Friday, September 29, 2017

HIVI NDIVYO SEREKALI YA MAADHALI YA DR SHEIN ILIVYO MUUWA SHAHIDI ALI JUMA NA WATAENDELEA KUUWA HAWA MAANA NI KAMA MASHETANI WASHAKUNYWA DAMU


Afbeeldingsresultaat voor DR SHEIN

Jana mchana muandishi wetu wa Free Zanzibar People From Mkoloni Mweusi Tanganyika na watu wengine walipata kumtembelea Shahidi Ali Juma akiwa kitandani Hospitali Kuu ya Mnazi Mmoja na akamsimulia namna alivyovamiwa nyumbani kwake, kuteswa na kipigo ambacho ndicho kimekuwa ndio sababu ya kuondoka na uhai wake. Angalia vidio hii, na kisha mtakie dua shahidi huyu.Pia kaa ukijuwa kuwa Wauwaji wa Serekali Hii Ya Madhalimu bado hawaja maliza kuuwa watu na kufunga watu jela bila kosa wala sheria wamafanya hayo toka mapinduzi ya 1964 mpaka sasa ni muendelezo tu hakuna jipya ndugu yangu Mzanzibari zinduka toka katika usingizi kuwa ati Zanzibar ni nchi Zanzibar sio nchi bali ni Koloni La Mkoloni Mweusi Tanganyika na hakuna Mkoloni anaetaka kuliwachia Koloni Lake Kirahisi kwa hiyo lazima mambo mawili yafanyika tukubali kuliwa na kunyanyaswa na kuka kimya na Mkoloni Mweusi Tanganyika akiendelea kututawala kimabavu na kwa nguvu za jeshi walio wajaza hapa Unguja na Pemba au Mbwa hawa tupingane nao mpaka nchi hii waihame na kuiyona chungu kama shubili sisi ndio wa kuamuwa.

Saturday, September 2, 2017

MAHAKAMA KUU NCHINI KENYA SUPREME COURT IMEBATILISHA USHINDI WA WA URAIS WA NCHI HIYO NCHINI ZANZIBAR JECHA KAJIFUNGIA PIKE YAKE KABADILISHA UCHAGUZI MZIMA KISHA HAKUONEKANA TENA ZANZIBAR NDIO INAJUWA SIASA SIO MCHEZO

Afbeeldingsresultaat voor jecha
Afbeeldingsresultaat voor uhuru kenyatta uchaguzi

Gerelateerde afbeelding
MAHAKAMA Kuu nchini Kenya (Supreme Court), imebatilisha ushindi wa uRais wa Rais wa sasa Uhuru Kenyatta, dhidi ya mpinzani wake mkuu Raira Odinga, na kuamuru uchaguzi huo urudiwe ndani ya siku 60 kuanzia leo Septemba 1, 2017. 

Mahakama hiyo imefikia uamuzi huo, kufuatia maombi ya Mgombea Urais wa Muungano wa upinzani wa NASA, Raila Odinga baada ya kupinga matokeo ya uchaguzi wa Rais, uliompa ushindi Rais Kenyatta. 

Katika maombi yake,  Odinga alisema, kura zake zilipunguzwa kwenye baadhi ya vituo na kuongezewa mpinzani wake, lakini kubwa zaidi ni kukiukwa kwa taratibu za uchaguzi ambapo baadhi ya fomu muhimu za matokeo ya uchaguzi kama vile fomu namba 34A,B na C, hazikupatikana siku ya kutangazwa kwa matoko. 

Katika uamuzi wa mahakama hiyo, majaji wanne kati ya sita (6), wamekubaliana kuwa tume huru ya uchaguzi na mipaka ya Kenya, (IEBC), imeshindwa kusimamia vema uchaguzi huo na hivyo kusababisha kasoro kadhaa ambazo zinakwenda kinyume na katiba ya Kenya. Hata hivyo, Mahakama hiyo imesema, hakuna ushahidi wowote, ulioonyesha kuwa Rais Uhuru Kenyatta, alitenda makosa katika mchakato huo wa uchaguzi.

Monday, February 27, 2017

WAISLAMU NI WENGI SANA NCHINI TANGANYIKA LAKINI NI NINI KINACHO WASUMBUWA WASIENDELE MBELE NA KUENDELEA KUWA NYUMA NA KUTESEKA KIMAISHA....??

