Thursday, February 25, 2016

MPAMBANAJI EDDY AL MUGHEIRY MARUFU EDDY RIYAMI AMETOKA KWA DHAMANA ALHAMDULILAHI


BADO MASHEIKH WETU MKOLONI MWEUSI TANGANYIKA NA KIBARAKA WAKO SULTANI MNKURUNZINZI SHEIN AMBIZANENI MUWATOWE MASHEIKH AU MJIANDAE NA ADHABU KUBWA YA M.MUNGU HAPA DUNIANI NA KESHO AKHERA PIA.




HAWA WALIKUWEPO NA WENGINE WENGI SANA WAKAFANYA WALIO YAFANYA MAMBO MABAYA MABAYA KWA WAZANZIBARI WASIO NA HATIA YOYOTE WALIUWA WAKANAJISI WANAUWE,WANAWAKE,WAKE ZA WATU,WATOTO WAWATU WAKIKI WADOGO WAKAFANYA WALIO FANYA WAKAIBA NA KUPORA MALI ZA WATU NA HATA WAKE ZA WATU PIA WAKAWA WEKA WATU VIZUIZINI NA MAJELA NA KUWATESA KILA AINA YA MATESO LAKINI SWALI LA KUJIULIZA LEO HII WAKO WAPI....? WAKO WAPI....? WAKO WAPI....? HAWA SIWALIKUWA NA MAGUVU YAO NA KIBRI CHAO NA MATESO YAO NA KUNAJISI WAKE ZA WATU NA WATOTO WAKIKE WADOGO NA HATA KUNAJISI WANAUME SASA LEO HII WAKO WAPI.....?  LEO HII HATA MNAWASIKI AU HATA MNAJUWA MAKABURI YAO YALIPO BASI NA WEWE MNKURUZINZI SHEIN NA MKOLONI MWEUSI POMBE MAGUVULI MJIJUWE MNAFANYA MNAYO YAFANYA ILA IPO SIKU MFALME WA KWELI ATAWATIA KATIKA MKONO WAKE NA HAPO NDIO UTAJUWA KAMA MAHARAGE SIO MBOGA NI KIUNGIO TU CHA UGALI KATIKA MBOGA. NYERERE YUKO WAPI....? HITLER YUKO WAPI....? GADDAFI YUKO WAPI..? ITAKUWA WEWE POMBE NA MNKURUZINZI SHEIN MNAJIDAGANYA NA PUMZI MSIZO WEZA KUZIKONTROLI BI ASHA BAKARI YUKO WAPI...? DR OMAR ALI JUMA YUKO WAPI.....?

 KISHA NYINYI MUNAYAITA MAPINDUZI MATUKUFU HIVI KWELI NYINYI MUNAJUWA UTUKUFU NI NINI AU DUNIA IMEWAVA KISAWA SAWA MPAKA MNAKUFURU 

KILA MZANZIBARI ALIYE IPIGIA KURA CCM AU MPAKA WAKATI HUU BADO ANAISAPOTI CCM ILI IBAKI MADARAKANI JAPO KUWA CCM IMESHINDWA UCHAGUZI AJUWE NA YEYE ANACHANGIA KUENDELEZA DHULMA NA KUFUNGWA KWA MASHEIKH NA KUTHALILISHWA KWAO NA KUENDELEZA DHULMA KATIKA NCHI YA ZANZIBAR UKAE UKIJUWA UTAULIZWA SIKU YA KIYAMA NA MWENYEZI MUNGU ULIPOSIKIA WAZANZIBARI WENZIO WANADHALILISHWA,KUDHULUMIWA NA KULAWITIWA NA HAWA JE ULIFANYA NINI TAFUTA JIBU LAKO MAPEMA KWA SIKU HIYO YA KIYAMA SIKU AMBAYO MALI NA WATOTO WAKO WALA CHEO CHAKO HAVITAKUFAA SIKU HIYO.

Wednesday, February 24, 2016

VIDEO-PONDA ISSA PONDA,,,KUPIGANIA HAKI ZA WAISLAMU.

PART 1
PART 2
KISHA NYINYI MUNAYAITA MAPINDUZI MATUKUFU HIVI KWELI NYINYI MUNAJUWA UTUKUFU NI NINI AU DUNIA IMEWAVA KISAWA SAWA MPAKA MNAKUFURU 

KILA MZANZIBARI ALIYE IPIGIA KURA CCM AU MPAKA WAKATI HUU BADO ANAISAPOTI CCM ILI IBAKI MADARAKANI JAPO KUWA CCM IMESHINDWA UCHAGUZI AJUWE NA YEYE ANACHANGIA KUENDELEZA DHULMA NA KUFUNGWA KWA MASHEIKH NA KUTHALILISHWA KWAO NA KUENDELEZA DHULMA KATIKA NCHI YA ZANZIBAR UKAE UKIJUWA UTAULIZWA SIKU YA KIYAMA NA MWENYEZI MUNGU ULIPOSIKIA WAZANZIBARI WENZIO WANADHALILISHWA,KUDHULUMIWA NA KULAWITIWA NA HAWA JE ULIFANYA NINI TAFUTA JIBU LAKO MAPEMA KWA SIKU HIYO YA KIYAMA SIKU AMBAYO MALI NA WATOTO WAKO WALA CHEO CHAKO HAVITAKUFAA SIKU HIYO.


