Thursday, March 31, 2016

MATAIFA 10 YA MAGHARIBI YAIONYESHA TANZANIA NINI MAANA YA HAPA KAZI TU


Mataifa 10 ya Magharibi yamesema hayataendelea na ufadhili wao kwa bajeti ya serikali ya Tanzania. ((Tanganyika))
Baadhi ya nchi hizo ni Sweden na Ireland. Nchi hizo zinaendelea na msimamo huo ikiwa ni siku chache baada ya shirika la utoaji misaada la serikali ya marekani (MCC) kuondoa msaada wake wa dola 472 za ufadhili wa miradi ya maendeleo kwa nchi ya Tanganyika ((Tanzania.)) Bodi ya MCC ilisema hatua yake ilitokana na mzozo kuhusu uchaguzi wa nchi ya Zanzibar na utekelezwaji wa Sheria ya Uhalifu wa Mtandao.
Mataifa yaliyositisha ufadhili wao kwa bajeti ya nchi ya Tanganyika ((Tanzania)) hata hivyo hayajaeleza sababu ya kufanya hivyo. Ubalozi wa Sweden umethibitisha kwamba taifa hilo limesitisha ufadhili wake kwa bajeti ya ya Tanganyika ((Tanzania,)) lakini ukasisitiza kwamba hatua hiyo haihusiani na yaliyojiri katika uchaguzi wa nchi ya Zanzibar.

NCHIN ZANZIBAR SASA BORA TUANZISHI WIZARA YA UBAGUZI,MAUDHI,UNYANYASAJI DHIDI YA WANANCHI PIA TUWE NA WIZARA YA UBABE,UKIUKAJI SHERIA,UAFIRITI NA TASHTITI.



NILIONA ni vyema kwenda nchini Zanzibar kuwatembelea baada ya siku nyingi sana. Matumaini yangu yalikuwa pia kupata wasaa wa kutathmini hali ya hewa baada ya Uchaguzi wa Marejeo uliofanyika tarehe 20 Machi 2016. Huenda nilikuwa nimeshawishika na mijadala iliyokuwa ikifanyika nchini na Shirika la Utangazaji la Uingereza (BBC) hivyo nilipopata fursa ya kuzungumza na watu kadhaa waliojipambanua kuwa ni Wazanzibari nikaona vyema niwadadisi juu ya mategemeo waliyonayo juu ya awamu ya pili ya Shein. Wazungumzaji wenzangu walikuwa saba; wanaume wanne na wanawake watatu. Bila ya kupoteza muda wakaniweka sawa. Aliyeonekana kama ndiye ‘nahodha’ wao akataka kuweka jambo moja sawa. “Tumekuwa tunasikiliza vyombo vya habari na kusoma makala nyingi. Tunashangazwa kuwa wengi wametekwa na hii dhana kuwa Zanzibar ni mfungwa wa historia yake. “Eti kuwa siasa za vyama ambavyo vimekuwa muflisi karibu nusu karne bado vimegubika mioyo na fikra ya kizazi kikubwa cha wapiga kura ambao wamekulia chini ya mfumo wa chama kimoja au vyama vilivyoanizshwa miaka ya tisini. Mtizamo huu si sahihi”, alitahadharisha. Mchangiaji mwengine wa makamo alikubaliana na kauli yake na akaongezea, “Chama Cha Mapinduzi na Chama cha Wananchi wametufikisha hapa. Leo siasa za Zanzibar ni sawa na ushabiki wa vyama vya mpira au ushabiki uliokuwepo kati ya vikundi vya taarabu enzi za nyuma. “Utaifa ama utambulisho wa Uzanzibari umefifia, umewekwa pembeni kabisa”, alilalama. Nikataka kujua baada ya kipindi kirefu cha utata juu ya mustakabali wa Zanzibar kisiasa wana matarajio gani kwa serikali inayoingia madarakani?
Wakizungumza kwa hamasa kubwa walikaribisha fursa ya kumpelekea Rais wa Zanzibar salamu juu ya masuala ya kuyazingatia atakapounda serikali mpya. Mzungumzaji niliyemtambua kama nahodha wa kundi akataka suala la uongozi wa nchi uwekwe bayana na hususani wananchi wafafanuliwe nani ndiye Rais wa Zanzibar? Nikamuomba ajieleze zaidi tuweze kumuelewa. Akaeleza, “Wakati wa mkwamo wa kisiasa baada ya kufutwa kwa uchaguzi Oktoba 2015, Rais aliyesalia kwa kiasi kikubwa alikua haonekani wala kusikika. Tumeona huko Bara kuwa mara nyingi anayetoa taarifa za Rais au Nchi ni Katibu Mkuu Kiongozi au Kurugenzi ya Mawasiliano. “Hapa Zanzibar tunasikia makada wa chama ndio wasemaji wakuu juu ya masuala ya nchi. Mwisho juzi Naibu Katibu Mkuu wa UVCCM ndiye katoa kauli juu ya siasa ‘kumalizika rasmi’ Zanzibar baada kwisha uchaguzi. Huu ni mfano dhahiri wa kubakwa kwa demokrasia kwani serikali ni ya Wazanzibari wote si ya chama chochote. “Hata kama matokeo ya uchaguzi yameturudishia serikali ya chama kimoja, mipaka kati ya serikali na chama lazima ipambanuliwe. Sisi wananchi tunataka uhakika serikali yetu inaongozwa na nani? Nani ndiye msemaji wake mkuu?” Alikazia. Mchangiaji yule wa makamo bila ya kupoteza muda akadakia. Yeye alitaka wizara zitakazoundwa ziakisi mwelekeo wa watawala. Alifafanua, “Kuna sura zimeselelea serikalini na katika Baraza la Wawakilishi miaka nenda miaka rudi. Mimi naona haja kuwepo ‘wizara ya wenye nchi, wano nafasi maalumu na za kudumu!” Akasita kidogo iniingie halafu akauliza, “Kuna haja gani ya kuteua mawaziri wasio na wizara maalumu kwa kipindi kizima cha miaka mitano wakati kuteuliwa kwao kunaashiria kuwa mtu huyo anayo nafasi maalumu na ndio maana hajaachwa?”
Wakati natafakari mantiki ya pendekezo nilolisikia, mchangiaji wa kwanza wa kike alizungumza. Yeye alikosoa tabia ya kuunda wizara kwa mazoea. Alimtaka Rais wa Zanzibar ajifunze kutoka kwa Magufuli ambaye kaparaganya wizara kwa mujibu anavyohisi mambo yanafaa kushughulikiwa. “Hapa Zanzibar kuwe na wizara tu ambazo zitasimamia yale ambayo watawala wetu wanayaona ni muhimu”, alipendekeza. Nikataka anipe mfano wa wizara hizo. Mchangiaji akajibu bila kusita, “Tusipoteze muda kuunda wizara hewani wakati serikali na wapambe wake wana sera zao wanazotaka kuziendeleza. Kwa mfano, bora tuundiwe ‘wizara ya ubaguzi, maudhi na unyanyasaji dhidi ya wananchi badala ya kuwa eti na Wizara ya Katiba na Utawala Bora. “Wizara mpya itahalalisha kisheria tabia ya serikali kuonea watu wake, na pia kubagua baadhi ya watu wake kuliko kudai kuwa ‘tutaheshimu haki za binadamu’ wakati nchi haiendeshi kwa mujibu wa katiba, sheria au haki!” Mzungumzaji wa kiume aliyebaki naye akajimwaga katika mjadala. “Mimi napendekeza kuwepo wizara ya kuimarisha ubabe, ukiukaji sheria, uafiriti na tashtiti, ili tujue kuwa hivi ndivyo vigezo vya utawala si katiba wala sheria!” Kauli yake ilinishangaza sana nikahoji “Sasa tuuondoe mfumo wa kikatiba na kisheria?” Akanijibu kwa sauti ya chini, “Utawala wa Kisheria labda upo kwenye karatasi maana kwa uhalisia kila anayejikuta kileleni anafanya anavyoona yeye. Kungekuwa na utawala wa sheria basi tusingevurugana kiasi hiki!”
Mwanamke kijana miongoni mwa wazungumzaji naye akaongeza, “Tusikome katika kupendekeza wizara tu lakini pia tushauri sura za mamlaka mbalimbali zifanyiwe marekebisho ya msingi”. Nikapata tumaini kuwa labda sasa nitapata picha timamu juu ya muundo wa serikali unaotakiwa. Akaendelea, “Binafsi naona haja ya kuwa na mamlaka maalumu ya kukwamisha mambo maana tunaambiwa hakuna kilichobadilika toka tumepata Uhuru na Mapinduzi, na kwa minajili ya siasa zetu hatutaki kubadilika!” Mwana mama mwengine akarukia, “Hakika tunahitaji mamlaka si ya mambo ya kale lakini ya mambo yaleyale!” Nahodha wa kikundi naye akaongeza, “Umeiona jinsi Nyumba ya Ajabu ilivyomegeka-megeka na kuporomoka? leo paa, kesho kuta ili hali ndio sehemu ya urithi wa mambo ya kale ambao unaouweka Zanzibar katika ramani ya dunia. “Badala ya kuenzi urithi wetu vitega uchumi vya Mji Mkongwe vimehodhiwa na kuwaneemesha watumishi katika mazingira yanayoashiria wazi Maslahi Kinzani (conflict of interest). Lakini nani anajali hilo?” Hakika nilichokuwa nakisikia sikikutarajia kabisa. Nikamgeukia mmoja wa mshiriki aliyekuwa hajasema kitu muda mrefu. “Naam, una la kuongeza?” nilimuuliza. Akacheka na kujibu akiwa katika tafakuri nzito, “Hata sijui niongeze nini” alianza. “Utamaduni uliotawala na kuzoeleka visiwani kwetu ni kukataa fikra chanya. Hapa wanafurahiwa wapika majungu si watengeneza mambo na waleta maendeleo” akaendelea. Yule mzungumzaji wa makamo alionesha kukunwa na hoja za mwenzake kiasi cha kumeza maneno yake na kuzungumza yeye. Alipendekeza kuundwe wizara au mamlaka maalumu inayotukuza ‘ukawaida’ au ‘ugando’.
Akifafanua pendekezo lake alisema, “hapa kwetu umahiri na umaridadi ni dhana ngeni. Hivyo, tujue sisi ni watu wa kiwango cha chini ya wastani na turidhike hivyo. Kioo chetu ni Sauti ya Utangazaji ya Zanzibar. Wale walioshindwa kuiendeleza kipindi chote hicho ndio tutegemee watafanya miujiza leo?” Alihoji na kuendelea, “Bora tukubali tu kuwa sisi ni watu wa chini ya viwango na tuunde taasisi itakayohakikisha kuwa tunabaki katika ‘ubora’ wetu huo badala ya kutupotezea muda wetu kutafuta ‘maisha bora’ na ‘maendeleo’ wakati haya ni mambo mageni kwetu”. Mmoja wa mchangiaji wa kike akasisitiza, “viongozi waache kusema kuwa hii ni nchi ya kidemokrasia, maana viashiria vyote ni kuwa ni nchi inayoendeshwa kwa mabavu. Zanzibar na wakazi wake hawafurukuti. “Majeshi kila mahala. Vikosi vinabughudhi badala ya kulinda raia. Kuna kila dalili za nchi kudhibitiwa na nguvu ya jeshi lakini hapohapo tunadanganyana kuna amani, hali shwari na kuna demokrasia”. Akahitimisha kwa kusisitiza, “Uhuru si kupiga kura tu. Uhuru ni kuwa na chaguo na imani kuwa chaguo lako litaheshimiwa na kuzingatiwa kwa usawa na uzito unaostahili siku ya kura na katika kipindi chote cha utumishi wake. Awamu hii unafiki uwe basi. Tujipambanue namna tulivyo watu wote waelewe na waridhike kuwa hivi ndivyo tulivyo. Hata hivyo ningependa kuwakumbusha walio ihodhi nchi kuwa Zanzibar si ya CCM au ya CUF bali ni ya Wazanzibari wote, wenye vyama na wasio na vyama. Kuwashurutisha raia kujiunga na mitizamo finyu na yasiyo na tija ya kichama ni uhaini wa aina yake”, mchangiaji akamalizia.
Bila ya shaka ujumbe mzito wa raia hawa wa nchi ya zanzibar utazingatiwa.

