Wednesday, June 29, 2016

DIKTETA UCHWARA NA SHEIN KIBARAKA WA MAKABURU WEUSI TANGANYIKA WANAENDELEA KUWATESA,KUWAPIGA RISASI PEMBA NA UNGUJA RAI WASIO NA HATIA YOYOTE


‪#‎BREKING‬ NEWZ Wakati huo huo huko chake chake wafusi wa CUF wapatao 20 walioshikiliwa na Polisi tokea juzi/Jana leo imeshindikana kusomewa Mashtaka yao baadaya hakimu kukataa kusikiliza kesi ya mtu anae tizamiwa roho baada ya kupigwa sana na Polisi
Kijana huyo alichukuliwa usiku nyumbani kwake Ziwani na kupelekwa ukhaibuni ambako alipigwa mpaka akakaribia kufa ndio akarejeshwa polisi na leo alipelekwa Mahakamani akiwa ktk machera/ Vitanga vya mikono


HALI PEMBA IMEZIDI KUWA MBAYA BAADA YA JESHA LA MKOLONI MWEUSI TANGANYIKA KUENDELEZA UKATILI ZAIDI YA RAI WASIO NA HATIA YOYOTE KISA TU NIKUWA WAMEKIKATA CHAMA HICHO KATIKA KURA ZA HALALI SASA NDIO DIKTETA UCHWARA NA KIBARAKA WAKE SHEIN WANAWAKOMOWA WAZANZIBARI KWA KUWAPIGA,KUWATESA,KUWAPIGA RISASI,KUWAIBIA MALI ZAO KUWAHARIBIA MALI ZAO N.K.

HIO NDIO HALI YA PEMBA

VIDEO-NCHI YA TANGANYIKA A.K.A. (TANZANIA) IMEPATA RAIS WA KWANZA DIKTETA UCHWARA MARA HII

ZITTO KABWE: SISI HATUMUOGOPI RAISI MAGUFULI


SUMAYE: MAGUFULI ANAPANDIKIZA CHUKI NA HASIRA KATIKA JAMII

UKAWA WAMJIBU POMBE MAGUFULI


MBATIA: MAGUFULI HANA AKILI KUWAZIDI WATANZANIA WOTE


TUNDU LISSU: HUYU DIKTETA UCHWARA

Tuesday, June 28, 2016

WAKO WAPI LEO WAKO WAPI LEO WALIOJITA WANAMAPINDUZI WOTE KIMYA KATIKA TUMBO LA ARDHI LIMEWAMEZA NA KUWANYAMAZISHA KIMYA KIMYA KIMYA


WALITAMBA,WAKAJIVUNA,UBABE,WAKAPIGA WATU MIKWAJU BARABARA,WAKATESA WATU,WAKAUWA WATU,WAKAOWA WATOTO WA WATU KWA LAZIMA,WAKAIBA MAJOMBA YA WATU,WAKAIBA MASHAMBA YA WATU,WAKATAIFISHA MALI ZA WATU,WAKATAIFISHA WAKE ZA WATU,WAKALA HARAMU,WAKAVA HARAMU,WAKALALA KWENYE MAJUMBA WALIO YAPATA KWA HARAMU WAKAJENGA MAJUMBA KWA PESA ZA HARAMU N.K. MIAKA YA KUANZIA 1964 MPAKA SASA NI 2016 SERIKALI WALIO IWEKE WENYE BADO IKO NA INAENDELEZA HARAMU NA MITINDO KAMA WALIO FANYA WAO NA ZAIDI WAKO WAPI LEO MBONA HATUWASIKI WAKISEMA TUMBO LA ARDHI LISHA WAMEZA KIMYA CHINI HUKO WALIAMBIWA MUOGOPENI M.MUNGU IKO SIKU MTAONDOKA DUNIA MAPITO TU WAPI WAMELEWA NA RAHA ZA DUNIA LEO WAKO WAPI WAKO WAPI LEO WOTE KIMYA KATIKA TUMBO LA ARDHI LISHA WAMEZA.

HALI IMEKUWA MBAYA SANA UNGUJA WATU WANAPINGWA RISASA PEMBA WANAPINGWA NA KUFUNGWA KATIKA VITUO VYA POLISI HONGERA DIKTETA SHEIN NA DIKTETA POMBE MAGUFULI