Monday, February 22, 2016

DR. SHEIN AILALAMIKIA MITANDAO YA KIJAMII KWAMBA INAPOTOSHA UKWELI NA KUHATARASHA AMANI

12705185_1119300258080109_3114559617615683256_n
JE WEWE ULIYE SHINDWA UCHAGUZI NA KUENDELEA KUJI ITAA RAISI HALALI NA KUENDELEA KULINDWA NA JESHI LA NCHI YA JIRANI TANGANYIKA MUSULTANI WEUSI NA KUSAMBAZA MAZOMBI NCHI NZIMA ILI WAWATISHE WAZANZIBARI WASIDAI HAKI YA KURA ZAO WALIZO PIGA 25.10.2015 NA KUKUKATA WEWE KUWA SIO RAISI WANAE MTAKA LAKINI WEWE BADO UMENGANGANIA NA KULAZIMISHA UCHAGUZI HARAMU JE HUHATARISH AMANI YA NCHI KWA KUYAFANYA HAYO....?? JE HUJIONI KAMA WEWE NDIO MVUNJIFU MKUBWA WA SHERIA NA KATIBA AU NDIO UNA MACHO LAKINI HUONI,UNAMASIKIO LAKINI HUSIKI.....??


Aliyekuwa Rais wa Zanzibar Dk. Ali Mohamed Shein amewataka watumiaji wote wa mitandao ya kijamii na wale wenye dhamana ya kusimamia na kufanya tahariri wawe makini zaidi ili kulinda hali ya amani ya nchi na kujiepusha na matatizo yanayoweza kuwakumba kwa uvunjaji wa sheria.Dk. Shein aliyasema hayo leo katika maadhimisho ya Siku ya Sheria Zanzibar zilizofanyika katika viwanja vya Victoria Garden, Mjini Zanzibar na kuhudhuriwa na viongozi mbali mbali akiwemo Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Idd, Jaji Mkuu wa Zanzibar Omar Othman Makungu, Jaji Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mohamed Chande Othman na wengineo.Katika hotuba yake hiyo Dk. Shein alisema kuwa inasikitisha kuona kwamba baadhi ya viongozi na wahariri wa mitandao hiyo wanaishi hapa Zanzibar na wanausahau utu wao pamoja na utu wa wenzao kwani heshima ya wananchi wa Zanzibar inayoambatana na utamaduni na desturi zao zinajulikana vizuri sana.Aidha, Dk. Shein alisema kuwa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, ina imani kwamba kuwepo kwa mitandao ya kijamii iliyobora na inayotumainiwa na kuongozwa kwa kuzingatia sheria ni jambo la lazima kwa maendeleo na kuimarisha uhuru wa wananchi wa kutoa maoni kama ilivyoelezwa na Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984 katika Ibara ya 18.
Dk. Shein alisema Serikali inaendelea kuhakikisha kuwa uhuru wa wananchi wa kuwa na maoni yao pamoja na uwezo na kutafuta na kutoa taarifa unatumiwa vizuri na kwa kuzingatia sheria, ili kulinda haki za wananchi na maslahi ya nchi.“Kwa upande mwengine, ni wajibu wa kila mwananchi kuelewa kwamba Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984 inatulinda na inatuhakikishia kuwa katika utumiaji wa taarifa na utoaji wa maoni, utu wa mtu unaheshimika na hakuna aliye

na haki kisheria ya kuweza kumdhalilisha mwenzake”,alisema Dk. Shein.Aidha, Dk. Shein alisema kuwa Sheria ya Mitandao ya mwaka 2015, iliyopitishwa na Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, inazidi kulinda heshima, hifadhi na faragha za wananchi katika suala zima la mawasiliano kupitia mitandao na simu kama ilivyokusudiwa na sheria hiyo.Dk. Shein alisema kuwa ipo baadhi ya mitandao ya kijamii ambayo inatumiwa kurusha habari za uchochezi na habari za uongo dhidi ya Serikali ambapo baadhi ya wakati mitandao hiyo inaruhusu wanachama kutumia taarifa huku wakificha majina yao.Katika hotuba yake hiyo Dk. Shein alisema kuwa ni wazi kwamba kauli mbiu ya mwa ka huu isemayo ‘ Matumizi Mabaya ya Mitandao ya Kijamii Yanaweza kuwa Chanzo cha Uvunjaji wa Sheria na Amani ya Nchi” imekuja wakati mzuri ambapo matumizi ya simu na mitandao yameongezeka na kukua kwa kiasi kikubwa hapa Zanzibar.
Alisema kuwa hivi sasa mwananchi wa Zanzibar, takriban popote alipo katika kisiwa cha Unguja na Pemba anaweza kupata huduma za inteneti na kujiunga na mitandao ya kijamii yote muhimu duniani kwa haraka na wepesi kwa kupitia mashirik mbali mbali ya simu yaliopo Zanzibar.“Mitandao yote hii sasa imekuwa ni nyenzo muhimu ya kurahisisha utoaji wa huduma na ya kupeana taarifa mbali mbali zikiwemo zile