SHEIN BAADA YA KUMALIZA KUJIAPIZA SASA ANAENDELEA KUWAPIZA NA WENZAKE WANAENDELEA TU NA HARAMU


Balozi Mkazi akielekea sehemu ya kula kiapo cha kujiapiza alipokuwa akiapizwa na Muapizwa mwenzake baada ya kumalizakujiapiza Amani Stadium sasa anaendelea kuwapiza na wenzake Shein katika hafla iliyofanyika leo Ikulu Mjini nchini Zanzibar huku wakishuhudiwa na Masheikh Wanafiki Wakubwa wote kwa pamoja wakishirikiana kuendeleza HARAMU.

Shein akimuapizaa Balozi Mkazi wanendelea tuu na HARAMU

Shein (kushoto) akibadilishana mawazo ya kuapizana na Balozi Mkazi baada ya kumaliza kumuapiza rasmi leo katika ukumbi wa Ikulu Mjini Unguja nchini Zanzibar.

KISHA NYINYI MUNAYAITA MAPINDUZI MATUKUFU HIVI KWELI NYINYI MUNAJUWA UTUKUFU NI NINI AU DUNIA IMEWAVA KISAWA SAWA MPAKA MNAKUFURU

KILA MZANZIBARI ALIYE IPIGIA KURA CCM AU MPAKA WAKATI HUU BADO ANAISAPOTI CCM ILI IBAKI MADARAKANI JAPO KUWA CCM IMESHINDWA UCHAGUZI AJUWE NA YEYE ANACHANGIA KUENDELEZA DHULMA NA KUFUNGWA KWA MASHEIKH NA KUTHALILISHWA KWAO NA KUENDELEZA DHULMA KATIKA NCHI YA ZANZIBAR UKAE UKIJUWA UTAULIZWA SIKU YA KIYAMA NA MWENYEZI MUNGU ULIPOSIKIA WAZANZIBARI WENZIO WANADHALILISHWA,KUDHULUMIWA NA KULAWITIWA NA HAWA JE ULIFANYA NINI TAFUTA JIBU LAKO MAPEMA KWA SIKU HIYO YA KIYAMA SIKU AMBAYO MALI NA WATOTO WAKO WALA CHEO CHAKO HAVITAKUFAA SIKU HIYO.