HUYU NI MOJA KATIKA WAZANZIBARI ALIYE PINGWA MPAKA KUPOTEZA FAHAMU
Tokea saa 3.00 ya Asubuhi ya leo hadi hivi sasa Viongozi wakuu wa CUF wa Majimbo ya Wilaya ya Chake Chake yaani Wenyeviti na Makatibu wa Majimbo na baadhi yao.wamo na wawilaya ya Mkowani wamekuwa wakihojiwa na Polisi hadi hivi sasa hakuna alieruhusiwa kuondoka hapo Polisi Madungu, tayari Uongozi wa Chama Wilaya ya Chake Chake wameshawapelekea Futari.
Chama Cha Wananchi CUF kinafuatilia kwa ukaribu mno hii kadhia inayoendelea na taarifa zote tutawajuilisheni.
Wakati huo huo leo hii Mahkama ya Mwanzo Chake Chake imewanyima dhamana Wanachama wetu 13 waliokamatwa kutoka jimbo la Chonga watu 7 na jimbo la Ziwani watu 6 Wanachama wetu hawa wamewekwa Rumande hadi tarehe 12.7.2016 na hapo hapo.wanachama wetu wengine kutoka jimbo la Ziwani wapatao 13 nao wako mikononi mwa Polisi.

TULIDHANI WABUNGE WA VYAMA VYA UPINZANI NDIO WANAO TOKA BUNGENI KUMBE HATA CCM PIA DUUUUH!!!


Wabunge wa ccm wanalamika kuwa wanalazimishwa kuja na kuingia Bungeni kwani bunge halina ladha kufuatia naibu spika kukanyaga kanuni na taratibu, sasa wanatakiwa kujieleza kamati kuu ya ccm.

MAWAZIRI NA MACCM GOGO WALIO MSAIDIA KWA ASILIMIA KUBWA SHEIN KUIBA HAKI YA MAALIM SEIF SHARIFF HAMAD WAPINGWA CHINA NA KUWACHWA KWENYE MATAA



CCM ZANZIBAR YAKATIKA VIPANDE VIPANDE
Makundi mawili makubwa ya CCM Zanzibar yamejikuta yakiingia katika mgogoro mkubwa wa kimaslahi ambao unahusishwa moja kwa moja na Dokta Ali Muhammed Shein. Makundi hayo yanayojipanga kuwania uraisi Zanzibar 2020 yameanza kuvutana chini kwa chini kuhusu mambo mbali mbali yaliyotokea na yanaendelea kutokea Zanzibar katika masuala ya chama na uendeshaji wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar.
Hayo yameibuka baada ya vigogo waliosababisha serikali kushindwa kukusanya mapato kutakiwa wajiuzulu baada ya kukosekana sehemu ya kuweka makontena zaidi ya 1,000 jambo lililosababishwa kwa kuuzwa kwa Hoteli ya Bwawani kwa maslahi yao binafsi bila kuwashauri watendaji wa Serikali wanaonufaika na Hoteli hiyo kama ilivyoripotiwa na Gazeti la Zanzibar Leo.
Kuuzwa kwa hoteli ya Bwawani kwa Mfanya Biashara Yussuf Manji kunamhusisha moja kwa moja Dokta Ali Mohammed Shein na Balozi Seif Ali Idi.
Akichangia makadirio na mapato ya wizara ya miundo mbinu Zanzibar; Mwakilishi wa Jimbo la Tunguu Ndugu. Simai Mohamed Said (Mpakabasi) alisema serikali imeshindwa kukusanya mapato ya Sh. Bilioni 13 ya Makontena 3,300 kukwama kuteremshwa Bandari ya Malindi kufuatia sehemu ya kuhifadhi makotena hayo kuuzwa kwa Mfanya Biashara mmoja ili kujenga mradi wa Hoteli na maduka. Simai alisema ni jambo la kusikitisha viongozi wenye dhamana wameshindwa kutafuta eneo mbadala la kuhifadhi makotena kabla ya kuuzwa eneo ambalo walikuwa wakitumia Shirika la Bandari Zanzibar kuhifadhi makontena yasiyokuwa na Mizigo.
Balozi Seif Ali Idi, baada ya kutolewa hoja hiyo ndani ya Baaza la wawakilishi ameamua kujikosha kwa kutembelea Bandari na kutaka mrundikano wa makotena upatiwe ufumbuzi ili makotena yapelekwe viwanja vya mnazi mmoja.
Taarifa za mtandao wetu zinaeleza kwamba kundi la Balozi Ali Karume ndilo lililomtuma Ndugu. Simai Mohamed Said (Mpakabasi) kueleza suala hilo kwa lengo la kueleza ukweli wa kuuzwa kwa hoteli ya Bwawani kunakomhusisha Dokta Shein na Balozi Seif Ali Idi ambae atanufaika moja kwa moja na uuzwaji huo.
Mtandao wetu umethibitisha kwamba Ndugu Simai amekua akilalamika baada ya ahadi aliyopewa na Balozi Seif na Mkewe Bi Asha Balozi kwamba atapewa uwaziri baada ya uchaguzi wa March 2016 kuota mbawa.
Inaelezwa kuwa Simai alimpatia fedha zaidi ya milioni 20 Balozi Seif kwa ajili ya kampeni za kununua wapiga kura katika jimbo la Mahonda baada ya kura ya maoni kurejewa zaidi ya mara mbili bila ya mafanikio yoyote ya kumpatia ushindi kiongozi huyo wilaya ya Kaskazini B.
Vita ya Urais inakuja Baada ya Dokta Shein kushindwa kutekeleza ahadi yake kwa Balozi Ali Karume ambae alimtaka asaidie kuhujumu ushindi wa Maalim Seif ili wakifanikiwa amteue kuwa Makamo wa pili wa Rais nafasi ambayo Balozi Karume yeye na kundi lake wangeweza kuitumia ili kujenga mtandao wa kuukwaa Urais wa Zanzibar 2020, badala yake Dokta Shein amemrejesha Balozi Seif kinyume na ahadi yake kwa Balozi Ali Karume.
Kundi la Balozi Ali Karume ambalo linamhusisha Nadir Mustafa (Chaani), Raza, Simai (Mpakabasi), Said Soud, Suleiman Chotara (Mwakilishi wa Chake Chake) na Jazira ambae amekua akifanya kazi kinyemela na kundi hilo baada ya ahadi ya kupewa unaibu waziri wa wizara ya michezo kuota mbawa.
Kundi jengine ambalo linamtazama Balzozi kama mtu alieivuruga mihimili ya wanamapinduzi ni Haji Omar Kheri, Amina Salum Ali, Hamza Hassan Juma, Machano Khamis (Mwakilishi wa Mfenesini) ambalo limesikitishwa na baadhi ya viongozi wa muda mrefu kuangushwa baada ya kazi kubwa ya kuhujumu ushindi wa Maalim Seif Sharif Hamad wa Oktoba 25, 2015.
Hadi leo wanauliza imekuaje Ndugu. Pandu Ameir Kificho kunyimwa uspika baada ya kazi kubwa ya kumpatia Dokta Shein urais badala yake anapewa mtu ambae hajafanya kazi yoyote katika chama? Kundi hilo linajiuliza pia inakuwaje viongozi kama Dokta Mwinyi Haji Makame na Ramadhan Abdallah Shaaban nafasi zao zinaota mbawa na kupewa watu ambao hawakufanya kazi yoyote.
Wawikilishi kama Hamza Hassan Juma na Machano Khamis ambao walishinda viti vyao tokea uchaguzi wa oktoba 25, 2015 vipi wananyimwa nafasi badala yake viongozi wa vyama vitatu wanapewa nafasi kwa mapendekezo ya Balozi Seif bila ya kuwa na faida yoyote kwa CCM. Mwakilishi wa Jimbo la Tumbatu hadi leo anasikitika kwanini Mhe. Ali Juma Shamhuna amenyimwa nafasi ya uteuzi pamoja na mawaziri wenzake Mwinyi Haji Makame na Ramadhan Abdallah Shaaban wakati wamemsaidia kwa asilimia kubwa Dokta Shein kuiba haki ya Maalim Seif.
CHANZO KISIWANDUI