zinazoitwa ‘dripu’…ni taarifa zinazotolewa kwa lengo la kutiana moyo juu ya jambo fulani japo kuwa taarifa hizo baadhi ya wakati huwa hazina ukweli wala mantiki yoyote”,alisema Dk. Shein.Dk. Shein alisema kuwa faida zinazopatikana kwa kuwepo na kuimarika kwa huduma za intaneti, mitandao ya kijamii na huduma za simu zimegusa sekta zote za kiuchumi na kijamii kwani teknolojia ya habari imerahisisha sana maisha na kufungua fursa nyingi ambazo zinahitaji kulindwa kwa sheria ili faida zinazopatikana ziwe endelevu.Hata hivyo Dk. Shein alieleza kuwa iko haja kuanza kufikiria namna bora itakayowezesha kutumia simu na mitandao wakati wa kazi bila ya kuathiri utekelezaji wa majukumu, hasa katika taasisi zinazotoa huduma kwa wananchi.
Pia, alisisitiza umakini katika kuhakikisha kuwa matumizi ya simu makazini hayaathiri utekelezaji wa majukumu yaliopangwa.Wakati huo huo, Dk. Shein ameeleza azma ya Serikali katika bajeti ijayo ya kujenga jengo jipya la

Mahakama Kuu huko Tunguu pamoja na kupokea ombi la kuongezwa kwa Majaji na kusisitiza kuwa Serikali itatekeleza wajibu wake.Aidha, ameueleza uongozi wa Mahakama kuu kuwa fedha zilizo ombwa hivi karibuni Tsh, milioni 30 kwa ajili ya kumalizia jengo la Mahakama ya Watoto huko Mahonda atawapa kwa lengo la kumalizia ujenzi huo pamoja na kulengwa vizuri Bajeti yao ya mwaka huu wa fedha. Pia, Dk. Shein alizindua kitabu cha mwaka cha Sheria.Mapema Jaji Mkuu wa Zanzibar Omar Othman Makungu alisema kuwa katika kipindi cha mwaka mmoja wamesogeza karibu zaidi huduma za kimahakama kwa wananchi baada ya kuanzishwa kwa Mahakama ya Mwanzo Kitulia Wete Pemba pamoja na kuanzishwa kwa Mahakama ya Biashara.Jaji Makungu alisema kuwa duniani kote watu wanawasiliana kwa njia ya mtandao ambao umerahisisha mawasiliano yakiwemo ya kibiashara, kiuchumi, kielimu na kihabari.


Aliongeza kuwa simu za mkononi zimekuwa ni kero shuleni, kazini, nyumbani na hata katika nyumba za ibada ambapo baadhi ya ndoa zimevunjika kutokana na meseji mbaya zilizo onekana katika simu ya mmoja wa wanandoa.Pia, katika nchi zinazoendelea intaneti imekuwa ni kero, imeathiri maendeleo mazuri ya wanafunzi kimasomo na pia, imeathiri maendeleo mazuri ya wanafunzi kimasomo na pia, imeathiri maisha ya vijana, watoto na hata watu wazima kutokana na kuangalia picha chafu na kutumia muda mwingi kuchati na marafiki.Hata hivyo Jaji Makungu alisema kuwa mtandao umekuwa na changamoto kubwa kwa Tume za Uchaguzi duniani, ikiwemo zile za Tanganyika na Zanzibar ambapo matokeo ya uchaguzi yamerushwa kwenye mitandao kabla ya kutangwaza na Tume husika.
Afbeeldingsresultaat voor mazombi zanzibar

Nae Mwanasheria Mkuu wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Mhe. Said Hassan Said alisema kuwa pamoja na kuwepo kwa faida katika matumizi sahihi ya mitandao pia, kumekuwepo na changamoto kubwa ya matumizi mabaya ya mitandao katika jamii.Ili kudhibiti matumizi mabaya ya mitandao Mwanasheria Mkuu alitoa wito wa kuheshimu Katiba na Sheria za nchi katika matumizi ya mitandao ya kijamii, kutumia mitandao ya kijamii kwa usahihi zaidi katika kujiletea maendeleo ya kiuchumi na kijamii, kuongeza uwezo wa kitaaluma waataalamu wa kiusalama katika usimamizi wa matumizi ya mitandao, kupiga vita hali hiyo na kutoa mashirikiano kwa vyombo vinavyosimamia sheria ili kuthibiti hali hiyo.Viongozi mbali mbali walihudhiiria hafla hiyo akiwemo pia, Jaji Kiongozi wa Mahakama Kuu ya Tanzania Mhe. Shaaban Ali Lila, Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Mhe. Jaji Damian Lubuva, Naibu Spika wa Baraza la Wawakilishi Ali Abdalla, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Ikulu na Utawala Bora Mhe. Mwinyihaji Makame Mwadini, Mkurugenzi wa Mshtaka, Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi, Mahakimu, Makadhi na viongozi wa dini pamoja na wananchi.
KISHA NYINYI MUNAYAITA MAPINDUZI MATUKUFU HIVI KWELI NYINYI MUNAJUWA UTUKUFU NI NINI AU DUNIA IMEWAVA KISAWA SAWA MPAKA MNAKUFURU 

