Sunday, August 30, 2015

POMBE MAGUFULI ASEMA MKICHAGUWA UKAWA NCHI TANGANYIKA ((TZ)) ZANZIBAR ITAGEUKA LIBYA-CCM POLENI SANA ASIYEKUBALI KUSHINDWA SIO MSHINDANI


Kauli za fujo na uchochezi zinaendelea kutolewa kupitia viongozi wa chama cha mapinduzi,mgombea urais wa Tiket ya CCM Ndugu John Pombe Magufuli kwa mara nyengine amesema kuwa ,wananchi wasifanye maamuzi magumu kuichagua ukawa ifikapo October badala yake waichague CCM au nchi itageuka kama Libya na wa Tanzania watageuka wakimbizi ndani ya nchi yao.
Hii ni mara ya Pili kutoa kauli hiyo katika kampeni zake za uchaguzi,akiripotiwa na televisheni ya ITV.
Kauli hii ni mfululizo wa kauli za viongozi wa juu wa CCM akiwemo Rais Kikwete na Lukuvi waliponukuliwa kuwa Jeshi litachukua nchi ikiwa wapinzani watashinda.
Baadhi ya wananchi waliohojiwa wameeleza masikitiko yao kwamba hakuna kiongozi yoyote aliekemea kauli hiyo ya uchochezi na wanaamini kuwa CCM wamekusudia kuharibu amani kwa njia yoyote endapo watashindwa katika uchaguzi..
KILA MZANZIBARI ATAULIZWA SIKU YA KIYAMA NA MWENYEZI MUNGU ULIPOSIKIA WAZANZIBARI WENZIO WANADHALILISHWA NA KULAWITIWA NA HAWA JE ULIFANYA NINI TAFUTA JIBU LAKO MAPEMA KWA SIKU HIYO YA KIYAMA SIKU AMBAYO MALI NA WATOTO WAKO WALA CHEO CHAKO HAVITAKUFAA SIKU HIYO.

No comments:

Post a Comment