Friday, June 24, 2016

MAALIM SEIF SHARIFF HAMAD HATIMAE AREJEA NCHINI ZANZIBAR BAADA YA KUMALIZA ZIARA YAKE NCHINI MAREKANI NA CANADA






VIDEO-SALAMU ZANGU HIZI ZIMFIKIE POMBE MAGUFULI,SHEIN KIBARAKA,DULI BALOZI SEIF,SAMIA,VUAI ALI VUAI NA KUMALIZIA KIKWETE.

HEBU MSIKILI KWA MAKINI KABISA
HAKUNA MTUTU WALA MAJESHI WALA MAZOMBI KAHISHIMU
MATOKEO WALIO CHAGUWA WANANCHI SI HAPA MITWANA
HAISIKI,HAIONI,HAIJUWI WAKATI,IMO IMO TU KULAZIMISHA UTAWALA
WA CCM KWA VYOVYOTE HATA KAMA NI KUUWA WAZANZIBARI WOTE
BASI WAUWENI LAKINI CCM IBAKI MADARAKANI.

‎TANGAZO‬ MAALUMU KWA WAZANZIBARI WALIO NDANI YA VISIWA VYA ZANZIBAR:




#‪#‎TANGAZO‬ MAALUMU KWA WAZANZIBARI WALIO NDANI YA VISIWA VYA ZBAR: Serekali itastopisha mabucha ya nyama yote hapa nchini Zanzibar kutokuuza nyama kipindi cha siku kuuu ya Eid. Na wanasema kuwa watauza wao nyama kiserekali huko Maisara. Kilo ni sh 4000. Ndugu zangu waislam tunaoifunga Ramadhani tujue kwamba, nyama hizo watakazo uza ni za wale ngombe wa watu walio nyanganywa. Wafugaji wa mitaani walinyanganjwa ngombe wao na mbuzi, ni haraam kununua na kula haki ya mtu bila ya ridhaa. Tuweni makini saana tusiende kununua nyama za dhulma kwa ajili ya kuzilinda funga zetu.
Hio ni kwa Unguja mjini.