KILA MZANZIBARI ALIYE IPIGIA KURA CCM AU MPAKA WAKATI HUU BADO ANAISAPOTI CCM ILI IBAKI MADARAKANI JAPO KUWA CCM IMESHINDWA UCHAGUZI AJUWE NA YEYE ANACHANGIA KUENDELEZA DHULMA NA KUFUNGWA KWA MASHEIKH NA KUTHALILISHWA KWAO NA KUENDELEZA DHULMA KATIKA NCHI YA ZANZIBAR UKAE UKIJUWA UTAULIZWA SIKU YA KIYAMA NA MWENYEZI MUNGU ULIPOSIKIA WAZANZIBARI WENZIO WANADHALILISHWA,KUDHULUMIWA NA KULAWITIWA NA HAWA JE ULIFANYA NINI TAFUTA JIBU LAKO MAPEMA KWA SIKU HIYO YA KIYAMA SIKU AMBAYO MALI NA WATOTO WAKO WALA CHEO CHAKO HAVITAKUFAA SIKU HIYO.

VIDEO-TUNDU LISSU A.K.A. RONALDO ZANZIBAR KUKICHAFUKA MAGUFULI NA SHEIN HAWATOSALIMIKA KUSIMAMA ICC

TUNDU LISSU (01)

TUNDU LISSU (02)

TUNDU LISSU (03)

HUU NDIO MPAGO WAO NA DHAMIRA ZAO CCM MAGUFULI ANGALIA SANA AU UTAISHIA ICC WAKAKUTUMBUWE WEWE MAJIPU USIONE KUWA MKAPA ALIUWA PEMBA AKASALIMIKA KWENDA ICC NA WEWE UNADHANI UTASALIMIKA 

TUNDU LISSU ASEMA ZANZIBAR KUKICHAFUKA MAGUFULI (na Shein pia) HATOSALIMIKA KUSIMAMA ICC
HALI ya kisiasa nchini Zanzibar imezidi kuwa tete baada ya kurejea kwa kasi chuki za kisiasa, huku wanawake wakijikuta wakipewa talaka na waume zao pamoja na kushamiri kwa vitendo vya hujuma katika miradi ya maendeleo.
Suala hilo linaibuka wakati Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) ikiwa imetangaza uchaguzi wa marudio unaotarajiwa kufanyika Machi 20, huku vyama tisa vikitangaza kutoshiriki kikiwamo Chama cha Wananchi (CUF).
Chuki hizo za kisiasa ambazo ziliibuka kwa mara ya kwanza baada ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka 1995, zinarejea kwa kasi ambapo kwa sasa baadhi ya familia zimeanza kutengana ikiwamo hata kutonunua bidhaa katika maduka ya watu ambao wanaamini hawana uhusiano nao wa kisiasa.
Kutokana na hali hiyo, juzi Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar, Vuai Ali Vuai, alisema hatua hiyo inaweza kuvirudisha visiwa hivyo katika chuki ambazo zilisahaulika baada ya kupatikana kwa mwafaka na hatimaye kuundwa kwa Serikali ya Umoja wa Kitaifa iliyovishirikisha vyama vya CCM na CUF.
Vuai alisema kwamba hivi sasa CCM inajiandaa kushiriki uchaguzi wa marudio licha ya baadhi ya vyama kuususia.
“Tunasikia baadhi ya vyama vikitangaza kutoshiriki ila ni lazima wananchi wajue kwamba Serikali ya Umoja wa Kitaifa si ya CCM wala CUF, hivyo chama chochote kitakachoshiriki uchaguzi na kufikia matakwa ya kikatiba kitaunda Serikali ya umoja,” alisema Vuai.
Alisema ni lazima ZEC itangaze orodha ya vyama vitakavyoshiriki uchaguzi huo wa marudio kuliko kuendelea kukaa kimya.

KISHA NYINYI MUNAYAITA MAPINDUZI MATUKUFU HIVI KWELI NYINYI MUNAJUWA UTUKUFU NI NINI AU DUNIA IMEWAVA KISAWA SAWA MPAKA MNAKUFURU 

KILA MZANZIBARI ALIYE IPIGIA KURA CCM AU MPAKA WAKATI HUU BADO ANAISAPOTI CCM ILI IBAKI MADARAKANI JAPO KUWA CCM IMESHINDWA UCHAGUZI AJUWE NA YEYE ANACHANGIA KUENDELEZA DHULMA NA KUFUNGWA KWA MASHEIKH NA KUTHALILISHWA KWAO NA KUENDELEZA DHULMA KATIKA NCHI YA ZANZIBAR UKAE UKIJUWA UTAULIZWA SIKU YA KIYAMA NA MWENYEZI MUNGU ULIPOSIKIA WAZANZIBARI WENZIO WANADHALILISHWA,KUDHULUMIWA NA KULAWITIWA NA HAWA JE ULIFANYA NINI TAFUTA JIBU LAKO MAPEMA KWA SIKU HIYO YA KIYAMA SIKU AMBAYO MALI NA WATOTO WAKO WALA CHEO CHAKO HAVITAKUFAA SIKU HIYO.