Afbeeldingsresultaat voor wazee wa uhuru wa tanganyika
Ndugu waislaam popote mulipo
ASALAAM ALEIKUM
Tanganyika ni nchi yenye waislaam wengi . Idadi ya waislaam waliopo Tanganyika ni zaidi ya M 30 ambao ni sawa na asilimia 66%. Kabla ya Uhuru wazee wa kiislaam ndio walioasisi chama cha TAA kupigania UHURU na UKOMBOZI dhidi ya wakoloni na mabeberu kutoka nchi za ulaya. Baadaye chama hicho cha kizalendo kikapata wafuasi na kutanuka . Na kupata umaarufu na kuzaliwa kwa TANU 1954 ambacho ni mwana wa TAA .
Harakati za kujikomboa zilianzia misikitini na mabarazani ktk mitaa ya uswahilini .Ujiji Kigoma, Tanga, Iringa, Lindi , Morogoro na Dar es Salaam.
Wazee wakiislaam wakamchagua Mwalimu Nyerere kuwa msemaji wao ktk kuiwakilisha nchi ya Tanganyika huko Uingereza. Na baada ya kupatikana uhuru ..1961 Mwalimu Nyerere akawa ndiye Waziri Mkuu wa kwanza wa Kiafrica kuitawala nchi ya Tanganyika.
Nyerere hakupendelea kuunda baraza la mawaziri lenye kuvaa kanzu na vibarakashia. Ingawa aliwachagua wachache wasomi akawa nao hadi 1964 ulipofanyika Muungano wa kuziunganisha Visiwa vya Zanzibar na Tanganyika.
Hapo ndipo kukawepo na balance ya uongozi . Kwani mawaziri wote kutoka Zbar waliounda serikali ya Muungano walikuwa waislaam. Na Makamo wa Rais wakati huo alikuwa Hayati Mzee Abedi Karume.
Hata hivyo, Nyerere alianza kuunda mikakati yake mapema ya kuwapunguza mawaziri wenye majina ya kiislaam na kubadilisha Muundo wa serikali kwa kutumia Mfumo ulioitwa " Azimio la Arusha" Ni ktk mwaka huo huo 1967 Viwanda na Majengo ya watu binafsi pamoja na shule na taasisi mbalimbali za kidini zikataifishwa..kwa maana nyengine serikali iliwadhulumu wananchi haki zao za umiki wa majengo , ardhi , viwanda na shule .
Pamoja na hali hiyo, Mwalimu Nyerere kwa chini chini alianza kuwadhibiti WAISLAAM ...ktk nafasi za masomo ndani na nje, nafasi za juu za serikali ...alihakikisha anateua aidha MKATOLIKI au MKRISTO wanaofana kiitikadi. Hali kadhalika alifanikiwa kuvunja chombo kikubwa cha waislaam kilichowaunganisha waislaam wa Africa Mashariki ( Jumuiya ya waislaam ya Africa Mashariki ) . Ili kuwababaisha waislaam aliwaundia chombo ambacho kinakuwa chini ya udhibiti na uangalizi wa serikali
Image may contain: 1 person
 = BAKWATA.
Nyerere ndie Mtawala wa kwanza kuleta MFUMO KRISTO nchini Tanzania. Mbegu hiyo iliimarika na kustawi baada ya chama kushika hatamu na kuunganishwa kwa vyama viwili vya kisiasa TANU na ASP na kuzaliwa CCM ..hiyo ilikuwa ktk miaka 1977.
Chini ya MFUMO KRISTO waislaam walijikuta wakidhulumiwa haki zao na kukoseshwa nafasi za masomo ya juu kwa makusudi , hatimaye uteuzi wa wakuu wa serikali pamoja na mashirika ya umma ulikuwa ukifanywa kwa upendeleo mkubwa. 
Image may contain: 1 person
Hata hivyo sababu kubwa ya kuwepo hali hii nchini Tanzania ni kutokana na UNAFIKI wa baadhi ya Masheikh wa Kiislaam ambao wapo tayari kuuza imani zao kwa thamani ndogo kbs za kidunia. Wapo Masheikh ambao wanatumiwa na viongozi wa juu kwa maslahi ya serikali na chama. Masheikh wa aina hii huwa hawafatilizii shida na kero wanazopata waumini wa kiislaam bali wao huwa ndio nyundo ya kuwakandamiza waislaam . 
Image may contain: 1 person
Kazi zao kubwa ni kuwapigia debe viongozi wakuu wa chama na wale wa serikali kwa ajili ya kipato kidogo tu cha dunia.
Bila shaka Maskheikh wa aina hii ndio wale waliotabiriwa ndani ya Quraan kama ilivyokuja ktk surat Nissaa Aya 146 " HAKIKA WANAFIKI YATAKUWA MAKAZI YAO CHINI KABISA NA MOTO WA JAHANNAM "
Na wapo miongoni mwao ambao huyavaa mavazi ya kiislaam na kuonekana ndani ya jamii kwamba ni Masheikh kumbe ni watu walioajiriwa USALAMA wa TAIFA .