VIDEO-UCHAGUZI ZANZIBAR HAUJAKWISHA NA MSHINDI HAJATAGAZWA NDIO MAANA MNATUPIGA RISASI NA KUTUIBIA NGOMBE WETU

Rais John Magufuli akiongea na Dk Shein katika hafla ya sherehe za Mapinduzi ya Zanzibar
RAIS Pombe Magufuli amepuuza maalamiko ya Wazanzibari kwamba, Chama Cha Mapinduzi (CCM) licha ya kukataliwa, kimelazimisha kurudi madarakani kwa kutumia jeshi lao la Makaburu Weusi Tanganyika na Kumuweka Tena Shein japo kuwa wamekataliwa  na amempongeza Jecha Salim Jecha, Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi (ZEC), kwa kile alichosema “ametimiza wajibu wake wa kusimamia uchaguzi mkuu wa Zanzibar wa mwaka jana vizuri.” haya Wazanzibari mlio kuwa mkijidanyanya kuwa Pombe Magufuli ni Rais Mzuri atasimamia Haki huyo hapo anaipogeza  HARAMU Mpoo Wazenji....??

Kwa kauli hiyo ambayo Pombe Magufuli ameitoa leo kwenye hafla ya kukabidhiwa ripoti ya Uchaguzi Mkuu wa Tanganyika (Tanzania) Zanzibar uliofanyika mwaka jana, hajabadilisha msimamo kuhusu mgogoro wa kisiasa wa nchi ya Zanzibar uliotokana na uchaguzi huo hii nikuonyesha na kuwajulisha Wazanzibari kuwa yote yanayotokea Zanzibar yana Baaraka Zake.
Rais Pombe Magufuli amesema, uamuzi alioufanya wa kupeleka Zanzibar askari wengi wa vikosi vya ulinzi na usalama kulinda ili uchaguzi wa marudio wa 20 Machi 2016 uwe wa amani na salama ulikuwa sahihi na kwamba, naye alitimiza jukumu lake kama Rais wa Jamhuri ya Muungano wa (Tanzania.) Mnasikia maneno hayo.
Amesema, hakuna uchaguzi unaokosa kasoro hata ndogo lakini anashangaa kwamba, wapo watu wanahangaika mpaka nje ya nchi kuieleza vibaya serikali kwa kuwa, nilisema siwezi kuingilia tume ambayo ni huru.“Ni kweli sina mamlaka ya kuingia Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar ambayo ikifanya uamuzi haiwezi kuhojiwa lakini nilipochukua hatua za kuimarisha ulinzi, nilitimiza wajibu wangu,” amesema.
Hata hivyo amesema kwa kurudia kuwa, uchaguzi umwekwisha nchini na sasa ni wakati wa kuwatumikia wananchi katika maendeleo.“Walewale waliokuja kunitaka niingilie maamuzi ya tume nikakataa wamekuwa wanaisema serikali ninayoongoza,” amesema bila kutajia jina la mtu huyo lakini alikuwa akimlenga Maalim Seif Sharif Hamada, Katibu Mkuu wa CUF.
Maalim Seif yupo ziarani nchini Marekani, Canada ambapo amekuwa akieleza hali halisi ya uchaguzi wa nchi ya Zanzibar namna ulivyovurugwa na Serikali ya CCM kwa lengo la kuendelea kubaki madarakani kwa guvu za mtutu na majeshi.CUF chini ya Maalim Seif ambayo ndio chaguo la watu kuwa ndiye rais wa Zanzibar aliyechaguliwa kihalali na wananchi, kinapinga uamuzi wa Jecha kufuta uchaguzi uliofanyika Zanzibar tarehe 25 Oktoba 2015 kwa kuwa, hakuwa na mamlaka ya kisheria ya kufanya hivyo.
Jecha alifuta uchaguzi huo tarehe 28 Oktoba 2015 kwa madai uliharibika na kisha kusimamia ualioitwa uchaguzi wa marudio wa tarehe 20 Machi 2016.
Baada ya uchaguzi huo Jecha alimtangaza Dk. Shein, mgombea wa CCM kuwa mshindi wa urais.
UCHAGUZI HAUJAKWISHA ZANZIBAR NA MSHINDI HAJATANGAZWA MNAJIBARAUSHA NA KUJIPUMBAZA NA KULAZIMISHA WAZANZIBARI WAKUBALI HARAMU ZENU NA MUENDELEZO WAKUWAPIGA RISASI NA KUWAIBIA MALI ZAO HAMTA FANIKIWA NA MTADHALILIKA NA KUIBIKA HIZI NI BAADHI YA PICHA ZA WAZANZIBARI WALIOPINGWA RISASI NA VIKOSI NA KUIBIWA NGOMBE WAO NA VIKOSI HIVYO HUKO TOMONDO BADALA YA KULINDA MALI ZA RAI WANAIBA MALI ZA RAI.