MSEMA KWELI KIPENZI CHA MUNGU,TANGANYIKA ((TANZANIA)) HAIJAONEWA KUNYIMWA MSAADA NA MCC


Imetolewa Na:
Mchungaji Peter Simon Msigwa (Mbunge)
Waziri Kivuli – Wizara ya Mambo Nje na Ushirikiano wa Kimatai
TAMKO LA WAZIRI KIVULI WA MAMBO YA NJE JUU YA UAMUZI WA
SHIRIKA LA MCC KUSITISHA MAHUSIANO NA TANZANIA
Kwa Vyombo vya Habari.
Nimesikitishwa na Tanganyika ((Tanzania)) kukosa fedha za MCC ambazo zilikuwa ni muhimu sana katika kuharakisha upatikanaji wa umeme kwa Watanzania wa vijijini. Hata hivyo, ningependa kuweka wazi kuwa Tanganyika ((Tanzania)) haijaonewa hata kidogo kunyimwa msaada wa Shilingi Trilioni Moja na Shirika la Misaada la Marekani la MCC kama ilivyopotoshwa na Serikali. Kauli ya Waziri wa Mambo Nje, Balozi Agustine Mahiga, ya kuelezea “kushitushwa na kusikitishwa” na uamuzi wa Bodi ya MCC kusitisha msaada na mahusiano yake na Tanganyika ((Tanzania,)) ni kauli isiyo ya kidiplomasia, ya kinafiki na inayopaswa kupingwa kwa nguvu zote na kila Mtanzania mwenye kujali kujali utu, demokrasia, utawala bora na ushirikiano mwema baina ya Nchi hii na mataifa mengine.
Nikiwa ni Waziri wa Mambo Nje napinga upotoshwaji na utetezi uliotolewa na Serikali kwasababu zifuatazo;
1. Ni vema ikazingatiwa kuwa MCC inazingatia vigezo 17 katika kuchagua nchi inayostahili kupata msaada na miongoni mwa vigezo vya msingi kabisa ni nchi husika kuwa na dhamira ya dhati ya kuimarisha demokrasia na kuendesha chaguzi zilizo huru na haki. Na katika taarifa yake MCC ilieleza maeneo ambayo Tanganyika ((Tanzania)) imekiuka vigezo kuwa ni marudio ya uchaguzi haramu wa urais Zanzibar na kupitisha Sheria ya Makosa ya Mawasiliano ya Mitandaoni –“Cyber Crime”, sheria inayonyima uhuru wa wa kujieleza na uhuru wa kujumuika; nanukuu:
“Serikali ya Tanganyika ((Tanzania)) haijachukua hatua za kuhakikisha kuheshimiwa kwa uhuru wa kujieleza na uhuru wa kujumuika katika utekelezwaji wa sheria ya Uhalifu wa Mtandao.”
Tanganyika ((“Tanzania)) iliendelea na uchaguzi wa marudio Zanzibar ambao haukushirikisha wote na wala haukuakisi maoni ya wote, licha ya malalamiko kutoka kwa serikali ya Marekani na jamii ya kimataifa”, mwisho wa kunukuu.
Kwa mantiki hii, ni dhahiri kuwa Tanganyika ((Tanzania)) haikupaswa “kushitushwa” na uamuzi wa MCC. Serikali ilivifahamu vizuri na mapema vigezo vya kustahili kupewa misaada na MCC. Inashangaza na kusikitisha kuona Msomi na Mwanadiplomasia mzoefu kama Balozi Mahiga akilitia Taifa “Aibu ya Mwaka” kwa kulalamikia “kuonewa” na kutoa kauli za “hovyo” kama alivyozitoa.
Kauli ya Waziri Mahiga, za kukataa kukiri makosa yaliyo dhahiri yaliyofanywa na Serikali na Chama Chake (CCM), zinaweza kabisa kuuweka rehani uhusiano na ushirikiano mzuri wa kidiplomasia ambao Tanganyika ((Tanzania)) imekuwa ikiupata kutoka kwa nchi mbalimbali na mashirika ya kimataifa kama MCC. Tukiweka mbele maslahi ya nchi hii yakiwemo ya kudumisha mahusiano mazuri ya kimaendeleo na nchi nyingine, Kambi rasmi ya Upinzani tunaiomba MCC, Marekani na mataifa mengine kuzipuuza kauli za hovyo zilizotolewa na Waziri Mahiga, kwani haziakisi ustaarabu wa Watanzania.
2. Pili, Tanganyika ((Tanzania)) si Mbia mgeni kwa MCC. Tanganyika ((Tanzania)) ilishapokea awamu ya kwanza ya fedha za msaada kutoka MCC ambazo zilikuwa ni Dola za Marekani milioni 698. Fedha hizi zilitumika kwa ajili ya ujenzi wa barabara za Tunduma- Sumbawanga, Tanga-Horohoro na Namtumbo-Songea-Mbinga. Zilitumika pia kujenga upya mfumo wa huduma za maji kwa ajili ya miji ya Dar es Salaam na Morogoro na kusambaza umeme katika vijiji vya mikoa 10 ya Tanganyika ((Tanzania)) Bara. Zilitumika kutandaza njia ya pili ya kusafirisha umeme chini ya Bahari ya Hindi kati ya Bara na Tanganyika ((Tanzania)) Visiwani na kujenga barabara zote kuu za Kisiwa cha Pemba na baadhi ya barabara za Unguja kwa kiwango cha lami. Kwa namna yoyote ile isingewezekana kwa MCC walewale kuionea Tanganyika ((Tanzania)) ile ile waliyoisaidia katika awamu ya kwanza ya misaada yao. Ni dhahiri kuwa Nchi imepoteza sifa kwasababu zilizoelezwa – na kimsingi sababu zenyewe ni uchu na ulevi wa madaraka uliopitiliza unaofanywa na Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Serikali yake.
Hatua ya MCC kusitisha uhusiano na Tanganyika ((Tanzania)) ni ushahidi tosha kuwa hujuma za uchaguzi na ukiukwaji mkubwa wa demokrasia na utawala bora, unaofanywa na serikali ya CCM na ambao Wapinzani tumekuwa tukiulalamikia mara kwa mara sasa umefikia hatua mbaya zaidi kiasi cha kugusa hisia za jumuiya ya kimataifa.
Ni mtazamo wangu kuwa MCC na jumuiya ya kimataifa bado walichelewa sana kugundua “udhalimu” wa Serikali ya CCM, ambayo karibu mara zote imekuwa ikihujumu haki na uhuru wa watu kwenye chaguzi, na si kwa upande wa Zanzibar tu, bali pia na uchaguzi wa Jamhuri ya Muungano. Sheria kandamizi zilizopo Tanganyika ((Tanzania)) si hiyo ya “Cyber Crime” tu. Tume ya Jaji Francis Nyalali ilibainisha Sheria nyingi kandamizi na kushauri zifanyiwe mapitio ya kuziboresha lakini hadi leo “serikali isiyo ya kidemokrasia ya CCM” imeendelea kuzidumisha sheria hizo na kuongeza nyingine kama hii ya “Cyber Crime”. Natoa rai kwa jumuiya ya kimataifa kutokukubali kurubuniwa tena na serikali ya CCM na badala yake ishirikiane kwa karibu na Watanzania wote wazalendo katika kuboresha misingi ya utawala bora na demokrasia kwenye nchi hii.
3. Tatu, mabalozi wa nchi mbalimbali washirika wa maendeleo ikiwemo Marekani, walishatoa rai zaidi ya mara moja wakiionya na kuishauri Serikali ya Rais Kikwete na baadaye Rais Magufuli kuchukua hatua za kuutatua mgogoro wa uchaguzi wa Zanzibar. Aidha, walishauri mara kadhaa kuwa uchaguzi wa marudio usingeweza kuwa suluhu halali ya kumaliza tatizo la Zanzibar. Badala ya kuchukua hatua hasa za kukisihi Chama chake kuheshimu maamuzi halali ya wapiga kura wa Zanzibar yaliyofanywa Oktoba 25 mwaka jana, Rais wa Jamhuri ya Muungano, John Magufuli, alipuuza rai zote hizo na kwa kiburi cha hali ya juu alisema “hahusiki na suala la Zanzibar”.
Mbali na Mabalozi hao, hata aliyekuwa Waziri wa Mambo Nje wa Serikali ya Awamu ya Nne, Bernard Membe, alionya na kutoa tahadhari kuhusu suala la Zanzibar lilivyokuwa likichukuliwa kwa mzaha-mzaha, badala ya kutatuliwa kwa umakini. Matokeo yake ndiyo haya ya kutengwa na MCC. Inasikitisha kuona Serikali ya Magufuli ikiwa na uweledi finyu katika medani ya diplomasia ya kimataifa na kuupuza nchi rafiki.
Uamuzi wa MCC unapaswa kuchukuliwa kwa tahadhari kubwa na Serikali. Nchi nyingi rafiki ni nchi zinazosimamia misingi ya utawala bora na demokrasia na zilishaonyaonyesha kutoridhishwa na suala la Zanzibar na Sheria ya Cyber Crime. Naonya kuwa upo uwezekano kwa nchi wahisani, kila moja kwa nafasi yake, kuchukua uamuzi kama uliochukuliwa na MCC wa kusitisha ushirikiano wa kimaendeleo na Tanganyika ((Tanzania,)) kama hatua za dharura hazitachukuliwa kurekebisha hali ya mambo
USHAURI KWA SERIKALI YA TANGANYIKA
Kambi rasmi ya Upinzani siku zote tumekuwa msitari wa mbele kuitaka serikali na vyombo vyake ijenge uwezo endelevu wa kujitegemea. Hata hivyo, ni ukweli ulio dhahiri kuwa wakati tukijenga uwezo wa kujitegemea, bado tunahitaji kuutumia vizuri ushirikiano wa kutegemeana na nchi rafiki na mashirika ya kimataifa. Tanganyika ((Tanzania)) haiwezi kuishi kama Kisiwa, hii ni Dunia ya kuhitajiana.
Trilioni Moja za MCC ni muhimu katika kuharakisha usambazaji umeme vijijini. Tanganyika ((Tanzania)) inataka kufikia hadhi ya kuwa nchi yenye uchumi wa kiwango cha kati kama ilivyo India na Malaysia ifikapo mwaka 2025 kwa mujibu wa Dira ya Taifa. Nchi hizi tunazotaka kuzifikia nazo zinajenga uwezo zaidi wa kimaendeleo kwa kutegemeana pia na nchi na washirika wengine wa kimaendeleo. Serikali isijifanye haitaki misaada wakati ukweli ni kuwa bado Bajeti yetu ya nchi inahitaji kusaidiwa na nchi rafiki. Ni wakati wa Serikali kuacha kauli za hovyo na kuchukua maamuzi magumu ya kujirekebisha kama ifuatavyo.
1. Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Dr. Mohamed Shein wanapaswa kuonyesha kuwa wanawapenda zaidi Watanzania kuliko wanavyovipenda vyeo vyao vya kulazimisha. Dk Shein akatae kuburuzwa, akatae kuanzia sasa kubeba laana ya dhuluma na kusababisha Tanganyika ((Tanzania)) na Zanzibar zitengwe. Namshauri achukue uamuzi wa kishujaa wa kujiuzulu urais haramu wa Zanzibar, ili apishe mazungumzo mapya ya kutafuta muafaka Zanzibar.
2. Serikali ilete muswada Bungeni wa kurekebisha Sheria ya Makosa ya Mitandaoni na Sheria nyingine zote kandamizi kama zilivyoainishwa na Tume ya Jaji Nyalali.
3. Serikali ianze bila kuchelewa kutekeleza mchakato wa kupata Katiba Mpya kwa kuanzia pale ilipoishia Tume ya Jaji Warioba, vinginevyo naonya kuwa madai na kishindo kipya cha vuguvugu la Katiba Mpya ambalo Wapinzani tunakusudia kulianzisha upya, linaweza kuiweka nchi pabaya.