Friday, February 19, 2016

VIDEO-NCHINI TANGANYIKA UMALAYA NA UKAHABA WASHIKA KASI MARUFU MBUGANI


KISHA NYINYI MUNAYAITA MAPINDUZI MATUKUFU HIVI KWELI NYINYI MUNAJUWA UTUKUFU NI NINI AU DUNIA IMEWAVA KISAWA SAWA MPAKA MNAKUFURU 

KILA MZANZIBARI ALIYE IPIGIA KURA CCM AU MPAKA WAKATI HUU BADO ANAISAPOTI CCM ILI IBAKI MADARAKANI JAPO KUWA CCM IMESHINDWA UCHAGUZI AJUWE NA YEYE ANACHANGIA KUENDELEZA DHULMA NA KUFUNGWA KWA MASHEIKH NA KUTHALILISHWA KWAO NA KUENDELEZA DHULMA KATIKA NCHI YA ZANZIBAR UKAE UKIJUWA UTAULIZWA SIKU YA KIYAMA NA MWENYEZI MUNGU ULIPOSIKIA WAZANZIBARI WENZIO WANADHALILISHWA,KUDHULUMIWA NA KULAWITIWA NA HAWA JE ULIFANYA NINI TAFUTA JIBU LAKO MAPEMA KWA SIKU HIYO YA KIYAMA SIKU AMBAYO MALI NA WATOTO WAKO WALA CHEO CHAKO HAVITAKUFAA SIKU HIYO.

VIDEO-PART 5-13-SHEIKH ALI BIN MUHSIN AL BARWANI

KISHA NYINYI MUNAYAITA MAPINDUZI MATUKUFU HIVI KWELI NYINYI MUNAJUWA UTUKUFU NI NINI AU DUNIA IMEWAVA KISAWA SAWA MPAKA MNAKUFURU 

KILA MZANZIBARI ALIYE IPIGIA KURA CCM AU MPAKA WAKATI HUU BADO ANAISAPOTI CCM ILI IBAKI MADARAKANI JAPO KUWA CCM IMESHINDWA UCHAGUZI AJUWE NA YEYE ANACHANGIA KUENDELEZA DHULMA NA KUFUNGWA KWA MASHEIKH NA KUTHALILISHWA KWAO NA KUENDELEZA DHULMA KATIKA NCHI YA ZANZIBAR UKAE UKIJUWA UTAULIZWA SIKU YA KIYAMA NA MWENYEZI MUNGU ULIPOSIKIA WAZANZIBARI WENZIO WANADHALILISHWA,KUDHULUMIWA NA KULAWITIWA NA HAWA JE ULIFANYA NINI TAFUTA JIBU LAKO MAPEMA KWA SIKU HIYO YA KIYAMA SIKU AMBAYO MALI NA WATOTO WAKO WALA CHEO CHAKO HAVITAKUFAA SIKU HIYO.

VIDEO-PART 1-4-SHEIKH ALI BIN MUHSIN AL BARWANI

1 sisa azimneaza zamani zanzibar
KISHA NYINYI MUNAYAITA MAPINDUZI MATUKUFU HIVI KWELI NYINYI MUNAJUWA UTUKUFU NI NINI AU DUNIA IMEWAVA KISAWA SAWA MPAKA MNAKUFURU 

KILA MZANZIBARI ALIYE IPIGIA KURA CCM AU MPAKA WAKATI HUU BADO ANAISAPOTI CCM ILI IBAKI MADARAKANI JAPO KUWA CCM IMESHINDWA UCHAGUZI AJUWE NA YEYE ANACHANGIA KUENDELEZA DHULMA NA KUFUNGWA KWA MASHEIKH NA KUTHALILISHWA KWAO NA KUENDELEZA DHULMA KATIKA NCHI YA ZANZIBAR UKAE UKIJUWA UTAULIZWA SIKU YA KIYAMA NA MWENYEZI MUNGU ULIPOSIKIA WAZANZIBARI WENZIO WANADHALILISHWA,KUDHULUMIWA NA KULAWITIWA NA HAWA JE ULIFANYA NINI TAFUTA JIBU LAKO MAPEMA KWA SIKU HIYO YA KIYAMA SIKU AMBAYO MALI NA WATOTO WAKO WALA CHEO CHAKO HAVITAKUFAA SIKU HIYO.

VIDEO PART 11-13 YALIYO FANYWA ZANZIBAR SI MAPINDUZI NI UVAMIZI NA MAUWAJI

13 Twala Kakimbia Jela


12 Twala Kanielezea Jela



11 Twala Yuko Jela

VIDEO PART 8-10-YALIYO FANYWA ZANZIBAR SI MAPINDUZI NI UVAMIZI NA MAUWAJI

10 Jela 1969

9 Kutoka kwa Mandera Kurudi Jela



8 Athabu kwa Mandera





VIDEO PART 7-YALIYO FANYWA ZANZIBAR SI MAPINDUZI NI UVAMIZI NA MAUWAJI



7 Siku ya Kwanza kwa Bamkwe
KISHA NYINYI MUNAYAITA MAPINDUZI MATUKUFU HIVI KWELI NYINYI MUNAJUWA UTUKUFU NI NINI AU DUNIA IMEWAVA KISAWA SAWA MPAKA MNAKUFURU 

KILA MZANZIBARI ALIYE IPIGIA KURA CCM AU MPAKA WAKATI HUU BADO ANAISAPOTI CCM ILI IBAKI MADARAKANI JAPO KUWA CCM IMESHINDWA UCHAGUZI AJUWE NA YEYE ANACHANGIA KUENDELEZA DHULMA NA KUFUNGWA KWA MASHEIKH NA KUTHALILISHWA KWAO NA KUENDELEZA DHULMA KATIKA NCHI YA ZANZIBAR UKAE UKIJUWA UTAULIZWA SIKU YA KIYAMA NA MWENYEZI MUNGU ULIPOSIKIA WAZANZIBARI WENZIO WANADHALILISHWA,KUDHULUMIWA NA KULAWITIWA NA HAWA JE ULIFANYA NINI TAFUTA JIBU LAKO MAPEMA KWA SIKU HIYO YA KIYAMA SIKU AMBAYO MALI NA WATOTO WAKO WALA CHEO CHAKO HAVITAKUFAA SIKU HIYO.