Thursday, June 23, 2016

NCHINI TANGANYIKA JAJI DAMIAN LUBUVA ASEMA UCHAGUZI MKUU WA MWAKA 2015 ULIKUWA HURU NA HAKI MBONA ZANZIBAR MUMEMUEKA SHEIN KWA NGUVU NA KUTUMIA JESHI LENU WAKOLONI WEUSI TANGANYIKA


Aidha akikabidhi ripoti hiyo kwa Rais Magufuli, Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Damian Lubuva amesema uchaguzi mkuu wa mwaka 2015 ulikuwa huru na wa haki na hata waangalizi wa nje wengi wamepongeza uchaguzi huo.
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Damian Lubuva Namnuku uchaguzi mkuu wa mwaka 2015 ulikuwa huru na wa haki na hata waangalizi wa nje wengi wamepongeza uchaguzi huo mwisho wa kunuku. je ilikuwaje Kikweta akamwaga jeshi Zanzibar kuja kuzunguka nchi nzima...?

ilikuwaje Kikwete akakata kukutana na Maalim seif mpaka baada ya saa machache atakuwa kamaliza mda wake ndio akakubali....? ilikuwaje Kikwete akasema wanakuogopa wewe ukiwa rais.....? ilikuwaje Kikwete akasema kumuambia Maalim kuwa utavinja Muungano....? ilikuwaje wawakilishi wawe washapewa mpaka vyeti kuwa wameshinda changuzi kisha wambiwe kuwa sio wawakilishi halali na uchaguzi kufutwa...?

Jaji Damian Lubuva ilikuwaje Jecha Firauni Jecha akaufuta uchaguzi wakati hana mamlaka hayo kikatiba na hata kisheria hana mamlaka hayo...? ilikuwaje Jecha akawa anazungumza na simu siri siri wakata wa kuhakiki na kutangaza matokeo ukiendelea....? ilikuwaje Jecha baada ya kutangaza kufuta uchaguzi ulio halali na wahaki akajificha asionekane....? ilikuwaje makamu wa ZEC zanzibar alipotaka kuendelea kutangaza majimbo polisi walimkamata na kumfungia jela...? ilikuwaje bwawani izungukwe na jeshi na hakuna mtu kuruhusiwa kuingia au kutoka....? ilikuwaje Kikwete akaiweka nchi ya Zanzibar chini ya ulizi siku za chaguzi....? ilikuwaje mkaruhusu uchaguzi haramu ufanyike Zanzibar...? ikiwa wewe Jaji Damian Lubuva mwenye unasema  uchaguzi mkuu wa mwaka 2015 ulikuwa huru na wa haki na hata waangalizi wa nje wengi wamepongeza uchaguzi huo.

VIDEO-MAENDELEO YAZIDI KUNAWIRI NCHINI TANGANYIKA SASA WANA SARAFU YA 50,000/-

CCM MBELE KWA MBELE TUNA SARAFU YA 50,000/- WALA HATUJALI CCM MBELE KWA MBELE TUNAJIKAZA KISABUNI CCM MBELE KWA MBELE NCHI ISHATUSHINDA LAKINI TUMO TU KUJIKAZA CCM MBELE KWA MBELE JAMANI AIBU HII OOOH USISEMA HIVYO TUTA CHEKWA CCM MBELE KWA MBELE.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanganyika Dkt John Pombe Joseph Magufuli akizindua sarafu maalumu ya shilingi 50,000/- kwenye maadhimisho ya miaka 50 ya benki kuu ya Tanganyika (Tanzania) Zanzibar kwenye ukumbi wa BOT jijini Dar es salaam nchini Tanganyika Wazanzibari tuna pesa zetu za kuanzisha bank hii hatutaki tena turudishieni pesa zetu tuanzeshi pesa zetu wenye sarafu ya shillingi 50,000/- mumesikia wapi duniani hata somalia ambao wanavita kwa miaka karibia 30 na hakuna serikali basi hawana sarafu bado wana noti nchi mshainawa nyinyi mnajikaza tu kisabuni.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanganyika Dkt John Pombe Joseph Magufuli akizindua sarafu maalumu ya shilingi 50,000/- kwenye maadhimisho ya miaka 50 ya benki kuu ya Tanganyika (Tanzania) Zanzibar kwenye ukumbi wa BOT jijini Dar es salaam leo Wazanzibari tuna pesa zetu za kuanzisha bank hii hatutaki tena turudishieni pesa zetu tuanzeshi pesa zetu wenye sarafu ya shillingi 50,000/- mumesikia wapi duniani hata somalia ambao wanavita kwa miaka karibia 30 na hakuna serikali basi hawana sarafu bado wana noti nchi mshainawa nyinyi mnajikaza tu kisabuni.