Wednesday, March 30, 2016

KAMATA KAMATA NCHINI ZANZIBAR YAENDELEA MHADHIRI WA SUZA ASHIKILIWA NA JESHI LA POLISI


MHADHIRI wa Chuo Kikuu cha Taifa Zanzibar (SUZA), Saleh Mohammed Saleh, anashikiliwa na polisi mjini Zanzibar kwa madai ya kuhusika kulipua nyumba ya Kamishna wa Polisi Zanzibar, Hamdani Omar Makame. Mhadhiri huyo ambaye ni Katibu wa Chama cha Wananchi (CUF)Zoni ya Magharibi A Unguja na aliyekuwa mgombea wa ubunge wa Jimbo la Welezo, alikamatwa na saa nane za usiku wa kumkia jana. Akizungumza na waandishi wa habari jana, Naibu Mkurugenzi wa Haki za Binadamu, Habari na Uenezi, Pavu Juma Abdalla alisema polisi walivamia nyumbani kwa mhadhiri huyo na kuvunja mlango. Alisema kiongozi mwingine aliyekamatwa ni Mwenyekiti wa chama hicho Zoni ya Mfenesini, Omar Hassan Issa. Alisema kutokana na hali hiyo, jana kutwa nzima walizunguka vituo vingi ya polisi  lakini hawakuwaona.“Polisi walivamia nyumbani kwao saa nane usiku, wakavunja milango na kuwapiga na kuondoa nao.
“Tumewatafuta vituoni hatukuwaona,tumeambiwa ni miongoni mwa watu wanaoshutumiwa kwa kulipua nyumba ya Kamishna Hamdani,” alisema Pavu.Alisema CUF wanaendelea na jitihada za kuwatafuta viongozi hao  waweze kujua hatima yao. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mjini Magharibi, Mkadam Khamis Mkadam,  alikiri kushikiliwa kwa viongozi hao. Alisema   hakuwa tayari kutaja majina ya watu wengine waliowakamatwa akisema wanaendelea na upelelezi. Bado tunaendelea na upelelezi, tukiwa tayari tutatoa kila kitu, kwa sasa hatuko tayari kuwataja majina yao,” alisema Kamanda Mkadam. Alisema polisi wanaendelea na msako mkali dhidi ya watu wote wanaotuhumiwa kuhusika na ulipuaji  wa nyumba hiyo. Kutokana na uchunguzi wetu tuliofanya, tunayo orodha ya washukiwa wote na tutaendelea kuwakamata na ikithibitika tutawachukulia hatua,” aliongeza

VIKWAZO ZAIDI KWA NCHI YA ZANZIBAR IKIWA PAMOJA NA TRAVEL BAN KWA VIONGOZI

MCC-Gold-Stars
MAREKANI INATARAJIWA KUTANGAZA VIKWAZO ZAIDI KWA ZANZIBAR IKIWA NI PAMOJA NA “TRAVEL BAN” KWA VIONGOZI WA SERIKALI YA ZANZIBAR NA KUZUILIWA NA MALI ZA ZANZIBAR ZILIZOPO MAREKANI (ACCOUNT ZA PBZ).
Taifa la Marekani linatarajia kushusha rungu la aina yake kwa serikali ya Tanganyika ((Tanzania)) kufuatia hali ya sintofahamu inayoendelea nchini kutokana na sakata la uchaguzi mkuu wa nchi ya Zanzibar. Habari zinadokeza kuwa taifa hilo kubwa duniani litaweka vikwazo vya kiuchumi kwa ya Tanganyika ((Tanzania)) hali itakayopelekea nchi ya Tanganyika ((Tanzania)) kuandika historia nyingine mbaya mbele ya uso wa dunia. 
Serikali ya Marekani tayari imezuia misaada mbalimbali kwa nchi ya Tanganyika ((Tanzania)) na pia ndiyo iliyoshinikiza Tanganyika ((Tanzania)) kunyimwa fedha za MCC. Hata hivyo serikali ya Tanganyika ((Tanzania)) bado haijatilia maanani jambo hilo huku ikioneknana kupuuza juhudi za kimataifa kuitaka kuumaliza kwa haraka mgogoro wa nchi ya Zanzibar unaofukuta kwa kuacha haki ichukue mkondo wake. Habari zinadokeza kuwa balozi wa Marekani nchini atatoa msimamo unaoelezwa kuwa ‘mkali’ ili kuishinikiza serikali ya Tanganyika ((Tanzania)) kuheshimu maamuzi ya wananchi kwenye uchaguzi mkuu wa nchi ya Zanzibar uliofanyika mwezi october mwaka jana ambao ulielezwa kuwa huru na wa haki.