VIDEO-PART 5-6-YALIYO FANYWA ZANZIBAR SI MAPINDUZI NI UVAMIZI NA MAUWAJI

6 Kurudishwa Zanzibar


5 Nimekamatwa Dar Es Salaam

KISHA NYINYI MUNAYAITA MAPINDUZI MATUKUFU HIVI KWELI NYINYI MUNAJUWA UTUKUFU NI NINI AU DUNIA IMEWAVA KISAWA SAWA MPAKA MNAKUFURU 

KILA MZANZIBARI ALIYE IPIGIA KURA CCM AU MPAKA WAKATI HUU BADO ANAISAPOTI CCM ILI IBAKI MADARAKANI JAPO KUWA CCM IMESHINDWA UCHAGUZI AJUWE NA YEYE ANACHANGIA KUENDELEZA DHULMA NA KUFUNGWA KWA MASHEIKH NA KUTHALILISHWA KWAO NA KUENDELEZA DHULMA KATIKA NCHI YA ZANZIBAR UKAE UKIJUWA UTAULIZWA SIKU YA KIYAMA NA MWENYEZI MUNGU ULIPOSIKIA WAZANZIBARI WENZIO WANADHALILISHWA,KUDHULUMIWA NA KULAWITIWA NA HAWA JE ULIFANYA NINI TAFUTA JIBU LAKO MAPEMA KWA SIKU HIYO YA KIYAMA SIKU AMBAYO MALI NA WATOTO WAKO WALA CHEO CHAKO HAVITAKUFAA SIKU HIYO.

VIDEO-PART 1-4-YALIYO FANYWA ZANZIBAR SI MAPINDUZI NI UVAMIZI NA MAUWAJI PART 1-4

4 Chakula na Magonjwa Langoni

3 Jela ya Langoni

2 Kufungwa Miaka Kumi



1 Mwaka wa Mwanzo Jela

KISHA NYINYI MUNAYAITA MAPINDUZI MATUKUFU HIVI KWELI NYINYI MUNAJUWA UTUKUFU NI NINI AU DUNIA IMEWAVA KISAWA SAWA MPAKA MNAKUFURU 

KILA MZANZIBARI ALIYE IPIGIA KURA CCM AU MPAKA WAKATI HUU BADO ANAISAPOTI CCM ILI IBAKI MADARAKANI JAPO KUWA CCM IMESHINDWA UCHAGUZI AJUWE NA YEYE ANACHANGIA KUENDELEZA DHULMA NA KUFUNGWA KWA MASHEIKH NA KUTHALILISHWA KWAO NA KUENDELEZA DHULMA KATIKA NCHI YA ZANZIBAR UKAE UKIJUWA UTAULIZWA SIKU YA KIYAMA NA MWENYEZI MUNGU ULIPOSIKIA WAZANZIBARI WENZIO WANADHALILISHWA,KUDHULUMIWA NA KULAWITIWA NA HAWA JE ULIFANYA NINI TAFUTA JIBU LAKO MAPEMA KWA SIKU HIYO YA KIYAMA SIKU AMBAYO MALI NA WATOTO WAKO WALA CHEO CHAKO HAVITAKUFAA SIKU HIYO.

Saturday, February 13, 2016

ALIKUWEPO OKELLO NA KUNDI LAKE LA WATANGANYIKA WAKAPITA BASI NA NYINYI MAZOMBI MTAPITA TU KAMA ALIVYO PITA OKELLO NA KUNDI LAKE LA WATANGANYIKA

OKELLO NA KUNDI LAKE LA WATANGANYIKA WALIO KUJA KUUWA WAZANZIBARI KWA CHUKI ZAO BINAFSI,NA KUPINGA WATU,KUTESA WATU,KUNAJISI WANAWAKE,KUWAOWA KWA LAZIMA BILA YA KUFUNGA NDOWA,KUVUNJA NYUMBA ZA WATU NA KUIBA N.K. LAKINI TUJIULIZE WAKO WAPI LEO.....??