Monday, June 20, 2016

NCHINI ZANZIBAR PEMBA MAMBO SI SHWARI JESHI LA MKOLONI MWEUSI TANGANYIKA LINA ENDELEA KUWABUGUDHI NA KUWAFANYIA VITIMBI RAI WASIO NA HATIA YOYOTE HUKO PEMBA


usiku wa kuamkia jana zamu ya mtambwe pemba mabomu ya machozi huko pemba.na isiku wa ijumaa ilikuwa zamu ya kungoni. wananchi wakishika magamba ya risasi zilizopigwa juu huko kungoni pemba.kuwaunganisha wazanzibar
Pombe Magufuli liambiye jeshi lako liacha vitimbi Pemba likomeshe lokome.

WABUNGE WA UPINZANI WATOKA BUNGENI KWA MTINDO HUU






WABUNGE WA UPINZANI WATOKA BUNGENI KWA MTINDO MPYA, WAMEJIFUNIKA MDOMO KWA KARATASI NA GUNDI
Wabunge wa Kambi ya Upinzani Bungeni leo wametumia mtindo mpya kueleza hisia zao baada ya kuamua kutoka kwenye ukumbi wa Bunge wakiwa wamejifunika midomo kwa karatasi.
Hii ni wiki ya tatu mfululizo wabunge hao wamekuwa wakitoka bungeni baada ya kutangaza kutohudhuria kikao cha bunge kinachoongozwa na Naibu Spika wa Bunge, Dk Tulia Ackson.
Mbunge wa Vunjo (NCCR-Mageuzi), James Mbatia amesema wameamua kutumia mtindo huo mpya kwa sababu Bunge limekataa kuwasikiliza hoja zao.

VIDEO-MKUTANO WA MAALIM SEIF SHARIFF HAMAD NA WATANZANIA WAISHIO WASHINGTON DC

ALIPO TUPO TUNAENDELEA KUFUTA ALIPO TUPO
HUYU MOJA WAO KAPIGA KURA ZAIDI YA KUMI KATIKA UCHAGUZI HARAMU WA MARUDIO NA SASA HATA PESA YA KIKOMBE CHA KAHAWA HANA FAIDA YAKE NINI...????

Sunday, June 19, 2016

VIDEO-MAPOKEZI YA MAALIM SEIF SHARIFF HAMAD PEMBA TAREHE 14/05/2016

PART 1
PART 2
PART 3
PART 4
KARIBU RAIS WA WAZANZIBAR,WANYOYO ZA WATU,KIPENZI CHA WATU,LULU YA WAZANZIBARI

VIDEO-KIKAO CHA MUFTI MKUU WA NCHI YA ZANZIBAR NA MASHEIKH KISIWANI PEMBA TAREHE 24/05/2016

PART 1
PART 2
PART 3
PART 4
PART 5
M.MUNGU WALINDE MASHEIKH HAWA NA UWAPE PEPO KWA KUSEMA UKWELI BILA YA KHOFU NA UWANUSURU NA KILA ADUWI AU MBAYA YOYOTE WADHAHIRI NA WA SIRI WAINUWE KATIKA DUNIA HII NA PEPONI YAWE NDIO MAKAZI YAO MIlELE KWA KUITETEA HAKI.