AUGUSTINE MAHIGA BLA BLA BLA BLA, PESA SIO ZENU HUWA MNAPEWA TU LAKINI ONENI MNAVYOLALAMIKA NA KUJIDAI KUSONONEKA ZANZIBAR NI YETU ONENI MULIVYO TUJAZIA MAJESHI YA KIKURIA KUTOKA HUKO MRIMA WAKOLONI WEUSI NYIE TANGANYIKA



Serikali imeeleza kusikitishwa na uamuzi wa Marekani kusitisha uhusiano katika Shirika la Changamoto za Milenia (MCC), bila kuishirikisha wala kuisikiliza. Kadhalika, imesema hakuna umuhimu wa misaada ya afya na elimu inayofadhiliwa na Marekani kwa dola za Marekani milioni 700 (Sh. trilioni 1.5), kama imejitoa katika kusaidia miradi ya umeme ambayo ni muhimu katika utekelezaji wa miradi inayofadhili, kwa kuwa ni sawa na kutoa kwa mkono wa kulia na kupora kwa mkono wa kushoto. Akizungumza na waandishi wa habari jana jijini Dar es Salaam, baada ya kupokea taarifa ya uamuzi wa MCC, Waziri wa Mambo ya Nje, Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kikanda na Kimataifa, Balozi Augustine Mahiga, alisema uhusiano na Marekani utaendelea katika maeneo mengine, lakini kwa fedha hizo hakuna la kufanya ingawa milango iko wazi iwapo watafikiria upya.

“Fedha ni zao, uamuzi ni wao wameutoa Washington. Hatuwezi kulia kwa ajili ya hili, tutaendeleza ushirikiano katika maeneo mengine, lakini tunawaomba wafanye uchambuzi wa kigezo cha demokrasia kwa asilimia 100 kinachotumika katika misaada hiyo,” alibainisha na kuongeza: “Wametusaidia kwa miaka mitano kwa vile tulikidhi vigezo, ila sasa tumeshindwa kimoja inafuta imani na uelewano ambao ulikuwapo kati yetu. Nishati ndiyo nyenzo ya maendeleo kwa Tanzania. Kwa sasa tunaelekeza umeme vijijini ili vijana wanaosoma bure wajisomee na hospitali zitoe huduma muda wote.”

Waziri Mahiga alisema Tanzania imetia saini mkataba wa malengo ya milenia ambayo yanakwenda sambamba na MCC, hivyo kufuta fedha hizo kwa sasa ni sawa na kuumiza mahali panapouma zaidi huku ikiwa (Marekani) kiongozi wa utawala bora, demokrasia na soko huria duniani. Alifananisha kunyimwa fedha hizo sawa na kutoa adhabu kwa mkosaji bila kujali kuwa alipaswa kumwelimisha na kumwonya kabla ya adhabu kubwa. “Ukichukua mizani na kuweka nyama upande huu na jiwe upande mwingine, ukapima mazuri ambayo Tanzania imekuwa ikifanya na kuonekana mtoto mzuri machoni mwa dunia, lakini upungufu wa sasa waliouona, utaona tuna mazuri mengi, hivyo  hatukustahili adhabu hii,” alisisitiza.

“Uamuzi wao hatuwezi kuwaingilia, nasi tukiamua yetu wasituingilie. Tumejitahidi tuwezavyo kulinda demokrasia na hatutarudi nyuma kwani katika uchaguzi wa Zanzibar vyama vilishirikishwa. Waelewe na kutambua mazuri yetu tunayofanya na tutaendelea kufanya,”afafanua. Aidha, alisema suala la Zanzibar liliendeshwa vizuri kwa kuwa lilitoa nafasi ya mazunguzo kwa pande zote na kwamba hakuna mwenye uwezo wa kuingilia masuala ya uchaguzi, serikali na mambo ya ndani ya visiwa hivyo kwa kuwa wana katiba na sheria zao bali mambo machache tunashirikiana na hata Rais Dk. John Magufuli, alikuwa mwangalizi tu. Balozi Mahiga aliishangaa Marekani kwa kueleza kuwa uamuzi wa sasa unapingana na tamko la hivi karibuni lililosisitiza mazungumzo baada ya serikali mpya kuingia madarakani, kwa kuwa kabla ya utekelezaji, imetoa uamuzi wa kuvunja uhusiano na Tanzania katika MCC.

“Kitu kinachoitwa demokrasia kingekuwa kinafugwa kwenye bomba na kuona kinamiminika ingekuwa rahisi sana, lakini ni kitu cha kulea na kutengeneza. Tanzania imejulikana duniani kama mlezi na mjenzi wa demokrasia tangu kipindi cha chama kimoja hadi vyama vingi,”alisema. Aidha, alisema kutokana na hali hiyo, serikali itafanya marekebisho katika bajeti yake na mpango wa maendeleo ambao ulijumuisha fedha hizo na kwamba kinachopaswa kufanyika kwa sasa ni kujikita kwenye ukusanyaji wa kodi kikamilifu. “Ndani ya vikao vya Bunge la Marekani tuna marafiki zetu ambao tunaamini wataendelea kuihoji serikali yao juu ya uamuzi huu na hasa wakizingatia historia yetu katika kukuza na kuendeleza demokrasia nchini,” alibainisha.

KISHA NYINYI MUNAYAITA MAPINDUZI MATUKUFU HIVI KWELI NYINYI MUNAJUWA UTUKUFU NI NINI AU DUNIA IMEWAVA KISAWA SAWA MPAKA MNAKUFURU

KILA MZANZIBARI ALIYE IPIGIA KURA CCM AU MPAKA WAKATI HUU BADO ANAISAPOTI CCM ILI IBAKI MADARAKANI JAPO KUWA CCM IMESHINDWA UCHAGUZI AJUWE NA YEYE ANACHANGIA KUENDELEZA DHULMA NA KUFUNGWA KWA MASHEIKH NA KUTHALILISHWA KWAO NA KUENDELEZA DHULMA KATIKA NCHI YA ZANZIBAR UKAE UKIJUWA UTAULIZWA SIKU YA KIYAMA NA MWENYEZI MUNGU ULIPOSIKIA WAZANZIBARI WENZIO WANADHALILISHWA,KUDHULUMIWA NA KULAWITIWA NA HAWA JE ULIFANYA NINI TAFUTA JIBU LAKO MAPEMA KWA SIKU HIYO YA KIYAMA SIKU AMBAYO MALI NA WATOTO WAKO WALA CHEO CHAKO HAVITAKUFAA SIKU HIYO.

Monday, March 28, 2016

VIDEO-MSIKILI SHEIKH KISHA JIULIZE JE HAYA YALIO TOKEA ZANZIBAR SI NDIO ALIYO YASEMA SHEIKH

UTOTO WA JECHA NA KURA ZA SHEIN UCHAGUZI WA HARAMU


SIKU YA UCHAGUZI WA JECHA NA SHEIN CHEKI WATU WALIVYO JAA HAPATOSHI KILA MOJA ANATAKA KUPIGA KURA HATA MAWAKALA HUWAONI UNAONA WAPIGA KURA TU DAAAH NDIO MAANA SHEIN AKASHINDA KWA KISHINDO HAHAHAHAHA FEDHEHA MTU MZIMA
SIKU YA KWENDA KUJIAPIZA NA SHEIKH WAO MNAFIKI

KISHA NYINYI MUNAYAITA MAPINDUZI MATUKUFU HIVI KWELI NYINYI MUNAJUWA UTUKUFU NI NINI AU DUNIA IMEWAVA KISAWA SAWA MPAKA MNAKUFURU

KILA MZANZIBARI ALIYE IPIGIA KURA CCM AU MPAKA WAKATI HUU BADO ANAISAPOTI CCM ILI IBAKI MADARAKANI JAPO KUWA CCM IMESHINDWA UCHAGUZI AJUWE NA YEYE ANACHANGIA KUENDELEZA DHULMA NA KUFUNGWA KWA MASHEIKH NA KUTHALILISHWA KWAO NA KUENDELEZA DHULMA KATIKA NCHI YA ZANZIBAR UKAE UKIJUWA UTAULIZWA SIKU YA KIYAMA NA MWENYEZI MUNGU ULIPOSIKIA WAZANZIBARI WENZIO WANADHALILISHWA,KUDHULUMIWA NA KULAWITIWA NA HAWA JE ULIFANYA NINI TAFUTA JIBU LAKO MAPEMA KWA SIKU HIYO YA KIYAMA SIKU AMBAYO MALI NA WATOTO WAKO WALA CHEO CHAKO HAVITAKUFAA SIKU HIYO.

