Wednesday, July 24, 2019

PIC ZA HISTORIA YA NCHI YA TANGANYIKA JAPO HAMUITAKI NCHI YENU YA TANGANYIKA


Hii Picha Ilipigwa Siku ya Nyerere Alipoweka Jiwe la Msingi Chuo Kikuu Cha Waislam, Chang'mbe 1968 Nyerere Anapeana Mkono na Mufti Sheikh Hassan bin Amir ...

Hii Picha Ilipigwa Siku ya Nyerere Alipoweka Jiwe la Msingi Chuo Kikuu Cha Waislam, Chang'mbe 1968 Nyerere Anapeana Mkono na Mufti Sheikh Hassan bin Amir ...

Uongozi wa East African Muslim Welfare Society katika ni Solomon Eliufoo (Waziri wa Elimu) na Tewa Said Tewa (Territorial President EAMWS) kulia kabisa aliyevaa kanzu na kilemba ni Mufti Sheikh Hassan bin Amir

uhuru day,people go berserk-kwa mbali naona ki bajaj kumbe hizi bajaj ni za siku nyingi

L - R: Sheikh Suleiman Takadir aka Makarios, John Rupia, Julius Nyerere na Bantu Group 1955

Kutoka Kushoto:Iddi Faiz Mafongo(Mweka Hazina wa Al Jamiatul Islamiyya fi Tanganyika na TANU),Sheikh Mohamed Ramia(Khalifa wa Qadiriyya),Julius Nyerere,Saadani Abdu KandoronaHaruna Taratibu. Picha imepigwa Dodoma

Mufti Sheikh Hassan bin Amir, Al Habib Omar bin Ahmed bin Abubakar bin Sumeit Nyuma Yake ni Ali Mwinyi Tambwe, Abbas Sykes na Chini ni Sheikh Kassim bin Juma



ofisi ya taa kamba ya kuwa ofisi ya tanu

bara za wazee walio anzisha cha cha taa na kuwa tanu ndio hili


Aliyekaa Katikati ni Ilunga Hassan Kapungu na Kushoto Kwake ni Ali Salum Mkangwa na Aliyesimama Nyuma ni Mwandishi

Aliyesimama wa kwanza kulia ni Mzee Ali Msham mwenyekiti wa tawi la TANU Magomeni Mapipa wakati TANU inawaunganisha wananchi kupigania uhuru wa Tanganyika.
Bibi Titi Mohamed, Nyerere na John Rupia Mkutano wa TANU Jangwani, Dar es Salaam 1950s

Bi titi Mohamed akiwahubiri watanganyika kugombania uhuru wa nchi yao ya tanganyika



mkutano wa tanu

Urambo House, Tabora, mwaka 1951. siku hizi mnaita saloon nchini tanganyika

Kushoto Mohamed Jumbe Tambaza na Kulia ni Mshume Kiyate mashuja wa uhuru wa nchi ya tanganyika walio sahauliwa

Tawi hili la TANU Magomeni Mapipa lilikuwa na nguvu na viongozi mashuhuri wa TANU walifika mara nyingi kuzungumza na wanachama na viongozi wao.

gari la tanu nchini tanganyika


Ali Msham aliyekaa katikati katika moja ya mikutano ya ndani ya TANU aliyokuwa akifanya uani nyumbani kwake Mtaa wa Jaribu, Magomeni Mapipa

Bibi Titi Mohamed (1926 - 2000) Shujaa wa Uhuru wa Tanganyika

Waliosimama wa pili kushoto ni Ali Msham (Mwenyekiti wa Tawi la Magomeni Mapipa) na wa nne ni Bi. Khadija biti Jaffar wa tano Bi. Mtendwa biti Iddi Sudi,

Ofisi ya TANU Mtaa wa Jaribu Magomeni Mapipa kama ilivyokuwa ikionekana katika miaka ya 1950 ikiwa imezungikwa na wanachama wake.


No comments:

Post a Comment