VIDEO-DUA MAALUMU KUWAOMBEA MADHALIMU WA ZANZIBAR


omar heri
Wazanzibari na waislamu wote Nchi nzima wanaombwa katika kumi hili la pili la “Maghfira” la Ramadhani kumuelekea
Mwenyezi Mungu (S.W) ili kumuomba awaangamize wote walioshiriki katika matendo ya udhalilishaji raia, Ya kupigwa na kukamatwa wananchi ovyo, kupigwa risasi, Utekwaji wa raia, ubakaji, udhalilishwaji wa wanawake na matendo mengineyo yaliyofanywa na makundi ya mazombi na vyombo vya ulinzi na usalama kwa amri za viongozi wa Nchi.
Kumshtakia Muumba wa mbingu 7 na ardhi 7 juu ya dhulma waliofanyiwa wazanzibari na kuporwa haki yao tarehe 25/10/2015.
Baadhi ya viongozi wa Serikali ambao ni wasimamizi wa dhulma wanayofanyiwa wazanzibari wamefanya kiburi hadi kutoa lugha za waziwazi juu ya mashekhe wa Zanzibar kwamba ‘wananyea ndooni’ na kwamba wao wapo nyuma ya dhulma wanayowafanyiwa mashekhe hao, ni mwaka wa tatu hadi wawekwe ndani bila ya kushtakiwa na kesi yao kutolewa hukumu.
Sote kwa pamoja tunyanyue mikono yetu juu kumuelekea Mwenyezi Mungu na kumuomba katika kumi hili la Maghfira:
“Ewe Mwenyezi Mungu Mtukufu mimi Mahuluku wako Mnyonge nisie na nguvu naungana na waumini wa misikiti zaidi ya 200 ya Unguja na Pemba inayokaliwa itikafu ndani ya kumi hili la Maghfira, Kukuomba usimpe Maghfira Dikteta Ali Mohammed Shein, Nduli Seif Ali Iddi, Jecha Salim Jecha, Haji Omar Kheri na wote waliohusika kwa njia yoyote katika kadhia hii na wale waliomo ndani ya BLM, BLW, wakuu wa Vikosi Vyote na wasakatonge wanaosambaza fitna na ubaguzi katika Nchi.
Tunakuomba Wadhalilishe, Wafedheheshe, hadi warejeshe haki ya Wazanzibari walioipora Oktoba 25, 2015.Siku ya Ijumaa tarehe 24/06/2015 saa 8:00 kamili usiku patasaliwa rakaa mbili halafu zitafuatiwa na kusomwa kwa SALATUN NARIA mara 4440 katika Misikiti 200 ya Unguja na Pemba itakayofaatiwa na dua mbali mbali kumuomba Mwenyezi Mungu awahukumu viongozi wa dhulma ya Oktoba 25, 2015.
Ewe Mzanzibari na Muislam usikose kushiriki katika dua hii muhimu ukiwa nyumbani kwako. Kila Muislam anatakiwa kusali rakaa mbili na kusoma SALATUN NARIA mara 4440 kama ilivyopekelewa katika hadithi mbali mbali za Mtume Muhammad (SAW):
“ALLAHUMMA SWALLI SWALATAN KAAMILA,
WASALLIM SALAAMAN TAAMMA, ALAA SAYYIDNAA MUHAMMAD,
ALLADHII TANHALLU BIHIL-ÙQAD, WATANFARIJU BIHIL KURAB,
WATUQDHAA BIHIL HAWAARIJ, WATUNAALU BIHI RRAGHAAIB,
WAHUSNUL KHAWAATIM, WAYASTASQAL GHAMAAMA BIWAJHIHIL KARIIM,
WAALAA AALIHI WASWAHBIHI FII KULLI LAMHATIN, WANAFASIN, BIADADI KULLI MAALUUMIN LAK”
Tafadhali wafikishie ujumbe huu wengine.
WABILLAHI TAUFIQ

Saturday, June 18, 2016

VIDEO-ANAE SEMEKANA ATII KAMTUKANA RAIS POMBE MAGUFULIA AKABIDHIWA MCHANGO WA SH.MILLIONI 4.5


Wanaharakati na wadau wa mitandao ya kijamii nchini wamemkabidhi Sh4.5 milioni aliyekutwa na hatia ya kumtukana Rais John Magufuli ili akalipe faini aliyotakiwa atoe na mahakamani kuepuka kifungo cha miaka mitatu. Mshtakiwa huyo, Isaack Habakuki alikutwa na hatia baada ya kukiri kosa la kumtukana Rais kupitia ukurasa wake wa facebook. Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Arusha imemtaka kutoa Sh 7 milioni au kutumikia kifungo cha miaka mitatu jela.
 
Mratibu aliyekuwa anakusanya michango hiyo kwa Kanda ya Kaskazini,  Diwani wa Levolosi,  Ephata Nanyaro amesema jana kuwa  wamefanikiwa kupata michango hiyo kupitia makundi ya mitandao ya kijamii waliyoyaanzisha. "Lengo ni kumsaidia mwenzetu kwa kuwa kupitia sheria hii ya mitandao tunaamini hakuna aliyesalama na sheria hii itawagusa wote, " amesema Nanyaro. Naye,  Habakuki amewashukuru Watanzania waliojitolea kumchangia.