VIDEO-SAMUEL JOHN SITTA ISLAMOPHOBIA NCHINI TANGANYIKA MTU KAMA HUYU NDIO ANAONEKANA BONGE LA MSOMI WAZANZIBAR TUNAMUONA CHAGUDOWA ATAFUTA KULA


KISHA NYINYI MUNAYAITA MAPINDUZI MATUKUFU HIVI KWELI NYINYI MUNAJUWA UTUKUFU NI NINI AU DUNIA IMEWAVA KISAWA SAWA MPAKA MNAKUFURU

KILA MZANZIBARI ALIYE IPIGIA KURA CCM AU MPAKA WAKATI HUU BADO ANAISAPOTI CCM ILI IBAKI MADARAKANI JAPO KUWA CCM IMESHINDWA UCHAGUZI AJUWE NA YEYE ANACHANGIA KUENDELEZA DHULMA NA KUFUNGWA KWA MASHEIKH NA KUTHALILISHWA KWAO NA KUENDELEZA DHULMA KATIKA NCHI YA ZANZIBAR UKAE UKIJUWA UTAULIZWA SIKU YA KIYAMA NA MWENYEZI MUNGU ULIPOSIKIA WAZANZIBARI WENZIO WANADHALILISHWA,KUDHULUMIWA NA KULAWITIWA NA HAWA JE ULIFANYA NINI TAFUTA JIBU LAKO MAPEMA KWA SIKU HIYO YA KIYAMA SIKU AMBAYO MALI NA WATOTO WAKO WALA CHEO CHAKO HAVITAKUFAA SIKU HIYO.

Saturday, March 26, 2016

MAALIM SEIF SHARRIF HAMAD AMEREJEA NCHINI ZANZIBAR

Siku chache baada ya Dikteta wa nchi ya Zanzibar Shein kuapishwa baada ya kushinda uchaguzi bandia aliyo pigiwa kura na majeshi na polisi na wahafidhina uliosusiwa na vyama vya upinzani na wananchi wote wa nchi ya Zanzibar kwani sio uchaguzi halali, Katibu mkuu wa chama cha wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hamad, amerejea nchini Zanzibar.Maalim Seif  Sharrif Hamad ambaye alikuwa mapumzikoni katika hoteli ya Serena iliyopo jijini Dar es Salaam nchini Tanganyika kwa Wakoloni Weusi Tanganyika kwa takribani siku 17, jana alirejea nchini Zanzibar kuendelea na mapumziko yake.

Maalim Seif alilazwa katika Hospitali ya Hindu Mandal ya jijini Dar es Salaam nchini Tanganyika kwa Wakoloni Weusi Tanganyika,mara baada ya kuruhusiwa March 8 mwaka huu alishauriwa na Daktari wake kupata mapumziko ya muda mrefu.Kurejea kwa Maalim Seif Sharrif Hamad nchini Zanzibar kunazidisha shauku na kiu ya baadhi ya Wazanzibari kutaka kusikia atakachokisema kiongozi huyo wa upinzani mwenye ushawishi mkubwa kwenye jamii.Maalim Seif Sharrif Hamad aliugua wakati Wazanzibari wakiwa katika mgumu kabisa wa kulazimishwa na Dikteta Shein wakubali kurudia uchaguzi mkuu uliofanyika March 20 lakini Wazanzibari wanajuwa wanataka nini wameweza kukata uchaguzi huo bandia na mwisho wake ulikuwa ni uchaguzi wa majeshi,polisi,wahafidhina na wenye maradhi ya BT.

KISHA NYINYI MUNAYAITA MAPINDUZI MATUKUFU HIVI KWELI NYINYI MUNAJUWA UTUKUFU NI NINI AU DUNIA IMEWAVA KISAWA SAWA MPAKA MNAKUFURU

KILA MZANZIBARI ALIYE IPIGIA KURA CCM AU MPAKA WAKATI HUU BADO ANAISAPOTI CCM ILI IBAKI MADARAKANI JAPO KUWA CCM IMESHINDWA UCHAGUZI AJUWE NA YEYE ANACHANGIA KUENDELEZA DHULMA NA KUFUNGWA KWA MASHEIKH NA KUTHALILISHWA KWAO NA KUENDELEZA DHULMA KATIKA NCHI YA ZANZIBAR UKAE UKIJUWA UTAULIZWA SIKU YA KIYAMA NA MWENYEZI MUNGU ULIPOSIKIA WAZANZIBARI WENZIO WANADHALILISHWA,KUDHULUMIWA NA KULAWITIWA NA HAWA JE ULIFANYA NINI TAFUTA JIBU LAKO MAPEMA KWA SIKU HIYO YA KIYAMA SIKU AMBAYO MALI NA WATOTO WAKO WALA CHEO CHAKO HAVITAKUFAA SIKU HIYO.

DA FATMA KARUME; SHEIN SIO RAIS WA NCHI YA ZANZIBAR

Afbeeldingsresultaat voor Fatma Karume
MJUKUU wa rais wa kwanza wa Jamhuri ya Watu wa Zanzibar, Abeid Amani Karume, amepinga hatua ya kumtangaza Shein, kuwa atii ni rais wa nchi ya Zanzibar, Fatma Amani Abeid Karume, mtoto wa kwanza wa rais mstaafu, Amani Abeid Karume amesema, “Dk. Shein, siyo kiongozi halali wa Zanzibar. Amewekwa madarakani na jeshi na kinyume na Katiba na taratibu za nchi.” Amesema, “Rais aliyewekwa madarakani na vyombo vya dola, siyo rais wa wananchi. Rais anayewekwa madarakani kwa nguvu za kijeshi na vitisho, hawezi kuwa rais wa wananchi. Anakuwa rais wa majeshi.”
Akiongea kwa sauti ya uchungu na MwanaHALISI Online, Jumatano wiki hii, ofisini kwake, jijini Dar es Salaam nchini Tanganyika, Fatma amesema, “Chama Cha Mapinduzi, kisijidanganye. Zanzibar siyo shwari. Kinachotengenezwa sasa, siyo utawala. Ni muendelezo wa chuki, visasi na uhasama.”Amesema, “CCM ya Tanganyika, ndiyo inayoiharibu Zanzibar. Wanalazimisha viongozi wasiokubalika na wananchi Visiwani kutawala kwa manufaa yao binafsi.”

KISHA NYINYI MUNAYAITA MAPINDUZI MATUKUFU HIVI KWELI NYINYI MUNAJUWA UTUKUFU NI NINI AU DUNIA IMEWAVA KISAWA SAWA MPAKA MNAKUFURU

KILA MZANZIBARI ALIYE IPIGIA KURA CCM AU MPAKA WAKATI HUU BADO ANAISAPOTI CCM ILI IBAKI MADARAKANI JAPO KUWA CCM IMESHINDWA UCHAGUZI AJUWE NA YEYE ANACHANGIA KUENDELEZA DHULMA NA KUFUNGWA KWA MASHEIKH NA KUTHALILISHWA KWAO NA KUENDELEZA DHULMA KATIKA NCHI YA ZANZIBAR UKAE UKIJUWA UTAULIZWA SIKU YA KIYAMA NA MWENYEZI MUNGU ULIPOSIKIA WAZANZIBARI WENZIO WANADHALILISHWA,KUDHULUMIWA NA KULAWITIWA NA HAWA JE ULIFANYA NINI TAFUTA JIBU LAKO MAPEMA KWA SIKU HIYO YA KIYAMA SIKU AMBAYO MALI NA WATOTO WAKO WALA CHEO CHAKO HAVITAKUFAA SIKU HIYO.