Saturday, January 21, 2017

YAHYA JAMMEH AKUBALI KUACHIA MADARAKA NCHINI GAMBIA JE SHEIN KIGHAGHANIZI UTACHIA LINI MADARAKA AU MPAKA WAZANZIBARI WAJAE IKULU KUJA KUKUSADIA KUHAMA...??

Afbeeldingsresultaat voor Adama Barrow akiwa na wake zake
Afbeeldingsresultaat voor dr shein akataliwa mkono wake na maalim seif
Yahya Jammeh ambaye amekua madarakani na kuingoza Gambia kama Rais kwa miaka 22 hatimae amekubali kuachia madaraka hayo na sasa Adama Barrow aliyetangazwa mshindi kwenye uchaguzi mkuu ndio anatarajiwa kuchukua nafasi.

Kupitia Television ya taifa, Yahya ametangaza kuachia madaraka ambapo AlJAZEERA wameripoti kwamba taarifa kutoka IKULU zilisema baada ya kuachia madaraka alitarajiwa kuondoka kwenye nchi hiyo ndani ya siku 3 ila media nyingine zinasema amepewa saa tu za kuondoka.
Afbeeldingsresultaat voor Yahya Jammeh
TV ya habari Nigeria imesema ECOWAS walimpa hadi saa sita mchana kuondoka lakini mwenyewe akaomba muda huo usogezwe hadi saa kumi jioni na imeripotiwa atakwenda kuishi Guinea.

Barrow aliandika kwenye ukurasa wake wa mtandao wa Twitter na kusema ‘Yahya Jammeh amekubali kuachia madaraka na anatarajiwa kuondoka kwenye nchi ya Gambia leo’.

Thursday, January 19, 2017

ECOWAS KAMA NYINYI KWELI MNATAKA KUONDOSHA UDIKTETA BARANI AFRIKA BASI ANZENI NA HAWA MAANA WASHAOTA UTANDU NA MAKOKO JUU

Afbeeldingsresultaat voor Rais Yahya Jammeh
Afbeeldingsresultaat voor dr shein
(ECOWAS) kabla hamja anza kumtimuwa Rais Yahya Jammeh wa Gambia kwanza mtimuweni Shein wa Nchini Zanzibar.
Afbeeldingsresultaat voor nkurunziza
(ECOWAS) kabla hamja anza kumtimuwa Rais Yahya Jammeh wa Gambia kwanza mtimuweni Pierre Nkurunziza wa Nchini Burundi.
Afbeeldingsresultaat voor museveni
(ECOWAS) kabla hamja anza kumtimuwa Rais Yahya Jammeh wa Gambia kwanza mtimuweni Yoweri Kaguta Museveni wa Nchini Uganda.
Gerelateerde afbeelding
(ECOWAS) kabla hamja anza kumtimuwa Rais Yahya Jammeh wa Gambia kwanza mtimuweni Robert Mugabe wa Nchini Zimbabwe.
Gerelateerde afbeelding
(ECOWAS) kabla hamja anza kumtimuwa Rais Yahya Jammeh wa Gambia kwanza mtimuweni Joseph Kabila wa Nchini DRC Congo.
Afbeeldingsresultaat voor rais kabila
Jeshi la Senegal limesema kuwa majeshi ya Afrika Magharibi yataingilia suala la Gambia usiku wa kuamkia tarehe ya mwisho wa madaraka ya Rais Yayha Jammeh ambayo ni leo  ili akabidhi madaraka kwa mshindi wa uchaguzi mkuu uliofanywa mwezi uliopita ,Adama Barrow ambaye kwa sasa yuko nchini Senegal..