VIDEO-POMBE MAGUFULI AFTARISHA MASHEIKH POA & MAUSTADHI POA-HUKU MASHEIKH WA KWELI BADO WAKO KATIKA JELA ZAKE

AMANI HAKUNA MPAKA HAKI ITENDEKE WEWE MAGUFULI HAKI UMEIKALIA KAMA NI KWELI UNATAKA AMANI MUONDOWE YULE SHEIN ALIYEWEKWA NA JESHI LENU WAKATI WA KIKWETE NA WEWE UNAENDELEA KUMLINDA MUONDOWE MPE ALIE SHINDA PIA MASHEIKH WALIO FUNGWA NA KIKWETE BILA YA KOSA LOLOTE NA MPAKA SASA WEWE UKO MADARAKANI NA UNAJUWA KAMA WAO WAKO JELA ILA UMEZIBA MACHO HUTAKI KUONA UMEZIBA MASHIKIO HUTAKI KUSIKIA NA UNAENDELEA KUWASOTESHA JELA KIPINDI HICHI CHA UTAWALA WAKO WEWE KISHA UNADAI AMANI HAKI ITENDEKE NDIO AMANI ITATAWALA KAMA HAKUNA HAKI HAKUNA AMANI MSIJIDANGANYE BURE NA WALA HAMSAMEHEWI IKIWA BADO MNAENDELEZA DHULMA HAMSAMEHEWI HAMSAMEHEWI HAMSAMEHEWI MAADAMU BADO MUNA DHULUMU MASHEIKH JELA MUMEDHULUMU KURA ZA WAZANZIBARI NA KUMUEKA SHEIN MKAE MKIJUWA HAMSAMEHEWI MPAKA MUACHE DHULMA ZENU NA MRUDISHE HAKI ZA WATU NA MTUBIE KWA MAKOSA MULIO FANYA YA KUDHULUMU HAPO PIA M.MUNGU ANA HIYARI YAKE KUWASAMEHE AU LAA.
MASHEIKH NA MAUSTADHI WOTE MLIO HUTHURIA MUALIKO HUU MJIANDAE VYA KWENDA KUMJIBU M.MUNGU SIKU YA SIKU TULIFIKIRI NI WANA SIASA TU NDIO WENYE MARADHI YA BT KUMBE MPAKA MASHEIKH NA MAUSTADHI PIA MNA MARADHI YA BT
KISHA NYINYI MUNAYAITA MAPINDUZI MATUKUFU HIVI KWELI NYINYI MUNAJUWA UTUKUFU NI NINI AU DUNIA IMEWAVA KISAWA SAWA MPAKA MNAKUFURU MKOLONI MWEUSI TANGANYIKA KATUPINDUWA TENA WAZANZIBARI NA KUWEKA VIONGOZI WAWATAKAO WAO WAKINA BT TUNAENDELEA TENA KUKA CHINI YA SERIKALI YA KIKOLONI YA MKOLONI MWEUSI TANGANYIKA MPAKA MIAKA MITANO IMALIZIKE KISHA TUTIWE TENA KATIKA SHENGESHA LA UCHAGUZI NA KUPIGA KURA KISHA WAZANZIBARI WAPIGE KURA NA KUCHAGUWA VIONGOZI WAWATAKAO MKOLONI MWEUSI TANGANYIKA ATAKUJA NA STYLE MPYA YA KUZIPIGA KURA ZA WAZANZIBARI CHINI NA KUTUEKEA VIONGOZI WAWATAKAO KISHA TUTAKA TENA CHINI NA KUSUBIRI UCHAGUZI WA 2025 MAMBO YATAKUWA HIVYO HIVYO KISHA TUTAKA CHINA NA KUSUBIRI UCHAGU WA WA 2030 TUKIWA HAI KAMA HATUKO TENA WATAKAO BAKI WATAFANYIWA TENA HIVYO HIVYO NA MKOLONI MWEUSI TANGANYIKA KISHA WATAKA CHINI WASUBIRI......>>> MPAKA KIYAMA KISIMAME BASI NI BORA TU TUKUBALI KUWA NDIO TUMEKUBALI KUWA CHINI YA MKONI MWEUSI TANGANYIKA KULIKO UPUMBAVU HUU WA UCHAGUZI AMBAO KILA MOJA WETU HAPA ZANZIBAR KAMA UCHAGUZI WA MARA HII HAUJAWASOMESHA WALA HATUTA SOMA TENA MILELE.

KILA MZANZIBARI ALIYE IPIGIA KURA CCM AU MPAKA WAKATI HUU BADO ANAISAPOTI CCM ILI IBAKI MADARAKANI JAPO KUWA CCM IMESHINDWA UCHAGUZI AJUWE NA YEYE ANACHANGIA KUENDELEZA DHULMA NA KUFUNGWA KWA MASHEIKH NA KUTHALILISHWA KWAO NA KUENDELEZA DHULMA KATIKA NCHI YA ZANZIBAR UKAE UKIJUWA UTAULIZWA SIKU YA KIYAMA NA MWENYEZI MUNGU ULIPOSIKIA WAZANZIBARI WENZIO WANADHALILISHWA,KUDHULUMIWA NA KULAWITIWA NA HAWA JE ULIFANYA NINI TAFUTA JIBU LAKO MAPEMA KWA SIKU HIYO YA KIYAMA SIKU AMBAYO MALI NA WATOTO WAKO WALA CHEO CHAKO HAVITAKUFAA SIKU HIYO.