Friday, March 25, 2016

VIDEO-MAHOJIANO YA MAALIM SEIF SHARRIF HAMAD KUHUSU UCHAGUZI WA JECHA. U.N.TUNAWAOMBA MJE ZANZIBAR KUJA KUCHUGUZA MADHILA TUFANYIWAYO NA CCM NA VIONGOZI WAKE AU MNASUBIRI MPAKA WATUMALIZE


Salma_
999421_10206080035696705_2607240507663598007_n


10464141_1176213469064368_2876723535492258797_n
mkoani
12190038_10205263573132780_8067397132018384983_n
12079538_10205263573212782_1002409622269273343_n
USHINDI WA SHEIN NDIO HUU WA KISHINDO
Tunaomba Iko haja ya wananchi wa Zanzibar kudai haki yetu ya kimsingi katika umoja wa Mataifa zidi ya hujuma tunazo fanyiwa wananchi wa kawada na chama tawala cha CCM miaka nenda miaka rudi. Iko haja ya kuandika barua nakukusanya ushahidi wamatokeo na kumpa Ndugu yetu Bi Salma Saidi kwenda UN katika kitengo cha haki za kibinadamu kuwauliza . Jee wananchi wa Zanzibar hawana haki na wametolewa katika kitengo hicho ndio maana Viongozi wa CCM wafanya watakavyo....?? Hivi sasa wananchi wa Zanzibar imekua tunaishi kwa hofu na hatuna tena imani na vyombo vya Serekali Dola kutulinda sisi na malizetu imekua wao ndio madui zetu .
WANANCHI WA ZANZIBAR TUNAIOMBA JUMUIA YA KIMATAIFA KUJALI HAKI ZA WANANCHI WA ZANZIBAR.
Wzanzibar wote waloko nje na wananchi wote wenye kupigania haki za binadamu tunawaomba mufanye mandamano special ya kupaza sauti kutokana na uvunjaji wa haki za binadamu tunavyo fanyiwa Zanzibar. Tunakuomba Dada etu Bi Salma Saidi tukushikishe bendera hii uweze kutaga ulimwengu mpaka New York kwenda kudai haki zetu za wanyonge wa Zanzibar kuonewa .
WHY PALALA WA PAKISTANI KAWEZA WAZANZIBARI TUSHINDWE....??
Bi Salma kwa vile ni moja wa victim wa haki za binadam tunataka tukushikishe bendera ili uzungumke ulimwengu kwenda ku up voice ya wananchi wanyonge wa Zanzibar. Vitendo vilivyo fanywa Zanzibar na watawala wamejisahau kwa vile hakuna hatua zozote za U.N zidi ya uchiguzi wa wasiri Zanzibar ulio fanywa. Tunataka sauti yetu na sisi isikike ili tuletewa watalamu kuja kuchunguza kinachofanyika Zanzibar zidi ya raia wema wasio na hatia yoyote.
KISHA NYINYI MUNAYAITA MAPINDUZI MATUKUFU HIVI KWELI NYINYI MUNAJUWA UTUKUFU NI NINI AU DUNIA IMEWAVA KISAWA SAWA MPAKA MNAKUFURU

KILA MZANZIBARI ALIYE IPIGIA KURA CCM AU MPAKA WAKATI HUU BADO ANAISAPOTI CCM ILI IBAKI MADARAKANI JAPO KUWA CCM IMESHINDWA UCHAGUZI AJUWE NA YEYE ANACHANGIA KUENDELEZA DHULMA NA KUFUNGWA KWA MASHEIKH NA KUTHALILISHWA KWAO NA KUENDELEZA DHULMA KATIKA NCHI YA ZANZIBAR UKAE UKIJUWA UTAULIZWA SIKU YA KIYAMA NA MWENYEZI MUNGU ULIPOSIKIA WAZANZIBARI WENZIO WANADHALILISHWA,KUDHULUMIWA NA KULAWITIWA NA HAWA JE ULIFANYA NINI TAFUTA JIBU LAKO MAPEMA KWA SIKU HIYO YA KIYAMA SIKU AMBAYO MALI NA WATOTO WAKO WALA CHEO CHAKO HAVITAKUFAA SIKU HIYO.

VIDEO-TUNDU LISSU A.K.A. RONALDO NA MAREHEMU MTIKILA. POMBE MAGUFULI AKAMILISHA MAPINDUZI YA KIKWETE YA KUPINDUWA KURA ZA WAZANZIBARI NA KUENDELEA KUITAWALA NCHI YA ZANZIBAR KIJESHI



KISHA NYINYI MUNAYAITA MAPINDUZI MATUKUFU HIVI KWELI NYINYI MUNAJUWA UTUKUFU NI NINI AU DUNIA IMEWAVA KISAWA SAWA MPAKA MNAKUFURU


KILA MZANZIBARI ALIYE IPIGIA KURA CCM AU MPAKA WAKATI HUU BADO ANAISAPOTI CCM ILI IBAKI MADARAKANI JAPO KUWA CCM IMESHINDWA UCHAGUZI AJUWE NA YEYE ANACHANGIA KUENDELEZA DHULMA NA KUFUNGWA KWA MASHEIKH NA KUTHALILISHWA KWAO NA KUENDELEZA DHULMA KATIKA NCHI YA ZANZIBAR UKAE UKIJUWA UTAULIZWA SIKU YA KIYAMA NA MWENYEZI MUNGU ULIPOSIKIA WAZANZIBARI WENZIO WANADHALILISHWA,KUDHULUMIWA NA KULAWITIWA NA HAWA JE ULIFANYA NINI TAFUTA JIBU LAKO MAPEMA KWA SIKU HIYO YA KIYAMA SIKU AMBAYO MALI NA WATOTO WAKO WALA CHEO CHAKO HAVITAKUFAA SIKU HIYO.

TUNAYO YAONA BAADA YA CUF KUWACHIA CCM KUFANYA WATAKAVYO JAPO KUWA CUF IMESHINDA KURA NYINGI NA NDIO MSHINDI WA UCHAGUZI WA 25-2015


CCM MADARAKANI MIAKA MITANO MENGINE HAKUNA LA KUFANYA....???

MAZOMBI ((GOVERMENT ORGANISED AND FUNDED TERRORISTS AGAINST OWN CITIZENS YATA ZIDI KUIMARISHWA NA IKIWA CUF NDIO ISHAKUBALI KUPWETEKA MPAKA 2020 BASI NDIO MJUWE MAZOMBI WATAKUWA IMARA KULIKO SASA MUJUWE CUF HAMUNA LENU MUMESHINDWA SASA NDIO BYE BYE

WABUNGE WETU WALIO GININGI DODOMA WAKIJIDAI AU KUJARIBU KUITETE NCHI YETU YA ZANZIBAR WATASHUGHULIKIWA NA JESHI LA MKOLONI MWEUSI TANGANYIKA NA KUTOLEWA NJE WAO CCM WANABAKI NDANI NA KUENDELEA NA MAMBO YAO WABUNGE WETU WATURUDI ZANZIBAR KISHA TUTAKA TUNASUBIRI 2020 CUF NDIO ITAINGIA IKULU MIAKA 20 TUNAIBIWA NYIMBO HII MARA HII MARA HII IKULU MARA KAMA HAWATOI TUTANGANGANUWA VIPI MBONA HATUNGANGANUWI AU NDIO TUSUBIRI NYIMBO MPYA YA ZENJI FLAVE MAANA KILA BAADA YA MIAKA MITANO TUNA NYIMBO MPYA JINO KWA JINO,NGANGARI,HATUSUBIRI WATOE TUTANGANGANUWA N.K.