Vikosi kutoka Senegal vimesogea katika mipaka ya Gambia, Nigeria pia imetuma vikosi vya anga katika eneo hilo.

Senegali imeomba Jumuiya ya Usalama ya Umoja wa Mataifa kushinikiza Umoja wa nchi za Afrika Magharibi (ECOWAS) kuchukua hatua za msingi katika kuhakikisha Rais mteule wa Gambia anakabidhiwa madaraka.

Kwa nini Senegal inaongoza Mpango wa Kumng'oa?
Ecowas, Jumuiya ya Kiuchumi ya nchi za Afrika Magharibi, iliipa Senegal jukumu hilo kwa sababu taifa hilo linaizunguka Gambia.

Kanali Abdou Ndiaye, msemaji wa jeshi la Senegal, amesema Ecowas iliamua kumuwekea Jammeh mkakati huo ili kujaribu kupata suluhu ya kidiplomasia.

"Mambo yote yako tayari na wanajeshi wa Ecowas wako tayari kuingilia kati baada ya saa sita iwapo hatutapata suluhu ya kidiplomasia kwa mzozo huu wa Gambia," alisema.

Wanajeshi hao wa Ecowas wanasubiri Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa lipitishe azimio la kutumiwa kwa "hatua zozote zile" kusaidia kuondolewa madarakani kwa Be Jammeh. Wanajeshi wote wa Gambia ni takriban 2,500.

Nigeria imesema imetuma ndege za kivita na ndege nyingine za kawaida, pamoja na wanajeshi 200 nchini Senegal. Wanajeshi hao walienda Senegal Jumatano asubuhi.

Meli za kivita za Nigeria pia zimewekwa tayari baharini.Manowari moja iliondoka Lagos Jumanne na itakuwa na jukumu la kuwaokoa raia wa Nigeria walio nchini Gambia.Ghana pia inachangia wanajeshi.

Monday, January 16, 2017

HII NI WOTE WANAO JUWA NA SIO JUWA NINI MASHEIKH WANAFANYIWA KATIKA GEREZA LA SEGEREA KISHA JIULIZE HUU NDIO UBINADAMU JE NCHI HII INA SHERIA JE NCHI HII INA VIONGOZI JE INA VIONGOZI WA DINI NCHI HII.....????

Afbeeldingsresultaat voor kisa za uamsho
MASHEIKH, MAMUFTI WAKUU, MAMAULAMA, MARAISI, MAMAKAMO WA RAISI, WAZIRI MKUU, MAJESHI, POLISI, MAJESHI NA KILA ALIYEKUWA NI BINADAMU ANAE FURAHIYA MASHEIKH HAWA KUWA JELA UKAE UKIJUWA DHULMA DHULMA DHULMA MNAYOWAFANYIA MASHEIKH KATIKA JELA ZENU MJITAYARISHE VYA KUMJIBU M.MUNGU HAPA DUNIANI NA KESHO AKHERA PIA

BARUA YA WAZI TOKA KWA MAHABUSU WA UTUHUMIWA WA UGAIDI GEREZA LA SEGEREA
Kumb:DA.13/PI:29,2014/2016
Mahabusu PI/29/2014
Gereza la Mahabusu
Segerea, Dar es Salaam
28/12/2016
Dar es Salaam

MH. JAJI MKUU MAHAKAMA KUU YA TANZANIA DAR ES SALAAM-TANZANIA.