ALIKUWEPO OKELLO NA KUNDI LA WAHUNI WAKITANGANYIKA WALIO KUJA KUUWA HAPA NCHINI KWETU ZANZIBAR SASA WAKO WAPI....?? SASA TUNA KAMISHNA NA KUNDI LAKE LA WAFICHA NYUSO MARUFU ((ATI MAZOMBI)) MTAPITA TU KAMA ALIVYO PITA OKELLO NA KUNDI LAKE LA WAHUNI WA KITANGANYIKA WENYE CHUKI BINAFSI BASI NA NYINYI MTAPITA TU MJIANDAE NA AKHERA KUJIBU.
KISHA NYINYI MUNAYAITA MAPINDUZI MATUKUFU HIVI KWELI NYINYI MUNAJUWA UTUKUFU NI NINI AU DUNIA IMEWAVA KISAWA SAWA MPAKA MNAKUFURU 

KILA MZANZIBARI ALIYE IPIGIA KURA CCM AU MPAKA WAKATI HUU BADO ANAISAPOTI CCM ILI IBAKI MADARAKANI JAPO KUWA CCM IMESHINDWA UCHAGUZI AJUWE NA YEYE ANACHANGIA KUENDELEZA DHULMA NA KUFUNGWA KWA MASHEIKH NA KUTHALILISHWA KWAO NA KUENDELEZA DHULMA KATIKA NCHI YA ZANZIBAR UKAE UKIJUWA UTAULIZWA SIKU YA KIYAMA NA MWENYEZI MUNGU ULIPOSIKIA WAZANZIBARI WENZIO WANADHALILISHWA,KUDHULUMIWA NA KULAWITIWA NA HAWA JE ULIFANYA NINI TAFUTA JIBU LAKO MAPEMA KWA SIKU HIYO YA KIYAMA SIKU AMBAYO MALI NA WATOTO WAKO WALA CHEO CHAKO HAVITAKUFAA SIKU HIYO.

MAKAO MAKUU YA CCM ZANZIBAR TAFRANI HAWAJIJUWI HAWAJITAMBUI KUHUSU UCHAGUZI WAO HARAMU

Toka Kisiwandui +259
Bint Wa Kingazija za chini ya kapet
Mjengoni si shwari, watu 40 walipiga kura ya siri kuangalia ni wanachama wangapi wanataka urudiwe na wangapi wanakubaliana na matokeo ya awali ya uchaguzi.
Kweli kwenye wabaya na wema wapo..., kilichotokea kimetia hasira sana mjengoni, kwani fikra zao katika waliochaguana walidhani wale wanaopachikwa majina ya upinzani ndani ya umoja wao ndio watakuwa hawaungi mkono marejeo.
Baada ya kuhesabiwa kura, matokeo yakawa 50 kwa 50, yaani 20 kura zikasema urudiwe na 20 kura zikasema usirudiwe.
Hivyo hofu imewaingia hata kwenye hayo marejeo yao pekeyao, wamezidi kujitisha.
Mwaka huu tutashuhudia mengi mno....
MAENDELEO YA CCM TUNAYAONA SI HABA MIAKA 50 NA USHEA MAJI BOLBOL UTAFIRI UKO MAIMI BEACH KWA MAJI YALIVYO JAA NDANI YA ZANZIBAR

KISHA NYINYI MUNAYAITA MAPINDUZI MATUKUFU HIVI KWELI NYINYI MUNAJUWA UTUKUFU NI NINI AU DUNIA IMEWAVA KISAWA SAWA MPAKA MNAKUFURU 

KILA MZANZIBARI ALIYE IPIGIA KURA CCM AU MPAKA WAKATI HUU BADO ANAISAPOTI CCM ILI IBAKI MADARAKANI JAPO KUWA CCM IMESHINDWA UCHAGUZI AJUWE NA YEYE ANACHANGIA KUENDELEZA DHULMA NA KUFUNGWA KWA MASHEIKH NA KUTHALILISHWA KWAO NA KUENDELEZA DHULMA KATIKA NCHI YA ZANZIBAR UKAE UKIJUWA UTAULIZWA SIKU YA KIYAMA NA MWENYEZI MUNGU ULIPOSIKIA WAZANZIBARI WENZIO WANADHALILISHWA,KUDHULUMIWA NA KULAWITIWA NA HAWA JE ULIFANYA NINI TAFUTA JIBU LAKO MAPEMA KWA SIKU HIYO YA KIYAMA SIKU AMBAYO MALI NA WATOTO WAKO WALA CHEO CHAKO HAVITAKUFAA SIKU HIYO.

Tuesday, February 9, 2016

NI NANI ALIYE FANYA MAPINDUZI YA ZANZIBAR OKELLO NA KUNDI LAKE LA WATANGANYIKA AU MACHOTARA WA CCM...???

OKELLO NA KUNDI LAKE LA WATANGANYIKA WALIO KUJA KUUWA WAZANZIBARI NA KUIGEUZA NCHI YA ZANZIBAR KUWA KOLONI LA TANGANYIKA MPAKA LEO HII HAWA NDIO WAUWAJI LEO HII CCM INASEMA MAPINDUZI MATUKUFU NA KUFURAHI MAUWAJI YA WATU WASIO NA HATIA.
KISHA NYINYI MUNAYAITA MAPINDUZI MATUKUFU HIVI KWELI NYINYI MUNAJUWA UTUKUFU NI NINI AU DUNIA IMEWAVA KISAWA SAWA MPAKA MNAKUFURU 

KILA MZANZIBARI ALIYE IPIGIA KURA CCM AU MPAKA WAKATI HUU BADO ANAISAPOTI CCM ILI IBAKI MADARAKANI JAPO KUWA CCM IMESHINDWA UCHAGUZI AJUWE NA YEYE ANACHANGIA KUENDELEZA DHULMA NA KUFUNGWA KWA MASHEIKH NA KUTHALILISHWA KWAO NA KUENDELEZA DHULMA KATIKA NCHI YA ZANZIBAR UKAE UKIJUWA UTAULIZWA SIKU YA KIYAMA NA MWENYEZI MUNGU ULIPOSIKIA WAZANZIBARI WENZIO WANADHALILISHWA,KUDHULUMIWA NA KULAWITIWA NA HAWA JE ULIFANYA NINI TAFUTA JIBU LAKO MAPEMA KWA SIKU HIYO YA KIYAMA SIKU AMBAYO MALI NA WATOTO WAKO WALA CHEO CHAKO HAVITAKUFAA SIKU HIYO.

