, tarehe 27 Januari, 2016 tutakuwa tunatimiza miaka 15 tokea yalipofanyika mauaji ya kinyama ya watu wasiopungua 65 visiwani Zanzibar waliouliwa na vyombo vya dola wakati maelfu ya wananchi walipofanya maandamano ya amani kudai haki yao ya kuchagua viongozi wanaowataka mwaka 2001. Mamia ya watu wengine walijeruhiwa vibaya na wengine kupoteza viungo hadi leo huku Tanzania kwa mara ya kwanza ikizalisha wakimbizi wa kisiasa wapatao 2,000 waliokimbilia Shimoni, Mombasa, nchini Kenya.
Kila mwaka tumekuwa tukiadhimisha siku hii kwa njia mbali mbali ikiwemo kufanya maandamano, mikutano ya hadhara, visomo vya kuwaombea marehemu na bendera za Chama kupepea nusu mlingoti.
Kwa mwaka huu, Jumuiya ya Vijana ya Chama Cha Wananchi (JUVICUF), waliiandikia Polisi Wilaya ya Mjini Unguja barua rasmi na kutoa taarifa ya kufanya matembezi ya amani yatakayofuatiwa na mkutano wa hadhara. Polisi wamejibu barua kwa kukataza kufanyika matembezi hayo na mkutano huo wa hadhara.
Kutokana na hali ya nchi ilivyo, na hasa kwa kujali usalama wa wananchi, uongozi wa CUF ngazi ya Taifa, umetoa agizo rasmi la Chama kwa Jumuiya ya Vijana wa CUF kuwataka WASIFANYE matembezi hayo na mkutano huo wa hadhara.
Badala yake, uongozi wa Chama Makao Makuu unaagiza kwamba tuadhimishe siku hiyo kwa kupeperusha bendera za Chama nusu mlingoti kwenye ofisi zote za Chama nchi nzima.
HAKI SAWA KWA WOTE
ISMAIL JUSSA
KAIMU MKURUGENZI WA HABARI NA MAWASILIANO
26 JANUARI, 2016

KILA MZANZIBARI ALIYE IPIGIA KURA CCM AU MPAKA WAKATI HUU BADO ANAISAPOTI CCM ILI IBAKI MADARAKANI JAPO KUWA CCM IMESHINDWA UCHAGUZI AJUWE NA YEYE ANACHANGIA KUENDELEZA DHULMA NA KUFUNGWA KWA MASHEIKH NA KUTHALILISHWA KWAO NA KUENDELEZA DHULMA KATIKA NCHI YA ZANZIBAR UKAE UKIJUWA UTAULIZWA SIKU YA KIYAMA NA MWENYEZI MUNGU ULIPOSIKIA WAZANZIBARI WENZIO WANADHALILISHWA,KUDHULUMIWA NA KULAWITIWA NA HAWA JE ULIFANYA NINI TAFUTA JIBU LAKO MAPEMA KWA SIKU HIYO YA KIYAMA SIKU AMBAYO MALI NA WATOTO WAKO WALA CHEO CHAKO HAVITAKUFAA SIKU HIYO.

Wednesday, January 20, 2016

INNALILAHI WAINA ILAHI RAJIUNI ASHA BAKARI MAKAME AFARIKI DUNIA





KILA MZANZIBARI ALIYE IPIGIA KURA CCM AU MPAKA WAKATI HUU BADO ANAISAPOTI CCM ILI IBAKI MADARAKANI JAPO KUWA CCM IMESHINDWA UCHAGUZI AJUWE NA YEYE ANACHANGIA KUENDELEZA DHULMA NA KUFUNGWA KWA MASHEIKH NA KUTHALILISHWA KWAO NA KUENDELEZA DHULMA KATIKA NCHI YA ZANZIBAR UKAE UKIJUWA UTAULIZWA SIKU YA KIYAMA NA MWENYEZI MUNGU ULIPOSIKIA WAZANZIBARI WENZIO WANADHALILISHWA,KUDHULUMIWA NA KULAWITIWA NA HAWA JE ULIFANYA NINI TAFUTA JIBU LAKO MAPEMA KWA SIKU HIYO YA KIYAMA SIKU AMBAYO MALI NA WATOTO WAKO WALA CHEO CHAKO HAVITAKUFAA SIKU HIYO.