YAH: UVUNJWAJI WA HAKI ZA BINADAMU NA UTAWALA BORA
Tafadhali husika na mada iliyotajwa hapo juu.
Mheshimiwa Jaji Mkuu,
tunaelezea uvunjwaji wa haki za Binadamu katika maeneo mawili makubwa, kwa upande wa Mahakama na pili ni kwa upande wa Jeshi la Magereza, hasa kwa Gereza la Mahabusu Segerea Dar es Salaam.
Tukianza kwa upande wa Mahakama kwa kupitia Mahakama ya rufaa (TCA), kwa muda wa miaka mitatu sasa kuanzia tarehe 24/12/2014 mpaka leo hii tarehe 28/12/2016, imeshindwa kupanga tarehe ya kusikiliza rufani ya upande ya mashitaka inayopinga maamuzi ya mahakama kuu kanda ya Dar es Salaam yaliyotolewa na Mhe. Jaji Dr Fauzi Twaibu ya kuiambia Mahakama ya Hakimu mkazi Kisutu inao uwezo wa kutoa maamuzi kwenye hatua za mchakato wa ufunguaji wa shauri.Gerelateerde afbeeldingSambamba na hilo Mahakama ya Kisutu pamoja na kuelezwa na Mhe. Jaji Dr. Fauzi kuwa inao uwezo wa kutoa maamuzi imeshindwa kutoa maamuzi kwa madai kuwa upande wa mashtaka umekata rufaa.Gerelateerde afbeeldingVile vile upande wa mashitaka umekuwa ukitumia mgongo wa kutokamilika kwa upelelezi ili wazidi kutuweka jela kwa lengo la kutukomoa na huku wakiidanganya mahakama kuwa upelelezi utakamilika ”Very soon” na huku ikichukua zaidi ya miezi tisa.Afbeeldingsresultaat voor Mufti Mkuu wa Zanzibar Sh. Saleh Omar Kabi,Pia Hakimu kuegemea upande mmoja wa wanaoshtakia (Upande wa DPP), mfano Mhe. Hakimu Mwijage akiwa katika kiti cha uhakimu alitoa maelezo kuwa ”Anaongea kama afisa wa Magereza” wakati magereza ndio wanaolalamikiwa na yeye akajisahau kuwa ni Hakimu hapaswi kuegemea upande wowote. Hata hivyo tulimuandikia hakimu mfawidhi wa mahakama ya Kisutu kuhusu jambo hili yenye Kumbukumbu namba DA.10/PI.29.2014/2016.Afbeeldingsresultaat voor Mufti Mkuu wa Zanzibar Sh. Saleh Omar Kabi,Vile vile mnamo tarehe 15/12/2016, Mheshimiwa Hakimu Wilbrod Mashauri, tulipo mlalamikia juu ya vitendo vibaya tunavyofanyiwa na jeshi la magereza hapa Segerea kwa kupigwa mshtakiwa namba sita (6) Mohammed Ishaq Yusuph, PI:29/2014 na kupelekwa chumba cha adhabu kijulikanacho kwa ufupi PC kwa muda miezi mitatu (Siku tisini bila ya mapumziko) huku akikoseshwa matibabu baada ya kujeruhiwa vibaya kwa kipigo na waliompiga ni maaskari aitwaye 2upaki na Bahati.Gerelateerde afbeeldingKufungiwa kwenye chumba cha adhabu ambacho ni choo kwa muda wa siku tisini bila ya mapumziko ambayo ni kinyume na wanavyo adhibiwa wengine (Kila wiki wanatolewa siku moja kama ni mapumziko na vile vile kuyasaidia macho kuona vitu vya mbali kutoka kutizama karibu).
Amezuiliwa kufanya ibada kutokana na kuwekwa ndani ya choo, alichukua mswala ili atandike kwa ajili ya kufanya ibada nao amenyang’anywa na afisa usalama anayeitwa Rashid, pia wamemnyang’anya vitabu alikuwa akivisoma.Gerelateerde afbeeldingMhe, Jaji Mkuu wamezuia wanafamilia yake kumtembelea na kumletea huduma yeyote kwa muda wa miezi mitatu akiwa ndani ya adhabu.

