
Inallilah waina lilahi rajiuni ,mungu ailaze roho yake mahala pema peponi,uyu dada alikufa Omani leo ni siku ya tatu yuko mochari na dhani kuwa familia yake ina habari , tusaidianeni kusambaza picha hii ndugu waislam na hata wasio waislam ,ama kama kuna mtu anae mfahamu vzr atambulishe familia yake, baada ya ayo, Asalam alaikum warahtullah wabarakatus —
feeling sad at Al Qassim.

No comments:
Post a Comment