TUME YA UCHAGUZI NDIO ILE ILE

MAJESHI KAMA KAWAIDA YAO KUISAIDIA CCM NA SERIKALI YAKE

POLISI KAMA KAWAIDA YAO KULINDA NA KUSAIDI KUIBIWA KURA AU KUFUTWA UCHAGUZI NA KUFANYWA UCHAGUZI MPYA AMBAO MGOMBEA WA CCM ATASHINDA KWA 100% NA KUMTANGAZA NA KUMUAPISHA


MEDIA NA TUME YA UCHAGUZI KUENDELEA KUSIKILIZA NA KUIPENDELEA CCM KAMA WALIVYO WEZA KUFUTA MATOKEA NA KUIVUNJA VUJA KATIKBA YA ZANZIBAR BILA KUJALI BASI 2020 PIA WATAFANYA TENA KISHA CUF ITASEMA INAZIDI KUIMARIKA NA 2025 CUF ITACHUKUWA NCHI KAMA KIKWETE ALIVYO WEZA KUPINDUWA MATOKEA HALALI YA WANANCHI WA ZANZIBAR 25-2015 NA POMBE MAGUFULI AKAYALINDA MAPINDUZI HAYO NA KUHAKIKISHA SHEIN ANAPISHWA BASI 2020 MAGUFULI ATAYAPINDUWA TENA MATOKEA HALALI YA WANANCHI WA ZANZIBAR NA KUHAKIKISHA RAIS WA WAKATI HUO ANAE GOMBEA KWA TICKET YA CCM NDIO MSHINDI NA KUAPISHWA KISHA CUF ITASEMA TUNAZIDI KUIMARISHA CHAMA NA KINAZIDI KUIMARIKA TUTNGANGANUWA 2025.

KORTI ITABAKI KUPENDELEA CCM NA KUWABAMBIKIA KISA WAFUASI WA CUF AU YOYOTE ANAE IPINGA CCM KUENDELEA KUKA MADARAKANI

WALIO VOTIA CUF KUTUMBULIWA

MASHEIKH WETU WATAENDELEA KUKAA JELA

WANACHAMA WA CUF KUZIDI KUBANWA NA KUKANDAMIZWA,KUBAGULIWA KWA KILA UPANDE

MAALIM SEIF SHARRIF HAMAD JE NIMEKOSEA......??

 JUSSA JE NIMEOSEA.....??? HAYA NDIO TUNAYOYAONA MBELE YETU

MKUU WA MAJESHI YA MKOLONI MWEUSI TANGANYIKA JENERAL DAVIS MWAMUNYANGE AMPONGEZA SHEIN ATII KWA USHINDI WA KISHINDO ((BORA NI CHEKE HAHAHAHAHA))











MKUU wa Majeshi ya Ulinzi Nchini Tanganyika, Jenerali Davis Mwamunyange, amemtumia salamu za pongezi Shein nchini Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Shein atii kwa kuchaguliwa tena atii na wananchi wananchi wananchi wananchi ngani hao labda jamaa zenu walio kuweko huku wa mrima lakini kwa wa Zanzibar tulishamkata katika kura 2010 akapata salama yake kwa Mzee Moyo na Maalim Seif Sharrif Hamad na Oct 25 2015 tukampiga tena chini kabisa mpaka akahumiwa ndio akawaomba nyinyi Wakoloni Weusi Tanganyika mtujazie majeshi.

Nanyi mkafanya hivyo kisha mkafanya kichaguzi chenu cha watu wa mrima na majeshi na polisi na mazombi wenu kisha mkasema amekuwa Rais mnaendelea kudanganya nafsi zenu na haya madaraka yenu ya mudaa maana wangapi walikuwepo madarakani na leo hii hawapo itakuwa nyinyi.

Salamu hizo zilizotumwa na Jenerali Mwamunyange kwa niaba ya Maofisa, Askari na Watumishi wa Umma wanaofanya kazi katika Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanganyika (JWT), zilieleza kuwa ushindi wa kishindo Shein alioupata unadhihirisha kuwa wananchi wa Zanzibar wameridhishwa na uongozi wake makini na mahiri aliouonesha katika muhula wake wa kwanza wa uongozi wake.




((Daaah!! pole sana sana yani watu wazima kisha viongozi mnakaa na kusema uwongo wa namna hii jinsi mulivyo lewa madara hata hamjioni kama mnasema uwongo kwa jinsi madaraka yalivyo walevya namnuku.......ushindi wa kishindo Shein alioupata unadhihirisha kuwa wananchi wa Zanzibar wameridhishwa na uongozi wake makini na mahiri aliouonesha katika muhula wake wa kwanza wa uongozi wake.))

Salamu hizo ziliendelea kueleza kuwa historia ya Shein ya uaminifu atii mnasema ana nini uaminifu.....?, maadili mema ooooh maii maii maadili meme yapi hayo....? na uzalendo aliouonesha ((yaaa wakutujazia majeshi ili abaki madarakani na kuwaridhisha nyinyi Wakoloni Weusi Tanganyika mzalendo kweli kweli)) katika utumishi wake wa muda mrefu katika nyadhifa mbalimbali alizowahi kushika kabla hajawa Rais wa Zanzibar imewapa wananchi imani kubwa kuhusu uongozi wake.((imana kuwa Dah!! yakulazimisha abaki madarakani na wewe na wenzio mnamlinda na kusema uwongo katika vyombo vya habari kuwa kachaguliwa na wananchi hali yakuwa watu wote wanajuwa mulivyo idhibiti nchi ya Zanzibar kijeshi Daaaah!!))


“Mheshimiwa Rais, hapana shaka kuwa katika muhula huu wa pili wa uongozi wako, Zanzibar itashuhudia mafanikio makubwa zaidi ya maendeleo ya kiuchumi na kijamii, sambamba na kuendelea kuwepo kwa hali ya amani na utulivu kwa wananchi wote,” ilieleza sehemu ya salamu hizo.((bora ni cheke hahahahahahaha))

Aidha, salamu hizo za pongezi zilieleza kuwa JWT inamhakikishia Shein kuwa itaendelea na utiifu, uadilifu na uaminifu mkubwa kwake kama ilivyo desturi ya majeshi nchini.





KISHA NYINYI MUNAYAITA MAPINDUZI MATUKUFU HIVI KWELI NYINYI MUNAJUWA UTUKUFU NI NINI AU DUNIA IMEWAVA KISAWA SAWA MPAKA MNAKUFURU


KILA MZANZIBARI ALIYE IPIGIA KURA CCM AU MPAKA WAKATI HUU BADO ANAISAPOTI CCM ILI IBAKI MADARAKANI JAPO KUWA CCM IMESHINDWA UCHAGUZI AJUWE NA YEYE ANACHANGIA KUENDELEZA DHULMA NA KUFUNGWA KWA MASHEIKH NA KUTHALILISHWA KWAO NA KUENDELEZA DHULMA KATIKA NCHI YA ZANZIBAR UKAE UKIJUWA UTAULIZWA SIKU YA KIYAMA NA MWENYEZI MUNGU ULIPOSIKIA WAZANZIBARI WENZIO WANADHALILISHWA,KUDHULUMIWA NA KULAWITIWA NA HAWA JE ULIFANYA NINI TAFUTA JIBU LAKO MAPEMA KWA SIKU HIYO YA KIYAMA SIKU AMBAYO MALI NA WATOTO WAKO WALA CHEO CHAKO HAVITAKUFAA SIKU HIYO.