Hasa ukizingatia ni mgonjwa mwenye matatizo ya kuanguka na kuzimia ambayo ni matokeo ya mateso na vipigo akiwa mikononi mwa Polisi, aliandikiwa akafanyiwe kipimo cha CT-Scan katika Muhimbili Hosptali tokea 2015 mpaka sasa hajapelekwa Hospitali na tarehe 25/12/2016 ameanguka na kuzimia akiwa ndani ya chumba cha adhabu (pc) na hata alipopata fahamu alilejeshwa tena chumba cha adhabu (PC).
Afbeeldingsresultaat voor viongozi wakuu bakwataSiku tisini za adhabu alizopewa mahabusu Mohammed Ishaq Yussuf amaeanza kuitumikia kuanzia tarehe 05/12/2016 mpaka tarehe 06/03/2017 ambacho atakuwa akipewa robo ya resheni ya chakula cha mchana na maji ya chumvi lita nne (4lita) kwa siku.
Maji hayo atakunywa, atatumia kwa choo (kwenda haja) atakogea, lita nne hizi itakuwa ndio kipimo cha matumizi ya maji kwa muda wote wa adhabu wa siku tisini (90) Miezi mitatu.Gerelateerde afbeeldingMheshimiwa Jaji Mkuu, Malalamiko haya kuhusu mshtakiwa namba sita (Mohammed Ishaq Yusssuf,) tulipomueleza Mheshimiwa hakimu Wilbrod Mashauri ametutaka malalamiko yetu tuyalete mahakama kuu ya Tanzania kanda ya Dar es Salaam, lililotushangaza hakuwauliza magereza chochote kuhusu tulichokilalamikia, isipokuwa alisema mahakama yake imefungwa mdomo na mikono.
Mheshimiwa Jaji Mkuu kwa upande wa magereza kumekuwa na udhalilishaji uliopindukia mipaka, utu wa mtu umekuwa haujaliwi kwani mahabusu wote wanaonekana kuwa ni wahalifu wakati sheria iko wazi ambayo inaelekeza kuwa mahabusu hatakuwa ni mhalifu hadi pale mahakama itakapo mtia hatiani.
Mhe. Jaji Mkuu wakati tukiingia gerezani tarehe 17/07/2014 tulimuomba mkuu wa gereza Segerea muongozo wa gereza na kurudia kukumbushia kwa mkuu wa gereza mpya, lakusikitisha mpaka tunaandika maandiko haya hatujapatiwa bila ya sababu za msingi isipokuwa tunaambiwa tutii bila shuruti.Gerelateerde afbeeldingMahabusu kupigwa na kutukanwa matusi ya nguoni haya ni mambo ya kawaida hapa gerezani, huku wenyewe magereza wakiwa wanajisifu kwa kusema hizi rungu walizo nazo ZIMEPITISHWA NA BUNGE KWA AJILI YA KUWAPIGA MAHABUSU. Mfano Mhabusu Hassan Khamis namba PI:41/2014, siku ya tarehe 21/12/2016 wa mahakama ya Kisutu amepigwa marungu kadhaa kwa kukutwa na mchuzi. Askari aliyempiga anaitwa 2paki huku akijisifu kupandishwa vyeo kwa kufanya kazi nzuri.
Mahabusu Kassim Mkadam Khamis alipigwa kwa kukutwa na peni ya high lighter, pia mahabusu Rajabu ambaye ni mgonjwa wa ngiri ambae anakaa cell namba tatu (3) ambayo ni sehemu yanayokaa wagonjwa kesi namba PI:14/2015 tarehe 24/12/2016 pamoja na mahabusu wengine wakati wa zoezi lao magereza la kusachi mahabusu wote alipigwa sana na kila alipojaribu kusema mimi naumwa alijibiwa hivi ”Wagonjwa wako Muhimbili”.Afbeeldingsresultaat voor viongozi wakuu bakwataMahabusu Salim Ali Salim namba PI:41/2014 ambaye amelazwa katika Hospitali ya gereza ijulikanayo Cell namba samba (7) alilazimishwa kutoka ndani huku wakijua hawezi hata pale afisa wa zamu aliposema muacheni amri hiyo haikuheshimiwa inavyostahiki. Je Mhe. Jaji Mkuu, hivi ndivyo sheria inavyosema pamoja na haki za Kibinadamu, mahabusu na wafungwa wa kisiasa?
Mhe. Jaji Mkuu, adhabu zinazotolewa hapa gerezani nyingi haziendani na kosa husika na hazitolewi kwa mujibu wa sheria bali ni kwa utashi tu wa watu.