Wednesday, February 3, 2016

TAARIFA KWA UMMA ALHAD MUSSA NI LINI ULISEMA AU KUZUNGUMZIA KUHUSU MASHEIKH WALIO FUNGWA JELA KWA THULMA ZA SEREKALI YENU YA WAKOLONI WEUSI TANGANYIKA....??

TAARIFA KWA UMMA
IMETOLEWA LEO 02/02/2016
BAKWATA MKOA DAR HAINA MAMLAKA YA KUITAKA CUF KUINGIA KWENYE UCHAGUZI
ALHAD MUSSA ANASHUGHULISHWA ZAIDI NA DUNIA KULIKO KUSIMAMIA HAKI
NI VYEMA AKAJIFUNZA KWA VIONGOZI WA KIKRISTO KUHUSU ZANZIBAR
CUF - Chama cha Wananchi, tunasikisitishwa na kushangazwa na kauli ilitolewa leo na Alhad Mussa, kuunga Mkono ukiukwaji wa Demokrasia uliofanywa na Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) sio tu Kuna onyesha sura halisi ya Kiongozi huyo wa Kiroho Lakini pia kinamuonyesha jinsi asivyokua na khofu ya Kukabiliana na Mola wake kwa Matendo atendayo hapa Duniani au kwa kauli atowazo kama Kiongozi wa Dini. Cuf tumezoea kumsikia mara kadhaa akiwashauri Viongozi wa Kisiasa na Viongozi wenziwe wa Kiroho kwamba wasichanganye Dini na Siasa, Lakini leo ajabu kwetu kumuona Alhad Mussa sio tu akichanganya Lakini akichupa Mipaka na kuitaka Cuf ishiriki kwenye Uchaguzi. Bila Shaka Alhad Mussa ni Mwanachama wa CCM kama ambavyo aliwahi kujitambulisha kwenye moja ya Shughuli za Kiserikali zilizopambwa na kunogeshwa na Viongozi wa Chama cha Mapinduzi. Kwakua umeshindwa kusimamia Maendeleo ya Jamii unayoiongoza, tunahakika Huku unapokuja Sasa hutapaweza. Hali ya Zanzibar kwa Sasa ni tete na si suala jepesi kama Vile kwenda Ofisi za Bakwata pale Kinondoni. CUF tunaipuza kauli yako kama tunavyopuuza Uchafu wowote ule utakao kwenye Majumba yetu. CUF inawapongeza Viongozi wa Dini ya Kikristo ambao wameshatoa kauli ya Kupinga Ubakwaji wa Demokrasia na Maamuzi ya Wazanzibar. Tuna mtaka Alhad Mussa ajifunze kupitia kwa Viongozi Hao wa Dini ya Kikristo ambao wameonyesha uadilifu Mkubwa kwa kukemea ubabaishaji unaofanywa na ZEC. Kama Hana cha kujifunza kutoka kwa Viongozi wenziwe wa Kiroho kama alivyo yeye, basi ajifunze kwa Makada wa CCM ambao wanaijua vizuri CCM zaidi yake, ambao ni Benard Membe, Joseph Butiku na Dr Salim Ahmed Salim. Hata hivyo katika ile dhana au ile nia ya Kushughulishwa zaidi na Dunia kuliko kazi ya kulingania Waumini wake kutenda Mema.
KISHA NYINYI MUNAYAITA MAPINDUZI MATUKUFU HIVI KWELI NYINYI MUNAJUWA UTUKUFU NI NINI AU DUNIA IMEWAVA KISAWA SAWA MPAKA MNAKUFURU 

KILA MZANZIBARI ALIYE IPIGIA KURA CCM AU MPAKA WAKATI HUU BADO ANAISAPOTI CCM ILI IBAKI MADARAKANI JAPO KUWA CCM IMESHINDWA UCHAGUZI AJUWE NA YEYE ANACHANGIA KUENDELEZA DHULMA NA KUFUNGWA KWA MASHEIKH NA KUTHALILISHWA KWAO NA KUENDELEZA DHULMA KATIKA NCHI YA ZANZIBAR UKAE UKIJUWA UTAULIZWA SIKU YA KIYAMA NA MWENYEZI MUNGU ULIPOSIKIA WAZANZIBARI WENZIO WANADHALILISHWA,KUDHULUMIWA NA KULAWITIWA NA HAWA JE ULIFANYA NINI TAFUTA JIBU LAKO MAPEMA KWA SIKU HIYO YA KIYAMA SIKU AMBAYO MALI NA WATOTO WAKO WALA CHEO CHAKO HAVITAKUFAA SIKU HIYO.