Mhe. Jaji Mkuu, Mshtakiwa namba sita Mohammed Is’haq Yussuf wa PI:29/2014 adhabu hii aliyopewa kuishi ndani ya chumba cha adhabu kwa muda wa miezi mitatu, siku tisini (90) bila kutolewa na kupewa mlo mdogo usiozidi gramu 80 (80grams) na huku mahabusu huyu akiwa amesharipoti juu ya suala la afya yake na huku magereza wakiwa na taarifa zake kamili, hapa ni wazi jeshi la magereza linaendeleza maelekezo walioyaanza Jeshi la polisi kuhakikisha japo mtu mmoja lazima afariki dunia ndani ya mikono yao.
Gerelateerde afbeeldingKwani adhabu hii hailingani na kosa analodaiwa kulitenda bali inaonekana wazi kuwa ni chuki ndizo zinashawishi utoaji wa adhabu hiyo ambayo tokea tumefika hapa gerezani Segerea tarehe 17/07/2014 haijawahi kutolewa kwa mahabusu yeyote yule wala mfungwa.
Mh. (jaji Mkuu), mshtakiwa kwa kuliona hilo ameamua kugoma kutokula hicho chakula kidogo na leo hii tarehe 28/12/2016 ni siku ya nne.
Mh. Jaji Mkuu, hata unapodai kumuona mkuu wa greza sisi tunaoitwa ”wapemba” PI.29/2014 nayo ni shida kumuona kwa ajili ya kutoa malalamiko.
Gerelateerde afbeeldingMhe. Jaji Mkuu, kumekuwa na kauli mbali mbali za chuki na za ubaguzi dhidi yetu sisi tunaoitwa ”Wapemba”. Kwa mfano siku ya tarehe 05/12/2016 askari anaehusika na kitengo cha upekuzi alimueleza mahabusu Mohammed Is’haq Yussuf wa PI.29/2014 ambaye ni mshitakiwa namba sita kuwa sasa ataruka na wapemba na hata pale Mohammed alipomueleza kuwa atawaambia wenyewe alijibu ninakutuma ukawaambie ”wapemba wenzio”.
Siku ya tarehe 15/12/2016 sehemu hiyo hiyo ya upekuzi wakati tukirudi mahakamani alimuambia mahabusu Hussen Mohamme Ali kuwa ni mchawi na tarehe 21/12/2016 alimwita Hassan Khamis wa PI.41/2014 kuwa ni Mshenzi. Kauli kama hizi tuliziripoti kwa mkuu wa gereza aliepita ACP Abdallah Kiangi na zilikoma kwa muda na sasa baada ya utawata huu mpya zimerudi tena kwa kasi kubwa.
Mhe. Jaji mkuu hapa tunajiridhisha kuwa yale maneno tuliyoambiwa na ”Task force” ya kuwa tumeletwa Tanzania bara kuja kukomolewa ni ya kweli na huenda hizi chuki na ubaguzi ni sehemu ya maagizo waliopewa jeshi la magereza watufanyie.
Mhe.Jaji mkuu, ubaguzi tunayofanyiwa na askari magereza hapa gerezani Segerea haiendani na sera ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. John Pombe Magufuli aliyoitangaza siku ya uhuru wa Tanganyika tarehe 09/12/2016 ya kuwa Tanzania ni moja.
Mhe. Jaji mkuu, udhalilishaji huu unaofanywa na jeshi la magereza kupitia gereza la mahabusu segerea ni kinyume cha katiba ya nchi, kinyume cha mikataba ya kimataifa ya haki za binadamu, mahabusu na wafungwa wa kisiasa na ni kinyume cha utawala bora wa sheria.Afbeeldingsresultaat voor viongozi wakuu bakwataMhe. Jaji mkuu, tunakuomba kwa vile wewe ni ndiyo mkuu wa watoa haki katika Jamhuri ya muungano wa Tanzania kwa kushirikiana na vyombo vingine husika kwa mujibu wa sheria za nchi hapa Tanzania muunde ”TUME HURU” ili ichunguze usahihi wa tunayoyaeleza ili zichukuliwe taratibu za kisheria kwa kasoro hizi zilizojitokeza ili zisiendelee kuvunjwa haki za binadamu, mahabusu na wafungwa wa kisiasa.
Mhe. Jaji Mkuu kwa sasa tunaishi katika hofu kubwa na hali ya wasiwasi na kuona kuwa usalama wetu uko hatarini kwa namna tunavyotendewa hapa gerezani Segerea.
Uongozi wa magereza unapaswa kuwajibishwa kwa madhara yoyote yanayoweza kutupata mbeleni. Magereza kushindwa kutoa muongozo wa maisha ya gerezani ni kubariki kutokujua haki zetu za gerezani na hivyo kila tunachofanyiwa tuone ni sheria kwetu.
Baada ya miaka mitatu kupita wamejaribu kuweka karatasi mbili zinazoonyesha sehemu ya makosa pasi na kuonesha ni nani anapaswa kusimamia mchakato mzima wa kesi kuwa ni magereza au Hakimu, karatasi hizo mbili hazionyeshi haki wala wajibu wa mahabusu akiwa gerezani.
Tunakutakia kila la kheri na utendaji mwema katika kutekeleza majukumu yako kwa uadilifu.
Kwa niaba ya Washtakiwa wote PI:29/2014 Mahakama ya Kisutu.
Mahabusu Farid Hadi Ahmed Gereza la mahabusu Segerea Dar es Salaam.
NAKALA
1. Makamu wa Rais Jamhuri ya muungano Tanzania.
2. Waziri wa Mambo ya ndani ya nchi Tanzania.
3. Waziri wa Katiba na sheria Tanzania.
4. Mufti wa Tanzania (BAKWATA).
5. Kamishna Generali wa Magereza Tanzania.
6. Tanganyika law society(TLS) Tanzania.
7. Zanzibar law society (ZLS) Zanzibar.

Thursday, January 12, 2017

NCHINI ZANZIBAR MWAKA 1964 DAMU YA WAZANZIBARI ULIMWANGWA BILA YA KOSA LOLOTE KISHA IKAPEWA JINA LA MAPINDUZI DAIMA

Image may contain: plant, outdoor and nature
Afbeeldingsresultaat voor MZEE KARUME,OKELLO,BABU
WAUWAJI WALIO UWA WAZANZIBARI NDIO HAWA WAKIWA KATIKA PICHA YA PAMOJA KUFURAHIKIA MAUWAJI WALIO YAFANYA USIKU KAMA WA JANA KUAMKIA LEO.
Image may contain: outdoor
Afbeeldingsresultaat voor MZEE KARUME,OKELLO,BABU
HAWAFIDHINA WA WAKATI HUO WAKILA RAHA ZAO ZA DUNIA LEO HII WAKO WAPI WOTE TAKRIBANI WAKO MAKABURINI HUKO WANAJIBU WALIO YAFANYA
Afbeeldingsresultaat voor MZEE KARUME,OKELLO,BABU
KATIKA KATIKA OKELLO MUUWAJI KUSHOTO MZEE KARUME MUHAFIDHINA WA SIKU HIZO NA KULIA BABU NA PIA MUHAFIDHINA WA SIKU HIZO WALIO KUWA WAKIJALI ZAIDI MASLAHI YAO NA FAMILIA ZAO KULIKO MAUWAJI YALIO TENDEKA KWA KULIWA WATU WASIO NA HATIA WAO HAWAKUJALI WALIJALI UONGOZI TU.
Image may contain: outdoor
Afbeeldingsresultaat voor MZEE KARUME,OKELLO,BABU
HAWAFIDHINA WA WAKATI HUO WAKILA RAHA ZAO ZA DUNIA LEO HII WAKO WAPI WOTE TAKRIBANI WAKO MAKABURINI HUKO WANAJIBU WALIO YAFANYA
Image may contain: bird and outdoor
HII ILIKUWA NI KAMA USIKU WA JANA KUAMKIA LEO WAZE WETU NDUGU ZETU JAMAA ZETU WALIVAMIWA HAPA NCHINI KWETU ZANZIBAR NA HAO LEO TUNAO WAITA ATI NDUGU ZETU WA DAMU NA KUUWA NDUGU ZETU BILA YA HURUMA NA KUPORA MALI ZETU NA MAJUMBA NA MASHAMBA NA KUNAJISI MAMA ZETU ,DADA ZETU ,ANTI ZETU ,HALATI ZETU ,BIBI ZETU WAKAWANAJISI WATAKAVYO KISHA WENGINE WAKAUWA NA WENGINE WAKAWALAZIMISHA ATI WAWE NI WAKE ZAO LEO HII YANAFURAHIKIWA MAMBO HAYA YA HARAMU NA KUPEWA JINA ATI MAPINDUZI MATUKUFU ASTAHAFIRUH ALLAH NYINYI MNAJUWA NINI UTUKUFU NYINYI...? ILA HAKUNA SHIDA DUNIA MAPITO TU WENGI WAO WALIO FANYA HAYO MAPINDUZI WAKO WAPI WENGI WAMENYAMAZA NDANI YA MATUMBO YA ARDHI NDANI YA MWANA NDANI WAO NA MUNGU WAO TU WALIDHANI WAKIFANYA UNYAMA HUU WATAISHI MILELE KUMBE WAPI DUNIA MAPITO TU.